CHEKECHE | Kwa nini Marekani na Urusi wavutane juu ya Ukraine?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 фев 2022
  • Ukraine imekuwa kwenye vinywa vya mijadala ya siasa za kimataifa kutokana na mzozo kati ya Marekani na Urusi.
    Nini kiini cha mzozo huo? Na je kuna nafasi ya mafahari wawili kumaliza tofauti zao juu ya Ukraine?

Комментарии • 269

  • @njiyobirirahimupardon5157
    @njiyobirirahimupardon5157 2 года назад +22

    Mimi nipo upande wa Russia 🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ 2 года назад +15

    Mimi team Urusi

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +5

    kipindi kizur sana hongereni Azam Tv kwa kutuhabarisha kinacho endelea ulimwenguni

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 года назад +10

    W Acha wapigane,washatupiganisha sana nchini za africa

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 2 года назад +8

    Natamani vita iwe kweli kweli ili tuone Marekani kuporomoka kwa uchumi na kukosa ubabe wake wa dunia pili China itachukua mkondo wake na kua pamoja na Urusi sasa hivi Marekani hana ubavu mbele Urusi moja kwa moja ipokua Marekani anawafuasi wengi hata siku moja ki vita hamwezi Urusi nawajulizeni kwa sasa Urusi na China wali saini mkataba wakulindana ikiwa moja wao kaingia ktk vita ni mwezi wa kwanza januar

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 года назад

      daaa braza unafatilia news eee ...hatari sana kaka ...hiyo inaitwa kwa akina alima nchokonoe aone moto ukiwaka

  • @maghanighanichali9519
    @maghanighanichali9519 2 года назад +5

    Marekani washenzi sana.wamapigana vita ktk nchi za wenzao.Wamempiga.Sadamm.wamemuua Ossam.Waamemuua Gaddafi.Sasa wanachonganisha majirani hii ni shida sana.

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 2 года назад +3

    Shukran Sana Wachambuzi Mmenielewesha ambayo sikuyajua mwanzoni kumbe kikubwa ni uingiliano wa kimaslahi

  • @zakkisajen2344
    @zakkisajen2344 2 года назад +6

    It's shameful that I got deeper understanding than you! Bravo Putin. Napenda ningehusishwa kwenye huu mjadala. Mnasahau kuhusu Luhansk na Donetsk walivyobaguliwa na kuvamiwa ... sawa na ilivyokua Georgia. Kuna mambo mawili:
    1: Usalama wa Urusi pamoja na kupigwa vita juu ya biashara ya gesi ili marekani ihodhi biashara hio.
    2: Suala la warusi waishio urusi (ambao ni 1/3 ya ukraini) kushambuliwa.
    3: Marekani anastasia vita ili kufanya biashara ya sir siraha.
    Acheni kutumia vyanzo vya upande mmoja, mnatupumbaza.

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744 2 года назад +8

    Duuu,
    Sio vyema sana kuona watu wakiuana
    Japo Natamani Marekani ashikishwe adabu.

  • @serutokebirere2895
    @serutokebirere2895 2 года назад

    Hongera

  • @tawimbibyokowal9725
    @tawimbibyokowal9725 2 года назад +4

    Buyu rais wa Ukraine ametiwa na NATO na Marekani. Rais wa Ukraine hajali matukio mabaya amboyo itstokea nchini mwake,bali anatafuta kuwapendeza wale walio muweka madarakani.

  • @yohanapetro4937
    @yohanapetro4937 2 года назад +7

    Team Ulusi Apa

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 2 года назад +4

    Gadafi aliuawa vby sana kwafitina za wazungu waarabu nikama hawana dunia yakukaa kbs Acha tu wafanye mazoez nawao.

  • @mathiasmollel4783
    @mathiasmollel4783 2 года назад +8

    Mungu sikia vilio vya watu wako tunatoka kwenye vita ya ugonjwa wa Covid 19 sasa vita vya ukraine na Russia tatizo hili nila watu wote tumwombe Mungu

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 года назад +11

    Tatizo la wachambuzi nao ni team USA mbwa tu

  • @akidamakida6092
    @akidamakida6092 2 года назад +9

    Kuikaribisha Nato Ukraine ni sawa kumkaribisha adui yako sebuleni kwako kitu ambacho mrusi hatokubali kamwe... Ni sawa na Tanganyia kuipa Zanzibar madaraka kamili.. Hawato subutu abadani

    • @issaally8702
      @issaally8702 2 года назад

      Marekan hanajipya kashindwa nikiduku atamuweza putin

    • @ishrak3112
      @ishrak3112 2 года назад +2

      Ni kweli hujakosea ila ipo siku zanzibar itakuwa huru tu na itakuwa na mamlaka yake kamili

  • @eliaspetro8263
    @eliaspetro8263 2 года назад +5

    Eeee mwenyezi mngu tunakuomba simama juu ya hili jambo kwani hakuna kimbilio kwa nchi hususan zinazo tegemea uzalishaji mali kutoka kwa nchi hizi kuu

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 2 года назад +4

    Athari za vita ni hivi vya kidunia vitamins waliomo na wasiokuwemo.Anaeshabakia vita hajui madhara ya mouth wa bunduki na silaha za nyuklia

  • @hashimshaban4675
    @hashimshaban4675 2 года назад +5

    Hao Marekani ndio wanaoleta matatizo kila sehemu Duniani, sasa wao huko kwao huku Ulaya wanataka nini?

  • @mariamsefu825
    @mariamsefu825 2 года назад +1

    M/mungu aepushie mbali balsa hili amina

  • @lazarochiyega2131
    @lazarochiyega2131 2 года назад +5

    Marekani ndio tatizo kwanini wasiwe na umoja thabiti unaoheshimu mipaka ya wengine mahusiano ya majirani nidhamu ya kuheshimiana mataifa pakana pamoja na mabara kwakadiri ya maumbile yadunia mpaka wao ndowaonekane kiunganishi,wapatanishi au waamuzi wa namna wengine waishi na mbona waowakitaka kufanya yao hawaingiliwi na nikwamaslahi yao wamekua wakiangusha tawala nakuweka wanazo taka wao mfano Iraq, Libya , Congo ya P.Lumumba nk wengine wakifanya ni kosa.

  • @saidkwika2516
    @saidkwika2516 2 года назад +1

    duh ndugu zetu jaman watanzania mungu awalinde asimame nanyie maneno mengi jaya itajik kikubwa nikuwaombea ndugu zetu wakachukuliwe salama warudi nyumban salama ame

  • @tawimbibyokowal9725
    @tawimbibyokowal9725 2 года назад +2

    Amani itatokana na NATO na Marekani kuondoavikisi vya huko Ukraine.

  • @hashimujohn9110
    @hashimujohn9110 2 года назад +1

    Mwenyez mungu Awa epshe wote wa shushe chin slaha

  • @athumanmfangavu7320
    @athumanmfangavu7320 2 года назад

    Sio kweli

  • @khalidijohn890
    @khalidijohn890 2 года назад +3

    Marekani niwanafiki wakubwa na wao ndo chokochoko

  • @salehkhamis8653
    @salehkhamis8653 2 года назад +5

    bwana abdu shakur mbona sauti yako haisikiki vizuri sijui ni mitambo kueni makini katka kueka mitambo sawa ili tuwapate vyema

  • @neemamwasomola8663
    @neemamwasomola8663 2 года назад +1

    Mungu ingilia kati

  • @njiyobirirahimupardon5157
    @njiyobirirahimupardon5157 2 года назад +15

    Russia ni inchi kubwa sana marekani niwababe sana. Lakin mwaka huu watulie Russia itawanyooisha kbx😂😂😂😂

    • @luteking
      @luteking 2 года назад +1

      Ujuwi marekani vizuri ww

    • @omakywazamani6696
      @omakywazamani6696 2 года назад +1

      Ukweli tunao hao Marekani wana jeshi wao wamekiona Syria pale putine alvyona un na nato kuteketeza Libya kasema nitawaonesha wanajeshi wengi wa Marekani waliwawa sana hadi bashar Assad kuingia

    • @salumumakombo9136
      @salumumakombo9136 2 года назад

      @@luteking wewe acha kuklemisha ya kale mpaka leo....marekani ilikua zamani sio leo hii..mchezo wa marekani washa ushtukia kitambo sana

  • @OMANOman-qc1lm
    @OMANOman-qc1lm 2 года назад +2

    let's Go putuni wanyosheeee ao you crain na marecan yake washa zoea kuuwa watu ovyo zam Yao watakipata chaina irani corea let's Go it's awa time now atuitaki America sababu hi vita yeye ndo chanzo

  • @rahmaaltoki9835
    @rahmaaltoki9835 2 года назад +1

    Subhana allah allah awahifadhi yarab ukraine

  • @mtakimjinja2328
    @mtakimjinja2328 2 года назад +5

    Nato hawana msahada wowote wataiacha yukileni iliteketea kama libia

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 2 года назад +3

    wandishi wa habari mbona munaeleza mashambulizi ya Urusi tuambieni na Mashambulizi ya Ukraini pia

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 2 года назад +2

    Mungu wetu wanaweake na watoto ndio wahanga wa vita 'watapoteza Wapendwa 'vita inaenda kuzalisha vifo na ulemavu.Wewe ndiwe Ebenezer! Shughulika mwenyewe. Hatuwezi bila wewe

  • @oscarkalonga4772
    @oscarkalonga4772 2 года назад +8

    mm npo kwa urusi,China na korea

  • @peterbruno7157
    @peterbruno7157 2 года назад +14

    Team Urusiiiii yan team Putin

  • @filbertrobert1141
    @filbertrobert1141 2 года назад +4

    Hapa kuna jambo si mchezo

  • @babazungu3180
    @babazungu3180 2 года назад +9

    Russia wanataka sehem yao na wataichukuwa soon

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 2 года назад +2

      Ndoto za mchana hizo rafiki

    • @imash04tv20
      @imash04tv20 2 года назад +1

      @@georgekimasaofficial1629 sio ndoto za mchana wana nguvu sana na pia ni eneo lao kiasili na ndio maana wazanzibar wanataka uhuru wao lkn 🐕 nyinyi mnaona mnavyofanya ni haki

    • @albaharyhaji8231
      @albaharyhaji8231 2 года назад

      Ukraine ni sehemu moja muhimu sana kwa usalama wa urusi putin hawezi kuona ukraine ikiwa chini ya nchi za ulaya na marekani..ndo mana kaichukua crimea saivi ashaichukua lughansk na Donestki.kilichobakia sasa ni kuichukua nchi yote na kuirejesha chini ya himaya ya urusi na hilo litawezekana hizo kelele za nchi za ulaya na marekani ni kelele tuu kama kawaida yao kusema

    • @yohanapetro4937
      @yohanapetro4937 2 года назад

      Lazima Wachukue Awatakubali Kwanza Wanajiweza

  • @michaelmenja4251
    @michaelmenja4251 2 года назад +7

    Amani ya Ukraine ni kukubali tuu kuwa pamoja na Russia la sivyo itasababisha vita ya Dunia nzima

  • @unknownsasha8383
    @unknownsasha8383 2 года назад +4

    Mnasoma bibilia tafakaliji sana haya ni maandalizi ya kuja kwa mala ya pili nyie mnaona nikama vita iko mbali lakini hiii ni vita ya dunia inatakiwa kuomba msiweke ushabiki kama wa mpira nikuonba naut ipo mlangoni kwa wotee

    • @alibaraka5899
      @alibaraka5899 2 года назад

      Duuuu

    • @bakarirashid1176
      @bakarirashid1176 2 года назад +1

      Wewe unaogopa nini ikitokea Vita yatatu yadunia acha tufe kizazi iki nichadhambi tufe wote waje watu wapya waishi maisha Yao mapya ivyo hakuna chakuogopa merekani waende nakufa tufe tu navita ya3 itokee tu yadunia mbona freshi tu

  • @omakywazamani6696
    @omakywazamani6696 2 года назад +4

    Tunaomba mungu vita hii iwe pale kabisa ili tuwe na amani Afrika bila hivyo wazungu wataendelea kututawalia matatizo yote ya dunia ni Marekani na matatizo yote ni vyongozi wapumbavu wetu weusi

    • @ndegeyaernest3101
      @ndegeyaernest3101 2 года назад +1

      Kweli, Viongozi majuha ya kiafrika nao ni tatizo kama like LA Ukraine sasa linaangamiza nchi kwa kujidanganya Uyahudi

  • @stn4873
    @stn4873 2 года назад +4

    Kweli Duniani watu hatufanani, yani kuna wanaume huko wanakomaa kwenye baridi nginja nginja na mi Missiles na misilaha mingine mikubwa kulinda mipaka ya Nchi zao, ila kuna wakina Juma Lokole, H Baba na Babalevo wao wanagombania Uchawa.

    • @user-pj8ed9kn6g
      @user-pj8ed9kn6g 2 года назад

      🤣🤣🤣

    • @martinmaryogo3676
      @martinmaryogo3676 2 года назад

      kila mbuzi hula kulingana na uref wa kmba yake

    • @paulinakalimaza8435
      @paulinakalimaza8435 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      Mwanaume ni bora uwe mbuzi ule kwa urefu wa kamba yako ila sio kuwa kupe(chawa) kwenye mgongo wa mbuzi kumnyonya damu.

    • @stn4873
      @stn4873 2 года назад

      @@martinmaryogo3676 🍆🍆

  • @daydjuma8972
    @daydjuma8972 2 года назад +1

    Ni

  • @oparetionmaalum9030
    @oparetionmaalum9030 2 года назад

    Abdul shakuru hatukusikii

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 8 месяцев назад

    hiii ndiyooo hile fitina za waiziraeli watapigana nduguu Kwa nduguu na mpaka duniya yoyote itaingiya vitani

  • @georgewesonga8740
    @georgewesonga8740 2 года назад +1

    Let Ukraine be independent

  • @suleimanissa2089
    @suleimanissa2089 2 года назад +1

    Bora tu waelewane ili Dunia ibakie na amani

  • @matataoneproduction5355
    @matataoneproduction5355 2 года назад +2

    Marekani na Russia ni wamoja Marekani mnafiki tu

  • @happymagombe3477
    @happymagombe3477 2 года назад

    Mimi nakuomba Mwenyezi Mungu,,uepushe mbali hivi Vita nawaza wajawazito nawaza watoto na wazeee see Mungu ingilia Kati viongozi familia zao zinakua salama wanatesoteseka ni wananchi

  • @barnabasnganji3761
    @barnabasnganji3761 2 года назад

    7u7

  • @bahatimwale2441
    @bahatimwale2441 2 года назад +1

    Wamalekani ni namba 1

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 2 года назад +3

    Wacha wauwane kwnz wapo weng sn n hawan kaz z kufny Wacha wapungzne kwnz

  • @salomemchewa5187
    @salomemchewa5187 2 года назад +5

    Mkorofi huyu baba, mi simpendi kama nini anapenda vita , mbona anataka kuiteasa dunia

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 2 года назад +1

      Ujui fatilia habari kutoka sehem tofauti ndo utakapoelewa

    • @lucidaedward6567
      @lucidaedward6567 2 года назад

      @@keddlynebonny6462 mchochezi ni mmarekani

  • @ndoanirahaonlinetv5031
    @ndoanirahaonlinetv5031 2 года назад +3

    TUNAMUOMBA MUUMBA AWANUSURU WAJA WAKE NA VITA .KUNA WATU WENGI WATAATHIRIKA NA VITA SIO NZURI

  • @mohamedjakaya5355
    @mohamedjakaya5355 2 года назад +5

    Hapa naona tatizo ni uchonganishi wa marekani na kwasababu vita haijapinwa ndani ya marekani na raia wake hawajui taabu ya vita. Nashauri urusi na china wapeleke majeshi yao kule cuba alafu tuone kama marekani watafuhi. Marekani kila sehemu wao wanachonganisha vita kwa nchi za mbali

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 2 года назад

      Waeslam wote wapo upande ya urusi tunajuwa kwataharifa yenu mta tandikwa

  • @omarynambawani8543
    @omarynambawani8543 2 года назад

    Mzozo huo ni kuonyeshana umwamba na kiburi cha dola kuu mbili MAREKANI na URUSI. Ngoja tone.

  • @mathiasmollel4783
    @mathiasmollel4783 2 года назад +3

    Ee Mola tusaidie kwenye vita hivi kwasababu vita hivi c vya ukraine tu bali ni vita vya wote tunategemea tourists

  • @agneswilbard9059
    @agneswilbard9059 2 года назад

    Yesu uwatete

  • @stanlychishimba2729
    @stanlychishimba2729 2 года назад

    W

  • @sidodeni3468
    @sidodeni3468 2 года назад +4

    Marekani siipigwe tu

  • @leahjoseph1822
    @leahjoseph1822 2 года назад

    I I ok

  • @robinhomesuza8906
    @robinhomesuza8906 2 года назад

    Vita vya kiuchumi daaa pesa izi

  • @teljanahmed2051
    @teljanahmed2051 2 года назад +3

    Huyu majid ni shabiki wa marekani wala sio mchambuzi

  • @eliachungwa7672
    @eliachungwa7672 2 года назад +3

    Marekani lazima aje ateteme hapo

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 года назад

      Mmarekani hawezi , kwenda kusadia, vita itakuwa kubwa karibu ulaya yote.

    • @salomemchewa5187
      @salomemchewa5187 2 года назад

      Mrusi anatamaa vita ya ulaya ilirudi tena, , tumekoka vita jamani. Korona haitutoshi

  • @stanleymathias7877
    @stanleymathias7877 2 года назад +9

    Dalili za wazi za kurudi kwa yesu kristo

    • @fatumanasoro5057
      @fatumanasoro5057 2 года назад +1

      Uko sindi tutazidi kuangamia kabisa

    • @salehkhamis8653
      @salehkhamis8653 2 года назад

      hilo yesu unalijua wewe2 usituletee ukafikri hapa

    • @thomasanthony6292
      @thomasanthony6292 2 года назад +1

      Amina mpendwa,Jicho la Kiroho linaona hilo,Mungu akubariki sana

    • @mirosasaromi6079
      @mirosasaromi6079 2 года назад +1

      Yesu yeye ana bahati zake maana alikufa mapema msalabani....ww unasema turudi kwake....tutaeneaje kwenye huo msalaba mmoja jamani??...Mm hadi hii leo nikiingia kanisani namuona amekaa peke yake pale msalabani....nahisi tutafute njia nyengine sisi kondoo wa Bwana.

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 года назад

      @@mirosasaromi6079 Yesu hakufa mungu alimpaisha juu angani

  • @petershimbi7014
    @petershimbi7014 2 года назад +1

    tatzo la wanahabari wetu mnavigugumiz sana

  • @mvicbomjapan2978
    @mvicbomjapan2978 2 года назад +15

    Team URUSI tujuane

  • @khamissafari7965
    @khamissafari7965 2 года назад +1

    Marekani hawapaswi kusikilizwa Kama waitelekeza ukreni

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌✌

  • @faidakisalya9658
    @faidakisalya9658 2 года назад +1

    Wanataka nin warusi

  • @laickygugu4890
    @laickygugu4890 2 года назад +1

    Tunaamini sikuzote wanna leta machafuko ya kusababisha wananchi kufa no Wana siasa viongozi wenye maamuzi tegemewa. Lakini ninadhani hasa hutokea baada ya kuto kuheshimiana Kwa kukubaliana kukukubaliana . Lazima Kila kiongozi akubali maamuzi yaliyoamriwa. Au yaliyoonekana yameshinda.

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 2 года назад +3

    Siwapigane tu … naona wanatuzingua tu..

    • @mirosasaromi6079
      @mirosasaromi6079 2 года назад +1

      Wakipigana utanitafuta kaka...usichukulie poa na kufikiri itakula kwao tu!!...hapo lazima tuwajibike sote
      Hiyo vita sio ndogo baba

    • @andrewsam364
      @andrewsam364 2 года назад +1

      Usisahau mafahali yakigombana nyasi ndohuumia

  • @magangakibella6895
    @magangakibella6895 2 года назад +1

    Mnauliza tu hata sisi tanganyika tunataka adui asiwe karibu nasi ni Habari kwa usalama wetu ni bora adui awe mbali nasi ukreni mpumbavu hajui kuwa kutemgeneza adui karibu nawewe ni hatari kwa usalama wako pia ikumbukwe harahara jirani na fimbo ya mbali haiuwi nyoka kiherehere cha wa yukreni kitawatokea puani hata Nato waungane wataaibika kwa urusi

  • @dodwiedwin3944
    @dodwiedwin3944 2 года назад +1

    Faiz zanin, ww kama hujui kitu nyamaza usitangulize kisimi Chako humu. Ww hujui chochote kuhusiana na hayo mataifa mawili. Cc tunaongea kwa evidence.

  • @eidallyeidally5093
    @eidallyeidally5093 2 года назад

    Majid umesomekaa

  • @nelsoniisack6257
    @nelsoniisack6257 2 года назад +4

    We sema zipigwe wakati inch zetu za Africa zinategemea huko badara ya kuomba mungu vita isitishwe ww unaomba wapigane em nendeni na nyiee unazani vita ni Bibi yenu au tumieni akili ndugu zangu tumuombe mungu

  • @zainabuabdul7852
    @zainabuabdul7852 2 года назад +4

    Hizo nguvu mbona haweki kwa Israel na parestina

    • @maniamba.tz_
      @maniamba.tz_ 2 года назад +1

      Acha kujidanganya mataifa makubwa Duniani yenye nguvu za kijeshi ni Marekani na Urusi

    • @binhussain3445
      @binhussain3445 2 года назад

      Umeongea la maana kwelii

  • @ogenylaurent7961
    @ogenylaurent7961 2 года назад +3

    Let's go Russia

  • @allyngoda761
    @allyngoda761 2 года назад +11

    NAIJIULIZA MASWALI MENGI SIPATI JIBU HUYU MMAREKANI NI MBWA GANI ? KILA MAHALI NI YEYE NA DUNIA IMEKAA KIMYA..! UN INAFANYAKAZI GANI ? WACHA WAJARIBU KUIZUIA RUSSIA WAKIONE CHA MTEMAKUNI PUTIN SI KAMA SADAM AU GADAFI WAJARIBU WAKIONE MAKAFIRI WAKUBWA HAO

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 2 года назад

      Tulia gahidi unazani ni kujilipuwa na nyuklia

    • @keddlynebonny6462
      @keddlynebonny6462 2 года назад

      @@jpmanotaofficial639 sasa umecomment nini? Auna uelewa kwa kinachoendelea Bali mkurupukaji wa kuandika comment.

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 2 года назад +2

    Hao wamarekani tunawadai GADAFI wetu raisi wa AFRICA viva RUSSIA

  • @alimohd8427
    @alimohd8427 2 года назад +2

    Putin wa maize wote hao

  • @mfirajihalisitanzania5208
    @mfirajihalisitanzania5208 2 года назад +3

    Marekani humuwezi mrusi achana nae utachepwa

  • @rashidndumwike1661
    @rashidndumwike1661 2 года назад

    A

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307 2 года назад +1

    Zipigwe tuuuu. Amna shida

  • @petershimbi7014
    @petershimbi7014 2 года назад +1

    unataka marekani asitishwe we vipi????????

  • @maggiechishimba1009
    @maggiechishimba1009 2 года назад

    Mimi nasema nato Ana nguvu nato ni umoja wa marekani ' putin unanguvu tumia fimbo kwaupendo usiogope mungu au Allah awe nawe

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 года назад +5

    🤔Ukraine ni koloni la Urusi. Sasa pamoja na kuwa imekuwa nchi huru hivi sasa sio busara kujiunga na NATO kwasababu ni tishio kwa Urusi wakati nchi nyingi na hasa jumuiya ya NATO haipendi nguvu za kijeshi za Urusi. Urusi anahaki ya kujilinda na hajawahi kumvamia mtu yoyote kama ilivyo Uingereza, Marekani na washirika wao. Urusi ni lazima kupigana kupata maslahi yake.

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 2 года назад

      Nakubaliana na Urusi lakini sio sawa kusema Ukraine ni koloni la Urusi. Muungano wa USSR ulikuwa kama ilivyo Tanzania ambapo Urusi ilibeba jina la Muungano huo. Kama Muungano hauna maslahi uvunjwe na kila mmoja aungane na anaetaka lakini hakika jirani kuungana na adui yako ni adui pia. Muungano wa Tanzania nao ipo haja kuvunjwa au kufanyiwa "reform" Zanzibar imeshadhulumiwa vya kutosha.

  • @jcjasonlot3773
    @jcjasonlot3773 2 года назад

    Bado mimi nyuma na vita alakini bado nafatilia pia

  • @darasahistoria3773
    @darasahistoria3773 2 года назад +1

    Kichwani mwa rais Putin

  • @faridaabdallah2213
    @faridaabdallah2213 2 года назад

    kwani hao marais wa Nchi hizo wao wamejficha wap?

  • @waziriboy9941
    @waziriboy9941 2 года назад +1

    Gas

    • @norahazan796
      @norahazan796 2 года назад

      Yaan mataifa ya kipuuzi mno utafikiri waumbaji watu na vyote ni wao.

  • @oscarmuhumenya8089
    @oscarmuhumenya8089 2 года назад

    UK kazen mskubali kupigiwa nyumban kwenu

  • @euniceschoenfelder3570
    @euniceschoenfelder3570 2 года назад

    Hii ni njia ya kurete vitu za vita africa all those weapons will end up in africa

  • @chambilichacha6947
    @chambilichacha6947 2 года назад +1

    Mimi kama putin anataka nini ukoo ukreni ukreni wampe

  • @suzanaugustiano9091
    @suzanaugustiano9091 2 года назад

    Inasikitisha kuona watu wanafurahia kinachoendelea Ukraine....Ni kweli Putin ana haki kujilinda ila syo kwenda kivita tena nchi ndgo sana alitakiwa kwenda kwa amani na pia Ukraine ana haki ya kuchagua wap wanataka kwenda ni nchi huru....

  • @emmabrownmissana6996
    @emmabrownmissana6996 2 года назад +1

    Putin 😎👊💪👍☠️

  • @cosmasnyenza2027
    @cosmasnyenza2027 2 года назад

    Warusi ni wakorofi hawawezi kumchagulia rafiki Ukraine .

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 2 года назад +1

      Russia Yako sahihi hivi wewe ukiwa na binti unae mlinda na kumchunga harafu ukampamgisha nyumbano kwako kijana kitombi unataka nini

  • @douglasmakau.
    @douglasmakau. 2 года назад +3

    So apa naona urusi iko na china alf ukrane iko na marekani kwaivo vita niza nchi gani na gani lkn china achana nayo bt,,,,,,,

  • @maggiechishimba1009
    @maggiechishimba1009 2 года назад +1

    Mimi naitwa kwa Nina rajdabu naishi kambini mantapala seulement kutokana n'a marekani njo mwanzilishi wa funo ulimwenguni Obama nimunafiki

    • @maggiechishimba1009
      @maggiechishimba1009 2 года назад

      Putin Ana Aki fikirieni Africa tuta kuwa wapi? Kilakitu afrika paka ulaya Sasa sisi weusi tutafikia wapi?

  • @legend9805
    @legend9805 2 года назад +3

    Wewe abdulshakur nani amekwambia urusi ni mchokozi fatilia vizuri swalaa la ukraine ilianza vipi vitaa mwakaa 2014