WAISLAM AMKENI HUU NDIO MTIHANI WA MASIHI DAJJAL (MPINGA KRISTO), CHAPA YA 666

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 мар 2024

Комментарии • 342

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 2 месяца назад +1

    ALLAH AKBAR ...MWENYEZI Mungu Akuweke...upo sahihi kabisaaa. Nakuombea. Na kujiombea Mungu Atupe Pepo , 🙏

  • @abdulhakhashim764
    @abdulhakhashim764 2 месяца назад +1

    ALLAH ALBAR......🤲🙏.....shekhe......vile vile.....naamini ..nimekusikiliza kwa umakuni...sanaaaaaa uko sahihi , MWENYEZI ...MUNGU ,Akuweke....daimani......IQRA🤲🙏IS EVERY THINGS 😭

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 3 месяца назад +5

    YESU KRISTO alisema yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamsikii kwa kuwa ninyi si wa Mungu.

  • @user-ik5dy1hw8d
    @user-ik5dy1hw8d 3 месяца назад +2

    barikiwa sanaaaa Unatupa Imani ya kweli mioyoni

  • @fxfelle
    @fxfelle 3 месяца назад +4

    ENDELEA KUSEMA UKWELI NA MWENYE MASIKIO NA ASIKIE👏👏🤝

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg 2 месяца назад +1

    Mungu akubariki Sana ihubiri Ile kweri na mungu atakubariki yesu Kristo ndio Kila kitu kwa Kila mtu amwaminie

  • @progressivemetallicmineral4601
    @progressivemetallicmineral4601 3 месяца назад +11

    ALLAH AKUHIFADHI MAALIM HAMZA NA SISI WAFUASI WAKO, NAKIRI MWANZO SIKUWA NAKUELEWA NADHANI WATU WA AINA YANGU TUPO WENGI, ALLAH ATUONGOZE, WAKATI MWINGINE SIYO WOTE WANAKUKATAA KWA KIBRI BALI NADHANI NI UTOVU WA ELIMU, MASHEIKH WETU WENGI WANAOTEGEMEWA KATIKA JAMII YETU KWA NYAKATI HIZI WOTE ELIMU ZAO WAMERITHISHANA KUTOKA KWA MASHEIKH WAO, NA HATA HAWA WACHACHE WALIOPO WANAAMINI ELIMU WALIOPATA KUTOKA VYUO VYA MADINI NA MISRI WANAAMINI NDO MWISHO WA KILA KITU KATIKA ELIMU. JARIBU KUVAA VIATU VYAO TAFADHARI, KAMA SIYO KUSUDI LA ALLAH KUKULETA WEWE DUNIANI KWA ZAMA HIZI NA KUKUPA ELIMU ALIYOKUJALIA NA ZAIDI NADHANI UTAKUBALIANA NA MIMI WOTE TUNGEKUWA GIZANI KAMA WAZEE WETU WALIOTANGULIA MIONGONI MWA MASHEIKH WA KAWAIDA. ALHAMDULILLAH KWA ELIMU NA UKUMBUSHO HUU NAMUOMBA ALLAH AZIDI KUTUFUNULIA ELIMU ZAIDI NA KUTURUZUKU FAHAMU NA MAZINGATIO.

    • @nabiiilyaaseliya2551
      @nabiiilyaaseliya2551  3 месяца назад +2

      🙏 Alhamdulillah Amen

    • @samsonthoya4275
      @samsonthoya4275 3 месяца назад

      Allah akuhifadhi ndugu yangu, uko na jicho la mbali sana

    • @karimstambul-ts4gn
      @karimstambul-ts4gn 3 месяца назад +1

      Ikiwa wewe ni muislam kisha ukaitakidi kuwa kuna mtume au nabii baada mtume muhammad swalallahuallaywasallam basi umekufulu na umetoka nje ya dini huyu jamaa yeye anajiita nabii kabisa nawewe unahadaika na maneno hakika huu ni msiba mkubwa umekufika kuliko misiba mingine yeyote iliyowahi kukufikia ktk maisha yako na inavyoonesha wewe humfaham vizuri huyu kafiri ni kafiri anayetumia njia mbaya sana ktk kuwatoa watu ktk dini ya uislam kuriko yeyote aliyewahi kutokea ktk hii nchi na ukweli huyu yupo kama bosi wake ibilisi anaikubali haki na anaifundisha rakini yeye mwenyewe yuko mbali nayoo na mara kadhaa waislam walishawahi kufanya nae mazungumzo juu kujiita kwake nabii hakuwa na la jibu lenye mashiko ndipo likagundulika kuwa hili ni kafiri lililokubuhu

    • @josephmahona3006
      @josephmahona3006 3 месяца назад +1

      Kumuelewa eliya uwe na akili na maarifa Sana lakini Kama utakulupuka na isia zako za ivyo uwezi kuelewa alimu nzuri anayo toa mungu akubaliki Sana eliya na usiache kutufunulia neno la mungu

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      @@josephmahona3006hii kwel huwezi kuipata kirahis

  • @ianbryse1417
    @ianbryse1417 3 месяца назад +7

    Ww kweli ni Mtumishi wa Mungu. Mimi ni mkristo ila kupitia mafundisho yako umeniongezea Imani na hakika kwa Yesu Kristo wa Nazareth” Issa Bin Marium. Natumaini Mungu atawasaidia ndugu zetu waislam kumwamini Yesu katika zama hizi za Mwisho! Amen! 🙏🏾

    • @aziziatumanially424
      @aziziatumanially424 3 месяца назад +2

      Mi niliona Yesu ni mkuu mbali san ata Muhammad alikua akimfuta nikaona mimi ni nani nisimkiri yeye

    • @HamimuBadyanaJR
      @HamimuBadyanaJR 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂😂 toa shahada kwanza mkubali Allah na MUHAMAD KUWA NI MTUME WA MUNGU

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      @@aziziatumanially424Muhammad lazima tufuate mafundisho yake hata kama ni wakristo, thẹn kumuamini Yesu kuwa mwokozi wa maisha yetu

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад +1

      @@HamimuBadyanaJRmm ni mkristo ila naamini kabisa mtume Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu kutokana na mafundisho yake.

    • @faithe4063
      @faithe4063 3 месяца назад +1

      ​@@veronicanestory1662 wewe si mkristo wewe ni mpinga kristo, Yesu akasema akuna mtu atapenda Bwana wawili maana atampenda huyu na kumkataa huyu, so chakuo moja, na usisaau kwamba Yesu Yuko mlangoni

  • @faithe4063
    @faithe4063 3 месяца назад +4

    Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu,na karibu tena katika Nuru, Yesu ni Bwana wa majeshi Yuko mlangoni yaja

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f 3 месяца назад +2

    Ubarikiwe sana sheee nipo Moçambique nakufuatilia Katka masomoni 😅 10 :4

  • @user-uo4ui9zu6y
    @user-uo4ui9zu6y 3 месяца назад +2

    Aisee nimekuelewa vzr sana shehe kumbe issa bin maryam ndo kila kitu , kweli watu wajue sasa wa dini zote kuwa YESU anarudi..waooooo

  • @user-hr5gx1zr1m
    @user-hr5gx1zr1m 3 месяца назад +5

    Mwalimu asanteni sana kwa mafundisho yako

  • @lightouma477
    @lightouma477 3 месяца назад +1

    Mungu wa mbinguni azidi kukutunza a kukupa maono na mafundisho zaidi

  • @allyminja2371
    @allyminja2371 3 месяца назад +1

    Inalilah wainalilah rajuun,kumbe ile jamii ya yuda ipo katika maisha ya Leo,Allah atunusuru Inshallah,,

  • @vicotrmboya4305
    @vicotrmboya4305 3 месяца назад +9

    Duh. Ula shehe apo umepiga kwenye mshono. Mana kwa kawaida waislamu hawamtaki Yesu kabisa. LAKINI NI KWELI, YESU PEKEE NDIO NJIA YA UZIMA WA KILA MTU. HATA VITABU VYOTE VYA DINI VINASEMA IVO

    • @abdallahsiraju68
      @abdallahsiraju68 3 месяца назад

      Sikiliza tena nahisi hujaelewa vzr

    • @t.v.a.i.s.s6842
      @t.v.a.i.s.s6842 3 месяца назад +1

      Asie mkubali na ku muamini yesu ya kuwa yeye ni Nabii wa Allah. Huyo sio mu islam hilo litambue

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 3 месяца назад +1

      We mjinga nani Alie kwambia waislamu hawampendi nabii ISSA? Ukiristo sio dini elewa dini na ISSA hakua mkristo Sasa wewe ukristo umeletewa na nani huo udini wako

    • @dr.mwamlolewarrakah5457
      @dr.mwamlolewarrakah5457 3 месяца назад

      Kuna pahali hujaelewa. Umezungumza mengi lakini kwa kweli umekosa njia. Naomba nikufafanuliye.
      1) Unayofanya wewe ni Uchambuzi(Analysis in english language). Na kama desturi ya uchambuzi wowote unaweza kuwa na makosa mengi tu kama vile uchambuzi wako ulivyo na makosa mengi.
      2) Huwezi kufanya uchambuzi wewe halafu ukakataa kusikiza changanuzi zingine halafu ukasisitiza kuwa yako ndio iliyo sawa. Halafu ukaamrisha watu kwa msingi wa uchambuzi wako tu ambao wazi una makosa mengi.
      3) Kukuleta karibu na njia iliyo sawa ama iliyo nyooka(straight path): nakuomba ujibu maswali haya machache tu:
      Uchambuzi wako unathibitishwa na vitabu gani vya kweli(Authentic books)?
      Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika mathayo 5:17-20. Je mbingu na ardhi ishapita? Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika Yohana16:7? Je maana ya neno la kigiriki'Periclytos' ni nini? Unasema unaamini Qur'aan. Nionyeshe wapi kwenye Qur'aan ambapo tumeambiwa tukifika wakati fulani ama karne fulani tuwache kufunga ama tuwache kuswali? Nguzo za wiislamu ni ngapi? Taja nguzo za wuiislamu? Taja nguzo za imaani? Je unaziamini nguzo hizo?
      4) Unafanya makosa makubwa kuwaambia waislamu waache kuswali na wawache saum. Waiislamu wanatekeleza walivyo amrishwa ni Allah kwenye Qur'aan na sunnah ya Mtume Muhammad(SAW). Nawe hiyo amri unayo wambia waiislamu wasiswali na wasifunge mwezi wa Ramadhan,- ulitumwa na nani? Je ulitumwa na Allah? Kama ulitumwa na Allah tafadhali tuonyeshe kitabu kama vile Qur'aan na utuonyeshe sunnah yako?
      Bila hivyo, yako ni maneno tu bure, ambayo hayana msingi wowote. Nakama huna kitabu kama Qur'aan tafadhali nakuomba usipoteze watu waliokatika dini ya haki.

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      ​@@saumbliz8983Kwanza unatakiwa ujue Yesu na Isa ni watu wawili tofauti, Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Isa alizaliwa chini ya mtende nyuma ya msikiti, Yesu alizaliwa ktk Bethlehem ya uyahidi wakati Isa hajulikani alizaliwa wapi, Yesu alikufa na kufufuka wakati Isa hakufa wala kufufuka, Yesu atarudi kuchukua walio wake wakati Isa atakuja kuoa,je Ktk haya niliyaandika kuna mfanano wowote kati ya Yesu na Isa

  • @user-bu3wg9mc3f
    @user-bu3wg9mc3f 3 месяца назад +3

    Inshallah

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 2 месяца назад +1

    Unajua sana nabii elia

  • @AbdulAlly-dr7bf
    @AbdulAlly-dr7bf 3 месяца назад +19

    Wanao kataa ndio hao wanaoingia msikitini na hiriz na majini hataongee vipi hawata acha shiririk zao ubarikiwe sheh wangu.

    • @saidsidaz
      @saidsidaz 3 месяца назад

      Huyo anajiita nabii unampaje cheo cha usheikh,

    • @chingaboy1149
      @chingaboy1149 3 месяца назад

      Wewe jamaa kasome huwo ukristo wako ili ujue ukweli wajinga kma hawa nimtihani tu wetu tunaelewa ila nyinyi upande wapi ndio mnajifanya mnatuhurumia wakati nyinyi hatujui kuwa ukristo nidini or watu wajinga tu shemm on u

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      @@saidsidazshida ni kutokujua unabii ni nini, jifunze kwanza unabii ni nini alafu ulete hoja

    • @aboubakarsadic6427
      @aboubakarsadic6427 3 месяца назад

      Tabu yauviv ktk dini we wabaki kuchanganywa tu bwana said kubwa jinga 0 pole lakin ndo unachostahil mana unaupunguf waakili na kuchotwachotwa jitahid uwatafute watu salaf wakutoe uchafu na uhafif wa ugongowako

    • @saumbliz8983
      @saumbliz8983 3 месяца назад

      Acha ujinga umbwa wewe

  • @umugwanezadjamila1205
    @umugwanezadjamila1205 3 месяца назад +2

    innalillah wa inna ilayih radjiuna

  • @AnthonyMwita
    @AnthonyMwita 3 месяца назад +2

    Najua wanaopinga ukweli wapo wengi, maana mungu mwenyewe wanampinga sembuse wewe, jipe moyo mtumishi mungu yupo upande wako anakuongoza katika mafundisho mema ya kuokoa nafsi.

  • @alexmahenge3817
    @alexmahenge3817 3 месяца назад +2

    Huyu nampenda sana Pia namfuatilia sana Ni mkweli sana sana lakini pia nakumbuka Alikua Rafiki wa Pst wangu Marehemu Osca. Nakuombea sana

  • @ahmadamigeyo3929
    @ahmadamigeyo3929 3 месяца назад +8

    Ila kusema tusifunge ramadhan sidhan kana yuko sahh

    • @miishhassn
      @miishhassn 3 месяца назад

      Mi mwenyew kweny hilo simuelew ndo maan nauliz kam ni muislam au mkristo😂

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      Shida ni wewe ujajua sheria za kufunga hivyo ni ngumu kumuelewa

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 7 дней назад

      ​@@miishhassn yupo sahii maana uwezi ukafunga ukiwa baada ya apo unazini unatukana ww ni fisadi unachuki iyo funga aina maana

  • @NanaMasalago-rh4ow
    @NanaMasalago-rh4ow 3 месяца назад +1

    Waislam hawajamkataa Isa Kama mtume wa Mungu wanamkataa kumwita Munguu

  • @Rashid-vm1fk
    @Rashid-vm1fk 3 месяца назад +3

    Shekhe waislam wabishi sana hata ukiongea mpaka ukalia bado hawawezi kukuelewa hata siku moja

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      Yeye akishasema kwel anayoijua mtu akaskia, yy aijalishi mtu kaelewa au ajaelewa mbele za Mungu ana dhawabu atodaiwa Bali msala unabaki kwa yule aliyeikataa ile kwel, là msingi ni kuiokoa nafsi yako

    • @nasfrancaisazanzibar3531
      @nasfrancaisazanzibar3531 3 месяца назад +1

      Allah anasema quran hataweza kuishoka yyote aliyemchafu sio kila anaeisoma ndio ataweza kuotoleamaana utaifahamu kwamujibu wa kiwango chako cha kumcha mungu na malengo yako ya kuisoma sio kwa utashi wako tu bcz ufahamu wake unatoka direct kwa Allah na kwa yule amtakae amuonae sahihi walio wasafi wa nafsi na imani iliyosahihi na hakuna sharia ya kuacha pasi na udhur wa kisheria na sala nimabi ya shida za mwanaadamu kwa Allah na hana mshirika

  • @jameelamasaka6448
    @jameelamasaka6448 3 месяца назад

    Amina ❤❤❤

  • @GabrielAmlima-le8wj
    @GabrielAmlima-le8wj 3 месяца назад

    Hongera kwa mafundisho mazuri mungu akubariki Sana

  • @deokanyerere979
    @deokanyerere979 3 месяца назад +1

    Nakubari mngu akutunze

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f 3 месяца назад

    Amina ubarikiwe sana

  • @shaddycollins9760
    @shaddycollins9760 2 месяца назад

    Wewe wanishangaza sana mara unahubiri ukrsto mara unahubiri uisilamu, msimamo wako uko wapi ama umechanganywa, huweleweki uko wapi,

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 3 месяца назад +3

    Tufundishe hilo neno la Mungu na Roho wa Mungu mchezo uishe

  • @SalumBamba
    @SalumBamba 3 месяца назад +3

    funguka maalim wangu

  • @daudluswema-mx3ok
    @daudluswema-mx3ok 3 месяца назад +1

    Mwalim nisamehe nimsahau kukupa hongera kwa mafundisho mazur yenye maana,nilikuwa nawafatiria vichwa vibovu yaan makafiri kwenye comet zoa zisizo na maadili za kumkashifu mtumishi wa Mungu.

    • @chidiboy8000
      @chidiboy8000 3 месяца назад

      Wapuuzi wasio jielewa na wasio na Ubongo wa kufikili ndio watakao kuelewa ,,uwezi mkataa Muhammadi yeye ndio nabii na mtume aliecha usia tuifate Qur an,,,Wacha kuipindisha

  • @HassanSuo
    @HassanSuo 3 месяца назад +1

    Habari za issa zipo kwa Qur'an zinasomwa na waislam. hatumkani yesu na tunazifuata habari zake.kuhusu dajjal usitoe hukmu mwalimu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Nani aliziandika habari za Yesu kwenye koran,wakati Muhammad anazaliwa Yesu alishaondoka miaka 635,je huyo mtume wenu alicopy yaliyokuwa yameandikwa na wayahudi

  • @HamimuBadyanaJR
    @HamimuBadyanaJR 3 месяца назад +2

    MPUMBAVUUU WW ....ET UNAJIITA NABIII NI MZIMAA KWEL WW ..KENGE SANA WW NA UTAENDA MOTONI INSHALLH MPOTOSHAJII MKUBWA WW MWONGO MWONGO WW

    • @faridbinjumaonlinetv9258
      @faridbinjumaonlinetv9258 3 месяца назад

      Hapana usiseme hvo ndug yangu maneno yake yapo sahih

    • @FarstelSeeb-mf9ks
      @FarstelSeeb-mf9ks 3 месяца назад

      Mwenyezi Mungu amesha sema itakapofikia mwisho wa dunia watajitokeza watu wenye kutoa fatwaa hali ya kuwa hawana elimu ndio hao ss​@@faridbinjumaonlinetv9258

    • @petermaziku5554
      @petermaziku5554 Месяц назад

      Lete ukweli

  • @miltonswai5102
    @miltonswai5102 3 месяца назад +1

    Huyu Nabii Elias nimemsikiliza vzuri sana . issue yake ni moja tu , kwa nyakati za mwisho mtu pekee mwenye nguvu wa kupambana na fitna za Dajjal na kuja kwake ni Issa bin Mariam PBUH ambapo katika uislam haisemwi .Na Issa bin Mariam ni above all katika nyakati za mwisho.

  • @chidiboy8000
    @chidiboy8000 3 месяца назад +5

    uo ni upuuzi kumkataa muhammadi eti kisa izi zama za mwisho ni ujinga ,,,eti mfuate Yesu kristo upate kunusulika na masih ,acha kuupotosha umati wa Muhammadi,,kwaio unamaanisha tuache Swalla tuache ibada zote zilizofanywa na Nabii muhammadi ,,uo utakuwa uzembe,,wew muislam popote ulipo duniani ,,Muhammad ndio nabii wa mwisho na Qur an ametuthibitishia ni maneno ya Allah lazima ifatwe,,,Amna sura wala Aya iliosema wakati wa mwisho mfateni Isa bin maliam sio kweli ni ,,kuwapotosha watu

    • @FridayMwassa
      @FridayMwassa 2 месяца назад

      Hivi ndg yangu maisha na mafundisho ya Muhammad ndivyo walivyoishi manabii waliotangulia mf kuuwa watu,kuzini, kuwadanganya watu kwamba mtu anaweza kusamehewa dhambi kw kuoga, kuumwa homa,kujichoma na mwiba, kasome kitabu cha mkweli mwaminifu utayaona mafundisho ya Muhammad,pia kukataa kwamba aliyetolewa sadaka siyo Isaka ila ni Ishmael je huo siyo uongo? mafundisho ya Muhammad yalikuwa na lengo la kupinga mafundisho ya mitume na manabii waliotangulia,eti Yesu hakufa wala hakuzaliwa kwenye holi la ng'ombe ila nyuma ya msikiti je huo siyo uongo

    • @khambhai360
      @khambhai360 9 дней назад

      ​@@FridayMwassaHugo mkweli mwaminifu Ni wale wale wapinga uislaam .Ukitaka kumjua Muhammad soma Quran.Uislamu ni usafi wa Moyo .

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw 3 месяца назад +1

    Shukrani shelhe technology ina siri kubwa ila tulidanganywa kuna nguvu kubwa inayotoa ufundi mkubwa na kuwekwa kwenye vitabu ndio maana kuna jamii ndogo tu yenye ujuzi.

  • @ziporanangolo9397
    @ziporanangolo9397 3 месяца назад

    Nakufuatilia sana mafundisho yako,Mungu akubariki.

  • @rajabhamis7595
    @rajabhamis7595 3 месяца назад

    AZ-ZUKHRUF 43;61
    Wa 'innahuu la--'ilmul lissaa 'ati falaa tamtarunna bihaa wattabi'uun hadhaa siraatummustaqiim..
    Tafsiri: Na kwakweli (yeye Nabii ISSA) ni Alama ya Qiama (kuwa kinaaanza kutukaribia), msikifanyie Shaka na nifuateni.hii ndiyo Njia iliyonyooka.

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 3 месяца назад +1

    Ni kweli ndugu hapo umeongea kweli, na Sasa Yesu yaani Neno ambaye ni masihi yumo ndani ya Mjumbe wa agano duniani mwenye kweli yote ya Mungu angalia RUclips Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana. Mimi ndiye Eliya wa sasa. Malaki 3:1-2, 4:1-6. Isaya 41:1-4.

  • @musanike3079
    @musanike3079 3 месяца назад

    Tunaishi Kwa ulimwengu - ukweli kafanywa uwongo na uwongo kafanywa ukweli. Subhanah 🇰🇪

  • @idrissalum7013
    @idrissalum7013 3 месяца назад +2

    Shukran sana Sheikh wangu kwa kutufungua akili..... 🙏🙏🙏

  • @josephmahona3006
    @josephmahona3006 3 месяца назад +1

    Mimi nakuelewa sana nabii eliyas

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 3 месяца назад +3

    Wewe ni mtu wa mungu waambie ukweli dini imeingiliwa na mashetwan

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 3 месяца назад

    hivyo vikosi vyote vya Boko haram ni utendaji wa Papa chini ya Umoja wa Mataifa.Mungu akupe nguvu Shekhe.kazi ni njema hii

  • @user-rk9sd4kc4d
    @user-rk9sd4kc4d 3 месяца назад +1

    Haya mawaiza ya jazba waislamu kueni makini, kipindi cha watoao mawaiza ya kupeleka watu motoni, Allah nakuomba unusuru ummati muhammadi

  • @jameelamasaka6448
    @jameelamasaka6448 3 месяца назад

    Kabisa asante sana nimeere wasana

  • @bonifaceignace9962
    @bonifaceignace9962 3 месяца назад +1

    Asalaam alaykum Shekhe. Manabii Luthu a.s, Nuhu a.s, Ibrahimu a.s, Issa a.s na Muhammad S.A.W WALITENDA WEMA KATIKATI YA MAKAFIRI NA WALIHESABIWA HAKI......ISSA BIN MARIUM P.B.U.H ALIFUNGA MBALI YA KUWA CHINI YA UTAWALA WA WARUMI ILA HAIKUMZUIA KUFUNGA......FUNGA NI PERSONAL(BINAFSI)......TAKATAKA NI NYINGI KWELI ILA NDIO FUNGA INAKUWA NA MALIPO MAKUBWA MAAA MTIHANI WA KUFUNGA NI MGUMU ZAIDI NA VYA KUEPUKA NI VINGI ZAIDI

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      Kumbuka manabii walikuwa wakifunga walikuwa wanaenda mlimani, hata Yesu akufungia katikati ya watu, funga ya sasa ivi ni ya uongo! watu wamefunga ila wanashinda mitandaoni, wamefunga ila wanabeti, wamefunga ila wanamarejesho ya bank wanakimbizana na vikoba., sasa maana ya funga ni nini? ni kuachana na vitu vyote vilivyo kinyume na mapenzj ya Mungu uo ndio ukwel

  • @KijuuBorongo
    @KijuuBorongo Месяц назад

    Nabii wakweli aliyetabiriwa ktk Quran 37:129,130).Bblia Malaki 4:5),Ufunuo 11:3).

  • @partnersah8802
    @partnersah8802 3 месяца назад +1

    Mmi naamini hakuna mkamilifu duniani Mkamilifu ni Yeye Muumba wetu. Kama tumedanganywa na fitina za binadamu wezetu na kuamini basi Mwenyezi Mungu Atusamehe makosa yetu kwa kujua na kutokujua

    • @georgepewa9624
      @georgepewa9624 3 месяца назад

      Mkamilfu ni Yesu Kristo

    • @taiomono3885
      @taiomono3885 3 месяца назад

      Mbona usemi RIBA hatukikatwazwa😮

  • @davikastir8193
    @davikastir8193 3 месяца назад +2

    Asifiwe Mwokozi,Nayaunga Mafungisho mkono.na ningupenda kuzungumza nawe ,Niko Nakuru Kenya

  • @user-ev2kl5bg5y
    @user-ev2kl5bg5y 3 месяца назад +1

    Utatseka sana, utarukaruka sana, utahangaika sana, lakini Allah ndiye aliyeileta Qur an, na ndiye anae na atakaeilinda, hutoweza kubadilisha.

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 3 месяца назад

    Barikiwa sana

  • @jumaevarist9103
    @jumaevarist9103 3 месяца назад +1

    Kwa wale waislam wenzangu chukueni faida tu yale mengine muachien kama unajielewa hawez kuku poteza

  • @aminielkombe66
    @aminielkombe66 3 месяца назад +2

    Ana hoja, asikilizwe bila mihemko

  • @teresiahazivirawa-tz7gw
    @teresiahazivirawa-tz7gw 3 месяца назад

    Amen Amen Amen 🙏 🙌

  • @elrachum3866
    @elrachum3866 3 месяца назад +1

    Nimekuelewa

  • @user-wr3jp6tg4p
    @user-wr3jp6tg4p 3 месяца назад

    We ukiacha unafiki ndio tutajua wewe shida mnafiki unatumia Elim yako kupotoa baadhi ya watu wasiokujua na wasiojua unachokifanya
    KAHUBIRI INJILI NDIO KAZI YAKO Asante kwa kuzidi kuuelewa uislam na kuwaelewesha makafiri wengine

    • @daudluswema-mx3ok
      @daudluswema-mx3ok 3 месяца назад

      Tunashukuru kwa wewe unaemjua kwa hiyo wew ni mungu,wewe kafiri number 1 hujui chochote kaa kimya

  • @wesakawesaka3516
    @wesakawesaka3516 3 месяца назад +1

    MUNGU akulinde ndugu yetu unahubiri ukwel mtupu

  • @maxpesa8811
    @maxpesa8811 3 месяца назад +2

    NDUGU ZANGU WAISLAM TUWE MAKINI NA WATU KAMA HAWA NDIO WANAITWA ASTAMUSHIRIKINA NI WATU WANAJICHOMEKA NDANI YA UISLAM NA KUUSOMA LAKN LENGO INAKUWA SIO IMANI BALI NI KUPOTOSHA KAMA HIVI ANATUMIA LUGHA YA KIARABU NA BAADHI YA AYA NA HADITH ILI KUKUZUGA WW USIEKUWA NA ELIMU NDIO MAANA HATA UKIFATILIA COMMENT ANASAPOTIWA ZAIDI NA WAKRISTO KWAKUWA ANA MUWEKA ISSA BIN MARYAM JUU KULIKO MUHAMMAD . UNAVYOWAAMBIA WATU WASIFUNGE WASISWALI KISA FITINA ZA MASIH DAJJAL HALAFU UNAJIITA NABII HAPO NDIPO UPOTOVU ULIPO WAISLAM SISI HATUNA NABII WALA MTUME TENA ZAIDI YA MTUME MUHAMMAD UTAWADANGANYA WAJINGA WASIOJUA IMAN YAO BORA UNGEFUNGUA KANISA TU ILI WAKUJUE VYEMA

    • @user-uo4ui9zu6y
      @user-uo4ui9zu6y 3 месяца назад

      Hatunaga hizo mambo asee, huyo anasoma quran vzr sasa wewe unamhukumu alooo Acha hizo mambo bwana , we njoo kwa issa bin maryam yani YESU ili uwe salama.sawa broo

    • @nehemiaayo9527
      @nehemiaayo9527 7 дней назад

      Mtume awezi aka mkubwa zaidi ya Yesu ata siku moja kunini ajasema atarudi Muhammad jiulize kwanini aje Yesu

  • @ibrahimgwasma235
    @ibrahimgwasma235 3 месяца назад +2

    Nimekuelewa leo

  • @jumamstapha9558
    @jumamstapha9558 3 месяца назад +1

    Nikweli kabisa Mana ata yesu mwenyewe wametudanganya ila unaongea ukweli ila wana pumbaza watu ana puuzia Mana mimambo kibao ya kishetani inaendelea ila watu wamepumbazwa na wana potezea tuu Yan Allah atupe wepesi

  • @nasratmohamedmohamed3773
    @nasratmohamedmohamed3773 2 месяца назад

    Uislam ndio dini ya haki dini ya kweli hata yesu akirud anakuja kuusimamisha uislam .

  • @barakapetro2174
    @barakapetro2174 3 месяца назад +2

    Usiogope roho mtakatifu yupo pamoja nawe nabii eliya

  • @user-zt9ye4ch5u
    @user-zt9ye4ch5u 3 месяца назад

    Allahu Akbaru

  • @heliudjulias7748
    @heliudjulias7748 3 месяца назад +2

    Kwako mwalim na nabii eliasa au shehe amza napataga darasa kubwa sana kutoka kwako na pia naomba uniunge kwenye mafundisho yako. Samahani naitaji sana somo rako

  • @hawanizigiyimana9687
    @hawanizigiyimana9687 3 месяца назад +1

    Usipotumia hakiri uyu jama anaweza akakupoteza Bila kujijua Huyu jamaa Atapoteza watu Allah Atuongoze sote

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 3 месяца назад +1

    Mambo mengi huyu mchungajia anayo ya fundisha nimeyaona nineanza kumfatilia muda mrefu hakika roho ya nabii eliya ipo ndani yako piga kazi shehee mchungaji

  • @miishhassn
    @miishhassn 3 месяца назад +2

    Ni aya gan na hadithi gan inasema tukiwa kweny fitna za masih dajaal tusiswal wala kufung wal kuhij labd itakuelewa mi sikuelew kweny swal la kuach kuswal kufung na fardh nyingine hope sipo mwenyewe ambae sielew😂

  • @user-fh7qn9tp5m
    @user-fh7qn9tp5m 3 месяца назад

    Unataka unyenyekewe umekuwa Allah wa kumnyenyekea ni Allah peke ake wewe ni kiumbe kama vilivo viumbe vingine na huna uwezo wa kusema mtu anaenda motoni Kwan Allah peke ake ndio ajuaye hata sekunde yetu moja😢😢😢

  • @user-ss6ey3ge1d
    @user-ss6ey3ge1d 3 месяца назад

    Nilichogundua huu ndio muda wakufanta toba kweli kweli sio kuacha mana huu ndio ule wakat kila mtu atakuja na mafundisho yake ewe Allah tuongoze njia iliyo nyooka

  • @user-iu1ct4fk9k
    @user-iu1ct4fk9k 3 месяца назад +1

    Tunakujua wew nikafir munafiki mukubwa

  • @mwawekomiuda9779
    @mwawekomiuda9779 3 месяца назад +2

    Hebu wacha uongo yaani watu wasifunge na kuswali hebu lele dalili kwenye kitabu watu wasifanye ibada nyakati hizi?

    • @maulidimohamedi5326
      @maulidimohamedi5326 3 месяца назад

      Amekuambia ukiswali omba dua kupinga fitina za dajal

  • @user-pg2tw8yt4l
    @user-pg2tw8yt4l 3 месяца назад +3

    huyu mzee ni mshenzi kabisa yani yeye anatoa hukumu kabisa akiwa kama nani

  • @Visionofeagle9689
    @Visionofeagle9689 3 месяца назад +3

    Ukweli mtupu ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.

  • @HajiAmbali-jq9dr
    @HajiAmbali-jq9dr 3 месяца назад +1

    Ndo maisha Yako hayo yakudanganya waumini na Musa muingize hapo tukujue kama kweli msomi umetumwa

  • @mohamedflavian6070
    @mohamedflavian6070 3 месяца назад

    HABARI ZENU NDUGU ZANGU! ALLAH S.W ANASEMA TUSOME, HIVYO MUHIM KUSOMA DINI VIZUR HUWEZ YUMBISHWA, KWA MANENO Y HUYU MZEE ATAPOTOSHA WENG SAANA CHA KWANZA ANAJIITA NABIII WAKAT NABIII W MWISHO N MUHAMMAD SAW THEN ANASEMA TUSIFUNGE RAMADHAN ILI TWENDE MOTONI INNALILAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN

    • @Rashid-vm1fk
      @Rashid-vm1fk 3 месяца назад

      Wewe hujui anachosema yy anasema huwezi kufunga huku hufuati Sheria za kufunga acha kupotosha waislam wenzako bila Yesu Kristo hata ufie masjid unakwenda kuzimu

    • @aminabdalla7824
      @aminabdalla7824 3 месяца назад

      Swadakta .....mnafiki mkubwa huyoo.....eti waislam wasifunge
      Ramadan....waislm watching sana na mijitu kama hii

  • @gosplevibetvtz
    @gosplevibetvtz 3 месяца назад +3

    Natamani nipate kipindi na wewe usie hubiri dini unahubiri injili ya kweli tu

    • @gosplevibetvtz
      @gosplevibetvtz 3 месяца назад +1

      Natamani wa kristo wapate somo waache u dini waa seme kweli kweli iliyo huru

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 3 месяца назад

    Unabii huo.piga kazi watakao kuelewa watapata hekima.soma Danieli 12.Karibu Sabato.Barikiwa

  • @rayamohammed339
    @rayamohammed339 3 месяца назад +2

    Huyu Ni mpotoshaji

  • @user-iu1ct4fk9k
    @user-iu1ct4fk9k 3 месяца назад +1

    Were nikafir unafikir unapoteza Watusi unajipoteza mwenyewe

  • @user-jb1qk1rk7o
    @user-jb1qk1rk7o 3 месяца назад +1

    Wewe huna akilia funga haziko kwa waisilam pekee hata wakristo wanafunga mbona huizungumziii funga ya mkristo wewe una lengo lako la kuutangaza ukristo Imani ya kweli ipo rohoni yaani unamaanisha watu waache kuswali we Ni bite kabisa

  • @user-mn4mg5yh7i
    @user-mn4mg5yh7i 3 месяца назад +2

    Hii ndio Dini mpya iliokua inasemwa???crislam???? Ndio hiiikkk naulizanaomba majibu kwa anaejua, Asante

    • @taiomono3885
      @taiomono3885 3 месяца назад +1

      Umesikia nni apo kutokana na Dini..? Na dini sio neno ni mfumo. Wwe una ujua upii?

    • @omarshaban4830
      @omarshaban4830 3 месяца назад +2

      Ni kweli hii ndio dining mpya inayoitwa ( Crislam ) yenye wali lounge kule Dubai majuzi mwaka jana... na kuchukua waislamu kadhaa wasio ielewa Dini vizuri waka wapa hii elimu ya kuchanganya watu akili wakidai hatupaswi kufanya kitu fulani kwenye uisilamu kisha ananukuu baadhi ya aya kutoka humour humour kwenye dini ya sisi Waislamu ili tumuone ni mmoja wetu na yeye ndie anaejua elimu ya ki islamu zaidi kuliko waislamu so mada zake zina kaa katikati ya uisilamu na u christo.... nia na madhumuni ni kutoa waislamu kwenye muelekeo sahihi .... so waliojaaliea kuisikiliza hadi mwisho utajua huyu ni mtu wa chrislam na sio uislamu wala u christo.

    • @veronicanestory1662
      @veronicanestory1662 3 месяца назад

      @@omarshaban4830mwamini Yesu uokolewe , Dini haipeleki mtu mbinguni

  • @IsmailKambona-id9ql
    @IsmailKambona-id9ql 2 дня назад

    Halafu wanaotukana wote asilimia kubwa ukiangalia ni waislam yote anayosema sheikh ni sahihi

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 3 месяца назад

    Nimrodi wa leo Papa.Sheria ya Jumapili

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 3 месяца назад

    Uislamu waeshimu manabii wote ujue ukristo dini ya binafsi wamtusi mtume Muhammad kila mara

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t 3 месяца назад +2

    Kama huelewi anachokifundisha kunyamaza nibola

  • @MelkulediMartini-yf1jq
    @MelkulediMartini-yf1jq 3 месяца назад

    Huo ni ukweli mchungu hakuna anayependa kuusikiya

  • @SawiaKhalfani
    @SawiaKhalfani 3 месяца назад

    Wewe ni fitina, Allah tulinde

    • @MaarifaMaarifasnr
      @MaarifaMaarifasnr 3 месяца назад

      Yeye mwenyewe ni mfuasi wa dajjal kazi kupotosha na atawapata wavivu wa kujifunza dini yao

  • @zenaahmedi8857
    @zenaahmedi8857 3 месяца назад +1

    Na wew moton pia 😏😏😏😏😏😏😏

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 3 месяца назад +1

    Wewe baada ya kuona waisrael na tecnologia não não unataka kubadiri mafundisho ya Qur'an? Shirk kubwa

  • @hossanaassanemdulumdulu6731
    @hossanaassanemdulumdulu6731 3 месяца назад

    Ya nikwer ila vichwa vyetu hawa jamaa wamejenga tear kitu kwenye ndani ya akiri zetu...tujitakase na mungu atutakase..😢😢

  • @user-bu3wg9mc3f
    @user-bu3wg9mc3f 3 месяца назад

    Shekh ww aufungi na kuswali?

  • @saumbliz8983
    @saumbliz8983 3 месяца назад

    Sheikh kufunga tutafunga sana wewe usifunge Allah ajua atapokea vipi

  • @salumkurwa6303
    @salumkurwa6303 3 месяца назад +3

    Nakukubali Sana lkn sikuelewi upo upandegani chagua upande Yesu Ndie njiapekee yakwenda mbinguni

    • @user-sr3vb7fs9y
      @user-sr3vb7fs9y 3 месяца назад

      Yupo ktk kweli ya Mungu Ambae ni biblia

    • @NyiranezaSawuda-th2jb
      @NyiranezaSawuda-th2jb 3 месяца назад

      Ni njiya ukimfata kimfano sikumuimba Wala kumpa daradja lisilo lake.

  • @user-so8uh8bt5t
    @user-so8uh8bt5t 3 месяца назад +1

    Wafwatiliaji wengi nikama nyumbu

  • @kisakanzotah5861
    @kisakanzotah5861 3 месяца назад

    na huyo mpinga Kristo ataanza na Marekani.ngoja wamrudishe Trump mwezi wa 11.Tataona utendaji wa papa live

  • @NuraDollo
    @NuraDollo 3 месяца назад

    Quran tuna jua vizuri

  • @omarshaban4830
    @omarshaban4830 3 месяца назад +1

    Kwanza huyu kutuelekeza kwa Nabii Eliya Eliyaas hapo tayari unafanya point yako kuwa ya uwongo sababu hakuna manabii walio baki kwa sasa na tulitaarifiwa na Allah kwenye Quran kuwa Muhammad ndio Nabii wa mwisho na watakuja mabii wa siku za mwisho so sheikh hapa kadangaye watoto pekee kisha wale wa pp1 nursery pekee sie tumejulishwa na mapema kuwa Nabii wa uwongo watakuja na wewe watuambia tukusilize wewe na huyo mshamba mwenzako

  • @salumngakonda2182
    @salumngakonda2182 3 месяца назад

    Wewe ni mpuuuzi sana.