PART10:HUSSEIN MUBARACK ALIESEOMEA UCHAWI NCHI 6 NA OSAMA/SADDAM/GADAFFI/OSAMAH HAJAFA NAJUA ALIPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 150

  • @dodoted5033
    @dodoted5033 Год назад +4

    Yesu ni Nuru,neno,uzima,uhai,mkombozi,njooni nyote mnywe maji ya uzima mpate kuishi.
    Davistar showers of blessings upon you.
    Asante kwa maswali mazuri.
    Barikiwa Mtumishi Paul,Mungu akulinde akutunze kwa jina la Yesu.💕❤

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +1

    Muhammad aliwapumbaza Waislamu sana, hakuwa mtume wa kweli

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Год назад +15

    Chenye nimejifuz leo na hii part 10,ni kwamba ALLAH NI BABA WA UOGO,kukbe Allah ni Ibilizi ,nduku zanguni njooni kwa yesu kuna amani tele 🙏🙏🙏

    • @omarabdulrahman6416
      @omarabdulrahman6416 Год назад +1

      Weee Kumamako fanya Heshima na Dini Za Watu Na Unamchezea Allah akikujibu utaweza?

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 Год назад +1

      @@omarabdulrahman6416 matusi ya nini si Quran yenyewe ndo imeandika kwan katoa kichwani

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Год назад +2

    HAKIKA MWENYE MASIKIO NA ASIKIE. AHSANTE SANA BABA MUBARAKA KWA KUISIMAMIA NA KUITANGAZA KWELI KATIKA JINA LA MWOKOZI WETU YESU CHRISTO. UMEBARIKIWA NA NI IMANI YANGU KWAMBA UMESHAOKOA WENGI WAKRISTO NA WAISILAMU. THANK YOU ❤️🙏🏾

  • @kithia100
    @kithia100 Год назад +9

    Kwani huyoo mungu wao ulewa laugha Moja tu kiarabu or Nini wanaficha watu wasujue..... Ukiona mtu sio muwazi think twice either ni mwizi , or conman

  • @destinydesire3796
    @destinydesire3796 Год назад +4

    JESUS you're King of Kings I bless Your HOLY Name

  • @HermanLyimo-rf3co
    @HermanLyimo-rf3co Год назад

    Shalomu bwana yesu apewe sifa hongera sana nimebarikiriwa sana mchungaji naushuhuda wako hujatoa hatakibu mchungaji

  • @drnow1528
    @drnow1528 Год назад +3

    Ndugu zetu waislamu hakuna kimbilio Yesu Pekee. Njooni karibuni muokoke

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      Yes jehanamu ipo KWA NN tuangamie KWA kutenda dhambi

  • @MwajumaRamadhani-t8w
    @MwajumaRamadhani-t8w 4 месяца назад

    Ubarikiwe sana ndugu katika yesu

  • @drnow1528
    @drnow1528 Год назад +4

    Bwana yesu asifiwe

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад +1

    Bwana Yesu atukuzwe kwa kila jambo 🙏🙏🙏

  • @emilynyaga5947
    @emilynyaga5947 Год назад +3

    God loves us all..his will is to see all of us in heaven one day...lets open our hearts and invite JESUS for the salvation or our souls

  • @amishambar3418
    @amishambar3418 19 дней назад

    Jina la BWANA litukuzwe🙏🙏🙏🙏

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 Год назад +3

    Na waislamu hawaamini Yesu kafa kwahivyo nimakafiri

  • @dominickimeu6219
    @dominickimeu6219 Год назад +4

    Praised be the name of the Lord Jesus. John 14:6

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 Год назад +6

    @ Davistar naomba kina Mazinge na wenzie na uyu Mr.Paul wafaanye mdaharo wa pamoja tusikie hoja zao

    • @juliuskalama2746
      @juliuskalama2746 Год назад

      Ninavyo muona huyu hawezi shindana

    • @kelvinkatende3871
      @kelvinkatende3871 Год назад +2

      @@juliuskalama2746 mwenye hekima habishani

    • @nyamogafamily9549
      @nyamogafamily9549 Год назад

      Mdahalo wa nn bhna,wale hupenda ushindi hata kama ukweli wanaujua,hawapendi kushindwa wakina mazinge.......

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад +1

      Unaota wewe unataka uyu mwanahabari anyimwe hela za kugharamia harusi yake alizoahidiwa. Huoni mwanahabari ahoji hata hivyo vyuo mwaka gani alisoma na kuhitimu mwaka gani? Vyeti na majina ya hivyo vyuo? Kimyaaaa wala ahoji we unataka arusi yake iharibike kwa kuwaleta mashekhe apo? Hawaletwi ng'oo hata wakijileta hawapewi nafasi, unatakavuruga wadhamini wa harusi

    • @mohamedmohamedy8311
      @mohamedmohamedy8311 Год назад

      huyo paster ni muongo sn....na hawezi kufanya mdahalo na kina mazinge anahofia kwa uongo anaousema kwa watu wasiojua

  • @renatusmtakyawa594
    @renatusmtakyawa594 Год назад +2

    Barikiwa

  • @safiamother1202
    @safiamother1202 Год назад +3

    Kweli misikiti inaweza kugeuzwa na kuwa makanisa

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад

    Nashkuru kujuwa utofawuti ndani ya Bwana Yesu pamoja na Mohammad,

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    Ni hatari Sana bila KUWA na YESU MIOYONI mwetu hatuwezi kupona shetani Hana ADABU kageuza MIOYO yetu tusimwamini YDSU ILA YESU NI MSHINDI TU

  • @drnow1528
    @drnow1528 Год назад +4

    Misikiti tunaweza kuibadilisha ikawa Makanisa

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    HAKUNA Kama YESU yy Ni MSHINDI wa Mambo YOTE na pia HATAKI uzinzi uuajiu UCHAWI na uongo na MENGI mengi

  • @justinendizeye714
    @justinendizeye714 Год назад

    Mwalimu asante sana kwa hili sono🙏

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Год назад +1

    Jamani 5years back nilikutana na Quran ya kizungu nailikua kubwa Sana sahizi najuta mbona sikuibeba jamani

  • @ToloMaji
    @ToloMaji 5 месяцев назад

    Vip kuhusu yale majina 99 ya allah

  • @kithunguesther8551
    @kithunguesther8551 Год назад +2

    Jesus is the Lord Amen

  • @wazomyakinifu2301
    @wazomyakinifu2301 Год назад +3

    Jamani huyu jamaa ni gwiji hasa wa Uislamu. Kafafanua mambo kisomi haswaa. Naona humu ndani waislamu wameingia mitini kabisa. Kila neno la huyu gwiji linaleta madhara makubwa mno kwa Uislamu. Yaani wamepotea kabisa humu ndani . Wanalia na kusaga meno huko waliko! Gwiji anawachana kweli kweli!

    • @richardndegese1448
      @richardndegese1448 Год назад

      sanaaaa

    • @salumabdi3127
      @salumabdi3127 Год назад +1

      😂😂😂 sisi tupo tunamsikiliza kwel gwij ila havunji ss iman yet mm tumesoma dini ytu kwaio hivi vihadithi vyake ss tunamsikiliza tu ss tumwambie nini wakt anajiramba

    • @salumabdi3127
      @salumabdi3127 Год назад

      swala mbn limekatwa kwan Quran dunia nzima ni ile ile na swal ni ile ile

    • @يوسفالسعيدي-ظ7ه
      @يوسفالسعيدي-ظ7ه Год назад

      Anajikosha msaka tonge 😩😂

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Год назад

    Ndomaana waislam wanatumia kiarabu kwasababu watu weng hawaelew kiarabu Mungu si mwarabu naomba Mungu awafungue macho waislam

  • @lululivingstone8298
    @lululivingstone8298 Год назад +3

    Dah dunia ni ngumu tumshukuru aliyetupa pumzi

  • @jasonsaco5192
    @jasonsaco5192 Год назад

    Mwambie atoe tafsiri ya suratu nisai aya ya 157 akiitafsiri vizuri me nitamuamini 100%

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Год назад

    Someni lugha asili ya nabii Musa na yesu nawengine utajuaukweli wa diniyako ndomaana mmedanganywa na wazungu

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад +3

    Nani angetaka kujua pale Qur'an inasema kwamba Allah ndiye MWONGO MKUU?
    *Qur'an 3:54, 8:30
    Nayo Biblia inasema kwamba BABA WA UWONGO ni SHETANI.
    * Yohannah 8:44. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @janethlusekelo8432
    @janethlusekelo8432 Год назад

    Kwann umekatisha ilo swali na majibu yk kutoka kwa much Paul

  • @naketizainabu7803
    @naketizainabu7803 Год назад +1

    Amen

  • @lukresiajohn2177
    @lukresiajohn2177 Год назад

    Amina

  • @janethlusekelo8432
    @janethlusekelo8432 Год назад

    Swali kuhusu kutafsiriwa kwa Quran???

  • @mohamedsuleiman2785
    @mohamedsuleiman2785 Год назад

    WEWE MUONGO SANA QUR AN PIA IME TAFSIRIWA KWA KILA LUGHA

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 Год назад

      Imetafsiri Ila n kiarabu na pia Mungu wenu si mwarabu aelew kiswahili

    • @happinesskitali164
      @happinesskitali164 Год назад

      Tumia tu akili yako kidogo tu mnaswali na majini yaliyo laaniwa na Mungu ni kweli hyo dini ni sahihi

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 Год назад

    Mchungaji yani hivi muda wote hujui jina lake mr everything?

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +4

    " hakika kuna mambo mengi nilikuwa siyajuhi kuhusu dini ya kiislamu kumbe mpaka quruan inawapinga wao😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳

    • @richardndegese1448
      @richardndegese1448 Год назад

      hahaa shida

    • @salumabdi3127
      @salumabdi3127 Год назад +1

      bc km ulikua hujui itafute usome mwenywe sio ivi anavyosoma huyu itakua vzr san ukisoma mwenywe uelewe zaid

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@salumabdi3127 sitaweza maana ni kiarabu

    • @salumabdi3127
      @salumabdi3127 Год назад

      Mbna ipo ambayo ni tafsir ya kiswahili unajua usikubal kila ktu usomewe kwa mfano apo huyo muhubir akisema anatoa ushahid wa aya kwnye quran ww anindika aya yangap na sura ya ngp halfu angalia mwenywe utasoma vzr utajua anachokisema na kilicho andikwa ni swa bc vyovyote utakavyoona bc utakua umelewa kwa kusoma mwenywe ushahid

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@salumabdi3127hivi nikitaka kujifunza kiarabu ni kigumu sana🙄

  • @Ali-ui7qh
    @Ali-ui7qh Год назад

    MUONGO WW NJAA ITAKUWA ATAKUSOMA KIARABU HUJUI BADO UMESOMA LIBYA IRAN SAUDIA KUWEIT MUONGO HAKUNA SHEIKH WA AFRICA NA MASHARIKI MUONGO WW USIPOTEZE WATU

  • @christophersimoni1434
    @christophersimoni1434 Год назад +2

    ee bwanae

  • @elizabethmuia9839
    @elizabethmuia9839 Год назад +2

    Hi ndugu zangu, Bona mimi nimewai ona Quran ya kiswahili or ilikuwa Badia 🤷🏿‍♀️,coz nili nunuliwa na Boss wangu uko Saudi Arabia, na ilikuwa imeadikwa kwa lugha ya KISWAHILI

    • @mazonaone7708
      @mazonaone7708 Год назад

      Kama zipo mbona madrassa wanafundishia za kiarabu mpaka leo na sio za kiswahili na mbona swala na adhana bado wanafanya kiarabu tu kama za kiswahili zipo

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      Zipo

    • @mazonaone7708
      @mazonaone7708 Год назад

      @@mamananga2849 hoja yangu ni kwanini madrasa wasifundishe kiswahili na misikiti kwanini ibada zisiwe za kiswahili

    • @habibadaudi8242
      @habibadaudi8242 Год назад +1

      @@mazonaone7708 misahafu ipo kibao ilio tafsiriwa

    • @habibadaudi8242
      @habibadaudi8242 Год назад

      Ndo hapo sasa na mm nasoma kila siku Tena ime andikwa kiswahili na Arabi

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Год назад

    Unashindwa kujiuliza kwanini makaomakuu ya ukristo yapo Italia nasio Israeli walipokuwa manabii?
    Akili mgando

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 9 месяцев назад

    sasa alikua na cheo lipewa na nani na alikua analipwa na nani? mbona siku hizi davasta huulizi technical quations , trust unapoteza ubora wako, au vile na ww ni mkiristo? mtu anadanganya wazi wazi aisee

  • @christophermwandemange796
    @christophermwandemange796 Год назад

    Sasa Muislamu njoo useme Allah sio Muongo, ili wewe uwe Muongo au Quran, Waislamu Funguka kwa Jina Yesu achana na mapepo na shetani wa msikitini huyo hana huruma uyooo, mwamini YESU KRISTO kamanda mwenye kuokoka

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад +1

    Qur'an iliandikwa kwa Kiarabu maksudi ndio watu wasiweze kujisomea, wategemee uwongo wanaoambiwa. Eti wasomi hudai Biblia imegeuzwa kwa sababu ya kutafsiriwa lugha mbalimbali. Lakini wanaficha ukweli kuwa kuna aina zaidi ya 30 (thelathini) tofauti!!!😂😂😂😂😂

  • @nyamogafamily9549
    @nyamogafamily9549 Год назад

    Kwa hiyo ww kama cyo YESU kukutokea ndotoni ,ungeendelea tu kuabudu kwa shetani?YESU wafungue macho ndugu zetu waislam waokoe wakujue MUNGU WETU ULIE HAI

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Niulize wapendwa ukitaka kusema Mungu wa mbinguni kwa kiarabu wasemaje?

  • @pazi8207
    @pazi8207 Год назад

    Swala la Imani ni gumu tunatakiwa tusifanye vitu kwa miemko yetu huyu mzee anamtuka mtume Ana mkashifu Allah alafu tunafulai tuu

    • @emilynyaga5947
      @emilynyaga5947 Год назад

      He quoted everything from Qur'an...jisomee mwenyewe ujue ukweli

  • @musticonka484
    @musticonka484 Год назад

    Umemuuliza kwanini quran unahisi haijatafsiriwa na ilhali na yeye anajua imetafsiriwa na mkaona hana jibu la kutoa mkaamua kuikata interview

  • @philipmbaabu6169
    @philipmbaabu6169 Год назад

    Quran anayoisoma hifanani na nilionayo. Is it because what I have has been corrupted??

  • @jafaryjey
    @jafaryjey Год назад

    KWANINI MAJINI NA WACHAWI NI ADUI WA NYAMA YA NGURUWE, mwulize

  • @salamalsawaqi1206
    @salamalsawaqi1206 Год назад +1

    Kitabu sio bibilia injili ile ya hakika kwa wana wa izraeli

    • @leahkaruga5522
      @leahkaruga5522 Год назад

      Shida yenu waislamu ushahidi ndio hamna, kitu tunajuwa nikuwa yesu kristo alikufa akafufuka na ndie tunae msubiri ulimwengu wote dini zote Yani wanadamu wooote pia ww

    • @salamalsawaqi1206
      @salamalsawaqi1206 Год назад

      @@leahkaruga5522 aliekufa halafu akafufuka kwani alikua anafanya filam hindi eti mungu kafa

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@salamalsawaqi1206 unapingana na quruan kwahyo al imran aya ya 55

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      @@salamalsawaqi1206 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww

    • @fenellalilian4590
      @fenellalilian4590 Год назад

      Njoo Kwa YESU bro JESUS love's you na mkae mkijuwa waislam wote walio kufa wako kuzimu Kwa iyo ww mrudie Bwana YESU ndiye njia iliyonyooka

  • @emojongtv3995
    @emojongtv3995 Год назад

    ˹Remember˺ when Allah said, “O Jesus! I will take you1 and raise you up to Myself. I will deliver you from those who disbelieve, and elevate your followers above the disbelievers until the Day of Judgment. Then to Me you will ˹all˺ return, and I will settle all your disputes.
    Al Imran 55.mbona tofauti hapa?

  • @ibrahimhassan2566
    @ibrahimhassan2566 Год назад

    Pastor muongo ajibiwa. Anawadanganya Wakristo wajinga ili kujikusanyia sadaka. Njaa imezidi!
    [11/04, 08:34] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/M-9M87wzyGM/видео.html
    [11/04, 08:42] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/e6nz-IuXNRA/видео.html

  • @ruthnuru6720
    @ruthnuru6720 Год назад

    Nina swali kwa Hussein kuhusu majini, je hizi majina za majini ni sawa sawa kila pahali au kila nchi kunna jina tofauti za majini?

  • @queenesther8505
    @queenesther8505 Год назад +1

    So who is the real kafir?????😅😂

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Год назад

    Umejipatia wajinga wakudanganya aisee kwani manabii wakale waliubiri kwa kiswahili Yani umefeli aisee

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад

    Acha tu subir masheikh nao wanasemaje maana ucjifanye ww baba ndo umesoma sana ukawashinda na masheikh wetu acha uongo

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      Haya huyu unasema anaongea uongo sasa mbona wewe huusemi uongo wake? Utaje huo uongo kupitia Aya anazosema za kudanganya hizi dini tumeletewa hivyo chochote unacho sikia kitafakari na kifanyie kazi. Mfano wetu Wakristo mwanzo tuliona Wakatoliki ndio Dini ya Ukristo ya kweli kumbe ndani yake ni Dhehebu lenye kupindisha kweli na kufata miongozo ya mtu PAPA ambae ni Jasusi kubwa la Freemason hivyo wachache walio jua kweli wamekimbia lile dhehebu hivyo hata walibaki muda wao ukifika nao watakimbia tuu

    • @michaelrweramila7551
      @michaelrweramila7551 Год назад

      Tulieni dawa iwaingie na baba wenu wa uongo allah shetani

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 Год назад

      Mashehe wanatoa maneno tu hawatoe maandiko.

    • @musaissa7463
      @musaissa7463 Год назад

      usiufanye moyo wako kua mgumu kuukataa ukweli!

    • @bustedislam3578
      @bustedislam3578 Год назад

      @@musaissa7463 Mapepo ya uislamu hayawezi muruhusu. Roho mtakatifu atamfundisha ataelewa vizuri

  • @Mimi-oe9nt
    @Mimi-oe9nt Год назад

    Njia ya muongo fupi na Mungu hamfichi mnafikiri…. Kama wewe umesoma ila hukuelimika, I hate to disrespect older but unakirihisha…. Kuna misahafu ya tafsiri tokea mimi sikuzaliwa … na wewe Davista h embu fanya research kwanza khaaaaa !

    • @Mimi-oe9nt
      @Mimi-oe9nt Год назад

      Kuna msahafu wa tafsiri ya Kiswahili ya Sheikh Abdalla Farsi tokea 70s eti unaona ufahari kujisemesha kiarabu hiyo ni lugha kama lugha nyengine

    • @Mimi-oe9nt
      @Mimi-oe9nt Год назад

      Acha kusoma aya za Quran uongo, Mnafikiri mkubwa wewe Mtume SAW kapewa noble na wazungu anatambulika, suratul Imran ilisema haya maneno baada ya kusema yesu mwana wa Mungu, na kusemwa kafa… ma kataluhu wana swalabuhu walakin shubuha lahum…. Suratul Imran imesema Issa AS hajakufa na wala hakasulubiwa ila amepaishwa mbinguni….. wewe ushazoea kuabudu shetwani basi kila mtu shetwani…. Davista I swear nilisema hii channel nisiangalie ila sitoacha watu wakasema uongo.

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад

      @@Mimi-oe9nt alafu we mtu mbona unataka kuharibu wadhamini wa harusi ya muandishi wetu. Acha wajimwage ili harusi ifane.wamemuahidi kuigharamia

    • @Mimi-oe9nt
      @Mimi-oe9nt Год назад

      @@khalidyasinkhalid5944 haha wanajuana hao🤪🤪🤪🤪🤪

    • @michaelrweramila7551
      @michaelrweramila7551 Год назад +1

      Tulieni dawa iwaingie mujue km Ibilisi mnayemuita allah wenu kuwa ni muongo na kawadanganya vby 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
      makasiriko yanaruhusiwa nyie na allah wenu😂😂😂😂