PART 2: MBELE ya KIKWETE, Mzee MAKAMBA Asimulia VITUKO, MIKASA WALIYOPITIA na BABA YAKE NAPE VITANI!

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • PART 2: MBELE ya KIKWETE, Mzee MAKAMBA Asimulia VITUKO, MIKASA WALIYOPITIA na BABA YAKE NAPE VITANI!
    LEO Desemba 05, Rais mstaafu wa awamu wa Nne, Jakaya Kikwete na viongozi wengine wa serikali wameshiriki katika kumbukumbu ya kifo cha baba mzazi wa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, Hayati Brigedia Moses Nnauye..
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 306

  • @fredybasleymrema4737
    @fredybasleymrema4737 2 года назад +6

    Mwenyezi Mungu akuongezee maisha baba. Hakika kuna kitu cha kujifunza baada ya kuangalia hii.

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 2 года назад +2

    Strong memory...Mzee Makamba is very genius! Udumu na kudumu!

  • @augustinesimwiya9091
    @augustinesimwiya9091 2 года назад +4

    Asanteni kwa kumbukizi hii ya Mzee wetu MOSES NNAUYE imetujuza mengi ya Muhimu kuhusu Nchi yetu🇹🇿🇹🇿🙏

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 2 года назад

      Ww unatafuta uteuzi au kichwa ya kitumwa tu uliyobeba kichwani , au msomi sana mwenzetu ,maana wasomi siku hz ndio wameoza kbsa hahahahaaaa
      .

  • @geraldmwandolela8535
    @geraldmwandolela8535 2 года назад +5

    Mzee hakika Asante kwa Elimu na kufundisha kuweza kuelimisha vijana na wengi tutajifunza kupitia huo ujumbe Mungu azidi kuwabariki daima wazee wetu

    • @erickford9324
      @erickford9324 2 года назад

      Sasahiv wanaonekana mungu anawaona

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 10 месяцев назад +1

    Shikomoo boss wangu ewe rafiki Mkuu.
    Ni Kikwete ndugu yangu kwako najitupa puu.
    Nisamehe kosa langu, Moyoni si juujuu.
    Nilikusengenya ndugu, kwenye simu kuukuu.
    Nahofu sana kwa Mungu nisichomwe huko juu. Mkali moto wa Mungu, siyo moto wa kifuu.

  • @ReubenRaymond-zh4yw
    @ReubenRaymond-zh4yw 23 дня назад

    Hongera kwa Historia hiyo muhimu mbele ya Mh.Kikwete Rais mstaafu awamu ya nne.

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +6

    Mungu anawaona

  • @ndamarevocatus4918
    @ndamarevocatus4918 2 года назад +2

    Kila aliyezaliwa ndani ya Nchi apewayo na Mungu hutoa mchango wa kuijenga kwa nguvu zake zote. Yusufu wala sina shaka na kazi zako Mungu akubariki

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 2 года назад +17

    Wakati wa magu mlikua hamuonekani kimya

  • @francisibrahim2206
    @francisibrahim2206 2 года назад +7

    Kosa moja kubwa sana wanalolifanya wanasiasa ama kwa sababu ya ujinga wao au kwa masilahi yao binafsi, ni kushindwa kufahamu kuwa moja ya tunu na nembo za taifa letu ni pamoja na Rais wa awamu ya 5. Mwanasiasa yeyote anayejitoa ufahamu wa kutaka kufifisha uongozi uliotukuka wa awamu ya 5, ajue anapambana na nguvu ya umma!

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Hujitambui wewe

    • @josephatkajange8714
      @josephatkajange8714 2 года назад +1

      Ibrahim hujitabui, toa blanket usoni kumeshakucha.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      @@josephatkajange8714 magufuli anakuwaje tuna ya taifa embu acheni utoto

    • @hassankurwa464
      @hassankurwa464 2 года назад +1

      Hakika hakika. Nchi ina chezewa sasa na Watanzania tunakubali huu Ujinga?

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад +1

      @@hassankurwa464 watu kukutana ndio kuchezea nchi?

  • @richardkamota859
    @richardkamota859 2 года назад +6

    Yani nimeipenda hii stori sana, mungu awabarik

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 года назад +7

    Kwahiyo mzee unamaanisha nini ? Mbona kama stori haitoshi ninyi kujimilikisha taifa hili ...... Yaan hivyo tu itoshe ninyi kujimilikisha na kurithishana nchi hii kweli ..... Hakika mungu atawaumbua mmoja mmoja na kwapamoja as you are.

  • @lameckzakaria2297
    @lameckzakaria2297 2 года назад +10

    Wauaji

  • @mashashpastory7467
    @mashashpastory7467 2 года назад +12

    Wala hiyo siyo sababu ya kuifanya hii nchi kuwa pango la walanguzi.

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Una ushahidi wa unayotuhumu ?

    • @happinessmsila1896
      @happinessmsila1896 2 года назад

      @@itwaaky75 yes anao hao ni kundi la wezi na ndiyo wanaoua viongozi wenzao hiyo ni sherehe kwa kufanikiwa humuua mkapa magufuli na wengine .so dont think were stupid. No were not

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      @@happinessmsila1896 inabidi ukamatwe ukatoe ushahidi

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn8562 2 года назад +19

    Kazi wameshaimaliza sasa ni muda wao kujitokeza

  • @luckygmdegela8477
    @luckygmdegela8477 2 года назад +11

    Kazi tunayo, maana hichi kikundi Sina imani nacho kabisa.

  • @msafirisehaba270
    @msafirisehaba270 2 года назад +4

    Mzee Makamba umetukumbusha sehemu ya Historia ya Nchi yetu asante Baba. Barikiwa Sana tusingeyajua haya yote

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 10 месяцев назад

    Hongera sana Mhe Mzee Yusufu Makamba kwa Hotuba hiyo nzuri na kuweza hadi kuwachekesha kina mhe daktari Kikwete jamani.

  • @Werema3760
    @Werema3760 2 года назад +7

    Mmmh aya bana apanguae ni Mungu pekee hata mwanadam ajitahidi vp haitachukua muda!!!

  • @karaoglan9444
    @karaoglan9444 2 года назад +2

    Makamba,JK na Kinana..watu muhimu Sana kwa nchi hii

  • @yonnasingogo5877
    @yonnasingogo5877 2 года назад +9

    They are happy now!

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Why not jambazi kuu SI limekufa? 😂

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 2 года назад +1

      They are so happy sasa hivi wanajimwambafai wezi wakubwa mabepari wa Tanganyika hawa

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      @@teddyoscar6876alaaa kumbe kama mwizi wa chato 😂😂😂

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri 9 месяцев назад

    Hongera bwana Yusufu Makamba la mwisho jina .
    Hakika tunakusifu, uimbaji wenye vina.
    Tungo zilizosafifu, mahiri kama kijana.
    Atakae kukashifu ni mjinga na laana.
    Amepotezq mkufu na ni kama dini Hana.

  • @gracegrace6200
    @gracegrace6200 2 года назад +29

    Wapigaji wa taifa. Wameifanya Tanzania kama mali yawo binafsi. Mungu atawahukumu.

  • @capteinchuimchafu7894
    @capteinchuimchafu7894 2 года назад +7

    Siku zote mlikuwa wapi kusimulia hadithi zenu kweli chuma n kimoja tu Africa

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 2 года назад +4

    Nchi hii haya bwana sema historia nzuri kweli

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 2 года назад +8

    Kikosi Kazi cha mizee iliyopora mali za Watanzania

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад +1

      Kina Sabaya au Wasiojulikana au 😳😳Hatari sana hii. Kwa MUNGU hakuna Cheo

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Lol na yule jambazi sugu wa chato veepeee 😂

  • @geofreyambakisye767
    @geofreyambakisye767 2 года назад +7

    Hicho kikosi jaman sijui!!

  • @tanstudiotv
    @tanstudiotv 2 года назад +1

    Unafiki aiseee kazi sana!

  • @elipidtesha5466
    @elipidtesha5466 2 года назад

    Safi sana viongoz mmetutoa.mbalimwenyez.mungu zid kuwalinda upendo dumu asijetokea mtu tena wa kutuondolea utu heshima na upendo

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 2 года назад +7

    Hakuna Siri Duniani Hapa haitafichuliwa....

  • @emanuelkenethkanyela9137
    @emanuelkenethkanyela9137 2 года назад +4

    Wakati wenu huu r .i.p jpm mzalendo namba moja tanzania

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      You mean mpigaji namba Moja Tanzania fala sana we jamaa 😂

    • @allymadunda7931
      @allymadunda7931 2 года назад

      Mtukumbe hajaenda vitani halafu anatukana wazee vijizee vinawashwa

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 2 года назад +1

    Bring back professor Asad

  • @fikirinyanda6805
    @fikirinyanda6805 2 года назад +11

    Kwakweli mnafuraha sana dah!

  • @SoudyBrown
    @SoudyBrown 2 года назад +2

    Mzee Makamba Bana anafurahisha anaelimisha 😂

  • @antoinekatembo8520
    @antoinekatembo8520 2 года назад +1

    Wamekuja wote sasa…! Lakini ushaidi hakuna, na kweli ushaidi HAKUNA…, kazi mlioifanya kwa kweli M/Mungu aendelee kuwalinda. Andika kitabu mzee Makamba

  • @adammwamba9177
    @adammwamba9177 2 года назад +7

    Aiseee......watu muhim Sana ktk taifa hili mnastahiki kuheshimiwa Sana na kila atakae shika madaraka nasio kuwabeza kanakwamba hamjafanya lolote na amna umuhim wowote....

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 года назад +1

      Mbele za mungu hawana hata ndururu ya kujivunia malaika atafukua kitabu atarudia atachoka sifia hapa hapa duniani laana wa kubwa hawa wamefikia hatua ya kumzihaki mungu kuapa kwakushika vitabu kwamba hawatatia siri za IKULU KISHA WANAZITOA THE GRUP OF THE DEVO HAWANA HAYA HATA MBELE ZA MUNGU KISA UTAJILI WAHESHIMIWE KWA MAKUNDI YAO YA UOVU NA KUPIGA MACHINGA NA KUWAACHIA WASANII WANAO IMBA NYIMPO MBOVU NA NGUO NUSU UCHI?

    • @adammwamba9177
      @adammwamba9177 2 года назад +1

      @@jenyyusuph4973 Kati yao Kuna hata mmoja uliemuona akivunja kibanda au kumpiga machinga yoyote?.....
      Akili za kuambiwa changanya na zako,mbona aliekuwa kiongozi wa awamu ya tano alivunja nyumba za mabondeni na barabarani ila hakuna alie ongea....kuhusu machinga kuwepo mjini tena kwenye njia za wapita kwa miguu nisawa na kwako ukute shemeji kajenga Banda la bata chumbani kwako

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 7 месяцев назад

    Dah!

  • @azaellivingston7415
    @azaellivingston7415 2 года назад +3

    Hi ndiyo kamati ya roho mbaya utazani wazuri lakini?

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +4

    NYERERE anawaona

  • @umayanasir8052
    @umayanasir8052 2 года назад +5

    Comredy upo!

  • @saidkipalo4427
    @saidkipalo4427 2 года назад +5

    Comments za leo Zina furahisha Sana. Kiukweli magufuli alitaka kuiharibu hii Nchi lkn MUNGU mkubwa Sana tunawapenda Sana viongozi wetu hakika hii ndio Tanzania.

    • @thanibattashy2367
      @thanibattashy2367 2 года назад

      😂😂😂

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад

      Wazee Waheshimiwe sana

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Actually aliharibu sana watu wengi imagine mijitu imejaa chuki na dhihaki halafu inasema mizalendo move on idiots magufool is dead gone and he is not coming back

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 2 года назад

      @@ghoststpatrick9878 kwani wao hao watabaki milele? Washenzi tu hao nao watakufa tu ipo siku yao ila hawatozikwa kama JPM Kudadeki

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      @@teddyoscar6876 jambazi sugu lilikuwa mashuhuri sana dah 😂

  • @sometimes5621
    @sometimes5621 2 года назад +1

    Hawa si wale waliosikika wakimkashifu jpm kwenye mahojiano ya simu hadi wengine wakaomba radhi?

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 2 года назад +4

    Safi Sana kila Jambo Lina waanzilishi

  • @mswanawamswana3129
    @mswanawamswana3129 2 года назад

    Brother Code never break

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад +21

    Majambazi nyie tumeshajua kwann mnaichezea nchi, urafk wenu ndo ututese sisi, watu wanakufa watu wanazaliwa acheni kupeana vyeo Kisa kujuana (

    • @nestor384
      @nestor384 2 года назад

      Genius

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 года назад

      Wameipigania sana hii inchi lakini na ku serve kwenye jeshi tena kipindi cha vita, wanastahiki heshima zao hawa wazee , hata kama hamuwapendi, ila vyeo kwa kweli vitolewe kwa uwezo na sio upendeleo wa kujenga undugulisation.

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 2 года назад

      Juma Hamis, waeleze wajue na waache chuki zao.Hawa majemedari wameipigania nchi kwa hali na mali hadi vitani wamekwenda kwa ajili ya nchi lkn hawajisifu.Hata hao wanaotukana Leo wasingekuwepo Kama sio hawa wazee.Wengine hawajatoka jasho kwaajili ya Taifa hili Bali wanataka kujinyakulia umaarufu wa majemedari hawa kwa kuunda vikundi vya kuwatukana na kuwavunjia heshima.

    • @yeshuasweapon4384
      @yeshuasweapon4384 2 года назад +1

      @@jumahamis227 mbona makomandoo wertu waloiuliwa Sudan na Congo hawajapewa harambeee

    • @jumahamis227
      @jumahamis227 2 года назад

      @@yeshuasweapon4384 wanastahiki kupewa heshima sana,ila nilivyoona hapo baba yake nnape hasherehekewi kwa sababu ya kijesh tu,ila ni kwa sababu ya mchango wake kwenye harakati za chama na nchi kama utunzi wa nyimbo za uzalendo na malezi ya viongozi wa chama.

  • @godsonndamgoba8053
    @godsonndamgoba8053 2 года назад +3

    Aaa watetezi wa wanyonge

  • @jituakilimali15
    @jituakilimali15 2 года назад +3

    Wezi wakubwa

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Wamekuibia nini??

  • @rachidkidugo1127
    @rachidkidugo1127 2 года назад +3

    Nikiwaona Hawa jamaa nakumbuka umeme tabu Maji tabu nchi inanuka rushwa watu wanazurumiwa viwanja hakuna Haki Mzee ditopire ariua dereva. Wadaradara kwa bunduki kesi hakuna

  • @shinipapaya846
    @shinipapaya846 2 года назад +2

    Ndio maana MABUSHA nnje nnje

  • @ooafrica3626
    @ooafrica3626 2 года назад +4

    Sasa baba ake nape anatuhusu nini

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 2 года назад +6

    Tusiwasahau wazee hawa... Yapo mengi wamefanya kwa nchi hii...japo Watoto wao viburi Ni vingi kwa ajili ya heshima za baba zao... Hekima zenu Zina tuzo kwa Mola .. éee Mwenyezi Mungu tubariki na kutuokoa Watoto wa Tz

  • @meshackmadema781
    @meshackmadema781 2 года назад +5

    Hiki nikikudi kwaajiri ya manufaa Yao wenyewe na wapo kuinyonya hii nchi

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Acha kupotosha

    • @teddyoscar6876
      @teddyoscar6876 2 года назад +1

      Kweli kabisa, nani anataka story hizo, za nini? Ni kwa ajili ya manufaa yao kweli

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      @@teddyoscar6876 umelazimishwa kusikiliza?

  • @thelezamathias1678
    @thelezamathias1678 2 года назад +1

    Mmh

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 2 года назад

    ccm inawenyewe

  • @mathayowilson1525
    @mathayowilson1525 2 года назад

    MMMM! NDO MAANA WAZEE MMEUMIA SANA WAKATI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO...TUSAMEHEANE TU...MEMA TUYAFURAHIE...

    • @gidionpaul152
      @gidionpaul152 2 года назад

      Kilakitu kinamwisho wake Sasa mwisho uwe mzur mbeleza muumba wetu

  • @arthakasiba4360
    @arthakasiba4360 2 года назад +2

    I love this Mzee..haki

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 2 года назад +3

    Panya akiondoka paka utawala. Mazee wa majungu na watoto wao si hawa ndio walikuwa wanampikia majungu mwanamapinduzi son of africa Mzalendo JPM . Mungu mlaze mahali pema peponi JPM 🙏🏽🙏🏽

  • @rizbfighter8574
    @rizbfighter8574 2 года назад

    Hawa wazee Wana haki ya kula neema ya nchi hii inshallah MUNGU awaweke🙏🙏🙏💪💪💪

  • @gracekaboigora189
    @gracekaboigora189 2 года назад +2

    Mlikuwa na upendo wa hali na mali,january na nape mmejifunza kitu???

  • @kilelechaimani.8956
    @kilelechaimani.8956 2 года назад +2

    Hapa mzee makamba anapanda mbegu ya undugulization je watoto wa mzee kanani uko kijijini watashikwa na Nani?

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 2 года назад +6

    Staki kuyaona mazee hayo,Anko MAGU angekuwepo asingeruhusu majambaz yaongee utumbo wao hapo.jinga xn

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад +1

      Asiyetaka kumuona Binaadamu Bora ujichimbie aridhini maana DUNIANI ya MUNGU. Usiyempenda ndio anaishi muda mrefu

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад +2

      Jambazi kuu sugu limezikwa chato 😂😂😂 halleluja

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 2 года назад +3

    Yameweka 4 shetani freemason anawadanganya kama mm sijafa kwakumkufuru mungu nanyi mtaywa lkn hamtakufa kwakua nyinyi ni mungu webgine

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Freemason mkuu kazikwa chato 😂

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 2 года назад +1

      @@ghoststpatrick9878 fremasoni hazikwagi vile anazikwaga na hela zake alizo iba au madawa yake aliyo uza AU VIFAA VYAKE KATI YA KIMOJA KILIVHOKUA K8NA TUMIKA KWA UCHAFU

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      @@jenyyusuph4973 alaaa kumbe! Basi tumuite kibaka 😂😂😂

  • @mdimimdimi4282
    @mdimimdimi4282 2 года назад +6

    Waandishi wa habari mnanikera xn,mnayaonesha onesha ya nini haya majambazi? Hamna kiongozi hapo Bali Kuna matapeli mtupu!pumbav xn.

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 2 года назад

      Majambazi Wasiojulikanaa Au 🙄🙄

    • @mbwanakiting7180
      @mbwanakiting7180 2 года назад +3

      Kiongozi wenu Kesha kufa kaa kimya.mnawazawaza watu wasiorudi

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Jambazi lilishazikwa chato tuliza mshono fuken kabisa wewe

  • @richardmziba55
    @richardmziba55 2 года назад

    Maandalizi ya "ngoma ya mshosho" !

  • @MakameAbdallah-wn3hc
    @MakameAbdallah-wn3hc Год назад

    Ukiona vyaelea vimeundwa hawa wazee wamefanya kazi.
    Msikae mkiwatukana ni watu wa kuwaenzi sana.
    Wamefanya kazi kubwa sana. Tulipovamiwa na Idi Amin wazee hawa ni miongoni mwa waliojitoa mhanga kuikomboa ardhi yetu na kutufanya Tanzania tuonekane kuwa si nchi ya kuchezewa
    Hongera sana wazee wetu mliopo hai hadi leo
    Wanaokusemeni kwa ubaya wana lao jambo.

  • @wazirisaid8326
    @wazirisaid8326 2 года назад

    Dah,inatia raha Sana!Wazee wanazungumzia namna walivyolipigania Taifa hili Tena ktk mstari wa mbele vitani halafu wajingawajinga wasio mwaga jasho kwa taifa hili wanataka kuifuta historia ya wazee hawa.Mungu awalinde wazee wetu.

  • @fadhilikavindi5385
    @fadhilikavindi5385 2 года назад +1

    Hii ndio timu yenyewe

  • @obediifanda3117
    @obediifanda3117 2 года назад +2

    Nyie hayeni tu

  • @amiribakari2528
    @amiribakari2528 2 года назад +22

    Watu wametoka mbali na hii nchi.wameipigania nchi kwa mtutu sio maneno at leo vijamaa kama vikina nonino vinawachafua ovyo ovyo ovyo..kabisa na watu wanawaangalia tu..ingekua sio hawa watu kujitoa mhanga wote saiv tungekua tunaongea kiganda tu apaa...kwanza angalia hiyo saluti alompigia kikwete na kanzu yake na bargashee...mungu watunze hawa watu waishi umri mrefu..na atakae wadhihakii mungu endeleza kichapo chako

    • @saidkipalo4427
      @saidkipalo4427 2 года назад

      Dah inauma Sana kiukweli Yani Ina una haki ya MUNGU

    • @abdallahhuseinkabale7534
      @abdallahhuseinkabale7534 2 года назад

      Ukweli kabisa wanastahili heshma kubwasana basi tuu

    • @uhurunyereremusa8592
      @uhurunyereremusa8592 2 года назад +9

      lakini hiyo haiondoi haki yetu ya kusema wametuibia kama Taifa naheshimu wale askari wadogo waliopigana frontline na wakapoteza maisha yao familia zao nyingi nazijua ziliishi kwa shida sana hakuna aliyewajali na hawa ndio sababu ya watu kuishi maisha ya tabu mpaka leo

    • @jumamohamed8583
      @jumamohamed8583 2 года назад +6

      Hio Haisababishi Watu Kwenda Kunyume Na Sheria Mzee Nchi Ni Yetu Sote Hata Ingekua Miaka Yetu Tungepigana Tu Na Wengi Walipigana Wamekufa Wengine Wehu Yani Mixer Sema Hawa Walikua Na Vyeo Mzee,Katiba Ni Muhimu Ifuatwe Pia Tuibadili Tuishi.

    • @saeedal-awen2190
      @saeedal-awen2190 2 года назад

      Sahihi hawa ndo ndo makomando wetu

  • @kostajoseph5811
    @kostajoseph5811 2 года назад +6

    KWELI WATU MMETOKA MBALI SANA MNASTAILI PONGEZI , ILA MUWE MNATUADITHIA TUJUE ANGALAU MACHACHE

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 2 года назад +8

    Mnatamba paka kaondoka

  • @simonmajengo4025
    @simonmajengo4025 2 года назад +1

    Hivyoooo

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 2 года назад

    Kumbe mlikuwa mnatengeneza logistic za kuwapa vyeo watoto wenu!!!

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava9184 6 месяцев назад

    Mzee, makamba achana na story za paukwa na pakawa huku mkifisidi na kulihaibu taifa

  • @miltonjohn1402
    @miltonjohn1402 2 года назад +1

    Wauwaji

  • @ramadhanimtetu7246
    @ramadhanimtetu7246 2 года назад +3

    Makomledi Mungu Awabariki sana
    Kiongozi yeyote yule Awaye Kama Akikosa Heshima kwa
    Wazee wa Nchi yake na (akaridhia
    Watukanwe na Kigenge cha wahuni) huyo ni bure
    Hafai kabisa

  • @sarahmichael7538
    @sarahmichael7538 2 года назад

    Tumwombe sana Mungu, atupatie Rais wa wananchi, sio wa kikundi Fulani, hatutaki kubebana hapa

  • @jamesmgimba7403
    @jamesmgimba7403 2 года назад

    Hii kumbukizi imeanza lini?

  • @lenatuschacha91
    @lenatuschacha91 2 года назад

    Wale watekaji wakiona watu wamekusanyika hivi wanahangaika sana

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 7 месяцев назад

    Zee hili😮

  • @tsaonethapelo6373
    @tsaonethapelo6373 2 года назад +7

    Hii ndiyo timu iliyomuondoa JPM

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад

    Nonsense. Hata km huyo delila wenu kawaingiza sasa, mtajuta. DAMU YA NYERERE +JPM ITAENDELEA KUWATAFUNA.

  • @venantrugabela6798
    @venantrugabela6798 2 года назад

    Mzee Makamba anaimba kwa kiGanda kizuri sana

  • @getitdoneright1938
    @getitdoneright1938 2 года назад +9

    Gangsters reunion party!!

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 года назад +2

      Nimekuelewa! It seems like they are celebrating!

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад

      Yes jambazi kuu limezikwa chato lazima tucelebrate 😂

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 года назад +1

      @@ghoststpatrick9878 kwani tangu lini shatani akafurahishwa na regime ya jpm! 😂

    • @ghoststpatrick9878
      @ghoststpatrick9878 2 года назад +1

      @@bcozhenry2698 it takes one devil to recognize the other devil 😂

    • @bcozhenry2698
      @bcozhenry2698 2 года назад

      @@ghoststpatrick9878 you're already recognized as a true devil through your satanic thoughts and celebration

  • @mrishogange4276
    @mrishogange4276 2 года назад +4

    Wote waliokutana hapo n mbwa tu

  • @jacksonsaileni1219
    @jacksonsaileni1219 2 года назад

    Bongo raha sana

  • @kaisimwantindili397
    @kaisimwantindili397 2 года назад +2

    NCHI IMECHAFUKWA, HATA SHEREHE ZA UMBEA HUFANYIKA.

  • @paresamaseko5422
    @paresamaseko5422 2 года назад +4

    MMEONA MASISADI WALIOKUWA HAWAMPENDI MAGUFULI NAWANAFIKI,THEY WILL PAY FOR IT

  • @solomonilukumai8856
    @solomonilukumai8856 2 года назад +1

    Sikuwah kujua historia ya mzee nauye!aiseee

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 2 года назад

    Lakini hatawazaziwetu walifia huko,nahizonyimbo ziliimbwa mpaka mashuleni,

  • @loner_wolf
    @loner_wolf 2 года назад

    Mzee katika watu waliochezea nchi hii ni ninyi kikosi chenu hicho , unatuchekesha tu kujifanya komedian lkn ninyi ndio mliharibu chama na nchi nzima , hao akina Jitopile ndio mpk waliuwa watu na waliachiwa huru mpk mungu alipoingilia kati

  • @rahimmarions5712
    @rahimmarions5712 2 года назад +1

    Kama kampongezano hivi uku tukipewa story taratiiiiibu,dj lete kale kamzik ketu

    • @itwaaky75
      @itwaaky75 2 года назад

      Mpongezano wa nini?

  • @selegioelias9076
    @selegioelias9076 2 года назад

    Tumesha wajua kwahiyo mwendo ni huoo huoo tuu inchi niyaoo wao tuu kwani ndo wao walio pigania uhuru tuu mbona kuna kina generally mayunga
    Wako kimya na watoto wao hawajulikani ?
    Nyie nikinanani muwe mwiba kwa inchi yetu wote ?

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 2 года назад +2

    Tanzania tumetekwa

  • @geey7893
    @geey7893 7 месяцев назад

    Halafu Mkazaa Machawa na walafi wa Madaraka

  • @muriithipaul8559
    @muriithipaul8559 2 года назад +1

    Hiyo ndo hazina,ya Tanzania ,ilindwe,ijifathiwe,itunzwe,,nidhahabu,yenye thamana kubwa,,huyu Mzee nampenda sana,,hostoria yake, ninzuri sana,yakujifunza NAyo,,watz,tunzeni,hayo maneno sana,mkae, mkijua Uhuru haupatikani,kiurahisi hivyo,tunzeni AMANI! Sana idumu milele!

  • @mkudeevarist9603
    @mkudeevarist9603 2 года назад

    Kaongea nini chamaana?

  • @seifsungura6936
    @seifsungura6936 2 года назад +1

    Mhh kumbukizi..... Jambo jema

  • @sudiyahya9276
    @sudiyahya9276 2 года назад

    Kikosi

  • @sixbertmwakaluwa5665
    @sixbertmwakaluwa5665 2 года назад +5

    Wapigaji wakikutana sasa😂