CHEKECHE|| Vita ya vikwazo kwa Urusi ina maana gani kwa dunia inayojitibu na athari za Corona?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 мар 2022
  • Ni zaidi ya wiki mbili Urusi inaendeleza uvamizi nchini Ukraine.
    Kwa sasa inashuhudiwa vita ya silaha, vita ya mafuta na gesi pamoja na vita ya vikwazo vya kiuchumi.
    Vita ya vikwazo ina maana gani kwa Dunia inayojitibu na athari za kiuchumi zilizotokana na Corona?

Комментарии • 25

  • @innocentcassian9472
    @innocentcassian9472 2 года назад

    Nakulispect saaaaaaaana. Baba yangu sana Abdu shakula bood. Nakufaham kitambo sana kupitia VOA. Kiswahili.

  • @allykeita704
    @allykeita704 2 года назад +1

    Libya,Iraq, Afghanistan,vetnm,na Japan Ni Russia alifanya haya

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 3 дня назад

    Ohhhh nimeona huyu mzee pamoja na huyu kijana nimashogha kbs wewe mzee ulihanza ushoga
    Lini?pamoja nahuyu kijana?

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke3153 2 года назад +1

    Unamfungia mtu anae jiweza!! Apo nikupoteza mda2 na kuumiza mataifa madogo

  • @saidmungisaphy441
    @saidmungisaphy441 2 года назад

    Sijapenda uchambuzi wenu vitu vingi mnavikosea kwa kuipendelea marecani

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 2 года назад +1

    Huyu muchambuzi atakuwa chakula chawamabwenyenye

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 2 года назад +1

    Wachambuzi wako na bias kubwa na s moderate thinkers

  • @emanuelshayayi54
    @emanuelshayayi54 2 года назад

    Mbona marekani na uingereza waliivamia Libya ambayo nchi huru.Kusababisha mauaji kwa RAIA wasiokuwa na hati.

  • @emmanuallydeus1243
    @emmanuallydeus1243 2 года назад

    Piga awoooooo

  • @kambonamajaliwa5466
    @kambonamajaliwa5466 2 года назад +3

    Uchambuzi mzuri sana

  • @allykeita704
    @allykeita704 2 года назад +1

    Huyu mchambuzi wa MCHONGO hajui chochote 🤣🤣🤣🤣

  • @manchalijob9600
    @manchalijob9600 2 года назад

    Mchambuzi arioko marekan ni choko hajierewi ni nyang'au kabisa Africa wasenge kama hawa hawatufai

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 2 года назад

    Uyunibwege

  • @iamthefarmerceo2316
    @iamthefarmerceo2316 2 года назад +1

    Wachambuzi makini sanaa. Ila please wapeni mavazi mazuri guys. Thamani Yao ni kubwa sana

  • @salehmussa9371
    @salehmussa9371 2 года назад

    Duniani shiida tupu

  • @superangeltv4615
    @superangeltv4615 2 года назад

    putin yuko sahihi ila sema marekani kwa kutumia voa na bbc ni kueneza probaganda tu

  • @tajirifestocosmass2244
    @tajirifestocosmass2244 2 года назад +3

    wewe unatetea upuuzi.libya aliua putin afrighanstan ni putin? saudiarabia ni putin?

  • @Perfect_side_tz
    @Perfect_side_tz 2 года назад

    Fanya mambo haya kila siku asubuhi Gusa,
    👇👇👇
    ruclips.net/video/3vUzXoHiEfo/видео.html