CHEKECHE || Nini kifanyike vita ya Urusi na Ukraine imalizike 25/02/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 фев 2023
  • Zaidi ya watu 8,000 wamefariki dunia kufuatia vita kati ya Urusi na Ukraine huku zaidi ya watu 13,000 wakijeruhiwa.
    Je, mwaka mmoja wa vita ya Urusi na Ukraine una maana gani kwa usalama wa dunia na athari za kiuchumi kwa ujumla.
    Moses Mohamed anaungana na wachambuzi wa kimataifa AbdulAziz Jaad, Abdulshakur Aboud na Maggid Mjengwa kujadili mwaka mmoja wa vita hivyo.

Комментарии • 93

  • @jamirually893
    @jamirually893 Год назад +9

    Chekeche ni vibaraka

    • @alimkumbukwa8363
      @alimkumbukwa8363 Год назад +3

      Kama uyu alianza apo mwnzon anaonysh Kama urus ndio anakosa wakt wmghlb ndio walianza n waktngnz urfk w kinfki

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Год назад +6

    AZAM MNAANZA KUWA MNATUMIKA.... na MASHOGA

    • @geraldsanzala8119
      @geraldsanzala8119 Год назад

      Siku nyingi tu wanatumika. Waislamu wazima wamevaa upunguwani

  • @mikaelikamili3108
    @mikaelikamili3108 Год назад +6

    acha zelensik aue watu wake ipo siku atakumbuka aangalie Libya na ilaq

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +9

    Urusi apigani na ukren anapigana na nato na marekani au hamjui hilo

    • @leonardgodliver9043
      @leonardgodliver9043 Год назад

      Kivipi?

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Год назад

      @@leonardgodliver9043 marekani anapeleka siraha pamoja na jeshi kisirisiri hvyo vifalu si vinapekwa na jeshi

    • @leonardgodliver9043
      @leonardgodliver9043 Год назад

      Ahaaah Afaghastan, Iraq na Vietem Urusi na China wlipeleka pia silaha je Marekani alipigana na Urusi na China?

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +5

    Urusi hajavamia anafanya operation kuwaondoa vibaka ambao walitaka kuweka bezi

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +5

    Mimi napenda kiduku hamtupie nyuklia Amerika

  • @salumkhamis2059
    @salumkhamis2059 Год назад +2

    Mbona marekani hakueheshimu Iraq,libiya, na siria

  • @emanuelchrisant8221
    @emanuelchrisant8221 Год назад +2

    Mbona vita vya libya,Palestina,Kongo,Iraq na Afghanistani hamukuweka Chekeche Mnatumika vibaya Acheni ushoga Sisi hayatuusu.

  • @hossanaassanemdulumdulu6731
    @hossanaassanemdulumdulu6731 Год назад

    Abdul Aziz yupo very good katika uchambuzi,

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +5

    Imewaelewa africa tupo Russia kiuhalisia

  • @evaristmbuya6220
    @evaristmbuya6220 Год назад +4

    Namshauri Putin aongeze mashambulizi makali zaidi

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +6

    Zeleksi ni kibaraka wa marekani na nato

  • @David-rb6cf
    @David-rb6cf Год назад +1

    Uchambuzi mzuri saana.

  • @shukuruelisharukobe6373
    @shukuruelisharukobe6373 Год назад +1

    Mbona hamzungumzii wenye Marekani ime uwa?

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +2

    Azam mnaanza kuwa mnatumika na mashoga wa magharibi

  • @ayubufumbuka3233
    @ayubufumbuka3233 Год назад

    Jamaa wa Uingereza amechambua vizuri sana

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 Год назад +3

    Aboud inatakiwa kujuwa kuwa ukraine ni sehemu ya warusi mipaka ni uwaduwi wa kisiyasa wa wamerika na mabwana zao kutoka ulaya

  • @augustinemwalongo9824
    @augustinemwalongo9824 Год назад +1

    Jaad uko sawa bora urusi ipige kipigo cha mbwa koko ili wamarekan watie adabu

  • @rashidikhalfani-qt8rp
    @rashidikhalfani-qt8rp Год назад

    Naomba marekani ikong'ote

  • @lushidulajidanda2321
    @lushidulajidanda2321 Год назад +3

    Nyingi nivibalaka vyamarekani

  • @neemamasudi7988
    @neemamasudi7988 Год назад

    Mnaogopa msifukuzwe kazi zenu , ila ukweli hupu, Marekani na kundi lake wamekosea esabu, Putin ata waibisha sana poleni sana kwa ujinga wenu.

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад +2

    Tunamuombea putini achukue ukrein yote

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Год назад +1

    Usubirie wapeke hivo vifaru mianne na ndege miambili kisha Urisi apige Nyuki tu

  • @eduardoedward
    @eduardoedward Год назад +2

    Putin piga hao washenzi wametuulia gadafi

  • @salehkhamis9994
    @salehkhamis9994 Год назад +1

    Urusi hapigani na ukraine anapigana na NATO na marekani.. wapo mamluki kibao wa magharibi wanaisaidia Ukraine

  • @kuziririzaisabatosiitegeko7088
    @kuziririzaisabatosiitegeko7088 Год назад +2

    Himaya ya walaya imekwisha

  • @majaliwamtungwa5632
    @majaliwamtungwa5632 Год назад

    Munaongelea bya ulaya mnahacha kuongelea bya Africa hvi vya urusi na Ukrainian binabahusi nini? Amuko sawa na ninyi

  • @shadidumabote9262
    @shadidumabote9262 Год назад

    Mh,Putin, very good, tunahitaji ile mipango ya urusi kutumia kemikali dhidi ya ukrein ifanyike kwa haraka ili NATO na marekani waelewe uwepo wao ni upi? Na anae sema kua urusi kaivamia ukrein anakosea Kama kavamiwa mbona anajiandaa na mapigano au mbona anajihami

  • @idanysedrc1200
    @idanysedrc1200 Год назад +1

    Libya na Iraq alipokuwa wanatandikwa mlikuwa wapi chkecheo? Palestina anapigiwa Kila siku mko wapi? Migogoro yote dunian chanzo ni marekan na washirka wake!!
    Mnatumika

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +2

    Matekani kavamia libya mbona hamkusema🤣

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Год назад

    Vita iendeleee

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад

    Oyaa wanzngua awa chekecheke

  • @dusabimanaalan8156
    @dusabimanaalan8156 Год назад

    Nyinyi ni WA kwanza na mtaendelea kuwa hivyo katika uchambuzi wa mambo

  • @daudimabumba2887
    @daudimabumba2887 Год назад +1

    Mwambien zelenzick aache ujinga nchi inachukuliwa halafu mnamuita shujaa kama unaakri huwezikusifia ujinga wanamna hii

  • @hossanaassanemdulumdulu6731
    @hossanaassanemdulumdulu6731 Год назад

    Ubeberu ni tatizo la Dunia linavunja amani ya Dunia, ubeberu unanyonga haki za wanyonge duniani, ubeberu ufikie tamati utokomezwe kakita USO wa dunia

  • @alimkumbukwa8363
    @alimkumbukwa8363 Год назад

    Awaongei ukwer awa jamaa urs kaingia vtn sabbu n urfk w knafk w maghlb walkuwa wana weka mashush wngi kptia ukrein ili wzd kuiangsh Urus awa sem ayo awa jama wasfkli watu awaelew kbsa

  • @abdullahjuma3926
    @abdullahjuma3926 Год назад

    Kwa mara ya kwanza mmechambua hali halisi ya usalama wa Dunia na uchumi wake. Ni kweli kabisa UN kurekebishwa na EU wajitambue kwamba wanamnufaisha Marekani bila kujali hali zao hio ni kwasababu pengine ni woga au nyuma ya pazia kuna mambo baina ya marekani na viongozi wa eu.
    Suluhuaho ni muhimu na mabadiliko ya sura ya UN yawe kweli kwa nchi zote bila upendeleo.

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Год назад

    Pongezi shakuru ,ndio ushaurihuo

  • @IsmailBagayabakwe-bb1pl
    @IsmailBagayabakwe-bb1pl Год назад

    Nipe abari muchambuzi imasiku unatuima mahabari

  • @abuuloti-zf6pu
    @abuuloti-zf6pu Год назад

    Nikwann ukreine nasio palestina sriya libya afghanistan iraq kwanni ukreine wanaipgania sana lakin israel anashambulia sriya juz

  • @alijuma8009
    @alijuma8009 Год назад +1

    UN ni umoja wa marekani na washirka wake nahaupo kwa amani ya ulimwengu

  • @dominiquedavid87
    @dominiquedavid87 Год назад

    Kila zelensk anachoongea anaandaliwa na marekani anatumika kama wakala wa Nato

  • @sharifuhusseinally542
    @sharifuhusseinally542 Год назад

    Mimi kinachosikitisha nikwamba ulaya yenye mataufa yaliotawala dunia tena kwanguvu yakiitawala mpaka hiyo U S A leo yamekua mateka wa U S A inasikitisha sana vita hivi nivya marekani wala sio vya ulaya ni marekani na Urussi hao ndo wanaweza wakaamua vita viishe lini

  • @ibrahimabdullah1887
    @ibrahimabdullah1887 Год назад +1

    Azam nao mashoga sasa

  • @kambugarakim4840
    @kambugarakim4840 Год назад

    Abdul aziz jaad nimekubal uchambuz wako .

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Год назад

    Taratibi tu mmeanza kuisoma namba vzur mwanzon mlikuwa mnashadadia Sana marekani na kuona urusi si chochote saiv mmeanza kuwa neutral na maana ya neutral ni kwamba mpo upande wa urusi ila mnaona aibu

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Год назад

    Hii vita imefikia hatua ya point of no return ..maana urusi kashachukua mikoa 4 aliyokua anaitaka na kashapitisha kwenye katiba kwamba at iachia ata kwa kumwaga dam .. na ukraine anaona nyuma kuna nguvu kubwa ya ulaya inataka kumsaidia kukuomboa maeneo yake..
    So solution ya hii vita ikifika hii level huwaga ni kifo ..maana diplomasia haiwez kabisa
    Manake ni urusi Sasa aaamue rasimi kutumia nguvu zake zote kuipiga ukraine kifo Kibaya incase atumie nuclear ili isichukue muda
    Then kama ulaya na MAREKANI watatak kulipa basi itakua vita ya 3 y dunia..then watakufa watu wengi then vita itaisha maana kila lenye mwanzo linamwisho..na dunia itaingia kwenye Mizuno mingine mipya

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Год назад

    Nyinyi mliwahi kuikemea marekani kwa nchi alizovamia? Vibaraka nyie sitizami twna

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад

    Marekani anamuogopa urusi hajui aanze vp

  • @davidpeter8099
    @davidpeter8099 Год назад

    Kwangu me wauane tuu maana hawa magharibi na ulaya wamezoea kutuonea sisi waafrica walimuua Gaddafi na hakuna kiongizi wa Africa wala wa ulaya aliyeikosoa nato na marekani kwa uvamizi wake leo mjadala mkubwa wa nini acha waone jinsi Africa wanavyoteseka na vita wanavyovichochea wenyewe we angalia Libya, Congo Afghanistan Iraq na nnchi zingine zenye vita je mbona hakuna anayetoa hyo misaada kama wanayoitoa kwa Ukraine 🇺🇦

  • @josephgari5951
    @josephgari5951 Год назад

    Kindly bring people who can make sense

  • @shabanijuma2085
    @shabanijuma2085 Год назад

    Sasa mkisema watoto ili iweje ?

  • @abdubakar5428
    @abdubakar5428 Год назад

    changamoto

  • @shaabansabour1214
    @shaabansabour1214 Год назад +1

    Vita baina ya Ukraine na Urusi imekwisha na Ukraine imeshindwa. Vita Sasa ni Marekani na NATO dhidi ya Urusi. Ikumbukwe Urusi haikuvamia Ukraine lakini ni kujilinda usalama wake. Hii ni tofauti na Uvamizi wa Marekani huko Mashariki ya Kati na Yugoslavia Cambodia.
    Zelensky ni kibaraka na amewekwa pale na Marekani sio na wa Ukraine. Kinachosikitisha ni Azam TV kujiingiza na kusema huu ni Uvamizi na kuwa upande wa Mashoga.

  • @noahlameck1564
    @noahlameck1564 Год назад

    Kumbe na nyie ni vibaraka wa marekani ...

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Год назад

    Ukraine tunaslaa mpyaa tuko vzur

  • @juliusjoseph6320
    @juliusjoseph6320 Год назад

    Mgogoro utaisha pale urusi atakapo chukua nchi yote ya ukrain au zelensk afe au akimbie nchi

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад

    Uvamizi wa Putin hautafanikiwa bendera ya Ukraine inaruka na kupepea Kila mahali

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Год назад

    Wanajitekenya wancheka haha

  • @shaabansabour1214
    @shaabansabour1214 Год назад

    Hapakuwepo usaidizi wowote wakati waisrael wanapo ya wapalastine na wa Israel wanapo ipiga Syria inakuaje leo tunawekewa hichi kipindi pale Urusi inapofanya operation ya kijeshi Ukraine? Azam nyinyi ni waafrika sio wamarekani na Wala Mashoga.

  • @gabrielmtapila229
    @gabrielmtapila229 Год назад

    Saf san zelenky

  • @paschalsafari9747
    @paschalsafari9747 Год назад +1

    Nina wasiwasi na media hii. Inawezekana ikawa ni kibaraka wa magharibi.

  • @vitusjackson1354
    @vitusjackson1354 Год назад

    Huyo mchambuzi wa miwani kidogo amenikosha .kwamba kipigwe kichapo Cha ukweri ili waingie mezani

  • @geraldsanzala8119
    @geraldsanzala8119 Год назад

    Kwahiyo na nyie Azam Bado mpo upande wa Ukraine?
    Maana huyo mwanamke digest ya VOA, BBC, na CNN.
    Waandishi kuweni makini kuchambua mambo siyo usiku mzima unamsikiliza Diamond na Konde Asubuhi umesikiliza BBC mbio kuzungumzia vita.
    Tambueni mchango wa historia, nani mchokozi na mikataba ikoje. Si vema kujifanya umarekani umewazidi na kununuliwa Kisha unajikita tayari mchambuzi.

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад

    Finland na Sweden kaogezeka inamaana Gani kwa Urussi

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 Год назад

      Hizi hazina shida ni nchi ndogo tu

    • @dottomabula7253
      @dottomabula7253 Год назад

      @@evaristmbuya6220 USSR Iko wapi naona tu NATO ikiongozwa na Marekani na kuzindi kupanuka Hadi nchi zilizokuwa USSR sasa tena ni Wana NATO kikamilifu kama vile hii inamaana Urussi ni nchi iliyoshindwa kiushwawishi kavamia nchi Moja nchi mbili zimekaribishwa NATO

  • @jonfredkewe3451
    @jonfredkewe3451 Год назад

    Pumbavu nyie chekeche upumbavu Tanzania team Putin

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад

    "Kulaani uvamizi wa Putin"

    • @uwimana6533
      @uwimana6533 Год назад

      Kwenu Congo mbona hamkulani kipindi kumevamiwa mjinga sana

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Год назад +2

    Ukweli nikwabwa wasomi wanamapungufu makubwa nisawa na mtu anae okota huwezi kumshauli kwasababu kapaniki kama mtu mwenye hasira paka ziishe kunaubinadam nashelia sisi tusio wasomi tunatumia ubinadamu kiongozi wetu nimngu wanaotumia Shelia kiongozi wao shetani sisi ambao hatuna usomi lilikuwa swala dogo tu mlusi alitakiwa apewe haki yake haki yake naloho zawatu zilizomwagika na kujifanyia mnajua haki zabinadam kuliko masilahi ata ambae hakusoma anawashangaa nyinyi wasomi kwahekima zenu .

  • @succeslifeeducation9868
    @succeslifeeducation9868 Год назад +1

    Hii ni vita kubwa na tusipoangalia inaweza kuwa chanzo cha vita ya 3 ya dunia coz ata vita zote za dunia zilianza kama masihala hivi hivi ..

  • @jamirually893
    @jamirually893 Год назад +2

    Zama za washenz zimekwisha tunamtaka putin

  • @mussarukigwa3453
    @mussarukigwa3453 Год назад

    Ukren itashinda

  • @nzeyimanaambari9754
    @nzeyimanaambari9754 Год назад

    Kakwambia nani kama wanasuhisha vita ao ndio wachochea urusi inapigwa na ulimwengu marekani azimio lake limetimia kuimaliza umoja wasoviet

  • @misanaalphayo2091
    @misanaalphayo2091 Год назад +1

    Azam ni vibaraka wa Marekani hawa

  • @charafimali9731
    @charafimali9731 Год назад

    MUNGU akupe nguvu Mrusi ,wametaka wenyewe kwakukeuka mikataba. Hao waliouwawa ni kidogo sana wauwe kama samaki, maana hao ni watu kama wanaouwawa palestina Somalia Congo Msumbiji LIBIA. na wanaosababisha ni haohao wamarekani uingereza na natoyake. ASANTE PUTIN HURAAAAA.