Yesu Siyo Mungu bali kapewa mamlaka na Mungu kufanya mambo ya Kuungu, Hivyo ukiomba chochote kupitia jina lake Yesu Mungu atakutendea kwa haraka zaidi. MFANO :- Rais wa nchi katoa maelekezo kwamba mtu yeyote asije Ikulu kuonana na mimi bila kupitia wizara flani kupewa idhini (kibali) wewe ukafosi kwenda ikulu moja kwa moja lazima utatimuliwa
@@jafaryjey ndugu Yesu siyo secretary wa Mungu. Kasome biblia yako tena ina maana hata andiko la Yohana1:1 hujui maana yake ni nini!? Ila kama wewe ni shahidi wa Yehova sina hoja na wewe maana wao wana biblia yao waliojitungia kulingana na matakwa yao.
Ukiona dini inayolasimisha watu kuabudu ujue kuna kasoro..maana kila mtu ana haki ya kuchagua atakavyo..Asante kwa Yesu na huyu mwalim wa Neno tunakufuata sana boss..na kupima pia kwa neno.
Asante kwa kutuelimisha,Yesu ni Mungu %,na atatushindia ! Tupe izo haya, we have to fight without no retreat as Christians against those Muslims 🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Warumi 10:9 Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka. Warumi 10:10 Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
Kweli! Kuwa Mkristo aliyeokoka ni BAHATI/NEEMA kubwa. Sisi sio wazuri kuliko wengi wanaoangamia kwa sababu hawajakutana na Yesu, bali tumebahatika tu. Upande wa pili, kunao wezi, wauaji,wazinzi, waabudu Shetani na wenye dhambi wengine ambao walipata bahati ya Yesu kuwatokea na kuwaokoa.🙏🙏🙏🙏🙏
Ndugu mfuatiliaji katika channel hii..kama hujaokoka...mpe Yesu Kristo maisha yako akuokoe kwani Yeye ni njia ya uzima na kweli hakuna njia nyingine ya kuingia mbinguni
@@husseinkiruta1712 Sio akili yako hiyo kujitia ukiziwi ni Muongozo wa Majini ndio yanakufanya ujifanye uelewi, huyu sio wa kwanza kuongea haya , Channel ya Biblia Nuru ya Dunia washafundisha sana hayo mambo kwenye U Tub tena huyu anaongea vitu vingine haongei vigumu zaidi kumeza sasa wewe badala yakutafuta kweli bado unabishana, hiyo sio akili yako
Umedanganya Sana izo Aya za Quran ,hujasoma popote ,acha njaa halafu ata kiarabu hujui 3:49 Quran Mungu anasema na akamfanya yesu kuwa Mtume kwa Wana wa Israel. Yote aliyofanya hapo yesu Ni kwa idhini ya Mungu siyo idhini yake yesu
Al-Imran 21, Quran 3;21 Hakika wale wanaozikanusha Aya za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasina haki, na kuwauwa watu waamrshao Haki wabashirie adhabu Kali. Wapi Yesu hapo ndugu zangu. Mbona huhu mtumishi hasemi ukweli, tunataka aseme tu ukweli maana ukweli utabaki hauwezi geuka.
Sasa wewe huoni Hao viongoz wenu ndiyo wanaowapotosha ,tafuta Qruani halisi mana hata biblia Zipo originally na feki na ukizifuata feki utaacha njia ya kweli ,acha ubishi tafuta ukweli uokoke jehanamu
Part 9 ni sehemu ambayo imetufungua mengi ambayo hatukuyafahamu kumbe Yesu kristo ndiyo njia na uzima wa mwanadamu kumbe mambo YAKO kweupe kabisa hata yule nabii Elias wa Kule kibaha ameongea ukweli kabisa Ila wamempinga
@@damianandrew3074 kwenye hivyo vitabu ndo wameandika sahihi yeye mbona hasomi tafsiri hapo anaitoa kichwani? Ilibidi awe na msahafu hapo asome quran na hiyo tafsiri anayoisema sio kupotosha watu
@@neemahassan1979 Kwani waislam wanavyokwenda Msikitini huwa wanakaa wanasikiliza Shekhe atakacho sema wao kazi yao ni Tumswalie Mtume waislam Walahakbal, Takibirii walaawakbal kwisha hamuwezi kuhoji wala kulinganisha maandiko kama kilichofundishwa na kuongea pale ni sawa?mwisho wa siku mnabaki kukalilishwa uongo na kubaki na misimamo sio sahihi lakini ni kiburi cha Majini ndio kimewajaa Waislam
Quran has been changed 😭😭. Imran 21 reads this way in the version that I have. Aal-e-Imran 3:21 إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ وَيَقْتُلُونَ ٱلنَّبِيِّۦنَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ ٱلَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِٱلْقِسْطِ مِنَ ٱلنَّاسِ فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ Those who disbelieve in the signs of Allah and kill the prophets without right and kill those who order justice from among the people - give them tidings of a painful punishment.
Wakristo wanashindwa kuwelewa na wamuulize vizuri uyu ndugu yao je alikuwa muslimu au mchawi maana dunia kuna dini 3 tu Kuna uwisilamu ukristo na ushetani Sasa yeye alikuwa wapi
Duuuu kweli wewe ujitambui duniani kuna dini 3 duniani kuna dini zaidi ya izo tatu unazofaamu zaidi ya mia 100 hila iliyo ya kweli ni Yesu kristo amesema Mimi ni njia au dini ya kweli na uzima mtu haji mbinguni bila yeye wengine wote wanaotangaza hizo dini hakunaaliyesema yeye ni njia au dini ya uzima wa milele ni Yesu kristo tu Muhammad anasema Hilo neno alichosema yeye hajui kitakacho mkuta wala nyie waislamu yeye ni muonyaji tu njoo Kwa Yesu waislamu tunawapenda
Shetani anajua ukweli kabisa, kwamba Yesu ndiye atakayerudi kuhukumu binadamu. Lakini kwa ujajnja wake, amegeuza maneno eti Yesu atarudi akiwa Mwislamu. Upuzi mtupu huu, kwa sababu hakuna siku Yesu atakubaliana na mafundisho ya uislamu!
Waklisto wanasema kwamba waslimu ndio tuna majini na mapepo wakati wao toka yesu aondoke kila siku ya mungu wanakemea kanisani kila day wanakemea mapepo kwanini ayaishi kwenu
Walio zaliwa chini ya Maisha yakutambikia Mizimu na M ajini kwenye Ukoo ndio lazima wanapoingia Kanisani lazima Uombewe ili kuvunja hizo Madhabau za Ukoo na Mila baada ya hapo ndio unaokoka, bila hivyo utabaki na Mapepo na utaendelea kuyatambikia mpaka Kufa. Nisawa nanyi Waislam mtoto anapo zaliwa zkifika siku 40 mtoto anapo tolewa ndani pale ndio anakabiziwa Majini na kutoa sadaka sasa ukiamua kuacha Uislam lazima Ukemewe hayo Majini mpaka yakutoke ndio unakua mtu kamili nje ya hapo wewe na Shetani ni ndugu, Hiyo ndio sababu yakukemea majini
Kwa wewe kwako mbuu wanaisha ukiwafukuza au inzi ? Na mapepo Yako hivyo hayafi tunayafukuza wakristo wezutu nyie waislamu mnayakaribisha kwenu heti ni waislamu wezenu majini je Muhammad alisilimisha majini na wanadamu mbona mashekhe wanawasilimisha watu tu majini je mbona awatangazwi kuwa kuna majini yanaendelea kusilimu ? Sis wakristo tunatoa mapepo au majini kama Yesu kristo mwokozi alivyoyatoa Kwa watu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu hipo
Pole sana, tunapokea watu Kila siku waliofungwa na mapepo, pia vita yetu Sisi ni juu ya mapepo, na vita ya mapepo ni juu ya wakristo, vita haitakoma mpaka siku ya kiama, ndo maana tunapambana nayo Kila siku ili yaachie wale walioamua kumwin Yesu, hilo ni agizo la Yesu mwenyewe, Marko 16:17 "Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo;..."
Kinachofaa kueleweka kuhusu Qur'an ni kwamba waandishi wake walikuwa wanafanya "copy and paste" kutoka kwa Biblia na "kukopa" watumishi wakuu wa Mungu wa Biblia(Yahweh) kv Musa, Eliyah, Abraham, nk kufanya Quran ikae kama kitabu cha Mungu. Katika kufanya hivyo, walijichanganya mahali kwingine!😂😂😂😂😂😂
@@wardawarda6109 achana na wachungaji hawa maana hautauridhi ufalme wa Mungu,kazi zao zinaonyesha sio matunda ya YESU KRISTO,ukisali Kwa wachungaji wanaotumia maji na mafuta hautatoboa ktk ufalme wa Mungu, tafuta kanisa linalofundisha utakatifu na kuacha dhambi sio kutumia mafuta ktk mafanikoo ya YESU KRISTO unapoteza mda wako
Njia ya muongo ni fupi. Kasoma Dar es Salaam au Kigoma? Miaka 3 au 4? Ndio maana Nchini Israel hawatakiwi Wakristo [11/04, 08:34] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/M-9M87wzyGM/видео.html [11/04, 08:42] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/e6nz-IuXNRA/видео.html
Astaghafiru lah ww baba acha uongo wapi kwenye quruan imesema ukirsto ni dini ya mungu wallah njaa mbaya uuuwiii sasa kama unasema yesu ni mungu,yaan mungu akuumbe kisha umtahiri jaman iyo inaingia akilin kweli mara mungu yesu akae tumbon miez tisa ndo akazaliwa sasa kama mungu alikaa tumbon miez tisa nan alikuwa akiiendesha dunia,nasema iviiiiii yesu si mungu mpk dunia inaisha
Wewe ukristo ni dini ya Mungu sio mpaka quran iseme,Quran imesema mengi lakini imeshindwa kuokoa wachawi na watu fedhuli hata wakaacha njia zao mbaya halafu unasema ukristo sio dini ya Mungu
Mungu ni Mungu anaweza kuwa kama anavyotaka, anaweza kufanya kama anavyotaka, ikiwa jini linaweza juvaa mwili wa bindamu, Mungu ndo ashindwe? Yeye ni mkuu ajili zake si ndo kama za kwako, fikri vizuri juu ya Mungu, usiwe na mawazo madogo sana kiasi Cha Mungu kumlinganisha na akili zako
@@pericymnyamoga3859 kwanza ukirsto sio din wapi kwenye bibilia imesema ukiristo ni din naomba unambie kanisa alilolijenga yesu kwa kipind alichokuwepo dunian na kama hakujenga je alikua akifanyia wapi ibada zake
@@simonrevelian7278 kwaiyo mungu uyo ashikwe na wanaadam atahiriwe mungu uyouyo akae tumbon miez tisa kaaa jmn ebu tumpwekeshe mungu yuko peke yake hana mshirika na hashirikishwi na kitu chochote yesu ni nabii kama manabii wengine uislam ni kumpwekesha mungu yesu sio mungu mpk dunia inaishaaaaa
Jiongeze kwenye Maarfia yako. Mungu huyu aliyeumba hii dunia na vyote vilivyomo. Ni nini kwake kitu kidogo tu cha Kuzaliwa Kama Mwanadamu??! Yani ni sasa na mtu anayeweza kukimbia kwa kasi halafu ashindwe kutembea!! Hoja yako bado haina Msingi. Tafakari
vile jamaa anazidi kuchekesha ananukuu na kuamini quran kwa maana anatoa ushahidi humo ila anasema tuwe wakristo , kwanini asinukuu bible na kwanini asema uongo katika kunukuu aya .
Nimemfuatilia lakini leo ameongea kitu amabcho kidogo kanipa utata nimemshangaa wakati anaanza kusimulia alisema OSAMA hajauwawa na bado yupo na kuwa wamarekani wamedanganya ,lakini leo hii anasema kuwa wote tutakufa haogopi kuuwawa kama osama na nguvu zote za kuuwa watu nayeye kauwawa , Sasa inakuaje anasema leo kuwa osama kashakufa wakati video zilisopita alisema osama hajauwawa bado yupo anaishi mafichoni, embu ungemuuliza hapo kidogo manake kajichanganya au vipi
Amesema osoma amekufa kwa mantiki ya dunia inavyosema amekufa lakini hajafa kwa masuala ya kiroho lakini kama dunia inavyosema amekufa lakini kiroho wanajua kabisa hajafa
Du jamaa muongo sana , kwanza kusoma qur an hajui na hiyo tasfsir alotoa sio kweli kama anatangaza ukristo uislam unamuuma nini na kwa taarifa yake wafuasi kwa dini ya kiislamu wanaongezeka, pia atuambie kasoma chuo gani , cheti chake kiko wapi , sio aseme vyuo mbali mbali
Ili tuitikie eeemeeen. Leo ALLAH kawa MUNGU aliemtuma malaika Gabliel, na Issa kakubalika kuwa ni Yesu lakini kesho ukisema Issa ndio Yesu ataruka futi 100. ALLAH ndio Mungu atasema hapana.🙈🙈🙈 wakristo pindua pindua
Maandiko na imani yenu ni kwamba Issabin Mariam ndio Yesu sifa zake zimewekwa wazi lakini ninyi na Mashehe wenu wakifundisha sehemu hizi zinazo muhusu Yesu wala hawafundishi wanaruka. Sasa umepata bahati ya kusikia ukweli ndani ya Quran na ushajua ili umjue Yesu vizuri ndio Uokoke hapo unaongozwa na mihemko ya Majini hivyo huwezi kukubaliana na lolote usikialo zaidi ya kubaki na Imani yako ila ukishakufa ndio utakumbuka haya maneno kwasababu hutokwenda mbinguni utabaki hapahapa kuzimu na utashuhudia mateso mengi mpaka Yesu atakapo kuja
@@charlesmapunda5905 kwa mtu ambaye ubongo haufanyikazi aitikie eeemeeen, Quran ni ya ALLAH ambaye tayari amemwita shetani na mtume chokoraa tena anakifafa. Nazani ingepaswa imuandike issa au Yesu kwa kumpinga kumdharau na hata kumkashifu maana ni ya shetani. Nani humkweza adui kwa masifa mazuri mazui?. Mmeangukia pua
@@khalidyasinkhalid5944 Katika Mitune na Manabii wa Mungu alie hai wote wamefanya mambo makubwa na ya ajabu kwa kila mmoja na namna Mungu alivyo mshusha Duniani, lakini hakuna Mtume wala Nabii alifanana tabia au upatikanaji wake kama Muhammad Mtume wa Waislam. 1Kwenda kuoa Wanawake Waliomzidi umri na mwisho kuoa Katoto ka miaka Sita, 2 pKumsilimisha Shetani akawa Muislam na Majini, 3Kavunja Amri za Mungu kama Usiue na Mpende Mungu, jirani yako kama unavyo jipenda, Muhammad hiyo alikua hana yeye ni kuua watu na kusambaza chuki kwa mtu asie Muislam. 4 Alikua hajui kusoma wala kuandika 5 Mgonjwa wa Kifafa mpaka Aya zake Mashekhe wameziita Nusuru kwasababu zinakinzana na alitamka kipindi kifafa kikimjia 6 Nimtume pekee aliepewa Utume na Mkewe, mfano ni nani alimwambia Bi khadija kwamba Muhammad alikabwa mapangoni na Malaika Gabriel? wakati yeye hakuwepo wala hakumuona ila mkewe ndio anamwambia huyo atakua Malaika Gabriel, na bado mtume anasema anahofia nafsi yake kuchezewa na Mashetani mkewe anamwambia haiwezekani jihesabie ndio ushapata Utume sasa na hakuna sehemu kwenye Quran Mungu au Malaika kampa hicho cheo. 7 Ni Mtume pekee alie wahi Kurogwa 8 Quran ina sema aliamriwa awe wa kwanza katika kusilimu lakini hakuna hata sehemu Moja mtume Kasilimu au Kasilimishwa, 9 Walio andika Quran ni watu 4 wasomi kutoka Roman alipotokea Bi khadija ambao mnawaita ma Swahaba lakini ni walevi hatari. 10 Quran imeandika alie teremsha Quran ni Adui wa Malaika Gabriel sasa Adui wa Malaika si Shetani? yaani na mengine mengi tulikua hatujui sasa mitandao imeharibu mambo kwa vitu kuwekwa hadharani mtachukia mpaka mfe kwa kufichuliwa uozo uliokua nyuma ya Pazia 11 Mungu kawafukuza Malaika wabaya ambao ndio hao wamegeuka Majini lakini Muhammad kayakumbatia na waislam wanaomba kwa hayo Majini na Mizimu. Funguka wewe sio mpaka uje ukutane na Yesu ushasikia ukweli toka huko achana na Majini uokoe nafsi yako
Waislamu watajisomea vipi Qur'an na hawajui Kiarabu? Isitoshe, walioiandika kwa Kiarabu walitaka waumini wategemee uwongo wa maimam na mashekhe peke yao, ndio wadumu gizani milele😂😂😂😂😂
Ss waislam tumesoma Quran twajua yy ni muongo ni wakala wa ibilis hakuna muislam aliye soma miaka miaka mingi kama huyo muongo alifundishwa majini yenu wacristo
Kweli wewe nimjinga unataka umpangie mungu kazi yakufanya jinsi akiliyako inavotaka kwaiyo waumini waliowafata manabii waliopita kabla ya yesu kujaduniani mungu hawatambui ?
Hata nami ilikua hivyo Kwa mkewangu ila nilienda kwa mwamposa na alijifungua amini Kila ambocho kitakufaaa kwakua ni mungu anaetnda basi ni kua shika Imani na amini tu mungu atamsaidia ila aende awekewe mkono na mtumishi na aombewe
Kama unampenda YESU KRISTO na kuamini kuwa ni BWANA na mwokozi na hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye,gonga like
Ameeen
Natamani ningekuwa nakujua ungekunywa soda sema humu sio sehemu sahihi kuweka namba zako
Yesu Siyo Mungu bali kapewa mamlaka na Mungu kufanya mambo ya Kuungu, Hivyo ukiomba chochote kupitia jina lake Yesu Mungu atakutendea kwa haraka zaidi.
MFANO :- Rais wa nchi katoa maelekezo kwamba mtu yeyote asije Ikulu kuonana na mimi bila kupitia wizara flani kupewa idhini (kibali) wewe ukafosi kwenda ikulu moja kwa moja lazima utatimuliwa
@@jafaryjey Wewe hujui chochote kumhusu Yesu na ikiwa unadhania kuwa wewe ni mkristo huku unakana uungu wa Yesu basi umeikana imani.
@@jafaryjey ndugu Yesu siyo secretary wa Mungu. Kasome biblia yako tena ina maana hata andiko la Yohana1:1 hujui maana yake ni nini!? Ila kama wewe ni shahidi wa Yehova sina hoja na wewe maana wao wana biblia yao waliojitungia kulingana na matakwa yao.
Yesu juu!! juu!! juu zaidi yaani kwa jinsi watu tulivyo na shingo ngumu ukweli unauma sana ukiambiwa
This is a true eye opener for the islams and for chriatuans this should strengthen our faith in JESUS
Sifa zimurudi Yesu Kristo!!! Yesu ni Mungu daima na milele
Yesu si mungu mpka dunia inaisha mungu gan katahiriwa
Hii dunia acha iitwa dunia lakini twendeni kwa Yesu
Amen!!
Ameen said abdallah ubarikiwe twende kwa Yesu kristo au sio mkuu
@@jesuspower2390 ameeeen🙏
Amen
Halleluya! ni nyakati za mwisho, ukweli unadhihirika waziwazi, Bwana wetu Yesu Christo yu karibu kuja.
Jesus thank you for this opportunity to listen this testimony
Wonderful teacher may the Lord bless you
Safi Sana mchungaji, mathew 28:18-19, barikiwa Sana na mungu akutie nguvu zaidi, Amen, amen
Waislamu wote pamoja na Mohammed siku ya mwisho watakuwa kwenye foleni moja wakisubiri hukumu ya Bwana Yesu!!
Mungu akubariki mtumishi
Ukiona dini inayolasimisha watu kuabudu ujue kuna kasoro..maana kila mtu ana haki ya kuchagua atakavyo..Asante kwa Yesu na huyu mwalim wa Neno tunakufuata sana boss..na kupima pia kwa neno.
john 8:32 & the truth will set you free those that have ears listen 🙏
Ameni HAKUNA KAMA YESU NIMEMWONA NIMEMUSIKIA NIMEMUELEWA NA NI MLINZI WANGU NA UZIMA WANGU
Mch, piga fimbo mpaka wavimbwe. Watoto wa Shetani lazima watakukasirikia na kukushambilia. Hata na mimi wanaweza kunishambulia kwa sababu kinaumana.
Yesu ni Bwana na mwokozi wetu
Yesu Yesu Yesu bwana wangu kaanami siku zote
Yesu ni mwokoz wa dunia
Hakika kuna UTUKUFU kwa YESU ni HAI
Come on
Ameeeeen YESU ni BWANA
Bro Dav, this time umejikaza kwelikweli, umepunguza woga, siyo kama ulichotufanyia kwa Mchawi HASSAN cha kutoalizia story kwa kuogopa vitisho.
Iendeleze ile story ya mzee Hassan
Asante kwa kutuelimisha,Yesu ni Mungu %,na atatushindia ! Tupe izo haya, we have to fight without no retreat as Christians against those Muslims 🙏🙏🙏🙏🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Warumi 10:9
Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako ya kuwa Mungu alimfufua katika wafu, utaokoka.
Warumi 10:10
Kwa maana kwa moyo mtu huamini hata kupata haki, na kwa kinywa hukiri hata kupata wokovu.
Hakuna Cha Papa Wala Malia tumuombe YESU YY NDO KILA KITU NA MUNGU HATAKI DHAMBI. YESU YUKO JUU YA YOTE
I agree Yesu akutuachia dini wala makaanisa,,alisema nawaachien Amani bwana ikae nanyi
Mzee umesema Osama yupo mara amekufa tukuwerewe vipi yupo au ayupo.
Jehovah Andoi anastahili kuabundiwa
YESU NI BWANA
Na mwokozi na hakuna Mungu mwingine zaidi ya yeye Utukufu na heshima ni Kwa BWANA YESU KRISTO milele na milele
Kweli! Kuwa Mkristo aliyeokoka ni BAHATI/NEEMA kubwa. Sisi sio wazuri kuliko wengi wanaoangamia kwa sababu hawajakutana na Yesu, bali tumebahatika tu. Upande wa pili, kunao wezi, wauaji,wazinzi, waabudu Shetani na wenye dhambi wengine ambao walipata bahati ya Yesu kuwatokea na kuwaokoa.🙏🙏🙏🙏🙏
Qur ani huijui usidanganye watu ujasoma labda kwa asie ijua qur ani ndio atakuona umesoma akuna maneno hayo unayo yasema kwenye qur ani
Ndugu mfuatiliaji katika channel hii..kama hujaokoka...mpe Yesu Kristo maisha yako akuokoe kwani Yeye ni njia ya uzima na kweli hakuna njia nyingine ya kuingia mbinguni
Ameeen
Waislamu huu ni wakati wa kuokoka
Ukiokoka ww inatosha
@@jesuspower2390 pambana na nafsi yako
UKWELI mm nimethibitisha hakuna Kama YESU na hatakuwepo
@@mamananga2849 pole ndugu. Nenda kwa shehe akusomee mbinguni au ahela yenu ikoje ,ndipo uchague njia
@@mamananga2849 ukisha sikia ndugu ,hapo imeisha hakuna neema Tena na her uokoke na jehanamu
Amen
Njaaa mbaya Sana 😀😀😀Mungu amuongozee
@@jesuspower2390
Unachekesha wajinga ndyo huwa wanadanganywa kaona nyie msio jua awahadithie uongo,kipindi kijacho atafute anayeijua uislam apite apo utajiona mjinga
@@husseinkiruta1712 Sio akili yako hiyo kujitia ukiziwi ni Muongozo wa Majini ndio yanakufanya ujifanye uelewi, huyu sio wa kwanza kuongea haya , Channel ya Biblia Nuru ya Dunia washafundisha sana hayo mambo kwenye U Tub tena huyu anaongea vitu vingine haongei vigumu zaidi kumeza sasa wewe badala yakutafuta kweli bado unabishana, hiyo sio akili yako
Umedanganya Sana izo Aya za Quran ,hujasoma popote ,acha njaa halafu ata kiarabu hujui
3:49 Quran
Mungu anasema na akamfanya yesu kuwa Mtume kwa Wana wa Israel.
Yote aliyofanya hapo yesu Ni kwa idhini ya Mungu siyo idhini yake yesu
@@jesuspower2390 Usihangaike nao Hawa wako gizani, ukiwauliza maswari, atakaekujibu ni shetani, tuwaombee
Mtoto wa sheitani
Na Allah atadhihirisha ukubwa wake kwa huyu anayepotosha watu hapa tafsiri hasomi kwenye msahaf anatoa kichwani
Tulia dawa ikuingie bana,sijui una majini mangap hapo ulipo duuu
@@neemahassan1979 😂😂😂huyu ana Yesu huyo Allah wako hawezi hawezi kumfanya kitu, Yesu ni mkubwa kuliko huyo Shetani Allah, pole sana.
Huu ni upotoshaji wa makusudi aya hazijamtaja yesu
Al-Imran 21, Quran 3;21
Hakika wale wanaozikanusha Aya za Mwenyezi Mungu, na wakawauwa Manabii pasina haki, na kuwauwa watu waamrshao Haki wabashirie adhabu Kali.
Wapi Yesu hapo ndugu zangu.
Mbona huhu mtumishi hasemi ukweli, tunataka aseme tu ukweli maana ukweli utabaki hauwezi geuka.
Ukweli upi unaotaka sasa? Yaani unataka aseme yale yaliyokichwani kwako ndo uamini kwamba anasema kweli?
Sasa wewe huoni Hao viongoz wenu ndiyo wanaowapotosha ,tafuta Qruani halisi mana hata biblia Zipo originally na feki na ukizifuata feki utaacha njia ya kweli ,acha ubishi tafuta ukweli uokoke jehanamu
Nitapataje namba za mtumishi ndugu yangu mimba ikifika miezi mitano inaharibika
Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu mimba ikifika miezi mitano inaharibika
Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kuki mimba ikifikisha miezi mitano inatoka
Nitapataje nambaa ya mtumishi kuna ndugu yangu anayo miaka kumi ndoani kila mimba ikifika miezi mitano inatoka
Part 9 ni sehemu ambayo imetufungua mengi ambayo hatukuyafahamu kumbe Yesu kristo ndiyo njia na uzima wa mwanadamu kumbe mambo YAKO kweupe kabisa hata yule nabii Elias wa Kule kibaha ameongea ukweli kabisa Ila wamempinga
Adam hajji kakaaaa,naye pia aje
Mtafute sheikh aje aweke sawa anadanganya watu uyo
Huyo ndo atuletee uongo wenu wa Allah wenu
Kwann usisome vitabu ndugu ubishi sio kitu jifunze vitu wacha kukalili vitu kila siku Ni shule
@@damianandrew3074 kwenye hivyo vitabu ndo wameandika sahihi yeye mbona hasomi tafsiri hapo anaitoa kichwani? Ilibidi awe na msahafu hapo asome quran na hiyo tafsiri anayoisema sio kupotosha watu
@@neemahassan1979 Kwani waislam wanavyokwenda Msikitini huwa wanakaa wanasikiliza Shekhe atakacho sema wao kazi yao ni Tumswalie Mtume waislam Walahakbal, Takibirii walaawakbal kwisha hamuwezi kuhoji wala kulinganisha maandiko kama kilichofundishwa na kuongea pale ni sawa?mwisho wa siku mnabaki kukalilishwa uongo na kubaki na misimamo sio sahihi lakini ni kiburi cha Majini ndio kimewajaa Waislam
@@charlesmapunda5905 kwani wakristo wanapoenda kanisani muda wa mahubiri wanamuhoji mhubiri kitu gani ya haleluya na bwana asifiwe
Quran has been changed 😭😭. Imran 21 reads this way in the version that I have.
Aal-e-Imran 3:21
إِنَّ ٱلَّذِينَ يَكْفُرُونَ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ وَيَقْتُلُونَ ٱلنَّبِيِّۦنَ بِغَيْرِ حَقٍّ وَيَقْتُلُونَ ٱلَّذِينَ يَأْمُرُونَ بِٱلْقِسْطِ مِنَ ٱلنَّاسِ فَبَشِّرْهُم بِعَذَابٍ أَلِيمٍ
Those who disbelieve in the signs of Allah and kill the prophets without right and kill those who order justice from among the people - give them tidings of a painful punishment.
Viongozi wa Kiislamu sio kwamba hawajui ukweli. Ni kwamba wanatumikia Mungu wao AL MAKR, Allah (Quran 3:54, 8:30). maana yake MDANGANYIFU MKUU.
Wakristo wanashindwa kuwelewa na wamuulize vizuri uyu ndugu yao je alikuwa muslimu au mchawi maana dunia kuna dini 3 tu Kuna uwisilamu ukristo na ushetani Sasa yeye alikuwa wapi
Ushetani
Duuuu kweli wewe ujitambui duniani kuna dini 3 duniani kuna dini zaidi ya izo tatu unazofaamu zaidi ya mia 100 hila iliyo ya kweli ni Yesu kristo amesema Mimi ni njia au dini ya kweli na uzima mtu haji mbinguni bila yeye wengine wote wanaotangaza hizo dini hakunaaliyesema yeye ni njia au dini ya uzima wa milele ni Yesu kristo tu Muhammad anasema Hilo neno alichosema yeye hajui kitakacho mkuta wala nyie waislamu yeye ni muonyaji tu njoo Kwa Yesu waislamu tunawapenda
Muulize ni kwanini waislam wanasema dini yao hairuhusu mtu kula nguruwe.
@@jesuspower2390 🏃🏃🏃🏃🏃
@@jesuspower2390 kweli kabisa hata huku kunamkristo kaowa wake 2 anasema Yesu ni ukoo wa Suleimani wa Daud. Matayo1:1-13
@@jesuspower2390 hujui Kati ya ushahidi na maelezo. Hata mimi nawaza kujieleza nilikuwa mpaulo sasa nimetoka huko nipo huru
Wanakula kabisa na siyo dhambi iyo Quran imrwaruhusu ila wale wasishibe
Kwa ufupi Quran ni kitabu Cha YESU ni vile hawaambiwi ukweli lakini nilisikia wakristo waliuliwa kweli kitambo hiko ndio maana uisilam ukashika kasi
Shetani anajua ukweli kabisa, kwamba Yesu ndiye atakayerudi kuhukumu binadamu. Lakini kwa ujajnja wake, amegeuza maneno eti Yesu atarudi akiwa Mwislamu. Upuzi mtupu huu, kwa sababu hakuna siku Yesu atakubaliana na mafundisho ya uislamu!
Kwanza yesu hakua mcristo alikuwa Muslam
Ww ni majn yamekupeleka kwenye ucristo
Muulize kwa nini majini hawapendi nguruwe.
Waklisto wanasema kwamba waslimu ndio tuna majini na mapepo wakati wao toka yesu aondoke kila siku ya mungu wanakemea kanisani kila day wanakemea mapepo kwanini ayaishi kwenu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Walio zaliwa chini ya Maisha yakutambikia Mizimu na M ajini kwenye Ukoo ndio lazima wanapoingia Kanisani lazima Uombewe ili kuvunja hizo Madhabau za Ukoo na Mila baada ya hapo ndio unaokoka, bila hivyo utabaki na Mapepo na utaendelea kuyatambikia mpaka Kufa. Nisawa nanyi Waislam mtoto anapo zaliwa zkifika siku 40 mtoto anapo tolewa ndani pale ndio anakabiziwa Majini na kutoa sadaka sasa ukiamua kuacha Uislam lazima Ukemewe hayo Majini mpaka yakutoke ndio unakua mtu kamili nje ya hapo wewe na Shetani ni ndugu, Hiyo ndio sababu yakukemea majini
Kwa wewe kwako mbuu wanaisha ukiwafukuza au inzi ? Na mapepo Yako hivyo hayafi tunayafukuza wakristo wezutu nyie waislamu mnayakaribisha kwenu heti ni waislamu wezenu majini je Muhammad alisilimisha majini na wanadamu mbona mashekhe wanawasilimisha watu tu majini je mbona awatangazwi kuwa kuna majini yanaendelea kusilimu ? Sis wakristo tunatoa mapepo au majini kama Yesu kristo mwokozi alivyoyatoa Kwa watu njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu hipo
Sasa wanaokuja kuokoka si wanatoka kwenu wataokokaje
Pole sana, tunapokea watu Kila siku waliofungwa na mapepo, pia vita yetu Sisi ni juu ya mapepo, na vita ya mapepo ni juu ya wakristo, vita haitakoma mpaka siku ya kiama, ndo maana tunapambana nayo Kila siku ili yaachie wale walioamua kumwin Yesu, hilo ni agizo la Yesu mwenyewe, Marko 16:17 "Na ishara hizi zitafuatana na hao waaminio; kwa jina langu watatoa pepo;..."
Kinachofaa kueleweka kuhusu Qur'an ni kwamba waandishi wake walikuwa wanafanya "copy and paste" kutoka kwa Biblia na "kukopa" watumishi wakuu wa Mungu wa Biblia(Yahweh) kv Musa, Eliyah, Abraham, nk kufanya Quran ikae kama kitabu cha Mungu. Katika kufanya hivyo, walijichanganya mahali kwingine!😂😂😂😂😂😂
Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kumi akipata mimba ikifika miezi mitano inaharibika
Fuatilia Arise and shine, or mwamposa live au kuhani na mwalim Musa Richard Mwacha
@@wardawarda6109 achana na wachungaji hawa maana hautauridhi ufalme wa Mungu,kazi zao zinaonyesha sio matunda ya YESU KRISTO,ukisali Kwa wachungaji wanaotumia maji na mafuta hautatoboa ktk ufalme wa Mungu, tafuta kanisa linalofundisha utakatifu na kuacha dhambi sio kutumia mafuta ktk mafanikoo ya YESU KRISTO unapoteza mda wako
Kwanza hajui kusoma quran hajui kiarabu wala quran kabisa ameamua kupotosha maanashi we sema tu ukweli
Njia ya muongo ni fupi. Kasoma Dar es Salaam au Kigoma? Miaka 3 au 4?
Ndio maana Nchini Israel hawatakiwi Wakristo
[11/04, 08:34] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/M-9M87wzyGM/видео.html
[11/04, 08:42] Ibrahim Hassan: ruclips.net/video/e6nz-IuXNRA/видео.html
Kumbe Osama ame dead!!!!!
ulisema Saddam husein yupo bana tena unasema alikufa?tuko makini sana Mchungaji
Adam Haji aletwe na joyce
Astaghafiru lah ww baba acha uongo wapi kwenye quruan imesema ukirsto ni dini ya mungu wallah njaa mbaya uuuwiii sasa kama unasema yesu ni mungu,yaan mungu akuumbe kisha umtahiri jaman iyo inaingia akilin kweli mara mungu yesu akae tumbon miez tisa ndo akazaliwa sasa kama mungu alikaa tumbon miez tisa nan alikuwa akiiendesha dunia,nasema iviiiiii yesu si mungu mpk dunia inaisha
Wewe ukristo ni dini ya Mungu sio mpaka quran iseme,Quran imesema mengi lakini imeshindwa kuokoa wachawi na watu fedhuli hata wakaacha njia zao mbaya halafu unasema ukristo sio dini ya Mungu
Mungu ni Mungu anaweza kuwa kama anavyotaka, anaweza kufanya kama anavyotaka, ikiwa jini linaweza juvaa mwili wa bindamu, Mungu ndo ashindwe? Yeye ni mkuu ajili zake si ndo kama za kwako, fikri vizuri juu ya Mungu, usiwe na mawazo madogo sana kiasi Cha Mungu kumlinganisha na akili zako
@@pericymnyamoga3859 kwanza ukirsto sio din wapi kwenye bibilia imesema ukiristo ni din naomba unambie kanisa alilolijenga yesu kwa kipind alichokuwepo dunian na kama hakujenga je alikua akifanyia wapi ibada zake
@@simonrevelian7278 kwaiyo mungu uyo ashikwe na wanaadam atahiriwe mungu uyouyo akae tumbon miez tisa kaaa jmn ebu tumpwekeshe mungu yuko peke yake hana mshirika na hashirikishwi na kitu chochote yesu ni nabii kama manabii wengine uislam ni kumpwekesha mungu yesu sio mungu mpk dunia inaishaaaaa
Jiongeze kwenye Maarfia yako. Mungu huyu aliyeumba hii dunia na vyote vilivyomo. Ni nini kwake kitu kidogo tu cha Kuzaliwa Kama Mwanadamu??! Yani ni sasa na mtu anayeweza kukimbia kwa kasi halafu ashindwe kutembea!! Hoja yako bado haina Msingi. Tafakari
Kwanini waislam mtoto wake akitoka kwenye dini yake akiokoka baba mama njoo wakwanza kutaka kumuuwa
vile jamaa anazidi kuchekesha ananukuu na kuamini quran kwa maana anatoa ushahidi humo ila anasema tuwe wakristo , kwanini asinukuu bible na kwanini asema uongo katika kunukuu aya .
Nina swali : panafasi ndani ya Quran panapo sema historia za Musa ambapo Mungu alimtokea ,unipe iyo haya nikaisome pana sababu Mtumishi!!!
Endelea kuwadanganya watu wanahama huku!!!
ruclips.net/video/dY8C4MeLSs4/видео.html
Nimemfuatilia lakini leo ameongea kitu amabcho kidogo kanipa utata nimemshangaa wakati anaanza kusimulia alisema OSAMA hajauwawa na bado yupo na kuwa wamarekani wamedanganya ,lakini leo hii anasema kuwa wote tutakufa haogopi kuuwawa kama osama na nguvu zote za kuuwa watu nayeye kauwawa , Sasa inakuaje anasema leo kuwa osama kashakufa wakati video zilisopita alisema osama hajauwawa bado yupo anaishi mafichoni, embu ungemuuliza hapo kidogo manake kajichanganya au vipi
Amesema osoma amekufa kwa mantiki ya dunia inavyosema amekufa lakini hajafa kwa masuala ya kiroho lakini kama dunia inavyosema amekufa lakini kiroho wanajua kabisa hajafa
Ndo mjiongeze tena wala bado kama ndo mmezowea kulishwa
Njia ya muongo----------
Chuo cha libya chuo gani icho
Du jamaa muongo sana , kwanza kusoma qur an hajui na hiyo tasfsir alotoa sio kweli kama anatangaza ukristo uislam unamuuma nini na kwa taarifa yake wafuasi kwa dini ya kiislamu wanaongezeka, pia atuambie kasoma chuo gani , cheti chake kiko wapi , sio aseme vyuo mbali mbali
Ili tuitikie eeemeeen. Leo ALLAH kawa MUNGU aliemtuma malaika Gabliel, na Issa kakubalika kuwa ni Yesu lakini kesho ukisema Issa ndio Yesu ataruka futi 100. ALLAH ndio Mungu atasema hapana.🙈🙈🙈 wakristo pindua pindua
Wacha kujifanya huelewi hahaha kwendaaaa
Maandiko na imani yenu ni kwamba Issabin Mariam ndio Yesu sifa zake zimewekwa wazi lakini ninyi na Mashehe wenu wakifundisha sehemu hizi zinazo muhusu Yesu wala hawafundishi wanaruka. Sasa umepata bahati ya kusikia ukweli ndani ya Quran na ushajua ili umjue Yesu vizuri ndio Uokoke hapo unaongozwa na mihemko ya Majini hivyo huwezi kukubaliana na lolote usikialo zaidi ya kubaki na Imani yako ila ukishakufa ndio utakumbuka haya maneno kwasababu hutokwenda mbinguni utabaki hapahapa kuzimu na utashuhudia mateso mengi mpaka Yesu atakapo kuja
@@charlesmapunda5905 kwa mtu ambaye ubongo haufanyikazi aitikie eeemeeen, Quran ni ya ALLAH ambaye tayari amemwita shetani na mtume chokoraa tena anakifafa. Nazani ingepaswa imuandike issa au Yesu kwa kumpinga kumdharau na hata kumkashifu maana ni ya shetani. Nani humkweza adui kwa masifa mazuri mazui?. Mmeangukia pua
@@khalidyasinkhalid5944 Katika Mitune na Manabii wa Mungu alie hai wote wamefanya mambo makubwa na ya ajabu kwa kila mmoja na namna Mungu alivyo mshusha Duniani, lakini hakuna Mtume wala Nabii alifanana tabia au upatikanaji wake kama Muhammad Mtume wa Waislam.
1Kwenda kuoa Wanawake Waliomzidi umri na mwisho kuoa Katoto ka miaka Sita,
2 pKumsilimisha Shetani akawa Muislam na Majini,
3Kavunja Amri za Mungu kama Usiue na Mpende Mungu, jirani yako kama unavyo jipenda, Muhammad hiyo alikua hana yeye ni kuua watu na kusambaza chuki kwa mtu asie Muislam.
4 Alikua hajui kusoma wala kuandika
5 Mgonjwa wa Kifafa mpaka Aya zake Mashekhe wameziita Nusuru kwasababu zinakinzana na alitamka kipindi kifafa kikimjia
6 Nimtume pekee aliepewa Utume na Mkewe, mfano ni nani alimwambia Bi khadija kwamba Muhammad alikabwa mapangoni na Malaika Gabriel? wakati yeye hakuwepo wala hakumuona ila mkewe ndio anamwambia huyo atakua Malaika Gabriel, na bado mtume anasema anahofia nafsi yake kuchezewa na Mashetani mkewe anamwambia haiwezekani jihesabie ndio ushapata Utume sasa na hakuna sehemu kwenye Quran Mungu au Malaika kampa hicho cheo.
7 Ni Mtume pekee alie wahi Kurogwa
8 Quran ina sema aliamriwa awe wa kwanza katika kusilimu lakini hakuna hata sehemu Moja mtume Kasilimu au Kasilimishwa,
9 Walio andika Quran ni watu 4 wasomi kutoka Roman alipotokea Bi khadija ambao mnawaita ma Swahaba lakini ni walevi hatari.
10 Quran imeandika alie teremsha Quran ni Adui wa Malaika Gabriel sasa Adui wa Malaika si Shetani?
yaani na mengine mengi tulikua hatujui sasa mitandao imeharibu mambo kwa vitu kuwekwa hadharani mtachukia mpaka mfe kwa kufichuliwa uozo uliokua nyuma ya Pazia
11 Mungu kawafukuza Malaika wabaya ambao ndio hao wamegeuka Majini lakini Muhammad kayakumbatia na waislam wanaomba kwa hayo Majini na Mizimu.
Funguka wewe sio mpaka uje ukutane na Yesu ushasikia ukweli toka huko achana na Majini uokoe nafsi yako
@@khalidyasinkhalid5944 ruclips.net/video/u_qDrNmtq58/видео.html
Fata uyu njo kiboko yenu anajua kiarabu na Qur'an yote
Waislamu watajisomea vipi Qur'an na hawajui Kiarabu? Isitoshe, walioiandika kwa Kiarabu walitaka waumini wategemee uwongo wa maimam na mashekhe peke yao, ndio wadumu gizani milele😂😂😂😂😂
Ss waislam tumesoma Quran twajua yy ni muongo ni wakala wa ibilis hakuna muislam aliye soma miaka miaka mingi kama huyo muongo alifundishwa majini yenu wacristo
Ni kwel kabsa
@@matiusmgisa7203
Walisema wahenga, "Kumwashia taa kipofu ni kuharibu mafuta", tena "Sikio la kufa halisikii dawa."😂😂😂😂😂😂😂
Muongo sana wewe
Kweli wewe nimjinga unataka umpangie mungu kazi yakufanya jinsi akiliyako inavotaka kwaiyo waumini waliowafata manabii waliopita kabla ya yesu kujaduniani mungu hawatambui ?
Nitapataje namba za mtumishi kuna ndugu yangu yupo ndoani miaka kumi mimba ikifika miezi mitano inaharibika
Hata nami ilikua hivyo Kwa mkewangu ila nilienda kwa mwamposa na alijifungua amini Kila ambocho kitakufaaa kwakua ni mungu anaetnda basi ni kua shika Imani na amini tu mungu atamsaidia ila aende awekewe mkono na mtumishi na aombewe
@@bakarikayugwa3295 ameeen
Kama hukufanikiwa mtafute mchungaji sunbella kyando. Akuombee kwa Mungu.