Комментарии •

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v Месяц назад +9

    Proud to be muslim

  • @KASIMUHARUNABAKARI
    @KASIMUHARUNABAKARI Месяц назад +8

    MashaAllah, hakika ujembe una manufaa sana katika maendeleo ya Sayansi. Allah awajaalie afya na kutoa elimu kama hizi ili kudhihirisha ukweli wa Qur'an na Uislam kwa wale wanaopinga.

  • @KhabibtyUmmiKhabibtyUmmi
    @KhabibtyUmmiKhabibtyUmmi Месяц назад +9

    Mashaa Allah kua muislam ni bahati wallahi....

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Месяц назад +5

    I appreciate to be Muslim,,,,,, Al-hamdulillah 🤲 Allah accept our good deeds ❤❤ thank you my teacher,,,,,l follow you your lecture,,,,,Masha Allah

  • @Fatmasaid-jm4vl
    @Fatmasaid-jm4vl Месяц назад +6

    Dr kitoto my lecturer for science Allah akubarq

  • @user-sc4ql5kf9v
    @user-sc4ql5kf9v Месяц назад +6

    Waislam ss vichwa vikubwa alhmdllh

  • @SaidHassan-ot3un
    @SaidHassan-ot3un Месяц назад +3

    Mungu-atupe-mwisho-mwema

  • @nassoroyahaya821
    @nassoroyahaya821 Месяц назад +3

    Jazzqkallah khair hii ndiyo Elimu sahihi ya kuuonyesha ukuu wa Uislamu toka Lwa Allah Azza wajjslla

  • @user-td4kg7sw7l
    @user-td4kg7sw7l Месяц назад +1

    Namshukuru mungu ktk uislam wetuu hakika tunafurahiya sana na rehema na amani imshukie mtume wetu muhamadii swalalah alye salam

  • @salumhaji3207
    @salumhaji3207 Месяц назад +2

    Asalamu Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh shukran Mwanasayansi IBRAHIM KITOTA niwiye radhi ikiwa nimekosea kuandika jina lako kwa usahihi, tuletee na mada za sayansi ndani ya Qur'an ulizowahi kuzielezea ktk vipindi vya tv iman, pia naomba utaratibu wa kupata vitabu ulivyo vitunga, BARAKALLAHU FIIKUM.

  • @user-cz5zy1ck2k
    @user-cz5zy1ck2k Месяц назад +2

    Maa shaa llah
    Allah sw.azidi kukupa akili yenye Afya baba ubainishie ummah wetu huu.
    Miujiza tele.iliyoko ktk kitabu na sunnah.
    baaraka llahu laka yaa Akhii

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l Месяц назад +1

    mashallah ahsante sana shekh kwa uchambuzi mzuri kabisa Allah akuzidishie kila la kheri

  • @AishaMakanyambale
    @AishaMakanyambale Месяц назад +3

    Mwenyezmung azid kukuongezeaa ufahamu kaka mchambuzi

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Месяц назад

    MashaAllah, Allah akulipe kheri

  • @agentmsami5303
    @agentmsami5303 Месяц назад +4

    We will shows you our signs in the surface of the earth and in themselves untill its clear manifest to you that Qur'an is true..Quran

  • @sadasaid7212
    @sadasaid7212 Месяц назад +2

    Maa shaa Allahu, darsa lake liendelee in shaa Allahu

  • @mashakabundala9955
    @mashakabundala9955 Месяц назад +2

    Alhamdulilah aaalaa neeamatul islaam

  • @hosseinmaina2444
    @hosseinmaina2444 Месяц назад

    MashaAllah3

  • @khamismaulid8347
    @khamismaulid8347 21 день назад

    Asante sana kwa elimu sheikh

  • @AndulHida-hs5py
    @AndulHida-hs5py Месяц назад

    Mash Allah tabarak Allahu ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri mola akulipe Kwa kutuelimisha tunafaidika mno ostadh

  • @arafasalum3169
    @arafasalum3169 Месяц назад +3

    MaashaAllah!Hiyo Ndiyo Raha ya kubobea katika Quran na Elimu ya Sayansi.

    • @allybobsaith
      @allybobsaith Месяц назад

      kabisa ndugu yangu, kuvijua vyote viwili huyu jamaa natamani nimwone na kumsalamia ameen

    • @afrahamohamedi6301
      @afrahamohamedi6301 Месяц назад

      ​@@allybobsaith unfortunately,mtu anafahamu sayansi lakini bado anaamini kuna mwanaadamu yupo mbinguni!!mtu huyu ana elimu ya sayansi au amekariri sayansi ?

  • @hassanbilali5576
    @hassanbilali5576 Месяц назад +1

    Allahu akbar

  • @AhmedOmar-nj9rt
    @AhmedOmar-nj9rt Месяц назад

    Allhamdullih

  • @arafasalum3169
    @arafasalum3169 Месяц назад +1

    Jazaakallahu khayran.

  • @mussakatawila9408
    @mussakatawila9408 Месяц назад +1

    Jazaakallah Khairan!

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Месяц назад +1

    Allahu-akbar

  • @fatumahamadi1379
    @fatumahamadi1379 Месяц назад

    Mashaallah shukran kw Darasa ALLAH akuzidishie zaid

  • @user-gz6zs4do3i
    @user-gz6zs4do3i Месяц назад +2

    Maasha Allah shukran Jazakallahu best

  • @NasraMussa-wb3bw
    @NasraMussa-wb3bw Месяц назад

    M /mungu atujaalie mwisho mwema tukiwa ndani ya uislam

  • @kadirkadirsage6991
    @kadirkadirsage6991 Месяц назад

    ❤❤ mashaAllah

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Месяц назад

    Hawa ndo masheikh nnaowapenda

  • @ramamabinda5063
    @ramamabinda5063 Месяц назад

    Mashaallah

  • @user-fy6ck9di1f
    @user-fy6ck9di1f Месяц назад

    Ahsate Sana Kwa ujumbe mzuri,ila wengi wanaamini dhambi kugundua yaliyofichikaana.

  • @KhamisHaji-pw4jo
    @KhamisHaji-pw4jo Месяц назад

    Sub-hanallah

  • @husseinmgoo3074
    @husseinmgoo3074 Месяц назад

    Ok

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Месяц назад

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @jumakombe7679
    @jumakombe7679 Месяц назад +1

    Muujiza wa quran kama jua litachomoza mashaliki kuzama maghalibi basi hakika itakua ndio maana ya kuludi livas kwenye muhimili wake hivyo hawana budi kuifata quran hakika😊

  • @vivamadiba2869
    @vivamadiba2869 Месяц назад

    Samahani sheikh nataka kujua ikiwa kila nikiangalia saa au muda naona namba zinajirudia kwa mfano 22:22 naomba nisidie ina maana gan

  • @user-ur8ir5qz5z
    @user-ur8ir5qz5z Месяц назад +2

    Sio hivyo ndugu yangu! kubainisha mfano: Qurani Surat Ar-rahman aya 33: Enyi makundi ya Majini na watu km mnaweza kuzipita mbingu na kuzifikia hizo ardhi basi piteni! hamtapeta ila kwa kupewa madaraka. Na hayo majini ndio wanaofundisha watu kutengeneza rocket,wako marekani na ulaya na urusi na china n.k. Na huku Africa majini wamewaletea tunguli,vinyamkela na wa ganga wa kitabu. Naictoshe bara la Asia majini wamewapa mungu ngombe,tembo,panya,n.k😂😂😂😂😂

    • @alzawahirabdallah2299
      @alzawahirabdallah2299 Месяц назад

      Hili litakuwa kafiri nishalijua

    • @rayisadesigns2646
      @rayisadesigns2646 Месяц назад

      KAFIRI @USER ACHA POROJO, KAMA WEWE KIDUME KWELI LETE AYA MOJA NDANI YA BIBILIA YAKO INAYOZUNGUMZA KWA UHALISIA ELIMU YOYOTE YA SAYANSI KAMA INAVYOJIPAMBANUA QUR'AN.

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 Месяц назад

    🤔

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary7698 Месяц назад

    Mpuuzi wewe