Sifa 8 za mke mwema katika Uislamu - Ukht Fatma Mdidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Hii ni Part 01 ya sehemu ya tano na ya mwisho ya Darasa la ndoa

Комментарии • 66

  • @FatimaMbeyu-mn7yf
    @FatimaMbeyu-mn7yf 8 месяцев назад +6

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh, shukran sana ukhty Fatima kwa Kutujuza mafunzo mema ya Allah Subhanna Tabaraka wa Taala .Na kzr kipewe sifa yke MashaAllah Tabarakallah yan mawaidha yko yaezamfanya mtu akabadilisha matendo yke kutoka kwenye maovu hadi kuja kwenye mema kulingana na imani yke na kumcha Allah Azza wajallah na Allah akulinde na Shari za Dunia na akuzidishie umri mrefu AAMEEN. JUMMAH MUBARAQ KWAKO

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Год назад +2

    Inshaallah mungu atatuajalia tuwe miongoni mwa watu wema mashaallah dadaa fathima mungu akuzidishie Inshaallah mungu akipenda na sisi tukingiia kwa ndoa tuweze kujitahidi kwa uwezo wa mungu

  • @khadijahhamisi1882
    @khadijahhamisi1882 Год назад +1

    Ukthi fathima mashaallah nimependa sana hicho kisa cha fatuma na mke wa bilali unayoongea ni kweli dadaa watu wengi wanaishi maisha yakuigiza mungu akulinde popote ulipodadaa waongea na mdada kutoka kenya kwale County

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 10 месяцев назад

    Wallah Allah inshaAllah azijaze nyoyo zetu hima ya kuyatekeleza yoote yq faidha tunayopewa na dadaetu, ukhti wetu fatma. inshaAllah Mola amlipe mema kwa juhudi kubwa aifanyayo...

  • @twalaataib7337
    @twalaataib7337 Год назад +1

    Mashallah ukhty maneno mzr sana Jazakallah kheri Frm Kenya

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Месяц назад

    Ukht Assalam Alaykum ,tafadhali naomba Namba zako ,nnataka kuongeanawe kw ability yamtt wangu kimafunzo

  • @saidiabdi6993
    @saidiabdi6993 Год назад +1

    Mashaallah waoe elimu

  • @MishiOmar-y9f
    @MishiOmar-y9f 7 месяцев назад +1

    Mm nauliza je ipo hukmu ya mke kukataa kuenda ukweni

  • @AlbaloshiAlbaloshi-f1w
    @AlbaloshiAlbaloshi-f1w 7 месяцев назад

    Mimi nina shida ya namba Yako ya sim dada yangu mpendwa ❤ kwa ajili ya Allaah .Naomba

  • @miangijunior4358
    @miangijunior4358 Год назад +9

    Namkubali sana huyu Ukhty Kwa ajili ya ALLAH
    Mwenyezi MUNGU Numuomba ALLAH Amtunze Duniani na kesho Akhera AMIIN

    • @eddymaphy
      @eddymaphy 7 месяцев назад

      Aamin yarabbil'alamin

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Год назад +1

    Mimi nakupenda sababu ume towa fundisho vizuli bila ku cheka cheka nafurahi sana lakini tena umenifunza mengi asanteni nakupenda bure umeongea vizuli

    • @rashidngumbao3346
      @rashidngumbao3346 Год назад

      Asaalam aleikum nashukuru Sana kwa dharsa yako Allah kuongoza kwa njia ilio nyoka na akuzidishie elimu

  • @AgnessMsacky
    @AgnessMsacky 5 месяцев назад

    Mimi nilimpa taarifa mme wangu mama yngu amevunjika mguu amelazwa kesemc alikaa kimya. Nkamwomba ruhusa nikamwone. Mama. Yngu amelazwa. Alinijibu huyo siyo mama yngu akanijibu huyo ni mama yko mama yngu ameshafariki kesho yke pamekucha. Nikamkumbusha. Aliyonijibu Jana usiku. Akarudia vilevile alichosema sikuenda kumuona. Mama yngu mpaka alipo toka hospital. Nilipewa taarifa maendeleo y mama Basi nikamwachia mungu

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 Год назад +2

    Mashaallah

  • @MwanaKombo-sh5hf
    @MwanaKombo-sh5hf Год назад

    Mashallah

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Год назад +2

    Assalamu alykumu warhatualla wabarakaatuh

  • @fatmahemed2189
    @fatmahemed2189 Год назад +3

    Masha Allha nakuelewa vizur
    Ostazati wetu

  • @frdosr5794
    @frdosr5794 11 месяцев назад +1

    Takbir!MashaAllah tabarakalah!Mafundisho mema kabisa,JazzakAllah khayran fii duniya wal Akhera InshaAllah dada.

  • @aishabashirbashir-vv9lk
    @aishabashirbashir-vv9lk Год назад +1

    Mashallah

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Год назад +2

    😅😅😅😅😅😅😅Kweli kabisa hongera sana 💕💕💕💕💕💕💋

  • @maryamsuleiman6340
    @maryamsuleiman6340 Месяц назад

    Pepo yawaume ningumu nandiomana tuliambiwa iko chini ya NYAYO ZAO, mimi pia nilinyimwa rukhsa yakumuuguza mama yangu aliepata wazimu wagafla huku akiwa mjamzito, nasiku aliokufa pia mume alininyima taarifa ,nakuiambia familia yangu isijekwangu ,nanilipomuomba maliwazo yakuniliwaza baada yakujua ,alinijibu kufa mamayako niajabu ,nandio wakwanza kufa mamayako ,nilinyamaza sikumjibukitu ,ila nilipata homakali hadi nilikua nikishindwa kula ,kifupi nilichanganyikia hadi ,ilibidi anipeleke kwetu kuuguzwa ,mtihani kwakweli ,ila Alhamdulillah Aalakullihali

  • @jamalkishangu
    @jamalkishangu Год назад +1

    Huyo ni sheikhat aliye ujua Uislamu, anawarekebisha wanawake na wanaume, Ili wote wajitazame katika kioo cha Uislam.

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Год назад +2

    Allah awatie nguvu muwaanze kuwafundisha watt wa kike wanaokuwa ili Baadae waje kuwa wake wema kwa Waume zao,

  • @a.856
    @a.856 Год назад +2

    Jazakallah khayran

  • @sumeyaahmed4187
    @sumeyaahmed4187 Год назад

    Naomba namba ya ukhty fatma mdidi

  • @safiasaif9741
    @safiasaif9741 Год назад +1

    Mashaallah ukhty nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @rwechunguraissa1394
    @rwechunguraissa1394 Год назад +1

    Siku hizi wanandoa wengi wanaishi kwa maudhui ya tamthilia za kijahili na mitandao potofu ya kijamii.

  • @salmachabani3895
    @salmachabani3895 Год назад +2

    Asant san mama💖💖💖💖💖

  • @rodgersomar6597
    @rodgersomar6597 Год назад +1

    Mashaa Allah ukhty Allah akuzidishie ilimu

  • @nsabimanasuleyman2008
    @nsabimanasuleyman2008 Год назад +1

    Hadjati tunashukuru mnoo ila kwa hawa wa leo

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Год назад

    As salaam Alaykum warahmatulullahi wabarakaltu Uhkty Fatma

  • @AlbaloshiAlbaloshi-f1w
    @AlbaloshiAlbaloshi-f1w 7 месяцев назад

    Maasha Allah tabarakillah ❤❤❤ Allah azidi Kuku hifadhi dada yetu mpendwa .Barakallahu fiiki

  • @aliamour4970
    @aliamour4970 9 месяцев назад

    Kwanini kama sauti ya mwmke ni awra mtume akawaruhusu masahaba kwenda kuchukua elimu kwa kijanakike chekundu akimaanisha mama aishaa?

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Год назад +1

    Wanaume Wengi kwa sasa tunalia Sana Kupata wake wema wanaoweza kufanya hayo lakn ni mtihani kupatikana, Kikubwa wanawake Wengi hawataki kusoma Dini na Kupata Muongozo wa Dini yetu ya Kiislaam

    • @Catherine-mh8sw
      @Catherine-mh8sw Год назад

      Njooo unioe mie.

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Год назад

      Ni sheikh wangu wanawake wanaofuata mafundisho ya Kiislamu kwa sasa ni wachache sana. Wanapenda kujitambulisha kama Waislamu lakini sio kuufuata Uislamu. Wanawake wa Kiislamu hawaolewa kwa ajili ya dini, wanaolewa kwa kile wanachoita kutoa mkosi.

  • @abdulsimbarakiye4145
    @abdulsimbarakiye4145 8 месяцев назад

    Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh maisha Allah mawadhah mazuri sana

  • @maimunahhassan5132
    @maimunahhassan5132 Год назад +2

    Tunashukuru kwa darsa zuri ukht

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 Год назад +8

    Sisi tu naye ishi huku uarabuni mbona wanawake wa huku hawati hizo tabia za muke mwema wanaitaga wa umewao majina yao hawapikii waume ao chakula hâta nguo hamuandalii ni sisi tu wa fanya kazi njo tunaudumia nyumba nzima wanawake wote huku ni kutazamatu sim ao téléphone nakula

    • @chantalalia4811
      @chantalalia4811 Год назад +1

      Unaongeya vizuri dada yangu nahuko warabuni njokwenye chanzo cha dini mbona umesahau kutandikia kafiri yani boss hhhh wake wawarabuni feki sana Allah awanuru

    • @sadakimwaki9791
      @sadakimwaki9791 Год назад

      Huku arabuni ni mtihani

    • @winnieanyango3951
      @winnieanyango3951 Год назад

      Pesa zinaongea

    • @ruhaymanllymuhammed2094
      @ruhaymanllymuhammed2094 Год назад

      Subhanalla nikweli nduguzetu wamejisahau sana

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Год назад +1

      Sio kila muarabu ndio bora laaaa m bora wenu mbele yawenzimungu ni mchamungu sasa wewe fanya wewe kama wewe

  • @AishaB-gm7to
    @AishaB-gm7to 6 месяцев назад

    Mashaa Allah shukran jazakallah

  • @ommyjh8225
    @ommyjh8225 Год назад

    Tsfadhali Uhkty naomba unitafutie mchumba🙏

  • @MaryamSaid-lj2sz
    @MaryamSaid-lj2sz Год назад

    BaarakaAllah

  • @zaidahadhieno1171
    @zaidahadhieno1171 Год назад

    Ma sha Allah hayo mawaidha jazakallah kheir

  • @mhamadaldo7338
    @mhamadaldo7338 8 месяцев назад

    Allah atuogoze tuwe wake wema kwa waume zetu

  • @mshenzigamer2645
    @mshenzigamer2645 Год назад

    Jazaka Allah kheir.

  • @BarakaChirume-wn9mi
    @BarakaChirume-wn9mi Год назад

    Xx

  • @eddymaphy
    @eddymaphy 7 месяцев назад

    MashaAllah ❤

  • @allymgombela6927
    @allymgombela6927 Год назад

    Ukhty wanawake kama hao kwa karne hii hawapo, Na hawatakuwepo. Mupo wachache sana munaotambua hayo.

    • @sadasaid7212
      @sadasaid7212 Год назад

      Usiseme hivyo akhy, wanawake wema wapo, ifanyike tu juhudi kwa kila mzazi kutengeneza familia Bora itakayowatoa waume na wake wema! Kwa msaada wa Allah pekeyetu sisi hatuwezi

    • @mkanaonlinetv2994
      @mkanaonlinetv2994 Год назад

      Allah Karim unajitahidi mno

  • @farmah9685
    @farmah9685 Год назад

    Pole nani kakuruhusu sauti yako kusikika kwenye mitandao sauti pia ni awra

    • @aliabdalla9297
      @aliabdalla9297 Год назад

      Umepata faida au umeangalia uchi

    • @womar4125
      @womar4125 Год назад

      Hapo sasa watu wangapi wamepata faida Alhamdulillah mungu amuweke ukhty wetu

    • @jamalkishangu
      @jamalkishangu Год назад

      Uislamu ni jambo zito sana. Uislamu haumkatazi mwanamke kufundisha, sio kusikika sauti yake tu anaruhusiwa kukaa na wanaume na kuwafundisha, upo utaratibu wake. Rejea historia ya bi Aisha binti Abubakari swidiki r.a wakati maswahaba wakubwa walipopiga magoti kwake kupokea maarifa ya dini yao. Uislamu ni mwepesi kwa Kila muumini.

    • @dhulfikariftikar7736
      @dhulfikariftikar7736 11 месяцев назад

      Hajasoma uyo na wala haelewi lakini pia na choyo anacho si unajuwa wanawake? Chuki tu hizo na mwanamke kama huyo kibri hata kwa mumewe

  • @jumaamwamajeni1907
    @jumaamwamajeni1907 7 месяцев назад

    Mashallah Shukran kwa mafunzo mema mazuri mola akuhifadhi na akuzidishe Elmu.