Maustadha wakileo watafuta umaarufu kupitia mitandaoni.Rasul saw atufundisha1) mwanamke akisalimiwa na mwanaume si mahrimu yake hafai pia kuitikia salam kwa sauti na iwe kisiri.2)mwanaume akibisha tia nguo mdomoni ili sauti itoke vibaya 3) na walipokua wakiendewa wake za mtume na maswahaba kuulizwa swali ladini,wikua wakijibu nyuma ya pazia...huyu leo eti auza sura live,sauti ndio hio.fitna tupu hizi.makosa haya,sio mafundisho ya Rasul saw.
Sio Kwa Ubayaa Ilaaa watu wengi Wanapenda Sanah Kuingilia mamboo ya dini,akiongea Mtuu mambo ya dinii,watuuu hutafutaa Kasoroo,tumuachie Allah Atuhukumie
Dada kuna ambao wemeolewa kabla hajaachika wamesha funga ndoa mwanamke anasubiri talaka kwa mume wa kwanza anangojea akipewa talaka leo kesho ana hamia kwa mume mpya
Tumia lugha nzuri ndugu yangu bi fatma ni mzuri sana kama hujui hana makeup na mtu mzima lkn kama bint wa miaka 20 ana nuru tangu duniani haya ww mwenzangu ?mche Allah
Mashallah mungu akupe maisha marefu uendelee kuwapa nasaha watu 🤝😟
SEMENI;
MAA SHAA ALLAH.
Kosa ni la wanazuoni ,kazi nzuri kwa kuyasema
Mashallah Allah akulipe kheri kwamafunzoyako shukran
Mashaallah shukran ❤❤❤
MaashaaAllah ukhti fatma.. baarakallahu fiiqa inshaAllah.
SUBHANA ALLAH! ALLAH Atusamehe Ya Rabb. Jazzaka Allahu Kheir. AMIIN
Maustadha wakileo watafuta umaarufu kupitia mitandaoni.Rasul saw atufundisha1) mwanamke akisalimiwa na mwanaume si mahrimu yake hafai pia kuitikia salam kwa sauti na iwe kisiri.2)mwanaume akibisha tia nguo mdomoni ili sauti itoke vibaya 3) na walipokua wakiendewa wake za mtume na maswahaba kuulizwa swali ladini,wikua wakijibu nyuma ya pazia...huyu leo eti auza sura live,sauti ndio hio.fitna tupu hizi.makosa haya,sio mafundisho ya Rasul saw.
Sio Kwa Ubayaa Ilaaa watu wengi Wanapenda Sanah Kuingilia mamboo ya dini,akiongea Mtuu mambo ya dinii,watuuu hutafutaa Kasoroo,tumuachie Allah Atuhukumie
Unachuki binafsi km kweli unataka kumkosoa ungemfuata na kumrekebisha,
Hii ni sms Yako ya pili!!!
Mashaallh
Why bibi asiseme mapema kabla ya kufunga ndoa kasubiri mpaka ishangwa ndoa
SUBHANALLAH 😢
May ALLAH bless you for all your efforts.
ALLAH ☝️akubariki ...
Dada kuna ambao wemeolewa kabla hajaachika wamesha funga ndoa mwanamke anasubiri talaka kwa mume wa kwanza anangojea akipewa talaka leo kesho ana hamia kwa mume mpya
Subhanallah 😢
Tuta kualika Burundi 🇧🇮 kwetu
dah mtihani sana sisi binaadam mungu atusaidie
Shukran sana kutu fundisha
Mashaallah
Subhanallah
Mashallah
Mashaallha
Ukhty ungesema hao mawalii xahihii
Basi vaa ninja na sura lako ilo.fitna tu mingi.masheikh wamejaa,kaa utoletee wanawake wenzio darsa,sio kujianika tu
Subhanallah huwezi kumnasihi mtu kwa lugha nzuri
Acha kumkosoa ,Hana mapambo kabsa huyo
Kwanza ukute yeye mkewe yupo wazi hadi kichwa wanafki tu hawa eti elimu mitandaoni fanya kwako.
Subhanallah Allah atakuongoza
Tumia lugha nzuri ndugu yangu bi fatma ni mzuri sana kama hujui hana makeup na mtu mzima lkn kama bint wa miaka 20 ana nuru tangu duniani haya ww mwenzangu ?mche Allah