ALLAH ALBAR......🤲🙏.....shekhe......vile vile.....naamini ..nimekusikiliza kwa umakuni...sanaaaaaa uko sahihi , MWENYEZI ...MUNGU ,Akuweke....daimani......IQRA🤲🙏IS EVERY THINGS 😭
ALLAH AKUHIFADHI MAALIM HAMZA NA SISI WAFUASI WAKO, NAKIRI MWANZO SIKUWA NAKUELEWA NADHANI WATU WA AINA YANGU TUPO WENGI, ALLAH ATUONGOZE, WAKATI MWINGINE SIYO WOTE WANAKUKATAA KWA KIBRI BALI NADHANI NI UTOVU WA ELIMU, MASHEIKH WETU WENGI WANAOTEGEMEWA KATIKA JAMII YETU KWA NYAKATI HIZI WOTE ELIMU ZAO WAMERITHISHANA KUTOKA KWA MASHEIKH WAO, NA HATA HAWA WACHACHE WALIOPO WANAAMINI ELIMU WALIOPATA KUTOKA VYUO VYA MADINI NA MISRI WANAAMINI NDO MWISHO WA KILA KITU KATIKA ELIMU. JARIBU KUVAA VIATU VYAO TAFADHARI, KAMA SIYO KUSUDI LA ALLAH KUKULETA WEWE DUNIANI KWA ZAMA HIZI NA KUKUPA ELIMU ALIYOKUJALIA NA ZAIDI NADHANI UTAKUBALIANA NA MIMI WOTE TUNGEKUWA GIZANI KAMA WAZEE WETU WALIOTANGULIA MIONGONI MWA MASHEIKH WA KAWAIDA. ALHAMDULILLAH KWA ELIMU NA UKUMBUSHO HUU NAMUOMBA ALLAH AZIDI KUTUFUNULIA ELIMU ZAIDI NA KUTURUZUKU FAHAMU NA MAZINGATIO.
Ikiwa wewe ni muislam kisha ukaitakidi kuwa kuna mtume au nabii baada mtume muhammad swalallahuallaywasallam basi umekufulu na umetoka nje ya dini huyu jamaa yeye anajiita nabii kabisa nawewe unahadaika na maneno hakika huu ni msiba mkubwa umekufika kuliko misiba mingine yeyote iliyowahi kukufikia ktk maisha yako na inavyoonesha wewe humfaham vizuri huyu kafiri ni kafiri anayetumia njia mbaya sana ktk kuwatoa watu ktk dini ya uislam kuriko yeyote aliyewahi kutokea ktk hii nchi na ukweli huyu yupo kama bosi wake ibilisi anaikubali haki na anaifundisha rakini yeye mwenyewe yuko mbali nayoo na mara kadhaa waislam walishawahi kufanya nae mazungumzo juu kujiita kwake nabii hakuwa na la jibu lenye mashiko ndipo likagundulika kuwa hili ni kafiri lililokubuhu
Kumuelewa eliya uwe na akili na maarifa Sana lakini Kama utakulupuka na isia zako za ivyo uwezi kuelewa alimu nzuri anayo toa mungu akubaliki Sana eliya na usiache kutufunulia neno la mungu
Ww kweli ni Mtumishi wa Mungu. Mimi ni mkristo ila kupitia mafundisho yako umeniongezea Imani na hakika kwa Yesu Kristo wa Nazareth” Issa Bin Marium. Natumaini Mungu atawasaidia ndugu zetu waislam kumwamini Yesu katika zama hizi za Mwisho! Amen! 🙏🏾
@@veronicanestory1662 wewe si mkristo wewe ni mpinga kristo, Yesu akasema akuna mtu atapenda Bwana wawili maana atampenda huyu na kumkataa huyu, so chakuo moja, na usisaau kwamba Yesu Yuko mlangoni
Duh. Ula shehe apo umepiga kwenye mshono. Mana kwa kawaida waislamu hawamtaki Yesu kabisa. LAKINI NI KWELI, YESU PEKEE NDIO NJIA YA UZIMA WA KILA MTU. HATA VITABU VYOTE VYA DINI VINASEMA IVO
We mjinga nani Alie kwambia waislamu hawampendi nabii ISSA? Ukiristo sio dini elewa dini na ISSA hakua mkristo Sasa wewe ukristo umeletewa na nani huo udini wako
Kuna pahali hujaelewa. Umezungumza mengi lakini kwa kweli umekosa njia. Naomba nikufafanuliye. 1) Unayofanya wewe ni Uchambuzi(Analysis in english language). Na kama desturi ya uchambuzi wowote unaweza kuwa na makosa mengi tu kama vile uchambuzi wako ulivyo na makosa mengi. 2) Huwezi kufanya uchambuzi wewe halafu ukakataa kusikiza changanuzi zingine halafu ukasisitiza kuwa yako ndio iliyo sawa. Halafu ukaamrisha watu kwa msingi wa uchambuzi wako tu ambao wazi una makosa mengi. 3) Kukuleta karibu na njia iliyo sawa ama iliyo nyooka(straight path): nakuomba ujibu maswali haya machache tu: Uchambuzi wako unathibitishwa na vitabu gani vya kweli(Authentic books)? Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika mathayo 5:17-20. Je mbingu na ardhi ishapita? Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika Yohana16:7? Je maana ya neno la kigiriki'Periclytos' ni nini? Unasema unaamini Qur'aan. Nionyeshe wapi kwenye Qur'aan ambapo tumeambiwa tukifika wakati fulani ama karne fulani tuwache kufunga ama tuwache kuswali? Nguzo za wiislamu ni ngapi? Taja nguzo za wuiislamu? Taja nguzo za imaani? Je unaziamini nguzo hizo? 4) Unafanya makosa makubwa kuwaambia waislamu waache kuswali na wawache saum. Waiislamu wanatekeleza walivyo amrishwa ni Allah kwenye Qur'aan na sunnah ya Mtume Muhammad(SAW). Nawe hiyo amri unayo wambia waiislamu wasiswali na wasifunge mwezi wa Ramadhan,- ulitumwa na nani? Je ulitumwa na Allah? Kama ulitumwa na Allah tafadhali tuonyeshe kitabu kama vile Qur'aan na utuonyeshe sunnah yako? Bila hivyo, yako ni maneno tu bure, ambayo hayana msingi wowote. Nakama huna kitabu kama Qur'aan tafadhali nakuomba usipoteze watu waliokatika dini ya haki.
@@saumbliz8983Kwanza unatakiwa ujue Yesu na Isa ni watu wawili tofauti, Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Isa alizaliwa chini ya mtende nyuma ya msikiti, Yesu alizaliwa ktk Bethlehem ya uyahidi wakati Isa hajulikani alizaliwa wapi, Yesu alikufa na kufufuka wakati Isa hakufa wala kufufuka, Yesu atarudi kuchukua walio wake wakati Isa atakuja kuoa,je Ktk haya niliyaandika kuna mfanano wowote kati ya Yesu na Isa
Wewe jamaa kasome huwo ukristo wako ili ujue ukweli wajinga kma hawa nimtihani tu wetu tunaelewa ila nyinyi upande wapi ndio mnajifanya mnatuhurumia wakati nyinyi hatujui kuwa ukristo nidini or watu wajinga tu shemm on u
Tabu yauviv ktk dini we wabaki kuchanganywa tu bwana said kubwa jinga 0 pole lakin ndo unachostahil mana unaupunguf waakili na kuchotwachotwa jitahid uwatafute watu salaf wakutoe uchafu na uhafif wa ugongowako
Najua wanaopinga ukweli wapo wengi, maana mungu mwenyewe wanampinga sembuse wewe, jipe moyo mtumishi mungu yupo upande wako anakuongoza katika mafundisho mema ya kuokoa nafsi.
Yeye akishasema kwel anayoijua mtu akaskia, yy aijalishi mtu kaelewa au ajaelewa mbele za Mungu ana dhawabu atodaiwa Bali msala unabaki kwa yule aliyeikataa ile kwel, là msingi ni kuiokoa nafsi yako
Allah anasema quran hataweza kuishoka yyote aliyemchafu sio kila anaeisoma ndio ataweza kuotoleamaana utaifahamu kwamujibu wa kiwango chako cha kumcha mungu na malengo yako ya kuisoma sio kwa utashi wako tu bcz ufahamu wake unatoka direct kwa Allah na kwa yule amtakae amuonae sahihi walio wasafi wa nafsi na imani iliyosahihi na hakuna sharia ya kuacha pasi na udhur wa kisheria na sala nimabi ya shida za mwanaadamu kwa Allah na hana mshirika
Mwalim nisamehe nimsahau kukupa hongera kwa mafundisho mazur yenye maana,nilikuwa nawafatiria vichwa vibovu yaan makafiri kwenye comet zoa zisizo na maadili za kumkashifu mtumishi wa Mungu.
Wapuuzi wasio jielewa na wasio na Ubongo wa kufikili ndio watakao kuelewa ,,uwezi mkataa Muhammadi yeye ndio nabii na mtume aliecha usia tuifate Qur an,,,Wacha kuipindisha
Nani aliziandika habari za Yesu kwenye koran,wakati Muhammad anazaliwa Yesu alishaondoka miaka 635,je huyo mtume wenu alicopy yaliyokuwa yameandikwa na wayahudi
Mwenyezi Mungu amesha sema itakapofikia mwisho wa dunia watajitokeza watu wenye kutoa fatwaa hali ya kuwa hawana elimu ndio hao ss@@faridbinjumaonlinetv9258
Huyu Nabii Elias nimemsikiliza vzuri sana . issue yake ni moja tu , kwa nyakati za mwisho mtu pekee mwenye nguvu wa kupambana na fitna za Dajjal na kuja kwake ni Issa bin Mariam PBUH ambapo katika uislam haisemwi .Na Issa bin Mariam ni above all katika nyakati za mwisho.
uo ni upuuzi kumkataa muhammadi eti kisa izi zama za mwisho ni ujinga ,,,eti mfuate Yesu kristo upate kunusulika na masih ,acha kuupotosha umati wa Muhammadi,,kwaio unamaanisha tuache Swalla tuache ibada zote zilizofanywa na Nabii muhammadi ,,uo utakuwa uzembe,,wew muislam popote ulipo duniani ,,Muhammad ndio nabii wa mwisho na Qur an ametuthibitishia ni maneno ya Allah lazima ifatwe,,,Amna sura wala Aya iliosema wakati wa mwisho mfateni Isa bin maliam sio kweli ni ,,kuwapotosha watu
Hivi ndg yangu maisha na mafundisho ya Muhammad ndivyo walivyoishi manabii waliotangulia mf kuuwa watu,kuzini, kuwadanganya watu kwamba mtu anaweza kusamehewa dhambi kw kuoga, kuumwa homa,kujichoma na mwiba, kasome kitabu cha mkweli mwaminifu utayaona mafundisho ya Muhammad,pia kukataa kwamba aliyetolewa sadaka siyo Isaka ila ni Ishmael je huo siyo uongo? mafundisho ya Muhammad yalikuwa na lengo la kupinga mafundisho ya mitume na manabii waliotangulia,eti Yesu hakufa wala hakuzaliwa kwenye holi la ng'ombe ila nyuma ya msikiti je huo siyo uongo
Shukrani shelhe technology ina siri kubwa ila tulidanganywa kuna nguvu kubwa inayotoa ufundi mkubwa na kuwekwa kwenye vitabu ndio maana kuna jamii ndogo tu yenye ujuzi.
AZ-ZUKHRUF 43;61 Wa 'innahuu la--'ilmul lissaa 'ati falaa tamtarunna bihaa wattabi'uun hadhaa siraatummustaqiim.. Tafsiri: Na kwakweli (yeye Nabii ISSA) ni Alama ya Qiama (kuwa kinaaanza kutukaribia), msikifanyie Shaka na nifuateni.hii ndiyo Njia iliyonyooka.
Ni kweli ndugu hapo umeongea kweli, na Sasa Yesu yaani Neno ambaye ni masihi yumo ndani ya Mjumbe wa agano duniani mwenye kweli yote ya Mungu angalia RUclips Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana. Mimi ndiye Eliya wa sasa. Malaki 3:1-2, 4:1-6. Isaya 41:1-4.
Asalaam alaykum Shekhe. Manabii Luthu a.s, Nuhu a.s, Ibrahimu a.s, Issa a.s na Muhammad S.A.W WALITENDA WEMA KATIKATI YA MAKAFIRI NA WALIHESABIWA HAKI......ISSA BIN MARIUM P.B.U.H ALIFUNGA MBALI YA KUWA CHINI YA UTAWALA WA WARUMI ILA HAIKUMZUIA KUFUNGA......FUNGA NI PERSONAL(BINAFSI)......TAKATAKA NI NYINGI KWELI ILA NDIO FUNGA INAKUWA NA MALIPO MAKUBWA MAAA MTIHANI WA KUFUNGA NI MGUMU ZAIDI NA VYA KUEPUKA NI VINGI ZAIDI
Kumbuka manabii walikuwa wakifunga walikuwa wanaenda mlimani, hata Yesu akufungia katikati ya watu, funga ya sasa ivi ni ya uongo! watu wamefunga ila wanashinda mitandaoni, wamefunga ila wanabeti, wamefunga ila wanamarejesho ya bank wanakimbizana na vikoba., sasa maana ya funga ni nini? ni kuachana na vitu vyote vilivyo kinyume na mapenzj ya Mungu uo ndio ukwel
Mmi naamini hakuna mkamilifu duniani Mkamilifu ni Yeye Muumba wetu. Kama tumedanganywa na fitina za binadamu wezetu na kuamini basi Mwenyezi Mungu Atusamehe makosa yetu kwa kujua na kutokujua
We ukiacha unafiki ndio tutajua wewe shida mnafiki unatumia Elim yako kupotoa baadhi ya watu wasiokujua na wasiojua unachokifanya KAHUBIRI INJILI NDIO KAZI YAKO Asante kwa kuzidi kuuelewa uislam na kuwaelewesha makafiri wengine
NDUGU ZANGU WAISLAM TUWE MAKINI NA WATU KAMA HAWA NDIO WANAITWA ASTAMUSHIRIKINA NI WATU WANAJICHOMEKA NDANI YA UISLAM NA KUUSOMA LAKN LENGO INAKUWA SIO IMANI BALI NI KUPOTOSHA KAMA HIVI ANATUMIA LUGHA YA KIARABU NA BAADHI YA AYA NA HADITH ILI KUKUZUGA WW USIEKUWA NA ELIMU NDIO MAANA HATA UKIFATILIA COMMENT ANASAPOTIWA ZAIDI NA WAKRISTO KWAKUWA ANA MUWEKA ISSA BIN MARYAM JUU KULIKO MUHAMMAD . UNAVYOWAAMBIA WATU WASIFUNGE WASISWALI KISA FITINA ZA MASIH DAJJAL HALAFU UNAJIITA NABII HAPO NDIPO UPOTOVU ULIPO WAISLAM SISI HATUNA NABII WALA MTUME TENA ZAIDI YA MTUME MUHAMMAD UTAWADANGANYA WAJINGA WASIOJUA IMAN YAO BORA UNGEFUNGUA KANISA TU ILI WAKUJUE VYEMA
Hatunaga hizo mambo asee, huyo anasoma quran vzr sasa wewe unamhukumu alooo Acha hizo mambo bwana , we njoo kwa issa bin maryam yani YESU ili uwe salama.sawa broo
Nikweli kabisa Mana ata yesu mwenyewe wametudanganya ila unaongea ukweli ila wana pumbaza watu ana puuzia Mana mimambo kibao ya kishetani inaendelea ila watu wamepumbazwa na wana potezea tuu Yan Allah atupe wepesi
Kwako mwalim na nabii eliasa au shehe amza napataga darasa kubwa sana kutoka kwako na pia naomba uniunge kwenye mafundisho yako. Samahani naitaji sana somo rako
Mambo mengi huyu mchungajia anayo ya fundisha nimeyaona nineanza kumfatilia muda mrefu hakika roho ya nabii eliya ipo ndani yako piga kazi shehee mchungaji
Ni aya gan na hadithi gan inasema tukiwa kweny fitna za masih dajaal tusiswal wala kufung wal kuhij labd itakuelewa mi sikuelew kweny swal la kuach kuswal kufung na fardh nyingine hope sipo mwenyewe ambae sielew😂
Unataka unyenyekewe umekuwa Allah wa kumnyenyekea ni Allah peke ake wewe ni kiumbe kama vilivo viumbe vingine na huna uwezo wa kusema mtu anaenda motoni Kwan Allah peke ake ndio ajuaye hata sekunde yetu moja😢😢😢
Nilichogundua huu ndio muda wakufanta toba kweli kweli sio kuacha mana huu ndio ule wakat kila mtu atakuja na mafundisho yake ewe Allah tuongoze njia iliyo nyooka
HABARI ZENU NDUGU ZANGU! ALLAH S.W ANASEMA TUSOME, HIVYO MUHIM KUSOMA DINI VIZUR HUWEZ YUMBISHWA, KWA MANENO Y HUYU MZEE ATAPOTOSHA WENG SAANA CHA KWANZA ANAJIITA NABIII WAKAT NABIII W MWISHO N MUHAMMAD SAW THEN ANASEMA TUSIFUNGE RAMADHAN ILI TWENDE MOTONI INNALILAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN
Wewe hujui anachosema yy anasema huwezi kufunga huku hufuati Sheria za kufunga acha kupotosha waislam wenzako bila Yesu Kristo hata ufie masjid unakwenda kuzimu
Wewe huna akilia funga haziko kwa waisilam pekee hata wakristo wanafunga mbona huizungumziii funga ya mkristo wewe una lengo lako la kuutangaza ukristo Imani ya kweli ipo rohoni yaani unamaanisha watu waache kuswali we Ni bite kabisa
Ni kweli hii ndio dining mpya inayoitwa ( Crislam ) yenye wali lounge kule Dubai majuzi mwaka jana... na kuchukua waislamu kadhaa wasio ielewa Dini vizuri waka wapa hii elimu ya kuchanganya watu akili wakidai hatupaswi kufanya kitu fulani kwenye uisilamu kisha ananukuu baadhi ya aya kutoka humour humour kwenye dini ya sisi Waislamu ili tumuone ni mmoja wetu na yeye ndie anaejua elimu ya ki islamu zaidi kuliko waislamu so mada zake zina kaa katikati ya uisilamu na u christo.... nia na madhumuni ni kutoa waislamu kwenye muelekeo sahihi .... so waliojaaliea kuisikiliza hadi mwisho utajua huyu ni mtu wa chrislam na sio uislamu wala u christo.
Kwanza huyu kutuelekeza kwa Nabii Eliya Eliyaas hapo tayari unafanya point yako kuwa ya uwongo sababu hakuna manabii walio baki kwa sasa na tulitaarifiwa na Allah kwenye Quran kuwa Muhammad ndio Nabii wa mwisho na watakuja mabii wa siku za mwisho so sheikh hapa kadangaye watoto pekee kisha wale wa pp1 nursery pekee sie tumejulishwa na mapema kuwa Nabii wa uwongo watakuja na wewe watuambia tukusilize wewe na huyo mshamba mwenzako
ALLAH AKBAR ...MWENYEZI Mungu Akuweke...upo sahihi kabisaaa. Nakuombea. Na kujiombea Mungu Atupe Pepo , 🙏
ALLAH ALBAR......🤲🙏.....shekhe......vile vile.....naamini ..nimekusikiliza kwa umakuni...sanaaaaaa uko sahihi , MWENYEZI ...MUNGU ,Akuweke....daimani......IQRA🤲🙏IS EVERY THINGS 😭
YESU KRISTO alisema yeye aliye wa Mungu huyasikia maneno ya Mungu hivyo ninyi hamsikii kwa kuwa ninyi si wa Mungu.
barikiwa sanaaaa Unatupa Imani ya kweli mioyoni
ENDELEA KUSEMA UKWELI NA MWENYE MASIKIO NA ASIKIE👏👏🤝
Mungu akubariki Sana ihubiri Ile kweri na mungu atakubariki yesu Kristo ndio Kila kitu kwa Kila mtu amwaminie
ALLAH AKUHIFADHI MAALIM HAMZA NA SISI WAFUASI WAKO, NAKIRI MWANZO SIKUWA NAKUELEWA NADHANI WATU WA AINA YANGU TUPO WENGI, ALLAH ATUONGOZE, WAKATI MWINGINE SIYO WOTE WANAKUKATAA KWA KIBRI BALI NADHANI NI UTOVU WA ELIMU, MASHEIKH WETU WENGI WANAOTEGEMEWA KATIKA JAMII YETU KWA NYAKATI HIZI WOTE ELIMU ZAO WAMERITHISHANA KUTOKA KWA MASHEIKH WAO, NA HATA HAWA WACHACHE WALIOPO WANAAMINI ELIMU WALIOPATA KUTOKA VYUO VYA MADINI NA MISRI WANAAMINI NDO MWISHO WA KILA KITU KATIKA ELIMU. JARIBU KUVAA VIATU VYAO TAFADHARI, KAMA SIYO KUSUDI LA ALLAH KUKULETA WEWE DUNIANI KWA ZAMA HIZI NA KUKUPA ELIMU ALIYOKUJALIA NA ZAIDI NADHANI UTAKUBALIANA NA MIMI WOTE TUNGEKUWA GIZANI KAMA WAZEE WETU WALIOTANGULIA MIONGONI MWA MASHEIKH WA KAWAIDA. ALHAMDULILLAH KWA ELIMU NA UKUMBUSHO HUU NAMUOMBA ALLAH AZIDI KUTUFUNULIA ELIMU ZAIDI NA KUTURUZUKU FAHAMU NA MAZINGATIO.
🙏 Alhamdulillah Amen
Allah akuhifadhi ndugu yangu, uko na jicho la mbali sana
Ikiwa wewe ni muislam kisha ukaitakidi kuwa kuna mtume au nabii baada mtume muhammad swalallahuallaywasallam basi umekufulu na umetoka nje ya dini huyu jamaa yeye anajiita nabii kabisa nawewe unahadaika na maneno hakika huu ni msiba mkubwa umekufika kuliko misiba mingine yeyote iliyowahi kukufikia ktk maisha yako na inavyoonesha wewe humfaham vizuri huyu kafiri ni kafiri anayetumia njia mbaya sana ktk kuwatoa watu ktk dini ya uislam kuriko yeyote aliyewahi kutokea ktk hii nchi na ukweli huyu yupo kama bosi wake ibilisi anaikubali haki na anaifundisha rakini yeye mwenyewe yuko mbali nayoo na mara kadhaa waislam walishawahi kufanya nae mazungumzo juu kujiita kwake nabii hakuwa na la jibu lenye mashiko ndipo likagundulika kuwa hili ni kafiri lililokubuhu
Kumuelewa eliya uwe na akili na maarifa Sana lakini Kama utakulupuka na isia zako za ivyo uwezi kuelewa alimu nzuri anayo toa mungu akubaliki Sana eliya na usiache kutufunulia neno la mungu
@@josephmahona3006hii kwel huwezi kuipata kirahis
Ww kweli ni Mtumishi wa Mungu. Mimi ni mkristo ila kupitia mafundisho yako umeniongezea Imani na hakika kwa Yesu Kristo wa Nazareth” Issa Bin Marium. Natumaini Mungu atawasaidia ndugu zetu waislam kumwamini Yesu katika zama hizi za Mwisho! Amen! 🙏🏾
Mi niliona Yesu ni mkuu mbali san ata Muhammad alikua akimfuta nikaona mimi ni nani nisimkiri yeye
😂😂😂😂😂😂 toa shahada kwanza mkubali Allah na MUHAMAD KUWA NI MTUME WA MUNGU
@@aziziatumanially424Muhammad lazima tufuate mafundisho yake hata kama ni wakristo, thẹn kumuamini Yesu kuwa mwokozi wa maisha yetu
@@HamimuBadyanaJRmm ni mkristo ila naamini kabisa mtume Muhammad ni mtume wa mwenyezi Mungu kutokana na mafundisho yake.
@@veronicanestory1662 wewe si mkristo wewe ni mpinga kristo, Yesu akasema akuna mtu atapenda Bwana wawili maana atampenda huyu na kumkataa huyu, so chakuo moja, na usisaau kwamba Yesu Yuko mlangoni
Barikiwa zaidi mtumishi wa Mungu,na karibu tena katika Nuru, Yesu ni Bwana wa majeshi Yuko mlangoni yaja
Umemuonaa
Ubarikiwe sana sheee nipo Moçambique nakufuatilia Katka masomoni 😅 10 :4
Aisee nimekuelewa vzr sana shehe kumbe issa bin maryam ndo kila kitu , kweli watu wajue sasa wa dini zote kuwa YESU anarudi..waooooo
Mwalimu asanteni sana kwa mafundisho yako
Mungu wa mbinguni azidi kukutunza a kukupa maono na mafundisho zaidi
Inalilah wainalilah rajuun,kumbe ile jamii ya yuda ipo katika maisha ya Leo,Allah atunusuru Inshallah,,
Duh. Ula shehe apo umepiga kwenye mshono. Mana kwa kawaida waislamu hawamtaki Yesu kabisa. LAKINI NI KWELI, YESU PEKEE NDIO NJIA YA UZIMA WA KILA MTU. HATA VITABU VYOTE VYA DINI VINASEMA IVO
Sikiliza tena nahisi hujaelewa vzr
Asie mkubali na ku muamini yesu ya kuwa yeye ni Nabii wa Allah. Huyo sio mu islam hilo litambue
We mjinga nani Alie kwambia waislamu hawampendi nabii ISSA? Ukiristo sio dini elewa dini na ISSA hakua mkristo Sasa wewe ukristo umeletewa na nani huo udini wako
Kuna pahali hujaelewa. Umezungumza mengi lakini kwa kweli umekosa njia. Naomba nikufafanuliye.
1) Unayofanya wewe ni Uchambuzi(Analysis in english language). Na kama desturi ya uchambuzi wowote unaweza kuwa na makosa mengi tu kama vile uchambuzi wako ulivyo na makosa mengi.
2) Huwezi kufanya uchambuzi wewe halafu ukakataa kusikiza changanuzi zingine halafu ukasisitiza kuwa yako ndio iliyo sawa. Halafu ukaamrisha watu kwa msingi wa uchambuzi wako tu ambao wazi una makosa mengi.
3) Kukuleta karibu na njia iliyo sawa ama iliyo nyooka(straight path): nakuomba ujibu maswali haya machache tu:
Uchambuzi wako unathibitishwa na vitabu gani vya kweli(Authentic books)?
Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika mathayo 5:17-20. Je mbingu na ardhi ishapita? Nabii Isa(PBUH)alisemaje katika Yohana16:7? Je maana ya neno la kigiriki'Periclytos' ni nini? Unasema unaamini Qur'aan. Nionyeshe wapi kwenye Qur'aan ambapo tumeambiwa tukifika wakati fulani ama karne fulani tuwache kufunga ama tuwache kuswali? Nguzo za wiislamu ni ngapi? Taja nguzo za wuiislamu? Taja nguzo za imaani? Je unaziamini nguzo hizo?
4) Unafanya makosa makubwa kuwaambia waislamu waache kuswali na wawache saum. Waiislamu wanatekeleza walivyo amrishwa ni Allah kwenye Qur'aan na sunnah ya Mtume Muhammad(SAW). Nawe hiyo amri unayo wambia waiislamu wasiswali na wasifunge mwezi wa Ramadhan,- ulitumwa na nani? Je ulitumwa na Allah? Kama ulitumwa na Allah tafadhali tuonyeshe kitabu kama vile Qur'aan na utuonyeshe sunnah yako?
Bila hivyo, yako ni maneno tu bure, ambayo hayana msingi wowote. Nakama huna kitabu kama Qur'aan tafadhali nakuomba usipoteze watu waliokatika dini ya haki.
@@saumbliz8983Kwanza unatakiwa ujue Yesu na Isa ni watu wawili tofauti, Yesu alizaliwa kwenye holi la ng'ombe wakati Isa alizaliwa chini ya mtende nyuma ya msikiti, Yesu alizaliwa ktk Bethlehem ya uyahidi wakati Isa hajulikani alizaliwa wapi, Yesu alikufa na kufufuka wakati Isa hakufa wala kufufuka, Yesu atarudi kuchukua walio wake wakati Isa atakuja kuoa,je Ktk haya niliyaandika kuna mfanano wowote kati ya Yesu na Isa
Inshallah
Unajua sana nabii elia
Wanao kataa ndio hao wanaoingia msikitini na hiriz na majini hataongee vipi hawata acha shiririk zao ubarikiwe sheh wangu.
Huyo anajiita nabii unampaje cheo cha usheikh,
Wewe jamaa kasome huwo ukristo wako ili ujue ukweli wajinga kma hawa nimtihani tu wetu tunaelewa ila nyinyi upande wapi ndio mnajifanya mnatuhurumia wakati nyinyi hatujui kuwa ukristo nidini or watu wajinga tu shemm on u
@@saidsidazshida ni kutokujua unabii ni nini, jifunze kwanza unabii ni nini alafu ulete hoja
Tabu yauviv ktk dini we wabaki kuchanganywa tu bwana said kubwa jinga 0 pole lakin ndo unachostahil mana unaupunguf waakili na kuchotwachotwa jitahid uwatafute watu salaf wakutoe uchafu na uhafif wa ugongowako
Acha ujinga umbwa wewe
innalillah wa inna ilayih radjiuna
Najua wanaopinga ukweli wapo wengi, maana mungu mwenyewe wanampinga sembuse wewe, jipe moyo mtumishi mungu yupo upande wako anakuongoza katika mafundisho mema ya kuokoa nafsi.
Ni kwel kabisa mwanadamu ni kiumbe wa hajabu saana
Huyu nampenda sana Pia namfuatilia sana Ni mkweli sana sana lakini pia nakumbuka Alikua Rafiki wa Pst wangu Marehemu Osca. Nakuombea sana
Ila kusema tusifunge ramadhan sidhan kana yuko sahh
Mi mwenyew kweny hilo simuelew ndo maan nauliz kam ni muislam au mkristo😂
Shida ni wewe ujajua sheria za kufunga hivyo ni ngumu kumuelewa
@@miishhassn yupo sahii maana uwezi ukafunga ukiwa baada ya apo unazini unatukana ww ni fisadi unachuki iyo funga aina maana
Waislam hawajamkataa Isa Kama mtume wa Mungu wanamkataa kumwita Munguu
Shekhe waislam wabishi sana hata ukiongea mpaka ukalia bado hawawezi kukuelewa hata siku moja
Yeye akishasema kwel anayoijua mtu akaskia, yy aijalishi mtu kaelewa au ajaelewa mbele za Mungu ana dhawabu atodaiwa Bali msala unabaki kwa yule aliyeikataa ile kwel, là msingi ni kuiokoa nafsi yako
Allah anasema quran hataweza kuishoka yyote aliyemchafu sio kila anaeisoma ndio ataweza kuotoleamaana utaifahamu kwamujibu wa kiwango chako cha kumcha mungu na malengo yako ya kuisoma sio kwa utashi wako tu bcz ufahamu wake unatoka direct kwa Allah na kwa yule amtakae amuonae sahihi walio wasafi wa nafsi na imani iliyosahihi na hakuna sharia ya kuacha pasi na udhur wa kisheria na sala nimabi ya shida za mwanaadamu kwa Allah na hana mshirika
Amina ❤❤❤
Hongera kwa mafundisho mazuri mungu akubariki Sana
Nakubari mngu akutunze
Amina ubarikiwe sana
Wewe wanishangaza sana mara unahubiri ukrsto mara unahubiri uisilamu, msimamo wako uko wapi ama umechanganywa, huweleweki uko wapi,
Tufundishe hilo neno la Mungu na Roho wa Mungu mchezo uishe
Darasa linakuja inshallah
@@nabiiilyaaseliya2551 Tunasubiria kwa ham kubwa hilo darasa
Ukweli ulio bayana.
funguka maalim wangu
Mwalim nisamehe nimsahau kukupa hongera kwa mafundisho mazur yenye maana,nilikuwa nawafatiria vichwa vibovu yaan makafiri kwenye comet zoa zisizo na maadili za kumkashifu mtumishi wa Mungu.
Wapuuzi wasio jielewa na wasio na Ubongo wa kufikili ndio watakao kuelewa ,,uwezi mkataa Muhammadi yeye ndio nabii na mtume aliecha usia tuifate Qur an,,,Wacha kuipindisha
Habari za issa zipo kwa Qur'an zinasomwa na waislam. hatumkani yesu na tunazifuata habari zake.kuhusu dajjal usitoe hukmu mwalimu
Nani aliziandika habari za Yesu kwenye koran,wakati Muhammad anazaliwa Yesu alishaondoka miaka 635,je huyo mtume wenu alicopy yaliyokuwa yameandikwa na wayahudi
MPUMBAVUUU WW ....ET UNAJIITA NABIII NI MZIMAA KWEL WW ..KENGE SANA WW NA UTAENDA MOTONI INSHALLH MPOTOSHAJII MKUBWA WW MWONGO MWONGO WW
Hapana usiseme hvo ndug yangu maneno yake yapo sahih
Mwenyezi Mungu amesha sema itakapofikia mwisho wa dunia watajitokeza watu wenye kutoa fatwaa hali ya kuwa hawana elimu ndio hao ss@@faridbinjumaonlinetv9258
Lete ukweli
Huyu Nabii Elias nimemsikiliza vzuri sana . issue yake ni moja tu , kwa nyakati za mwisho mtu pekee mwenye nguvu wa kupambana na fitna za Dajjal na kuja kwake ni Issa bin Mariam PBUH ambapo katika uislam haisemwi .Na Issa bin Mariam ni above all katika nyakati za mwisho.
uo ni upuuzi kumkataa muhammadi eti kisa izi zama za mwisho ni ujinga ,,,eti mfuate Yesu kristo upate kunusulika na masih ,acha kuupotosha umati wa Muhammadi,,kwaio unamaanisha tuache Swalla tuache ibada zote zilizofanywa na Nabii muhammadi ,,uo utakuwa uzembe,,wew muislam popote ulipo duniani ,,Muhammad ndio nabii wa mwisho na Qur an ametuthibitishia ni maneno ya Allah lazima ifatwe,,,Amna sura wala Aya iliosema wakati wa mwisho mfateni Isa bin maliam sio kweli ni ,,kuwapotosha watu
Hivi ndg yangu maisha na mafundisho ya Muhammad ndivyo walivyoishi manabii waliotangulia mf kuuwa watu,kuzini, kuwadanganya watu kwamba mtu anaweza kusamehewa dhambi kw kuoga, kuumwa homa,kujichoma na mwiba, kasome kitabu cha mkweli mwaminifu utayaona mafundisho ya Muhammad,pia kukataa kwamba aliyetolewa sadaka siyo Isaka ila ni Ishmael je huo siyo uongo? mafundisho ya Muhammad yalikuwa na lengo la kupinga mafundisho ya mitume na manabii waliotangulia,eti Yesu hakufa wala hakuzaliwa kwenye holi la ng'ombe ila nyuma ya msikiti je huo siyo uongo
@@FridayMwassaHugo mkweli mwaminifu Ni wale wale wapinga uislaam .Ukitaka kumjua Muhammad soma Quran.Uislamu ni usafi wa Moyo .
Shukrani shelhe technology ina siri kubwa ila tulidanganywa kuna nguvu kubwa inayotoa ufundi mkubwa na kuwekwa kwenye vitabu ndio maana kuna jamii ndogo tu yenye ujuzi.
Nakufuatilia sana mafundisho yako,Mungu akubariki.
AZ-ZUKHRUF 43;61
Wa 'innahuu la--'ilmul lissaa 'ati falaa tamtarunna bihaa wattabi'uun hadhaa siraatummustaqiim..
Tafsiri: Na kwakweli (yeye Nabii ISSA) ni Alama ya Qiama (kuwa kinaaanza kutukaribia), msikifanyie Shaka na nifuateni.hii ndiyo Njia iliyonyooka.
Ni kweli ndugu hapo umeongea kweli, na Sasa Yesu yaani Neno ambaye ni masihi yumo ndani ya Mjumbe wa agano duniani mwenye kweli yote ya Mungu angalia RUclips Mjumbe Agano upate semina ya mwisho wa Dunia na jinsi kanisa halisi linavyojengwa na kunyakuliwa barikiwa sana. Mimi ndiye Eliya wa sasa. Malaki 3:1-2, 4:1-6. Isaya 41:1-4.
Tunaishi Kwa ulimwengu - ukweli kafanywa uwongo na uwongo kafanywa ukweli. Subhanah 🇰🇪
Shukran sana Sheikh wangu kwa kutufungua akili..... 🙏🙏🙏
Mimi nakuelewa sana nabii eliyas
Wewe ni mtu wa mungu waambie ukweli dini imeingiliwa na mashetwan
hivyo vikosi vyote vya Boko haram ni utendaji wa Papa chini ya Umoja wa Mataifa.Mungu akupe nguvu Shekhe.kazi ni njema hii
Haya mawaiza ya jazba waislamu kueni makini, kipindi cha watoao mawaiza ya kupeleka watu motoni, Allah nakuomba unusuru ummati muhammadi
Kabisa asante sana nimeere wasana
Asalaam alaykum Shekhe. Manabii Luthu a.s, Nuhu a.s, Ibrahimu a.s, Issa a.s na Muhammad S.A.W WALITENDA WEMA KATIKATI YA MAKAFIRI NA WALIHESABIWA HAKI......ISSA BIN MARIUM P.B.U.H ALIFUNGA MBALI YA KUWA CHINI YA UTAWALA WA WARUMI ILA HAIKUMZUIA KUFUNGA......FUNGA NI PERSONAL(BINAFSI)......TAKATAKA NI NYINGI KWELI ILA NDIO FUNGA INAKUWA NA MALIPO MAKUBWA MAAA MTIHANI WA KUFUNGA NI MGUMU ZAIDI NA VYA KUEPUKA NI VINGI ZAIDI
Kumbuka manabii walikuwa wakifunga walikuwa wanaenda mlimani, hata Yesu akufungia katikati ya watu, funga ya sasa ivi ni ya uongo! watu wamefunga ila wanashinda mitandaoni, wamefunga ila wanabeti, wamefunga ila wanamarejesho ya bank wanakimbizana na vikoba., sasa maana ya funga ni nini? ni kuachana na vitu vyote vilivyo kinyume na mapenzj ya Mungu uo ndio ukwel
Nabii wakweli aliyetabiriwa ktk Quran 37:129,130).Bblia Malaki 4:5),Ufunuo 11:3).
Mmi naamini hakuna mkamilifu duniani Mkamilifu ni Yeye Muumba wetu. Kama tumedanganywa na fitina za binadamu wezetu na kuamini basi Mwenyezi Mungu Atusamehe makosa yetu kwa kujua na kutokujua
Mkamilfu ni Yesu Kristo
Mbona usemi RIBA hatukikatwazwa😮
Asifiwe Mwokozi,Nayaunga Mafungisho mkono.na ningupenda kuzungumza nawe ,Niko Nakuru Kenya
Utatseka sana, utarukaruka sana, utahangaika sana, lakini Allah ndiye aliyeileta Qur an, na ndiye anae na atakaeilinda, hutoweza kubadilisha.
Barikiwa sana
Kwa wale waislam wenzangu chukueni faida tu yale mengine muachien kama unajielewa hawez kuku poteza
Ana hoja, asikilizwe bila mihemko
Amen Amen Amen 🙏 🙌
Nimekuelewa
We ukiacha unafiki ndio tutajua wewe shida mnafiki unatumia Elim yako kupotoa baadhi ya watu wasiokujua na wasiojua unachokifanya
KAHUBIRI INJILI NDIO KAZI YAKO Asante kwa kuzidi kuuelewa uislam na kuwaelewesha makafiri wengine
Tunashukuru kwa wewe unaemjua kwa hiyo wew ni mungu,wewe kafiri number 1 hujui chochote kaa kimya
MUNGU akulinde ndugu yetu unahubiri ukwel mtupu
NDUGU ZANGU WAISLAM TUWE MAKINI NA WATU KAMA HAWA NDIO WANAITWA ASTAMUSHIRIKINA NI WATU WANAJICHOMEKA NDANI YA UISLAM NA KUUSOMA LAKN LENGO INAKUWA SIO IMANI BALI NI KUPOTOSHA KAMA HIVI ANATUMIA LUGHA YA KIARABU NA BAADHI YA AYA NA HADITH ILI KUKUZUGA WW USIEKUWA NA ELIMU NDIO MAANA HATA UKIFATILIA COMMENT ANASAPOTIWA ZAIDI NA WAKRISTO KWAKUWA ANA MUWEKA ISSA BIN MARYAM JUU KULIKO MUHAMMAD . UNAVYOWAAMBIA WATU WASIFUNGE WASISWALI KISA FITINA ZA MASIH DAJJAL HALAFU UNAJIITA NABII HAPO NDIPO UPOTOVU ULIPO WAISLAM SISI HATUNA NABII WALA MTUME TENA ZAIDI YA MTUME MUHAMMAD UTAWADANGANYA WAJINGA WASIOJUA IMAN YAO BORA UNGEFUNGUA KANISA TU ILI WAKUJUE VYEMA
Hatunaga hizo mambo asee, huyo anasoma quran vzr sasa wewe unamhukumu alooo Acha hizo mambo bwana , we njoo kwa issa bin maryam yani YESU ili uwe salama.sawa broo
Mtume awezi aka mkubwa zaidi ya Yesu ata siku moja kunini ajasema atarudi Muhammad jiulize kwanini aje Yesu
Nimekuelewa leo
Nikweli kabisa Mana ata yesu mwenyewe wametudanganya ila unaongea ukweli ila wana pumbaza watu ana puuzia Mana mimambo kibao ya kishetani inaendelea ila watu wamepumbazwa na wana potezea tuu Yan Allah atupe wepesi
Uislam ndio dini ya haki dini ya kweli hata yesu akirud anakuja kuusimamisha uislam .
Usiogope roho mtakatifu yupo pamoja nawe nabii eliya
Allahu Akbaru
Kwako mwalim na nabii eliasa au shehe amza napataga darasa kubwa sana kutoka kwako na pia naomba uniunge kwenye mafundisho yako. Samahani naitaji sana somo rako
Usipotumia hakiri uyu jama anaweza akakupoteza Bila kujijua Huyu jamaa Atapoteza watu Allah Atuongoze sote
Allah ndiyo nani
Mambo mengi huyu mchungajia anayo ya fundisha nimeyaona nineanza kumfatilia muda mrefu hakika roho ya nabii eliya ipo ndani yako piga kazi shehee mchungaji
Ni aya gan na hadithi gan inasema tukiwa kweny fitna za masih dajaal tusiswal wala kufung wal kuhij labd itakuelewa mi sikuelew kweny swal la kuach kuswal kufung na fardh nyingine hope sipo mwenyewe ambae sielew😂
Hana lolote amevutugwa huyu
Unataka unyenyekewe umekuwa Allah wa kumnyenyekea ni Allah peke ake wewe ni kiumbe kama vilivo viumbe vingine na huna uwezo wa kusema mtu anaenda motoni Kwan Allah peke ake ndio ajuaye hata sekunde yetu moja😢😢😢
Nilichogundua huu ndio muda wakufanta toba kweli kweli sio kuacha mana huu ndio ule wakat kila mtu atakuja na mafundisho yake ewe Allah tuongoze njia iliyo nyooka
Tunakujua wew nikafir munafiki mukubwa
Hebu wacha uongo yaani watu wasifunge na kuswali hebu lele dalili kwenye kitabu watu wasifanye ibada nyakati hizi?
Amekuambia ukiswali omba dua kupinga fitina za dajal
huyu mzee ni mshenzi kabisa yani yeye anatoa hukumu kabisa akiwa kama nani
Pumbavu kabisa huyo
Ukweli mtupu ubarikiwe sana mtumishi wa Bwana.
Ndo maisha Yako hayo yakudanganya waumini na Musa muingize hapo tukujue kama kweli msomi umetumwa
HABARI ZENU NDUGU ZANGU! ALLAH S.W ANASEMA TUSOME, HIVYO MUHIM KUSOMA DINI VIZUR HUWEZ YUMBISHWA, KWA MANENO Y HUYU MZEE ATAPOTOSHA WENG SAANA CHA KWANZA ANAJIITA NABIII WAKAT NABIII W MWISHO N MUHAMMAD SAW THEN ANASEMA TUSIFUNGE RAMADHAN ILI TWENDE MOTONI INNALILAH WAINNA ILAYHI RAJIUUN
Wewe hujui anachosema yy anasema huwezi kufunga huku hufuati Sheria za kufunga acha kupotosha waislam wenzako bila Yesu Kristo hata ufie masjid unakwenda kuzimu
Swadakta .....mnafiki mkubwa huyoo.....eti waislam wasifunge
Ramadan....waislm watching sana na mijitu kama hii
Natamani nipate kipindi na wewe usie hubiri dini unahubiri injili ya kweli tu
Natamani wa kristo wapate somo waache u dini waa seme kweli kweli iliyo huru
Unabii huo.piga kazi watakao kuelewa watapata hekima.soma Danieli 12.Karibu Sabato.Barikiwa
Huyu Ni mpotoshaji
Were nikafir unafikir unapoteza Watusi unajipoteza mwenyewe
Wewe huna akilia funga haziko kwa waisilam pekee hata wakristo wanafunga mbona huizungumziii funga ya mkristo wewe una lengo lako la kuutangaza ukristo Imani ya kweli ipo rohoni yaani unamaanisha watu waache kuswali we Ni bite kabisa
Hii ndio Dini mpya iliokua inasemwa???crislam???? Ndio hiiikkk naulizanaomba majibu kwa anaejua, Asante
Umesikia nni apo kutokana na Dini..? Na dini sio neno ni mfumo. Wwe una ujua upii?
Ni kweli hii ndio dining mpya inayoitwa ( Crislam ) yenye wali lounge kule Dubai majuzi mwaka jana... na kuchukua waislamu kadhaa wasio ielewa Dini vizuri waka wapa hii elimu ya kuchanganya watu akili wakidai hatupaswi kufanya kitu fulani kwenye uisilamu kisha ananukuu baadhi ya aya kutoka humour humour kwenye dini ya sisi Waislamu ili tumuone ni mmoja wetu na yeye ndie anaejua elimu ya ki islamu zaidi kuliko waislamu so mada zake zina kaa katikati ya uisilamu na u christo.... nia na madhumuni ni kutoa waislamu kwenye muelekeo sahihi .... so waliojaaliea kuisikiliza hadi mwisho utajua huyu ni mtu wa chrislam na sio uislamu wala u christo.
@@omarshaban4830mwamini Yesu uokolewe , Dini haipeleki mtu mbinguni
Halafu wanaotukana wote asilimia kubwa ukiangalia ni waislam yote anayosema sheikh ni sahihi
Nimrodi wa leo Papa.Sheria ya Jumapili
Uislamu waeshimu manabii wote ujue ukristo dini ya binafsi wamtusi mtume Muhammad kila mara
Kama huelewi anachokifundisha kunyamaza nibola
Huo ni ukweli mchungu hakuna anayependa kuusikiya
Wewe ni fitina, Allah tulinde
Yeye mwenyewe ni mfuasi wa dajjal kazi kupotosha na atawapata wavivu wa kujifunza dini yao
Na wew moton pia 😏😏😏😏😏😏😏
Wewe baada ya kuona waisrael na tecnologia não não unataka kubadiri mafundisho ya Qur'an? Shirk kubwa
Ya nikwer ila vichwa vyetu hawa jamaa wamejenga tear kitu kwenye ndani ya akiri zetu...tujitakase na mungu atutakase..😢😢
Shekh ww aufungi na kuswali?
Sheikh kufunga tutafunga sana wewe usifunge Allah ajua atapokea vipi
Nakukubali Sana lkn sikuelewi upo upandegani chagua upande Yesu Ndie njiapekee yakwenda mbinguni
Yupo ktk kweli ya Mungu Ambae ni biblia
Ni njiya ukimfata kimfano sikumuimba Wala kumpa daradja lisilo lake.
Wafwatiliaji wengi nikama nyumbu
na huyo mpinga Kristo ataanza na Marekani.ngoja wamrudishe Trump mwezi wa 11.Tataona utendaji wa papa live
Quran tuna jua vizuri
Kwanza huyu kutuelekeza kwa Nabii Eliya Eliyaas hapo tayari unafanya point yako kuwa ya uwongo sababu hakuna manabii walio baki kwa sasa na tulitaarifiwa na Allah kwenye Quran kuwa Muhammad ndio Nabii wa mwisho na watakuja mabii wa siku za mwisho so sheikh hapa kadangaye watoto pekee kisha wale wa pp1 nursery pekee sie tumejulishwa na mapema kuwa Nabii wa uwongo watakuja na wewe watuambia tukusilize wewe na huyo mshamba mwenzako
Wewe ni mpuuuzi sana.