Wewe kijana nimekuombea baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu maana haunaubaguzi wowote kuhusu dini wewe nimtu wa Mungu kabisa.Mungu azidi kukulinda nakukuongezea ufahamu zaidi from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮and 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Yaani sjui ni zambi gani kubwa iliyotuondolea hofu ya MUNGU kwetu wanadamu na kumfanya MUNGU awe mbali na mwanadamu. EEEEH MUNGU me nimwe zambi nyingi ila unikumbuke me na kuniweka kwenye himaya yako kabla ya umauti wangu maana naamini katika wewe na wewe ni jana ,leo, na hata milele 😭😭😭🤲🙏
Kitabu cha Enoch, kilitolewa miongoni mwa vitabu vya biblia kwa sababu kinazungumzia viumbe vinavyoishi sayari zingine waitwao Annunaki na ndio waliomchukua kwenda kumfunza teknolojia na sayansi yote unayoiona katika dunia hii, Kanisa la Roman waliokua watawala kipindi hicho hawakutaka elimu hiyo itoke kwani itashindwa kukita utawala wake wa kuitawala dunia, na ndio maan kwenye biblia ya Wethiopia baadhi ya kurasa ya kitabu hicho bado kipo, Waromani ili kupotosha taarifa hizo waliamua kuita hivyo viumbe malaika ila uwepo wa viumbe nje ya dunia waishio safari zingine zipo na ndio huitwa Aliens. Na wakaamua vitavu vipi viwepo na vipi visiwepo.Teknolojia inayotumika sasa elimu yake inatolewa katika vitabu hivi na mataifa yanayotawala wanaficha na ndio maana nchi kadhaa ndio wanaoongoza katika ulimwengu wa sayansi.
Biblia ni primary source ya taarifa na mafundisho yote ya Mungu na dini ya kikristo Ambayo hayapo n wasomi wa dini wanajarbu kuwa na akili zaid lkn uwezo wa Mungu n mkubwa zaidi yao
Biblia ina vitabu vingi ambavyo vingetakiwa viwepo humo lkn vimeondolewa ikiwemo kitabu cha enoko, vyote vipo kwenye library kubwa zaidi duniani pale vatican. Chunguza mambo
I have Being a great follower for Jamal and listened to many stories from the story book bt for today was fantastic, am even now motivated to search for the book of Enoch and read it all.
Elimu kubwa sana kuliko akili ya wasikilizaji wako,wengi wameishia tu kupenda sauti yako kuliko kuelewa,ahsante kwa elimu kubwa sana ila nitahitahidi kusoma zaidi ili nielewe,ila ni kweli kabisa kitu cha kwanza kabisa kipofu siku akifanikiwa kuona basi itakuwa ni kuitupa fimbo yake iliyokuwa ikimuongoza
"siku ambayo kipofu ataona chakwanza kufanya nikutupa fimbo iliyokuwa ikimuongoza kwenye upofu wake" hii ni lugha yafumbo yenye maan kubwa zaidi kuja kuwahi tokea🙌
{Siku ambayo kipofu ataona basi chakwanza kabisa ataanza kutupa fimbo yake iliokua ikimuongoza } Daaah bonge la fact bro tunahitaji ufafauzi zaidi kwa hilo
Siku watu watakapojua siri za dini kwamba zilianzishwa tu na binadamu kwaajili ya kuwaongoza watu ndipo watakapoziacha izo dini na kuenenda na njia zao
Nime.ielewa sana hyo kauli ya kipofu na ndio maana saiv watu wame amka Sanaa kuhusu mambo ya din na me nasema endapo kizazi Cha mwaka 1900 kikiishaa na kupoteaa bas hakuna mtu ambaee atA ijua dini tenaa wana iacha na kuishi kivyaoo na ndio Yale walio yasema mpga kristo yata tumiaa kwasababuu ya muamko
@@mkarawizemtasher4897 shida akisimulia story zinazohusu uislam wengi humpinga na kumtishia Hadi kwenye Simu pindi akizungumzia kitu ambacho wengine hakiwafraish alishawahi kusema mbona Kuna story moja ya Osama alizungumziaga
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kusema ukweli mimi siitaji kuipinga dini yoyote wala mtu yoyote ila kwa uelewa Wangu,kifupi tu kwenda kwake mbinguni lazima kunaushuda Mbali Mbali aliyo shudia uyo enoki inamanisha yangetakiwa yawepo mpaka leo hii ili tupate kujuwa na kujifunza na kuemika maana mtu awezi kwenda mbinguni afu kusiwe na lolote ata linalohusu kule mbinguni liwe ni mbaya au nzuli kikubwa alikwenda na kujuwa yaliyopo uko kifupi kitabu chake au ushuuda wake aliyo uwacha apa duniani kuusu kwenda kwake tulitakiwa leo hiia kuwepo Katika dini zote maana uyu enoki anakitu ambacho tungetakiwa tukijuwe ila tu watu wa shetani wameficha ili tusielimike na kujifunza ili ujuwe chema na kibaya lazima ujuwe vyote ndipo sisi tungejuwa kitabu chake nibola au siyo bola sasa tutajuaje pasipo ivyo jamani sijapenda kwakweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Upo sahihi ndugu mim ni muislam huwa napenda kuangaza nipate kujua dini yangu na dunia yangu na hata wanacho amini wasio wa dini yangu , sio kwa ubaya nimekuwa nikifatilia mafunzo ya biblia kwa uchache nimegundua kuna gap nyingi na hakuna details zote ni kama wanafichaficha baadhi ya vitu watu wasijue wakati tunahaki zote za kumjua mungu kwa upana na vile alivo taka yeye tuvijue , kama ikiwa mwanadamu amejua kitu kumuhusu mungu basi sio siri tena ya mungu ametupa funguo ya elimu juu ya hicho kitu ,
Habar vijana wenzangu Naomba kutumia nafasi hii kuwavuta kwenye fursa kama wewe ni mhitimu wa elimu ya ufund veta kwa fani ya fund bomba, umeme na umeme wa magari tafadhar chukua Mawasiliano Yangu hapo chini na kama wewe pia unamoyo wa kusaidia wengine gonga like zako hapa
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Jamali hapo nimekuelewa inawezekana kitabu cha enock kiliondolewa ili tusijue ukweli wa mungu wanataka kutuaminisha ya kwao ili kuendelea kututawala awakutaka tumjue mungu wa kweli
ISINGEFAA ENOKO KUNYAKULIWA AKIWA MWEMA KABISA, MAANA HAPO ANGEHESABIWA KWAMBA AMELINGANA NA MUNGU ILA ALINYAKULIWA ENZI NGUVU ZAKE ZIKIWA ZIMESHINDWA ILI IWE DHAHIRI KWAMBA MUNGU NDIE ALIEMUWEZESHA NA NDIE ALIEMUOKOA PIA ZAMA ZA HUYU MTU ZILIKUA NI ENZI AMBAYO NEEMA HAIKO ULIMWENGUNI ILA ADAMU ALIKUA AKIPUNGUA NA KUELEKEA KUTAMATIKA KAMA MWENYE HAKI SO WAMPENDAO MUNGU WALIKUA KATIKA TAABU SANA ULIMWENGUNI
Kaka njoo na historia ya mtanzania mwanamalundi, muafrika alietembea juu ya maji kama yesu. Mtanzania aliepiga fimbo baharini ikagawanyika na kupatikana njia kama nabii Musa.❤❤❤❤
@macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei mtumwa wewe😂😂😂. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.
@macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei 😂😂 mtumwa wa ngozi nyeusi wewe, ila sababu umesikia mwana malundi ndo maana umeghazabika😁😁. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.
Jamal nafkiri mbali na hadithi uwe unatoa na elimu kwa baadhi ya fans wako kuwa wakati wanasikiliza simulizi zako waache mihemko ya kidini kwsb sio kila kitu kinafanana na vile wanavyoamini wao ndio maana kukawepo na WAKRISTO,WAISLAM na WAPAGANI dini ni imani ya mtu na chaguo la mtu
Ni kweli kaka ndio mana mwisho akamalizia na fumbo la kipofu na fimbo yake sasa wao wanatuletea habari za yesu wao na Muhammad wao wakati storry haiwahusu wao story inamuhusu enock
Astaghfirullah... Malaika hawamuasi Mungu na wanafanya walichomrishwa tu. Hawali, hawanywi hawasex. Subhanallah. Leo ndio nimeona kumbe kuna imani ni za kipuuzi sana dah.
Wewe kijana nimekuombea baraka kutoka kwa mwenyezi Mungu maana haunaubaguzi wowote kuhusu dini wewe nimtu wa Mungu kabisa.Mungu azidi kukulinda nakukuongezea ufahamu zaidi from 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮and 🇺🇸🇺🇸🇺🇸
Safi sana
Yaani sjui ni zambi gani kubwa iliyotuondolea hofu ya MUNGU kwetu wanadamu na kumfanya MUNGU awe mbali na mwanadamu. EEEEH MUNGU me nimwe zambi nyingi ila unikumbuke me na kuniweka kwenye himaya yako kabla ya umauti wangu maana naamini katika wewe na wewe ni jana ,leo, na hata milele 😭😭😭🤲🙏
Kitabu cha Enoch, kilitolewa miongoni mwa vitabu vya biblia kwa sababu kinazungumzia viumbe vinavyoishi sayari zingine waitwao Annunaki na ndio waliomchukua kwenda kumfunza teknolojia na sayansi yote unayoiona katika dunia hii, Kanisa la Roman waliokua watawala kipindi hicho hawakutaka elimu hiyo itoke kwani itashindwa kukita utawala wake wa kuitawala dunia, na ndio maan kwenye biblia ya Wethiopia baadhi ya kurasa ya kitabu hicho bado kipo, Waromani ili kupotosha taarifa hizo waliamua kuita hivyo viumbe malaika ila uwepo wa viumbe nje ya dunia waishio safari zingine zipo na ndio huitwa Aliens. Na wakaamua vitavu vipi viwepo na vipi visiwepo.Teknolojia inayotumika sasa elimu yake inatolewa katika vitabu hivi na mataifa yanayotawala wanaficha na ndio maana nchi kadhaa ndio wanaoongoza katika ulimwengu wa sayansi.
ukitaka kukipata hiki kitabu unakipataje mfano......
Umemaliza kiongozi
Bright man👏👏👏
@@HamidSimu kamaliza bado we 😅 elezaaaaa kwa upanaaaaaaaaaaaaa
👏👏
Mtumishi ubarikiwe kwa neno lenye mafunuo tunabrikiwa na kuguswa pia❤😊🙌🙌🙌🙌🙏🙏
Ooh Leo angalahu nime comment 180 toka nianze fatilia wasafi sijawahi kupata ata like moja😢😢😢
Asa ukishapata izo like unalienable au😢
@@MackdonaldAudifas bro fata yesu niongo huyojamaa muongo paka akubali yesu ndio nitamskia
😂😂😂
Kumbe auna akili 😂
@@ilovejesus666 ilovejesus666 oya rada ya namba
Mungu kakupa kipaji na sauti ya usimulizi isiyochosha masikioni,
Biblia ni primary source ya taarifa na mafundisho yote ya Mungu na dini ya kikristo
Ambayo hayapo n wasomi wa dini wanajarbu kuwa na akili zaid lkn uwezo wa Mungu n mkubwa zaidi yao
Hakika barakiwa sana Mtu wa Mungu.
Uthibitisho?
@@azormatthew7813 uthibitisho wa nn
Biblia ina vitabu vingi ambavyo vingetakiwa viwepo humo lkn vimeondolewa ikiwemo kitabu cha enoko, vyote vipo kwenye library kubwa zaidi duniani pale vatican. Chunguza mambo
@@gildasnyaki3812 kipi kilitakiwa kiwepo hakipo nambie
From Burundi 🇧🇮 nipeni like zangu
mambo vipo
Burundi sehemu gani ndugu
@@silverworld4571Nko mtaa wa nkulunzinza
Ngozi
How are you doing
Finally❤❤,nipeni like from Kenya
I have Being a great follower for Jamal and listened to many stories from the story book bt for today was fantastic, am even now motivated to search for the book of Enoch and read it all.
Elimu kubwa sana kuliko akili ya wasikilizaji wako,wengi wameishia tu kupenda sauti yako kuliko kuelewa,ahsante kwa elimu kubwa sana ila nitahitahidi kusoma zaidi ili nielewe,ila ni kweli kabisa kitu cha kwanza kabisa kipofu siku akifanikiwa kuona basi itakuwa ni kuitupa fimbo yake iliyokuwa ikimuongoza
Najua atujuani ila popote ulipo katika dunia hii mungu akubariki na pia akufanyie wepesi kaktika kila jambo nawapenda ❤❤❤❤❤
Amen
Amina
Amina, na iwe kwako pia
Heri walio mwamini Yesu kuwa Bwana na mwokozi wao! Atatuongoza kwenye uzima wa milele
Amen amen ❤
Jidanganye tu 😂😂😂😂
Jmn 😂😂@@fasterwalker1464
Jmn 😂😂@@fasterwalker1464
@@fasterwalker1464ukute wewe ndo unajidanganya be prepared for the second coming of Jesus be care
kaka nashukuru sana ombi langu umelitimiza🎉
Nakuomba Ewe mwenyezi Mungu nipe macho ili Niweze kuyaelewa maandiko,Shallom.
Kilicho nifikisha hapa sikijui inshaala
Nimeisubiria hii since last year....finally 🔥🔥
Story book ipo njema kiongozi Nafurai sana
dah lahaaa sanajamani izi story naomba muniwekehe urumakidigo jamaleo naombeni like atamoja nitashukuru...................😭😭😭
Umeandika vitu gani hapa wewe ndugu? Dah aisee
Kachukue chenji kutoka kwa mwalimu wako wa kiswahili... tutakupa like za kutosha
😅😅😅😅ameandika nn huyu
Leo namimi nimewahi mapema sana, aya tunaopenda story book naombeni likes zenu namm
"siku ambayo kipofu ataona chakwanza kufanya nikutupa fimbo iliyokuwa ikimuongoza kwenye upofu wake" hii ni lugha yafumbo yenye maan kubwa zaidi kuja kuwahi tokea🙌
Fumbo kubwa
U barikiwa
Hebu tuambie basi maana yake
Yes
{Siku ambayo kipofu ataona basi chakwanza kabisa ataanza kutupa fimbo yake iliokua ikimuongoza } Daaah bonge la fact bro tunahitaji ufafauzi zaidi kwa hilo
Hapo nayo ni ukweli
Siku watu watakapojua siri za dini kwamba zilianzishwa tu na binadamu kwaajili ya kuwaongoza watu ndipo watakapoziacha izo dini na kuenenda na njia zao
Kama wanayofundisha ni mazuri basi yafuate na kama yanayofundishwa ni mabaya basi fuata njia zako@@givenmgaya8889
Nime.ielewa sana hyo kauli ya kipofu na ndio maana saiv watu wame amka Sanaa kuhusu mambo ya din na me nasema endapo kizazi Cha mwaka 1900 kikiishaa na kupoteaa bas hakuna mtu ambaee atA ijua dini tenaa wana iacha na kuishi kivyaoo na ndio Yale walio yasema mpga kristo yata tumiaa kwasababuu ya muamko
Ni kweli kizazi cha 90 kikiisha Dunia itakuwa na Shida sana
Daah naipenda sana sauti yake wanaoungana na mimi like comment
Kabisa
Soma vizr shetani alikua nani? Shida mnakalili dini.
Nategea from Kenya 🇰🇪 NAOMBENI LIKES
Kenya tupo site.
Enda uandamane
@@mawazoismailli6431 audio🏹⚔️⚒️🗡️🛠️🤝
This is forbidden knowledge, Thank you,. I was afraid to go there alone. Big up Prof
Ngoma imeanza kwa kishindo cha clip kutoka "Jack the Giant Slayer" Twende kazi Professor
😂😂😂
Who is here in 2024? Don't pass without a like. We thank God for life and everything he has done for us...be blessed 🙏🙏🙏
I wish umpokee yesu awe BWANA na mwokozi WA maisha yako Jamal.. kwakuwa unaukweli wote kuhusu habari za Mungu wetu tunaemtumikia
Wasafi never die
Aisee hii elimu nikubwa sana Gonga like kama waamini umekuwa msomi kupitia hapa kwa professor jamal❤❤❤🎉
Mungu awaongezee maalifa watoa stoli
Baada ya kuimaliza safairi ya enock, tuandalie na kisa cha safari ya mtume Muhammad kwenda miraaj, mbinguni
Yeah kweli kbsa atupe somo la mtume mohamed tunaisubr kwa hamu
achana nae hatuhitaji
@@lucasathanas9554 ni kweli mwisho wasioiamini habari hii kama wewe wakatuchukiza bure. Ishu ni kujifunza tu punguza wivu mlokole mtiifu.
@@mkarawizemtasher4897 shida akisimulia story zinazohusu uislam wengi humpinga na kumtishia Hadi kwenye Simu pindi akizungumzia kitu ambacho wengine hakiwafraish alishawahi kusema mbona Kuna story moja ya Osama alizungumziaga
Mohammed yupo kaburin,mbinguni kaenda Lin c ndo mnaenda kutambika kule maka😂😂
Mwenyezi Mungu aendelee kukujalia uhai ili na sisi tuweze kupata elimu ya kujua mafundisho ya yake
This story book it's real facts God bless you 🙏🙏 Jamal April mustapha professor. Amen
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni HEBU mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Kumbuka usipofanya dhambi maana yake yesu alikufa bila sababu
Hakika siri za haya maisha zimo katika vitabu. Tupende kusoma vitabu.
Ni sahihi watu tusome vitabu tuujue ukweli sio kusimuliwa na watu au viongozi wa dini
Nimetimia 😂 nipeni like pia Mimi jameni❤ naipenda sana storybook.
Kutoka kenya
zinakusaidia nini izo like mjinga wewe😅
Kenya nyie wajinga sana hizo like zinakusaidia nn Kama c ujinga tu
@@mustafamasudi8093 yakuuma Nini wewe ngeuzi kula la kwako Wacha mambo ya wivu. Masikini wewe
Kenya sisi sio wajinga kama nchi zingine, juzi kule Olympic Kuna majirani zetu walitoka huko bila medali yotote, kazi yao ni kusikiliza tu story book
Matusi haikufaidi kitu sisi wote ni wapenzi wa story book.yani storybook family @@mustafamasudi8093
Ukuu wa MUNGU n wa milele jamn, Ee bwana yesu naomb unipe Ujasiri kama mtumish wako HENOKO, AMEN,,🙏🙏
Yeah tena😂
THE GENIUS MAN IN THE HIDEN PLACE.. JAMAL I SEE YOU FURTHER
Uchambuzi yakinifu kabisa 👍
Kusema ukweli mimi siitaji kuipinga dini yoyote wala mtu yoyote ila kwa uelewa Wangu,kifupi tu kwenda kwake mbinguni lazima kunaushuda Mbali Mbali aliyo shudia uyo enoki inamanisha yangetakiwa yawepo mpaka leo hii ili tupate kujuwa na kujifunza na kuemika maana mtu awezi kwenda mbinguni afu kusiwe na lolote ata linalohusu kule mbinguni liwe ni mbaya au nzuli kikubwa alikwenda na kujuwa yaliyopo uko kifupi kitabu chake au ushuuda wake aliyo uwacha apa duniani kuusu kwenda kwake tulitakiwa leo hiia kuwepo Katika dini zote maana uyu enoki anakitu ambacho tungetakiwa tukijuwe ila tu watu wa shetani wameficha ili tusielimike na kujifunza ili ujuwe chema na kibaya lazima ujuwe vyote ndipo sisi tungejuwa kitabu chake nibola au siyo bola sasa tutajuaje pasipo ivyo jamani sijapenda kwakweli 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Upo sahihi ndugu mim ni muislam huwa napenda kuangaza nipate kujua dini yangu na dunia yangu na hata wanacho amini wasio wa dini yangu , sio kwa ubaya nimekuwa nikifatilia mafunzo ya biblia kwa uchache nimegundua kuna gap nyingi na hakuna details zote ni kama wanafichaficha baadhi ya vitu watu wasijue wakati tunahaki zote za kumjua mungu kwa upana na vile alivo taka yeye tuvijue , kama ikiwa mwanadamu amejua kitu kumuhusu mungu basi sio siri tena ya mungu ametupa funguo ya elimu juu ya hicho kitu ,
Napenda sana the story book ❤🎉🎉🎉 always ili ni lale lazima nisikilize mpaka na lala❤
Jambo zuri ❤
Kkkk
Naipenda Sana story book na sauti ya Jamal inanikoshaga acha2 🙂🙂
Mim nmekua mlevi wa story book cwezi kulala bila kusikiliza huwa narudia had za nyuma
@@vicentedgarchipasula2393 inatokana na hadisi tulizo kuwa tuna hadisiwa utotoni mpaka tunalala me niko ivo mpaka leo
Amina ubarikiwe sana
Hey guys... I like your narration Jamal... Love from kenya 🇰🇪
Hahahahhahaha
Ukiacha jack the giant nisaidien hyo muv nyingne za kwenye vipande alivyoweka humo 🙏🙏🙏🙏🙏
Sawa
Umeelezea kwa umakini sana
Kiukwel kaka unatujuza mengi sana kwa ss tunaopenda history ya kujua mambo mengi .god bless you
Utupe story ya Enki na Enlil (yehova na yahwe)
Unatishaaa sanaaaaa🎉🎉🎉🎉
Professor jamal salute kwako
Mr jamal ndo mkali wa hiz kaz mashallah Mashallah Mashallah Mashallah mungu hazidi kukupigania kaka unatujuza mengi sana kwakwer❤🎉
Nimesikiliza hadi nikasinzia ,, hebu gongeni like niamke
Naependa😊
Siku zote nakosaga kufikisha Like 100 jamani sijui nimekosa nini kwenye THE STORY BOOK
Likes zina saidiaga nini surely?
Habar vijana wenzangu
Naomba kutumia nafasi hii kuwavuta kwenye fursa kama wewe ni mhitimu wa elimu ya ufund veta kwa fani ya fund bomba, umeme na umeme wa magari tafadhar chukua Mawasiliano Yangu hapo chini na kama wewe pia unamoyo wa kusaidia wengine gonga like zako hapa
Pamoja sana kutujuza
Asante Sana Jamal mwenye maskiyo askiye🙏
Daaa ebu tunaomkubali jamal wote gongeni like hapA
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Hapa ni comment kuhusu story book sio kuhubiri 😄😄😄
❤❤ ndo mana hili pangwa the story book 📕 jmn ina mahana yake🎉
Mahana ndio nini?
@@mzalendomzalendo2567 sijuwi mimi sio mswahili kijn
Acha upumbavu, huo muda unaotumia kushinda mtandaoni si ungeutumia kujifunza kuandika!? Mahana ndo nini!? Uandishi wako unaonesha namna ulivyo mjinga kichwani.
@@Eagle_Sound 😂😂😂
🙆♂️🙆♂️🙆♂️
This is wht we need u ar great
Jamali hapo nimekuelewa inawezekana kitabu cha enock kiliondolewa ili tusijue ukweli wa mungu wanataka kutuaminisha ya kwao ili kuendelea kututawala awakutaka tumjue mungu wa kweli
This man is one of the biggest investigator ❤
Kama mna mkubari uyu jamaa like app👍👍👉👉
Ewee jamaal kulingana na elimu yanguu na sayansii ya uchunguzi wangu tofauti tofauti dunia ni duara wala sio katika umbo la mpira
Sikumoja Njoo na Story ya Yohana Alie andika kitabu cha Ufunuo.
We kama nan ?😮
ISINGEFAA ENOKO KUNYAKULIWA AKIWA MWEMA KABISA, MAANA HAPO ANGEHESABIWA KWAMBA AMELINGANA NA MUNGU
ILA
ALINYAKULIWA ENZI NGUVU ZAKE ZIKIWA ZIMESHINDWA ILI IWE DHAHIRI KWAMBA MUNGU NDIE ALIEMUWEZESHA NA NDIE ALIEMUOKOA
PIA
ZAMA ZA HUYU MTU ZILIKUA NI ENZI AMBAYO NEEMA HAIKO ULIMWENGUNI ILA ADAMU ALIKUA AKIPUNGUA NA KUELEKEA KUTAMATIKA KAMA MWENYE HAKI
SO
WAMPENDAO MUNGU WALIKUA KATIKA TAABU SANA ULIMWENGUNI
Naapa ...iyo angle ya Yohana hawezi igusa kato, akijaribu tu watu wooote watakaoitizama wanakuwa Wakristo 100%
@@GeofreyMtensacollectionkwanini bro
😅😅awezii coz it revelation for God
Mola akulinde proffersor
Ukikisoma vizuri hiki kitabu utapata majibu ya maswali mengi sana ambayo majibu yake yanafichwa fichwa
Mfano?
Ninaweza kukipata wapi hicho kitabu?
Google - nimeona kipo cha kusikiliza “audible” pia kuna free online copies.
@@user-pb3ub3gl4qkipo play store shida ni lugha ndugu akina sis hatuelewi yan
Kitabu gan boss wakati umeambiwa kimefichwa we umekisoma wap boss😄😄😄
Kaka njoo na historia ya mtanzania mwanamalundi, muafrika alietembea juu ya maji kama yesu.
Mtanzania aliepiga fimbo baharini ikagawanyika na kupatikana njia kama nabii Musa.❤❤❤❤
Bahari gani wewe msukuma kuna bahari huko kwenu acha ukichaa😂😂😂😂 hizo ni ndoto
@macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei mtumwa wewe😂😂😂. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.
@macdemaxsamuel3987 haina shida, ila ningesema aje na historia ya carl peter, Alexander the Great, usingetusi na kukebei 😂😂 mtumwa wa ngozi nyeusi wewe, ila sababu umesikia mwana malundi ndo maana umeghazabika😁😁. Mimi ni mwana falsafa, nasoma vitabu vya historia ya afrika na waafrika, ni wajibu wangu kupenda na kujua historia ya afrika.
@@RamadanPaulkweli kabisa
I v'e been weiting for this story nina kitabu chake but hata nikisona sikielewi
Nitumie please, Umepatia wapi.
nitumie
Naomba na Mimi please
Kipo kinauzwa mtandaon I believe the book has about four phase agiza mtandaoon maana vinafichwa sana
Unacho kweli
Hivi brother una mke kwakweli sauti yako inapasua mawimbi ya moyo wangu😢😢
Huku ni raha Sana 🔥🔥🔥
Kwadalili hzi Kuna story Kali zinakuja ❤
story nzuri sana
Jamal teacher
Mafundi wa kuandika wamenogeshwa na fundi wa kusimulia Jamal!! Such a beautiful story
naskiliza nikiwa USA ,aisee unatuvutia sana mashallah
Habari kaka ninaswali hapa
Jamal nafkiri mbali na hadithi uwe unatoa na elimu kwa baadhi ya fans wako kuwa wakati wanasikiliza simulizi zako waache mihemko ya kidini kwsb sio kila kitu kinafanana na vile wanavyoamini wao ndio maana kukawepo na WAKRISTO,WAISLAM na WAPAGANI dini ni imani ya mtu na chaguo la mtu
Hakika
Ni kweli kaka ndio mana mwisho akamalizia na fumbo la kipofu na fimbo yake sasa wao wanatuletea habari za yesu wao na Muhammad wao wakati storry haiwahusu wao story inamuhusu enock
Respect broo tunamxhukulu Kwa kutufahamixha Kwa tuxiyoyajua broo. kalibu BAGAMOYO 🎉🎉
Why x instead of S
Wa kwnza leo like zenu wana stry book 😂❤
🔥🔥👑
Jml 👏 nakuk bali kinoooma sn 💯
Allh akupe maish marefu yalio kuw bora kwako ........🇧🇮
Professor jamal april tunaomba hizi stry book iwekwe option ya kudownload wengine tunataka kusikiliza kwenye bufaaa
Mzeeeee mgen youtube eee
Congrats Jamal
WEWE JAMAL MUOGOPE ALLAH Kwa hizi stori zako za ukafiri unazosimulia .
Mpumbavu mmoja wew...
Kwanini
Waislam hamjawah kuwa na akili
@@jameskilasa759 akili ya nini tena
Mbn hamlazmshwi kusklza
Marvelous bro ingawa inaleta maswali mengi but Mungu yu pamoja nasi😅😅
Yes teach us bro
Ata kama sitapata I kitabu niisom3 asanti kwa I vidio unalikiwe
leo sija chelewa ❤
Nilikua nimesubiria hii sana kutoka kwa Jamali April mwenyewe ❤❤❤
Ukijiuliza Maswali mengi kuhusu hii simulizi unaweza kukufuru niishie kwa kusema HENOCK ALITWALIWA NA MWENYEZI MUNGU
Kufuru tena kubwa hasa hana lolote atoe story nyengine za M/Mungu hazijui
😄😄😄😄🙌🙌
Povu lako ni la kufulia kabisa@@ashaabdalla924
Kwa habari mbali mbali pitieni na hapa MOLI TV
Alio weka izo thumb nail nauhakika anajua movie😅😅 hes good so good🎉
Kweli dunia Ina mengi tusio yajua
Tutabakiya na yesu. Ndiyo njiya ya kweli na uzima juu ya mwanadamu na atatufikisha mbinguni.
Kweli 2bak na Yesu
Hakikaaa. Munguu ni mwemaaa.mimi.naaamini ni.munguuu tuuuu alie juuu ya vyoteèe ashukuriwe yeye
Mmh!!! Matrix wanajua kutuendesha , anyway za kuambiwa ongeza na zako Asante Jamal
Napenda sana unapo ileza mambo ya biblia ❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
I like the story book. Jamal April Mungu akubariki kwa mafundisho yako 🎉
Astaghfirullah... Malaika hawamuasi Mungu na wanafanya walichomrishwa tu. Hawali, hawanywi hawasex. Subhanallah. Leo ndio nimeona kumbe kuna imani ni za kipuuzi sana dah.
Ww hiyo yako umejuaje ni yakweli wa Africa mnaakili za kijinga sana umeanza na lugha ya kiaarabu kama ndezi, umekaririshwa huko ndezi ww
🤣wafuasi wa Muddy mna nn lkn
Love from burundi 🇧🇮
❤❤jamal