⚫️

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 44

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 4 года назад +5

    Kipindi kizuri, kwakweli hata mimi nimejifunza kitu hasa hapo katika matumizi ktk vitu muhimu tu,asante sana Eric shigongo we l❤ you.

  • @husnahassan6289
    @husnahassan6289 4 года назад +4

    Shigongo nakukubali sana kaka asante sana kaka na ubarikiwe sana kaka

  • @katondaonlinetv9900
    @katondaonlinetv9900 Год назад +1

    Nakufatilia sana kiongozi wangu Eric Shigongo.

  • @BizimanaBaruwani-o3l
    @BizimanaBaruwani-o3l 3 месяца назад +2

    Allah Akulipe mie niko oman

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 3 месяца назад +2

    ❤nimefurahi kuku tana na huyu father Eric mazingila niliyo pitia yamefanana na yangu wakati utoto wangu nimejua habari ya Eric kwenye kitabu cha umasikini hadi MAFANIKIO kazi nzuri sana uandishi wa TOFAUTI

  • @JoyceRamadhan-cl2us
    @JoyceRamadhan-cl2us 2 месяца назад +1

    Nafurhia nikiwa Oman barokiwa Sana kaka

  • @EliasGwaya
    @EliasGwaya 24 дня назад

    God bless you Sir Eric

  • @mkamikimelo9268
    @mkamikimelo9268 4 года назад +1

    Nakuombea uzima Kaka,tuendelee kupata madini

  • @KIDUCHUCASHPOINT
    @KIDUCHUCASHPOINT 2 месяца назад

    Nimekaa kuisklza Tena hii big up Mr shigongo

  • @joyceKingu
    @joyceKingu 2 месяца назад

    Nakusifu sana kwa contribution yako katika business society. Keep it up.

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 3 месяца назад +1

    Asante kwa kipindi. Nimesoma vitabu vyako, the president love my wife. Wife alikuwa Ana kifafa. Na nilivutiwa na kitabu nikampa aliyekuwa na kifafa, anakula dawa hadi leo ni mhasibu Ana watoto 3 lkn mmoja wao Ana kifafa ilishangaza Familia hadi Muda huu. Nisaidie Mh shigongo. Barikiwa.

    • @joyceKingu
      @joyceKingu 2 месяца назад

      Kwa habari ya kutibu kifafa naomba unitafute tuna tiba mbadala ya kitechnolojia ya kisasa.

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 3 месяца назад

    Nimempenda sana Kwa madundisho yake dah amazing sana

  • @richardsaston3285
    @richardsaston3285 3 месяца назад

    Amina, naanza sasa kuchukua hatua.

  • @stephencharles-z1y
    @stephencharles-z1y Год назад

    Ahsante sana Mr.shigongo from grobal Tv

  • @mcchillo3145
    @mcchillo3145 4 года назад

    Nakukubali sana kaka shigongo

  • @samwelaloyce54
    @samwelaloyce54 4 года назад

    pamija san bwana shigongo nakukubali kiongozi

  • @calorinemwoga2638
    @calorinemwoga2638 2 месяца назад

    Somo zuri sana asante

  • @NancyKerubo-hp4iw
    @NancyKerubo-hp4iw 2 месяца назад

    Napenda sana mafundizo yako

  • @NeemaNjile9
    @NeemaNjile9 3 месяца назад

    Nzuri sana ubarikiwe sana

  • @GeofreyWagofya
    @GeofreyWagofya Год назад

    Asante kwa Elimu nzuri

  • @Manteo-d6b
    @Manteo-d6b Месяц назад

    Nakubali

  • @IbraClassic-kb9se
    @IbraClassic-kb9se Месяц назад

    Inshallah

  • @EricUbalijoro-x1l
    @EricUbalijoro-x1l 3 месяца назад

    Ubarikiwe sana kaka Shigongo

  • @joyceKingu
    @joyceKingu 2 месяца назад

    These are the BASICS of business

  • @habeshaqameyu8555
    @habeshaqameyu8555 4 года назад +1

    Hongera kaka

  • @davidkisale5215
    @davidkisale5215 3 месяца назад

    Perfect said

  • @goodluckrichard6476
    @goodluckrichard6476 2 года назад +1

    Kweli natamani sana nipunguze asira ila inanimate shida kuacha

  • @mbayanilajingare
    @mbayanilajingare 3 месяца назад

    Nakukubali brother

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman 3 месяца назад

    Napenda mafundisho yako

  • @erickpasence5837
    @erickpasence5837 3 года назад +1

    helo..this is erick patience...... napenda masomo ya erick shigongo....its my wishes to meet you Sir

  • @habeshaqameyu8555
    @habeshaqameyu8555 4 года назад +1

    Nimekuelewa xana

  • @jumukamonko
    @jumukamonko 2 месяца назад

    Hayo anayo sema niyakwrli

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 3 месяца назад +2

    Kuhusu tabia niliipenda tabia YANGU yakupenda kusoma wakati nipo na umri wa miaka 8 MALIFA na ujuzi niliwasumbua walezi na baba yangu

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 4 года назад +1

    Kuanzia leo nitajitahidi nisikose kipindi chako

  • @filberthendry8519
    @filberthendry8519 4 года назад +3

    Kwel Kaka Erick n ukwel mtupu na ambaye anakufuatilia akiamua anabadilika ukwel na kupata mafanikio

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 3 месяца назад

    Vitabu urinyo vionesha vya Eric shigongo nime vipenda TAYARI nasoma VIZURI sana

  • @MathewDaud-r2i
    @MathewDaud-r2i Год назад

    Nimekupata

  • @PetyJonas
    @PetyJonas 3 месяца назад

    Nilikuwa mlaji wa pemba ( udongi) nikawa nakula adi najichukia nimeamua kwa sku moja nikajizuia nikafunga adi sas yapata miez miwil hata nikijarb kula naisi kutapika nashukuru imenisaidia japo ni ngumu ila maamzi tu

  • @fatmas7338
    @fatmas7338 4 года назад

    Hichi kipindi kipo kila au vp

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman 3 месяца назад

    Napenda mafundisho yako

  • @Vitusseleman
    @Vitusseleman 3 месяца назад

    Napenda mafundisho yako