CHEKECHE | Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 фев 2023
  • Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri, huku giza la kupatikana kwa suluhu likiwa limetanda.
    #AzamTVUpdates #Chekeche
  • СпортСпорт

Комментарии • 134

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Год назад +4

    Hawa wachambuzi vimeo uwenda awajuwi kitu wanajidanganya tu, India,China,Brazili,Rusia na SouthAfrica ni kundi moja( brics) awawezi msaliti Rusia

  • @musashaban4309
    @musashaban4309 Год назад +5

    Da niliwaheshimu Azam rakini nimewazarau kwa uchambuzi feki wavita;nyie mkachambue mpra

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Год назад +5

    Mnachukua habari za mangaribi jana tu zaidi ya wanajeshi wa Ukraine mia tano wanerushwa maiti Tazameni Tv 📺 za Indonesia

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +2

    Huyu Ibrahim rahbi namkubAli Sana anachambua kitu hadi kinaeleweka hongera kaka na kipaji chako

  • @apostlenestorndizeye6205
    @apostlenestorndizeye6205 Год назад +3

    Hao Wavijana wenu munawaita wachambuzi, hawajuwi istoria ya Urusi

  • @gabrielmtapila229
    @gabrielmtapila229 Год назад +2

    Wachambuzi mko vzr hongeren

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Год назад +6

    Na leo ndo mara ya mwisho kuangalia chekeche coz nilijua mtabadilika lkn naona bdo. Hakuna uchambuz wwte apo zaidi ya uongo

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Год назад +2

    Urusi anapigana na NATO sio Ukraine

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Год назад +3

    Mtangazaji na wachambuz wao wote mpo upande mmoja ukweli unakua ngum kuupata, sasa ndo uchambuz gan

  • @hassankinamahassan6945
    @hassankinamahassan6945 Год назад +6

    Waongo wakubwa mamluki na vibaraka ninyi tunafahamu kila kinacho endelea kule ipo siku mtaitwahapo mchambue kuhusu vita na hamtapatikana

  • @amosiabdulallh7965
    @amosiabdulallh7965 Год назад +3

    Wote aingie hata ww mchambuzi tunataka uingie tukufungie ndani

  • @hossanaassanemdulumdulu6731
    @hossanaassanemdulumdulu6731 Год назад +3

    Suluhu ya mezani ni ngum Kwa sababu, vita sio ya Ukraine na urusi, vita ni NATO na urusi ingelikua ni vita vya urusi Na Ukraine vingekua vimeisha.

  • @selemanshidda9688
    @selemanshidda9688 Год назад +1

    Weye Joseph Kenene acha kuchanganya Kiingereza na Kiswahili katika maongezi yako!

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Год назад +3

    Hiyo Ni uongo kuwa wanaogopa Ila sababu Ni kwamba wakipga urusi itarudi na matokeo makubwa ya majibu ya mashambulio hayo ,kumbuka urusi ndo yenye silaha kubwa za nyukilia

  • @apostlenestorndizeye6205
    @apostlenestorndizeye6205 Год назад +3

    Azam TV uchambuziwenu ni wahovyo. Tafteni wachambuzi wazuri.

    • @annurmohamedi9824
      @annurmohamedi9824 Год назад

      Usikute wanadhaminiwa na MSM za magharibi😅

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 4 месяца назад

      Tatizo mnataka msikie yale mnayoyapenda nyie...Mbona jamaa anaeleza vizuri tu.

  • @ramamtanga3482
    @ramamtanga3482 Год назад +2

    Akuna wachambuzi apo hata mimi nina ufahamu kuliko wao awajui lolote kuusu vita vinavyoendelea uko ukraini

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад +2

    Wachambuzi hewa hawa

  • @allyfaraji2812
    @allyfaraji2812 Год назад +2

    Huyo jamaa wa hapa bongo ajui kitu anaongea nn au nayeye shoga we mtu anapewa misaada na nchi Zaid ya 50 na anatandikwa aoni awe mkweli

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Год назад +3

    Na Ukraine hana jeshi ni mamruki wa Ulaya marekani Australia Canada ndio wapo pale Ukraine apingani pale

  • @mikidadmhando2504
    @mikidadmhando2504 Год назад +6

    UN is America, how can solutions be dictated by America? We need a more accurate representation for all nations equallyy

  • @machanomakame3601
    @machanomakame3601 Год назад +3

    Hapa hapana wachambuzi

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Год назад +3

    Urusi Ni Taifa lenye Technologia kubwa na utalaamu mkubwa katika Vita ngoja tusubiri yatakayotokea

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 Год назад +1

      Huo ni ushabiki tu. Teknolojia gani unapigana na nchi umeizidi ukubwa zaidi ya mara 15 na mwaka umeisha huna ushindi

    • @mayombomajenga9778
      @mayombomajenga9778 Год назад

      Hamphre hujui kitu hebujaribu kuwa mpole

    • @salum8831
      @salum8831 Год назад

      @@humphreymwihambi4330 Urusi anapigana na Nato sio Ukaraine. kama ingekua ni ukraine mpaka sasa vita ingekua imeisha muda mrefu tu .kiufupi Urusi inapigana na zaidi ya nchi 35 ndani ya ukraine.

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Год назад +2

    shida zenu hasa huyo wachambuzi wenu hao uchwara sasa Ukraine atashindaje vita kwa silaha za kupewa

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 Год назад +1

    Duuhhh hawa wachambuz waongo jamn

  • @ibrahimahmed3548
    @ibrahimahmed3548 Год назад +9

    mnapeana moyo sana nyny nchi zenu za kishoga zote zitanyooshwa na urusi

    • @geraldsanzala8119
      @geraldsanzala8119 Год назад

      Hako kajamaa kanaonekana kana mapenzi na wamarekani na yule shots zelensky.
      Tizama sidhani hata kama anafuatilia chochote.

  • @hamishatibu699
    @hamishatibu699 Год назад +3

    Azam watafuteni wachambuzi sio hawa viraza

  • @mussakulanga9513
    @mussakulanga9513 Год назад +3

    huyo jamaa mjinga hamjui mrusi kabisa jamaa ambiwevzr

  • @wandasanudia
    @wandasanudia Год назад

    Move Vita ya pili.Duniani

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Год назад +3

    Siyo hakutegemea anajua Vita itakuwa hivyo

  • @nafuutayb8452
    @nafuutayb8452 Год назад +2

    Urusi hakushindwa kuivamia kiv ila israil alibeba dhamana yakusuluhisha na urusi akarudi nyuma ila mashetani wa ulimwengu marekani wakabadili makubaliano sidhani km zelensky angelifika mwezi

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +4

    Hizo habari za tanzania km za hapa london

  • @shijachengula2342
    @shijachengula2342 Год назад +3

    Mji mgumu ulikua solidari lakini walusi wameutwaa na hamsemi wamagalibi wamepigika wameishiwa nazana zileski hajulikani anapigania nn kwani ulusi noma mzee kadanganye mbele na wajinga

  • @cansuremwiga7282
    @cansuremwiga7282 Год назад +2

    Wanacho ofia kupereka soraa za masafa malefu. Nikwaajili ya kuogopa Moto wa urusi

  • @joshuajofrey9832
    @joshuajofrey9832 Год назад +3

    Hakuna wachambuzi hapo maana mi raia wa kawaida najua mengi kuliko hao. Maana hawajui hata kama kuna BRICS hakuna wachambuzi hapo.

  • @GeorgeAkasha-zx2rj
    @GeorgeAkasha-zx2rj 4 месяца назад

    Mbona jamaa anaeleza vizuri tu, tatizo mnataka msikie ya upande wenu tu, Ibrahim rahbi yuko vizuri kabisaa.

  • @asambakanyalusambya249
    @asambakanyalusambya249 Год назад +2

    Vita so jambo la mchezo tutegemea waende kwenye meza ya mazungumzo

  • @fatahunyundo2426
    @fatahunyundo2426 Год назад +1

    Kuisimamisha Rus mtasubir sana

  • @homebest9258
    @homebest9258 Год назад

    Hahahahaaaa, hamumufahamu murusi vizuri nyinyi 😊

  • @uptownpespatch
    @uptownpespatch Год назад +2

    Hukuna wachambuzi hapo

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Год назад +1

    Kwann hamsemi kama maererkani na natoyake ndio hawataki tumerogwa waafrika

  • @bomonda2622
    @bomonda2622 Год назад +2

    Hawa wachambuzi pumba kweli na suti zao

  • @mishimatangalu7398
    @mishimatangalu7398 Год назад +1

    Ninyi ni waongo Sana urusi anapigana na dunia mbona hawamvamii Kama no mchovu

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Год назад +2

    Hamuijui urusi nyie wachambuzi

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +2

    Naona wachambaji hapo hakuna mchambuzi na lazima tujuwe sio kila msomi ana akili kama hao ni vibaraka tu wa mabeberu na mashoga wanapigania ugari tu

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 Год назад +2

    Wachambuzi wa Mchongo

  • @lushidulajidanda2321
    @lushidulajidanda2321 Год назад +2

    Nyingi nivibalaka wamarekani

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +3

    Munaogopa kuongea ukweli ndio walewale

  • @papaamularfins599
    @papaamularfins599 Год назад +2

    Mashoga mnashida saana, ila saa hino hamnywi maji! Sheenzi saana tu! Nguvu zenu za kiume ndo mwisho kabisa!

  • @salum8831
    @salum8831 Год назад +1

    wachambuzi wengine ni hovyo kabisa, yani mnaamini kua Ukraine itaishinda Urusi? weka Nato na Marekani ila hawatashinda zidi ya Urusi

  • @allyhaji7901
    @allyhaji7901 Год назад

    Ety wananchi awamsapot unachekesha

  • @chancekambale3498
    @chancekambale3498 Год назад

    Uyo jama wapili Kinene" hajui undani ya hii vita mjinga sana

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 Год назад +2

    Hamna kitu hapo

  • @dengepandu9734
    @dengepandu9734 Год назад +1

    Msituhatibie mb zetu

  • @njikuhr1875
    @njikuhr1875 Год назад +1

    Azam washenzi tu nyie.

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Год назад +2

    Bora muache tu kudanganya watu

  • @khalfanmlala5093
    @khalfanmlala5093 Год назад

    Azam mnajishushia heshima unaogea ujiga kabisa huyo Rabi huwa simpendi anapenda ushoga

  • @mwijage348
    @mwijage348 Год назад

    Congo eti kuna UN, Lyibia, Nigeria, Sudani, Ethiopia UN wako wap acheni ujinga siku zaidi ya 100 wanyarwanda wanauana UN waliokua wapi

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +1

    Matokeo haya yote aliyajuwa ndio maana ameweza kuhimili mikiki na bado hajatumia nguvu kubwa

  • @mishimatangalu7398
    @mishimatangalu7398 Год назад +1

    Mh hivimna akiri kweli nyinyi nchi imechukuliwa asilimia30 dunia yote ikimsaidia ukreni vpi mseme rashia imezidiwa ?hamoni nyinyi nipunguwani huyu anataka wote wawe mashoga na nyimna watetea

  • @mwijage348
    @mwijage348 Год назад

    Mbona sasa ata uchambuzi wenu mnazidiwa na watu ata ambao awakusomea huandishi

  • @ramamtanga3482
    @ramamtanga3482 Год назад +2

    Yani awa ni wapuuzi kweli ivi yani ni vibaraka wa marekani

  • @matigoroally8282
    @matigoroally8282 Год назад +2

    Akuna Chochote Kinachozungumzwa Hao Watafiti Silolote Wapo Upande Wa Magharibi lkn Ukweri Kwamba USA NATO Na Umoja Wa Ulaya Maji Ya Shingo!

  • @saidmathayo872
    @saidmathayo872 Год назад

    Hawa ndio wachambuzi hasa walioenda shule na wenye hekima na Mungu awabariki sana.

    • @hassanthabit3726
      @hassanthabit3726 Год назад

      Tatizo lako wewe co mfuatiliaji wa hii vita. Hao wachambuzi hawasomi nyaraka na hawaiingii deep kwenye vita

    • @saidmathayo872
      @saidmathayo872 Год назад

      @@hassanthabit3726 Hawa wachambuzi wako vizuri sana ila ww na wenzako mnashindwa kuwaelewa. Msiingie na Matokeo uwanjani na wala msitangulize mahaba, mbona wamechambua vizuri tu.

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj 4 месяца назад

      @@saidmathayo872 Yaani watu wa humu hawaelewi kabisaa, jamaa mbona wako vizuri kabisaa kiuchambuzi.

  • @kandamsilemsile9054
    @kandamsilemsile9054 Год назад

    Maoni yangu mm waanze tena uchaguzi wapige kula dunia nzima nani anapendelea uusi kuvamia ukreni ni na ni hapendi ukreni kvamiwa kila ichi iseme ukwel atakae shindwa bas ashindwe

  • @herinzigo669
    @herinzigo669 Год назад +1

    Wachambu feki Hawa wanaiandaestimate urusi.hawaijui urusi Hawa..

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Год назад +1

    Kwa Sasa watanzania tunafuatilia media tofauti tofauti kwahy hamuwezi kutudanganya,, hata media zenyewe za magharibi zinaonesha mrusi anasonga mbele na ulaya anaelekea kuishiwa siraha Sasa nyie mnachambua usenge tu

  • @rejobu9723
    @rejobu9723 Год назад

    Kwa wachambuzi hawa wa michongo mmefeli 0%

  • @hossanaassanemdulumdulu6731
    @hossanaassanemdulumdulu6731 Год назад +3

    Mtangazaji hunawachambuzi bari unawatetezi wa Ukraine, kumbuka tundu lisu alivyo kasema, ndivyo ilivyo. Pili urusi hapigani na Ukraine Bali anapigana na ulaya+ America ( NATO) pia Ukraine hapewi siraha Kwa sababu ya kuona kama anaonewa Ukraine, sio kwani Libya Iraqi Palestine wameonewa nani aliwaonea huruma.

  • @jamesmtewa9905
    @jamesmtewa9905 Год назад

    Mrusi alipo ona hapigani na ukrein aka ifanya vita iwe ya mda urefu maana alijua hapigani nawa ukrein sasa nyinyi wasomi mna tuzuga hata sisi Wala Saba

  • @allymangosongo5570
    @allymangosongo5570 Год назад

    Awa wachambuzi Ni vibaraka awajielewi awajui kiini Cha tatizo

  • @ramadhanibahati2829
    @ramadhanibahati2829 Год назад

    Hamna uchambuzi wa maana
    Tafuta wachambuzi wenye ueledi

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 Год назад

    Mtangazaji na wachambuzi mmekutana dumu na mfuniko

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +1

    Hatudanganyiki kirahisi wazee na hapo mchambuzi mwenye akili hawezi kusema vita vya urusi na Ukraine huo ni ukibaraka na ujinga hile vita ni ya urusi na ulaya mangaribi na marekani yao na wameshakata pumzi. Nipo pale pembeni nawaangalia mdanganyane tu kupiga urusi mnaogopa heti moro authority

  • @jamessiame5169
    @jamessiame5169 Год назад

    Siku zote muchokozi ashindi

  • @chegebukoli1914
    @chegebukoli1914 Год назад +2

    Urusi hataki kupiga raia ndo maana anaenda polepole Kwan angekuwa anapiga holela angesha muondoa zelensiky

    • @salum8831
      @salum8831 Год назад

      ingekua muda tu kasha malizana na ukraine

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +2

    Puttin wanamkubali asilimia 76%

  • @alexkiptoo1324
    @alexkiptoo1324 Год назад

    Your conversations content is very shallow👌, do more research from different sources before you come and discourse basics online

  • @mwijage348
    @mwijage348 Год назад

    UN umetatua mgogoro gani acheni ujinga

  • @mussamakalanga9617
    @mussamakalanga9617 Год назад

    Tunaombaa kipindi kifanyikee japo mara mojaa kwamwez tunajifundisha dunia inaendaje

  • @ngomafrancis1659
    @ngomafrancis1659 Год назад

    Urusi anapigana na inchi thalasini na nne 34 nabado vita mnamo siku izi NATO itaingia kijeshi ndo tutaona simba na Yanga

  • @shabaniselemani6425
    @shabaniselemani6425 Год назад +1

    Amjjui uchambuzi mashoga nyie

  • @shubackmashinga3535
    @shubackmashinga3535 Год назад

    Kumbuken urusi ana pigana na zaidi ya nchi 30 viva Russia viva Putin 💪💪💪💪💪🔥

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Год назад +1

    Chambuzi ya hovyo kabisa mnadanganya mchana kweupe yaan hovyo kabisa na mtangazaj ebu jitahd kubadilisha wachambuzi upate mawazo tofauti tofauti lakn sio hap machawa wa magharibi huwez kuwa channel kubwa Kama kila siku unawachambuz wake wale

  • @newgarden8036
    @newgarden8036 Год назад

    Wachambuzi gani Hawa??? Azam mmefeli. Aliyesema atachukua Kiev kwa wiki moja sio URUSI ni marekani. Sio mnakopi Habari za BBC manatuletea.

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад

    Yani huyu jamaa ajui lolote

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +2

    Na nyinyi azamu hamna macho mpaka cku zote mnahoji wajinga wajinga na kuwaita wachambuzi wakati habari zenyewe wanapata BBC, aljazila, CNN na DW badilikeni watu tunataka ukweli halisi hi si zana tena za ukoloni mambo leo ni uhuru na haki na soon mtaona na kujiwa urusi ni nani

  • @saidabdala4980
    @saidabdala4980 Год назад

    Wasenge nyie

  • @cansuremwiga7282
    @cansuremwiga7282 Год назад

    Putin awezi kushindwa na ukrein. Zubulieni Putin aikomboe dunia. Akomboe sheria za waingereza zilizopo Tanzania. Ambazo nisheria zipo kwa kuilinda ccm.

  • @kukujogooooo
    @kukujogooooo Год назад

    Ko nyinyi mnapenda kuona NATO wanazipangia dunia na Africa Nini Cha kufanya nn wakifanye! Mnaboa haswa hiyo jamaa wa mbaki

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +1

    Manyangau wana ajenda nyuma ya pazia ambazo hao wachambuji hawajui lololote wajinga tu

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад

    UMOJA WA MATAIFA 80 YA FINANCE NI MAREKANI UNADHANI WATATATUA NINI?
    USITUONGOPEE WE JAMAA, CHINA YUKO NA RUSSIA NA WAO WENYEWE WAMEONGEA BIG LIAR.

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +1

    I'm standing with Russia only🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺👍👏💪🔥

  • @mwijage348
    @mwijage348 Год назад

    nyie Azam ni wapumbafu

  • @jumaismaili3656
    @jumaismaili3656 Год назад +1

    ww nimjinga sana aujuwi kuchambuwa

    • @lazarokabinji1316
      @lazarokabinji1316 Год назад +1

      Kiukweli tu nyinyi mnaogopa kuongea ukweli wakati Ukraine amezidiwa kila kitu na irusi wekeni tu Mambo hazalani msiogope

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 Год назад +2

    Wanazi ni walewale

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Год назад +2

    Waongo wakubwa tena mnaongopa hatharani

  • @salumkhamis2059
    @salumkhamis2059 Год назад

    Azam mmekuwa Kama bbc

  • @kandamsilemsile9054
    @kandamsilemsile9054 Год назад

    Maamuz makari yafanyike bila yakujali hasara watu mpaka sasa wamekufa na wamesha umia kosa kubwa sana amefanya ulus

  • @saidmathayo872
    @saidmathayo872 Год назад

    Hawa ni wachambuzi makini sana