PART9:HUSSEIN MUBARACK ALIESEOMEA UCHAWI NCHI 6 NA OSAMA/SADDAM/GADAFFI/OSAMAH HAJAFA NAJUA ALIPO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024

Комментарии • 186

  • @marianaduncan6330
    @marianaduncan6330 Год назад +46

    Kama unampenda YESU KRISTO na kuamini kuwa ni BWANA na mwokozi na hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye,gonga like

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад +1

      Ameeen

    • @eaglecrown1101
      @eaglecrown1101 Год назад +1

      Natamani ningekuwa nakujua ungekunywa soda sema humu sio sehemu sahihi kuweka namba zako

    • @jafaryjey
      @jafaryjey Год назад

      Yesu Siyo Mungu bali kapewa mamlaka na Mungu kufanya mambo ya Kuungu, Hivyo ukiomba chochote kupitia jina lake Yesu Mungu atakutendea kwa haraka zaidi.
      MFANO :- Rais wa nchi katoa maelekezo kwamba mtu yeyote asije Ikulu kuonana na mimi bila kupitia wizara flani kupewa idhini (kibali) wewe ukafosi kwenda ikulu moja kwa moja lazima utatimuliwa

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 Год назад

      @@jafaryjey Wewe hujui chochote kumhusu Yesu na ikiwa unadhania kuwa wewe ni mkristo huku unakana uungu wa Yesu basi umeikana imani.

    • @rubefabi8366
      @rubefabi8366 Год назад

      @@jafaryjey ndugu Yesu siyo secretary wa Mungu. Kasome biblia yako tena ina maana hata andiko la Yohana1:1 hujui maana yake ni nini!? Ila kama wewe ni shahidi wa Yehova sina hoja na wewe maana wao wana biblia yao waliojitungia kulingana na matakwa yao.

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 Год назад +17

    Yesu juu!! juu!! juu zaidi yaani kwa jinsi watu tulivyo na shingo ngumu ukweli unauma sana ukiambiwa

  • @emilynyaga5947
    @emilynyaga5947 Год назад +11

    This is a true eye opener for the islams and for chriatuans this should strengthen our faith in JESUS

  • @matthieulugerero9355
    @matthieulugerero9355 Год назад +7

    Sifa zimurudi Yesu Kristo!!! Yesu ni Mungu daima na milele

    • @saudahassan6667
      @saudahassan6667 Год назад

      Yesu si mungu mpka dunia inaisha mungu gan katahiriwa

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 Год назад +13

    Hii dunia acha iitwa dunia lakini twendeni kwa Yesu

  • @hellendiana625
    @hellendiana625 Год назад +5

    Halleluya! ni nyakati za mwisho, ukweli unadhihirika waziwazi, Bwana wetu Yesu Christo yu karibu kuja.

  • @charlesmbena9121
    @charlesmbena9121 Год назад +4

    Jesus thank you for this opportunity to listen this testimony

  • @thechurchoftheedgeministry4325
    @thechurchoftheedgeministry4325 11 месяцев назад +1

    Wonderful teacher may the Lord bless you

  • @bernardmuli4495
    @bernardmuli4495 Год назад +3

    Safi Sana mchungaji, mathew 28:18-19, barikiwa Sana na mungu akutie nguvu zaidi, Amen, amen

  • @sarahkeivaly3351
    @sarahkeivaly3351 Год назад +6

    Waislamu wote pamoja na Mohammed siku ya mwisho watakuwa kwenye foleni moja wakisubiri hukumu ya Bwana Yesu!!

  • @sarahkapange252
    @sarahkapange252 Год назад +2

    Mungu akubariki mtumishi

  • @shepherd1x84
    @shepherd1x84 Год назад +2

    Ukiona dini inayolasimisha watu kuabudu ujue kuna kasoro..maana kila mtu ana haki ya kuchagua atakavyo..Asante kwa Yesu na huyu mwalim wa Neno tunakufuata sana boss..na kupima pia kwa neno.

  • @cyantess8423
    @cyantess8423 Год назад +6

    john 8:32 & the truth will set you free those that have ears listen 🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    Ameni HAKUNA KAMA YESU NIMEMWONA NIMEMUSIKIA NIMEMUELEWA NA NI MLINZI WANGU NA UZIMA WANGU

  • @jeanmjimmy
    @jeanmjimmy Год назад +5

    Mch, piga fimbo mpaka wavimbwe. Watoto wa Shetani lazima watakukasirikia na kukushambilia. Hata na mimi wanaweza kunishambulia kwa sababu kinaumana.

  • @jonathanndururutse286
    @jonathanndururutse286 Год назад +4

    Yesu ni Bwana na mwokozi wetu

  • @happykajeli5453
    @happykajeli5453 Год назад +3

    Yesu Yesu Yesu bwana wangu kaanami siku zote

  • @destinydesire3796
    @destinydesire3796 Год назад +3

    Hakika kuna UTUKUFU kwa YESU ni HAI

  • @josephmutemi7494
    @josephmutemi7494 Год назад +2

    Ameeeeen YESU ni BWANA

  • @farusaimon3490
    @farusaimon3490 Год назад +5

    Bro Dav, this time umejikaza kwelikweli, umepunguza woga, siyo kama ulichotufanyia kwa Mchawi HASSAN cha kutoalizia story kwa kuogopa vitisho.

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 Год назад +2

    Asante kwa kutuelimisha,Yesu ni Mungu %,na atatushindia ! Tupe izo haya, we have to fight without no retreat as Christians against those Muslims 🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @mjakazieunicelucas
    @mjakazieunicelucas Год назад +1

    Warumi 10:9
    Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
    Warumi 10:10
    Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Год назад +1

    Hakuna Cha Papa Wala Malia tumuombe YESU YY NDO KILA KITU NA MUNGU HATAKI DHAMBI. YESU YUKO JUU YA YOTE

    • @naomicharles5444
      @naomicharles5444 Год назад

      I agree Yesu akutuachia dini wala makaanisa,,alisema nawaachien Amani bwana ikae nanyi

  • @michaelmazigo7294
    @michaelmazigo7294 Год назад +3

    Mzee umesema Osama yupo mara amekufa tukuwerewe vipi yupo au ayupo.

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 Год назад +2

    Jehovah Andoi anastahili kuabundiwa

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi Год назад +2

    YESU NI BWANA

    • @marianaduncan6330
      @marianaduncan6330 Год назад +1

      Na mwokozi na hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад +1

    Kweli! Kuwa Mkristo aliyeokoka ni BAHATI/NEEMA kubwa. Sisi sio wazuri kuliko wengi wanaoangamia kwa sababu hawajakutana na Yesu, bali tumebahatika tu. Upande wa pili, kunao wezi, wauaji,wazinzi, waabudu Shetani na wenye dhambi wengine ambao walipata bahati ya Yesu kuwatokea na kuwaokoa.🙏🙏🙏🙏🙏

  • @salimually2388
    @salimually2388 Год назад +2

    Qur ani huijui usidanganye watu ujasoma labda kwa asie ijua qur ani ndio atakuona umesoma akuna maneno hayo unayo yasema kwenye qur ani

  • @mjakazieunicelucas
    @mjakazieunicelucas Год назад +3

    Ndugu mfuatiliaji katika channel hii..kama hujaokoka...mpe Yesu Kristo maisha yako akuokoe kwani Yeye ni njia ya uzima na kweli hakuna njia nyingine ya kuingia mbinguni

  • @drnow1528
    @drnow1528 Год назад +3

    Waislamu huu ni wakati wa kuokoka

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      Ukiokoka ww inatosha

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      @@jesuspower2390 pambana na nafsi yako

    • @geitandelwa299
      @geitandelwa299 Год назад

      UKWELI mm nimethibitisha hakuna Kama YESU na hatakuwepo

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад

      ​@@mamananga2849 pole ndugu. Nenda kwa shehe akusomee mbinguni au ahela yenu ikoje ,ndipo uchague njia

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад

      ​@@mamananga2849 ukisha sikia ndugu ,hapo imeisha hakuna neema Tena na her uokoke na jehanamu

  • @fatumakwekwe3211
    @fatumakwekwe3211 Год назад +2

    Amen

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 Год назад +5

    Njaaa mbaya Sana 😀😀😀Mungu amuongozee

    • @husseinkiruta1712
      @husseinkiruta1712 Год назад

      @@jesuspower2390
      Unachekesha wajinga ndyo huwa wanadanganywa kaona nyie msio jua awahadithie uongo,kipindi kijacho atafute anayeijua uislam apite apo utajiona mjinga

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      @@husseinkiruta1712 Sio akili yako hiyo kujitia ukiziwi ni Muongozo wa Majini ndio yanakufanya ujifanye uelewi, huyu sio wa kwanza kuongea haya , Channel ya Biblia Nuru ya Dunia washafundisha sana hayo mambo kwenye U Tub tena huyu anaongea vitu vingine haongei vigumu zaidi kumeza sasa wewe badala yakutafuta kweli bado unabishana, hiyo sio akili yako

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 Год назад +4

    Umedanganya Sana izo Aya za Quran ,hujasoma popote ,acha njaa halafu ata kiarabu hujui
    3:49 Quran
    Mungu anasema na akamfanya yesu kuwa Mtume kwa Wana wa Israel.
    Yote aliyofanya hapo yesu Ni kwa idhini ya Mungu siyo idhini yake yesu

    • @livingwaterchurchmbulukahama
      @livingwaterchurchmbulukahama Год назад +3

      @@jesuspower2390 Usihangaike nao Hawa wako gizani, ukiwauliza maswari, atakaekujibu ni shetani, tuwaombee

    • @reyyathu8978
      @reyyathu8978 Год назад

      Mtoto wa sheitani

    • @neemahassan1979
      @neemahassan1979 Год назад

      Na Allah atadhihirisha ukubwa wake kwa huyu anayepotosha watu hapa tafsiri hasomi kwenye msahaf anatoa kichwani

    • @frankchande3063
      @frankchande3063 Год назад

      Tulia dawa ikuingie bana,sijui una majini mangap hapo ulipo duuu

    • @livingwaterchurchmbulukahama
      @livingwaterchurchmbulukahama Год назад

      @@neemahassan1979 😂😂😂huyu ana Yesu huyo Allah wako hawezi hawezi kumfanya kitu, Yesu ni mkubwa kuliko huyo Shetani Allah, pole sana.

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Год назад

    Huu ni upotoshaji wa makusudi aya hazijamtaja yesu

  • @ramadhangona9085
    @ramadhangona9085 Год назад

    Al-Imran 21, Quran 3;21
    Hakika wale wanaozikanusha Aya za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasina haki, na kuwauwa watu waamrshao Haki wabashirie adhabu Kali.
    Wapi Yesu hapo ndugu zangu.
    Mbona huhu mtumishi hasemi ukweli, tunataka aseme tu ukweli maana ukweli utabaki hauwezi geuka.

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 Год назад +1

      Ukweli upi unaotaka sasa? Yaani unataka aseme yale yaliyokichwani kwako ndo uamini kwamba anasema kweli?

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад

      Sasa wewe huoni Hao viongoz wenu ndiyo wanaowapotosha ,tafuta Qruani halisi mana hata biblia Zipo originally na feki na ukizifuata feki utaacha njia ya kweli ,acha ubishi tafuta ukweli uokoke jehanamu

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje namba za mtumishi ndugu yangu mimba ikifika miezi mitano inaharibika

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu mimba ikifika miezi mitano inaharibika

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kuki mimba ikifikisha miezi mitano inatoka

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje nambaa ya mtumishi kuna ndugu yangu anayo miaka kumi ndoani kila mimba ikifika miezi mitano inatoka

  • @agustinohizza1395
    @agustinohizza1395 Год назад +1

    Part 9 ni sehemu ambayo imetufungua mengi ambayo hatukuyafahamu kumbe Yesu kristo ndiyo njia na uzima wa mwanadamu kumbe mambo YAKO kweupe kabisa hata yule nabii Elias wa Kule kibaha ameongea ukweli kabisa Ila wamempinga

  • @musaissa7463
    @musaissa7463 Год назад

    Adam hajji kakaaaa,naye pia aje

  • @husseinkiruta1712
    @husseinkiruta1712 Год назад +5

    Mtafute sheikh aje aweke sawa anadanganya watu uyo

    • @reyyathu8978
      @reyyathu8978 Год назад +1

      Huyo ndo atuletee uongo wenu wa Allah wenu

    • @damianandrew3074
      @damianandrew3074 Год назад

      Kwann usisome vitabu ndugu ubishi sio kitu jifunze vitu wacha kukalili vitu kila siku Ni shule

    • @neemahassan1979
      @neemahassan1979 Год назад

      @@damianandrew3074 kwenye hivyo vitabu ndo wameandika sahihi yeye mbona hasomi tafsiri hapo anaitoa kichwani? Ilibidi awe na msahafu hapo asome quran na hiyo tafsiri anayoisema sio kupotosha watu

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      @@neemahassan1979 Kwani waislam wanavyokwenda Msikitini huwa wanakaa wanasikiliza Shekhe atakacho sema wao kazi yao ni Tumswalie Mtume waislam Walahakbal, Takibirii walaawakbal kwisha hamuwezi kuhoji wala kulinganisha maandiko kama kilichofundishwa na kuongea pale ni sawa?mwisho wa siku mnabaki kukalilishwa uongo na kubaki na misimamo sio sahihi lakini ni kiburi cha Majini ndio kimewajaa Waislam

    • @neemahassan1979
      @neemahassan1979 Год назад

      @@charlesmapunda5905 kwani wakristo wanapoenda kanisani muda wa mahubiri wanamuhoji mhubiri kitu gani ya haleluya na bwana asifiwe

  • @philipmbaabu6169
    @philipmbaabu6169 Год назад

    Quran has been changed 😭😭. Imran 21 reads this way in the version that I have.
    Aal-e-Imran 3:21
    إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ وَيَقْتُلُونَ ٱلنَّبِيِّۦنَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ ٱلَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِٱلْقِسْطِ مِنَ ٱلنَّاسِ فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
    Those who disbelieve in the signs of Allah and kill the prophets without right and kill those who order justice from among the people - give them tidings of a painful punishment.

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад

    Viongozi wa Kiislamu sio kwamba hawajui ukweli. Ni kwamba wanatumikia Mungu wao AL MAKR, Allah (Quran 3:54, 8:30). maana yake MDANGANYIFU MKUU.

  • @djwinnertz
    @djwinnertz Год назад +1

    Wakristo wanashindwa kuwelewa na wamuulize vizuri uyu ndugu yao je alikuwa muslimu au mchawi maana dunia kuna dini 3 tu Kuna uwisilamu ukristo na ushetani Sasa yeye alikuwa wapi

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      Ushetani

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      Duuuu kweli wewe ujitambui duniani kuna dini 3 duniani kuna dini zaidi ya izo tatu unazofaamu zaidi ya mia 100 hila iliyo ya kweli ni Yesu kristo amesema Mimi ni njia au dini ya kweli na uzima mtu haji mbinguni bila yeye wengine wote wanaotangaza hizo dini hakunaaliyesema yeye ni njia au dini ya uzima wa milele ni Yesu kristo tu Muhammad anasema Hilo neno alichosema yeye hajui kitakacho mkuta wala nyie waislamu yeye ni muonyaji tu njoo Kwa Yesu waislamu tunawapenda

  • @cheupesewing3549
    @cheupesewing3549 Год назад +2

    Muulize ni kwanini waislam wanasema dini yao hairuhusu mtu kula nguruwe.

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад +1

      @@jesuspower2390 🏃🏃🏃🏃🏃

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад

      @@jesuspower2390 kweli kabisa hata huku kunamkristo kaowa wake 2 anasema Yesu ni ukoo wa Suleimani wa Daud. Matayo1:1-13

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад

      @@jesuspower2390 hujui Kati ya ushahidi na maelezo. Hata mimi nawaza kujieleza nilikuwa mpaulo sasa nimetoka huko nipo huru

    • @elizag.edmond7637
      @elizag.edmond7637 Год назад

      Wanakula kabisa na siyo dhambi iyo Quran imrwaruhusu ila wale wasishibe

  • @kimsamespa8490
    @kimsamespa8490 Год назад

    Kwa ufupi Quran ni kitabu Cha YESU ni vile hawaambiwi ukweli lakini nilisikia wakristo waliuliwa kweli kitambo hiko ndio maana uisilam ukashika kasi

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад

    Shetani anajua ukweli kabisa, kwamba Yesu ndiye atakayerudi kuhukumu binadamu. Lakini kwa ujajnja wake, amegeuza maneno eti Yesu atarudi akiwa Mwislamu. Upuzi mtupu huu, kwa sababu hakuna siku Yesu atakubaliana na mafundisho ya uislamu!

  • @mosesadoyo9544
    @mosesadoyo9544 Год назад +1

    Muulize kwa nini majini hawapendi nguruwe.

  • @djwinnertz
    @djwinnertz Год назад +1

    Waklisto wanasema kwamba waslimu ndio tuna majini na mapepo wakati wao toka yesu aondoke kila siku ya mungu wanakemea kanisani kila day wanakemea mapepo kwanini ayaishi kwenu

    • @mamananga2849
      @mamananga2849 Год назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      Walio zaliwa chini ya Maisha yakutambikia Mizimu na M ajini kwenye Ukoo ndio lazima wanapoingia Kanisani lazima Uombewe ili kuvunja hizo Madhabau za Ukoo na Mila baada ya hapo ndio unaokoka, bila hivyo utabaki na Mapepo na utaendelea kuyatambikia mpaka Kufa. Nisawa nanyi Waislam mtoto anapo zaliwa zkifika siku 40 mtoto anapo tolewa ndani pale ndio anakabiziwa Majini na kutoa sadaka sasa ukiamua kuacha Uislam lazima Ukemewe hayo Majini mpaka yakutoke ndio unakua mtu kamili nje ya hapo wewe na Shetani ni ndugu, Hiyo ndio sababu yakukemea majini

    • @prochesernest5439
      @prochesernest5439 Год назад

      Kwa wewe kwako mbuu wanaisha ukiwafukuza au inzi ? Na mapepo Yako hivyo hayafi tunayafukuza wakristo wezutu nyie waislamu mnayakaribisha kwenu heti ni waislamu wezenu majini je Muhammad alisilimisha majini na wanadamu mbona mashekhe wanawasilimisha watu tu majini je mbona awatangazwi kuwa kuna majini yanaendelea kusilimu ? Sis wakristo tunatoa mapepo au majini kama Yesu kristo mwokozi alivyoyatoa Kwa watu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu hipo

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      Sasa wanaokuja kuokoka si wanatoka kwenu wataokokaje

    • @simonrevelian7278
      @simonrevelian7278 Год назад

      Pole sana, tunapokea watu Kila siku waliofungwa na mapepo, pia vita yetu Sisi ni juu ya mapepo, na vita ya mapepo ni juu ya wakristo, vita haitakoma mpaka siku ya kiama, ndo maana tunapambana nayo Kila siku ili yaachie wale walioamua kumwin Yesu, hilo ni agizo la Yesu mwenyewe, Marko 16:17 "Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo;..."

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад +1

    Kinachofaa kueleweka kuhusu Qur'an ni kwamba waandishi wake walikuwa wanafanya "copy and paste" kutoka kwa Biblia na "kukopa" watumishi wakuu wa Mungu wa Biblia(Yahweh) kv Musa, Eliyah, Abraham, nk kufanya Quran ikae kama kitabu cha Mungu. Katika kufanya hivyo, walijichanganya mahali kwingine!😂😂😂😂😂😂

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kumi akipata mimba ikifika miezi mitano inaharibika

    • @wardawarda6109
      @wardawarda6109 Год назад

      Fuatilia Arise and shine, or mwamposa live au kuhani na mwalim Musa Richard Mwacha

    • @marianaduncan6330
      @marianaduncan6330 Год назад

      @@wardawarda6109 achana na wachungaji hawa maana hautauridhi ufalme wa Mungu,kazi zao zinaonyesha sio matunda ya YESU KRISTO,ukisali Kwa wachungaji wanaotumia maji na mafuta hautatoboa ktk ufalme wa Mungu, tafuta kanisa linalofundisha utakatifu na kuacha dhambi sio kutumia mafuta ktk mafanikoo ya YESU KRISTO unapoteza mda wako

  • @yahayaallytv2852
    @yahayaallytv2852 Год назад

    Kwanza hajui kusoma quran hajui kiarabu wala quran kabisa ameamua kupotosha maanashi we sema tu ukweli

  • @ibrahimhassan2566
    @ibrahimhassan2566 Год назад

    Njia ya muongo ni fupi. Kasoma Dar es Salaam au Kigoma? Miaka 3 au 4?
    Ndio maana Nchini Israel hawatakiwi Wakristo
    [11/04, 08:34] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/M-9M87wzyGM/видео.html
    [11/04, 08:42] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/e6nz-IuXNRA/видео.html

  • @Taziratv
    @Taziratv Год назад +2

    Kumbe Osama ame dead!!!!!

  • @kenyanniggar357
    @kenyanniggar357 Год назад

    ulisema Saddam husein yupo bana tena unasema alikufa?tuko makini sana Mchungaji

  • @oprahsalum8185
    @oprahsalum8185 Год назад

    Adam Haji aletwe na joyce

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Год назад +1

    Astaghafiru lah ww baba acha uongo wapi kwenye quruan imesema ukirsto ni dini ya mungu wallah njaa mbaya uuuwiii sasa kama unasema yesu ni mungu,yaan mungu akuumbe kisha umtahiri jaman iyo inaingia akilin kweli mara mungu yesu akae tumbon miez tisa ndo akazaliwa sasa kama mungu alikaa tumbon miez tisa nan alikuwa akiiendesha dunia,nasema iviiiiii yesu si mungu mpk dunia inaisha

    • @pericymnyamoga3859
      @pericymnyamoga3859 Год назад

      Wewe ukristo ni dini ya Mungu sio mpaka quran iseme,Quran imesema mengi lakini imeshindwa kuokoa wachawi na watu fedhuli hata wakaacha njia zao mbaya halafu unasema ukristo sio dini ya Mungu

    • @simonrevelian7278
      @simonrevelian7278 Год назад +1

      Mungu ni Mungu anaweza kuwa kama anavyotaka, anaweza kufanya kama anavyotaka, ikiwa jini linaweza juvaa mwili wa bindamu, Mungu ndo ashindwe? Yeye ni mkuu ajili zake si ndo kama za kwako, fikri vizuri juu ya Mungu, usiwe na mawazo madogo sana kiasi Cha Mungu kumlinganisha na akili zako

    • @saudahassan6667
      @saudahassan6667 Год назад

      @@pericymnyamoga3859 kwanza ukirsto sio din wapi kwenye bibilia imesema ukiristo ni din naomba unambie kanisa alilolijenga yesu kwa kipind alichokuwepo dunian na kama hakujenga je alikua akifanyia wapi ibada zake

    • @saudahassan6667
      @saudahassan6667 Год назад

      @@simonrevelian7278 kwaiyo mungu uyo ashikwe na wanaadam atahiriwe mungu uyouyo akae tumbon miez tisa kaaa jmn ebu tumpwekeshe mungu yuko peke yake hana mshirika na hashirikishwi na kitu chochote yesu ni nabii kama manabii wengine uislam ni kumpwekesha mungu yesu sio mungu mpk dunia inaishaaaaa

    • @berrykankonde9331
      @berrykankonde9331 Год назад

      Jiongeze kwenye Maarfia yako. Mungu huyu aliyeumba hii dunia na vyote vilivyomo. Ni nini kwake kitu kidogo tu cha Kuzaliwa Kama Mwanadamu??! Yani ni sasa na mtu anayeweza kukimbia kwa kasi halafu ashindwe kutembea!! Hoja yako bado haina Msingi. Tafakari

  • @koperawasona9551
    @koperawasona9551 Год назад

    Kwanini waislam mtoto wake akitoka kwenye dini yake akiokoka baba mama njoo wakwanza kutaka kumuuwa

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 9 месяцев назад

    vile jamaa anazidi kuchekesha ananukuu na kuamini quran kwa maana anatoa ushahidi humo ila anasema tuwe wakristo , kwanini asinukuu bible na kwanini asema uongo katika kunukuu aya .

  • @simonnsengiyumva1000
    @simonnsengiyumva1000 Год назад

    Nina swali : panafasi ndani ya Quran panapo sema historia za Musa ambapo Mungu alimtokea ,unipe iyo haya nikaisome pana sababu Mtumishi!!!

  • @ibrahimhassan2566
    @ibrahimhassan2566 Год назад

    Endelea kuwadanganya watu wanahama huku!!!
    ruclips.net/video/dY8C4MeLSs4/видео.html

  • @reisezone4574
    @reisezone4574 Год назад

    Nimemfuatilia lakini leo ameongea kitu amabcho kidogo kanipa utata nimemshangaa wakati anaanza kusimulia alisema OSAMA hajauwawa na bado yupo na kuwa wamarekani wamedanganya ,lakini leo hii anasema kuwa wote tutakufa haogopi kuuwawa kama osama na nguvu zote za kuuwa watu nayeye kauwawa , Sasa inakuaje anasema leo kuwa osama kashakufa wakati video zilisopita alisema osama hajauwawa bado yupo anaishi mafichoni, embu ungemuuliza hapo kidogo manake kajichanganya au vipi

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад +1

      Amesema osoma amekufa kwa mantiki ya dunia inavyosema amekufa lakini hajafa kwa masuala ya kiroho lakini kama dunia inavyosema amekufa lakini kiroho wanajua kabisa hajafa

    • @samxx411
      @samxx411 Год назад +1

      Ndo mjiongeze tena wala bado kama ndo mmezowea kulishwa

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад

      Njia ya muongo----------

  • @hassanimohamedi1090
    @hassanimohamedi1090 Год назад

    Chuo cha libya chuo gani icho

  • @omarkombo3474
    @omarkombo3474 9 месяцев назад

    Du jamaa muongo sana , kwanza kusoma qur an hajui na hiyo tasfsir alotoa sio kweli kama anatangaza ukristo uislam unamuuma nini na kwa taarifa yake wafuasi kwa dini ya kiislamu wanaongezeka, pia atuambie kasoma chuo gani , cheti chake kiko wapi , sio aseme vyuo mbali mbali

  • @khalidyasinkhalid5944
    @khalidyasinkhalid5944 Год назад

    Ili tuitikie eeemeeen. Leo ALLAH kawa MUNGU aliemtuma malaika Gabliel, na Issa kakubalika kuwa ni Yesu lakini kesho ukisema Issa ndio Yesu ataruka futi 100. ALLAH ndio Mungu atasema hapana.🙈🙈🙈 wakristo pindua pindua

    • @reyyathu8978
      @reyyathu8978 Год назад

      Wacha kujifanya huelewi hahaha kwendaaaa

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      Maandiko na imani yenu ni kwamba Issabin Mariam ndio Yesu sifa zake zimewekwa wazi lakini ninyi na Mashehe wenu wakifundisha sehemu hizi zinazo muhusu Yesu wala hawafundishi wanaruka. Sasa umepata bahati ya kusikia ukweli ndani ya Quran na ushajua ili umjue Yesu vizuri ndio Uokoke hapo unaongozwa na mihemko ya Majini hivyo huwezi kukubaliana na lolote usikialo zaidi ya kubaki na Imani yako ila ukishakufa ndio utakumbuka haya maneno kwasababu hutokwenda mbinguni utabaki hapahapa kuzimu na utashuhudia mateso mengi mpaka Yesu atakapo kuja

    • @khalidyasinkhalid5944
      @khalidyasinkhalid5944 Год назад +1

      @@charlesmapunda5905 kwa mtu ambaye ubongo haufanyikazi aitikie eeemeeen, Quran ni ya ALLAH ambaye tayari amemwita shetani na mtume chokoraa tena anakifafa. Nazani ingepaswa imuandike issa au Yesu kwa kumpinga kumdharau na hata kumkashifu maana ni ya shetani. Nani humkweza adui kwa masifa mazuri mazui?. Mmeangukia pua

    • @charlesmapunda5905
      @charlesmapunda5905 Год назад

      @@khalidyasinkhalid5944 Katika Mitune na Manabii wa Mungu alie hai wote wamefanya mambo makubwa na ya ajabu kwa kila mmoja na namna Mungu alivyo mshusha Duniani, lakini hakuna Mtume wala Nabii alifanana tabia au upatikanaji wake kama Muhammad Mtume wa Waislam.
      1Kwenda kuoa Wanawake Waliomzidi umri na mwisho kuoa Katoto ka miaka Sita,
      2 pKumsilimisha Shetani akawa Muislam na Majini,
      3Kavunja Amri za Mungu kama Usiue na Mpende Mungu, jirani yako kama unavyo jipenda, Muhammad hiyo alikua hana yeye ni kuua watu na kusambaza chuki kwa mtu asie Muislam.
      4 Alikua hajui kusoma wala kuandika
      5 Mgonjwa wa Kifafa mpaka Aya zake Mashekhe wameziita Nusuru kwasababu zinakinzana na alitamka kipindi kifafa kikimjia
      6 Nimtume pekee aliepewa Utume na Mkewe, mfano ni nani alimwambia Bi khadija kwamba Muhammad alikabwa mapangoni na Malaika Gabriel? wakati yeye hakuwepo wala hakumuona ila mkewe ndio anamwambia huyo atakua Malaika Gabriel, na bado mtume anasema anahofia nafsi yake kuchezewa na Mashetani mkewe anamwambia haiwezekani jihesabie ndio ushapata Utume sasa na hakuna sehemu kwenye Quran Mungu au Malaika kampa hicho cheo.
      7 Ni Mtume pekee alie wahi Kurogwa
      8 Quran ina sema aliamriwa awe wa kwanza katika kusilimu lakini hakuna hata sehemu Moja mtume Kasilimu au Kasilimishwa,
      9 Walio andika Quran ni watu 4 wasomi kutoka Roman alipotokea Bi khadija ambao mnawaita ma Swahaba lakini ni walevi hatari.
      10 Quran imeandika alie teremsha Quran ni Adui wa Malaika Gabriel sasa Adui wa Malaika si Shetani?
      yaani na mengine mengi tulikua hatujui sasa mitandao imeharibu mambo kwa vitu kuwekwa hadharani mtachukia mpaka mfe kwa kufichuliwa uozo uliokua nyuma ya Pazia
      11 Mungu kawafukuza Malaika wabaya ambao ndio hao wamegeuka Majini lakini Muhammad kayakumbatia na waislam wanaomba kwa hayo Majini na Mizimu.
      Funguka wewe sio mpaka uje ukutane na Yesu ushasikia ukweli toka huko achana na Majini uokoe nafsi yako

    • @blueeyes5952
      @blueeyes5952 Год назад

      @@khalidyasinkhalid5944 ruclips.net/video/u_qDrNmtq58/видео.html
      Fata uyu njo kiboko yenu anajua kiarabu na Qur'an yote

  • @rebound2179
    @rebound2179 Год назад

    Waislamu watajisomea vipi Qur'an na hawajui Kiarabu? Isitoshe, walioiandika kwa Kiarabu walitaka waumini wategemee uwongo wa maimam na mashekhe peke yao, ndio wadumu gizani milele😂😂😂😂😂

    • @matiusmgisa7203
      @matiusmgisa7203 Год назад

      Ss waislam tumesoma Quran twajua yy ni muongo ni wakala wa ibilis hakuna muislam aliye soma miaka miaka mingi kama huyo muongo alifundishwa majini yenu wacristo

    • @anitajohn9905
      @anitajohn9905 Год назад

      Ni kwel kabsa

    • @rebound2179
      @rebound2179 Год назад

      @@matiusmgisa7203
      Walisema wahenga, "Kumwashia taa kipofu ni kuharibu mafuta", tena "Sikio la kufa halisikii dawa."😂😂😂😂😂😂😂

  • @ahmedalhajru723
    @ahmedalhajru723 Год назад

    Muongo sana wewe

  • @zuberkasim7150
    @zuberkasim7150 Год назад

    Kweli wewe nimjinga unataka umpangie mungu kazi yakufanya jinsi akiliyako inavotaka kwaiyo waumini waliowafata manabii waliopita kabla ya yesu kujaduniani mungu hawatambui ?

  • @highzacknnko9685
    @highzacknnko9685 Год назад +1

    Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kumi mimba ikifika miezi mitano inaharibika

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Год назад +1

      Hata nami ilikua hivyo Kwa mkewangu ila nilienda kwa mwamposa na alijifungua amini Kila ambocho kitakufaaa kwakua ni mungu anaetnda basi ni kua shika Imani na amini tu mungu atamsaidia ila aende awekewe mkono na mtumishi na aombewe

    • @highzacknnko9685
      @highzacknnko9685 Год назад

      @@bakarikayugwa3295 ameeen

    • @PascalPascual-rn6fx
      @PascalPascual-rn6fx Год назад

      Kama hukufanikiwa mtafute mchungaji sunbella kyando. Akuombee kwa Mungu.