CHEKECHE || Mkutano wa Wajumbe wa NATO nchini Lithuania na ndoto ya Ukraine kujiunga NATO 15 07 2023
HTML-код
- Опубликовано: 14 июл 2023
- Je, mkutano wa Umoja wa Kujihami wa NATO nchini Lithuania na hitimisho la kuikatalia Ukraine kupata uanachama wa umoja huo una maana gani?
Je, ni kuipa kiburi zaidi Urusi au ni kuitesa Ukraine?
Ungana na Raymond Nyamwihula na wageni wake ndani ya #CHEKECHE
Asanteni kwa uchambuzi.. tatizo lenu ni moja tu .mnachelewa kutuletea vitu kama hivi
Uyo mzee yupo marekan anaweza akawa yupo kwenyejinsia moja😂😂😂
Tatizo lenu ukishakuwa marekani basi hamuongei ukweli halisi kuhusu hivi vita mnaegemea upande wa Magharibi... Kwaufupi marekani na washirika wake wameahindwa kupambana na Urussi kwa njia zozote iwe kijeshi ama kiuchumi au kivikwazo mbinu zote zimefeli..
Daaa yaani Hawa jamaa wananuka damu ya kinazi na hawaoni kabisha ukweli yaani wanaomba na Dua eti Ukraine ajiunge NaTo duuu aisee yaani nimeamini kweli ukiajliwa na Shetani huwezi Fanya kazi ya Mungu
Dah hili zee liongo kweli au kwakua yuko malekani bila shaka anaweza kua wa jinsia moja
Wajiuunge Mrusi Atawanyoosha
Voa ni wapuuzi tu
Bg upp
Asante sana❤❤🎉🎉
Abdullah shakuli unacho sema sio ukweli Urusi aina mgogori wowote Wagner wapo na wapo kazini wewe upo upande mmoja wa Marekani hoja zako tunafatilia sana
ya paswa marekani wabadiri sela yao DuniA yasasa siya zamani Rasinyvo wata sababisha matatizo makubwa sana kirio chawengi kita skirizwa Akika kabisa
Tukisha zipoteza hizo F16 tu watajuwa umuhimu wa mzungumzo
Hawana lolote hao NATO wanaiogopa urusi ilesio Libya , urusi ana historia ya kushindwa vita , lazima mseme ulweli
Uturuki nae mnafiki,, nawakbali sna wachambuzi ukweli muko sawiya,, cc ni team Russia lkn kw undani urusi imefeli lkn tnaikbali kwsbb wamagharibi c wema iko cku wapigwe lkn urus hana mshirika madhubuti
Hapo uturuki amejichanganya mno hasomi alama za nyakati
Jamani ehhhh, tutambue ya kwamba, NCHI zenye silaha za nyuklia haziwezi kupigana Vita za moja kwa moja. Unazani zikipigana nini kitatokea? Bila shaka ni maangamizi. NATO HANA MPANGO WA KUPIGANA VITA NA URUSI.
Hata ukrein apewe uwanachama Leo NATO haiwezi kwenda sambamba na spidi ya Urusi kutokana na kuwa hii si kawaida yao wanaloliamuwa wao kuhusu uvamizi Huwa hawataki sibabu na wanaofanya hivyo ni hizo hizo nchi za NATO na washabiki wake Kwa maana hio nikuwa NATO wameonesha dhahiri udhaifu wao wa hofu juu ya suala Zima la kuisaidia ukrein zaidi ni pale zilipofeli jitihada zao za mwanzo zote
Huyo mchambuzi mzee piga chini hakuna anachokijuwa kuhusu uwanja wa vita.
Naipendeleyaka sana uchambuzi wenu muko Sawa kabisa apana ule anaye jiita mwalimu waneno lamungu wakilembe
Huyu anacho ongea hata hakielewi vizur
haja toa vigezo vyovyote poutine kawa shinda hao manyangao sijuii kwanini haoni eti kuna matatizo ndini ya rashia wala mze mkubwa kama yeye hawezi kujua kama kuna mchezo ambao poutine Ana wazubaza aima Ana wacheza hao wamagharibi
na ikiwa nyinyi niwa somi basi nawaomba nyinyi ngisi mlivyo muwafatilie wachambuzi hawa ambao nakwenda kuwapa majina wa 1 Jack baud wa2 asoulino
tayari tayari Abdul Shakur abud yeye kama yeye tuna muelewa yeye lazima ateteye siasa za America uchambizi wake Huna maana sana
Profesa. Ali. Magema. Kutoka. Tanga. Tanzania. Nyinyi. Wachambuzi. Mwasema. Yukereni. Akijiunga. Na. NATO. Urusi. Watufyata. Mkia. Si. Kweli. Kwa. Urusi
.
tayari na kaka yngu uko miongoni mwahao hao nyinyi wte mna wasapoti manyangaou kweli uchambuzi wenu fack
Ware nato washenz wanataka sodoma ienee kote
na nimekea hapo sinto rudi kufwatilia tena hiyo chanel yenu ikiwa utarudi kualika hao mabwana vibaraka
tatizo mna miemko ulifatilia aljazeer ukasikia walivyo chambua?
mpuuzi wewe mzee
Daa kumbe hata huyu mchambuzi kijana licha ya ndevu nyingi kumbe nae ni shooooga sulini dawa yenu inachemka huo mpaka sio shida mpaka haupigani hata wote mrusi hawamuwezi na wangemuweza sahz mngeongea mengine.
Kwa hiyo nyie wachambuzi hamjui putin anataka nini au nato na Marekani hamjui wanataka nn fatilien kiundani
Mzee hana lolote anaongea kuifurahisha marekani, putin ni mshindi
Hiki kipind sijui ni kwann wanaalikwa watu wenye mrengo mmoja,ila huyu mchambuz wa studio hajua siasa za kimataifa kabisa cjui kwnn anaalikwa,anafaa kuwa mchambuz wa wa siasa za wilaya coz hana uelewa
wewe ndo hujui siasa umelishwa matongo pori
Usipotoshe wewe shoga kijana putin hajaomba mazungumzo kwamba kashindwa bali mazungumzo kwa matakwa yake na malengo yake wakigoma basi ndio yanakamilishwa kwa kichapo kama hivyo mikowa ishaondoka tayali nato felia siraa zao watafute wa kumuuzia
huu ndo uchambuzi wa siasa afu utakuta watu wakishashiba dona wanakuja na komenti eti wapo upande wa magaribi
We shoga tu