CHEKECHE | Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri
HTML-код
- Опубликовано: 17 фев 2023
- Mwaka mmoja wa vita vya Urusi na Ukraine na yanayoendelea kujiri, huku giza la kupatikana kwa suluhu likiwa limetanda.
#AzamTVUpdates #Chekeche - Спорт
Hawa wachambuzi vimeo uwenda awajuwi kitu wanajidanganya tu, India,China,Brazili,Rusia na SouthAfrica ni kundi moja( brics) awawezi msaliti Rusia
Da niliwaheshimu Azam rakini nimewazarau kwa uchambuzi feki wavita;nyie mkachambue mpra
Mnachukua habari za mangaribi jana tu zaidi ya wanajeshi wa Ukraine mia tano wanerushwa maiti Tazameni Tv 📺 za Indonesia
Huyu Ibrahim rahbi namkubAli Sana anachambua kitu hadi kinaeleweka hongera kaka na kipaji chako
Hao Wavijana wenu munawaita wachambuzi, hawajuwi istoria ya Urusi
Wachambuzi mko vzr hongeren
Na leo ndo mara ya mwisho kuangalia chekeche coz nilijua mtabadilika lkn naona bdo. Hakuna uchambuz wwte apo zaidi ya uongo
Urusi anapigana na NATO sio Ukraine
Mtangazaji na wachambuz wao wote mpo upande mmoja ukweli unakua ngum kuupata, sasa ndo uchambuz gan
Waongo wakubwa mamluki na vibaraka ninyi tunafahamu kila kinacho endelea kule ipo siku mtaitwahapo mchambue kuhusu vita na hamtapatikana
Wote aingie hata ww mchambuzi tunataka uingie tukufungie ndani
Suluhu ya mezani ni ngum Kwa sababu, vita sio ya Ukraine na urusi, vita ni NATO na urusi ingelikua ni vita vya urusi Na Ukraine vingekua vimeisha.
Weye Joseph Kenene acha kuchanganya Kiingereza na Kiswahili katika maongezi yako!
Hiyo Ni uongo kuwa wanaogopa Ila sababu Ni kwamba wakipga urusi itarudi na matokeo makubwa ya majibu ya mashambulio hayo ,kumbuka urusi ndo yenye silaha kubwa za nyukilia
Azam TV uchambuziwenu ni wahovyo. Tafteni wachambuzi wazuri.
Usikute wanadhaminiwa na MSM za magharibi😅
Tatizo mnataka msikie yale mnayoyapenda nyie...Mbona jamaa anaeleza vizuri tu.
Akuna wachambuzi apo hata mimi nina ufahamu kuliko wao awajui lolote kuusu vita vinavyoendelea uko ukraini
Wachambuzi hewa hawa
Huyo jamaa wa hapa bongo ajui kitu anaongea nn au nayeye shoga we mtu anapewa misaada na nchi Zaid ya 50 na anatandikwa aoni awe mkweli
Na Ukraine hana jeshi ni mamruki wa Ulaya marekani Australia Canada ndio wapo pale Ukraine apingani pale
UN is America, how can solutions be dictated by America? We need a more accurate representation for all nations equallyy
Hapa hapana wachambuzi
Urusi Ni Taifa lenye Technologia kubwa na utalaamu mkubwa katika Vita ngoja tusubiri yatakayotokea
Huo ni ushabiki tu. Teknolojia gani unapigana na nchi umeizidi ukubwa zaidi ya mara 15 na mwaka umeisha huna ushindi
Hamphre hujui kitu hebujaribu kuwa mpole
@@humphreymwihambi4330 Urusi anapigana na Nato sio Ukaraine. kama ingekua ni ukraine mpaka sasa vita ingekua imeisha muda mrefu tu .kiufupi Urusi inapigana na zaidi ya nchi 35 ndani ya ukraine.
shida zenu hasa huyo wachambuzi wenu hao uchwara sasa Ukraine atashindaje vita kwa silaha za kupewa
Duuhhh hawa wachambuz waongo jamn
Wameongopa kitu gani?
Hamphre we shoga nn
mnapeana moyo sana nyny nchi zenu za kishoga zote zitanyooshwa na urusi
Hako kajamaa kanaonekana kana mapenzi na wamarekani na yule shots zelensky.
Tizama sidhani hata kama anafuatilia chochote.
Azam watafuteni wachambuzi sio hawa viraza
huyo jamaa mjinga hamjui mrusi kabisa jamaa ambiwevzr
Move Vita ya pili.Duniani
Siyo hakutegemea anajua Vita itakuwa hivyo
Urusi hakushindwa kuivamia kiv ila israil alibeba dhamana yakusuluhisha na urusi akarudi nyuma ila mashetani wa ulimwengu marekani wakabadili makubaliano sidhani km zelensky angelifika mwezi
Hizo habari za tanzania km za hapa london
Mji mgumu ulikua solidari lakini walusi wameutwaa na hamsemi wamagalibi wamepigika wameishiwa nazana zileski hajulikani anapigania nn kwani ulusi noma mzee kadanganye mbele na wajinga
Wanacho ofia kupereka soraa za masafa malefu. Nikwaajili ya kuogopa Moto wa urusi
Hakuna wachambuzi hapo maana mi raia wa kawaida najua mengi kuliko hao. Maana hawajui hata kama kuna BRICS hakuna wachambuzi hapo.
Hamjui historia ninyi
Mbona jamaa anaeleza vizuri tu, tatizo mnataka msikie ya upande wenu tu, Ibrahim rahbi yuko vizuri kabisaa.
Vita so jambo la mchezo tutegemea waende kwenye meza ya mazungumzo
Kuisimamisha Rus mtasubir sana
Hahahahaaaa, hamumufahamu murusi vizuri nyinyi 😊
Hukuna wachambuzi hapo
Kwann hamsemi kama maererkani na natoyake ndio hawataki tumerogwa waafrika
Hawa wachambuzi pumba kweli na suti zao
😂😂🤣
Ninyi ni waongo Sana urusi anapigana na dunia mbona hawamvamii Kama no mchovu
Hamuijui urusi nyie wachambuzi
Naona wachambaji hapo hakuna mchambuzi na lazima tujuwe sio kila msomi ana akili kama hao ni vibaraka tu wa mabeberu na mashoga wanapigania ugari tu
Wachambuzi wa Mchongo
Nyingi nivibalaka wamarekani
Munaogopa kuongea ukweli ndio walewale
Mashoga mnashida saana, ila saa hino hamnywi maji! Sheenzi saana tu! Nguvu zenu za kiume ndo mwisho kabisa!
wachambuzi wengine ni hovyo kabisa, yani mnaamini kua Ukraine itaishinda Urusi? weka Nato na Marekani ila hawatashinda zidi ya Urusi
Ety wananchi awamsapot unachekesha
Uyo jama wapili Kinene" hajui undani ya hii vita mjinga sana
Hamna kitu hapo
Away jamaha safi sani,kwa kutafakari
Msituhatibie mb zetu
🤣🤣🤣😂
Azam washenzi tu nyie.
Bora muache tu kudanganya watu
Azam mnajishushia heshima unaogea ujiga kabisa huyo Rabi huwa simpendi anapenda ushoga
Congo eti kuna UN, Lyibia, Nigeria, Sudani, Ethiopia UN wako wap acheni ujinga siku zaidi ya 100 wanyarwanda wanauana UN waliokua wapi
Matokeo haya yote aliyajuwa ndio maana ameweza kuhimili mikiki na bado hajatumia nguvu kubwa
Mh hivimna akiri kweli nyinyi nchi imechukuliwa asilimia30 dunia yote ikimsaidia ukreni vpi mseme rashia imezidiwa ?hamoni nyinyi nipunguwani huyu anataka wote wawe mashoga na nyimna watetea
Mbona sasa ata uchambuzi wenu mnazidiwa na watu ata ambao awakusomea huandishi
Yani awa ni wapuuzi kweli ivi yani ni vibaraka wa marekani
Nahao niwa maskini TU kusma uongo
Akuna Chochote Kinachozungumzwa Hao Watafiti Silolote Wapo Upande Wa Magharibi lkn Ukweri Kwamba USA NATO Na Umoja Wa Ulaya Maji Ya Shingo!
Hawa ndio wachambuzi hasa walioenda shule na wenye hekima na Mungu awabariki sana.
Tatizo lako wewe co mfuatiliaji wa hii vita. Hao wachambuzi hawasomi nyaraka na hawaiingii deep kwenye vita
@@hassanthabit3726 Hawa wachambuzi wako vizuri sana ila ww na wenzako mnashindwa kuwaelewa. Msiingie na Matokeo uwanjani na wala msitangulize mahaba, mbona wamechambua vizuri tu.
@@saidmathayo872 Yaani watu wa humu hawaelewi kabisaa, jamaa mbona wako vizuri kabisaa kiuchambuzi.
Maoni yangu mm waanze tena uchaguzi wapige kula dunia nzima nani anapendelea uusi kuvamia ukreni ni na ni hapendi ukreni kvamiwa kila ichi iseme ukwel atakae shindwa bas ashindwe
Wachambu feki Hawa wanaiandaestimate urusi.hawaijui urusi Hawa..
Kwa Sasa watanzania tunafuatilia media tofauti tofauti kwahy hamuwezi kutudanganya,, hata media zenyewe za magharibi zinaonesha mrusi anasonga mbele na ulaya anaelekea kuishiwa siraha Sasa nyie mnachambua usenge tu
Kwa wachambuzi hawa wa michongo mmefeli 0%
Mtangazaji hunawachambuzi bari unawatetezi wa Ukraine, kumbuka tundu lisu alivyo kasema, ndivyo ilivyo. Pili urusi hapigani na Ukraine Bali anapigana na ulaya+ America ( NATO) pia Ukraine hapewi siraha Kwa sababu ya kuona kama anaonewa Ukraine, sio kwani Libya Iraqi Palestine wameonewa nani aliwaonea huruma.
Nice guy
Mrusi alipo ona hapigani na ukrein aka ifanya vita iwe ya mda urefu maana alijua hapigani nawa ukrein sasa nyinyi wasomi mna tuzuga hata sisi Wala Saba
Awa wachambuzi Ni vibaraka awajielewi awajui kiini Cha tatizo
Hamna uchambuzi wa maana
Tafuta wachambuzi wenye ueledi
Mtangazaji na wachambuzi mmekutana dumu na mfuniko
Hatudanganyiki kirahisi wazee na hapo mchambuzi mwenye akili hawezi kusema vita vya urusi na Ukraine huo ni ukibaraka na ujinga hile vita ni ya urusi na ulaya mangaribi na marekani yao na wameshakata pumzi. Nipo pale pembeni nawaangalia mdanganyane tu kupiga urusi mnaogopa heti moro authority
Siku zote muchokozi ashindi
Mchokozi Nani?
Urusi hataki kupiga raia ndo maana anaenda polepole Kwan angekuwa anapiga holela angesha muondoa zelensiky
ingekua muda tu kasha malizana na ukraine
Puttin wanamkubali asilimia 76%
Your conversations content is very shallow👌, do more research from different sources before you come and discourse basics online
UN umetatua mgogoro gani acheni ujinga
Tunaombaa kipindi kifanyikee japo mara mojaa kwamwez tunajifundisha dunia inaendaje
Urusi anapigana na inchi thalasini na nne 34 nabado vita mnamo siku izi NATO itaingia kijeshi ndo tutaona simba na Yanga
Amjjui uchambuzi mashoga nyie
Kumbuken urusi ana pigana na zaidi ya nchi 30 viva Russia viva Putin 💪💪💪💪💪🔥
Chambuzi ya hovyo kabisa mnadanganya mchana kweupe yaan hovyo kabisa na mtangazaj ebu jitahd kubadilisha wachambuzi upate mawazo tofauti tofauti lakn sio hap machawa wa magharibi huwez kuwa channel kubwa Kama kila siku unawachambuz wake wale
Wachambuzi gani Hawa??? Azam mmefeli. Aliyesema atachukua Kiev kwa wiki moja sio URUSI ni marekani. Sio mnakopi Habari za BBC manatuletea.
Yani huyu jamaa ajui lolote
Na nyinyi azamu hamna macho mpaka cku zote mnahoji wajinga wajinga na kuwaita wachambuzi wakati habari zenyewe wanapata BBC, aljazila, CNN na DW badilikeni watu tunataka ukweli halisi hi si zana tena za ukoloni mambo leo ni uhuru na haki na soon mtaona na kujiwa urusi ni nani
Yah kwli kbsa
Wasenge nyie
Putin awezi kushindwa na ukrein. Zubulieni Putin aikomboe dunia. Akomboe sheria za waingereza zilizopo Tanzania. Ambazo nisheria zipo kwa kuilinda ccm.
Ko nyinyi mnapenda kuona NATO wanazipangia dunia na Africa Nini Cha kufanya nn wakifanye! Mnaboa haswa hiyo jamaa wa mbaki
Manyangau wana ajenda nyuma ya pazia ambazo hao wachambuji hawajui lololote wajinga tu
UMOJA WA MATAIFA 80 YA FINANCE NI MAREKANI UNADHANI WATATATUA NINI?
USITUONGOPEE WE JAMAA, CHINA YUKO NA RUSSIA NA WAO WENYEWE WAMEONGEA BIG LIAR.
I'm standing with Russia only🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺👍👏💪🔥
🤝🤝💪💪💚
nyie Azam ni wapumbafu
ww nimjinga sana aujuwi kuchambuwa
Kiukweli tu nyinyi mnaogopa kuongea ukweli wakati Ukraine amezidiwa kila kitu na irusi wekeni tu Mambo hazalani msiogope
Wanazi ni walewale
Waongo wakubwa tena mnaongopa hatharani
Azam mmekuwa Kama bbc
Maamuz makari yafanyike bila yakujali hasara watu mpaka sasa wamekufa na wamesha umia kosa kubwa sana amefanya ulus
Hawa ni wachambuzi makini sana