Namna gani unaweza kuongeza kasi ya kutimiza maono yako

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025
  • 🔥🔥🔥 Unataka KUJIFUNZA Zaidi? Nenda hapa: joelnanauka.se... 🔥🔥🔥

Комментарии • 316

  • @BillJUNICOinvestment
    @BillJUNICOinvestment 4 года назад +24

    Hii ni speech ya kimataifa kaka Joel Nanauka. Hii ni speech inayoamsha akili zote zilizolala. Hii ni speech ambayo ni ya kusikiliza kila siku ya maisha inaamsha hisia na shauku. Hakika umekuwa bora sana kati ya WATU ambao ni bora hapa nchini kuamsha watu na kuhamaska kuchukua hatua. Mungu akubariki sana sana. Ahsante. by JULIUS Michael

  • @salhaoman5002
    @salhaoman5002 4 года назад +48

    Niliwahi kufeli mitihani ya secondary, nikawa narudia kuna baadhi ya ndugu waliniita kilaza😭💔, at the end nimepamba na nitapambana mpk sehemu iliyopiyiliza, na mpk sasa waliojiona wanaakili na waliojiona wanafaa ndio hao hao wanaonitumia text na kuniambia, wananiamini zaidi, hakika Mungu km alikuchagua uwe mkuu utakuwa tuu no matter what 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Год назад +4

    nimeiskiliza kwa hisia sana hii

  • @HappinessAdolph
    @HappinessAdolph Месяц назад +1

    Nakataa kufeli, mimi n mshindi kuanzia sasa na kuendelea, Mungu nisaidie nitimize malengo yangu.

  • @marymgore6714
    @marymgore6714 4 года назад +2

    Aiseee, nimekupenda bure toka vilindi vya moyo wangu,I wish ungekuwa Kaka yangu,umenifurahisha,umenipa ujasiri,umeniondoa ujinga,zaidi umenipa tumaini jipya,nachoweza kusema Mungu azidi kukutunza

  • @PastorBenjamin-m4x
    @PastorBenjamin-m4x 25 дней назад

    Nashukuru kupita mafundisho Yako kuna mambo mengi sana na ya msingi umenijenga na naendelea kujengwa kupitia mafundisho yako Mungu 26:17 akubariki sana.

  • @anastaziagerad1646
    @anastaziagerad1646 4 года назад +3

    Wawoo nilikuwepo iyo siku ,,,sikuwahi kuenda kwenye mkesha na nisinsinzie lkn kwa mara ya kwanza hii siku nilikesha na nilikuelewa kaka angu,,ubarikiwe sana

  • @denissanga454
    @denissanga454 4 года назад +3

    ajionavo mtu nafsini mwake ndivo alivo,uwezi kushindwa kabla ujakubali kushindwa, nimeelewa vizuli shuklan kwa somo zuli Mr nanauka.

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 4 года назад

    Amina, kweli kuna nguvu kubwa ya kukiri kwa kinywa na matendo,by Mithali 18:20-22.

  • @masterkey536
    @masterkey536 2 года назад +1

    Sawaaaaaa pastor

  • @petermunuo1657
    @petermunuo1657 8 месяцев назад +1

    Ahsante sana brother Joel Nanauka mungu akubariki sana

  • @felsonsanga8502
    @felsonsanga8502 Год назад

    Mchungaji Mungu amekubadilisha kiasi kwamba namshangaa Mungu sana

  • @aminaothman2136
    @aminaothman2136 Год назад +1

    Shukran najikuta mie kabisa

  • @merryjohn9520
    @merryjohn9520 3 года назад +1

    Barikiwaa mnoo, hakika na imani Mimi ni mtu mkubwa sio mda mrefuu🔥🔥🔥kwa jina la YESU kristo 👏👏👏👏

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 4 года назад +2

    Kina kitu kimechoma moyoni kwa kusikiliza maneno yako bro nakupenda sana na unaniongezea ujasiri wa kusonga mbele

  • @ThomasMmary-r7w
    @ThomasMmary-r7w 4 месяца назад +1

    Barikiwa sana mtumishi wa MUNGU 🙏

  • @AishaOman-qz7tn
    @AishaOman-qz7tn Год назад

    Mungu akuweke miaka 1000 kaka hakika umekuwa baraka sana kila ninavyo kusikiliza kuna kitu nachukua barikiw sana 🙏🙏🙏

  • @BilalHassan-jj8yo
    @BilalHassan-jj8yo 9 месяцев назад

    Amiin ishalaa nakutakia mema molaa akuzidishie barika maisan mwako ishalaa

  • @DrEvarist
    @DrEvarist Год назад

    Asante San kwa elimu yako father 🙏

  • @deboramuhoja1777
    @deboramuhoja1777 Год назад +1

    Dah!!! Hii Speech imenijenga tena na kunitoa machozi!!! Brother Joel Nanauka ninakufuatilia sana miaka mingi now!!! Speech zako zimenibadilishia maisha!!😢💪💪💪 Nilipata nguvu ya kuacha ajira 2019!!! bila kujua nini nitakwenda kufanya, Bt nilijifunza kutoka kwako na niliiamini nafsi yangu kile iliniambia kufanya, Now nimefikia hatua nzuri tu kibiashara💪💪💪 Mungu akutunze sana, na kukubarikia Kila uchao🙏🙏🙏

  • @PastorBenjamin-m4x
    @PastorBenjamin-m4x 25 дней назад

    Nashukuru kupita mafundisho Yako kuna mambo mengi sana na ya msingi umenijenga na naendelea kujengwak kupita mafundisho yako Mungu akubariki sana.

  • @uwimananadia6066
    @uwimananadia6066 4 года назад +2

    Ahsante Mungu kwa ujumbe mzuri kupitia mtumishi wako nahisi iyi video ni jibu tosha ya yalio ni sibu mda huu hakika Mungu husema nasi kwa njia nyingi hata huyu, ujumbe ni moja wapo barikia sana kaka Joel.

  • @WilliamJulius-p1q
    @WilliamJulius-p1q Год назад

    Nimefulahi sana kwa maneno hayo na yameniingia kisawasawa lazima nibadilike sana kimaisha na namini sana ❤

  • @mathiasjohn9979
    @mathiasjohn9979 2 года назад

    Kweli wewe ni kifaa cha Mungu,, najivunia Sana

  • @highzacknnko4002
    @highzacknnko4002 4 года назад +7

    "Unainua imani yangu kila wakati brooh!!!! Come on brooh Joel!!! Lini utakuja arusha kwa ajili ya kongamano!!!!tunakungoja pia huku

  • @deogratiasmakali5099
    @deogratiasmakali5099 2 года назад

    Mafindisho Yako yanamibariki sana uwepo wako kwangu ni wamhim sana ahsante

  • @shabahamhango3485
    @shabahamhango3485 2 года назад +1

    Hii ni nzuri zaidi

  • @DiazPilipili
    @DiazPilipili 10 месяцев назад

    Mungu awabariki saaana na kukuzidishiya siku za kwishi

  • @abdulrahmanis-hakka3347
    @abdulrahmanis-hakka3347 3 года назад +1

    Kaka Mungu amekufungulia kutuonesha njia tulio wengi sana. Kilichobàki ni kujisalimisha tu.

  • @johansenjackson960
    @johansenjackson960 4 года назад +1

    Amen ubalikiwe sana

  • @lauradeogratias3055
    @lauradeogratias3055 Год назад +1

    I am glad for you man of God

  • @floraritha1454
    @floraritha1454 4 года назад +4

    Asante sana kaka Joel akika naona kuvuka kwa viwango vya juu sana kupitia mafundisho haya.

  • @winifridaleo4443
    @winifridaleo4443 4 года назад +1

    Mungu azidi kukuinua zaidi kaka nimebarikiwa sana

  • @bonifacebeatrice8077
    @bonifacebeatrice8077 4 года назад

    Mungu akuongezee maarifa, nitabadilisha mawazo mabaya, nakataaa kufeli

  • @davidkengambi491
    @davidkengambi491 4 года назад +2

    Hii ni video ambayo imenijengea Kitu Kikubwa sana...na ninapenda Sana Kuisikiliza , Napenda Imani za hivi

  • @michaeltimoth366
    @michaeltimoth366 3 года назад

    Word....nabadilisha nnavyojiona

  • @nurdininanjota4056
    @nurdininanjota4056 Год назад +1

    Nakupenda sana brother your the best 🇹🇿🙏.

  • @emmatz360
    @emmatz360 2 месяца назад

    Aminaaaa! Kumb 28:13

  • @PastorBenjamin-m4x
    @PastorBenjamin-m4x 25 дней назад

    Mungu akubariki sana kwa ufunuo unao ufunua ni mkubwa sana kupita maelezo

  • @polomondeniss5511
    @polomondeniss5511 4 года назад +2

    Ahsante Sana kwa elimu yako kiongozi, bwana akupe nguvu

  • @myahudichrisostom
    @myahudichrisostom Год назад +2

    Najikuta sasa nataka kusikiliza kila unachozungumzia🙏🙏🙏,
    You are inspiring me into this field, hope you'll see me at the top where you are 💪

  • @MtazameKristoTv
    @MtazameKristoTv 9 месяцев назад

    Nakataa kuwa mtu wa chini ❤

  • @luluproches5107
    @luluproches5107 3 года назад

    Mungu kakupa kipawa Cha pekee Kaka umenitoa chin sana katika mafundisho yako mpaka hapa nilipo ni kwa kufwatilia RUclips tu Kaka naomba uandae semina ya kuja Arusha ili nasi tupate kubarikiwa zid🙏🙏🙏🙏

  • @SifaHaruna-o6p
    @SifaHaruna-o6p 3 месяца назад

    Barikiwa sana kaka joel kuanzio leo mm ni wa thamani na nitatimiza malengo yangu

  • @mshauriwako230
    @mshauriwako230 2 года назад

    Ahsante sana kwa fundisho hili.
    Limenitia nguvu sana na nitajibadilisha ninavyojiona.
    Akili yangu na maisha yangu vitakuwa na nilivyondani yangu.

  • @johariphilemon8630
    @johariphilemon8630 4 года назад

    j mungu akuinue zaidi namimi niko nyuma yako

  • @neemakweli461
    @neemakweli461 3 года назад

    Asante sana ,ubarikiwe mtumishi wa MUNGU.

  • @amakamraqterry5920
    @amakamraqterry5920 2 года назад

    Amen mtumishi thanks

  • @official_rayob.8351
    @official_rayob.8351 Год назад +1

    upo makin sana kaka🎉

  • @joelparmwat6029
    @joelparmwat6029 Год назад

    Amen god bless you 🙏🙏

  • @winfridaadam7951
    @winfridaadam7951 2 года назад

    Ameeeen barikiwaa sanaa Mtumishi wa Mungu 🙏🙏

  • @lucyjuma8478
    @lucyjuma8478 3 года назад

    Ninasababu Ya Kusema Ahsanteeee Sana Broo Ubarikiwe Sanaaaa. Mwenyezi Mungu Akuinue

  • @tinawangwe2332
    @tinawangwe2332 4 года назад +1

    Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu

  • @gastomasawe9176
    @gastomasawe9176 3 года назад

    Jamaa upo vizuri Sana aisee Kwa mafunzo

  • @dainesimkombo9218
    @dainesimkombo9218 4 года назад +1

    Nakupenda sana maneno yako Kaka mungu ataniongoza siku zote za maisha yangu

  • @ShufaaGumbo
    @ShufaaGumbo 5 дней назад

    Kaka Joel video zako zinanujenga sana mungu akubarik sana

  • @festoelias7884
    @festoelias7884 3 года назад

    Asante sana ubarikiwe na Mungu

  • @elijahanthony7667
    @elijahanthony7667 3 года назад

    Wow the God of mercy is working

  • @imanndambo2918
    @imanndambo2918 4 года назад +1

    Unanibariki sana kaka Joel.Mungu aendelee Kuku bariki

  • @thelesiapaulo7790
    @thelesiapaulo7790 4 года назад +1

    Bwana akuongezee maarifa zaidii,Asnte sana wanoa vichwa vya wengi broo

  • @pialafrance7922
    @pialafrance7922 Год назад

    😢😢😢😢Barikiwa sana mpendwa hakika nmejifunza mno😢

  • @barakaephraim1104
    @barakaephraim1104 2 года назад

    Ubarikiwe sana Joel ww n Lulu ya Tanzania najifunza mengi juu yako

  • @ireneinnocent4128
    @ireneinnocent4128 Год назад

    Hakika mimi ninmshindi na malengo yangu yatatimia. Asante sana na Mungu anisaidie. Hakika dunia ni watu na ukiwaangalia watu watakichanganya. Nabadilisha fikra sasa nasonga mbele

    • @fathiyahmuzney7367
      @fathiyahmuzney7367 Год назад

      Na ww umefatilia hiki kipind leo km mm hakika tutafanikiwa

  • @barikikimaro9165
    @barikikimaro9165 4 года назад +1

    Kaka joel kwakweli MUNGU akubariki sana kwa mafundisho mazuri unayotupa

  • @sadickchatila2130
    @sadickchatila2130 3 года назад

    Amina mtumishi neno LA Leo linaenda kubadilisha maisha yangu ubarikiwe sana

  • @abdullahbarwani8306
    @abdullahbarwani8306 4 года назад +1

    Kazi nzuri sana kaka asante

  • @SijaliChisunga-b3k
    @SijaliChisunga-b3k 5 месяцев назад

    Nashukulu sanaa mungu aniwezeshe lakini mungu akupe maisha marefu

  • @hawamusumba431
    @hawamusumba431 3 года назад

    Am the Head nt atail in Jesus name na jitangazia ngambo ya pili

  • @shukranjulius5910
    @shukranjulius5910 3 года назад

    Ameen nabarikiwa zaidi kaka

  • @work24onme
    @work24onme Год назад

    Holy Spirit Amen 🙏🏼
    Asante sana mwalimu Joel, God Bless YOU, Amen 🙏🏼

  • @dazboy-sl7cm
    @dazboy-sl7cm 7 месяцев назад

    Nataka kuwa mtu mkubwa katika hii dunia hii nanauka mungu akubariki sana

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 4 года назад

    Mafundisho yako yananisaidia sana Asante.

  • @paschalinasulle6233
    @paschalinasulle6233 3 года назад

    Hakika kaka mungu akuinue zaidi ya unavyofikiri hapa nilipo speech yako inaniliza nalia kwa sababu nimependa mnoo hivyo tutaonana juu form to day am the best in this world

  • @deboraclass9282
    @deboraclass9282 Год назад

    Shukrani sana kaka Joel Nanauka! Umeniinua hatua nyingine.

  • @heavenlight5084
    @heavenlight5084 2 года назад +1

    Dah! Nimekusikiliza nikajiona mimi ni shujaa sana,n frm today am a billionaire girl

  • @lilymatoli7117
    @lilymatoli7117 4 года назад +6

    Joel your among best motive speakers I have seen

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 4 года назад

    Nakuelewa sana kaka Joel... kwa kweli leo nimepata amani hata nafsi yangu imeinuka na nimejiona mimi na ninajiweka ndani yako kaka Joel na kwa uweza wake Mungu nami nitakuwa.

  • @GodfreyManawa
    @GodfreyManawa Год назад

    Ubarikiwe sana mwl

  • @fettymdoe2100
    @fettymdoe2100 4 года назад +4

    hpna hii inataka kuntoa machozi kabisa daaaahhhh mwenyeazi MUNGU akuweke Mr joel

  • @rozimwasi6137
    @rozimwasi6137 3 года назад

    Asante sana kaka joeli na mungu azidi kukubarik na ulioyasema yaendelee kukaa ndani ya moyo ili niendele kuwa na miutisha katika kutimiza ndoto zangu

  • @zabibusephania2415
    @zabibusephania2415 3 года назад

    Asant sana Kaka mungu akubariki umenivusha Mahalia.

  • @andrewkszinza7047
    @andrewkszinza7047 3 года назад

    Wow am changing my mind to more postive....groly be to GOD

  • @dorahmatitu2554
    @dorahmatitu2554 Год назад

    Shukran kaka. Mm umeniinua kimawazo maàna nais mawazo!!!!

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 Месяц назад

    Amen, Ahsante Sana

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 Год назад

    Nitafaulu,sitaaibika,mi ni mshindi na mwenye nguvu

  • @benihibera128
    @benihibera128 3 года назад

    Unanibariki mwanangu nakosa changusema

  • @anishiemgala8203
    @anishiemgala8203 3 года назад

    Ubarikiwe Sana,Nimejifunza kitu🙏

  • @richardmisogalya9499
    @richardmisogalya9499 3 года назад

    Barikiwa uwe na maisha marefu

  • @BerthaMichael-v4g
    @BerthaMichael-v4g 3 месяца назад

    Aminaaaaaa baba❤❤❤

  • @FredrickSeshahu
    @FredrickSeshahu 6 месяцев назад

    I love this person because he is only my rolemodel to my life. Godbless him

  • @RoseMandai
    @RoseMandai 10 месяцев назад

    Mungu aliyeumba mbingu na nchi aendelee kukutunza

  • @AnethSeverino
    @AnethSeverino Год назад

    Mungu akubariki Sana kaka

  • @hellyfridy
    @hellyfridy Год назад

    Be blessed. Amen🙏🙏

  • @priscahema3803
    @priscahema3803 3 года назад

    Kaka asanteeee ubarkiwee

  • @chotark1881
    @chotark1881 Год назад

    huyu jamaa alistahili kuwa mchungaji mwema kabisa , hongera kaka nakukubali sana

  • @rizikisengo9297
    @rizikisengo9297 3 года назад

    Asante sana kaka mungu akubariki kwa elimu hii.

  • @azizabaraka4976
    @azizabaraka4976 4 года назад

    Nnanauka mungu akujalie malsha marefu

  • @eliezermtokoma4134
    @eliezermtokoma4134 4 года назад +2

    MUNGU akutunze saana

  • @FelicianJacob
    @FelicianJacob 5 месяцев назад

    Ahsante mwalimu

  • @jkyamba3200
    @jkyamba3200 4 года назад

    Nimebarikiwa na hili neno kwa kweli.. ubarikiwe na MUNGU