Magoli | Yanga SC 3-0 Tabora United | NBC Premier League 25/05/2024

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 172

  • @chidyblake1017
    @chidyblake1017 4 месяца назад +86

    Kama unaamini Guede atakua mfungaji Bora msimu ujao....gonga like hapa

    • @pacomezouzoua9175
      @pacomezouzoua9175 4 месяца назад +2

      Huyu aende tu watuletee straiker mwingine huyu ana magoli ya bahati bahati tu

    • @EsauDavidson
      @EsauDavidson 4 месяца назад +1

      Yaani guede anabaki kufanya nini

    • @edisonkalikawe7618
      @edisonkalikawe7618 4 месяца назад

      Ata kama anafunga bado nimzito sana achangamki, anafunga km bahati vile, Thank you Guede inakusitahili

    • @pastorgodwinchengula7848
      @pastorgodwinchengula7848 4 месяца назад +1

      Oh no hamjui huyu jamaa ni striker haswa kwani halland anafunga magoli magumu? Kwa mastriker mnaowataka ninyi hawafungi hayo magoli ya Guede. Mkitaka mjue hamjui utaona kama Eng Hersi atamuacha huyu G.

    • @pacomezouzoua9175
      @pacomezouzoua9175 4 месяца назад

      @@pastorgodwinchengula7848 huyu anamkataba wa msimu mmoja tu ww na hawezi kubakizwa pale yanga

  • @theheroesmusic4398
    @theheroesmusic4398 4 месяца назад +5

    Hengereni sana wananchi 🔥🙌.from PA USA 🇺🇸

  • @Jerie-q1c
    @Jerie-q1c 4 месяца назад +8

    SEMA Yanga ipo vizuri jamani. Yaan Hii Timu kama haitaparaganyika itasumbua sana hapa bongo na hata Africa

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 4 месяца назад +5

    Goli kama la Bondeni , Bravo Yang's Bravo💪

  • @mosesochieng5633
    @mosesochieng5633 4 месяца назад +3

    wow ❤️❤️ Tanzania nmekubali,

  • @mohdyussah825
    @mohdyussah825 4 месяца назад +3

    Lomalisa amefurahi Sanaa 💚💚💚💚

  • @shabankashindye6240
    @shabankashindye6240 4 месяца назад +11

    Hivi ni mimi tu sielewi au lomalisa anakiwasha sana, sidhani kama itakuwa ni sahihi kumuacha bado ana mchango mkubwa sana, Kibabage uzoefu anahitaji apate uzoefu mbele ya Lomalisa

  • @SamNgirwa
    @SamNgirwa 4 месяца назад +4

    Maaajabu azizk kufunga kwa kichwa duuh kwel anashauku la kuwa top scorer

  • @AbaidiiniNgweti
    @AbaidiiniNgweti 4 месяца назад +8

    Tangu nianze kumjua Aziz ki leo ndio mara kwanz kupiga kichwa na kufunga 😂😂😂

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      😂😂 mimi mwenyew nilibaki nashangaa nauliza amefungaje wakati nilikuw naangalia acha tu

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 4 месяца назад

      Jaman hakika kila mafanikio yanahitaji juhudi,inatufunza tunapopita katika mapamano na mambo yakawa magumu..hatuna budi kubadili njia ya mapambano ili mradi ni njia halali ili kufikia malengo.

  • @DavidJohn-mx3ln
    @DavidJohn-mx3ln 4 месяца назад +3

    Aziz ki 👉👉👉👉goooooooooooooooooo👏👏👏

  • @redtk2971
    @redtk2971 4 месяца назад +7

    GONGA LIKE KAMA UMEPENDA STYLE YA KUSHANGILIA YA AZIZI MASTER KI😂

  • @SomoeMadadi-gb5ts
    @SomoeMadadi-gb5ts 4 месяца назад +2

    naipenda yanga Hadi naumwa

  • @Shadia544
    @Shadia544 4 месяца назад +3

    Kama unairudia hii mechi LIKE 10 ILI TUJUANE WANANCHIIIIIIIIII 😂😂😂😂😂

  • @Joshua-dw4jl
    @Joshua-dw4jl 4 месяца назад +5

    Azizi Kapiga na kichwa the first time😢😢😢😢

  • @jelasnkoma4240
    @jelasnkoma4240 4 месяца назад +6

    Ki_ ameingia kwenye Orodha ya Jioooooooooooooooni

  • @BrayoDimpoz
    @BrayoDimpoz 4 месяца назад +4

    Lomalisa fundi sana wa kumwaga maji

  • @MussaKulamakwene
    @MussaKulamakwene 4 месяца назад +2

    Dakika za Jiooooooooooooniiiii Pascal Kabombe

  • @musaibrahim7287
    @musaibrahim7287 4 месяца назад +5

    Sema Azizi Ki ,,alipofunga ni kama unatafuta round ya 3 ukiipata unadondoka kama mbwa😂😂😂😂

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dc 4 месяца назад +4

    Katika hatari ya kifo yoyote anabatiza ndo hii leo azizi kapiga kichwa

  • @CornelMchomvu-zx3cs
    @CornelMchomvu-zx3cs 4 месяца назад +2

    Naamin kwa uwekezaji huu wa yanga tutazidi kutokomea mbali na kuwaacha wakina mwakilambe fc mbali, ,, mungu ibariki yanga

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад +1

      ha ha ha ha umepigaje apo " mwakilambe tena , ha ha haaaa kweli yanga 2na raha

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад +1

      kwa jirani majina yaongezeka ,1 madunduka 2 makolo 3 kitimoto fc a k a ngurue fc 4 watoto wa mama mudi 5 mwka robo 6 mwatatu mmh embu ongezea lingine na wew mwananchi

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 4 месяца назад

      @@DoreenMlay-e8gumesahau NGINJANGINJA FC😂

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 4 месяца назад +2

    Safi sana wananchi 🎉🎉🎉

  • @gregorysixmund2020
    @gregorysixmund2020 4 месяца назад +1

    Hili chama linaleta rahaa sana 😂😂😂😂😂
    Jioniiiiii AzizKi 🎉

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani1143 4 месяца назад +2

    Mashaallah

  • @josephattindi9333
    @josephattindi9333 4 месяца назад +3

    Kumbe tajiri nae alisubiri aziz afunge afurahi kama mimi😂😂😂

    • @danielhumble4292
      @danielhumble4292 4 месяца назад

      Guede hawezi kuwa mfungaji namba 1 yanga kwanza haezi kudumu dogo uwanjanì mchoyo sana

  • @agnesmartin5716
    @agnesmartin5716 4 месяца назад +4

    Azizi ki amesema bado hajafanikisha malengo yake hivyo bado ataendelea kuwa Yanga

  • @2514SRK
    @2514SRK 4 месяца назад +4

    Azam Media HONGERENI SANA Kuweza Kuonesha Mechi Zote 8 kwa Muda Mmoja.

  • @lizashagilliard2336
    @lizashagilliard2336 4 месяца назад +5

    Picha ya mwaka ni ya tajiri kushangilia goli la aziz k naombeni kam mnayo😂

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад +1

      Acha tu ujue majamaa walikuw wanamkaba utadhani yalipew ela yaani kipa aliumia goli la Aziz na siyo yale mengine lazima ashangilie.

    • @lainacemmmwasote1862
      @lainacemmmwasote1862 4 месяца назад

      ​@@seciliamchalo5627ujue wamenikumbusha kipindi tunacheza na club Africain..jinsi mayele salivokabwa..sasa walle walikua na sababu nzito za kukaba na hawa je???,inashangaza Sana,..ila wajue tu..roho mbaya haijengi..aliyepewa kapewa.

  • @DoreenMlay-e8g
    @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад +3

    kha ukiwa huna smat phone unakosa raha sana za umu duniani vis
    viazi tena ,wlikataa goli ,

  • @EditaeditaEdita-gc9jl
    @EditaeditaEdita-gc9jl 4 месяца назад +1

    Wehu simba yanga waoooooo

  • @JumanneOmary-ez3oh
    @JumanneOmary-ez3oh 4 месяца назад +3

    Max alimalizia maana Hawa marefa hawaaminiki sometimes wanakataaga magoli kama haya

    • @YangaNews
      @YangaNews 4 месяца назад +1

      Nimesoma coment yako nimecheka

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад +1

      Kabisa mwisho lingekataliwa

  • @YusufOmari-r2d
    @YusufOmari-r2d 4 месяца назад +3

    Napiga na NDONGAA😮😅😅

  • @eastafricabusesfans3631
    @eastafricabusesfans3631 4 месяца назад +2

    Nyie ni wehu mmepost kila goli na litangazo lenu

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 4 месяца назад +2

    Aziz k tunahitaji asiondoke #yanga

  • @mohdsaad2736
    @mohdsaad2736 4 месяца назад +3

    Pasi hii km ya palma alooo😊

  • @mahinyakeelvin2196
    @mahinyakeelvin2196 4 месяца назад +3

    Magoli ya guede ni ya kutumia akili kweli kama unaujua mpira sio ya bahati hata kidogo

  • @ddontz
    @ddontz 4 месяца назад +5

    Hili la Guede Ni kama Lili walio tukatalia wale viazi kule kudaadek zao🔰✅

    • @elizabethkalinga0822
      @elizabethkalinga0822 4 месяца назад +1

      Kweli kabisa, kweli Wananchi wanamagoli ya Kipekee, ( Gus's hone ) ,💪💪💥💪💪
      🇹🇿🌽🌲🌽🌲🇹🇿

    • @ddontz
      @ddontz 4 месяца назад +1

      @@elizabethkalinga0822 Uhakikaa😁😁💪

  • @eugenmakiluli3025
    @eugenmakiluli3025 4 месяца назад +1

    Safi sana

  • @azizrashid6173
    @azizrashid6173 4 месяца назад +3

    Duuh lomalisa apewe ulinz wa kutosha

  • @kismarttz3864
    @kismarttz3864 4 месяца назад +2

    Ki aziz

  • @CharlesPaschal-lp3ti
    @CharlesPaschal-lp3ti 4 месяца назад +2

    Joseph guede hawezi kuwa mfungaji Bora hata siku moja magoli yake ya bahati mnooooooooooo☠️☠️☠️

  • @bebebebe5677
    @bebebebe5677 4 месяца назад +2

    Kwa mara ya kwanza Azizi ki kufunga goli la kichwa kwenye msimu huu

  • @kichefuchefu2382
    @kichefuchefu2382 4 месяца назад +2

    Jaman hyu lomalisa aongezwe mkataba kwakwel

  • @fdizzo
    @fdizzo 4 месяца назад +3

    Nyie Azam TV ni un professional kabisa sasa ndo kitu gani ichi🚮 kuna aja gani ya kuweka ilo litangazo?

  • @NyamongoLife
    @NyamongoLife 4 месяца назад +1

    Azam hii ni RUclips tayari tunaona logo yenu Acheni kuweka weka tangazo katikati ya video

  • @zayed8645
    @zayed8645 4 месяца назад +2

    Azam wekeni mechi full tangu Jana Hadi leo acheni ujinga

  • @agnesssanga6544
    @agnesssanga6544 4 месяца назад +3

    Huyo karia alivonuna sasa😅😅😅😅

    • @mohamedaden8483
      @mohamedaden8483 4 месяца назад +1

      Unamacho ndugu🤣🤣🤣🤣🤣

    • @agnesssanga6544
      @agnesssanga6544 4 месяца назад

      @@mohamedaden8483 atajua hajui😂😂😂😂😂😂hapo hajapenda Aziz ki kufunga😂😂😂

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 4 месяца назад

      Nikajua nimeona peke yangu!
      Msomali kavimbaaaaa😂

  • @TumainiNyigezo
    @TumainiNyigezo 4 месяца назад

    Jiooooooooooooooooooooooon

  • @BensonOyugi-fb9lb
    @BensonOyugi-fb9lb 4 месяца назад +1

    30🔰✅

  • @CodeZero-bn7uf
    @CodeZero-bn7uf 4 месяца назад

    Mbona mnachelewa kurusha hzo highlights

  • @emmanuellupiga
    @emmanuellupiga 4 месяца назад +1

    Nayeye kichwa

  • @CharlesPaschal-lp3ti
    @CharlesPaschal-lp3ti 4 месяца назад

    Na bodo saido anawachungulia tu mtaona Kama msimu uoiopita Kati ya saido na mayele saido l Love you waache wanaotangulia ambao hawana kwao🏤

    • @DoreenMlay-e8g
      @DoreenMlay-e8g 4 месяца назад

      wewe unafikir kila sik ni ijumaa sio saido tena umeishiwa sera jaman

  • @HASSANKAMGUNDA
    @HASSANKAMGUNDA 4 месяца назад +1

    Mwamba wagadugu k Azzi

  • @stevenclaus6788
    @stevenclaus6788 4 месяца назад +1

    Na ndio funga kazi

  • @Ginimbi_tz
    @Ginimbi_tz 4 месяца назад +1

    Mama anaupiga mwingi SGR mradi unakamalika mjue

    • @fdizzo
      @fdizzo 4 месяца назад

      Jikaze Wewe mtoto wa kiume utakuja kuwekwa kitu matakoni punguza Uchawa. Mama mama akili huna

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 4 месяца назад

      Kwa treni gani ile ya kubebea vyakula vya mifugo hasa hasa majani ya ng'ombe

    • @consolathamlimi7883
      @consolathamlimi7883 4 месяца назад

      😂😂😂😂​@@Fgldesigns

  • @enockjlory1814
    @enockjlory1814 4 месяца назад +2

    Goli la kwanza la ki kafunga na kichwa

    • @EmmanuelZenda-ji5gc
      @EmmanuelZenda-ji5gc 4 месяца назад +1

      Aliepiga kichwa Guede na ndio mwenye goal,Aziz alitoa pre assist kwa Kibabage ambae amepiga cross

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 4 месяца назад

      Mwamba 🎉🎉🎉

  • @KareganyaNassibu
    @KareganyaNassibu 4 месяца назад

    Guede kama Benzems

  • @jmmission2077
    @jmmission2077 4 месяца назад

    Mstarini tena eee 😂😂😂😂

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 4 месяца назад +2

    Ila LOMALISA kWa kujaza maji 😳
    Hata AWESU anasubiri aseeeee

  • @JohnJosefu-ei7pp
    @JohnJosefu-ei7pp 4 месяца назад +1

    Huu niwakati wetu

  • @salmsalmo931
    @salmsalmo931 4 месяца назад

    Nzuri

  • @hasanimohamedi279
    @hasanimohamedi279 4 месяца назад

    😂😂😂😂😂 ki leo kapiga kichwaaa😂😂😂😂

  • @DativaValerian
    @DativaValerian 4 месяца назад

    But kwenye usajili wa aziz viongoz wawe makini asije akatanua mabawa kutaka ela kubwa ambayo sio malengo yetu ili wachezaji wengine wakaona mbona aziz kaongezewa na sisi twataka afu tusiwezane tukawakosa wote hivyo kama hatufikii kiasi anachotaka sio riziki mana kama viwango msimu huu wengi wameongeza

    • @henelckneatunga2720
      @henelckneatunga2720 4 месяца назад +1

      POINT SANA,NIKIWA SHELUI JUZI NILIONGEA NA WASHABIKI WENZANGU,VIONGOZI WAKAE KWENYE MALENGO HATAKI AENDE,MAPENGO YA MWL YAJAZWE ILI KULETA UHAI MKUBWA MSIMU UJAO

    • @Omary_Mjema
      @Omary_Mjema 4 месяца назад

      Umelipia Ada ya Uwana Chama ?

  • @AthumaniselemaniHamisi
    @AthumaniselemaniHamisi 4 месяца назад +1

    Ilimradi tu aipige jiiiion 😂

  • @RamseykingGenius
    @RamseykingGenius 4 месяца назад +8

    Hii Azam media mnatombwA mbona mnachelewesha highlights za yanga kama hamtaki tajiri yetu GSM atuwekee TV yetu atuwaladhimishi mbwa nyie Azam 😢😢😢😋😋🥺

  • @RamazaniNdegeBedua
    @RamazaniNdegeBedua 4 месяца назад

    Magoli ya jioni huwa yanakupendele saa mkubwa PASCAL.

  • @MrZero-lb4ix
    @MrZero-lb4ix 4 месяца назад +2

    Goli la kwanza sio goli mpira umedundia mstarini yanga mnabebwa sana

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 4 месяца назад +1

      Bado hujasema

    • @ceciliadaudi1632
      @ceciliadaudi1632 4 месяца назад +6

      Hali maxi alivyoshindilia Mara ya pili Hujaona 😂

    • @salvinhosn3916
      @salvinhosn3916 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @husseinmkwachu6071
      @husseinmkwachu6071 4 месяца назад +2

      Jiandae KOMBE LA SHIRIKISHO SWAHIBA...

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 4 месяца назад

      @@husseinmkwachu6071 exactly we waache wamsherekee Fei huku wanapoteza

  • @mziwoxoloandile9470
    @mziwoxoloandile9470 4 месяца назад

    The first goal did it cross the line? Coz here at Mamelodi we dont accept those dubious goals🤣🤣🤣🤣🤣

    • @assumedprivacy3940
      @assumedprivacy3940 4 месяца назад +1

      Tee hee . Hence the confirmation header because we had a feeling 😆

    • @dianasamson9311
      @dianasamson9311 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂

  • @26t3ch
    @26t3ch 4 месяца назад

    Ndo lomalisa amlalie azizi ki matakoni🙄

    • @EdwardEdwin-w6f
      @EdwardEdwin-w6f 4 месяца назад

      Na wew unataka kulaliwa matakon😂😂😂

    • @26t3ch
      @26t3ch 4 месяца назад

      @@EdwardEdwin-w6f sitaki

    • @grolyligola8959
      @grolyligola8959 4 месяца назад +1

      Jaman Kuna vituko yanga Leo azzk kafunga na kichwa stasahau mech ya Leo kasato

    • @Mgema001
      @Mgema001 4 месяца назад +2

      Wewe mwenye mawazo ya kisenge basi utakuwa ni senge wewe

    • @seciliamchalo5627
      @seciliamchalo5627 4 месяца назад

      Ukitaka amlalie wapi kun watu wanawazaga mambo ya ajabu tu badilikeni.

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 месяца назад +3

    Me ni Yanga 😂😂

    • @muddymuzungu4357
      @muddymuzungu4357 4 месяца назад

      Munira 😀😀😀😀😀😀😀😀😀

    • @GERVASEFREM
      @GERVASEFREM 4 месяца назад

      Tangu lini 😂😂😂😂😂

  • @CodeZero-bn7uf
    @CodeZero-bn7uf 4 месяца назад

    Mbona mnachelewa kurusha hzo highlights

  • @HASSANKAMGUNDA
    @HASSANKAMGUNDA 4 месяца назад +2

    Humu2 k Azzi

  • @AbdulrahimMakame
    @AbdulrahimMakame 4 месяца назад +1

    Jioooooooooooooooooooonj❤❤❤❤❤

  • @JonhJames-zv6qo
    @JonhJames-zv6qo 4 месяца назад

    Hongera sana timu yang kipenz changu yang by jojaka