Tazama wachawi wanavyo aibishwa (Fahamu ufalme wa giza)....Episode 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 83

  • @alfonsekasengi
    @alfonsekasengi 3 года назад +9

    Mwenyezi mungu na akulinde vya kutosha🇰🇪🇰🇪, mimi mwenyewe nakuelewa sana.. Ushuhuda wako niliufuatilia wote na yote uliozungumzia niliyasikua kwingine kwa hivyo hutanganyi. 🙏🏽

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 6 месяцев назад

    Mtumishi ubarikiwe sana kabisa mtumishi achana naiyo mitindo yakunyowanyele ivyo nyowa kikawa ida tu usije ukakose mbingu kwakitu kidogo amina amina ubarikiwe kabisa

  • @ToloMaji
    @ToloMaji 5 месяцев назад

    Mwenyezi Mungu akuongoze naomba utafsiri yale majina 99

  • @JaphetLameck-kw4yq
    @JaphetLameck-kw4yq Месяц назад

    Nakuelewa sana mtumishi.

  • @tbwoy216
    @tbwoy216 Год назад +1

    Barikiwa sana mchungaji,mtafute mchungaji ndacha BIBILIA Nuru ya dunia

  • @kabarezephanie3573
    @kabarezephanie3573 2 года назад +3

    Ubarikiwe ndugu kwa kutoka ndani ya giza , tunakufata hapa Rwanda Kigali

  • @joycehaule9686
    @joycehaule9686 4 месяца назад

    Amina mtumishi Mungu akubariki

  • @skeetergodwins2576
    @skeetergodwins2576 2 года назад +2

    Tunakupenda mtumishi. Endelea kuuaibisha ufalme wa shetani ili watu waendelee kufunguliwa. Usijali kama wanakuchambua au wanakudhihaki. Wao hawajui ulichokibeba.

  • @godfreyalex5319
    @godfreyalex5319 6 месяцев назад

    Mungu aliye hai Yesu kristo akuinue ufikie viwango vya Mtume Paul, yeye aliiongokea Imani ya Kikisto na akawa mhubiri wa kimataifa,; Mungu akulinde. Amen

    • @nuriagodana1568
      @nuriagodana1568 4 месяца назад

      Nauliza tu kama yesu ni mungu siku alikufa nani alishikilia utawala wa mbingu na ardhi

  • @prospermsambazya6450
    @prospermsambazya6450 3 года назад +2

    Imekaa vzr mtumishi

  • @LovenesLejinandy
    @LovenesLejinandy 7 месяцев назад

    Amin mtumishi wanungu

  • @Iragibarune1.
    @Iragibarune1. 2 года назад +2

    Mungu azidi kukulinda ili utangazie mataifa ukuuu , upendo wa mungu , na uwongo wa shetan na kazi zake mimi huwa nabarikiwa sana hasa pale niki kusikiliza

  • @sarahjacobs8814
    @sarahjacobs8814 2 года назад +1

    Barikiwa sana mtumishi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @marymkumbimarymkumbi5153
    @marymkumbimarymkumbi5153 Год назад +2

    Meshaki endelea kufanya kazi ya mungu,na mungu amekuita kwa kazi yake atakama utaitwa kafiri ni mipango yao ktk kukutoa kwenye ukwer mungu akutunze na kumtumikia tuko nyuma yako kaka 🙏🙏🙏

  • @rahmamusa4484
    @rahmamusa4484 Год назад +1

    Mungu n mkuu aliye kuokoa

  • @sebastianmwita9149
    @sebastianmwita9149 2 года назад +1

    Barikiwa sana mtumishi, karibu sana kwa Yesu kristu

  • @trophywilson7211
    @trophywilson7211 2 года назад +2

    Asante saana ila usiwe unanyoa Denge au pank nakuogopa maan ulikotoka ndiko kuna uchafu wote,Asante

  • @furahahappiness110
    @furahahappiness110 2 года назад +1

    Amen 🙏 ivi nitafwatilia neno la Mungu apa kwa Amani be blessed 🙌 😇

  • @davidwambura5915
    @davidwambura5915 2 года назад +1

    Hongera Sana mtumishi.

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад +1

    Ubarikiwe Mtumishi nilikuwa natafuta account zako huku youtube

  • @venanceselegebu8566
    @venanceselegebu8566 Год назад +1

    ubarikiwe sana

  • @happynessantony2700
    @happynessantony2700 Год назад +1

    Kazi yako ni njema endelea usikate tamaa Jina la Yesu litukuzwe

  • @mariamkasekwa8933
    @mariamkasekwa8933 3 года назад +2

    Nimebarikiwa sanasana

  • @maryamayitsa6181
    @maryamayitsa6181 2 года назад +1

    Shalom mtumishi wa Mungu, mungu amekuleta nakusudi kupitia kwako mioyo mingi itapona nakutazama toka kenya 🇰🇪 ww nimti wenyewe matunda usiogope mawe niko pamoja na ww, glory to God 🙏.

  • @emmanuelissack9402
    @emmanuelissack9402 2 года назад +1

    U arikiwe mtushi tunaomba sku moja ulete neno la mungu tabora

  • @edwinkaris9602
    @edwinkaris9602 2 года назад +1

    wah hii ni deep information..from kenya...testimony nzuri kabisa

  • @NeemaKapusi
    @NeemaKapusi 10 месяцев назад

    YESU unatosha

  • @elisonphilipo5028
    @elisonphilipo5028 Год назад +1

    Ubarikiwe

  • @mocranaburugi3486
    @mocranaburugi3486 2 года назад +3

    Mtumishi mimi nashauri ushuhuda wako ungeusimulia pia humu kwa mapana

  • @mkulimatarimoamina8316
    @mkulimatarimoamina8316 2 года назад +2

    Mch ubarikiwe.NAOMBA uwe unasema kwa kiarabu na kiswahili inalete ladha ya kusikia na kufikirisha

  • @philipmbaabu6169
    @philipmbaabu6169 Год назад +1

    Am listening. Thank you.

  • @barakamanu1514
    @barakamanu1514 2 года назад +1

    Asante kwa kuachilia video hizi, maarifa haya ni muhimu maishani.

  • @aishaarusha894
    @aishaarusha894 2 года назад +4

    Laanatullah

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      roho ya mhamad toka kwa jina yesu majini mizim mapepo roho ya ugaid

  • @jamesoseko6245
    @jamesoseko6245 2 года назад +1

    God bless you pastor

  • @romathosimfukwe4240
    @romathosimfukwe4240 Год назад

    Yesu akuinue Meshack your choosen since

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Год назад

    aisee ule ushuhuda wako wa kutoa kafara watoto wachanga ulinifanya nivutiwe sana na wewe mungu akibariki sanaaa

  • @elizabethmbugua7701
    @elizabethmbugua7701 3 года назад +1

    Glory to God! God bless you and keep you.

  • @WistonMlomo
    @WistonMlomo Год назад

    Mungu akubariki sana

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад +3

    Amen amen🙏

  • @tuntufyegwamaka2404
    @tuntufyegwamaka2404 Год назад

    Mungu akubariki

  • @joelyjoely7827
    @joelyjoely7827 2 года назад +5

    MM NINABII NANIPO KIGOMA WEWE UMTUMISH WA MUNGU NA UTAWASAIDIA DUNIA UNACHOKITU KIKUU MUNGU AMEKULETA KWA KUSUD

  • @frankbella4271
    @frankbella4271 Год назад

    Ameen

  • @boldleader94
    @boldleader94 2 года назад +2

    Acha danganya watu....malipo hapahapa subiri mwisho wako utautapa 🤣

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 2 года назад

      Kila mmoja anachagua njia yake ,nawe ulichagua hiyo ya kuongozwa Na Majini hongera

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      utaerewa Nini mizim ya mhamad umesha kufunga ufaham mungu Yuko rohoni hayuko mwirini Kama uriyvo fundishwa na masheh wa majini na waganga na wachawi na magaid dunian

  • @vklhkhjji8070
    @vklhkhjji8070 Год назад +1

    Umechagu dunia kuliko akhera,lkn ujue dunia itaisha kaka.

  • @zawia3154
    @zawia3154 2 года назад +1

    Ulitakiwa kutubu Toba ya kweli Kwa Allah na sio kukufuru lakini kwakua umechagua Dunia basi Allah atakulipa Dunia Yako lakini akhera huna Cha kurithi na wew unafahamu

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      Yani ufahamu wa rohoni hautokani na mawazo ya kimwiri Kama wewe uriyvo fundishwa kufuga majin na umganga na ugaid na matusi utaerewa Nini wakati mhamad wako arikufa jumura hakufufuka rakini yesu arifufuka mpaga majini tuyatoe msikitini muwe huru na masheh wa kichawi

    • @blackwarrior-animations593
      @blackwarrior-animations593 Год назад +1

      @@isayajerad shauri yenu huyo yesu mnao muamini ndo tumaini lenu atawakataa
      siku ya mwisho

    • @nuriagodana1568
      @nuriagodana1568 4 месяца назад

      Ama kweli angetubu tobah kwa Allah kwa kuuwa roho bila hatia lkn amejichanganya zaidi maana Yesu pia ni kiumbe cha Allah akaletwa kupitia kiumbe kigingine Marym bint Imran ingawa Allah kampatia sifa hizo za kufufua na kufanya wapofu waone ila ni nguvu za Allah

  • @josephnkwamino6509
    @josephnkwamino6509 Год назад

    Kwake yeye YESU KRISTO kila goti litapigwa jina la BWANA lihimidiwe

  • @damarisnjeri7820
    @damarisnjeri7820 Год назад

    I've tried your number man of God but haiendi through

  • @rehemabrighton3176
    @rehemabrighton3176 Год назад

    👏👏👏👏🙏🏾

  • @veronicaseiyo4057
    @veronicaseiyo4057 2 года назад

    Amina

  • @luvmo04
    @luvmo04 2 года назад +1

    Wadanganye wakupe sadaka kwa wingi

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      majini ya muhamadi yameaza kupata shida Mimi niwashauri Kama mnataka kuigia mbinguni mwaminini yesu muwe huru IRA Kama mnataka kumwamini shetani yupo mhamad na wafasi wake wenye majini wa ganga mahgaidi wagivi wenye mizim wafuga majini hii hjia ya piri Ni hatari

    • @frankbella4271
      @frankbella4271 Год назад

      yesu ni mshindi

  • @SunguraShabani
    @SunguraShabani 11 месяцев назад

    Mungu akutunze siku zote
    ISAYA 54
    17 Kila silaha itakayofanyika juu yako haitafanikiwa na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa, huu ndio urithi wa watumishi wa Bwana, na haki yao inayotoka kwangu mimi asema Bwana.
    Amen !!!

  • @jhfgbn87hshswj17
    @jhfgbn87hshswj17 2 года назад

    Wewe acha kwani wisiramu nibiasha au

  • @zawadianagabriel9768
    @zawadianagabriel9768 3 года назад +1

    Mtumishi usisahau kuzungumzia aina za limbwata na namna gani utazijua na dalili zake

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 2 года назад +1

    "KAJICHAWI"

    • @abelmbata37
      @abelmbata37 2 года назад

      Kwani unateseka

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      kwa jina ra yesu roho ya mhamad toka majini roho ya ugaidi roho za uganga roho jini maimuna makata wewe jini kishimba mtoka huyu

  • @abuhassan9552
    @abuhassan9552 Год назад

    WEWE USIJAGAMBE KUWA ULIKUWA MISLAMU WEWE ULIKUWA MSHIRIKINA UKIABUDU MIDHIMU NALEO PIA UMEENDA HUKO HUKO KWA USHIRIKINA

  • @repentjesusiscomingsoon8799
    @repentjesusiscomingsoon8799 3 года назад +1

    Swali langu, wakati mwingi naamka najikuta nimechanjwa chale, zingne ata damu imetoka au wakati mwingne nikiwa nimetulia tu nashtukia nimechanjwa wa kunichanja simuoni, hii nayo ndio nini? Naomba unisaidie usinilenge kama wengne

    • @ministermeshack
      @ministermeshack  3 года назад +1

      Ntumie ujumbe whatsapa nitakujibu zaidi mtu wa Mungu

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      @@ministermeshack mtumishi naomba mamba yako

  • @zawia3154
    @zawia3154 2 года назад

    Meshack wew ulikua mchawi kwaiyo ulikufukuru tangu hujaingia kwenye ukristo kwaiyo ukaacha uchawi ukaja kukufukuru Kwa ukristo lakini hakuna Aya kwenye Quran inafundisha uchawi na wew unajua kwaiyo unazidi kuangamia

    • @yakobomkristo872
      @yakobomkristo872 Год назад

      Alifikiri Akiusoma Sana Uislamu Atakuwa Mcha Mungu, Alipogundua Kwamba Alikuwa Anaingia Choo Cha Kike Cha Ibilisi Akashtuka Na Kukimbilia Kwa Yesu.

    • @viddamgeneka-fo9fp
      @viddamgeneka-fo9fp Год назад

      ​@@yakobomkristo872 ameokolewa kwa neema

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      Mimi nikushauri kijana wewe Urie fugishwa majini na kufudisha kuwa gaidi wa mhamad kwa Nini usitumie mda vizuri badara ya kufuga majini ukamwamini yesu harafu ukafuga kuku

  • @dr.sendeuonlinetv2916
    @dr.sendeuonlinetv2916 2 года назад +3

    Unaongea nn kafiri mkubwa wewe umeuza dini ya Allah kwa kutafuta kula 2 huna lolote

    • @kabarezephanie3573
      @kabarezephanie3573 2 года назад

      Tokeni ndani ya giza uzaliwe Malaya piri

    • @daviddavid-gq8zp
      @daviddavid-gq8zp 2 года назад

      Allah azidi kukubariki kwa jina la Mohammed bin Abdallah...Takbiiiiiiiiiir.

    • @isayajerad
      @isayajerad Год назад

      Mimi nikushauri wewe mfuga majini kwanini msijiziirishe mkamwamini yesu badara ya kuwa taperi wa mhamad na mfuga majini na mchawi Kama masheh wezako na magaid na mwenye mizim kwanini mda wakufuga majini usimtafute mungu

  • @theblackandrew4119
    @theblackandrew4119 2 года назад

    Kuna madhara gani kwa mkristo kutumia mimea ambayo haipatani na uchawi ilikujikinga na uchawi.
    Mfano nachukua majani ambayo yanatofautiana na uchawi nayaweka kwenye pembe za shamba au nachanganya majani na maji halafu nadekia ndani ya nyumba.Kisha nafanya na maombi

  • @failaprince9250
    @failaprince9250 6 месяцев назад

    Mtumishi ubarikiwe sana kabisa mtumishi achana naiyo mitindo yakunyowanyele ivyo nyowa kikawa ida tu usije ukakose mbingu kwakitu kidogo amina amina ubarikiwe kabisa