Maisha na vifo vya mitume wa yesu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • #HISTORIA YA MITUME #VIFO VYA MITUME #HISTORIA YA KANISA #MASALIO #SDA @MahubiriPrMmbaga @HopeChannelTanzania

Комментарии • 111

  • @kombibora
    @kombibora 4 дня назад

    Ubarikiwe mpendwa kututolea historia nzuri , Bwana na akuzidishie maarifa yakulitangaza nenolake.

  • @DaudiMtewele
    @DaudiMtewele 5 дней назад

    Mungu akubaliki sana

  • @JoyceMalogoi
    @JoyceMalogoi 27 дней назад +7

    Ahsante Kijana Kwa historia hizi,zituimarishe maana yajayo haya hayaoni,Mimi na wewe tujihoji yatakua je?(2),unajua wakristo wengi shina ni moja,ispokua mwana wakuasi alituvuruga sana.wapenda watu Wa Baba aliveziumba Mbingu na inchi,twende tujifunze historia ya Manisa katika ukristo wetu wote hata Rafiki zangu Sana waisla tena kruhani ikovizuri Sana.❤❤❤ wote,muwe na maandalizi ya kiroho.siku njema.

  • @protv2627
    @protv2627 8 дней назад +2

    Vipi kuhusu stephano

  • @MussaBuppuna
    @MussaBuppuna 25 дней назад +11

    Mbna wote ni wazungu ndo kusema kizazi Cha wau weusi walikuwa wap , hakika tunapigwa vibaya sana

    • @LauMagwaja
      @LauMagwaja 23 дня назад

      Nikwel mungu aliwatuma mitume wake kwenye mataifa ya watu waliotenda zambi nying nakupitiliza kaka ona mpka leo mataifa yaliopita mpk leo wanachangamoto misr nabii musa , pastina nabii mohamed na yesu nazalet kaka

    • @josephatmwema561
      @josephatmwema561 23 дня назад

      Walikuwa weusi wote hata Yesu. Raisi wa Rassia aliseme

    • @clintonmwaisaka-zd7dh
      @clintonmwaisaka-zd7dh 22 дня назад

      Kwani wana israel ni weusi nchi tofauti na israel tuliitwa mataifa na hao ni weupe sababu ni kutoka nchi ya israel

    • @Njia-ya-Haki2007
      @Njia-ya-Haki2007 20 дней назад

      Mitume wote walikuwa watu weusi hamuna hâta mmoja aliekuwa mzungu

    • @stephenkalidush5446
      @stephenkalidush5446 20 дней назад

      elewa maana ya chimbuko, rangi sio usawa wa ufalme wa Mungu ila ni nani amekusudiwa awe nani

  • @user-ew6tr5jk2o
    @user-ew6tr5jk2o День назад

    Sorry ni judas nice story be pleased ❤❤

  • @user-ud1hn9gt3j
    @user-ud1hn9gt3j 25 дней назад +5

    Historia inabariki sana ✅

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 8 дней назад +2

    Unaposema alizaliwa mwaka wa kwanza baada ya Kristo wakati huyo mtume alifanya kazi na Kristo Naomba ufafanuzi hapo sijaelewa

    • @tevelamayaJr
      @tevelamayaJr 7 дней назад

      mfano, mmoja alizaliwa 2020 na mmoja alizaliwa 2021. hawa wote watakua kwa lika moja na uwezekano wa kufanya kazi kwa pamoja ni mkubwa.

  • @DeniseKarafuli-fn2qb
    @DeniseKarafuli-fn2qb 8 дней назад +1

    nashukuru sana kwa mafasirio zaidi ubarikiwe na mwenyezi Mungu

  • @UpendoDaudi-iq6hy
    @UpendoDaudi-iq6hy 9 дней назад +1

    Ubarikiwe sana mpendwa

  • @XaveryKayombo
    @XaveryKayombo Месяц назад +3

    Amina Amina Mungu nimwema mapemzi yake yatimizwe.

  • @patrickgeofrey5116
    @patrickgeofrey5116 18 дней назад +1

    Hata mm nampenda sana Yohana kitabu chache kitamu sana asante kwa simulizi

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 7 дней назад +1

    Watumish wa Sasa ni mteremko tu yaan hawana hofu ya Mungu wanamiliki mpaka ndege raha sana

  • @PeterKaroli-m7i
    @PeterKaroli-m7i 24 дня назад +1

    Nimeipenda sana

  • @AnsilaAnorld-tk7vy
    @AnsilaAnorld-tk7vy 7 дней назад

    Amen 🙏🙏🙏 ubarikiwe sana na mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu hasa katika kuineza injiri yake

  • @MichaelIbrahimu-cr4fl
    @MichaelIbrahimu-cr4fl Месяц назад +2

    Amina kwakua mapenzi ya MUNGU yametizwa kwa upendo wake yeye

  • @frankmoses1479
    @frankmoses1479 27 дней назад +1

    Asante sana kwa Historia nzuri ya Maisha ya Wanafunzi wa Yesu.

  • @Lawrence-l7r
    @Lawrence-l7r 25 дней назад +1

    Asant kwa historia nzur

  • @henrysizya239
    @henrysizya239 Месяц назад +1

    Amina, japo picha ulizotumia si picha halisi za mitume hao

  • @edwinjhilbajojo2429
    @edwinjhilbajojo2429 26 дней назад +1

    Asante sana,,,ila hujatuambia❤kuhusu Mathias aliyechaguliwa kureplce nafasi ya Yuda Iskarioti.

  • @mulwalivu5778
    @mulwalivu5778 24 дня назад

    Ee babaMUNGU wa MBINGUNI uturehemu MILELE dhambi zetu amen

  • @conceptarann
    @conceptarann 21 день назад

    Ni kweli ubarikiwe sana

  • @ElizabethMedard
    @ElizabethMedard 14 дней назад

    Ubarikiwe sana

  • @Stephano-x2b
    @Stephano-x2b 27 дней назад +1

    Amina

  • @user-ob2ik5gy1b
    @user-ob2ik5gy1b 24 дня назад +1

    Huu ni uongo na mapokeo wanaoaminishwa wakristo baadaye wanasema amina,mmmm someni

  • @MeresianaJacobo-o5u
    @MeresianaJacobo-o5u 9 дней назад +1

    Meresiana jacobo muungu aibrik kaz ako

  • @ISSACKNTACHO
    @ISSACKNTACHO 24 дня назад

    Ameeeen,nmebarikiwa Jumapili hii na habar tam

  • @user-sm3vf8sl7p
    @user-sm3vf8sl7p Месяц назад

    Asante kwaku ihuisha imani zetu kwa kutukumbusha maisha ya mitume wetu🙏

  • @JosphatJohana
    @JosphatJohana Месяц назад

    amen ubarikiwe sana

  • @hazygardmericho9571
    @hazygardmericho9571 Месяц назад +1

    Watu wa mungu tuiombee yerusalem alioililia yesu. NA ISRAEL KWAUJUMLA

    • @damasmayanja2930
      @damasmayanja2930 24 дня назад

      Huu ni ujinga na upuuzi wa kiwango cha mwisho

    • @damasmayanja2930
      @damasmayanja2930 24 дня назад

      Kwani unajua aliililia kwa Sababu aliipenda? Aliililia kwa Sababu wokovu ukifika kwake na ukaikataa na hasira ya Mungu ya kukataaa wokovu ilishuka juu yake Mji ukavamiwa na watendaji na watesi wake ukaangushwa vibaya mnooo hata sasa.

  • @EnesiaMwagala
    @EnesiaMwagala Месяц назад +1

    Amen 🙏

  • @GeorgeShirima-h9m
    @GeorgeShirima-h9m Месяц назад

    Mungu mwenyewe atuimarishe ktk imani yetu

  • @user-ew8be9rb6k
    @user-ew8be9rb6k 23 дня назад

    Ameni ameni

  • @user-ds2om2gz8j
    @user-ds2om2gz8j 6 месяцев назад

    Nice illustrations in deed I love your wonderful work❤😊

  • @brotherdaniel2112
    @brotherdaniel2112 2 месяца назад

    Amen amen glory be to God for rever

  • @CatherineLubela-sb1fb
    @CatherineLubela-sb1fb Месяц назад

    Amina saana

  • @juliuskubai9294
    @juliuskubai9294 9 дней назад

    I need this

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 25 дней назад

    Nimebarikiwa sn na historia hii

  • @amanimakombe7141
    @amanimakombe7141 26 дней назад

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @user-bg9ky7wf6m
    @user-bg9ky7wf6m Месяц назад

    Asantee barikiwa sana

  • @madamneema7626
    @madamneema7626 11 месяцев назад +1

    AMEEN SANA🙇🙇🙇🙌

  • @isaackmwakapala8663
    @isaackmwakapala8663 16 дней назад

    Amina.

  • @jk7445
    @jk7445 10 дней назад

    Ni wayahudi si wazugu

  • @frankmwakalinga7455
    @frankmwakalinga7455 13 дней назад

    Amina❤

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313 Месяц назад

    Eee yesu utuhurumie

  • @EvangelismTv-n4i
    @EvangelismTv-n4i Месяц назад

    Be blessed servant of God

  • @user-du2gt8ff1r
    @user-du2gt8ff1r 25 дней назад

    God bless you

  • @mariamwakabuta1034
    @mariamwakabuta1034 11 месяцев назад

    Amen

  • @joshuaJoshua-b7y
    @joshuaJoshua-b7y Месяц назад

    God is everything

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt Месяц назад +1

    SyoMitumewaYesu.niwanafunzi.wayesu.Yesu.mwenyewe.ndye.MtumeWeVipi

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 Месяц назад

      Ni wanafunzi ambao walikuwa mitume baadaye.. Yesu aliwatuma ulimwenguni kuihubiri Injili.

    • @frankchipasura1814
      @frankchipasura1814 22 дня назад +1

      NI mitume wa Yesu, waisilamu bwana, mnadanganywa Sana, Yesu alikuwa na mitume mmojawapo NI Paulo, biblia ilianza kuandikwa kabla ya vitabu vyenu

  • @JustusNgonyo
    @JustusNgonyo 18 дней назад

    It is the way in world there is war victory to heaven fight to heaven

  • @chrispinuswekesa8093
    @chrispinuswekesa8093 21 день назад

    .Amen 😅

  • @mjeshimsofe9730
    @mjeshimsofe9730 12 дней назад

    Walikuwa weupe kumbe

  • @user-tg5vq3zf1f
    @user-tg5vq3zf1f 12 дней назад

    Aminaa😢

  • @MedronundersonMkuyu
    @MedronundersonMkuyu Месяц назад

    Wazungu walitulubuni sana hakuna Cha yakobo Wala nani niungo tu wawazungu

  • @user-ew6tr5jk2o
    @user-ew6tr5jk2o День назад

    Kwani mbona najua petero alijinyonga inakuaje tene kusurupiwa😢

  • @jamesshirimo
    @jamesshirimo 26 дней назад

    Thanks

  • @jaffarmohamed6859
    @jaffarmohamed6859 21 день назад

    Mitume ama wanafunzi

  • @felicianmapunda856
    @felicianmapunda856 Месяц назад +2

    Hii historia inapatikana kwenye vitabu vya kanisa katoliki nyinyi mmekopi kutoka kwao?

    • @jonasjackson1056
      @jonasjackson1056 17 дней назад

      Kwan kuna ubaya kushare na kujifunza historia ya mitume au hii historia ipo kwaajili ya watu fulan au din fulan..?
      Hapan kila mmoja wetu anahitaji kujifunza haya haijalish yanapatikana wap

    • @ramahzedon6688
      @ramahzedon6688 10 дней назад

      The masonic bible inayo mengi zaidi ya haya

  • @baltazaljohn9958
    @baltazaljohn9958 11 месяцев назад

    Amina

  • @ChrismasaweChris
    @ChrismasaweChris 21 день назад

    Na hii ndio dhiki kuu msijidanganye kuwa kuna dhiki kuu nyingine

  • @nelsonamani9489
    @nelsonamani9489 8 дней назад

    Yakobo nae alikatwa kichwa

  • @EdwinKabasa
    @EdwinKabasa Месяц назад

    Lakin ata sasa asema Bwana

  • @richardmugacostantine2791
    @richardmugacostantine2791 4 дня назад

    Uongo mtupu puzieni

  • @AlfonceGabriel
    @AlfonceGabriel 18 дней назад

    Wote ni wayahudi ndimaana ni wazungu

  • @MwalindeJackson
    @MwalindeJackson 21 день назад +1

    Kwanini huku muelezea mtume aitwaye matia aliye chukua mafasi ya yuda?

  • @mosesmbeke6137
    @mosesmbeke6137 27 дней назад +1

    Umejitahidi sana but ilitakiwa uainishe kwamba picha hizi sio halisi

    • @JonasMathias-s6m
      @JonasMathias-s6m 26 дней назад +1

      Kwani ninyi mnafuata mafunzo au picha,je miaka elf2000,iliyo pita kulikuwako,na kamera hazikuwepo,ila walikuwa na technolojia ya uchoraji tu,wa sula za manabii,HIVYO kwakutumia ucholaji unaweza pata picha ya mtu alivyo kuwa,

    • @user-pq1go6pm1r
      @user-pq1go6pm1r 26 дней назад

      Yaan wabongo ni shida mradi tu akosoe​@@JonasMathias-s6m

  • @userKAZIEYENDELEE
    @userKAZIEYENDELEE 23 дня назад

    suwala linakuja hivi kwa nn wanafunzi wa yesu wengi wao wameuliwa au kuuwawa . walikuwa wanafundisha kinyume na yesu mwenyewe na kumsaliti

    • @enockmasigwa
      @enockmasigwa 20 дней назад

      Walikuwa wafundisha kulingana na mafunzo kutoka kwa Yesu ila wale waliokuwa wanafunzwa hawakutaka ukweli kwa maana uliwapa vikwazo kinyume na yale waliokuwa wakitenda

    • @Jackline-gb1vc
      @Jackline-gb1vc 17 дней назад

      Walifundisha vyema ili kuleta wengi kwa Yesu ila wakapata upinzani mkubwa.

  • @SelinaDorcas
    @SelinaDorcas 19 дней назад

    Mbon mm najua mitume wa yese ni wale wazee ishirin n wanne..hao sio mitume ni wanafunzi wake

  • @officials.r.k5493
    @officials.r.k5493 Месяц назад

    So wote walikua wazungu?

  • @KAIPAAA3211
    @KAIPAAA3211 24 дня назад

    Hauji mbona unaweka picha za watu wenkhundu wakati hao wote walikuwa watu weusi

  • @evaristoaidan2690
    @evaristoaidan2690 Месяц назад

    Sijaelewa Petro alizaliwa kabla miaka mingap ndipo alizaliwa kristo?

  • @juvenalMuyomba
    @juvenalMuyomba 20 дней назад

    Kwanini sehem walo uliwa mitume wayesu mbona ndio inchi tajiri leo nani wakunijibu swali hilo?

    • @ramahzedon6688
      @ramahzedon6688 10 дней назад

      Utajir wa Nchi unapimwa na nn?
      Unajua kuwa bara la Africa ndo bara tajir kuliko yote dunian na Ndo bara kubwa kuliko yote dunian?

  • @abdoumadiousseni4835
    @abdoumadiousseni4835 23 дня назад

    Yesu alikuwa na mitume kweli nynyi akili zenu sema wana fudzi

  • @PAULVICENT-ne5gh
    @PAULVICENT-ne5gh 21 день назад

    Amina

  • @user-ew8be9rb6k
    @user-ew8be9rb6k 23 дня назад

    Ameni ameni

  • @EnesiaMwagala
    @EnesiaMwagala Месяц назад

    Amen 🙏

  • @Ester-f8d
    @Ester-f8d Месяц назад

    Amina🙏

  • @EdithaMethod-v6c
    @EdithaMethod-v6c Месяц назад

    Amina

  • @christophermlwilo9185
    @christophermlwilo9185 4 месяца назад

    🙏🙏