❤nimefurahi kuku tana na huyu father Eric mazingila niliyo pitia yamefanana na yangu wakati utoto wangu nimejua habari ya Eric kwenye kitabu cha umasikini hadi MAFANIKIO kazi nzuri sana uandishi wa TOFAUTI
Asante kwa kipindi. Nimesoma vitabu vyako, the president love my wife. Wife alikuwa Ana kifafa. Na nilivutiwa na kitabu nikampa aliyekuwa na kifafa, anakula dawa hadi leo ni mhasibu Ana watoto 3 lkn mmoja wao Ana kifafa ilishangaza Familia hadi Muda huu. Nisaidie Mh shigongo. Barikiwa.
Nilikuwa mlaji wa pemba ( udongi) nikawa nakula adi najichukia nimeamua kwa sku moja nikajizuia nikafunga adi sas yapata miez miwil hata nikijarb kula naisi kutapika nashukuru imenisaidia japo ni ngumu ila maamzi tu
Kipindi kizuri, kwakweli hata mimi nimejifunza kitu hasa hapo katika matumizi ktk vitu muhimu tu,asante sana Eric shigongo we l❤ you.
Shigongo nakukubali sana kaka asante sana kaka na ubarikiwe sana kaka
Nakufatilia sana kiongozi wangu Eric Shigongo.
Allah Akulipe mie niko oman
❤nimefurahi kuku tana na huyu father Eric mazingila niliyo pitia yamefanana na yangu wakati utoto wangu nimejua habari ya Eric kwenye kitabu cha umasikini hadi MAFANIKIO kazi nzuri sana uandishi wa TOFAUTI
Nafurhia nikiwa Oman barokiwa Sana kaka
God bless you Sir Eric
Nakuombea uzima Kaka,tuendelee kupata madini
Nimekaa kuisklza Tena hii big up Mr shigongo
Nakusifu sana kwa contribution yako katika business society. Keep it up.
Asante kwa kipindi. Nimesoma vitabu vyako, the president love my wife. Wife alikuwa Ana kifafa. Na nilivutiwa na kitabu nikampa aliyekuwa na kifafa, anakula dawa hadi leo ni mhasibu Ana watoto 3 lkn mmoja wao Ana kifafa ilishangaza Familia hadi Muda huu. Nisaidie Mh shigongo. Barikiwa.
Kwa habari ya kutibu kifafa naomba unitafute tuna tiba mbadala ya kitechnolojia ya kisasa.
Nimempenda sana Kwa madundisho yake dah amazing sana
Amina, naanza sasa kuchukua hatua.
Ahsante sana Mr.shigongo from grobal Tv
Nakukubali sana kaka shigongo
pamija san bwana shigongo nakukubali kiongozi
Somo zuri sana asante
Napenda sana mafundizo yako
Nzuri sana ubarikiwe sana
Asante kwa Elimu nzuri
Nakubali
Inshallah
Ubarikiwe sana kaka Shigongo
These are the BASICS of business
Hongera kaka
Perfect said
Kweli natamani sana nipunguze asira ila inanimate shida kuacha
Nakukubali brother
Napenda mafundisho yako
helo..this is erick patience...... napenda masomo ya erick shigongo....its my wishes to meet you Sir
Nimekuelewa xana
Hayo anayo sema niyakwrli
Kuhusu tabia niliipenda tabia YANGU yakupenda kusoma wakati nipo na umri wa miaka 8 MALIFA na ujuzi niliwasumbua walezi na baba yangu
Kuanzia leo nitajitahidi nisikose kipindi chako
Kwel Kaka Erick n ukwel mtupu na ambaye anakufuatilia akiamua anabadilika ukwel na kupata mafanikio
Tupo pamoja kaka
Vitabu urinyo vionesha vya Eric shigongo nime vipenda TAYARI nasoma VIZURI sana
Nimekupata
Nilikuwa mlaji wa pemba ( udongi) nikawa nakula adi najichukia nimeamua kwa sku moja nikajizuia nikafunga adi sas yapata miez miwil hata nikijarb kula naisi kutapika nashukuru imenisaidia japo ni ngumu ila maamzi tu
Hichi kipindi kipo kila au vp
Napenda mafundisho yako
Napenda mafundisho yako