Kisa cha kweli cha Bibi Mchamungu na Mjukuu wake siku ya ndoa - Ukht Fatma Mdidi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 39

  • @MwanaidiFaki-v7q
    @MwanaidiFaki-v7q 10 месяцев назад +8

    Mashallah mungu akupe maisha marefu uendelee kuwapa nasaha watu 🤝😟

  • @salmoomorefeelingproductio1744
    @salmoomorefeelingproductio1744 10 месяцев назад +3

    Kosa ni la wanazuoni ,kazi nzuri kwa kuyasema

  • @sweetylove9918
    @sweetylove9918 10 месяцев назад +2

    Mashallah Allah akulipe kheri kwamafunzoyako shukran

  • @abdulragmababdulsalam5107
    @abdulragmababdulsalam5107 10 месяцев назад +3

    Mashaallah shukran ❤❤❤

  • @mwanzegelekalu7092
    @mwanzegelekalu7092 10 месяцев назад +2

    MaashaaAllah ukhti fatma.. baarakallahu fiiqa inshaAllah.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 10 месяцев назад +1

    SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. Jazzaka Allahu Kheir. AMIIN

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 10 месяцев назад +1

    Maustadha wakileo watafuta umaarufu kupitia mitandaoni.Rasul saw atufundisha1) mwanamke akisalimiwa na mwanaume si mahrimu yake hafai pia kuitikia salam kwa sauti na iwe kisiri.2)mwanaume akibisha tia nguo mdomoni ili sauti itoke vibaya 3) na walipokua wakiendewa wake za mtume na maswahaba kuulizwa swali ladini,wikua wakijibu nyuma ya pazia...huyu leo eti auza sura live,sauti ndio hio.fitna tupu hizi.makosa haya,sio mafundisho ya Rasul saw.

    • @mwanashaali1109
      @mwanashaali1109 10 месяцев назад +4

      Sio Kwa Ubayaa Ilaaa watu wengi Wanapenda Sanah Kuingilia mamboo ya dini,akiongea Mtuu mambo ya dinii,watuuu hutafutaa Kasoroo,tumuachie Allah Atuhukumie

    • @ramdhwaOmary
      @ramdhwaOmary 9 месяцев назад

      Unachuki binafsi km kweli unataka kumkosoa ungemfuata na kumrekebisha,
      Hii ni sms Yako ya pili!!!

  • @Ibrahhaji
    @Ibrahhaji 6 месяцев назад

    Mashaallh

  • @asyamgeni9819
    @asyamgeni9819 9 месяцев назад

    Why bibi asiseme mapema kabla ya kufunga ndoa kasubiri mpaka ishangwa ndoa

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 10 месяцев назад +2

    SUBHANALLAH 😢

  • @feiruzahmed7524
    @feiruzahmed7524 9 месяцев назад +1

    May ALLAH bless you for all your efforts.

  • @MorganOyuech-wh9fz
    @MorganOyuech-wh9fz 9 месяцев назад +1

    ALLAH ☝️akubariki ...

  • @mohamedsaidalhabsi7862
    @mohamedsaidalhabsi7862 10 месяцев назад

    Dada kuna ambao wemeolewa kabla hajaachika wamesha funga ndoa mwanamke anasubiri talaka kwa mume wa kwanza anangojea akipewa talaka leo kesho ana hamia kwa mume mpya

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 9 месяцев назад +1

    Subhanallah 😢

  • @zaerajuma9159
    @zaerajuma9159 9 месяцев назад

    Tuta kualika Burundi 🇧🇮 kwetu

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 10 месяцев назад

    dah mtihani sana sisi binaadam mungu atusaidie

  • @faizunmohd9839
    @faizunmohd9839 10 месяцев назад

    Shukran sana kutu fundisha

  • @AnasiAlly-oh8wb
    @AnasiAlly-oh8wb 9 месяцев назад

    Mashaallah

  • @bintsalimalbimany287
    @bintsalimalbimany287 9 месяцев назад

    Subhanallah

  • @sihammohamedthabit9832
    @sihammohamedthabit9832 9 месяцев назад

    Mashallah

  • @bakariomari4251
    @bakariomari4251 10 месяцев назад

    Mashaallha

  • @mwanashaali1109
    @mwanashaali1109 10 месяцев назад

    Ukhty ungesema hao mawalii xahihii

  • @lordenoughforme4417
    @lordenoughforme4417 10 месяцев назад +4

    Basi vaa ninja na sura lako ilo.fitna tu mingi.masheikh wamejaa,kaa utoletee wanawake wenzio darsa,sio kujianika tu

    • @hamidamangara3199
      @hamidamangara3199 10 месяцев назад +1

      Subhanallah huwezi kumnasihi mtu kwa lugha nzuri

    • @mariamkai2705
      @mariamkai2705 10 месяцев назад +1

      Acha kumkosoa ,Hana mapambo kabsa huyo

    • @bakariomari4251
      @bakariomari4251 10 месяцев назад +1

      Kwanza ukute yeye mkewe yupo wazi hadi kichwa wanafki tu hawa eti elimu mitandaoni fanya kwako.

    • @faizunmohd9839
      @faizunmohd9839 10 месяцев назад +1

      Subhanallah Allah atakuongoza

    • @zaharangonyani2206
      @zaharangonyani2206 10 месяцев назад +1

      Tumia lugha nzuri ndugu yangu bi fatma ni mzuri sana kama hujui hana makeup na mtu mzima lkn kama bint wa miaka 20 ana nuru tangu duniani haya ww mwenzangu ?mche Allah