KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 фев 2025
  • KAZI YA BANK NI KAZI YA KIKE, MAISHA NI TAREHE SI STAREHE , SIASA HAIELEWEKI KAMA MWANAMKE - ELIE VD

Комментарии • 149

  • @sportsnewjs4330
    @sportsnewjs4330 10 месяцев назад +11

    Huyu mheshimiwa anagawa Madini ✨️bure kabisa bila malipo yeyote 👏👏👏MUNGU ambariki zaidi

  • @MarianaCapson
    @MarianaCapson 9 месяцев назад +1

    Sooo powerful ❤

  • @ellenkasuthaadventistekim
    @ellenkasuthaadventistekim 10 месяцев назад +5

    Amina kubwa pasta,nimekusikiliza toka huko Congo.

  • @HenryMizambwa-ft5qo
    @HenryMizambwa-ft5qo 2 месяца назад +1

    This man ni balaa anamadini yakutoshaa na elimu yakee yotee lakin hapingi kuhusu mungu

  • @hamidafundi-pw1gw
    @hamidafundi-pw1gw 10 месяцев назад +6

    Mwanamke ni mbeba maisha kwa ujumla wake. Ni chanzo cha vyote. Ni sawa na ardhi inabeba vyote katka dunia hii.Mwanamke ni tegemeo kubeba maisha ya sayari hii.Mwanamke aweze kuwa tayari kubeba kama ardhi. Mwanamke usikumbatie watoto wako,utapoteza uimara wako .Mwanamke Acha kuwa tegemezi,jiamini .Nimejifunza, pongezi Dr Ellie.🎉

  • @robinsongodwin9710
    @robinsongodwin9710 10 месяцев назад +14

    Tanzanian people
    Tumshukuru Mungu kwa kuwa na dr ellie ❤

  • @DEBORAHMASANJA-yz3go
    @DEBORAHMASANJA-yz3go 10 месяцев назад +3

    Asante sana Mwl Mungu akubariki umeni fungua sehemu kubwa

  • @nwntz
    @nwntz 10 месяцев назад +3

    Mzee anatoaga madino heavy, namkubali sana prof Elly✊✊✊✊

  • @MillardMushi-ce2bu
    @MillardMushi-ce2bu 10 месяцев назад +21

    Dr elie nakuomba uje uwe mwalimu wa vijana wangu wana penda ngono kuliko kula

    • @ConsalvaMumbara
      @ConsalvaMumbara 10 месяцев назад +2

      😂😂 nimecheka kwa saut

    • @barakabusima
      @barakabusima 10 месяцев назад +1

      😂😂 ...jamani Dunia inamambo

    • @gordiansoko9113
      @gordiansoko9113 10 месяцев назад +2

      Duu hii kali kuliko maelezo😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 10 месяцев назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Mussasylivester05
      @Mussasylivester05 10 месяцев назад

      😂😂

  • @eliazewanga3543
    @eliazewanga3543 9 месяцев назад

    The best philosopher local wise

  • @Nzumbi0
    @Nzumbi0 9 месяцев назад

    De elie daah! Ana madini kichwani aise ya unaambiwa ni mara mbili kwa upande wangu

  • @KarimuMshana-y5r
    @KarimuMshana-y5r 10 месяцев назад +2

    Dr elly nakuelewa sana,ila hii salam shikamoo wakina mama halaf wakina baba habar ya saa iz nifafanulie hapo.

  • @johnchuwa1646
    @johnchuwa1646 10 месяцев назад +15

    si rahisi kumwelewa Dr Ellie kama namna yako ya kufikiri imefungwa na elimu,dini n.k

  • @ReenStanfford
    @ReenStanfford 10 месяцев назад +9

    God help me be that woman🙏 nimejifunzaaa mnooo

  • @UpendoEliasSokota
    @UpendoEliasSokota 8 месяцев назад

    Dr umetisha

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema 10 месяцев назад +30

    Changamoto watu wenye uwezo mkubwa kama Dr Elie VD wanatumika Vyuoni tu ila wangetumika mtaani kwa Vijana ambao ni Wapambanaji Nchi ingebadilika maana huko Chuoni wasomi wana mawazo ya kuajiriwa pekee

    • @piusdeo9380
      @piusdeo9380 10 месяцев назад +1

      Nakubali sana ndugu

    • @moriskalegeleshusha2619
      @moriskalegeleshusha2619 10 месяцев назад +1

      Umetisha mkuu

    • @chechem.wambura8172
      @chechem.wambura8172 10 месяцев назад

      ​@@piusdeo9380ona ambao hamjasoma mnavyoshadadia. Acheni wivu na chuki kuwasema vibaya wasomi kisa nyie hamkusoma. Nani kawaambia Kila aliesoma anawaza kuajiriwa?, na kwani akiajiriwa Kuna shida Gani? Mbona wapo watu kibao walioajiriwa Wana maisha mazuri kuliko ambao hawajasoma. Kufanikiwa kimaisha haijarishi umeajiriwa au hujaajiriwa ,umesoma au hujasoma.,

    • @furahakalombe2011
      @furahakalombe2011 10 месяцев назад

      Anatumika sana mtaani ila ni kwamba hatufahamu tu mtaa gani.
      Maeneo mengi anaalikwa kutoa elimu

    • @moriskalegeleshusha2619
      @moriskalegeleshusha2619 10 месяцев назад +1

      Ni vzr tuwe tunapata matangazo

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 9 месяцев назад

    Doctor Janabi na uyo sawa to

  • @DoraNatai
    @DoraNatai 8 месяцев назад

    You are absolutely correct 👏

  • @IbrahIbrah-m5p
    @IbrahIbrah-m5p 10 месяцев назад +3

    Bila kuwa na D mbili huwez kuelewa 😂😂😂

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 10 месяцев назад +1

    Dr Elie you are very right ❤

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 10 месяцев назад +4

    Ok uko vzr sana, ila hayo unayongea yataishia kwenye majukwaa tu huwezi tengua uumbaji wa Mungu kwa maneno!

    • @victoriajames5413
      @victoriajames5413 10 месяцев назад

      Huyu nae, hata ktk huo uumbaji umeelewa nini?? Udini unakusumbua hovyo kabisa.

    • @seifkulwa3346
      @seifkulwa3346 10 месяцев назад

      @@victoriajames5413 Mungu ameumba Dunia na vitu vyote kwa formula Kila kitu mahala pake Mwanaume vs mwanaume, mchana vs usiku, kiangazi vs masika, Masaa 12 mchana vs Masaa 12 usiku, uhai vs kifo nk huwezi badilisha kwa tamaa zenu za kisiasa just waste of time for nothing.
      What is religion? Religion is nothing in this universe, created by human being to control the majority for nothing and minority continue monopolizing resources for their family!

  • @mwakalingaabas981
    @mwakalingaabas981 10 месяцев назад +7

    Jamaa lina akili sana hili dr elly waminian

  • @saidmlemeta8083
    @saidmlemeta8083 10 месяцев назад +9

    Huyu jamaaa anakili nyingi sana alikuja kwetu hapa GGM geita gold mine yuko vzr mno

  • @mwakilamwaki1718
    @mwakilamwaki1718 9 месяцев назад +1

    Uyu na Hamonaizi sawa

    • @HassanHassan-sn5cj
      @HassanHassan-sn5cj 9 месяцев назад

      Umeonaeeee!!! Anatumiwa na utawala wa Ant crist au Masihiddajaal hata bila yeye kujua!!

  • @madreks253
    @madreks253 10 месяцев назад +1

    Well said Dr! ❤

  • @NoelMwikeve
    @NoelMwikeve 10 месяцев назад +5

    Usipo kuwa logical huwez kumuelewaa

  • @majidfrolian4904
    @majidfrolian4904 10 месяцев назад +1

    Balaa huyu jamaa 😊

  • @charlesmakelele4268
    @charlesmakelele4268 10 месяцев назад

    Anaitwa Dr ELIE.

  • @rahellubandila1928
    @rahellubandila1928 10 месяцев назад

    barikiwa sana

  • @LusiaJohn-mv4xd
    @LusiaJohn-mv4xd 10 месяцев назад

    asante doct

  • @elyudsaleh6044
    @elyudsaleh6044 10 месяцев назад +7

    Jamaa kafanikiwa kukufurisha imani zote na amesepa na kijiji

    • @jamesraphaelmdima4729
      @jamesraphaelmdima4729 10 месяцев назад

      Tafuteni maarifa kwa mwenyezi Mungu na wala si kwa wanadamu!

    • @bongomastory791
      @bongomastory791 10 месяцев назад

      @@jamesraphaelmdima4729 Mungu pia anatumia wanadamu kufikisha maarifa

  • @henrymkuye6669
    @henrymkuye6669 10 месяцев назад +3

    Dr is the best

  • @hgmtz8997
    @hgmtz8997 10 месяцев назад +6

    Hata akili ya mtoto hutokana na akili ya mama

  • @StevenHinjo
    @StevenHinjo 10 месяцев назад

    Safi kabisa

  • @ellynikotv7178
    @ellynikotv7178 10 месяцев назад +3

    Much respect though

    • @rizikiesromu1418
      @rizikiesromu1418 10 месяцев назад +1

      Niambie akili sahihi ni ipi?je ni ile ya kufundishwa na mungu au mwanadamu? Acheni dharau
      Mungu hips apendye.

  • @georgesamwelchacha7680
    @georgesamwelchacha7680 10 месяцев назад +11

    Ukisema utoe Zawadi kwa Mwanamke ambae amekuja bila kupaka Wanja au Madikodiko hapo hayupo😂😂😂

  • @elishaussiri345
    @elishaussiri345 10 месяцев назад

    Hapo kwenye kwanzia umemkosea Mungu

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz 10 месяцев назад +3

    Huyu mtu ana akili nyingi sana na kumuelewa lazima na wewe uwe na akili

  • @sontrillthereal8186
    @sontrillthereal8186 10 месяцев назад +3

    Ana madini sana ila ukiwa shabiki wa simba huwezi elewa

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 10 месяцев назад +2

    AKILI KUBWA❤

  • @Thabitilubunani
    @Thabitilubunani 10 месяцев назад

    Mshamba huwezi kupngana. Na maandiko ya vitabu vya mungu vya dini yote

  • @neemashingda
    @neemashingda 10 месяцев назад +1

    Bila kuwa na d mbili huwezi elewa hii

  • @ngaribaonlinetv
    @ngaribaonlinetv 10 месяцев назад +1

    Fact

  • @ontarget7949
    @ontarget7949 10 месяцев назад +2

    Dr Elie huna baya

  • @EmmanuelSanga-u4e
    @EmmanuelSanga-u4e 10 месяцев назад

    Weka tuweke ila sio kwa kuwekwa wake kuwa wanaume tufahamu mungu ni mkuu na ukuu wake utadumu milele ukiupuuza kesho yako itakuwa mbaya sana

  • @ellymzera2457
    @ellymzera2457 9 месяцев назад

    Agreed. .🇰🇪

  • @Papaa_Hillary_Mrema
    @Papaa_Hillary_Mrema 10 месяцев назад +4

    Uwezo wa Fikra wa Dr Elie VD lazima urithishwe kwa kizazi cha sasa. Utajiri unaanzia Fikra kisha unahamia katika roho na mwili.

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 10 месяцев назад +1

      Sijamwelewa kabisaaaa, alikuwa anajikanyaga kanyaga sana tu ...lakini, kwa vile ana title ya Dr professor lazima tutishike na tumuone kwamba ana akili kubwa kuliko sisi. Hakuna mwanamke hata mmoja aliyemwelewa hapo..kawa buruza tu.

  • @josephjeremiah-x5v
    @josephjeremiah-x5v 10 месяцев назад +2

    Huyu Dr anafaa kutembea kwenye furusa ni represement ya ruge anamadin hatar

  • @msomaprince2644
    @msomaprince2644 10 месяцев назад +1

    Nimemuona Tima😂😂

  • @leonardmadelemo3043
    @leonardmadelemo3043 10 месяцев назад +1

    Elie vd nouma sana

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 10 месяцев назад

    Mhhh acha zako

  • @qonquererqanquerer1781
    @qonquererqanquerer1781 10 месяцев назад

    Asije Kugeuka Chawa tuu Kama Yule Professor Mngine Wa Majalalani Akili Zote Zitaisha

  • @jeremiahblazio4781
    @jeremiahblazio4781 10 месяцев назад +2

    Hawa wanaojiita wasomi ndo wahalibifu wa dunia unafikiri hao unaowajaza vichwa wakitoka hapo wakayabeba hayo kama yalivyo siwatataka nafasi ya mwanaume waichukue wao na nini kitafata si ndoa kuvunjika na watoto kuhangaika.

    • @nelsonmgaya1490
      @nelsonmgaya1490 10 месяцев назад

      True!!

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 9 месяцев назад

      Education is truly important. That's why we need it. It enlightens our thoughts. Only people who understand him, can appreciate such lessons.

  • @nelsonmgaya1490
    @nelsonmgaya1490 10 месяцев назад

    Uchawa ni m baya sana!!!

  • @athumanhassani805
    @athumanhassani805 10 месяцев назад +1

    Wewe muo😢

  • @zainakingwele9228
    @zainakingwele9228 10 месяцев назад +2

    Sioni ulicho sema kwenda kujiuza au kivip kweli dunia ipo mwisho

  • @peterrayunga
    @peterrayunga 10 месяцев назад +2

    Mkufunzi umetupoteza kwamba mungu ni mtu? Umedanganya Kila kitu jike no no no.

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 10 месяцев назад

      ee mungu ni mtu ila Siyo MUNGU utofautishe hayo mambo mawili

  • @yohanaibrahim4128
    @yohanaibrahim4128 10 месяцев назад

    Nimemuona kungwi liliani

  • @SmithJacob-f2r
    @SmithJacob-f2r 10 месяцев назад +2

    Huu ni ujinga tena ujinga wa hali ya juu na hawa ndo hutuhalibia family

  • @frank_luminous
    @frank_luminous 10 месяцев назад +1

    Huyu MTU ni zawadi kwa wote macritical thinkers!!

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry 9 месяцев назад

    Mpumbavu huamini kila achoambiwa

  • @yamungummungulo633
    @yamungummungulo633 10 месяцев назад

    Wengne wanaona muda kumepoa #Gigy

  • @dostovan5142
    @dostovan5142 10 месяцев назад

    Usipo kua na akili yako uta amini chochote unacho ambiwa na hawa ma motivation speaker, waongo sana, wanaonga vitu vya kufuraisha watu tu

  • @husseinmnubi6834
    @husseinmnubi6834 10 месяцев назад +1

    Real talk Dr🫡

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 10 месяцев назад +5

    Sasa watu ambawo hawana elimu na wana hela.hawo ni kundi gani maana umeongea so badly kwa watu ambawo hajasoma.na asilimia kubwa ya watanzania hawahasoma haiyo ni matusi

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 10 месяцев назад

      Ndo changamoto ya wasomi wetu wanathan elim ndo kila kitu ni ujinga mtupu

    • @masungadutta3823
      @masungadutta3823 10 месяцев назад +3

      Elimu siyo darasani tu ukiwa na uelewa wa jambo ni elimu tosha

    • @Jpn_Studios
      @Jpn_Studios 10 месяцев назад

      POINT 100% ​@@masungadutta3823

    • @JohnsonBagambi
      @JohnsonBagambi 10 месяцев назад

      @@masungadutta3823 👍👍👍

    • @magorymara5515
      @magorymara5515 10 месяцев назад +1

      Umeropoka mwana ili umwelewe unatakiwa kuwa na akili sana hivi vitu kama vinakuzid uwezo we pita tu kimya kimya si lazima kuchonga

  • @godfreymgaya1862
    @godfreymgaya1862 10 месяцев назад +2

    I see my daddy PT

  • @hailinhelen4675
    @hailinhelen4675 10 месяцев назад +2

    anayo sema ata yeye mwenywe nadhania hayafamu 😢😮

  • @dicksonulotu7427
    @dicksonulotu7427 10 месяцев назад +3

    Sitakaa nimwelewe,endelea kuwadanganya .

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 10 месяцев назад +1

      Sisi Tunamwelewa tulio tayari Kujifunza n Kuelewa

  • @RaymondKilomeye
    @RaymondKilomeye 10 месяцев назад +2

    Kuwa mwanasaikolojia sio kujua Kila k2 kwasifa ulizo wapa wanawake wangekuwa wanajitambua au kujua wanachokifanya lakini nitofaut, kwamfano huo huo wanaume %kubwa tunajielewa bila kufundishwa tunajifunza kwakuona kwa matukio toaut na mwanamke Ambae ht umfundishe bado anahtaj umuongoze simo kwenye nigal nishushe tetea ugali wako2 ndugu hakuna usahih ktk Hilo, ww na mungu nani anamjua binadam mpaka kumfanya mwanaume awe mtawala wa mwanamke iliwezekana vp wakat uwezo wakufikili zaid kampa mwanamke cjawah kuona akijiongoza, halafu km ww nimdhaifu kwa make wako co wote, unavyojiona ww cvyo wengne walivyo

    • @chance0709
      @chance0709 10 месяцев назад +1

      Wewe hakili ndogo tu huna logiki bali unatumia Isia kuandika mambo haya yote .

    • @AgnessPetro-y3x
      @AgnessPetro-y3x 10 месяцев назад

      Unaongea nini, na nyie ndio wadhaifu wenyewe mliomdidimiza mwanamke, tulia dawa ikuingie

  • @mosesmnyantope9534
    @mosesmnyantope9534 10 месяцев назад

    Duh

  • @chakulachaleo
    @chakulachaleo 10 месяцев назад

    Ukitaka pesa ya aibu lazima usifie kilichokupeleka,ila sidhani kama anasoma NENO la MUNGU huyu, MUNGU alishatoa majukumu ya MWANAMKE na MWANAUME,WEWE ni nani ukampinga MUNGU anaekupatia pumzi?

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 9 месяцев назад

      I wish you could understand him logically. We need such great minds in Africa. It takes a person with sound judgement to understand him. Seek knowledge first before you criticize anything. Good luck!

  • @elinihakimsuya1673
    @elinihakimsuya1673 10 месяцев назад +3

    Mwisho wadunia huo,mafundisho potofu

    • @yamungummungulo633
      @yamungummungulo633 10 месяцев назад

      Kvp ndug? Tokea zaman wanawake matajir wapo, rejea mke wa kwanza wa pro Muhmad (S.W A)

    • @ruthn9381
      @ruthn9381 9 месяцев назад

      Really? Don't see why?

  • @bennyinnocent2750
    @bennyinnocent2750 10 месяцев назад

    ASILI KAMWE HAIPITWI NA VYA KUCHACHA

  • @AliySaid-i2t
    @AliySaid-i2t 10 месяцев назад +4

    Mi nasikia pumba hakuna maana ata

    • @salehsimba5306
      @salehsimba5306 10 месяцев назад

      Maneno ya kuwafariji watu dhaifu duniani

    • @pascalwissi4805
      @pascalwissi4805 10 месяцев назад +1

      Itakuwa uwezo wako mdogo, si rahisi kumuelewa dr

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 10 месяцев назад

      Mungu mwenyewe alimwona ni dhaifu kwanza hajaumwa ninsehemu ya mwanaume

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 10 месяцев назад

      Kweli Kabisa 😂 Kaongea point za Msingi Sana yeye hajaziona Kwasababu ya Uwezo wake

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 10 месяцев назад

      ​@@chrismassawe2939Hakuna sehemu Kwenye Vitabu vitakatifu Mungu Amesema Mwanamke ni Dhaifu Kwa kinywa chake Zaidi ya Mtume Paulo(Biblia) tu Kwa uzoefu wake Wa kibinadamu na Si Mungu kusema

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 10 месяцев назад +2

    Mafundisho ya kishetani hayo

  • @mchumiajuani1993
    @mchumiajuani1993 10 месяцев назад +5

    Dr Elie akili kubwa, vijana wajinga wajinga hamuwezi kumwelewa, kuna mtu anamuona leo ndio anakuja kumtolea hitimisho, hata kipindi cha chomoza hukijui.

    • @victoriajames5413
      @victoriajames5413 10 месяцев назад

      22:34 kuna mamtu humu majinga Sana hayataki uhuru wa kujifunza yameshikilia kitu kimoja kimoja tu sio ya kuambatana nayo utadumaa!😅

  • @KillyM-ry5iy
    @KillyM-ry5iy 10 месяцев назад

    Uyo ni mcongo

  • @ChristopherAmwago
    @ChristopherAmwago 10 месяцев назад +1

    Nimejutia mb zangu nilizotumia kukusikiliza ila dah bure kabisa fyuuuuu.

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 10 месяцев назад +2

    Hamnw Kitu hapo

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 10 месяцев назад

    HAYO NDO MAHUBIRI YA WATANZANIA. MWANAMKE , MWANAMJE, NWANAMKE.

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 10 месяцев назад

    Ktk mastar wote hayupo Mwanamme mmoja tu naye ni zaidi ya wanaume wote waliokuwepo humu,mkutano wa wanawake mwanaume unakuwaje kimbelembele,kwann msingewasindikiza na kuwasikiliza wao wanalipi la kuusiana kama wameshajitambua. Kwenye wimbo wao walisindikizwa tu na ujumbe waliutoa wao kwa jamii na kutambua wao wanathamani gani,hapa mnawafanya wajione watu zaidi ya watu pasipo kujituma wala kujitoa 7bu mwanamume ndio anaelezea maziri yao kanakwamba wao hawayajui majukumu yao. Waraka mzuri ila ungewaandikia wausome wao waonekane wao tu. Mondi yukowapi hapa?

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg 10 месяцев назад

    Nimekusikiliza kwa dakika kama 11 hivi unafundisha uzuzu tu nawashangaa wanaume wanao tikisa vichwa kukuelewa nao pia ni mazuzu tu

    • @AgnessPetro-y3x
      @AgnessPetro-y3x 10 месяцев назад

      Sasa Kwa ukubwa wa uelewa huo anaoongea apo na udogo wa akili yko unategemea nini?😊

  • @nasibugunda7927
    @nasibugunda7927 10 месяцев назад +2

    Ni siku kuu yao we wasifie tu

    • @saulostephen197
      @saulostephen197 10 месяцев назад +1

      huvi yeye anafanya shughuli gani vile

    • @godfreymgaya1862
      @godfreymgaya1862 10 месяцев назад +1

      Mwanaume ni logic , tunarud pale pale

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 10 месяцев назад

      huyu ni mwanasaikolojia@@saulostephen197

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 10 месяцев назад

      @@saulostephen197 ni mtaalamu wa falsafa na mbobezi wa elimu ya theolojia.

    • @nasibugunda7927
      @nasibugunda7927 10 месяцев назад

      logic ni nn?
      @@godfreymgaya1862

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 10 месяцев назад +3

    Huyu mjingai ana tu tukana huyu

  • @kaginazongori
    @kaginazongori 10 месяцев назад

    Huyu mshikaji apimwe akili maybe anatatizo la afya ya akili

  • @MnazaretiMystry
    @MnazaretiMystry 9 месяцев назад

    Mpumbavu huamini kila anachoambiwa