Ushuhuda wa aliyekua muislamu.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Ameokoka na sasa anamuhubiri Yesu Kristo kila sehemu.

Комментарии • 3 тыс.

  • @JesusOwn1
    @JesusOwn1 4 года назад +31

    Jesus is the Way, the Truth and the Life. Mtafuteni Mungu. God bless u brother for the testimony.

  • @daisylangat820
    @daisylangat820 2 года назад +10

    Amen,damu ya Yesu Ina nguvu na uzima,Yesu azidi kukulinda na kukupaka mafuta zaidi,nguvu za Roho mtakatifu zikujaze upya katika kina kuu la Yesu Kristo,Asante Yesu Kwa kumwokoa huyu kaka

  • @kingdonald3312
    @kingdonald3312 2 года назад +16

    God BLESS you Brother of mine🙏
    Welcome to JESUS.
    KWA YESU KUNA RAHA-AMANI- NA UTULIVU.
    I NEVER REGRET BEING A CHRISTIAN 👌❤❤

  • @rehemajoseph1264
    @rehemajoseph1264 3 года назад +14

    Amen yesu alifufuka hayumo kaburini tena *we ngine walikufa bado wako kaburini yesu yuaja tena kunyakua walio wake *asiye mpokea yesu okoka usiachwe na yesu 🙏🙏

  • @Godisgreat20243
    @Godisgreat20243 2 года назад +8

    Amen.Barikiwa sana ndugu,asanta kwa ushuhuda.Bwana Yesu akulinde daima,ushuhuda huu ubadili wengi.

  • @prettylove5295
    @prettylove5295 4 года назад +30

    Kila siku huwa namshukuru mungu kuzaliwa mkirsto nampenda sana YESU mwana wa mungu

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Год назад +6

    Waaaa ,majabu haya ,,kweli Jehovah anaweza ,and sisi WA kristo we save a living God 🔥🔥🔥🔥🙏

  • @anisiamwaniki4153
    @anisiamwaniki4153 4 года назад +8

    Praise the Lord, Mungu wetu ni mwaminifu sana. Asante Yesu kwa wokovu mkuu namna hii.

  • @paulomaona7627
    @paulomaona7627 4 года назад +5

    Yan kaka sula yako tu inaonesha wew ni mteule fanya kaz ya mungu ubalikiwe kaka

  • @thadeusmathiews2564
    @thadeusmathiews2564 4 года назад +37

    Amen JAMANI NIME JENGEKA KWA YESU KUNA AMANI
    I'm team JESUS
    ONE Mission
    One Church Glory to JESUS

    • @mshanaakbar3687
      @mshanaakbar3687 4 года назад +3

      Alikuwa mshirikina leo amekuwa kafiri aishie huko huko

    • @wazirikhamisi4828
      @wazirikhamisi4828 4 года назад

      @@mshanaakbar3687 MPK MAKAFIRI PIA WASHIRIKINA KAKA WANAMUITA YESU MUNGU WENGINE MWANA WA MUNGU NK WENGINE KTK IBADA ZAO AZIFANYIKI MPK MBELE WAEKE SANAMU YA MARIAM AU YA YESU

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Wapi imani kwa Yesu acheni usharati nyie.
      Kujidai kumpenda Yesu na kumsifu saana, na hakuna hata kimoja alichokifanya Yesu wakiristo wanalifata.
      Yesu hakuwa mkiristo wala hajafunza ukiristo wala haujui ukiristo.
      Mnafikiria Yesu anapokea Rushwa ya maneno?.
      Bila kufata sheria za Mungu, hakuna uokovu. Ni kujidanganya nafsi.
      Bibilia yako inasema wanaoabudu masanamu (kama Sanam la Yesu na Maria) na walevi, wazinzi, hawaingii ufalme wa Mungu (peponi).
      Soma:
      [ 1Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
      10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
      Kama kuabudu sanamu na kunywa ulevi unakwenda motoni, vipi utadai wewe uko katika njia ya kweli?.
      ONDOKA HUKO KUNAHATARI UKIFA UTAJUTIA MAISHA YAKO UMEYATUMIA BILA FAIDA.
      Kanisa ni kwenye kiti cha Enzi cha Shetani.
      Soma bibilia yako.
      [Ufunuo wa Yohana 2:12-13] " Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili (msalaba).
      13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo akaapo Shetani.
      Mapepo wachafu (mashetani) ndio walioleta itikadi ya kumwita Yesu ni mtoto wa Mungu.
      Soma Bibilia :
      [Marko 3:11] " Na pepo wachafu (mashetani) , kila walipomwona (Yesu), walianguka mbele yake, wakalia wakisema, Wewe ndiwe Mwana wa Mungu.
      Sasa wewe vipi utamfuata Shetani na Shetani ni Muongo mkubwa?.

    • @totodavis1949
      @totodavis1949 3 года назад

      Hakika bro amani tele milele

    • @totodavis1949
      @totodavis1949 3 года назад +2

      @@wazirikhamisi4828 wewe haujui yesu ni roho Wa mungu mungu ni moja yesu ni njia kila maali uwendako lazima ufate njia hivo yesu ni njia na sio mwanadamu karibu uwokoke

  • @SunguraShabani
    @SunguraShabani 11 месяцев назад +3

    Kumufuata Yesu Kristo kuna faida kubwa mno
    ISAYA 54
    17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asema Bwana
    Amen !!!

  • @Swians
    @Swians 4 года назад +10

    Kiswahili kizuri bwana! Watched from Kenya.

    • @alibell5246
      @alibell5246 4 года назад +1

      Maaskof wenyewe wanaamini mungu ni moja na uislam ndy njia pekee atakayokubaliwa na mungu na tayar washaclim sasa ww uciejielewa cjui uko wap

    • @vickybest6296
      @vickybest6296 3 года назад +2

      Yesu ndiye njia

    • @Shaha-d1i
      @Shaha-d1i 2 месяца назад

      ​@@alibell5246 kila mtu anashtuka kuhusu ukristo yeye anakuwa mjinga maana anachokizungumzia hajipo kwenye uislam.

  • @officialjaxwizard2877
    @officialjaxwizard2877 4 года назад +16

    From Mozambique ubalikie kwa jina la Yesu..! Amen

    • @rachelevarist70
      @rachelevarist70 4 года назад +1

      ivi nyinyi wakristo imani mnatoa wapi? minashindwa kuelewa ivi dalili mnaitoa wapi? ujasiri huo mnautoa wapi yakusema yesu yesu mnatoa wapi

    • @kuruthumuissa5539
      @kuruthumuissa5539 4 года назад +1

      Upumbavu tuuumewajaa mfyuuu

    • @kakumakenya6784
      @kakumakenya6784 4 года назад

      Glory be to God.Amen

  • @pknife88
    @pknife88 Год назад +4

    Inna lilahi waina ilaahi rajioun ww mtu hujui ata unachokisema yaani ww ni kama umepitia hayo mambo hivi hujaona dini ya kuipiga vita isipokua Uislaam? lakini si shangai haya yote yalishaandikwa ndani ya Quran tukufu kuwa watu watakuja na mikakati tofauti ya kuipoteza dini ya kiislam lkn watashindwa na hatimae watazidi watu kuingia katika dini ya kiislam makundi kwa makundu. Takbiri ....Allah Hu Akbar... Mtashidwa na mtaangamizwa kuanzia hapa dunia hadi Akhera .... Ya Rabbi tuongezee Imani katika Dini yetu ya kiisalm na tuongeze Elimu na nguvu zidi ya hawa viumbe vyako hivyo vibaya na ndo tunajua miongoni mwa mitahani uliyotuwekea na In shaa Allah tutafaulu. Hasbiya Allah wa neima wakil ... Ya Rab Rab husnul hatima Ameen

  • @RashMash-l1b
    @RashMash-l1b Месяц назад +1

    allah amuongoze huyu kijana arudi katika uislamu mana huyu kijana amepotea na anazidi kupotea na kupoteza watu,kwazi kazi alokuwa nayo ilikuwa kazi mbaya sana ya uchawi,wala asidhani uchawi ni moja wapo katika uislamu,uislamu unaupiga sana vita ushirikina na uchawi kwa jumla,na vitendo alivyo fanya ni vitendo vibaya sana kudhulumu nafsi kuuwa nafsi ambazo hazikuwa na haki ya kuuwawa,mungu amjalie kutubia kabla haja ichukua roho yake,tumuhurumie sana huyu kijana,mana akifa hivi na imani yake hiyo wallahi atapata mateso sana mbele ya allah,allah mjaalie kijana huyu arudi katika dini kisha umjalie toba ya kisawasawa mana hajui alisemalo.

    • @mfalmemmoja4145
      @mfalmemmoja4145 21 день назад

      Aliyafanya hayo yote akiwa kwenye uislam. Unashindwa kuelewa nini? Akirudi kwenye uislam anarejea huo uozo ila ameacha uislam yupo hapo anatoa siri. Elewa usijichanganye elewa mada

  • @gracebalaboy4849
    @gracebalaboy4849 4 года назад +33

    Yesu ndiyo msaada wetu ktk maisha yetu, wanaompinga yesu wanahitaji msaada wa maombi.

    • @apostlebenny5319
      @apostlebenny5319 4 года назад +3

      Yesu ni Bwana wa ma Bwana.. Mm nampenda sana. Mwamba hyu haaaaa!!

    • @bakariamour6024
      @bakariamour6024 4 года назад +1

      Yesu ni msaada wako wewe sio wengine

    • @issamohd9955
      @issamohd9955 4 года назад +1

      Kwani yuko mtu ana mpinga yesu kwani

    • @issamohd9955
      @issamohd9955 4 года назад

      Mm napenda nikwambie tu ww kijana tangu mwanzo hukua na imani ya dini ulikua mshirikina nasasa umeacha dini ya kweli ya Mungu sasa unaenda kwenye dini ya wataliano aibu yako mana umejifichulia siri mwenyeo kua pande za wazee wako wote mama na baba muna mambo ya mizimu je uislamu unawakubali waislamu kama nyinyi jibu ni hapana nyinyi muko mbali sana na uislamu kwamaana Mungu anasema katika Qur'an waislamu wakweli hawana kuamini mizimu hawana kuomba katika makaburi na mapango Mungu alijua kama mtakuako watu kama nyinyi ndomana akaiweka mbali dini yake nahayo mambo wewe ni mshirikina mpenda pesa mwenye pupa na dunia kwahio ndomana hao wakaamua kukununua ili wakakutie motoni vizuri tena umesema wazi kua ulikua ukichukua watoto wa watu mahospitalini kama serikali munanipata chonde chonde huyu mtu katili akamatwe afunguliwe mashtaka

    • @maryammohd5994
      @maryammohd5994 4 года назад

      Kuumbe eehh?🙄🙄🙄

  • @domnicowele5384
    @domnicowele5384 2 года назад +7

    There is contentment in serving the true yahwe in Jesus name we overcome..I love you jesus

  • @rayanaabdallah473
    @rayanaabdallah473 4 года назад +7

    Mungu akupe umri mrefu Inshallah huenda ukaja zinduka...Shukran

    • @channynsabimana1997
      @channynsabimana1997 3 года назад +1

      @Somali Bajun99 nikwasababu anatoa silizenu ndomaana unasema ivo

    • @vickybest6296
      @vickybest6296 Год назад +2

      Alishazinduka na kumjua Yesu

    • @ShamimMsofe
      @ShamimMsofe 6 месяцев назад +1

      Kweli kabisa anaweza zinduka . Mmmh Mwenyezi Mungu amsaidie kwa kweli

  • @mamuually5579
    @mamuually5579 4 года назад +12

    In sha allah mungu atusame waja wake,,,,,nashindwa ata kuchangia nahisi kama nitamkufuru mungu tu

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 4 года назад

      Kuna watu watasema kanunuliwa.

    • @georgebugangazpoa4975
      @georgebugangazpoa4975 3 года назад

      Hakuna namna zaidi ya kutoka kwenye ushetani kama aliyekuwa kiongoz wako tena msomi wa hayo mambo kaondoka kuko

    • @Shaha-d1i
      @Shaha-d1i 2 месяца назад

      Mimi sisemi kanunuliwa ila yeye amechanganya dini na uchawi maana hiko anachokizungumza hakuna kwenye dini ya uislam jamaniiiii hata wewe ungeshtuka tu maana huo ni uchawi unapigwa vita na uislam sasa mizimu na uislam wapi na wapi jamani, kapoteaaaaa huyoooo ​@@abbyadams8691

  • @bythegrace8087
    @bythegrace8087 4 года назад +16

    Amen🙏🙏their is power in name Jesus

  • @monicaelias3801
    @monicaelias3801 4 года назад +5

    ENDELEA kuusema Ukweli na Yesu akutie Nguvu nakukuepusha na Adui zako Bwana Ate na wanaoteta nawe Mtumishi Zaburi 35 Intense Kazi KWA Maisha yako yote na Zaburi 23 na Mungu akubariki Sana kujitia MHANGA KWA AJILI ya Kirsto tupo Pamoja Mtumishi wa Bwna

    • @allyjumaallyjuma692
      @allyjumaallyjuma692 3 года назад +1

      ENDELEENI KUPEANA UJINGA MPAKA YAWAFIKIE MAUTI ,MUTMJUWA MUUME WA BIBIZENU HUKO AKHERA

  • @goodlucklendey1722
    @goodlucklendey1722 3 года назад +3

    Sawaaa mungu akujalie muombe mungu akusaidi umjue yesu na uombe na kufunga umpokee roho mtakatifu ili umuabudu mungu kwa roho na kweli uta yashinda yote na akuna nguvu za kukushinda na mwisho urithi ufarume wa mungu

    • @makokhahassan7388
      @makokhahassan7388 10 дней назад

      @@goodlucklendey1722 wewe ni muchawi ,lakini usidanganye watu kwamba Ulikuwa Muislam.

  • @issarashid4296
    @issarashid4296 4 года назад +13

    Allah atupe mwisho mwema

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 8 месяцев назад

      @cdramacovers
      Pumbavu wewe alie kwambia Allah ni jini ni nani?

    • @YusuphMbwilo-xh9mu
      @YusuphMbwilo-xh9mu 29 дней назад

      @@issarashid4296 sio Allah sema mungu

  • @abdulshakurmshindo9040
    @abdulshakurmshindo9040 9 часов назад

    Huyu kijana alianza kutoka katika uislamu kabla ya kuingia katika ukristo maana kitendo cha kuandika ayat qursiyu alafu akafuta na damu ni ukafiri tosha na shetani amemuwin kumtoa katika haki ndo maaana ameachana nae baada ya kuona ameshamfikisha alipopataka.
    Allah atuongoze katika haqq na atujaalie istiqama na ikiwa bado yupo hai huyu kijana basi Allah amrehemu amrudishe katika njia inshaallah🤲

  • @neemarichard1256
    @neemarichard1256 4 года назад +16

    Amen God bless you

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 года назад +22

    Ameen...wapendwa huyu Yesu wetu ni mkubwa! Jamani Yesu yupooo tumeziona kazi zake

    • @thomasdaniel3834
      @thomasdaniel3834 4 года назад

      Jah is great

    • @berthairungu6746
      @berthairungu6746 4 года назад

      Amina

    • @mariamathuman2639
      @mariamathuman2639 4 года назад

      Acha kumshitikisha yesu ambae ni Issa kwa mambo yasio na maana

    • @neemasabure9061
      @neemasabure9061 4 года назад

      @@mariamathuman2639 mmmmh embu yesu ni Mwana wa Mungu

    • @mariamathuman2639
      @mariamathuman2639 4 года назад +1

      @@neemasabure9061 kama unajua ni mwana wa mungu mbn usimsifie mungu kwa kazi yake unasifia yesu ...yesu ni nabii wala si mungu ...mungu n mmja na afananishi n kitu chochote akuzaa na wala hakuzalia sasa niulize yesu alizaliwa au laah

  • @twobrothers8228
    @twobrothers8228 4 года назад +14

    Sifa Nautukufu Zikurudie Wewe. Karibu Ndungu Ndani Ya Yesu Yoote Yanawezekana, Tazama yakale yamipita yamekuwa Mapya🙏🏿

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Kwani kwa Yesu wapi na Kuna nini huko?.
      Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au kafundisha ukiristo?.
      Huyo ni mkiristo toka mwanzo unamkaribisha nini?
      Alama za ukiristo anazo wala uisilamu haujui anazungumza yasikuwemo katika Uisilamu.
      Acheni kutengeneza Waislamu Fake kama mnavyotengeneza vilema fake ili muonyeshe maajabu.
      Nyingi ndio wale aliotabili Yesu mwenyewe akasema.
      (Mathayo 24:24) " Kwa maana watatokea makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, kama yamkini, hata walio wateule (Waislamu).
      Acheni uongo Dini haisambazwi kwa kupitia khila za uongo.
      UKIRISTO ingelikuwa Dini ya Mungu basi sheria za Mungu mngelizifuata.
      Wangelikwisha walevi, wezi wazinifu, ulawati, unyang'anyi.
      Watu wangliishi kwa Amani kabisa.
      Kwanza vipi Mwenyezi Mungu kakuumbeni ili mumwabudu yeye halafu Mnaabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu?.
      Bibilia yenyewe inasema watu kama Hao hawaingii PEPO (Ufalme wa Mungu)..
      Soma:
      [1 Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala WAABUDU SANAMU , wala WAZINZI , wala WAFIRAJI, wala WALAWITI,
      10 wala WEVI, wala WATAMANIO, wala WALEVI , wala WATUKANAJI, wala WANYANG'ANYI.
      NA HAYO YOTE YAMEJAA HATA KANISANI.
      Endeleeni ndio mnafichua njama za ukiristo kubomoa Uisilam.
      Wala sio kitu kimpa lakini matokeo Uisilamu unazidi kuenea.
      Hamuwezi kumshinda Allah (Mwenyezi Mungu) aliekuumbeni.
      (Qur'an 61:8) " Wanataka kuizima nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao. Na Mwenyezi Mungu atakamilisha nuru yake ijapo kuwa MAKAFIRI WATACHUKIA.

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Wapi hiyo ahadi ukiwa mkiristo inakuwa umesamehewa madhambi na umekuwa mpya?.
      Mnakopia Ya Uisilamu. Hayo hakuna katika Ukiristo.
      Ukitoka kwenye uisilam basi unakwenda kwenye madhambi sio kuondosha madhambi.
      Kwani kwenda kuabudu Sanam la Mariya na Sanam la Yesu ndio kufutiwa madhambi?.

    • @twobrothers8228
      @twobrothers8228 4 года назад

      Wewe Abudu Dini Yako, Nauwache Kuhukumu ya Wenzio. Mwenye Hukumu Ni Mungu, Sisi Tuwaachie Imani Yetu Tuilinde Wewe. Amini Yako. Siku Ya Hukumu Tutajua Haki Ilopo.

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      @@twobrothers8228 : Ina maana ndugu uliezaliwa nae kwa baba na mama.
      Akimuasi mama yako au baba yako wewe utamuachia MBALI maana wewe haikushu?.
      Mbona bibilia yako huisomi inavyosema.
      [Luka 17:3] " Kwa hiyo, jihadharini. Ndugu yako akikukosea mwonye; akiomba msamaha, msamehe.
      Mimi nakuonya ndugu yangu Acha kuabudu Sanam la Mariya na sanamu la Yesu.
      Yesu sio Mungu.
      unamwabudu asiekuwa Mungu.
      Yesu kazaliwa na mama yake mwanadam.
      Na mwanadam hazai Mungu.
      Njoo huku umwabudu Allah alikuumba kwenye tumbo la mama katika mifuko mitatu na step Tatu.
      (Qur'an 16:78) " Na ALLAH (Mwenyezi MUNGU) amekutoeni matumboni mwa mama zenu, hali ya kuwa hamjui kitu, na amekujaalieni masikio na macho na nyoyo ili mpate kushukuru.
      (Qur'an 39:6)" Amekuumbeni kutokana na nafsi moja. Kisha akamfanya mwenziwe katika nafsi ile ile. Na akakuleteeni wanyama wa mifugo jozi nane. Anakuumbeni katika matumbo ya mama zenu, umbo baada ya umbo, katika viza vitatu. Huyu ndiye Mwenyezi Mungu Mola wenu Mlezi. Ufalme ni wake. Hapana mungu isipo kuwa Yeye. Basi nyinyi mnageuzwa wapi?.
      ALLAH ndio anestahili kuabudiwa.
      Acha nakuonya ndugu yangu kwa ubinadamu.

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +4

    Karibu sana ndugu wetu,Yesu Kristo anakupenda sana.

  • @naomieliasmanyilizu761
    @naomieliasmanyilizu761 4 года назад +4

    Ameen Mungu aendelee kuwa mlinzi wako, na damu ya mwanaye Yesu Kristo ikufunike

  • @clementmwampash168
    @clementmwampash168 4 года назад +2

    Asante yesu kwa uzao wako huu mtunze mtumishi wako akutumaini ww ktk maisha yake yote

    • @allyjumaallyjuma692
      @allyjumaallyjuma692 4 года назад

      poleni sana nawahurumia sana lkn ndio ni mipango ya الله ﷻ

  • @violinenyakara5028
    @violinenyakara5028 4 года назад +88

    Every knee shall bow before Him and every tongue shall confess Jesus is Lord, praise Jesus

  • @firdausmariri3506
    @firdausmariri3506 4 года назад +16

    Tatizo haukufindishwa juu ya tawhidy umpwekesha Allah nandio maana weye pamoya na maalim wako mkajikuta mnamshirikisha Allah ,,na Allah anasema kuwa yeye amejiweka mbali na ushirikina kutokana na shikri ,na yeyote atakayefanya shikiyaan akamshirikisha Allah kwa asiye kuwa yeye Allah Basi Allah mtukufu atamuacha mshirikina huyo na ushirika wake ,,,naweye ulifanya shikri na hakika dhambi ya shirki haisamehewi mbele ya Allah Hadi mtu afanye tawba ,nakusihi nakujihisia nafsi yangu juu ya kurejea katika kamba ya Allah ,,juu ya kutubu kabla milango ya tawba haijafungwa ,,,Allah atuepushe juu ya kuziporomosha amal zetu njema kwa kuliwa na shirki ,,,oooh Allah

    • @liventibenda3280
      @liventibenda3280 2 года назад +3

      Wasilamu wengi washirikina sana na dini inayomkataa yesu itapat hukumu ya milele

    • @saidmzee2554
      @saidmzee2554 2 года назад +2

      @@liventibenda3280 nyny ndo mtokwenda motoni Sana nyny ss mafrimanso wakubwa makafiri wakikristo

    • @liventibenda3280
      @liventibenda3280 2 года назад

      @@saidmzee2554 inashangaza mtume anaingiliwa na pepo na anasema maneno anayoambiwa na anayaandika kwa qurani sisem uwongo iyo ni surah iko na pia Muhammad alimwingilia Aisha wkt wa hedhi ukisoma hadith ya sahihi al buhari

    • @ninabizimana6869
      @ninabizimana6869 9 месяцев назад

      @@saidmzee2554 wasimamizi na wakuu waki filmasoni niwa sheh uyo mkristo ana kuja kwenu kutafuta nguvu... Ila ukristo ufundishi uchawi ila uweslam unafundisha uchawi. Uweslam ni Dini yamajini

    • @michaelmaina990
      @michaelmaina990 3 месяца назад

      Sasa wewe wakimbia kuandika badala kuskiza shuhuda kisha utagundua uislamu sio dini..?

  • @vallembaya2708
    @vallembaya2708 4 года назад +6

    Yesu ndio njia ya kipekee ya kuenda Kwa Mungu 🙏

  • @rizikimustapha3806
    @rizikimustapha3806 4 года назад +17

    SUBHANA ALLAH ALLAH AKUHDI KIJANA KABLA HUJAFA ATUBIE

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Год назад +3

      Huyu jamaa kasomea uchawi. Katoka kwenye dini kaingia kwenye uchawi.

    • @abuuhafswamunsheedu5790
      @abuuhafswamunsheedu5790 10 месяцев назад +3

      ​@@RamadanPaulhuyu kasomea uganga na sio Uisilamu

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 10 месяцев назад +1

      @@abuuhafswamunsheedu5790 umeona ...
      Uchawi si Haram kabisa QUR'AN ipo wazi kabisa 😅

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul 10 месяцев назад +1

      Al Quran: 10:77
      ---
      قَالَ مُوسَىٰ أَتَقُولُونَ لِلْحَقِّ لَمَّا جَاءَكُمْ ۖ أَسِحْرٌ هَٰذَا وَلَا يُفْلِحُ السَّاحِرُونَ
      Translations:
      ---
      Akasema Musa: Mnasema hivi juu ya Haki ilipo kujieni? Huu ni uchawi? Na wachawi hawafanikiwi!
      -- Ali Muhsin Al-Barwani
      ---

    • @habibasalim3092
      @habibasalim3092 5 месяцев назад

      ​@@abuuhafswamunsheedu5790ndio nimeandika hata mimi yaani huyu pamoja na familia yao yote na huyo mwalimu walisomea uchawi sio uislamu

  • @julianampanduji6000
    @julianampanduji6000 4 года назад +10

    Hallelujah...yuko Mungu mmoja na kila jicho litamuona,Amina.

  • @MsugutaAlly
    @MsugutaAlly Месяц назад +1

    daaa imanailakufasha uloza ubadili imembele inshallah

  • @adinanijackobo1328
    @adinanijackobo1328 4 года назад +9

    Sura 2 - Aya 14
    وَإِذَا لَقُواْ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ قَالُوٓاْ ءَامَنَّا وَإِذَا خَلَوْاْ إِلَىٰ شَيَـٰطِينِهِمْ قَالُوٓاْ إِنَّا مَعَكُمْ إِنَّمَا نَحْنُ مُسْتَهْزِءُونَ

    • @fauzatisospita5053
      @fauzatisospita5053 4 года назад +3

      Swadaqallah alaliyyul adhiiim

    • @adinanijackobo1328
      @adinanijackobo1328 4 года назад +1

      @@fauzatisospita5053 manshaAllah

    • @yasalaam590
      @yasalaam590 2 года назад +3

      Inasikitisha sana huyu kijana kwakweli kashakufa tuseme tu innalillahi wainna ilayhi rajiuna ni msiba mzito allah amuhidi yeye na wengine yaarabbi awajaaliye watubiye toba yakweli kumbe wanafiq wanaishi mpaka leo jamani subhanallah

    • @SAM_163
      @SAM_163 Год назад +1

      @@yasalaam590 ACHA KIBURI MPOKEE YESU.
      KUUKATAA UKWELI HAIBADILISHI UKWELI ANAUONGELEA KUHUSU UISLAM KAMA SIO KWELI TUAMBIE UKWELI HIVYO VITU HAVIPO KWA QURAN?

    • @lenardkenedy542
      @lenardkenedy542 Год назад

      @@yasalaam590 Acha taarabu jifuze ndugu Usiamini Majini

  • @peninahkariuki4679
    @peninahkariuki4679 3 года назад +5

    Amen and Amen Jina la Yesu lenye nguvu🙏🙏🙏🇰🇪

  • @HappyChemistryExperiment-hp9mq
    @HappyChemistryExperiment-hp9mq 8 месяцев назад +2

    Amen Ashukuriwe Yesu Kristo kwa ukombozi wake.

  • @juniorwadri4240
    @juniorwadri4240 4 года назад +5

    Da ujumbe mzuri sana mwalimu kasinah watu waujue pamoja na waislamu nahisi wata badilika nime amini yesu ni mkuu

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 года назад +4

    Hakika Yesu Kristo ni yeye yule Jana leo na hata milele Jina la Bwana libalikiwe Ndugu zangu waislam Njooni Kwa YESU KRISTO Ili muokolewe na siku ya mwisho tuingie wote ktk ufalme wake wa Mbinguni.

  • @ikwabeinjilitv9758
    @ikwabeinjilitv9758 4 года назад +3

    Amen Mungu azidi kukubariki kijana wetu

  • @agneskenya3709
    @agneskenya3709 4 года назад +7

    A living testimony, God bless you Brother, hakika Yesu Bwana, Amen

  • @samuelmoses9243
    @samuelmoses9243 4 года назад +14

    Kaseana Mungu awarinde maana mnapigwa sn vita sbb mnaifunua dini ya majini na imewateka wengi.

  • @sammagesa8184
    @sammagesa8184 4 года назад +1

    Amen... Mungu azidi kukutetea mtumishi....songa mbele

  • @ambokileboniface3691
    @ambokileboniface3691 4 года назад +14

    Yohana 14:6 Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; MTU haji kwa Baba, ila kwa njia ya Mimi. Mungu akubariki kwa kuichagua njia ya kweli na uzima.

    • @suzieomega6356
      @suzieomega6356 4 года назад

      Hiyo ndiyo kweri, alipo yesu ndipo mungu alipo,

    • @omarymnola1011
      @omarymnola1011 4 года назад

      Kwenu nyie yesu sio njia bali ni jina la dini yenu Maana baada yake ndo mmejiita Wakristo sasa kabla mlikuwa akina nani

    • @ambokileboniface3691
      @ambokileboniface3691 4 года назад

      Omary mnola Neno LA Bwana katika kitabu cha Isaya 42:22 Lakini watu hawa ni watu walioibiwa na kutekwa ; wote wamenaswa katika mashimo , wamefichwa katika magereza ; wamekuwa mawindo ,wala hapana aokoaye , wamekuwa mateka , wala hapana asemaye Rudisha..Mungu alie hai katika Kristo Yesu anakupenda na kumbuka kila goti litapigwa kwake na kila kinywa kitakiri kuwa Yesu ni mfalme anayetawala milele. Yesu anakupenda kwake yeye hakuna lisilowezekana kwake , mpokee leo abadilishe historia ya maisha yako.

    • @suzieomega6356
      @suzieomega6356 4 года назад +1

      @@ambokileboniface3691 wamepofushwa, hawawez kuona yesu ndie njia yakwer nauzima wamilele sema amen

    • @suzieomega6356
      @suzieomega6356 4 года назад

      @@omarymnola1011 , kama kwetu si si wewe kinakukera Nini ama kukuuma Nini ?

  • @estherngowi8102
    @estherngowi8102 4 года назад +6

    Yesu ndiye njia,kweli na uzima,chagua uzima upate kuishi milele

  • @winniewambua1972
    @winniewambua1972 8 месяцев назад +2

    Hallelujah, Yesu jiwe lisilotigizika

  • @mwanaishahussein2635
    @mwanaishahussein2635 4 года назад +5

    ALLAH TUDUMISHE KTK UISLAMU HATA YUPATE MITIHANI YA AINA GANI KWANI DUNIA NI MATEMVEZI NA KILA NAFSI ITAONJA MAUTI🙏🙏🙏🇰🇪

  • @calvinmchopa2222
    @calvinmchopa2222 4 года назад +7

    Wenye kupinga endeleeni kupinga lakini YESU NI BWANA NA ATAENDELEA KUOKOA TU HATA UPINGE...

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Kuokoa na nini?
      Kwani Yesu alikuwa Mkiristo au ukiristo ni Dini ya Yesu?.
      Nyinyi mnamwabudu sanamu wala hamfuati mafundisho ya Yesu.
      Sanam la Mariya na Sanam la Yesu.
      Wala sio Yesu Kila mmoja Ana Sanam lake.
      Mzungu Ana Yesu mweupe.
      Mwafrika Yesu black.
      Tazama huyu anampiga Yesu Mzungu.
      ruclips.net/video/mXQkDYpYxnY/видео.html

    • @calvinmchopa2222
      @calvinmchopa2222 4 года назад

      Wewe dini gani, je hujui kuwa Yesu ni njia kweli na uzima mtu haendi kwa Mungu ila kwa njia Ya Yesu?????, tuanzie hapo

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      @@calvinmchopa2222 : Alaa! kumbe Yesu ni njia tu sio Mungu?
      Kumbe Kuna Mungu ambae ni mwingine sio Yesu.
      Na
      Kuna Mungu wa Kweli ambaye ndiko wote tunakenda huko.
      Hiyo Sawa hata Yesu kasema hayo kwenye Bibilia Tumjue Mungu wa kweli na Yesu ni mtumwa katumwa na Mungu wa kweli.
      [Yohana 17:3] " Na huu ndio uzima wa milele: wakufahamu wewe ambaye PEKEE NI MUNGU WA KWELI, nakumfah amu Yesu Kristo ambaye umemtuma.
      Lakini Sasa wewe unamjua Huyo Mungu wa PEKEE NA WA KWELI?

  • @andrewmhagama629
    @andrewmhagama629 4 года назад +2

    Mungu akubari sana ndugu .
    wewe ni shujaa,kwani kutoka utumwani ni ushindi mkubwa.Ukimtumikia Mungu aliye hai ambaye sisi tunamwamini utashinda kila ubaya na hila za shetani na wafuasi wake woote.Jina la Yesu ni kubwa kupita majina yote kwa kila nguvu za giza liite ni zaidi ya chochote na utakombolewa.Amina

    • @AzinaKitery
      @AzinaKitery 11 дней назад

      Innalilah wa innalilah rajiun wewe hukuwah ktk uislamu bali ilikuwa mchawi na mshirikina mkubwa

    • @AzinaKitery
      @AzinaKitery 11 дней назад

      Dhambi hii utatubu wapi kwahiyo huko ulkoenda ndio umeokoka?

    • @AzinaKitery
      @AzinaKitery 11 дней назад

      Hapa unafundisha uchawi ndicho ulichokuja hapa kufundisha

  • @geraldlaurent7465
    @geraldlaurent7465 4 года назад +19

    Yesu Baba yangu unaishi mile na mile mwanzo mwisho Mimi nasema ni YESU TU.

  • @truth7796
    @truth7796 4 года назад +11

    There's power in the name of Jesus to beak every chain glory to God

  • @totodavis1949
    @totodavis1949 3 года назад +2

    Amen naisi kulia kwajili ya furaha utapata amani brother neema ya bwana iwe nawe

  • @majariwagift1498
    @majariwagift1498 4 года назад +10

    Ameen yesu ndie njia ya ukweli na unzima

  • @andrewsmbeya6640
    @andrewsmbeya6640 4 года назад +11

    YESU NDIYE NJIA YA KWELI NA UZIMA, KILA AMWAMINIYE HATA POTEA BALI ATAKUWA NA UZIMA WA MILELE.

    • @rehemadoreen3614
      @rehemadoreen3614 4 года назад

      Yesu alikuja kuokoa kile kilichopotea na kukiokoa hiyo ndiyo sababu Yesu alikufa na kufufuka💪💪💪💪

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Kwa sasaYesu SIO NJIA. Muhammad ndio njia.
      Yesu alikuwa ni njia kwa Wana wa Israeli tu.
      Ndiko alikotumwa.
      Angalia bibilia yake Yesu mwenyewe kasema.
      [Matayo 15 msitari wa 24]
      " Akajibu, akasema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli".
      Yesu kasema Muhammad ndio Roho wa kweli (Ndio njia) Atakuja kukuingoza kwenye njia ya haki.
      [Yohana 16 msitari 12-15]
      " Hata bado nikali ninayo mengi ya kuwaambia, lakini hamwezi kuyastahimili hivi sasa.
      13 Lakini yeye atakapokuja, huyo Roho wa kweli, atawaongoza awatie kwenye kweli yote; kwa maana hatanena kwa shauri lake mwenyewe, lakini yote atakayoyasikia atayanena, na mambo yajayo atawapasha habari yake.
      14 Yeye atanitukuza mimi, kwa kuwa atatwaa katika yaliyo yangu na kuwapasha habari.
      15 Na yote aliyo nayo Baba ni yangu; kwa hiyo nalisema ya kwamba atatwaa katika yaliyo yangu, na kuwapasheni habari.
      Muhammad anatuongoza kwenye kweli. Ndio Njia.
      Acheni kujidanganya UKIRISTO sio Dini ya Mungu ukiristo ni upagani wa Waroma.

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      @@rehemadoreen3614 : Nani kakwambia Yesu alikufa msalabani?.
      Mbona bibilia inakataa madai hayo ya wapagani wa Roma.
      Bibilia yako inasema Yesu hakufa aliokosewa na Mungu alichukulia mbinguni.
      Pilato ndio alisulubiwa sio Yesu

    • @thegospelmessage5039
      @thegospelmessage5039 3 года назад

      AMINA YESU ANARUDI TENA

    • @Truth771
      @Truth771 3 года назад

      @@thegospelmessage5039 Yesu anarudi Tena kuukana ukiristo. maana hakuwa mkiristo wala haujui UKIRISTO.
      Yesu alikuwa Muislamu.
      - Yesu aliswali kwa kusujudu sio kanisani kukaa kwenye benchi.
      - Yesu katahiriwa sio kama wa ukiristo wanagovi.
      - Yesu hakula Nguruwe wakiristo wala nguruwe.

  • @rebeccampaki9647
    @rebeccampaki9647 3 года назад +2

    Amina MUNGU akujaalie ufike mbinguni

  • @bensononyango1426
    @bensononyango1426 2 года назад +4

    Praise the Lord God, the truth has set you free in Jesus Christ. Amen

  • @annamrima5507
    @annamrima5507 4 года назад +10

    Mungu ni mungu tu na atabaki kuw mungu, ubarkiwe san kakaangu ieneze injili

  • @abdallahmilaba5407
    @abdallahmilaba5407 4 года назад +2

    Wewe umenunuliwe ili ukashfu uislamu. Uchawi na uislamu ni vitu viwili tofaut kabaisa. Mafundisho yako ni ya kupotosha jamii. Hayo unayosema yanapingwa na Mwenyeenzi Mungu.

  • @marykibwana9413
    @marykibwana9413 4 года назад +5

    Unapendeza sana kaka yangu ndani ya Yesu kuna raha.

    • @twobrothers8228
      @twobrothers8228 4 года назад

      Sio Raha tu, Na Uzima Wa Milele.

    • @marykibwana9413
      @marykibwana9413 4 года назад

      @@twobrothers8228 Kwa kweli na uzima tele. Nimeipenda hiyo nyongeza.

    • @aberboaz9512
      @aberboaz9512 3 года назад

      @@twobrothers8228 amen

  • @mussa6990
    @mussa6990 4 года назад +20

    Kijana unapaswa kufanya toba kubwa sna na usiweke hasira kichwani mwako mana mtu akikuudhi unaweza kurudi tena huko na kumfanyia kitu kibaya kwhy utubu kwa toba ya kweli na Mungu akufungue kweny hicho kifungo na damu ya Yesu ikufungue na kukuweka huru kabisa watu wengi tunateseka kwasababu ya watu wenye vitendo kama hivyo wanatesa snaa maisha yetu.

    • @khalifahmtata8659
      @khalifahmtata8659 4 года назад

      Kijana kapotea

    • @happynicholaus6474
      @happynicholaus6474 4 года назад +1

      @@khalifahmtata8659 JESUS KING OF KING

    • @saidhomie3368
      @saidhomie3368 4 года назад +2

      Kijana yupo pale anapaswa kuwepo, kwenye nguvu za giza, na ndipo anapostahili kuepo, kwa yale alioyafanya, anaelezea kwa ustadi na kwa mapambo, kama vile abaelezea vipi kupika chakula, Mungu atunusuru kwa majanga hayo.

    • @mariamjumamariamjuma4331
      @mariamjumamariamjuma4331 4 года назад

      @@happynicholaus6474 na MUNGU NI NANI
      KAMA UYO JISUS NI KING. ACHA UJINGA WW

    • @happynicholaus6474
      @happynicholaus6474 4 года назад

      @@mariamjumamariamjuma4331 hayo ndio maoni yangu

  • @mdungially2342
    @mdungially2342 4 года назад +11

    INNALILAH WAINNAILAIH RAJIUN, ALLAH AKUONGOWE TENA UTOKE HUKO KABLA PUMZI HAZIJAFUNGA

    • @kuruthumuissa5539
      @kuruthumuissa5539 4 года назад

      Haswaaaa

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 4 года назад +2

      Atoke aende wapi waislam mnafundisha uganga kwa Yesu hakuna uganga

    • @kuruthumuissa5539
      @kuruthumuissa5539 4 года назад

      @@lulanjamd3886 peleka upumbavu wakouko mbona wakristo nanyie nako niwanganga senge kabisawee

    • @lulanjamd3886
      @lulanjamd3886 4 года назад

      @@kuruthumuissa5539 Angalia wengi wanatokea upande gani

    • @ismaelinnocent6812
      @ismaelinnocent6812 3 года назад

      @@kuruthumuissa5539 unatumana hazarani mwamini Yesu una shida nakuombea

  • @carolinenatembeya6787
    @carolinenatembeya6787 4 года назад +10

    YESU ASIFIWE TAMBAAA KOTE UJAE JILA ENEO, YESU NDIO HABARI GEUKENI LEO MKAPINE. AMEN

  • @martharmoranga2541
    @martharmoranga2541 4 года назад +9

    Glory be to God

  • @paulmssoma6006
    @paulmssoma6006 4 года назад +9

    Bwn Yesu asifiwe sana

  • @combinedreview9517
    @combinedreview9517 4 года назад +10

    AMEN ,OH GOD ,POWERFUL TESTIMONY .

    • @mwalimuassaa1857
      @mwalimuassaa1857 4 года назад

      WHAT TESTIMONY ? THIS GUY IS JUST WITCHCRAFT ,THERE IS NO VERSES IN WHOLE QURAN SUPPORT WHAT HE SAYS.

    • @jemimanekesa2782
      @jemimanekesa2782 2 года назад

      God bless u

  • @ndwatanchullah4013
    @ndwatanchullah4013 4 года назад +10

    Mama ROGATARE alikuwa pastor na mwenye PESA lakini tulimzika..Allah sio mwenye kuhafilika utaondoka tu mda ukifika..1wakorinto 15 mstari wa 18_19..Inasema Na wote waliolala katika kiristo wamepotea...Na kama maisha haya tumemtumaini tu kristo sisi ndo katika wale Maskini..Ulipaswa uache uchawi na umrudie Allah kwa TOBAH...Uchawi katufundisha shetani Surat Albaqarah ayah ya 120..

    • @clarawamonge1610
      @clarawamonge1610 4 года назад +3

      Acha kupotosha watu,,, soma kitu kizima siyo mstari tu wakati hujui hiyo sura inaongea nini,,, ole wao wabadilishao maandiko ya Mungu kwa sababu zao binafsi

    • @ndwatanchullah4013
      @ndwatanchullah4013 4 года назад +2

      @@clarawamonge1610 Andiko moja linatosha kwa mafundisho, sio mpaka usome bible nzima.

    • @abelzablon5977
      @abelzablon5977 4 года назад +2

      Soma vzr ww achakupotosha yesu ndo kila kitu

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 4 года назад +1

      @@ndwatanchullah4013 masha Allah,Allah akufanyie wepesi ndugu yangu...hawa makafiri wejipanga kwelikweli yaani

    • @pmumust2077
      @pmumust2077 4 года назад

      soma aya yote kaka NDWATA NCHULLAH - YESU ANAKUPENDA SANA NA ANATAKA KUIKOA ROHO YAKO, NI MAOMBI YANGU MUNGU AFUNGUE MACHO YAKO NA AKILI UJUE ILIYO KWELI YA INJILI ''13Sasa, maadam inahubiriwa kwamba Kristo amefufuliwa kutoka wafu, baadhi yenu wanawezaje kusema kwamba hakuna ufufuo wa wafu? 13Kama hakuna ufufuo wa wafu, basi, Kristo naye hakufufuka; 14na kama Kristo hakufufuka, basi mahubiri yetu hayana maana na imani yenu haina maana. 15Zaidi ya hayo sisi tungekuwa mashahidi wa uongo mbele ya Mungu, maana tulisema kwamba Mungu alimfufua Kristo kutoka wafu na kumbe yeye hakumfufua--kama ni kweli kwamba wafu hawafufuliwi. 16Maana, ikiwa ni kweli kwamba wafu hawafufuki, basi naye Kristo hakufufuka. 17Na kama Kristo hakufufuliwa, basi, imani yenu ni ya bure; mngali bado katika dhambi zenu. 18Zaidi ya hayo, wale wote waliokufa wakiwa wameungana na Kristo wamepotea kabisa. 19Kama matumaini yetu katika Kristo yanahusu tu maisha haya ya sasa, basi, sisi ni watu wa kusikitikiwa zaidi kuliko wengine wote duniani''

  • @rabilubinza7661
    @rabilubinza7661 3 года назад +3

    Bwana Yesu apewe sifa.Haleluyaa

  • @johariyahaya8794
    @johariyahaya8794 4 года назад +10

    Aminaa, damu ya yesu inatosha kukusafisha

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Lo damu ya Yesu?.
      Na Yesu alikuwa na Lita ngapi za damu mbaka Leo 2020 mnakunywa kanisani?

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      Mimi naona bora ungeingia uisilam ili ujinga wa kanisani ukutoke.
      Unalishwa Mavi wanakwambia mkate nyama ya Yesu. Tena unaambiwa funga macho na usiteme mkate, ukitema umemtema Yesu.
      Hebu usome huo MKATE Kwanza katika bibilia kuwa ni MASHONDE (KINYESI).
      [Ezekieli 4:9-12] " Pia ujipatie ngano, na shayiri, na kunde, na dengu, na mtama, na kusemethi, ukavitie vyote katika chombo kimoja, ukajifanyie mkate kwa vitu hivyo; kwa kadiri ya hesabu ya siku utakazolala ubavuni mwako; yaani, siku mia tatu na tisini utaula.
      10 Na chakula chako utakachokula kitapimwa, shekeli ishirini kwa siku moja; utakila kwa wakati wake.
      11 Nawe utakunywa maji kwa kuyapima, sehemu ya sita ya hini; utayanywa kwa wakati wake.
      12 Nawe utakila kama mkate wa shayiri, nawe utakioka mbele ya macho yao juu ya MASHONDE YATOKAYO KATIKA MWANADAMU.

    • @johariyahaya8794
      @johariyahaya8794 4 года назад

      Hata wewe ukiruhusu yesu akutakase dhambi zako utakua mweupe kama theluji,

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад

      @@johariyahaya8794 : Nitakuwa mweupe bila zambi au ndio nitazidi kudidimia kwenye mazambi?.
      Wapi imeandikwa kuwa wakiristo au Ukiwa mkiristo unakuwa huna zambi?.
      Ingelikuwa ukuristo unaepusha zambi au unakataza kufanya mazambi anatakaza zambi wakiristo msingekuwa wazinifu wala walevi, wala kula nguruwe.. mnafanya uzinifu mpaka makanisani kwa sababu kanisa ni kwenye kiti cha Enzi cha Shetani.
      Unataka kunipeleka kwa nyumba ya Shetani wewe?.
      Na Mimi nakutakia uepuke na Shetani!
      Wewe mbaya Sana Rafiki yangu! unafanya kazi ya Shetani?!. Na mimi nataka kukuondoa kwenye ushetani
      Soma bibilia yako itakuambia nini kanisa.
      [Ufunuo wa Yohana 2:12-13] " Na kwa malaika wa kanisa lililoko Pergamo andika; Haya ndiyo anenayo yeye aliye na huo upanga mkali, wenye makali kuwili.
      13 Napajua ukaapo, ndipo penye kiti cha enzi cha Shetani; nawe walishika sana jina langu, wala hukuikana imani yangu, hata katika siku za Antipa shahidi wangu, mwaminifu wangu, aliyeuawa kati yenu, hapo AKAAPO SHETANI
      Wewe njoo huku kwenye Usilamu unakaza mazambi kwa sababu walevi, wazinifu hawaingii peponi hata bibilia yako inasema hivyo.
      [1 Wakorintho 6:9-10] " Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
      10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
      Na Yesu hakuwa mlevi Wala hakula nguruwe, wala hakuweka govi (alitairiwa)
      Njoo huku uache mazambi.
      Kwanza ukuiingia uisilamu unafutiwa madhambi ya mwanzo unaanza ukurasa mpya kama alivyo ahidi Mwenyezi Mungu.
      [Qur'an 8:38] " Waambie wale walio kufuru: Wakikoma (wakiacha) watasamehewa yaliyo kwisha pita. Na wakiyarudia basi imekwisha pita mifano ya wa zamani.
      Sasa vipi ndugu yangu unataka kwenda peponi?.
      Njoo huku kwenye uisilam kulikoahidiwa kwenda peponi.
      Ukiristo sio Dini ya Mungu. Wala Yesu hakuwa mkiristo wala hajafundisha Ukiristo.
      Ukiristo in imani wa wapagani wa Roma.
      Uisilam ndio Dini ya Yesu.

  • @kikakakijukuu3138
    @kikakakijukuu3138 4 года назад +37

    Yeye mwenyewe alikua mchawi atawezaje kua muislamu wa kweli, huyu jamaa alikua mchawi na mshirikina na amepata walimu wachawi kumfundisha uchawi,huwezi kua mchawi kesha ukawa muislamu wa kweli,

    • @likeothers2498
      @likeothers2498 4 года назад +3

      Kabisa

    • @paulndegwa9452
      @paulndegwa9452 4 года назад +6

      Kwasababu Muhammad pia alisilimisha shetani akawa muislamu

    • @Nims643
      @Nims643 4 года назад

      @@paulndegwa9452 mkunduo

    • @jamessakaya6231
      @jamessakaya6231 4 года назад +1

      We hayo maneno uyasikii yatoka kwenye kuraani sasa kama c uchawi uwo nn?

    • @mariamjumamariamjuma4331
      @mariamjumamariamjuma4331 4 года назад +2

      @@jamessakaya6231 we koma. Ongea yote. Kita kiache kama kilivyo. Tutakutana qiyama... ukweli utajulikana

  • @AhmedAhmed-zw8lc
    @AhmedAhmed-zw8lc 4 года назад +1

    Mungu akusamehe maana ulikuwa hujui ulitendalo lkn sehemu sahihi barikiwa sanaa

  • @josephatjoseph1755
    @josephatjoseph1755 4 года назад +4

    naomba umohoji tena kaka nimeupenda sana ushuhuda wake aelezee vitu vyote bila haraka

  • @ashahaji6786
    @ashahaji6786 4 года назад +4

    Inna lillah wainna ilayhi raajiuun
    Ya Rabbi tuhifadhi na utuepeshe na mambo km haya ss na vizazi vyetu

  • @RehemaElias-el3jg
    @RehemaElias-el3jg Месяц назад

    Mungu akutunze pia ubarkiwe kwa ushuhuda

  • @fathimamialii8519
    @fathimamialii8519 4 года назад +10

    Mungu akuonyeshe njia ya haki lshaallh 😩😩Ina lilah waina lilah rajun

  • @leahmujemula5387
    @leahmujemula5387 Год назад +5

    Nampenda huyu Yesu

  • @amanimakombe7141
    @amanimakombe7141 26 дней назад

    Amina ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @shikandaemelda3328
    @shikandaemelda3328 4 года назад +2

    Waislamu hua mnaumwa wapi mmoja wenu akiwa mkristu??we Christian never feel anything when one of us comes your way...Nwy karibu kwa yesu

    • @Truth771
      @Truth771 4 года назад +1

      Waislamu hawashukhuliki nae huyo ni mkiristo toka mwanzo.
      Hayo anayoyaema kuhusu uisilam ni uongo mtupu hakuna Muislamu akatoa mtoto kama kafala.
      Kajifunza maneno mawili ya kiarabu Anataka kudaganya watu kama vile anajua.
      Tofauti ya ex-christian akija kwenye uisilam anakuwa mtu anazungumza yaliyo na hekima.
      Kama Dr. Sule, Iman Petro na wengineo.
      Lakini Ex-Muslim Ana join ukiristo anazungumza upumbavu na kashfa za matusi. Kwa sababu kanunuliwa kwa ajili hiyo. sio kafata imani.
      Kwa sababu Uisilamu na Qur'an hakuna shaka ndani yake.
      Qur'an yenyewe inaanzia kusema hivyo.
      (Qur'an 2:2) " Hiki ni Kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake; ni uwongofu kwa wachamungu,
      Na wanaokubali Uisilam ni watu wasomi wanaojua ukweli kwa elemu sio kufata pesa.
      Uisilam haumnunui mtu kwa pesa wala kwa hoja za uongo.
      Waisilam wanazungumza kwa hoja na proof.
      Wakiristo wanataka uamini tu Kama Yesu ni Mungu na uwe kama kipofu hukuna kuuliza.
      Wewe nikuulize sheria kwenye Bibilia utanijibu?.

    • @happinessmonyenye9890
      @happinessmonyenye9890 6 месяцев назад

      Shida yenu ni wivu,

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah5796 4 года назад +10

    Ukipeleleza waisilam wanaotoka kwenye uisilam unawakuta wapenda kwenda uchi, wazinzi, washirikina, walevi n.k lkn yote maovu. Wanaona aibu kwenye jamii ya kiisilam kuyafanya hayo wanatafuta sehemu huru za kishaitwani wajitanaffas. Na wakifika kwenye ukiristo/ukafiri/ushaitwani wanaelezea ati kule tulikua hatuvai suruali, haturuhusiwi disco, tunavaa hijabu na wengine ndio kama hawa waongo mambo ya mila wanachanganya na dini ilhali wapate nafasi tu za kuendeleza ushaitwani wao pasi na kubughudhiwa, walikua waasi na wavivu wa kufanya ibada.
    Lkn ukiwaangalia wakiristo/makafiri wanaotoka kwenye ukiristo/ukafiri unawakuta wanakisifia tu kitabu cha Allah na mambo mazuri yalokuemo ndani yake ambayo hawakua wakiyajua zaidi ya zile zile propagander za kikafiri magaidi, wachawi n.k na wanawashangaa wale waisilam wanaoacha neema ya uisilam. Nawanajua dhahir kua wale waliouacha uisilam walikua hawaujui wala hawakua na juhudi yakutaka kuujua/kusoma uisilam wao. Walikua ni waisilam jina tu.

    • @husseinchea5524
      @husseinchea5524 4 года назад

      Hayo unayoyaongea sio kweli

    • @elsenortolga1936
      @elsenortolga1936 4 года назад

      Umeongea points kaka

    • @sifasanga7866
      @sifasanga7866 4 года назад

      Povu.

    • @sifasanga7866
      @sifasanga7866 4 года назад

      Povu.

    • @lurrysam.2534
      @lurrysam.2534 4 года назад

      Ata dini ya uislamu inasema usihuku mtu yeyote mbona unaweka baina kuwa wakristo ni makafiri wakati wewe ni mwislamu mwema mfata dini ukijuwa wazi kafiri ni mtu mwenye hana dini na ukristo ni dini bado atakama huipendi venye wakristo wengine hawapendi uislamu

  • @agapemtuli9175
    @agapemtuli9175 3 года назад +1

    Bwana Yesu hajawahi kushindwa kamwe. Asante Yesu kwa kumtoa utumwani. Hakika ndo tunapata mwanga kumbe upande wa pili Kuna Mambo mengi.

  • @thedyassenga477
    @thedyassenga477 4 года назад +8

    Karibu kwa Yesu

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 4 года назад +12

    Innallah wainnallah rajun Allah akuongoze kabla roho yako haijatoka kurudi kwa mola wako maana utakuja kujuta milele kama hukurudi ikiwa bado hai ya rabbi tuongoze waja wako

    • @thegospelmessage5039
      @thegospelmessage5039 3 года назад +1

      ahaaa uislamu dini ya shetani

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад +1

      Tatizo Wanaobaki Huko Wanakosa Msaada Wa Kuachana Na Uchafu Huo Ndiyo Maana Wanakimbilia Kwenye UKRISTO Ili Wapone.

  • @pastoreliamsika9355
    @pastoreliamsika9355 4 года назад

    Well done
    Songambele mwamba!
    Najua ushauona ushujaa wa YESU
    Upo mahali sahihi sana sana huku
    Sinaga shaka na mageuzi ya Yesu hata mimi nimeyaona mageuzi ya YESU, anidanganyi mtu kwa habari ya uwezo wa YESU KRISTO.
    2008 mpaka now 2020 najua umeshakomaa kabisa
    Mtu akitaka aamini au asipotaka asiamini YESU hajawahi mlazimisha mtu kuingia kwenye neema hii ya WOKOVU ni suala la muda tu na wakati sahihi.

  • @johnpangalas9687
    @johnpangalas9687 2 года назад +4

    Yesu ni njia ya kweli na ya uzima

  • @naimamwambe8083
    @naimamwambe8083 4 года назад +26

    Innalillah wainna illah rajiun pole yako Salam zao madhali ni chaguo lako nenda mwana kwenda kaendekeze ushirikiano huko uendako, Njaa mtihan

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 4 года назад +7

      Angekuwa katoka kwenye ukirsto kaingia kwenye uislam ungesema alihamdurulai lkn kaondoka mapovu yanakutokaa acha udini MUNGU ni mmoja

    • @maimunamwaren5885
      @maimunamwaren5885 4 года назад

      Selikali ingekua yangu huyu ninge msweka jera kwanza kwa loho alizo uwa

    • @arafatmosha78
      @arafatmosha78 4 года назад +1

      Katoka kwenye moto wa mkaa anaenda kwenye moto wa gesi.inna lillah wainna lillah raajun

    • @maimunamwaren5885
      @maimunamwaren5885 4 года назад

      @@arafatmosha78 anaongea kwakujidai akiona sifa aloyafanya naako erekea nazan kapewa rushwa huyu

    • @arafatmosha78
      @arafatmosha78 4 года назад +1

      @@maimunamwaren5885
      Bila shaka hawa ndio wanaandaliwa kutoa ushuhuda wa uongo.kwa kuichafua dini ya uislam

  • @edwardmanota998
    @edwardmanota998 3 года назад

    Amina. Asante kwakuijuwa kweli. Maana yesu ndie njia ya kweli na uzima amwaminie yesu hapotei wala ahukumiwi bali atakuwa na uzima wa milele, kijana piga injili tupe u kweli huo

  • @lucyolindo5732
    @lucyolindo5732 4 года назад +5

    I am the light and the peace of the world and you should believe I love you jesus thank you for making me understand your love is so abundant and no one can take it away from me

  • @tumpenywapi8422
    @tumpenywapi8422 4 года назад +6

    Glory to Almighty Jesus who saved us on the cross....you matter to God

  • @mwajumamunezero4055
    @mwajumamunezero4055 Год назад +1

    Allah akuhidi we kijana umejitahidi kuwuchafuwa uislam kwanza unganga nyota ni haramu katika uislam iyo ulirisishwa nafamilia Yako sio uislam

  • @jumakoga2179
    @jumakoga2179 4 года назад +10

    mtume muhammadi s,a,w ni nabii wa mwisho hata ukimkataa

    • @johngichu7910
      @johngichu7910 4 года назад +2

      Leta andiko mahali alitambiliwa kwa bible

    • @marywambui519
      @marywambui519 4 года назад +1

      Juma koga ebu twambia Muhammad alipo kufa alikwenda wapi kama sio jehanamu. Sababu yy mwenye huyo Muhammad alipo karibia kufa alisema hata hajui akifa atakwenda wapi..na yesu kufa na kufufuka baadae aliwaambia watu wake anakwenda mbinguni kwa mungu hapo niwazi kua yesu alikua na uhakika anakwenda kwa mungu..sasa nyie mnamfwata MTU ambae tayari kawaambia hajui aendako makubwa

  • @lilianluhasi5053
    @lilianluhasi5053 4 года назад +16

    Yesu Kristo Ni njia kweli na uzima watu wote tumfuate yeye

    • @rachelevarist70
      @rachelevarist70 4 года назад +1

      ckia wewe nikuambie ukristo sio dini hakuna dini inaitwa ukristo nyinyi kama sio tamaa za dunia msingepotea huyo ni muongo hua walokole niwaongo huo ushuhuda niwauongo huyo alikua kafiri kaenda kusoma kiarabu ili aje awahadae wakristo ambao hamjui huo niuongo

    • @gracecharles2696
      @gracecharles2696 4 года назад

      @@rachelevarist70 Mbona wapo wengi mashekh wanaoushuhudia uchawi kwenye uislam..kama shekh anapaa ,anaua,anafuga majini sindo uchawi wenyewe huo ..Wachawi ata makanisani wapo utofauti wakanisani tamaa za pesa lkn Biblia haijafundisha hayo..Ila kwa wwnzetu mtu anafungua kabisa kitabu anamusomea dua upatwe na jambo baya hapo ndo sipaelewagi Mungu wetu anatuwazia mema iweje wewe uniwazie mabaya kwa kutumia kitabu unachosema cha Mungu ..Huyu anaweza kua muongo kwa sababu simfahamu lkn wapo nnaowaamin wametoka kwenye ushetani nawaona na wanashuhudia mengi tu ..kila shekh anafuga majini loooh huku sie twayaombea yatoke nyie mwayatafutia chumba yakae..Yesu ndie njia ya kweli na uzima tunafika kwa Mungu kupitia yeye....

    • @berthairungu6746
      @berthairungu6746 4 года назад

      Aminaaaaaaa

  • @psalm2346
    @psalm2346 4 года назад +2

    Kwa Yesu kuna raha , hallelujah

  • @kelvinsakey2540
    @kelvinsakey2540 4 года назад +32

    Yesu ndiye njia

  • @poureenkunambi6413
    @poureenkunambi6413 4 года назад +8

    POWERFULL GOD, THANK YOU JESUS,MIGHTGOD

  • @janekamau6189
    @janekamau6189 3 года назад

    I just love how waislamu wana tetea dini yao. They are trying their best. Kila muslamu aliokoka wanasema hakua muslamu. But mchristo akienda kwa waislamu inakua ni mungu amemuonyesha njia. Woooiye. Heri kwa Yesu. Yesu anakutetea.

  • @نايفالشمري-ط3د
    @نايفالشمري-ط3د 4 года назад +71

    Welcome to Jesus for salvation of ur soul in Jesus mighty name Amen

    • @cupcakesanddounuts6555
      @cupcakesanddounuts6555 4 года назад +1

      Amen

    • @alhamdulillah5796
      @alhamdulillah5796 4 года назад +1

      Utakufa na ukafiri wako ukachomwe moto kama ni mvivu wa kutafuta ukweli mwenyewe

    • @raynerrasher1558
      @raynerrasher1558 4 года назад +4

      @@alhamdulillah5796 nani kakuzuia kuamin unachokiamini? Acha kuponda dini za watu wewe

    • @omarymnola1011
      @omarymnola1011 4 года назад +1

      Mm ctamani nife hali ya kuwa mkristo (KAFIRI )
      Hakika Uislamu ni raha sana
      Huyo jamaa HATA KIARABU HAJUI NA KWA WAKRISTO NDO ANAWADANGANYA KABISAA

    • @kassimrajabu7805
      @kassimrajabu7805 4 года назад

      @@omarymnola1011 masha Allah

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 4 года назад +6

    Innalillah wainnailayhi raajiuun😢😢😢hasbiyallah waneemalwakeel

  • @issamariyammariyam1739
    @issamariyammariyam1739 4 года назад +7

    Kulitad kwako hakumpunguzii Allah chochote wala hakumuongezei chochote ila subili ufe ndo utajua

    • @niyonsabasaada7831
      @niyonsabasaada7831 4 года назад

      Pongezi kwako my

    • @abdallahkambangwa7215
      @abdallahkambangwa7215 4 года назад

      Kaka huyu hajawahi kuwa muslam maisha yake yote nikafiri kaka nijirani yangu mwanga kigoma

    • @niyonsabasaada7831
      @niyonsabasaada7831 4 года назад

      @@abdallahkambangwa7215 kwel? Weachatu azingiziy din ilo lijama limerith kwamamazak nababazak alaf linazingizia din.subuhanallah

    • @saidabdul5586
      @saidabdul5586 4 года назад

      @@abdallahkambangwa7215 kwahiyo anatafuta kiki kwa waisilaam mbwa huyu😂

    • @mathajohn6740
      @mathajohn6740 4 года назад

      Yesu ndo kla ktu maana yeye alipewa mamlaka dunian Na mbingun ukiwa ndan ya Yesu hata huyo alla anasujudu mbele ya Yesu Wala hana ujanja

  • @hassanmwalle5628
    @hassanmwalle5628 4 года назад +17

    ULIKUWA MCHAWI,NA ULIJIFUNZA UCHAWI NA MWL MCHAWI,HAUKUWA MUISLAM BROTHER, ACHA UONGO.

    • @kazubakazuba7146
      @kazubakazuba7146 4 года назад

      Na kasema kuna erim dunia na erim akheraaa so yy kachaguwa erim dunia

    • @trizzahawinja2818
      @trizzahawinja2818 4 года назад

      Soo kumaanisha katika dini ya kiislamu hamna wachawi, and yet katika RUclips nawaona wengi waislamu mwaamini katika uganga na mwajianika wazi, ama huo si uganga

    • @apostlebenny5319
      @apostlebenny5319 4 года назад +1

      Ninyi waislamu mtakubali lini mtu yyte akishatoka mnasema sio muislamu. Na hta ww ukitoka watasema ivo ivo na wkt hpa unajiona muislamu..

    • @hmjunior8140
      @hmjunior8140 4 года назад

      @@apostlebenny5319 Dini ya uislamu ipo mbali na mambo ya uchawi zaidi ya umbali uliopo baina ya mashariki na magharibi/ mbingu na ardhi! Dini imetakata kutokana na mambo ya kishirikina yote unayoyajua...
      Anayelingania na kusupport mambo ya kishirikina fahamu huyo halinganii yale yaliyokuwa katika dini ya uislamu! hata kama unamuona ni mvaaji kanzu na kofia mzurii....jua kuwa hicho anachokilingania kipo mbali na dini ya uislamu.

    • @wanawamungu9166
      @wanawamungu9166 4 года назад

      @@hmjunior8140
      Dini ya Uislamu Ipo mbali na uchawi kwa namna gani wakati uchawi Allah anatuma malaika wawili Haaruta na Maaruta kufundisha mashetani uchawi, na hiyo inadhihirika mashetani ni wanafunzi wa uchawi kwa mchawi Allah(Qur'ani 2:102),
      Ikiwa Qur'ani inaonesha wazi allah ni mchawi mkuu, Toa sababu kwanini asiwe Shetani mkuu.