Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing. What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi
Sooo powerful ❤
Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.
This man ni balaa anamadini yakutoshaa na elimu yakee yotee lakin hapingi kuhusu mungu
Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉
Uko vzr
Tanzanian people
Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤
Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa
Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊
Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula
😂😂 nimecheka kwa saut
😂😂 ...jamani Dunia inamambo
Duu hii kali kuliko maelezo😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂
The best philosopher local wise
De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu
Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.
si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k
God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo
Dr umetisha
Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee
Nakubali sana ndugu
Umetisha mkuu
@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,
Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani.
Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu
Ni vzr tuwe tunapata matangazo
Doctor Janabi na uyo sawa to
You are absolutely correct 👏
Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂
Dr Elie you are very right ❤
Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!
Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.
@@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing.
What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!
Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian
Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno
Oi niaje kaka
Uyu na Hamonaizi sawa
Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!
Well said Dr! ❤
Hlw
Hlw
Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa
Balaa huyu jamaa 😊
Anaitwa Dr ELIE.
barikiwa sana
asante doct
Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji
Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!
@@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa
Dr is the best
Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama
Safi kabisa
Much respect though
Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau
Mungu hips apendye.
Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂
Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu
Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili
Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa
AKILI KUBWA❤
Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote
Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii
Fact
Dr Elie huna baya
Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana
siyo mungu sema MUNGU
Agreed. .🇰🇪
Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.
Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.
Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar
Nimemuona Tima😂😂
Elie vd nouma sana
Mhhh acha zako
Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha
Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.
True!!
Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.
Uchawa ni m baya sana!!!
Wewe muo😢
Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho
Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.
ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili
Nimemuona kungwi liliani
Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family
Mswahili bhana ..jibu kwa hoja
Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!
Mpumbavu huamini kila achoambiwa
Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy
Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu
Real talk Dr🫡
Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi
Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu
Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha
POINT 100% @@masungadutta3823
@@masungadutta3823 👍👍👍
Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga
I see my daddy PT
anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮
Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .
Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa
Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo
Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .
Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie
Duh
Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?
I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!
Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu
Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)
Really? Don't see why?
ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA
Mi nasikia pumba hakuna maana ata
Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani
Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr
Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume
Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake
@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema
Mafundisho ya kishetani hayo
Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.
22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅
Uyo ni mcongo
Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.
Jishikilie utadondoka
Hamnw Kitu hapo
HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.
Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?
Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu
Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊
Ni siku kuu yao we wasifie tu
huvi yeye anafanya shughuli gani vile
Mwanaume ni logic , tunarud pale pale
huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197
@@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.
logic ni nn?
@@godfreymgaya1862
Huyu mjingai ana tu tukana huyu
Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili
Mpumbavu huamini kila anachoambiwa