HOJA MEZANI || Ushirikiano baina ya Mataifa ya Afika na Urusi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Mjadala unazungumzia Ushirikiano baina ya Mataifa ya Afika pamoja na Urusi jee ushirikiano huo unatafsiriwa kama fursa au changamoto?

Комментарии • 9

  • @ramansitv3292
    @ramansitv3292 Год назад

    mlangi amezungu safi sana, msaada bora kupewa mbivu ya kuzalisha bidhaa na sio kupewa bidhaa yaani ili mwisho wa siku wawe miungu yetu.
    wanatulemaza

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад

    Wachambuzi wako vizuri ila mrusi namwelewa Sana

  • @barakagisbethkomba2851
    @barakagisbethkomba2851 Год назад +1

    Hao marekan wako miaka mingi Sana hakuna chochote elimu,afya,uchumi hakuna cha maana wanatufanya kama watoto cha msingi ni Viongozi wa AFRICA tuwe vizuri kiusalama na kiuchumi

  • @zahorokasentisenti6761
    @zahorokasentisenti6761 Год назад +1

    Wachambuz wote mpo upande wa marekan Ila we mwandish upo vizur tutasimama na urusi

  • @godlistenJohn
    @godlistenJohn Год назад

    Daaah!! Mbona uchambuzi wenu umenivunja moyo hivyo😅😅, Afrika inasikitisha kwakweli

  • @wewa7329
    @wewa7329 Год назад

    Wachambuzi ni waongo

  • @hamisramadhan-eb3ie
    @hamisramadhan-eb3ie Год назад

    Wasenge mmekutana 😂

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 Год назад

    Mlangi kwenye mtandao anatumia jina nani namwelewa Sana huyu mwingine nimeanza juzi2 kumfwatilia

  • @saidiomar6642
    @saidiomar6642 Год назад

    Nyote mashoga tu hapo