Nlikuwa napenda sana vipindi vyako, ila uandaaj wa sasa unanipteza hamu ya kuvisikiliza na kuvitazama...vimepoa sana...na saut ya mzk ndo kabisaaa. Kama utaweza kufanha kama zile za zaman ntashukuru...zilikuwa na saut ya kutosha...........
True mwanzoni alianza vizur sababu nakumbuka 2021 alikua akiandika pia na sauti ilikua nzuri ,,,,lkn siku hiz sauti na video ady awe kanisani tu..lkn audio ipo nzito yatia uvivu
Jamani kaka joel unaniponyaga kila siku MUNGU AKUBARIKI SANAA nakuahidi sitokubali ndoto yangu isitimie na siku natimiza ndoto yangu kaka joel nutakutafuta uwe mgeni rasmi hakika ndoto yangu lazima itimie
Elimu yako unayotoa ipo wazi kabisa Arthur, maneno ya Mungu yanasisitiza hivi; Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako bali yatafakari maneno yake usiku na mchana upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyo andikwa humo maana ndipo utakapoifanikisha njia yako kisha ndipo utakapo utakapositawi sana.
Wewe ni zaidi ya mwalimu MUNGU kakupa kipawa utukomboe sisi
Nlikuwa napenda sana vipindi vyako, ila uandaaj wa sasa unanipteza hamu ya kuvisikiliza na kuvitazama...vimepoa sana...na saut ya mzk ndo kabisaaa. Kama utaweza kufanha kama zile za zaman ntashukuru...zilikuwa na saut ya kutosha...........
Asante mwalimu kwani ndoto nizakufwatilia .nimejifunza menghi kupitia kwako
Hii afya ya asubuh
Asante sana kaka Joel Mungu akubariki sana
Hii dawa ya ubongo❤
Joel saut imekuwa nzito sana why inafika time kama inakuwa inaboa
True mwanzoni alianza vizur sababu nakumbuka 2021 alikua akiandika pia na sauti ilikua nzuri ,,,,lkn siku hiz sauti na video ady awe kanisani tu..lkn audio ipo nzito yatia uvivu
Nikikusikia. Napata nguvu zaid ya jana 🎉
Kaka yangu @Joel Nanauka namtukuza Mungu kwaajili yako hakika nazidi kuchipua kila siku❤❤
Napenda san kukufatilia najifunza ving kupitia wewe my life coach asante san🙏
Asante nimejifunza mengi kwako uwe unatusaidia kupitia Tv ukifanya hivyo utakomboa ulimwengu
AMEN SANA 🎉🎉
One love bur❤
Jamani kaka joel unaniponyaga kila siku MUNGU AKUBARIKI SANAA nakuahidi sitokubali ndoto yangu isitimie na siku natimiza ndoto yangu kaka joel nutakutafuta uwe mgeni rasmi hakika ndoto yangu lazima itimie
❤️❤️❤️
Hallelujah ❤
Kakah inakuaje kama ulianguka ukasimama Ila kutokana na matokeo njia yako imebadilika kabisa licha ya kwamba kuna malengo ulishayaandaa
Powerful and Transformative
Nime ele wakitu sasa ku husu ndoto 🎉🎉🇨🇩
Mungu akubariki sana bro🎉
mm nmezungukwa na wat wasiopenda maendeleo ya wenzao
Ahsante Sana Kaka Joel Kwa elim unay tufundisha see you at the top 🎉
Thanks san bro Kwa msaada huy unao tup ,mung akubarik.
Amina kaka joel nanauka
Asante San kaka angu
Elimu yako unayotoa ipo wazi kabisa Arthur, maneno ya Mungu yanasisitiza hivi;
Kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwako bali yatafakari maneno yake usiku na mchana upate kuangalia kutenda sawasawa na maneno yote yaliyo andikwa humo maana ndipo utakapoifanikisha njia yako kisha ndipo utakapo utakapositawi sana.
Ahsante Sana
🎉🎉🎉see you at the top@@++ BrO
See me at the top🎉
See You At The Top
Mungu akubariki sana kaka #JoelNanauk, Mungu aendelee kukutunza wewe ni hadhina kwa Watanzania.
Knoweledge connecter kwangu kakq
#Joelnanauka nimebarikiwa umenitia moyo sana Rafiki Mungu Nisaidie 🙏🙏🙏
Asantesana kaka Joel na Mungu akubarikisana . Ninauona mkono wa Mungu juu yakoo utakaonitoa sehemu moja kwenda sehemu nyingine
Hii yenyewe kabisah ✊💯🏆
Asante sana kwa mkate na chai ya asubuhi
Tuendelee kujifunza 🙏
Tunakufuatilia kaka yetu.
Asante sana Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu 🙏
🎉😊😊asante kwa motisha
Uzidi kubarikiwa broo
Asante sana ❤ mungu akubarik sana
Asante Kwa kutuelimishaa asubuh asubuhi
Thanks brother Joel
Asante Sana kaka maisha marefu
Asante 🙏.. nakufatilia joel...naku share
Nashukuru tuendelee kujifunza na kushare na wengine
Sasa nitajuaje kama ndoto yangu ni kitu flan