THE STORY BOOK : Yamepotelea Wapi Mawe ya Amri 10 za Mungu ?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
    𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
    𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
    𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
    𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
    𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
    𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
    𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1 тыс.

  • @kingpin2511
    @kingpin2511 3 года назад +40

    Nipewe Like za The Only Professor We Have In Africa

  • @gloriaako7225
    @gloriaako7225 3 года назад +66

    Umerudi vyema Jamal April nakupata vyema kbs toka 🇹🇿 like 20 jamn km umekubali ujio wa the story book

  • @oscarsabin3561
    @oscarsabin3561 3 года назад +45

    Leo nimeflai sana imanijenga sana kwenye imani yangu amen tunamsubira bwana yesu kisto amen

    • @mwarabumbarak4342
      @mwarabumbarak4342 3 года назад +2

      Huyo unaye msubiri mwisho atakukana.
      Luka 13:25-28
      Wakati mwenye
      nyumba atakaposimama na kuufunga mlango, nanyi mkaanza kusimama nje na kuubisha mlango, mkisema, Ee Bwana, tufungulie; yeye atajibu na kuwaambia, Siwajui mtokako;
      26 ndipo mtakapoanza kusema, Tulikula na kunywa mbele yako, nawe ulifundisha katika njia zetu.
      27 Naye atasema, Nawaambia, Siwajui mtokako; ondokeni kwangu ninyi nyote mlio wafanyaji wa udhalimu.
      28 Ndipo kutakapokuwa na kilio na kusaga meno, mtakapomwona Ibrahimu na Isaka na Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, nanyi wenyewe mmetupwa nje.

    • @samuelmuhina3186
      @samuelmuhina3186 2 года назад +1

      Usimsikilize m2 yeyote iwe Mimi huyu Jamal na hata wasomi.....muombe Mungu akutie maarifa ya kumjua....Soma neno mwenyewe

    • @Pro_Hacker99
      @Pro_Hacker99 2 года назад +1

      @@mwarabumbarak4342 maandiko ya kwenye kitabu Cha biblia na ata Qur'an ni mazito Sana, hayana tafsiri sisisi yaan hayatafsiriwi Moja kwa moja kama yalivyoandikwa, yahitaji akili ya Iman ili kujua nn kinachokusudiwa kwenye andiko....mfano ww sheikh hapo umetafsiri Moja kwa moja Yan umenukuu na kichwani umeweka kama ilivyo......muache mtu na Iman yake

    • @denismugisha2
      @denismugisha2 Год назад

      Jina la BWANA huandikwa kwa herufi kubwa

  • @thearphaxadstv
    @thearphaxadstv 3 года назад +73

    nimeishi kuombea the storybook kurejea na ama kweli maombi yangu ni ya hakika
    SIJAFELI😍😍✔

    • @m.jbluesea2711
      @m.jbluesea2711 3 года назад

      Kbisa ruclips.net/video/9VINaNBAlFU/видео.html

    • @nissarhussein4887
      @nissarhussein4887 3 года назад

      Unaombea ujinga badala kuombea Wazazi wako dahh Innalillah wainaillah rajuun

    • @thearphaxadstv
      @thearphaxadstv 3 года назад +4

      @@nissarhussein4887 ama kweli unadhihirisha ulemavu wa ubongo wako samahani maombi yangu kama hayakupendezi omba yako

    • @fredyefd8116
      @fredyefd8116 3 года назад

      @@nissarhussein4887 fikra zako cyo zetu shugulika na yako

    • @chiefmahucha6847
      @chiefmahucha6847 3 года назад

      @@nissarhussein4887 kwa hiyo unajaribu kutuaminisha nini sasa kwa mfano...?
      Kwamba wewe tangu uzaliwe hujawahi ombea chochote wala mtu yeyote chini ya jua tofauti na wazazio sio..?

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 3 года назад +252

    Walokuwa wanamgonja Jamal kwa hamu gonga like twende pamoja.

    • @isaackmboma72
      @isaackmboma72 3 года назад

      Sija amini yanikama Jamal kaludi I'm so happy

    • @mwiguluzabron1414
      @mwiguluzabron1414 3 года назад +1

      Nmemsubiri sanaa

    • @njoylee225
      @njoylee225 3 года назад +1

      @@isaackmboma72
      J

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 года назад +1

      Sjaamini kumckia Jamal again jmn ninakupenda Sana Jamal km washkaji zangu waliolike

    • @aminaathuman2917
      @aminaathuman2917 3 года назад

      We miss you Professor Jamal

  • @vivianoforo4760
    @vivianoforo4760 3 года назад +44

    Mwenyezi Mungu pekee ndiye mjuzi. Sio yote tunatakiwa kuyajua mengine ni kumuachia mwenyezi Mungu pekee Asante Jamal

    • @lujenjejr3628
      @lujenjejr3628 3 года назад +2

      Wazungu walitupiga tu na hadithi zao ili watukoloni...

    • @swagatdebracy6447
      @swagatdebracy6447 3 года назад +2

      Imeandikwa yachunguzeni maandiko tena ikaandikwa usimuache elimu aendezake.

    • @allymajeba4211
      @allymajeba4211 3 года назад

      JJ

    • @seasonepisode3328
      @seasonepisode3328 3 года назад

      @@lujenjejr3628 ukifa utaelewa tuuu kila ndimi itakiri

    • @lujenjejr3628
      @lujenjejr3628 3 года назад

      @@seasonepisode3328 nani alikifa akawaambia kua huko kila ndimi zinakiri...

  • @midoboytz2248
    @midoboytz2248 3 года назад +23

    Jaman April alikuwa kimy San Kama ulikuwa una mmic Kama mim gonga like

  • @antonynyerere4347
    @antonynyerere4347 3 года назад +19

    Jamali April....hongera sana unatufanya tujue mambo ya siri sana ya dunian mungu na azidi kukubariki kaka yang binafsi nakupenda sana

  • @geraldlyimo2859
    @geraldlyimo2859 3 года назад +14

    Neno la Mungu ni taamu

  • @abukhaulatibrahim7521
    @abukhaulatibrahim7521 3 года назад +55

    Hichi ndio kipindi pekee ninachofuatilia wasafi. Hongera sana Jamal, hongereni Wasafi Media

  • @ibrahkadabrah7001
    @ibrahkadabrah7001 3 года назад +17

    Kama unasikiliza huku unasoma comment gonga like twende sawa WCB 4 Life

    • @nissarhussein4887
      @nissarhussein4887 3 года назад

      Zinakusaidia nn izo like acha ujinga tafuta ela sio like

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 3 года назад +17

    Usihofu sanduku lipo soma maandiko haya. Bibilia ni jibu "yenye chetezo cha dhahabu, na sanduku la agano lililofunikwa kwa dhahabu pande zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka, na vile vibao vya agano;
    Waebrania 9:4
    Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana."
    Ufunuo wa Yohana 11:19

    • @raymondjohn3798
      @raymondjohn3798 3 месяца назад

      Kihistoria sanduku la agano lilipotea kule lilipokua lakini lipo Ethiopia sehemu moja ambapo ndio Malkia wa Sheba alipokuwa anatokea,katika mji wa Axum.

  • @anastaziamruma3775
    @anastaziamruma3775 3 года назад +8

    Hatimaye kipindi changu pendwa 💕💕💕kimerudi 🙏

  • @LilfourEmpire
    @LilfourEmpire Год назад +4

    From Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 with looove

  • @willywox5040
    @willywox5040 3 года назад +21

    My brother from another mother! tulikumis san kaka 🙏

  • @boscomtani1006
    @boscomtani1006 3 года назад +7

    Jamal April a.k.a. Jamal Mustapha a.k.a. Professor unajua sana, nikiona the Story Book Umeandaa na kusimulia najua kwamba hicho ni kitu makini kilichofanyiwa utafiti wa kutosha na kuwasilisha kwa ustadi wa kuvutia kwa njia ya simulizi. Hakika wewe ni tunu kwa taifa, dunia na ulimwengu. Ubarikiwe.

  • @samuelmweipongwe140
    @samuelmweipongwe140 3 года назад +6

    Watu ni wavivu wa kufikiri na ni wavivu wa kujituma kuyajua mambo.
    Ufunuo wa Yohana 11:19
    [19]Kisha Hekalu la Mungu lililoko mbinguni likafunguliwa, na sanduku la agano lake likaonekana ndani ya hekalu lake. Kukawa na umeme, na sauti, na radi, na tetemeko la nchi, na mvua ya mawe nyingi sana.

  • @stanleymathenge3257
    @stanleymathenge3257 9 месяцев назад +60

    Mimi utazama nikiwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 jina langu ni Stanley mathenge ❤ mnipee likes 🎉🎉🎉

    • @winniethuo9736
      @winniethuo9736 8 месяцев назад +5

      Wīmwega mŭndŭ Mathenge. Haya ni magumu sana sijui wewe umefikishwa na hizi habari mbali mbali za hali na mali na mengineo ya Kiroho.

    • @daisynyerere5730
      @daisynyerere5730 7 месяцев назад +2

      Haya tumekupea

    • @stanleymathenge3257
      @stanleymathenge3257 7 месяцев назад

      @@daisynyerere5730 thanks

    • @stanleymathenge3257
      @stanleymathenge3257 7 месяцев назад

      @@winniethuo9736 nekwega muno Winnie

    • @johnlahai-loy2601
      @johnlahai-loy2601 5 месяцев назад +1

      15:08

  • @user-iz9hi4cq6f
    @user-iz9hi4cq6f 3 месяца назад +3

    Ahsant sana ndug Jamal kwa story nzur naomba utusaidie kujua historia ya bustani ya heden

  • @simondangote3245
    @simondangote3245 3 года назад +4

    Nimefurahi kusikia kuwa na ww unamsubiri yesu na unaamini atarudi cku ya mwisho asante sana professor kwa kuwafungua wenzko ambao awahamini kwl hyo kuhsu kurudi kwa mwana wa Adam, YESU

    • @murshidjamshid6758
      @murshidjamshid6758 3 года назад

      Yesu atarudi sio kwamba hakuna muislamu asiye tambua kua hatarudi.
      Ila sisi na nyinyi tunakinzana issa/yesu hakufa kabla ya kupaishwa kwake kwenda mbinguni
      Wala issa/yesu si MUNGU kama msemavyo.
      Wala MUNGU -hana utatu mtakatifu (hapana)

    • @ruqayissa4207
      @ruqayissa4207 2 года назад

      Na issa hakusulubiwa mapimbi hawa

  • @hassanyussuph4407
    @hassanyussuph4407 3 года назад +10

    Jamal unafanya kazi kubwa sana kutengeneza thestorybook kazi nzuri sanaa

  • @alphahappy3501
    @alphahappy3501 3 года назад +36

    Hapa sawa sasa, sio storybook inapotea mpaka tunataka kuchanganyikiwa.

  • @annastaciangau9004
    @annastaciangau9004 3 года назад +72

    Jamal april pamoja na the story book mungu akubariki zaidi kwa bidii yako ya kutuelimisha, karibu tena na tena kwa story zako zenye mafunzo mazuri siku zote

  • @pungopungo411
    @pungopungo411 11 дней назад

    Jamari Mungu akupiganie unatula raha wewe ni pasuapasu na Yesu akija hatakuacha bigup jamal

  • @thobiasmgimwa6794
    @thobiasmgimwa6794 3 года назад +5

    Asante #the storybook imekuwa ikinisaidia kujuwa mengi Sana duniani

  • @officialprincebaro6983
    @officialprincebaro6983 3 года назад +22

    The story book huwa inatusaidia kujuwa na kutaka kufatiliya jambo..
    Nakubali
    Mzee wa zamaniiiiiiii
    Zamani sana
    Welcome

  • @ommymbalikila4034
    @ommymbalikila4034 3 года назад +269

    Leo nmekuwa wa Kwanza jamani like zenu ata 50

  • @thabitiajibu4404
    @thabitiajibu4404 3 года назад +8

    WCB4life kimeludi tena kipindi changu pendwa @the story book tujuane hapa wote tunaopend the story book like k10

  • @evancepatrice1114
    @evancepatrice1114 3 года назад +5

    Dah ahsante sana wasafi media kusema kweli wasafi ni media iliokuja kupindua radio zingine watasubili sana

  • @royalityjunior210
    @royalityjunior210 3 года назад +2

    We kaka story Yan tanguh nimeanza kuangaliah story book nafanya poa kwene somo la history munguh akubalikih maanah sikuh hizih imani yanguh pia imekuah
    Long life to you

  • @nurdinhussein
    @nurdinhussein Год назад +6

    Leo wa kwanza naombeni like zangu

  • @prayerchamber1600
    @prayerchamber1600 3 года назад +2

    Dini ya kweli ni roho yako... Kuwepo kwa lugha tofauti duniani ni mipango ya Mungu pia kuwepo kwa imani tofauti ya dini ni mipango yake...

  • @allymanjano698
    @allymanjano698 3 года назад +4

    Aise umeifanya siku iishe vizur,nakubar kamanda👍👍

  • @user-kz5pk5fv7o
    @user-kz5pk5fv7o 3 месяца назад

    Mungu akubariki kwa kutupa ushuhuda Jamari nitafutie stori ya kisa cha wakristo na waislam hata kdog jinsi ilivyo kua

  • @shabanishila3961
    @shabanishila3961 3 года назад +5

    Wewe kweli msomi, ahsantee kwa the story book

  • @user-eu8lc6co2j
    @user-eu8lc6co2j 5 месяцев назад +2

    Mbona mnapenda like hv kuna hela mnapata 😮😢❤ I came in peace ✌️

  • @idungaphotostudio3576
    @idungaphotostudio3576 3 года назад +6

    Hongera sana jamal unafanya kazi nzuri sana sijuti kukufahamu kaka tunasubiria tena kwa mara nyingine the story book

  • @ireneassey753
    @ireneassey753 3 года назад +2

    Tusubir yesuu akirud tutajua yote...AMEN

  • @barakawabuge5285
    @barakawabuge5285 3 года назад +7

    Toka kenya kila siku naingia you tube kuangalia kama the storybook ipo.. Nashukuru umerudi baba

  • @farajajoseph2971
    @farajajoseph2971 3 года назад +31

    Nilikua nime miss makala zako, punguza ukimya kaka mkubwa tunakukubari sana The Story Book utabakia kua juu wengine wakasome

  • @bettybetty8717
    @bettybetty8717 3 года назад +7

    Thanks for coming back @Jamal

  • @alindaJohn-g9q
    @alindaJohn-g9q 11 месяцев назад +2

    Asante sana jalibu kuamini jina la YESU😢😢😊😊😊❤❤❤❤

  • @asaa3219
    @asaa3219 3 года назад +19

    Aziji bure hizi story tujifunzeni kitu guys 🙏🙏🙏🔥🔥🔥🔥

  • @josephryoba3867
    @josephryoba3867 7 дней назад

    Sheikh Jamal tulete story book ya Nabii Ayubu. Asante

  • @nkomyajohn4271
    @nkomyajohn4271 3 года назад +7

    Jamal April PROFESSOR, nakubali Sana , Good story

    • @florancebidogo4310
      @florancebidogo4310 3 года назад

      Big up sana Professor Jamal,Mungu akulinde siku zote

  • @suzanaissa3146
    @suzanaissa3146 2 года назад +1

    Mungu akuzidishie maradufu.

  • @nzisakasau8234
    @nzisakasau8234 3 года назад +76

    Finally story book is back 👏👏👏👏👏congrats Jamal April

    • @selfaakinyi7824
      @selfaakinyi7824 3 года назад +2

      Kumbe uko uku pia my dear

    • @nzisakasau8234
      @nzisakasau8234 3 года назад +1

      @@selfaakinyi7824 🤣kabisaa

    • @asmaomary1880
      @asmaomary1880 3 года назад

      @@nzisakasau8234 ,🙄😉🙄

    • @selfaakinyi7824
      @selfaakinyi7824 3 года назад +2

      @@nzisakasau8234 i knew you at milele FM all the plat form za Jalango.

    • @nzisakasau8234
      @nzisakasau8234 3 года назад +2

      @@selfaakinyi7824 woow 😊

  • @mg_og4185
    @mg_og4185 3 года назад +7

    Nakubalii san the story book🔥🔥🔥

  • @godfreymtazama4581
    @godfreymtazama4581 3 года назад +16

    Daaah proffersor nilikuwa nasubiri simulizi zako kwa hamu maana nimemaliza zote kuzifatilia as historian

  • @mrchazzy6551
    @mrchazzy6551 3 года назад +1

    Amina tumungojee bwana wetu yesu kristo tu

  • @millionairejeffreysunofbez3766
    @millionairejeffreysunofbez3766 3 года назад +3

    Huwezi kwenda kwa Mungu ila kwa njia yake yy Yesu Kristo, ...bas subirn sana aje kusema mala ya pili kuwa yy ndiye njia ya kweli na uzima juu

  • @pendooscar9322
    @pendooscar9322 3 года назад +2

    Ubarikiwe kwa kutuletea story nzuli nimejikuta nikitaman Sana kujua biblia kuliko kitu kingine

  • @Paplick9
    @Paplick9 3 года назад +105

    Jamal April the master miind professor una akili sana weka like apa

    • @nissarhussein4887
      @nissarhussein4887 3 года назад +1

      Zinakusaidia nn izo like

    • @Paplick9
      @Paplick9 3 года назад +1

      @@nissarhussein4887 ata nikikujibu inakusaidia nini wewe

    • @12322879
      @12322879 3 года назад

      Muache uvivu wabongo,muwe mnafuatilia vitu youtube na google kama yeye.Unamsifia kwa kukutafsiria!

    • @ldguo3702
      @ldguo3702 3 года назад

      Sanduku laagano liko D.R.Congo ,maana ndo inci inautajiri mingi pia umaskini kwasababu ya vita

  • @annamalingi1855
    @annamalingi1855 3 года назад +2

    Yesu akija hakuna wakati wakujirekebisha.

  • @kingnoebamikwa373
    @kingnoebamikwa373 3 года назад +3

    Umemaliza bwana jamal.
    Tume miss kipindi boss wangu nilitafuta nipingiye CEO Platnumz ju ya ufafanuzi zaidi

    • @m.jbluesea2711
      @m.jbluesea2711 3 года назад

      😂😂😂ruclips.net/video/9VINaNBAlFU/видео.html

  • @user-hw7ce8gf6v
    @user-hw7ce8gf6v 7 месяцев назад

    HAKUNA SIKU SANDUKU LA AGANO LITAPATIKANA MPAKA MWISHO WA DUNIA MAANA SANDUKU LA AGANO LIKO MBINGUNI.
    UFUNUO 11
    19 KISHA HEKALU LA MUNGU LILILOKO MBINGUNI LIKAFUNGULIWA, NA SANDUKU LA AGANO LAKE LIKAONEKANA NDANI YA HEKALU LAKE KUKAWA NA UMEME, NA SAUTI, NA RADI, NA TETEMEKO LA NCHI, NA MVUA YA MAWE NYINGI SANA.
    AMEN❤❤❤

  • @haafidhaboubakary3097
    @haafidhaboubakary3097 3 года назад +6

    Our beloved have back again

  • @husseinhincha1846
    @husseinhincha1846 3 года назад +1

    Karibuni ktk UISLAM dini pekee ambayo kitabu chake kimehifadhiwa chote vichwani mwa wengi

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 3 года назад

      Yesu anakuja kuhukumu ulimwengu na kuchukua watu wake..

    • @husseinhincha1846
      @husseinhincha1846 3 года назад

      Yesu ni mtume yeye ashafikisha yake na mtume Muhammad peace be upon them and jesus ndo mtume wa mwisho hukumu ni yakwake pekee mungu mmoja tu

  • @esthernyinza9123
    @esthernyinza9123 3 года назад +17

    Your stories always give me goosebumps much love from 254 kenya

  • @hemedysaidy972
    @hemedysaidy972 2 года назад +2

    i like it the story books ningepend jamal wakup tuzo unanifanya nifatilie vitu kwa uwangalifu

  • @rehmydee28
    @rehmydee28 3 года назад +38

    Thankful Professor we had missed this.Love from Kenya

  • @hawamwechaga9622
    @hawamwechaga9622 2 года назад

    Truly is Islam is perfect there is no stones because isn't true may Allah grant you a way to know the truly and perfect religion inshaalaah

  • @georgebataze6625
    @georgebataze6625 3 года назад +6

    Karibu tena kaka, nakubali kazi yako sana

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 3 года назад +1

    Jamar Happ umenena nami niliwahi jiuliza

  • @jamesmachibya6532
    @jamesmachibya6532 3 года назад +25

    Miss this a lot.
    Safi sana Jamal

    • @m.jbluesea2711
      @m.jbluesea2711 3 года назад

      Kbisa ruclips.net/video/9VINaNBAlFU/видео.html

  • @mosesmoses1429
    @mosesmoses1429 3 года назад +1

    Hongera Sana kijana kwakuwafumbua wenge the story book

  • @jacquesmmassa5589
    @jacquesmmassa5589 3 года назад +4

    Mda mrefu kidogo kaka tulikuwa tume ku miss kweli

  • @gabrielmethod4033
    @gabrielmethod4033 3 года назад +2

    Hakuna anayeweza kuharibu tabia ya Mungu ,maana Mungu ni pendo ,na pendo ndio utimilifu wa Sheria,so kama Mungu ni pendo basi amri zote zinazungumzia upendo ,na wote tutahukumiwa kwa amri hizo za upendo , kwa maana hiyo lazima hizi amri ziwe kwake yeye Muumba wa mbingu Soma ufunuo 11:19

  • @disantojevnco2718
    @disantojevnco2718 3 года назад +7

    Hi I am watching from Buguruni city centre Tz Dar

  • @eastcuisines124
    @eastcuisines124 3 года назад +1

    Hehehe Asante jamal kwa history nzuri ila Yesu anarudi kwa jambo moja tu kuchukua wateule wake,watakatifu sio kutuambia dini ipi ni ya Mungu,afterall dini ni mpango wa mwanadamu kumtafuta Mungu 😎

  • @venzotiger1792
    @venzotiger1792 3 года назад +3

    Mungu ndie muumbaji wa kila kitu"i love your story jamaly"

  • @sophianzali6818
    @sophianzali6818 3 года назад

    Itakuw mungu alilichukua sanduku lake weee !!!!

  • @tawaloharuna4885
    @tawaloharuna4885 3 года назад +3

    Am really glad for storybook to back on air..........

  • @mapalwa-online-tv
    @mapalwa-online-tv 3 года назад +1

    Tupe Mambo jamal nilikuwa nimemic Sana the story book

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason7630 3 года назад +6

    Bravo bro @jamal for the story book

  • @mourineblessed3245
    @mourineblessed3245 Месяц назад

    You deserve a crown 👑 professor, your analysis is top notch

  • @joycekathambi3072
    @joycekathambi3072 3 года назад +4

    May the lord bless you

  • @gloirebonerge7073
    @gloirebonerge7073 Год назад

    The story book, chai yangu, chàkula changu cha mchana, pia jioni, #thestorybook nakupenda 🤗

  • @davidmaisely7487
    @davidmaisely7487 3 года назад +12

    Ndugu zangu wakristo tuwe makini na kumuomba Roho mtakatifu usikivu juu ya hizi simulizi zilizopo kwenye kitabu chetu

    • @sylvesterlosuru9826
      @sylvesterlosuru9826 3 года назад

      The man is always correcting the Bible...kidogo Judah Leo amri kumi na naona Mzee cjui tusifuate bible

  • @dismasjack5755
    @dismasjack5755 2 года назад

    Sio siri nakufatilia sana naumekuwa sehem ya kutufafanulia mambo mbal mbl nakujiamn respect bro

  • @jembe34
    @jembe34 3 года назад +3

    Ulikua wapi mwanangu napenda story zako sana lakini ngepeenda ue unafululiza ukimya wa muda mrefu unapoteza washabiki pia napenda nkushauri soma sana quran ina hadith nyingi sana za mambo ya kale mfano ni wale vijana wa pangoni waloishi miaka mingi sana wakiwa wamelala bila kujua wao wakajua wamelala usiku mmoja tu pia kuna habari za watu wa adi wakubwa wenye nguvu sana

  • @Kipngetich-KE
    @Kipngetich-KE 11 месяцев назад

    Wakati wangu mingi natumia kwa story book Jamal April i love you bro

  • @evaristmrope
    @evaristmrope 3 года назад +13

    I really appreciate Professor Jamal🎓

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 2 года назад

    Aaa hatasina chaku sema,labha niseme Asante

  • @almasially6509
    @almasially6509 3 года назад +5

    JAMAAAAAL🙌🏾

  • @rehemafredrick7794
    @rehemafredrick7794 3 года назад +1

    Asante kwa story book Jamal

  • @emmanuelanthony3496
    @emmanuelanthony3496 3 года назад +15

    Ngoja na mimi ni comment tu niongeze comment

  • @twenzetumbuganitanzania1260
    @twenzetumbuganitanzania1260 3 года назад +2

    Daah!! Nimekuwa wa mwisho ku view....🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍🌍

  • @martinchabi3029
    @martinchabi3029 3 года назад +5

    Waooh naipenda saaana hii story jaman🥰🥰❤

  • @masanjaisack6972
    @masanjaisack6972 3 года назад

    Ahasant kwa habar nzur ya mungu

  • @amanibwire4423
    @amanibwire4423 3 года назад +3

    Ntaanza kulipia wasafi sasa hichi ni kipindi pekee nakipenda

  • @sharonnasambu6753
    @sharonnasambu6753 3 года назад +1

    Elimu ya bure nashukuru mungu kwa kukuletaa utuelimishe

  • @salmahamza7785
    @salmahamza7785 3 года назад +5

    👏🏽👏🏽

  • @nevasonwiston5494
    @nevasonwiston5494 3 года назад +1

    For sure Mr Jamal unadeserve kuitwa na kuwa PROFESSOR.

  • @deodatuskessy6643
    @deodatuskessy6643 3 года назад +4

    Exllent and brilliant professor keep up

  • @crazykenzotv8113
    @crazykenzotv8113 3 года назад

    Unarudia Sana maneno yaleyale... Unavuta mda mno..

  • @harunaramadhani7764
    @harunaramadhani7764 3 года назад +8

    Mwisho Leo nmetoka kumkumbuka professor Jamar na the story book yake, welcome back chief

  • @kitumainiluc8952
    @kitumainiluc8952 3 года назад +1

    Hongera sana wasafi media. Nawapenda sana kabisa! Mutujulishe majina 99 za MWENYEZI MUNGU kama zilizo na maana zake.

    • @monicabh1668
      @monicabh1668 2 года назад

      Pole ndugu 😢unaamini na kuomba usichokijua.Mungu aliye hai na wakweli hana majina 99 ...jina lake ni moja tuu na ni JEHOVAH.

  • @Swahili14
    @Swahili14 3 года назад +30

    *I MISSED THE STORY BOOK SO MUCH!* 📖😭❣️

  • @graysonmarcelin2472
    @graysonmarcelin2472 3 года назад +2

    you make me feel better kwa story zako