Jinsi ya Kuondoa Hofu Kwenye Maisha Yako na Kufanikiwa - Eric Shigongo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 94

  • @mulendabenjamin4273
    @mulendabenjamin4273 2 месяца назад +7

    Jambo kwa wote
    Mungu akubariki Brother Eric shigongo, unaongeya ukweli.

  • @KitilaMndeme
    @KitilaMndeme 2 месяца назад +17

    Mh shigongo umeniamsha vizuri mno,kuanzia sasa nawakata marafiki wasiofaa, Mungu akujalie baraka na maoni mapana

  • @edithavalelian256
    @edithavalelian256 3 месяца назад +6

    Asante sana kaka, najifunza mengi kupitia darasa lako

  • @MichaelParingo
    @MichaelParingo Месяц назад +3

    Mungu atusaidie kwakweli❤

  • @bilid4128
    @bilid4128 3 месяца назад +3

    😂😂😂 hapo kwenye Umbea umepiga kwenye Mshono...kuna watu wanapenda umbea

  • @lucasisundwa2125
    @lucasisundwa2125 2 месяца назад +4

    Bravo 👏 👏 👏 👏 network with the right people 😊

  • @MohamedHaji-kf7ho
    @MohamedHaji-kf7ho 2 месяца назад +2

    Mungu mungu,sasa ninamiaka 30 nikiwa darasa la tatu nilipenda kusoma vitabu VYAKO eriki ,nimekuwa namiongozo yako nimefanikiwa kwakuiga mengi kwako nashukuru Sana

  • @NightbellLeadmen
    @NightbellLeadmen 3 месяца назад +4

    Nashukuru sana,umenitiya moyo na kuniinuwa kimawazo zaidi

  • @neemaemanuel7715
    @neemaemanuel7715 2 месяца назад +2

    Thanks too much for your lectures

  • @MmMm-u8v3i
    @MmMm-u8v3i Месяц назад +1

    Asnte sana ujumbe muzuri mungu akubariki sana

  • @abidandastanmaliyatabu1373
    @abidandastanmaliyatabu1373 2 месяца назад +3

    Hongera kwa mafundisho mazuri, ila sasa lugha hiyo unayochanganya wengine shule hatujaenda; Iman yangu ni kuwa unataka kuponya roho za watu na mimi nikiwemo, kama hautajali mafundisho ya namna hii ya kwenda mtandaoni yanaangaliwa na watu wa kila namna, kama itawezekana lugha ya kiswahili ipewe kipaumbele

  • @noahjoshua2175
    @noahjoshua2175 2 месяца назад +3

    Shigongo keep up brother

  • @ElijahWilliams-on4fq
    @ElijahWilliams-on4fq 2 месяца назад +2

    Amen Mungu akubariki Mcungaji

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 2 месяца назад +6

    ❤ kweri waoga WOTE mateso

  • @HappynessRobert-j8z
    @HappynessRobert-j8z 2 месяца назад +2

    Tuliolala muda wa kuamka ndo huu 🎉🎉🎉

  • @AstonElieza
    @AstonElieza Месяц назад

    I like you Mr Eric Shigongo big up brother and be blessed

  • @Le0nardLeonardjmsomba
    @Le0nardLeonardjmsomba 15 дней назад

    Elimu kama hii tunaipenda ila shida tutaipata wapi wachache ndo wanafanya barikiwa sana

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🤲🏽🙏🏾

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🤲🏽🙏🏾

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🤲🏽🙏🏾

  • @francjose9596
    @francjose9596 Месяц назад +1

    🙏🏾🤲🏽

  • @MiriamSaid-z4x
    @MiriamSaid-z4x 2 месяца назад +1

    Mimi nakukuribari nilianza kufata magazeti yako Toka shilingi mia ulipokuwa nakaka yako polis mikumi ulipesewa mtaji wa kwanza ukapote ukajetena akakwambia nakupa laki mbili mpaka Sasa ubarikiwe pili nilichukuwa Mimi upande wa mahubili ulipokuwa unatoa riwaya zako Leo ni mchungaji ubarikiwe sana sana

  • @martincostantino
    @martincostantino 3 месяца назад +2

    Nashukuru Muheshiwa ,nimesoma riwaya zako na leo nimejifunza kutoka kwako

  • @benithaBrighton
    @benithaBrighton Месяц назад

    Ameen barikiwa sana mtumishi wa mungu

  • @travellergift6347
    @travellergift6347 2 месяца назад +3

    Good

  • @atungamovies9117
    @atungamovies9117 Месяц назад +1

    Thanks

  • @stanleynyakunga5926
    @stanleynyakunga5926 2 месяца назад +1

    Nashukuru sana kwa soko pls naomba namba yako

  • @hasinahassani
    @hasinahassani 21 день назад

    ni ukweli mtupu unaoongea safi sana

  • @Gomsrap
    @Gomsrap 2 месяца назад +2

    GOMS was here 🧘🏽‍♂️🎧.

  • @CharlesZuma
    @CharlesZuma 3 месяца назад +4

    Ujumbe mzuri brother

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 месяца назад

      Asante kwa maoni yako
      Tuendelee kujifunza

  • @EmmanuelMushi-j1i
    @EmmanuelMushi-j1i 2 месяца назад +2

    Shigongo I want to met you

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 3 месяца назад +3

    Ni kweli kabisa!!

  • @sedekiabilijite5516
    @sedekiabilijite5516 2 месяца назад +1

    Leo nimekutana na hii imenijenga sana ,Mungu akubariki sana

  • @YohanaBenard-y8e
    @YohanaBenard-y8e 2 месяца назад +1

    asante kwa somo lako mung awe nawe

  • @Zuwenamuhammedy
    @Zuwenamuhammedy 2 месяца назад +1

    nashukuru sana naitoa hofu kwanzia sasa hiv

  • @kenethtv6932
    @kenethtv6932 2 месяца назад +1

    Aise daaah maalifa aya baraa sana

  • @samuelsimwawa7493
    @samuelsimwawa7493 2 дня назад

    Nimelipenda somo lako

  • @JamesNzioka-lr6ry
    @JamesNzioka-lr6ry 2 месяца назад +1

    Ukweli mtupi

  • @espoirmurwanashaka9982
    @espoirmurwanashaka9982 2 месяца назад +1

    Ukweli kabisa

  • @MathayoBrasio
    @MathayoBrasio Месяц назад +1

    Shigongo

  • @Polymath-Abala
    @Polymath-Abala 2 месяца назад +1

    Mambo mazuri hayo

  • @EvaliniEvelin
    @EvaliniEvelin 2 месяца назад +2

    Amen Amen

  • @Mihoaidan
    @Mihoaidan 2 месяца назад

    Genus wewe

  • @stanleynyakunga5926
    @stanleynyakunga5926 2 месяца назад +1

    Somo limekaa vizuri mno

  • @HamzaSelemani-rt8jt
    @HamzaSelemani-rt8jt 3 месяца назад +4

    🙏🙏🙏

  • @JACKLINEMAHENGE
    @JACKLINEMAHENGE 2 месяца назад +1

    Huwa namfananisha Eric na tyler perry i think they have many things in common 🎉

  • @winfredndanu-uc6em
    @winfredndanu-uc6em 2 месяца назад +1

    That's true bro

  • @chrisedward3797
    @chrisedward3797 2 месяца назад +2

  • @ThadeiAbel-rv8ts
    @ThadeiAbel-rv8ts 3 месяца назад +2

    Kaka umekuwa muelimishaji mzr sana kwa jamii thanks 🙏🙏🙏

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  3 месяца назад

      Asante kwa maoni yako
      Tuendelee kujifunza

  • @rosemarymwakisalu
    @rosemarymwakisalu 3 месяца назад +1

    Ahsante sana mh.nimejifunza kitu kikubwa sana kwako

  • @pulcheriamayombo5780
    @pulcheriamayombo5780 Месяц назад +1

    Asante sino zuri

  • @JumaAnastazia-ux9fc
    @JumaAnastazia-ux9fc 2 месяца назад +1

    Amina

  • @MorosKatunzi
    @MorosKatunzi 2 месяца назад +2

    Punguzeni kizungu maana watanzania tunao kufuatilia ni wengi ila tuapitwa na maneno ya kizungu

  • @OdhiamboLazaro-y8o
    @OdhiamboLazaro-y8o 2 месяца назад

    Now you are becoming a preacher,y don't you open your church.

  • @lucymwilinga7232
    @lucymwilinga7232 Месяц назад

    Ubalikiwe sana kaka yangu nimejifunza mengi

  • @hasanidadi5791
    @hasanidadi5791 3 месяца назад +1

    Ongea kiswahili unaongea na watanzania uzungu mwingi

    • @lucasmartin431
      @lucasmartin431 3 месяца назад

      Anaongea na aliyekuwa anaongea nao....Wamefanya kurekodi tu Brother. Wewe haukuwa mrengwa

  • @DanielKawembe
    @DanielKawembe Месяц назад

    Barikiwa sana kaka Eric boss wetu wa elimu za mafanikio

  • @QUEENJoseph-kh6cb
    @QUEENJoseph-kh6cb 3 месяца назад +1

    Kweli baba

  • @WilliamStanley-m9x
    @WilliamStanley-m9x 3 месяца назад +1

    This is true 🎉🎉

  • @mpokimwakisimba692
    @mpokimwakisimba692 Месяц назад

    Naipenda sana hii. Great inspiration indeed

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 3 месяца назад +1

    Asante 🙏

  • @Tadeo-s4h
    @Tadeo-s4h 3 месяца назад +1

    Uhakika kaka mkubwa

  • @mariamsaidi8039
    @mariamsaidi8039 3 месяца назад

    Nimekuwa nikukufuatilia tang nina miaka7 enzi za sani na kiwi ila sasa nashindwa namna ya kupata makala zako

  • @VictorGosbert
    @VictorGosbert 3 месяца назад +1

    Kweli kabisa

  • @DorkasSekana-w5y
    @DorkasSekana-w5y 2 месяца назад

    Kuanzia Leo nitakusikiliza ,kaka Bado nipo dalasani

  • @richkaja3317
    @richkaja3317 2 месяца назад

    Punguza kingereza mkuu acha kabisa sie wabogo tunapenda kiswahili

    • @amosiabdulallh7965
      @amosiabdulallh7965 2 месяца назад

      Hakuna msomi wanaoitwa msomi wakiswahili hakuna hio mjomba huo ni msomi subir amalize yy ndo ww uje nalugha yako

  • @simonmachimu8992
    @simonmachimu8992 2 месяца назад

    appreciate you my brother

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 3 месяца назад

    Baba tafadhali naweza kkuona ukanisaidia tafadhali?

  • @JumaAnastazia-ux9fc
    @JumaAnastazia-ux9fc 2 месяца назад

    Nafukizahofu mutumishi

  • @DavidNdosa-mj4ei
    @DavidNdosa-mj4ei 2 месяца назад

    Punguza kingereza wengine niwaswail kaka

  • @SteveAvelinBuretter
    @SteveAvelinBuretter 3 месяца назад +1

    🙏🙏🙏

  • @AminaJoni-v5o
    @AminaJoni-v5o 2 месяца назад

    Ahsant San

  • @kalongatv3421
    @kalongatv3421 2 месяца назад

    Thank you Mr Erick

  • @ElizanaBahati
    @ElizanaBahati 2 месяца назад

    Ahsante sana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @seifally4457
    @seifally4457 2 месяца назад

    Ujumbe mzurii

  • @KkijaMakula
    @KkijaMakula 2 месяца назад +1

    I respect my brother, ni kweli unayoyasema yanatukuta wengi. But now I will study for you.

  • @kajico2023
    @kajico2023 2 месяца назад

    Ndio.lafiki

  • @sammwakalinga2705
    @sammwakalinga2705 3 месяца назад

    Nimekwelewa sana mkuuuu🎉🎉

  • @izzylyrics2240
    @izzylyrics2240 2 месяца назад

    Thanks for sharing

    • @hamasikatv
      @hamasikatv  2 месяца назад

      Thanks for watching!

  • @Saidmarez
    @Saidmarez 3 месяца назад

    Thanks

  • @SadaDamas-jh2gt
    @SadaDamas-jh2gt 3 месяца назад

    Nikweli

  • @OsmondMtatifikolo
    @OsmondMtatifikolo 2 месяца назад

    🤔🤔

  • @VeronicaMatandu
    @VeronicaMatandu 2 месяца назад

    🙏

  • @NaftaliObeid-sw9me
    @NaftaliObeid-sw9me 2 месяца назад

    😊

  • @FATMA06-oz3zs
    @FATMA06-oz3zs 3 месяца назад

    🙏🙏

  • @Erick_john
    @Erick_john 3 месяца назад +1

    Thanks

  • @mofatunes1432
    @mofatunes1432 2 месяца назад

    Nilikuwa naanza kukata tamaa kwenye biashara yangu ya Forex kwa sababu ya hofu ila hii video imenirudishia tabasamu nimeelewa sasa....Ubarikiwe sana Father Shigongo