Sherehe zetu - Ukht Fatma Mdidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Sherehe zetu na Ukht Fatma Mdidi

Комментарии • 26

  • @ramazaniradjabu1862
    @ramazaniradjabu1862 3 месяца назад +1

    Djazakallahubka ira a ukht .. akramakilllah walykum hafadhwakillah amin

  • @rahmayusuph9973
    @rahmayusuph9973 4 месяца назад +1

    Ma shaa Allah ukhty wetu kapendezaa 😍😍

  • @KabulaMalimi-es1jm
    @KabulaMalimi-es1jm 4 месяца назад

    Shukurani Ukht wetu Allah akuzidishie kheri nyingi😊

  • @akimzeli5030
    @akimzeli5030 4 месяца назад +3

    Ni full makelele sasa hivi.
    Mauno, madoido, bi harusi havalishwi kwa sitara, shida shida tu.

    • @Aiisha901
      @Aiisha901 15 дней назад

      siku hizi ma bi harusi hawana aibu labda wa vijijini

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 4 месяца назад

    Mashallah

  • @LeonChoaji-n8z
    @LeonChoaji-n8z 2 месяца назад

    Dini ya kwanza ni ukristo mnayoiita ukafili, na kitabu kitakatifu ni kimoja tu Biblia. Quran haiwezi shindana na biblia ikiw Quran yenyew baadhi ya vitabu wametoa kwenye Biblia. Yesu Kristo ndo wa kwanza kabla ya mtume, aliekuja miaka kibao mbele. Na kuna baadhi ya aya kwenye Quran Uyo mtume wenu amewaambia mtufuate sisi wakristo ambao tumewatangulia. Shida yenu ndugu zangu ni wabinafsi mno na ni wajuaji kupitiliza. Yesu Kristo hakuwhi kuoa wala kumuolea yoyote ukiacha wanafunzi wake. Wewe UOGOPI. Ila ajabu nawapenda sana waislamu sijui kwanini! Eeh Mungu nisaidie.

  • @MwanaishaSheikhuna-dl3kk
    @MwanaishaSheikhuna-dl3kk Месяц назад

    Mashallah tabarakallah makumbusho mazuri ukhty mngu akuwezeshe utuelimishe.ni ya ukweli mtupu tukubali ndugu zetu tujirekebishe

  • @LeonChoaji-n8z
    @LeonChoaji-n8z 2 месяца назад

    Mtu pekee anaeruhusiwa kumuita mwingine kafiri ni yule mkamilifu, aya ww dada angu apo! Sijui nikuulize au nikuache, mana najua fika haujakamilika bali ila hila ndo umebarikiwa! Hahaha, uwiii! Ongezeni nguvu na nia ya kumuomba Mungu mwingi wa rehema, na sio kunyoosha vidole kwa wengine. Ninakumbusha tuu...... Amani ya bwana iwe nanyi ndugu zanguni.

  • @JamilaKweka
    @JamilaKweka 3 месяца назад

    Ma Sha Allah ukhty nimekuelewa.

  • @a.856
    @a.856 4 месяца назад +1

    Jazakallah khayran

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx 4 месяца назад

    Kweli kabisa

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 4 месяца назад

    Masifa mingi na vijino vako.sheikha alitoa darsa hadharani.huo wako uzinifu.watafuta umaarufu na likes.shenz kabisa

  • @twahirmohamed330
    @twahirmohamed330 4 месяца назад

    Mashallah sadakta

  • @amanimdemu4506
    @amanimdemu4506 4 месяца назад

    Swadakta huyu ustadhat yukomakini

  • @amanimdemu4506
    @amanimdemu4506 4 месяца назад

    Good

  • @kwegyyebah2444
    @kwegyyebah2444 4 месяца назад

    maaashaAllah Allah akulipe kher kwa Elmu unayotupa

  • @Kimbwembwe-nt1vl
    @Kimbwembwe-nt1vl 4 месяца назад

    MASHA ALLAH ALLAH AKULIPE KWA DARSA LENYE MAFUNSISHO MEMA YA KIISLAM

  • @MaryamFerej-ep9cq
    @MaryamFerej-ep9cq 4 месяца назад

    MASHA ALLAH DARSA NZURI SANA ASANTE KWA KUTUKUMBUSHA

  • @sameraakhf5605
    @sameraakhf5605 4 месяца назад

    Waelezee haswa

  • @SabrahMshihiri
    @SabrahMshihiri 4 месяца назад

    Maashaallah Allah akulipee kheri khuty

  • @fa2mrisho
    @fa2mrisho 4 месяца назад

    TabarakAllahu.. nimejifunza

  • @mwajoma1373
    @mwajoma1373 4 месяца назад

    Mashaa Allah ukhty daras nzur san shukuran

  • @amanimdemu4506
    @amanimdemu4506 4 месяца назад

    🙏

  • @HawaHawa-f7u
    @HawaHawa-f7u 4 месяца назад

    Ukty uposahihi sana

  • @farris_2549
    @farris_2549 4 месяца назад

    💙