UKIWEZA HILI UTASHINDA UMASKINI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 июл 2024

Комментарии • 66

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 17 дней назад +13

    Mimi ni Isĺam ĺkn napenda sana mahubiri yako , mimi nathamini neno Imani ndio muongozo wetu ,viumbe🎉❤

  • @olphanyamweya3154
    @olphanyamweya3154 19 дней назад +9

    Asantii sana MCHUNGAJI umenitia nguvu upande wa ibaada ,Niko Saudi Arabia mala mingi makosa kutomba Kwa masaa yangu eti ziko mahali patakatifu YESU nizaidie 🙏

  • @EsterFanuel-l2b
    @EsterFanuel-l2b 17 дней назад +3

    Mungu akubariki pastor umenitia moyo katika changamoto zinazonikabili naamini Mungu atanisaidia kutokuamini kwangu

  • @AgnessMrutu
    @AgnessMrutu 17 дней назад +3

    Aminaaaa, barikiwa kwa kunitia moyo kwa jina la Yesu Kristo mimi ni B

  • @ElizabethOmwoyo-hj4ch
    @ElizabethOmwoyo-hj4ch 19 дней назад +3

    Have mercy upon me, O Lord, for I am in trouble: mine eye is consumed with grief, yea, my soul and my belly.May ur divine restoration be upon us in Jesus name 🙏

  • @Kalolitv599
    @Kalolitv599 18 дней назад +2

    Ubarikiwe mchungaji mbaga kwa kuendelea kusambaza neno la MUNGU

  • @neemafortune5481
    @neemafortune5481 18 дней назад +1

    Asante saaaana Mchungaji Mbaga Mungu aendelee kukupa Maisha marefu na Izima Tele na Baraka Tele ili tupate Kumjua Mungu Zaidi kwa Mafundisho yako

  • @emanuelymittango3741
    @emanuelymittango3741 3 дня назад

    Amina ubarikiwe Mchungaji unazidi kutufundisha

  • @JoachimMkunda
    @JoachimMkunda День назад

    Amen, Barikiwa sana

  • @samwelmose1997
    @samwelmose1997 7 дней назад

    Be blessed pastor for the encouragement message, now i have a reason to continue..❤

  • @calebmakori
    @calebmakori 19 дней назад +2

    I have opened business not once, twice and till 8 times but it has eaten all my resources. NOW PRAY FOR ME PLS. Have tried but in vain

  • @enockmatondo182
    @enockmatondo182 5 дней назад

    Aminaaa Asante Sana Pastor Kwa masomo mazri

  • @GeorgeBarnaba-to5sx
    @GeorgeBarnaba-to5sx 5 дней назад

    Barikiwa Mungu anisaidie kutokuamin

  • @FurahaGisele-wz1mb
    @FurahaGisele-wz1mb 14 дней назад +1

    Niko Goma RDC mahubiri Yako inatutiya ngufu ubarikiwe n'a zaidi upate mwisho muzuri katika maisha Yako Ya kiroho Que Dieu te protège

  • @user-kt3bb7mr4e
    @user-kt3bb7mr4e 15 дней назад +1

    Ubarikiwe sana karibu Sana ilula

  • @user-ou4un3gs9d
    @user-ou4un3gs9d 19 дней назад +1

    Amen nimebarikiwa na neno Asante MTU wa Mungu

  • @EnockMASABO
    @EnockMASABO 6 дней назад

    Hata Burundi tunabarikiwa Mungu akuwezeshe ❤kuifanya kazi yake kwa Imani

  • @MariamBusele
    @MariamBusele 18 дней назад +1

    Amina mchungaji unanibariki sana ubarikiwe pia

  • @Jetzider
    @Jetzider 14 часов назад

    Mungu nitie nguvu saidi..amiin🙏🏾

  • @senorinamtei8202
    @senorinamtei8202 18 дней назад +1

    Nabarikiwa sana pastor

  • @esthernkwabi1675
    @esthernkwabi1675 День назад

    Nimebarikiwa kwa somo hili.MUNGU akutie nguvu

  • @mbigwajbbyamungu4875
    @mbigwajbbyamungu4875 19 дней назад +2

    Toka DRC 🇨🇩 sud Kivu uvira ville ubarikiwe mupendwa !!

  • @RehemaKihoko-jz9od
    @RehemaKihoko-jz9od 8 дней назад

    Asante sana Mungu kwa mchungaji huyu barikiwa sana

  • @sinzalemossi2054
    @sinzalemossi2054 17 дней назад

    Amen Pastor Mungu azidi kukubariki umefanyika baraka kwenye maisha yangu

  • @DieumeKasereka-z4u
    @DieumeKasereka-z4u 19 дней назад +2

    barikiwa muchungaji toka DRC goma

  • @user-cx8zx2ip2u
    @user-cx8zx2ip2u 17 дней назад

    Ubarikiwe sana pasta kwa somo zuri nabarikiwa sana nikiwa oman

  • @user-pq9be8re6i
    @user-pq9be8re6i 18 дней назад +1

    Hapa saudi Arabia ninaomba hata nikitembea na ninamini siku moja atanitendea yasiyowezekana 🙏🙏🙏🙏

  • @Sumartineone
    @Sumartineone 6 дней назад

    Aminaa sana Mchungaji Mbaga

  • @kadzocharosilver411
    @kadzocharosilver411 18 дней назад +1

    Amen mutumishi

  • @isaacnsengiyumva
    @isaacnsengiyumva 16 дней назад +1

    Umenikumbusha kipindi nilikua niko shuleni, nilisoma kitabu muandishi aliandika hivi : SUCCESS IS ONLY A FAILURE AWAY.

  • @EliaoleshengEa-pv8fu
    @EliaoleshengEa-pv8fu 18 дней назад +2

    Elfu 10 mchungaji niyakula tu otelini haitoshi kufungua biashara ya m7

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 дня назад

    Hakuna mtu yeyote atakayemtafuta Mungu asipate dhawabu

  • @fredrickmziray4885
    @fredrickmziray4885 4 дня назад

    Asante mwalimu

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 17 дней назад +1

    Nyanya ya unga ukitaka kuitumia unaikoroga na maji inakuwa rojo inatumika tena

  • @kefajuma4555
    @kefajuma4555 16 дней назад

    niko na changamoto sana ila Mungu akuzidishie miaka mingi mchungaji kwa kunitia. moyo

  • @Joharissa-f6p
    @Joharissa-f6p 3 дня назад

    Amen

  • @sylviaomwenga8740
    @sylviaomwenga8740 19 дней назад +1

    Eee Mungu baba tubariki

  • @jaynice-hn7jn
    @jaynice-hn7jn 10 дней назад

    Amina kwa NENO

  • @mtumishiraymond2001
    @mtumishiraymond2001 19 дней назад +2

    Amen 🙏🏿

  • @purity134
    @purity134 18 дней назад +1

    Amina

  • @josephmbembe3424
    @josephmbembe3424 17 дней назад +1

    Amen amen

  • @LukaKidumba
    @LukaKidumba 14 дней назад

    uishi sana mtumishi

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 дня назад

    Luka 17:5-6

  • @generosegastor2453
    @generosegastor2453 11 дней назад

    Mchungaji nimebadilisha sana baba

  • @K-go1qj
    @K-go1qj 17 дней назад +1

    Nyanya za unga zipo

  • @Trizah-254-e
    @Trizah-254-e 19 дней назад +1

    AMEN

  • @user-kq9je6zf3v
    @user-kq9je6zf3v 19 дней назад +1

    Amen 🙏

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 дня назад

    Marko 9:24

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 дня назад

    Mathayo13:58

  • @user-xy2kz1tl9c
    @user-xy2kz1tl9c 17 дней назад

    Mwanaume aliubwa kwa tope, lakini mwanamuke katoka ndani ya mifupa ya mwanaume. Naitaji tafsiri na ukweli Pasta Mubaga.

  • @mrsdeborahurio
    @mrsdeborahurio 18 дней назад +1

    Mungu akubariki sana,Mchungaji!

  • @FarajaApolo
    @FarajaApolo 12 дней назад

    Nice

  • @rasitkipkoech7441
    @rasitkipkoech7441 19 дней назад +1

    Ibada ya madakika ..... Majaribio Mara Miki.... Hakuna kujiusulu::::

    • @loycep7785
      @loycep7785 19 дней назад

      Amina Mchungaji barikiwa sana kwa Mahubiri ya kutia moyo mara nyinhi tunakosa lmani na kuwa na uhakika wa mambo yaliyo mbele yetu
      Asante sana

    • @loycep7785
      @loycep7785 18 дней назад

      Mara nyingi=sahihisho

    • @JosephHiyala
      @JosephHiyala 17 дней назад

      barikiwa.sana.mchungaji.kwa somo hili

  • @user-xy2kz1tl9c
    @user-xy2kz1tl9c 17 дней назад +1

    Bwana asifiwe Mchungaji. Mimi nina swali?? Kwanini watu wanasema kama mwanamuke akuubwa?? Eti mwanaume tuu njoo aliubwa kwasababu eti wakati Mungu alitaka umba mwanadamu alisema " tuumbe mtu kwa mfano wetu" nawakati ileneno imetimia ilionekana kama mwanaume tuu njoo aliumbwa... sasa naitaji kujuwa kweli.

    • @johnsonstephano9121
      @johnsonstephano9121 8 дней назад +1

      Mwanzo 1:26-27
      [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
      [27]Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

  • @Joharissa-f6p
    @Joharissa-f6p 3 дня назад

    Amen

  • @user-ho4lh9yk7h
    @user-ho4lh9yk7h 9 дней назад

    Amen

  • @DieumeKasereka-z4u
    @DieumeKasereka-z4u 18 дней назад +1

    Amen