CHEKECHE|| Vita ya vikwazo kwa Urusi ina maana gani kwa dunia inayojitibu na athari za Corona?
HTML-код
- Опубликовано: 11 мар 2022
- Ni zaidi ya wiki mbili Urusi inaendeleza uvamizi nchini Ukraine.
Kwa sasa inashuhudiwa vita ya silaha, vita ya mafuta na gesi pamoja na vita ya vikwazo vya kiuchumi.
Vita ya vikwazo ina maana gani kwa Dunia inayojitibu na athari za kiuchumi zilizotokana na Corona?
Nakulispect saaaaaaaana. Baba yangu sana Abdu shakula bood. Nakufaham kitambo sana kupitia VOA. Kiswahili.
Libya,Iraq, Afghanistan,vetnm,na Japan Ni Russia alifanya haya
Ohhhh nimeona huyu mzee pamoja na huyu kijana nimashogha kbs wewe mzee ulihanza ushoga
Lini?pamoja nahuyu kijana?
Unamfungia mtu anae jiweza!! Apo nikupoteza mda2 na kuumiza mataifa madogo
Sijapenda uchambuzi wenu vitu vingi mnavikosea kwa kuipendelea marecani
Huyu muchambuzi atakuwa chakula chawamabwenyenye
Wachambuzi wako na bias kubwa na s moderate thinkers
Mbona marekani na uingereza waliivamia Libya ambayo nchi huru.Kusababisha mauaji kwa RAIA wasiokuwa na hati.
Piga awoooooo
Uchambuzi mzuri sana
Huyu mchambuzi wa MCHONGO hajui chochote 🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Mchambuzi arioko marekan ni choko hajierewi ni nyang'au kabisa Africa wasenge kama hawa hawatufai
Uyunibwege
Wachambuzi makini sanaa. Ila please wapeni mavazi mazuri guys. Thamani Yao ni kubwa sana
Duniani shiida tupu
putin yuko sahihi ila sema marekani kwa kutumia voa na bbc ni kueneza probaganda tu
wewe unatetea upuuzi.libya aliua putin afrighanstan ni putin? saudiarabia ni putin?
Wanajitoa ufaham
Fanya mambo haya kila siku asubuhi Gusa,
👇👇👇
ruclips.net/video/3vUzXoHiEfo/видео.html
Iran hana undugu na ulaya we we ndio unafosi