Yesu ni Nuru,neno,uzima,uhai,mkombozi,njooni nyote mnywe maji ya uzima mpate kuishi. Davistar showers of blessings upon you. Asante kwa maswali mazuri. Barikiwa Mtumishi Paul,Mungu akulinde akutunze kwa jina la Yesu.💕❤
HAKIKA MWENYE MASIKIO NA ASIKIE. AHSANTE SANA BABA MUBARAKA KWA KUISIMAMIA NA KUITANGAZA KWELI KATIKA JINA LA MWOKOZI WETU YESU CHRISTO. UMEBARIKIWA NA NI IMANI YANGU KWAMBA UMESHAOKOA WENGI WAKRISTO NA WAISILAMU. THANK YOU ❤️🙏🏾
Unaota wewe unataka uyu mwanahabari anyimwe hela za kugharamia harusi yake alizoahidiwa. Huoni mwanahabari ahoji hata hivyo vyuo mwaka gani alisoma na kuhitimu mwaka gani? Vyeti na majina ya hivyo vyuo? Kimyaaaa wala ahoji we unataka arusi yake iharibike kwa kuwaleta mashekhe apo? Hawaletwi ng'oo hata wakijileta hawapewi nafasi, unatakavuruga wadhamini wa harusi
Jamani huyu jamaa ni gwiji hasa wa Uislamu. Kafafanua mambo kisomi haswaa. Naona humu ndani waislamu wameingia mitini kabisa. Kila neno la huyu gwiji linaleta madhara makubwa mno kwa Uislamu. Yaani wamepotea kabisa humu ndani . Wanalia na kusaga meno huko waliko! Gwiji anawachana kweli kweli!
😂😂😂 sisi tupo tunamsikiliza kwel gwij ila havunji ss iman yet mm tumesoma dini ytu kwaio hivi vihadithi vyake ss tunamsikiliza tu ss tumwambie nini wakt anajiramba
Nani angetaka kujua pale Qur'an inasema kwamba Allah ndiye MWONGO MKUU? *Qur'an 3:54, 8:30 Nayo Biblia inasema kwamba BABA WA UWONGO ni SHETANI. * Yohannah 8:44. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mbna ipo ambayo ni tafsir ya kiswahili unajua usikubal kila ktu usomewe kwa mfano apo huyo muhubir akisema anatoa ushahid wa aya kwnye quran ww anindika aya yangap na sura ya ngp halfu angalia mwenywe utasoma vzr utajua anachokisema na kilicho andikwa ni swa bc vyovyote utakavyoona bc utakua umelewa kwa kusoma mwenywe ushahid
MUONGO WW NJAA ITAKUWA ATAKUSOMA KIARABU HUJUI BADO UMESOMA LIBYA IRAN SAUDIA KUWEIT MUONGO HAKUNA SHEIKH WA AFRICA NA MASHARIKI MUONGO WW USIPOTEZE WATU
Hi ndugu zangu, Bona mimi nimewai ona Quran ya kiswahili or ilikuwa Badia 🤷🏿♀️,coz nili nunuliwa na Boss wangu uko Saudi Arabia, na ilikuwa imeadikwa kwa lugha ya KISWAHILI
Kama zipo mbona madrassa wanafundishia za kiarabu mpaka leo na sio za kiswahili na mbona swala na adhana bado wanafanya kiarabu tu kama za kiswahili zipo
sasa alikua na cheo lipewa na nani na alikua analipwa na nani? mbona siku hizi davasta huulizi technical quations , trust unapoteza ubora wako, au vile na ww ni mkiristo? mtu anadanganya wazi wazi aisee
Sasa Muislamu njoo useme Allah sio Muongo, ili wewe uwe Muongo au Quran, Waislamu Funguka kwa Jina Yesu achana na mapepo na shetani wa msikitini huyo hana huruma uyooo, mwamini YESU KRISTO kamanda mwenye kuokoka
Qur'an iliandikwa kwa Kiarabu maksudi ndio watu wasiweze kujisomea, wategemee uwongo wanaoambiwa. Eti wasomi hudai Biblia imegeuzwa kwa sababu ya kutafsiriwa lugha mbalimbali. Lakini wanaficha ukweli kuwa kuna aina zaidi ya 30 (thelathini) tofauti!!!😂😂😂😂😂
Kwa hiyo ww kama cyo YESU kukutokea ndotoni ,ungeendelea tu kuabudu kwa shetani?YESU wafungue macho ndugu zetu waislam waokoe wakujue MUNGU WETU ULIE HAI
Shida yenu waislamu ushahidi ndio hamna, kitu tunajuwa nikuwa yesu kristo alikufa akafufuka na ndie tunae msubiri ulimwengu wote dini zote Yani wanadamu wooote pia ww
˹Remember˺ when Allah said, “O Jesus! I will take you1 and raise you up to Myself. I will deliver you from those who disbelieve, and elevate your followers above the disbelievers until the Day of Judgment. Then to Me you will ˹all˺ return, and I will settle all your disputes. Al Imran 55.mbona tofauti hapa?
Haya huyu unasema anaongea uongo sasa mbona wewe huusemi uongo wake? Utaje huo uongo kupitia Aya anazosema za kudanganya hizi dini tumeletewa hivyo chochote unacho sikia kitafakari na kifanyie kazi. Mfano wetu Wakristo mwanzo tuliona Wakatoliki ndio Dini ya Ukristo ya kweli kumbe ndani yake ni Dhehebu lenye kupindisha kweli na kufata miongozo ya mtu PAPA ambae ni Jasusi kubwa la Freemason hivyo wachache walio jua kweli wamekimbia lile dhehebu hivyo hata walibaki muda wao ukifika nao watakimbia tuu
Njia ya muongo fupi na Mungu hamfichi mnafikiri…. Kama wewe umesoma ila hukuelimika, I hate to disrespect older but unakirihisha…. Kuna misahafu ya tafsiri tokea mimi sikuzaliwa … na wewe Davista h embu fanya research kwanza khaaaaa !
Acha kusoma aya za Quran uongo, Mnafikiri mkubwa wewe Mtume SAW kapewa noble na wazungu anatambulika, suratul Imran ilisema haya maneno baada ya kusema yesu mwana wa Mungu, na kusemwa kafa… ma kataluhu wana swalabuhu walakin shubuha lahum…. Suratul Imran imesema Issa AS hajakufa na wala hakasulubiwa ila amepaishwa mbinguni….. wewe ushazoea kuabudu shetwani basi kila mtu shetwani…. Davista I swear nilisema hii channel nisiangalie ila sitoacha watu wakasema uongo.
Yesu ni Nuru,neno,uzima,uhai,mkombozi,njooni nyote mnywe maji ya uzima mpate kuishi.
Davistar showers of blessings upon you.
Asante kwa maswali mazuri.
Barikiwa Mtumishi Paul,Mungu akulinde akutunze kwa jina la Yesu.💕❤
Muhammad aliwapumbaza Waislamu sana, hakuwa mtume wa kweli
Chenye nimejifuz leo na hii part 10,ni kwamba ALLAH NI BABA WA UOGO,kukbe Allah ni Ibilizi ,nduku zanguni njooni kwa yesu kuna amani tele 🙏🙏🙏
Weee Kumamako fanya Heshima na Dini Za Watu Na Unamchezea Allah akikujibu utaweza?
@@omarabdulrahman6416 matusi ya nini si Quran yenyewe ndo imeandika kwan katoa kichwani
HAKIKA MWENYE MASIKIO NA ASIKIE. AHSANTE SANA BABA MUBARAKA KWA KUISIMAMIA NA KUITANGAZA KWELI KATIKA JINA LA MWOKOZI WETU YESU CHRISTO. UMEBARIKIWA NA NI IMANI YANGU KWAMBA UMESHAOKOA WENGI WAKRISTO NA WAISILAMU. THANK YOU ❤️🙏🏾
Kwani huyoo mungu wao ulewa laugha Moja tu kiarabu or Nini wanaficha watu wasujue..... Ukiona mtu sio muwazi think twice either ni mwizi , or conman
Hahaha that's great funny
JESUS you're King of Kings I bless Your HOLY Name
Shalomu bwana yesu apewe sifa hongera sana nimebarikiriwa sana mchungaji naushuhuda wako hujatoa hatakibu mchungaji
Ndugu zetu waislamu hakuna kimbilio Yesu Pekee. Njooni karibuni muokoke
Yes jehanamu ipo KWA NN tuangamie KWA kutenda dhambi
Ubarikiwe sana ndugu katika yesu
Bwana yesu asifiwe
Bwana Yesu atukuzwe kwa kila jambo 🙏🙏🙏
God loves us all..his will is to see all of us in heaven one day...lets open our hearts and invite JESUS for the salvation or our souls
Jina la BWANA litukuzwe🙏🙏🙏🙏
Na waislamu hawaamini Yesu kafa kwahivyo nimakafiri
Praised be the name of the Lord Jesus. John 14:6
@ Davistar naomba kina Mazinge na wenzie na uyu Mr.Paul wafaanye mdaharo wa pamoja tusikie hoja zao
Ninavyo muona huyu hawezi shindana
@@juliuskalama2746 mwenye hekima habishani
Mdahalo wa nn bhna,wale hupenda ushindi hata kama ukweli wanaujua,hawapendi kushindwa wakina mazinge.......
Unaota wewe unataka uyu mwanahabari anyimwe hela za kugharamia harusi yake alizoahidiwa. Huoni mwanahabari ahoji hata hivyo vyuo mwaka gani alisoma na kuhitimu mwaka gani? Vyeti na majina ya hivyo vyuo? Kimyaaaa wala ahoji we unataka arusi yake iharibike kwa kuwaleta mashekhe apo? Hawaletwi ng'oo hata wakijileta hawapewi nafasi, unatakavuruga wadhamini wa harusi
huyo paster ni muongo sn....na hawezi kufanya mdahalo na kina mazinge anahofia kwa uongo anaousema kwa watu wasiojua
Barikiwa
Kweli misikiti inaweza kugeuzwa na kuwa makanisa
Nashkuru kujuwa utofawuti ndani ya Bwana Yesu pamoja na Mohammad,
Ni hatari Sana bila KUWA na YESU MIOYONI mwetu hatuwezi kupona shetani Hana ADABU kageuza MIOYO yetu tusimwamini YDSU ILA YESU NI MSHINDI TU
Misikiti tunaweza kuibadilisha ikawa Makanisa
Amen in Jesus Name Amen
HAKUNA Kama YESU yy Ni MSHINDI wa Mambo YOTE na pia HATAKI uzinzi uuajiu UCHAWI na uongo na MENGI mengi
Mwalimu asante sana kwa hili sono🙏
Jamani 5years back nilikutana na Quran ya kizungu nailikua kubwa Sana sahizi najuta mbona sikuibeba jamani
Vip kuhusu yale majina 99 ya allah
Jesus is the Lord Amen
Jamani huyu jamaa ni gwiji hasa wa Uislamu. Kafafanua mambo kisomi haswaa. Naona humu ndani waislamu wameingia mitini kabisa. Kila neno la huyu gwiji linaleta madhara makubwa mno kwa Uislamu. Yaani wamepotea kabisa humu ndani . Wanalia na kusaga meno huko waliko! Gwiji anawachana kweli kweli!
sanaaaa
😂😂😂 sisi tupo tunamsikiliza kwel gwij ila havunji ss iman yet mm tumesoma dini ytu kwaio hivi vihadithi vyake ss tunamsikiliza tu ss tumwambie nini wakt anajiramba
swala mbn limekatwa kwan Quran dunia nzima ni ile ile na swal ni ile ile
Anajikosha msaka tonge 😩😂
Ndomaana waislam wanatumia kiarabu kwasababu watu weng hawaelew kiarabu Mungu si mwarabu naomba Mungu awafungue macho waislam
Dah dunia ni ngumu tumshukuru aliyetupa pumzi
Mwambie atoe tafsiri ya suratu nisai aya ya 157 akiitafsiri vizuri me nitamuamini 100%
Someni lugha asili ya nabii Musa na yesu nawengine utajuaukweli wa diniyako ndomaana mmedanganywa na wazungu
Nani angetaka kujua pale Qur'an inasema kwamba Allah ndiye MWONGO MKUU?
*Qur'an 3:54, 8:30
Nayo Biblia inasema kwamba BABA WA UWONGO ni SHETANI.
* Yohannah 8:44. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwann umekatisha ilo swali na majibu yk kutoka kwa much Paul
Amen
Amina
Swali kuhusu kutafsiriwa kwa Quran???
WEWE MUONGO SANA QUR AN PIA IME TAFSIRIWA KWA KILA LUGHA
Imetafsiri Ila n kiarabu na pia Mungu wenu si mwarabu aelew kiswahili
Tumia tu akili yako kidogo tu mnaswali na majini yaliyo laaniwa na Mungu ni kweli hyo dini ni sahihi
Mchungaji yani hivi muda wote hujui jina lake mr everything?
" hakika kuna mambo mengi nilikuwa siyajuhi kuhusu dini ya kiislamu kumbe mpaka quruan inawapinga wao😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
hahaa shida
bc km ulikua hujui itafute usome mwenywe sio ivi anavyosoma huyu itakua vzr san ukisoma mwenywe uelewe zaid
@@salumabdi3127 sitaweza maana ni kiarabu
Mbna ipo ambayo ni tafsir ya kiswahili unajua usikubal kila ktu usomewe kwa mfano apo huyo muhubir akisema anatoa ushahid wa aya kwnye quran ww anindika aya yangap na sura ya ngp halfu angalia mwenywe utasoma vzr utajua anachokisema na kilicho andikwa ni swa bc vyovyote utakavyoona bc utakua umelewa kwa kusoma mwenywe ushahid
@@salumabdi3127hivi nikitaka kujifunza kiarabu ni kigumu sana🙄
MUONGO WW NJAA ITAKUWA ATAKUSOMA KIARABU HUJUI BADO UMESOMA LIBYA IRAN SAUDIA KUWEIT MUONGO HAKUNA SHEIKH WA AFRICA NA MASHARIKI MUONGO WW USIPOTEZE WATU
ee bwanae
Hi ndugu zangu, Bona mimi nimewai ona Quran ya kiswahili or ilikuwa Badia 🤷🏿♀️,coz nili nunuliwa na Boss wangu uko Saudi Arabia, na ilikuwa imeadikwa kwa lugha ya KISWAHILI
Kama zipo mbona madrassa wanafundishia za kiarabu mpaka leo na sio za kiswahili na mbona swala na adhana bado wanafanya kiarabu tu kama za kiswahili zipo
Zipo
@@mamananga2849 hoja yangu ni kwanini madrasa wasifundishe kiswahili na misikiti kwanini ibada zisiwe za kiswahili
@@mazonaone7708 misahafu ipo kibao ilio tafsiriwa
Ndo hapo sasa na mm nasoma kila siku Tena ime andikwa kiswahili na Arabi
Unashindwa kujiuliza kwanini makaomakuu ya ukristo yapo Italia nasio Israeli walipokuwa manabii?
Akili mgando
sasa alikua na cheo lipewa na nani na alikua analipwa na nani? mbona siku hizi davasta huulizi technical quations , trust unapoteza ubora wako, au vile na ww ni mkiristo? mtu anadanganya wazi wazi aisee
Sasa Muislamu njoo useme Allah sio Muongo, ili wewe uwe Muongo au Quran, Waislamu Funguka kwa Jina Yesu achana na mapepo na shetani wa msikitini huyo hana huruma uyooo, mwamini YESU KRISTO kamanda mwenye kuokoka
Qur'an iliandikwa kwa Kiarabu maksudi ndio watu wasiweze kujisomea, wategemee uwongo wanaoambiwa. Eti wasomi hudai Biblia imegeuzwa kwa sababu ya kutafsiriwa lugha mbalimbali. Lakini wanaficha ukweli kuwa kuna aina zaidi ya 30 (thelathini) tofauti!!!😂😂😂😂😂
Kwa hiyo ww kama cyo YESU kukutokea ndotoni ,ungeendelea tu kuabudu kwa shetani?YESU wafungue macho ndugu zetu waislam waokoe wakujue MUNGU WETU ULIE HAI
Niulize wapendwa ukitaka kusema Mungu wa mbinguni kwa kiarabu wasemaje?
Hawana Mungu wale isipokuwa mzimu wao wa Allah
@@wazomyakinifu2301 kwahyo hakuna waarabu wakristo
Swala la Imani ni gumu tunatakiwa tusifanye vitu kwa miemko yetu huyu mzee anamtuka mtume Ana mkashifu Allah alafu tunafulai tuu
He quoted everything from Qur'an...jisomee mwenyewe ujue ukweli
Umemuuliza kwanini quran unahisi haijatafsiriwa na ilhali na yeye anajua imetafsiriwa na mkaona hana jibu la kutoa mkaamua kuikata interview
Quran anayoisoma hifanani na nilionayo. Is it because what I have has been corrupted??
KWANINI MAJINI NA WACHAWI NI ADUI WA NYAMA YA NGURUWE, mwulize
Kitabu sio bibilia injili ile ya hakika kwa wana wa izraeli
Shida yenu waislamu ushahidi ndio hamna, kitu tunajuwa nikuwa yesu kristo alikufa akafufuka na ndie tunae msubiri ulimwengu wote dini zote Yani wanadamu wooote pia ww
@@leahkaruga5522 aliekufa halafu akafufuka kwani alikua anafanya filam hindi eti mungu kafa
@@salamalsawaqi1206 unapingana na quruan kwahyo al imran aya ya 55
@@salamalsawaqi1206 🤣🤣🤣🤣🤣🤣ww
Njoo Kwa YESU bro JESUS love's you na mkae mkijuwa waislam wote walio kufa wako kuzimu Kwa iyo ww mrudie Bwana YESU ndiye njia iliyonyooka
˹Remember˺ when Allah said, “O Jesus! I will take you1 and raise you up to Myself. I will deliver you from those who disbelieve, and elevate your followers above the disbelievers until the Day of Judgment. Then to Me you will ˹all˺ return, and I will settle all your disputes.
Al Imran 55.mbona tofauti hapa?
Pastor muongo ajibiwa. Anawadanganya Wakristo wajinga ili kujikusanyia sadaka. Njaa imezidi!
[11/04, 08:34] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/M-9M87wzyGM/видео.html
[11/04, 08:42] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/e6nz-IuXNRA/видео.html
Nina swali kwa Hussein kuhusu majini, je hizi majina za majini ni sawa sawa kila pahali au kila nchi kunna jina tofauti za majini?
So who is the real kafir?????😅😂
Umejipatia wajinga wakudanganya aisee kwani manabii wakale waliubiri kwa kiswahili Yani umefeli aisee
Acha tu subir masheikh nao wanasemaje maana ucjifanye ww baba ndo umesoma sana ukawashinda na masheikh wetu acha uongo
Haya huyu unasema anaongea uongo sasa mbona wewe huusemi uongo wake? Utaje huo uongo kupitia Aya anazosema za kudanganya hizi dini tumeletewa hivyo chochote unacho sikia kitafakari na kifanyie kazi. Mfano wetu Wakristo mwanzo tuliona Wakatoliki ndio Dini ya Ukristo ya kweli kumbe ndani yake ni Dhehebu lenye kupindisha kweli na kufata miongozo ya mtu PAPA ambae ni Jasusi kubwa la Freemason hivyo wachache walio jua kweli wamekimbia lile dhehebu hivyo hata walibaki muda wao ukifika nao watakimbia tuu
Tulieni dawa iwaingie na baba wenu wa uongo allah shetani
Mashehe wanatoa maneno tu hawatoe maandiko.
usiufanye moyo wako kua mgumu kuukataa ukweli!
@@musaissa7463 Mapepo ya uislamu hayawezi muruhusu. Roho mtakatifu atamfundisha ataelewa vizuri
Njia ya muongo fupi na Mungu hamfichi mnafikiri…. Kama wewe umesoma ila hukuelimika, I hate to disrespect older but unakirihisha…. Kuna misahafu ya tafsiri tokea mimi sikuzaliwa … na wewe Davista h embu fanya research kwanza khaaaaa !
Kuna msahafu wa tafsiri ya Kiswahili ya Sheikh Abdalla Farsi tokea 70s eti unaona ufahari kujisemesha kiarabu hiyo ni lugha kama lugha nyengine
Acha kusoma aya za Quran uongo, Mnafikiri mkubwa wewe Mtume SAW kapewa noble na wazungu anatambulika, suratul Imran ilisema haya maneno baada ya kusema yesu mwana wa Mungu, na kusemwa kafa… ma kataluhu wana swalabuhu walakin shubuha lahum…. Suratul Imran imesema Issa AS hajakufa na wala hakasulubiwa ila amepaishwa mbinguni….. wewe ushazoea kuabudu shetwani basi kila mtu shetwani…. Davista I swear nilisema hii channel nisiangalie ila sitoacha watu wakasema uongo.
@@Mimi-oe9nt alafu we mtu mbona unataka kuharibu wadhamini wa harusi ya muandishi wetu. Acha wajimwage ili harusi ifane.wamemuahidi kuigharamia
@@khalidyasinkhalid5944 haha wanajuana hao🤪🤪🤪🤪🤪
Tulieni dawa iwaingie mujue km Ibilisi mnayemuita allah wenu kuwa ni muongo na kawadanganya vby 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
makasiriko yanaruhusiwa nyie na allah wenu😂😂😂😂