Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu NJIA SITA ZA KUPUNGUZA UPANDAJI WA SUKARI KWENYE DAMU#*

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Fuatana na Prof. Mohamed Janabi ili kufahamu NJIA SITA ZA KUPUNGUZA UPANDAJI WA SUKARI KWENYE DAMU#*

Комментарии • 64

  • @anithasemwano8276
    @anithasemwano8276 6 месяцев назад +12

    Watu wengine wanabeza ,Dr.kiukweli unafanya kazi ya kiimani Mungu akupe umri mrefu tuendelee kunufaika na elimu yako.

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 13 дней назад

    Ninachojifunza hapa ni kwamba aisee wafrica wenye hela tunaowasifia milo yao ndio wapo hatarini zaidi, tunaokula mchicha, dagaa, tembele kwa dona na kuviamkia viporo kumbe tupo salama, alhamdulillah ❤

  • @allykinyaga6060
    @allykinyaga6060 6 месяцев назад +8

    Ahsante Muhumbili TV, Ahsante prof kwa Elimu hubwa hii uliyopatia bure

  • @MrDaoud-il9nt
    @MrDaoud-il9nt 4 месяца назад +4

    Dr. Tunakuelewa ila hali ya maisha ndio inatupeleka huko

  • @MabelKaaya-hl2je
    @MabelKaaya-hl2je 6 месяцев назад +4

    Asante sana kwa maarifa haya muhimu Doctor Janabi. Mungu Akutunze.

  • @bernardmarcelline7623
    @bernardmarcelline7623 6 месяцев назад +18

    Itapendeza akitumia mifano zaidi ya vyakula tunavyokula waswahili wa kawaida huku mtaani na kwa majina tunayotumia huku mtaani. Vitu kama chips kuku, ndizi maharage, kande, chai kwa magimbi au mihogo nk. Hii itatusaidia zaidi. Sisi wengine kuku, nyama na samaki kwetu ni kitoweo tu kilichopatikana siku hiyo mara nyingi sisi ni mchicha, kisamvu, majani ya maboga, mlenda, matembele ndio mboga zetu.

    • @khaledeponera6070
      @khaledeponera6070 5 месяцев назад

      Usituongelee watanzania wote....huyo ni wewe na umasikini wako

  • @JoyceW.Kimaro
    @JoyceW.Kimaro 5 месяцев назад +3

    Wakae sehemu ambao haina makelele mbona mie namsikia vizuri sana Mungu ambariki sana huyu Dokta jamani

  • @nazirsulaiman8352
    @nazirsulaiman8352 6 месяцев назад +3

    Asante sana doctor,
    Umefafanua vizuri,
    Mwenyezi Mungu akubariki,
    Tunanufaika na elimu Yako big up.

  • @tumainielmaruwa3148
    @tumainielmaruwa3148 6 месяцев назад +4

    Prof Janabi Mungu akupe umri refused sana. Wewe ni Lulu kwa watanzania

  • @sindabahabwoyaanacret660
    @sindabahabwoyaanacret660 6 месяцев назад +20

    Wanao lalamika sauti ipo chini nipende tuu kusema madaktar huwa hawapayuki

  • @faridali4313
    @faridali4313 4 месяца назад +1

    Tunashukuru sana kwa Elimu ya afya unayotupa... Ila sauti ni ndogo haisikiki vizuri.

  • @jacobnduya798
    @jacobnduya798 6 месяцев назад +5

    Nimegundua darasa zuri sana tena la bure. Asante sana professor nimependa sana mafundisho yako. 🙏 God bless you and keep you safe.
    Mwisho naomba niulize swali, je nikila wanga asubuhi na jioni na kufanya mazoezi ya kukimbia mara tatu kwa wiki je bado niko hatarini kupata kisukari?

    • @leahogutu9818
      @leahogutu9818 3 месяца назад

      Dr Janabi Mungu akutunze wewe ni tunu kw wa Tanzania nimekuelewa sanaaa

  • @shukranjulius9526
    @shukranjulius9526 6 месяцев назад +1

    Mashaallah, shukrani sana Doctor

  • @mohamedhajj9881
    @mohamedhajj9881 6 месяцев назад +8

    Dadeki kumbe kiporo kina lika kitaalam

  • @GetrudeMngulwi
    @GetrudeMngulwi 4 месяца назад

    Asante. Mungu aendelee kukutumia kwa vipindi hivyo.

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 6 месяцев назад +1

    Asante doctor mimi nimejitahidi nimepungua lakini nasumbuliwa gas,pengine cjafahamu vzur jinsi ya kupangilia

  • @johnmsokulu7726
    @johnmsokulu7726 6 месяцев назад +1

    Namuomba ajitahid kutumia kiswahili pale inapowezekana mfno hvyo vyakula wengi utawaacha hawataelewa better atumie kiswahili, asante

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 5 месяцев назад

    Shukrani sana Dr

  • @octaviantito
    @octaviantito 6 месяцев назад +3

    Kuweza kujizuia kula vyakula vya sukari na wanga usiku itakusaidia sana kupunguza ongezeko la sukari kwenye damu.

  • @charlesmoshi1983
    @charlesmoshi1983 5 месяцев назад +1

    Kumbe vipolo fresh sana eeh havina shida kama tulivyokua tunadhan

  • @christinekirigini5963
    @christinekirigini5963 3 месяца назад +1

    Dr nimekuwa mfuasi wako na naamini nitapungua na kumaintain baada ya hapo

  • @ashrafurwegoshora4227
    @ashrafurwegoshora4227 6 месяцев назад +2

    Inasikika vizuri sana

  • @AminiMsellem-gk3yy
    @AminiMsellem-gk3yy 6 месяцев назад +3

    PIGA KELELE KWA WAPENDA VIPOROOOO😂😂😂

  • @jacklinelyimo7407
    @jacklinelyimo7407 5 месяцев назад

    Asante

  • @leahogutu9818
    @leahogutu9818 3 месяца назад

    Nimesikia Dr unazungumzia viazi naomba kujua ni viazo Ulaya au viazi vitamu tafathali tujuze Asante

  • @ConsalvaMumbara
    @ConsalvaMumbara 6 месяцев назад +1

    Doctor je hyo vineger kwa wenye vidonda vya tumbo?

  • @vanywilson4142
    @vanywilson4142 5 месяцев назад

    Dr jenabi umetusaidia sana masomo yako ni mazuri sana kwa jamii

  • @RevocatusSebastian-c8o
    @RevocatusSebastian-c8o Месяц назад +1

    Dokta vip kwa anaekula matunda usiku kisha akanywa maji nakulala je, anahatari kupata kisukari maanna matunda yanasukari pia

  • @neliusgosbertbaguma8693
    @neliusgosbertbaguma8693 6 месяцев назад +1

    Viazi vitamu vipi havina sukari?

  • @LizyKinabo
    @LizyKinabo Месяц назад

    😂😂ma dr hawapayuki kweli

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 6 месяцев назад

    Isingekuwa sauti kuwa chini leo tena nisingekula ila now sijakusikia acha nijivinjali.

  • @Selemlaki132
    @Selemlaki132 6 месяцев назад +2

    Sauti Iko chini sana

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 6 месяцев назад

    Yaani hapa Dr tuambie tule chakula gani sisi watu wa Hali ya chini maana tumezoea mchana ugali jioni mahalagwe?na vitu vingine Bei yake hipo juu

  • @jamesimanwel5089
    @jamesimanwel5089 6 месяцев назад +1

    Sauti iko chini sana

  • @abdallahbahadadi7172
    @abdallahbahadadi7172 5 месяцев назад

    Prof. Kuna kitu hatari kuliko blood sugar nacho ni INSULIN resistance. Hapa kwetu kuna baadhi ya madaktari hawajawahi kusikia vipimo vya insulin test au HOMA IR.

    • @dorothymbise3427
      @dorothymbise3427 3 месяца назад

      Hiii unatest wapi.

    • @abdallahbahadadi7172
      @abdallahbahadadi7172 3 месяца назад

      Insulin test nimepima TMJ Mikocheni. Hospital nyingine hata kusikia kipimo hicho hawajakisikia.
      Kujiandaa:Asubuhi hauli kitu. Vipimo ni viwili 1 Fasting Insulin (shs 70000) 2 Fasting Glucose ( 5000).Ili kupata HOMA IR kuna ukokotozi. Zipo online

  • @holyboy_midwife7596
    @holyboy_midwife7596 4 месяца назад +1

    Zote n carbohydrates

  • @Saumu.K.karisa
    @Saumu.K.karisa 5 месяцев назад

    Mimi.huwa.napenda.sana.kula.malemau.na.maganda.yake.je.kunamadara

  • @nicksonngogo7904
    @nicksonngogo7904 5 месяцев назад

    🎉🎉🎉

  • @MaryamSeif-x5z
    @MaryamSeif-x5z 2 месяца назад

    Viyazi vitamu haviongezi unene

  • @ManswetKimario
    @ManswetKimario 6 месяцев назад

    Sauti ndogo ?

  • @buberwaaligaesha1779
    @buberwaaligaesha1779 6 месяцев назад

    Ongeza sauti ya simu yako inasikika vizuri

  • @OswardWilson-gx2hy
    @OswardWilson-gx2hy 6 месяцев назад

    Asante

  • @mahmoudmtanga8448
    @mahmoudmtanga8448 4 месяца назад

    mdundo mkubwa sauti ndogo