The Story Book: KITABU Cha Siri Za Mungu / WANEFELI na MALAIKA WAASI / ALLIEN NA SAFARI YA MBINGUNI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 19 сен 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @ndayikengurukiyemandalene7027
    @ndayikengurukiyemandalene7027 Месяц назад +108

    Wewe kijana nimekuombea baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu maana haunaubaguzi wowote kuhusu dini wewe nimtu wa Mungu kabisa.Mungu azidi kukulinda nakukuongezea ufahamu zaidi from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮and 🇺🇸🇺🇸🇺🇸

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 12 дней назад +10

    Yaani sjui ni zambi gani kubwa iliyotuondolea hofu ya MUNGU kwetu wanadamu na kumfanya MUNGU awe mbali na mwanadamu. EEEEH MUNGU me nimwe zambi nyingi ila unikumbuke me na kuniweka kwenye himaya yako kabla ya umauti wangu maana naamini katika wewe na wewe ni jana ,leo, na hata milele 😭😭😭🤲🙏

  • @ishaqally444
    @ishaqally444 Месяц назад +620

    Kitabu cha Enoch, kilitolewa miongoni mwa vitabu vya biblia kwa sababu kinazungumzia viumbe vinavyoishi sayari zingine waitwao Annunaki na ndio waliomchukua kwenda kumfunza teknolojia na sayansi yote unayoiona katika dunia hii, Kanisa la Roman waliokua watawala kipindi hicho hawakutaka elimu hiyo itoke kwani itashindwa kukita utawala wake wa kuitawala dunia, na ndio maan kwenye biblia ya Wethiopia baadhi ya kurasa ya kitabu hicho bado kipo, Waromani ili kupotosha taarifa hizo waliamua kuita hivyo viumbe malaika ila uwepo wa viumbe nje ya dunia waishio safari zingine zipo na ndio huitwa Aliens. Na wakaamua vitavu vipi viwepo na vipi visiwepo.Teknolojia inayotumika sasa elimu yake inatolewa katika vitabu hivi na mataifa yanayotawala wanaficha na ndio maana nchi kadhaa ndio wanaoongoza katika ulimwengu wa sayansi.

  • @JacksonMaro-y6q
    @JacksonMaro-y6q 19 дней назад +6

    Mtumishi ubarikiwe kwa neno lenye mafunuo tunabrikiwa na kuguswa pia❤😊🙌🙌🙌🙌🙏🙏

  • @David.baby1
    @David.baby1 Месяц назад +206

    Ooh Leo angalahu nime comment 180 toka nianze fatilia wasafi sijawahi kupata ata like moja😢😢😢

    • @MackdonaldAudifas
      @MackdonaldAudifas Месяц назад +1

      Asa ukishapata izo like unalienable au😢

    • @NashonMakazi
      @NashonMakazi Месяц назад

      @@MackdonaldAudifas bro fata yesu niongo huyojamaa muongo paka akubali yesu ndio nitamskia

    • @AfricanBae-nm9yp
      @AfricanBae-nm9yp Месяц назад

      😂😂😂

    • @ilovejesus666
      @ilovejesus666 Месяц назад

      ​Kumbe auna akili 😂

    • @NashonMakazi
      @NashonMakazi Месяц назад

      @@ilovejesus666 ilovejesus666 oya rada ya namba

  • @EmmanuelPetro-i8m
    @EmmanuelPetro-i8m 7 дней назад +5

    Mungu kakupa kipaji na sauti ya usimulizi isiyochosha masikioni,

  • @Alexismadimo
    @Alexismadimo Месяц назад +67

    Biblia ni primary source ya taarifa na mafundisho yote ya Mungu na dini ya kikristo
    Ambayo hayapo n wasomi wa dini wanajarbu kuwa na akili zaid lkn uwezo wa Mungu n mkubwa zaidi yao

    • @davidshinje6379
      @davidshinje6379 Месяц назад +1

      Hakika barakiwa sana Mtu wa Mungu.

    • @azormatthew7813
      @azormatthew7813 27 дней назад

      Uthibitisho?

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 27 дней назад

      @@azormatthew7813 uthibitisho wa nn

    • @gildasnyaki3812
      @gildasnyaki3812 26 дней назад

      Biblia ina vitabu vingi ambavyo vingetakiwa viwepo humo lkn vimeondolewa ikiwemo kitabu cha enoko, vyote vipo kwenye library kubwa zaidi duniani pale vatican. Chunguza mambo

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo 26 дней назад

      @@gildasnyaki3812 kipi kilitakiwa kiwepo hakipo nambie

  • @B.whaite
    @B.whaite Месяц назад +144

    From Burundi 🇧🇮 nipeni like zangu

  • @hesbonk254
    @hesbonk254 23 дня назад +44

    Finally❤❤,nipeni like from Kenya

  • @funzone5795
    @funzone5795 29 дней назад +7

    I have Being a great follower for Jamal and listened to many stories from the story book bt for today was fantastic, am even now motivated to search for the book of Enoch and read it all.

  • @AbdulMtausi-qi3en
    @AbdulMtausi-qi3en 8 дней назад +3

    Elimu kubwa sana kuliko akili ya wasikilizaji wako,wengi wameishia tu kupenda sauti yako kuliko kuelewa,ahsante kwa elimu kubwa sana ila nitahitahidi kusoma zaidi ili nielewe,ila ni kweli kabisa kitu cha kwanza kabisa kipofu siku akifanikiwa kuona basi itakuwa ni kuitupa fimbo yake iliyokuwa ikimuongoza

  • @hendrypeter6182
    @hendrypeter6182 19 дней назад +29

    Najua atujuani ila popote ulipo katika dunia hii mungu akubariki na pia akufanyie wepesi kaktika kila jambo nawapenda ❤❤❤❤❤

  • @PatrickFrenkMbogo
    @PatrickFrenkMbogo Месяц назад +58

    Heri walio mwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wao! Atatuongoza kwenye uzima wa milele

    • @TitusSarkai-hg5uk
      @TitusSarkai-hg5uk Месяц назад +1

      Amen amen ❤

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Месяц назад

      Jidanganye tu 😂😂😂😂

    • @RizikiQueen
      @RizikiQueen Месяц назад

      Jmn 😂😂​@@fasterwalker1464

    • @RizikiQueen
      @RizikiQueen Месяц назад

      Jmn 😂😂​@@fasterwalker1464

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 19 дней назад

      ​@@fasterwalker1464ukute wewe ndo unajidanganya be prepared for the second coming of Jesus be care

  • @VictorMsuya
    @VictorMsuya Месяц назад +35

    kaka nashukuru sana ombi langu umelitimiza🎉

  • @LEONARDTUMWET-jx3qf
    @LEONARDTUMWET-jx3qf 17 дней назад +6

    Nakuomba Ewe mwenyezi Mungu nipe macho ili Niweze kuyaelewa maandiko,Shallom.

  • @i.dexterity
    @i.dexterity Месяц назад +21

    Nimeisubiria hii since last year....finally 🔥🔥

  • @ayubukedimundi3221
    @ayubukedimundi3221 Месяц назад +27

    Story book ipo njema kiongozi Nafurai sana

  • @JuxvatonOmmari
    @JuxvatonOmmari Месяц назад +108

    dah lahaaa sanajamani izi story naomba muniwekehe urumakidigo jamaleo naombeni like atamoja nitashukuru...................😭😭😭

    • @georgemassebu2083
      @georgemassebu2083 Месяц назад

      Umeandika vitu gani hapa wewe ndugu? Dah aisee

    • @denzaille
      @denzaille Месяц назад

      Kachukue chenji kutoka kwa mwalimu wako wa kiswahili... tutakupa like za kutosha

    • @happykhamsini1316
      @happykhamsini1316 29 дней назад

      😅😅😅😅ameandika nn huyu

  • @thedanielpodcast1
    @thedanielpodcast1 Месяц назад +76

    Leo namimi nimewahi mapema sana, aya tunaopenda story book naombeni likes zenu namm

  • @freystar2684
    @freystar2684 Месяц назад +51

    "siku ambayo kipofu ataona chakwanza kufanya nikutupa fimbo iliyokuwa ikimuongoza kwenye upofu wake" hii ni lugha yafumbo yenye maan kubwa zaidi kuja kuwahi tokea🙌

  • @djumasheby3549
    @djumasheby3549 Месяц назад +15

    {Siku ambayo kipofu ataona basi chakwanza kabisa ataanza kutupa fimbo yake iliokua ikimuongoza } Daaah bonge la fact bro tunahitaji ufafauzi zaidi kwa hilo

    • @markmacharia7714
      @markmacharia7714 Месяц назад

      Hapo nayo ni ukweli

    • @givenmgaya8889
      @givenmgaya8889 Месяц назад +1

      Siku watu watakapojua siri za dini kwamba zilianzishwa tu na binadamu kwaajili ya kuwaongoza watu ndipo watakapoziacha izo dini na kuenenda na njia zao

    • @graxsamemmanuel3044
      @graxsamemmanuel3044 11 дней назад

      Kama wanayofundisha ni mazuri basi yafuate na kama yanayofundishwa ni mabaya basi fuata njia zako​@@givenmgaya8889

  • @StanslausWakazi
    @StanslausWakazi Месяц назад +25

    Nime.ielewa sana hyo kauli ya kipofu na ndio maana saiv watu wame amka Sanaa kuhusu mambo ya din na me nasema endapo kizazi Cha mwaka 1900 kikiishaa na kupoteaa bas hakuna mtu ambaee atA ijua dini tenaa wana iacha na kuishi kivyaoo na ndio Yale walio yasema mpga kristo yata tumiaa kwasababuu ya muamko

    • @kingrhino9472
      @kingrhino9472 17 часов назад

      Ni kweli kizazi cha 90 kikiisha Dunia itakuwa na Shida sana

  • @ulayanapinda7808
    @ulayanapinda7808 Месяц назад +66

    Daah naipenda sana sauti yake wanaoungana na mimi like comment

  • @Moses-Modekai
    @Moses-Modekai Месяц назад +53

    Nategea from Kenya 🇰🇪 NAOMBENI LIKES

  • @kennedyprime3630
    @kennedyprime3630 Месяц назад +7

    This is forbidden knowledge, Thank you,. I was afraid to go there alone. Big up Prof

  • @EdwardSamson-uf1ee
    @EdwardSamson-uf1ee Месяц назад +28

    Ngoma imeanza kwa kishindo cha clip kutoka "Jack the Giant Slayer" Twende kazi Professor

  • @StaceyNyambura-ks7wr
    @StaceyNyambura-ks7wr 15 дней назад +10

    Who is here in 2024? Don't pass without a like. We thank God for life and everything he has done for us...be blessed 🙏🙏🙏

  • @EzekiaSanga-d7o
    @EzekiaSanga-d7o Месяц назад +2

    I wish umpokee yesu awe BWANA na mwokozi WA maisha yako Jamal.. kwakuwa unaukweli wote kuhusu habari za Mungu wetu tunaemtumikia

  • @NajimaJuma
    @NajimaJuma Месяц назад +36

    Wasafi never die
    Aisee hii elimu nikubwa sana Gonga like kama waamini umekuwa msomi kupitia hapa kwa professor jamal❤❤❤🎉

  • @EmmanuelMwakalinga-o1x
    @EmmanuelMwakalinga-o1x 8 дней назад +1

    Mungu awaongezee maalifa watoa stoli

  • @mkarawizemtasher4897
    @mkarawizemtasher4897 Месяц назад +58

    Baada ya kuimaliza safairi ya enock, tuandalie na kisa cha safari ya mtume Muhammad kwenda miraaj, mbinguni

    • @Alexismadimo
      @Alexismadimo Месяц назад +2

      Yeah kweli kbsa atupe somo la mtume mohamed tunaisubr kwa hamu

    • @lucasathanas9554
      @lucasathanas9554 Месяц назад +3

      achana nae hatuhitaji

    • @mkarawizemtasher4897
      @mkarawizemtasher4897 Месяц назад +7

      @@lucasathanas9554 ni kweli mwisho wasioiamini habari hii kama wewe wakatuchukiza bure. Ishu ni kujifunza tu punguza wivu mlokole mtiifu.

    • @ce-08
      @ce-08 Месяц назад

      ​@@mkarawizemtasher4897 shida akisimulia story zinazohusu uislam wengi humpinga na kumtishia Hadi kwenye Simu pindi akizungumzia kitu ambacho wengine hakiwafraish alishawahi kusema mbona Kuna story moja ya Osama alizungumziaga

    • @Davio123
      @Davio123 Месяц назад +8

      Mohammed yupo kaburin,mbinguni kaenda Lin c ndo mnaenda kutambika kule maka😂😂

  • @delacruzito360
    @delacruzito360 Месяц назад +7

    Mwenyezi Mungu aendelee kukujalia uhai ili na sisi tuweze kupata elimu ya kujua mafundisho ya yake

  • @BrianPrudenceOngera
    @BrianPrudenceOngera Месяц назад +6

    This story book it's real facts God bless you 🙏🙏 Jamal April mustapha professor. Amen

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 29 дней назад +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @mawazoismailli6431
      @mawazoismailli6431 27 дней назад

      Kumbuka usipofanya dhambi maana yake yesu alikufa bila sababu

  • @fanikiwamtanzania6822
    @fanikiwamtanzania6822 Месяц назад +10

    Hakika siri za haya maisha zimo katika vitabu. Tupende kusoma vitabu.

    • @kingrhino9472
      @kingrhino9472 17 часов назад

      Ni sahihi watu tusome vitabu tuujue ukweli sio kusimuliwa na watu au viongozi wa dini

  • @OmolloCyprian
    @OmolloCyprian Месяц назад +46

    Nimetimia 😂 nipeni like pia Mimi jameni❤ naipenda sana storybook.
    Kutoka kenya

    • @michaelhaule-fb2vs
      @michaelhaule-fb2vs Месяц назад

      zinakusaidia nini izo like mjinga wewe😅

    • @mustafamasudi8093
      @mustafamasudi8093 Месяц назад

      Kenya nyie wajinga sana hizo like zinakusaidia nn Kama c ujinga tu

    • @OmolloCyprian
      @OmolloCyprian Месяц назад

      @@mustafamasudi8093 yakuuma Nini wewe ngeuzi kula la kwako Wacha mambo ya wivu. Masikini wewe

    • @ZablonLuttah
      @ZablonLuttah Месяц назад

      Kenya sisi sio wajinga kama nchi zingine, juzi kule Olympic Kuna majirani zetu walitoka huko bila medali yotote, kazi yao ni kusikiliza tu story book

    • @markmacharia7714
      @markmacharia7714 Месяц назад

      Matusi haikufaidi kitu sisi wote ni wapenzi wa story book.yani storybook family ​@@mustafamasudi8093

  • @EfraziaNtinda-fd4rg
    @EfraziaNtinda-fd4rg 28 дней назад +3

    Ukuu wa MUNGU n wa milele jamn, Ee bwana yesu naomb unipe Ujasiri kama mtumish wako HENOKO, AMEN,,🙏🙏

  • @mirzaismail5579
    @mirzaismail5579 11 дней назад +1

    THE GENIUS MAN IN THE HIDEN PLACE.. JAMAL I SEE YOU FURTHER

  • @user-ps5co3pc3f
    @user-ps5co3pc3f Месяц назад +24

    Uchambuzi yakinifu kabisa 👍

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx Месяц назад +21

    Kusema ukweli mimi siitaji kuipinga dini yoyote wala mtu yoyote ila kwa uelewa Wangu,kifupi tu kwenda kwake mbinguni lazima kunaushuda Mbali Mbali aliyo shudia uyo enoki inamanisha yangetakiwa yawepo mpaka leo hii ili tupate kujuwa na kujifunza na kuemika maana mtu awezi kwenda mbinguni afu kusiwe na lolote ata linalohusu kule mbinguni liwe ni mbaya au nzuli kikubwa alikwenda na kujuwa yaliyopo uko kifupi kitabu chake au ushuuda wake aliyo uwacha apa duniani kuusu kwenda kwake tulitakiwa leo hiia kuwepo Katika dini zote maana uyu enoki anakitu ambacho tungetakiwa tukijuwe ila tu watu wa shetani wameficha ili tusielimike na kujifunza ili ujuwe chema na kibaya lazima ujuwe vyote ndipo sisi tungejuwa kitabu chake nibola au siyo bola sasa tutajuaje pasipo ivyo jamani sijapenda kwakweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @Samsumah
      @Samsumah Месяц назад

      Upo sahihi ndugu mim ni muislam huwa napenda kuangaza nipate kujua dini yangu na dunia yangu na hata wanacho amini wasio wa dini yangu , sio kwa ubaya nimekuwa nikifatilia mafunzo ya biblia kwa uchache nimegundua kuna gap nyingi na hakuna details zote ni kama wanafichaficha baadhi ya vitu watu wasijue wakati tunahaki zote za kumjua mungu kwa upana na vile alivo taka yeye tuvijue , kama ikiwa mwanadamu amejua kitu kumuhusu mungu basi sio siri tena ya mungu ametupa funguo ya elimu juu ya hicho kitu ,

  • @Jacklinejohn7
    @Jacklinejohn7 Месяц назад +32

    Napenda sana the story book ❤🎉🎉🎉 always ili ni lale lazima nisikilize mpaka na lala❤

    • @princemushi9593
      @princemushi9593 Месяц назад +1

      Jambo zuri ❤

    • @AbrahamIsingo
      @AbrahamIsingo Месяц назад +1

      Kkkk

    • @HasanatyHasanatyyusuf
      @HasanatyHasanatyyusuf Месяц назад +2

      Naipenda Sana story book na sauti ya Jamal inanikoshaga acha2 🙂🙂

    • @vicentedgarchipasula2393
      @vicentedgarchipasula2393 Месяц назад +1

      Mim nmekua mlevi wa story book cwezi kulala bila kusikiliza huwa narudia had za nyuma

    • @Jacklinejohn7
      @Jacklinejohn7 Месяц назад

      @@vicentedgarchipasula2393 inatokana na hadisi tulizo kuwa tuna hadisiwa utotoni mpaka tunalala me niko ivo mpaka leo

  • @EstraEmily
    @EstraEmily 8 дней назад +1

    Amina ubarikiwe sana

  • @THEATER008
    @THEATER008 Месяц назад +21

    Hey guys... I like your narration Jamal... Love from kenya 🇰🇪

  • @grayvanny8446
    @grayvanny8446 Месяц назад +7

    Ukiacha jack the giant nisaidien hyo muv nyingne za kwenye vipande alivyoweka humo 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @geoffreychurchkayora1230
    @geoffreychurchkayora1230 Месяц назад +5

    Umeelezea kwa umakini sana

  • @CharlesMwanyika
    @CharlesMwanyika День назад

    Kiukwel kaka unatujuza mengi sana kwa ss tunaopenda history ya kujua mambo mengi .god bless you

  • @DasilverDNG
    @DasilverDNG 20 дней назад +5

    Utupe story ya Enki na Enlil (yehova na yahwe)

  • @SafariNkana
    @SafariNkana 18 дней назад +2

    Unatishaaa sanaaaaa🎉🎉🎉🎉

  • @robjigger9791
    @robjigger9791 21 день назад +5

    Professor jamal salute kwako

  • @sophsoph4740
    @sophsoph4740 Месяц назад +18

    Mr jamal ndo mkali wa hiz kaz mashallah Mashallah Mashallah Mashallah mungu hazidi kukupigania kaka unatujuza mengi sana kwakwer❤🎉

  • @oliviernibogorani-o2192
    @oliviernibogorani-o2192 Месяц назад +19

    Nimesikiliza hadi nikasinzia ,, hebu gongeni like niamke

  • @MichuRahmaTinah-hf1tf
    @MichuRahmaTinah-hf1tf 13 дней назад +2

    Naependa😊

  • @ASALABOY
    @ASALABOY Месяц назад +16

    Siku zote nakosaga kufikisha Like 100 jamani sijui nimekosa nini kwenye THE STORY BOOK

  • @eliudminga6085
    @eliudminga6085 3 дня назад +1

    Habar vijana wenzangu
    Naomba kutumia nafasi hii kuwavuta kwenye fursa kama wewe ni mhitimu wa elimu ya ufund veta kwa fani ya fund bomba, umeme na umeme wa magari tafadhar chukua Mawasiliano Yangu hapo chini na kama wewe pia unamoyo wa kusaidia wengine gonga like zako hapa

  • @ntezealoyce7043
    @ntezealoyce7043 Месяц назад +14

    Pamoja sana kutujuza

  • @WycliffeAlango
    @WycliffeAlango 27 дней назад +2

    Asante Sana Jamal mwenye maskiyo askiye🙏

  • @ComboLee007
    @ComboLee007 Месяц назад +7

    Daaa ebu tunaomkubali jamal wote gongeni like hapA

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 29 дней назад +2

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

    • @mawazoismailli6431
      @mawazoismailli6431 27 дней назад

      Hapa ni comment kuhusu story book sio kuhubiri 😄😄😄

  • @Eagle_Sound
    @Eagle_Sound Месяц назад +18

    ❤❤ ndo mana hili pangwa the story book 📕 jmn ina mahana yake🎉

    • @mzalendomzalendo2567
      @mzalendomzalendo2567 Месяц назад +3

      Mahana ndio nini?

    • @Eagle_Sound
      @Eagle_Sound Месяц назад

      @@mzalendomzalendo2567 sijuwi mimi sio mswahili kijn

    • @gregorybakuza5796
      @gregorybakuza5796 Месяц назад

      Acha upumbavu, huo muda unaotumia kushinda mtandaoni si ungeutumia kujifunza kuandika!? Mahana ndo nini!? Uandishi wako unaonesha namna ulivyo mjinga kichwani.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Месяц назад

      @@Eagle_Sound 😂😂😂

    • @bright.d_090
      @bright.d_090 22 дня назад

      🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @jacksonmsongor9822
    @jacksonmsongor9822 Месяц назад +2

    This is wht we need u ar great

  • @ibrahmuya3528
    @ibrahmuya3528 Месяц назад +5

    Jamali hapo nimekuelewa inawezekana kitabu cha enock kiliondolewa ili tusijue ukweli wa mungu wanataka kutuaminisha ya kwao ili kuendelea kututawala awakutaka tumjue mungu wa kweli

  • @cosmaskioko3646
    @cosmaskioko3646 Месяц назад +3

    This man is one of the biggest investigator ❤

  • @GeorgeSonsi-q7k
    @GeorgeSonsi-q7k Месяц назад +6

    Kama mna mkubari uyu jamaa like app👍👍👉👉

  • @gayabingporus
    @gayabingporus 24 дня назад +1

    Ewee jamaal kulingana na elimu yanguu na sayansii ya uchunguzi wangu tofauti tofauti dunia ni duara wala sio katika umbo la mpira

  • @felistianlaurian391
    @felistianlaurian391 Месяц назад +27

    Sikumoja Njoo na Story ya Yohana Alie andika kitabu cha Ufunuo.

    • @AslamMussa
      @AslamMussa Месяц назад +2

      We kama nan ?😮

    • @gabrielmchau8764
      @gabrielmchau8764 Месяц назад +3

      ISINGEFAA ENOKO KUNYAKULIWA AKIWA MWEMA KABISA, MAANA HAPO ANGEHESABIWA KWAMBA AMELINGANA NA MUNGU
      ILA
      ALINYAKULIWA ENZI NGUVU ZAKE ZIKIWA ZIMESHINDWA ILI IWE DHAHIRI KWAMBA MUNGU NDIE ALIEMUWEZESHA NA NDIE ALIEMUOKOA
      PIA
      ZAMA ZA HUYU MTU ZILIKUA NI ENZI AMBAYO NEEMA HAIKO ULIMWENGUNI ILA ADAMU ALIKUA AKIPUNGUA NA KUELEKEA KUTAMATIKA KAMA MWENYE HAKI
      SO
      WAMPENDAO MUNGU WALIKUA KATIKA TAABU SANA ULIMWENGUNI

    • @GeofreyMtensacollection
      @GeofreyMtensacollection Месяц назад +6

      Naapa ...iyo angle ya Yohana hawezi igusa kato, akijaribu tu watu wooote watakaoitizama wanakuwa Wakristo 100%

    • @zaramuneer3257
      @zaramuneer3257 Месяц назад

      @@GeofreyMtensacollectionkwanini bro

    • @VictorMwasile0515
      @VictorMwasile0515 Месяц назад

      😅😅awezii coz it revelation for God

  • @MohamedHalake-cy8bh
    @MohamedHalake-cy8bh 20 дней назад +1

    Mola akulinde proffersor

  • @sammyaron3818
    @sammyaron3818 Месяц назад +16

    Ukikisoma vizuri hiki kitabu utapata majibu ya maswali mengi sana ambayo majibu yake yanafichwa fichwa

    • @Fred-Ma
      @Fred-Ma Месяц назад

      Mfano?

    • @user-pb3ub3gl4q
      @user-pb3ub3gl4q Месяц назад

      Ninaweza kukipata wapi hicho kitabu?

    • @agneskighenda3795
      @agneskighenda3795 Месяц назад

      Google - nimeona kipo cha kusikiliza “audible” pia kuna free online copies.

    • @sarafinaluvanda6236
      @sarafinaluvanda6236 Месяц назад

      ​@@user-pb3ub3gl4qkipo play store shida ni lugha ndugu akina sis hatuelewi yan

    • @mawazoismailli6431
      @mawazoismailli6431 27 дней назад

      Kitabu gan boss wakati umeambiwa kimefichwa we umekisoma wap boss😄😄😄

  • @RamadanPaul
    @RamadanPaul Месяц назад +2

    Kaka njoo na historia ya mtanzania mwanamalundi, muafrika alietembea juu ya maji kama yesu.
    Mtanzania aliepiga fimbo baharini ikagawanyika na kupatikana njia kama nabii Musa.❤❤❤❤

    • @macdemaxsamuel3987
      @macdemaxsamuel3987 Месяц назад

      Bahari gani wewe msukuma kuna bahari huko kwenu acha ukichaa😂😂😂😂 hizo ni ndoto

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Месяц назад +2

      @macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei mtumwa wewe😂😂😂. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.

    • @RamadanPaul
      @RamadanPaul Месяц назад

      @macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei 😂😂 mtumwa wa ngozi nyeusi wewe, ila sababu umesikia mwana malundi ndo maana umeghazabika😁😁. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.

    • @Nurjan847
      @Nurjan847 28 дней назад

      @@RamadanPaulkweli kabisa

  • @Celinemathayo-i2o
    @Celinemathayo-i2o Месяц назад +10

    I v'e been weiting for this story nina kitabu chake but hata nikisona sikielewi

  • @Mr.Queentz
    @Mr.Queentz 28 дней назад +2

    Hivi brother una mke kwakweli sauti yako inapasua mawimbi ya moyo wangu😢😢

  • @josephvenus3259
    @josephvenus3259 Месяц назад +8

    Huku ni raha Sana 🔥🔥🔥

  • @MedsonRugaimukamu
    @MedsonRugaimukamu 29 дней назад +1

    Kwadalili hzi Kuna story Kali zinakuja ❤

  • @EliyaKwangaba
    @EliyaKwangaba Месяц назад +5

    story nzuri sana
    Jamal teacher

  • @mckobatz5861
    @mckobatz5861 Месяц назад +1

    Mafundi wa kuandika wamenogeshwa na fundi wa kusimulia Jamal!! Such a beautiful story

  • @lucycamelousmtui6851
    @lucycamelousmtui6851 Месяц назад +3

    naskiliza nikiwa USA ,aisee unatuvutia sana mashallah

  • @kakamkuu-n6c
    @kakamkuu-n6c 23 дня назад +2

    Habari kaka ninaswali hapa

  • @petronsemwa9772
    @petronsemwa9772 Месяц назад +26

    Jamal nafkiri mbali na hadithi uwe unatoa na elimu kwa baadhi ya fans wako kuwa wakati wanasikiliza simulizi zako waache mihemko ya kidini kwsb sio kila kitu kinafanana na vile wanavyoamini wao ndio maana kukawepo na WAKRISTO,WAISLAM na WAPAGANI dini ni imani ya mtu na chaguo la mtu

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo Месяц назад +1

      Hakika

    • @ibrahmuya3528
      @ibrahmuya3528 Месяц назад

      Ni kweli kaka ndio mana mwisho akamalizia na fumbo la kipofu na fimbo yake sasa wao wanatuletea habari za yesu wao na Muhammad wao wakati storry haiwahusu wao story inamuhusu enock

  • @KassimKhamisi
    @KassimKhamisi 28 дней назад +1

    Respect broo tunamxhukulu Kwa kutufahamixha Kwa tuxiyoyajua broo. kalibu BAGAMOYO 🎉🎉

  • @OmanHubi-q5x
    @OmanHubi-q5x Месяц назад +21

    Wa kwnza leo like zenu wana stry book 😂❤

  • @Takithegrëãt-u8l
    @Takithegrëãt-u8l Месяц назад +2

    Jml 👏 nakuk bali kinoooma sn 💯
    Allh akupe maish marefu yalio kuw bora kwako ........🇧🇮

  • @Khalfan-wp8wm
    @Khalfan-wp8wm Месяц назад +4

    Professor jamal april tunaomba hizi stry book iwekwe option ya kudownload wengine tunataka kusikiliza kwenye bufaaa

  • @AlexMbangwa
    @AlexMbangwa 25 дней назад +1

    Congrats Jamal

  • @adamkamaze9888
    @adamkamaze9888 Месяц назад +11

    WEWE JAMAL MUOGOPE ALLAH Kwa hizi stori zako za ukafiri unazosimulia .

  • @KingXand
    @KingXand 15 дней назад +2

    Marvelous bro ingawa inaleta maswali mengi but Mungu yu pamoja nasi😅😅

  • @Babawamapaka
    @Babawamapaka Месяц назад +4

    Yes teach us bro

  • @princestoto140
    @princestoto140 4 дня назад

    Ata kama sitapata I kitabu niisom3 asanti kwa I vidio unalikiwe

  • @naomirahmah5507
    @naomirahmah5507 Месяц назад +5

    leo sija chelewa ❤

  • @rasoomwatela4281
    @rasoomwatela4281 Месяц назад +1

    Nilikua nimesubiria hii sana kutoka kwa Jamali April mwenyewe ❤❤❤

  • @ACLESSJABRINE
    @ACLESSJABRINE Месяц назад +6

    Ukijiuliza Maswali mengi kuhusu hii simulizi unaweza kukufuru niishie kwa kusema HENOCK ALITWALIWA NA MWENYEZI MUNGU

    • @ashaabdalla924
      @ashaabdalla924 Месяц назад

      Kufuru tena kubwa hasa hana lolote atoe story nyengine za M/Mungu hazijui

    • @mawazoismailli6431
      @mawazoismailli6431 27 дней назад

      😄😄😄😄🙌🙌

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 19 дней назад

      Povu lako ni la kufulia kabisa​@@ashaabdalla924

  • @molionlinetv
    @molionlinetv Месяц назад +20

    Kwa habari mbali mbali pitieni na hapa MOLI TV

  • @billyme9891
    @billyme9891 28 дней назад +2

    Alio weka izo thumb nail nauhakika anajua movie😅😅 hes good so good🎉

  • @ErastoFabiano
    @ErastoFabiano Месяц назад +7

    Kweli dunia Ina mengi tusio yajua

  • @matumainiaziza-qf8yl
    @matumainiaziza-qf8yl 13 дней назад

    Tutabakiya na yesu. Ndiyo njiya ya kweli na uzima juu ya mwanadamu na atatufikisha mbinguni.

  • @ARONPaul-bz3ws
    @ARONPaul-bz3ws Месяц назад +6

    Hakikaaa. Munguu ni mwemaaa.mimi.naaamini ni.munguuu tuuuu alie juuu ya vyoteèe ashukuriwe yeye

  • @Deadskytz
    @Deadskytz Месяц назад +1

    Mmh!!! Matrix wanajua kutuendesha , anyway za kuambiwa ongeza na zako Asante Jamal

  • @DavidHabamungu-j4b
    @DavidHabamungu-j4b Месяц назад +3

    Napenda sana unapo ileza mambo ya biblia ❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @JustineOweny
    @JustineOweny Месяц назад

    I like the story book. Jamal April Mungu akubariki kwa mafundisho yako 🎉

  • @dullahmihuri
    @dullahmihuri Месяц назад +3

    Astaghfirullah... Malaika hawamuasi Mungu na wanafanya walichomrishwa tu. Hawali, hawanywi hawasex. Subhanallah. Leo ndio nimeona kumbe kuna imani ni za kipuuzi sana dah.

    • @HassanMugire
      @HassanMugire Месяц назад +2

      Ww hiyo yako umejuaje ni yakweli wa Africa mnaakili za kijinga sana umeanza na lugha ya kiaarabu kama ndezi, umekaririshwa huko ndezi ww

    • @fridamarkalios1679
      @fridamarkalios1679 Месяц назад

      🤣wafuasi wa Muddy mna nn lkn

  • @carinahishimwe9581
    @carinahishimwe9581 9 дней назад

    Love from burundi 🇧🇮

  • @jimmytztv3583
    @jimmytztv3583 Месяц назад +6

    ❤❤jamal