Mungu mungu,sasa ninamiaka 30 nikiwa darasa la tatu nilipenda kusoma vitabu VYAKO eriki ,nimekuwa namiongozo yako nimefanikiwa kwakuiga mengi kwako nashukuru Sana
Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele
Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana
Nilikuwa naanza kukata tamaa kwenye biashara yangu ya Forex kwa sababu ya hofu ila hii video imenirudishia tabasamu nimeelewa sasa....Ubarikiwe sana Father Shigongo
Jambo kwa wote
Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.
Mh shigongo umeniamsha vizuri mno,kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana
Asante sana kaka, najifunza mengi kupitia darasa lako
Mungu atusaidie kwakweli❤
😂😂😂 hapo kwenye Umbea umepiga kwenye Mshono...kuna watu wanapenda umbea
Bravo 👏 👏 👏 👏 network with the right people 😊
Mungu mungu,sasa ninamiaka 30 nikiwa darasa la tatu nilipenda kusoma vitabu VYAKO eriki ,nimekuwa namiongozo yako nimefanikiwa kwakuiga mengi kwako nashukuru Sana
Nashukuru sana,umenitiya moyo na kuniinuwa kimawazo zaidi
Thanks too much for your lectures
Asnte sana ujumbe muzuri mungu akubariki sana
Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele
Shigongo keep up brother
Amen Mungu akubariki Mcungaji
❤ kweri waoga WOTE mateso
Tuliolala muda wa kuamka ndo huu 🎉🎉🎉
I like you Mr Eric Shigongo big up brother and be blessed
Elimu kama hii tunaipenda ila shida tutaipata wapi wachache ndo wanafanya barikiwa sana
🤲🏽🙏🏾
🙏🏾🤲🏽
🤲🏽🙏🏾
🙏🏾🤲🏽
🤲🏽🙏🏾
🙏🏾🤲🏽
Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana
Nashukuru Muheshiwa ,nimesoma riwaya zako na leo nimejifunza kutoka kwako
Ameen barikiwa sana mtumishi wa mungu
Good
Thanks
Nashukuru sana kwa soko pls naomba namba yako
ni ukweli mtupu unaoongea safi sana
GOMS was here 🧘🏽♂️🎧.
Ujumbe mzuri brother
Asante kwa maoni yako
Tuendelee kujifunza
Shigongo I want to met you
Ni kweli kabisa!!
Leo nimekutana na hii imenijenga sana ,Mungu akubariki sana
asante kwa somo lako mung awe nawe
nashukuru sana naitoa hofu kwanzia sasa hiv
Aise daaah maalifa aya baraa sana
Nimelipenda somo lako
Ukweli mtupi
Ukweli kabisa
Shigongo
Mambo mazuri hayo
Amen Amen
Genus wewe
Somo limekaa vizuri mno
🙏🙏🙏
Huwa namfananisha Eric na tyler perry i think they have many things in common 🎉
That's true bro
❤
Kaka umekuwa muelimishaji mzr sana kwa jamii thanks 🙏🙏🙏
Asante kwa maoni yako
Tuendelee kujifunza
Ahsante sana mh.nimejifunza kitu kikubwa sana kwako
Asante sino zuri
Amina
Punguzeni kizungu maana watanzania tunao kufuatilia ni wengi ila tuapitwa na maneno ya kizungu
Now you are becoming a preacher,y don't you open your church.
Ubalikiwe sana kaka yangu nimejifunza mengi
Ongea kiswahili unaongea na watanzania uzungu mwingi
Anaongea na aliyekuwa anaongea nao....Wamefanya kurekodi tu Brother. Wewe haukuwa mrengwa
Barikiwa sana kaka Eric boss wetu wa elimu za mafanikio
Kweli baba
This is true 🎉🎉
Naipenda sana hii. Great inspiration indeed
Asante 🙏
Uhakika kaka mkubwa
Nimekuwa nikukufuatilia tang nina miaka7 enzi za sani na kiwi ila sasa nashindwa namna ya kupata makala zako
Kweli kabisa
Kuanzia Leo nitakusikiliza ,kaka Bado nipo dalasani
Punguza kingereza mkuu acha kabisa sie wabogo tunapenda kiswahili
Hakuna msomi wanaoitwa msomi wakiswahili hakuna hio mjomba huo ni msomi subir amalize yy ndo ww uje nalugha yako
appreciate you my brother
Baba tafadhali naweza kkuona ukanisaidia tafadhali?
Nafukizahofu mutumishi
Punguza kingereza wengine niwaswail kaka
🙏🙏🙏
Ahsant San
Thank you Mr Erick
Ahsante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Ujumbe mzurii
I respect my brother, ni kweli unayoyasema yanatukuta wengi. But now I will study for you.
Ndio.lafiki
Nimekwelewa sana mkuuuu🎉🎉
Thanks for sharing
Thanks for watching!
Thanks
Nikweli
🤔🤔
🙏
😊
🙏🙏
Thanks
Nilikuwa naanza kukata tamaa kwenye biashara yangu ya Forex kwa sababu ya hofu ila hii video imenirudishia tabasamu nimeelewa sasa....Ubarikiwe sana Father Shigongo