Urusi yatangaza kusimamisha mkataba kati yake na Marekani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 фев 2023
  • Urusi imetangaza kusimamisha ushiriki wake katika utekelezaji wa mkataba wa upunguzaji wa silaha kali kati yake na Marekani.
    Akihutubia taifa kwa njia ya televisheni leo, Rais wa Urusi, Vladimir Putin amesema Urusi haijajiondoa kutoka kwenye mkataba huo bali itasimama kushiriki kwenye kutekeleza makubaliano baina ya mataifa hayo mawili.
    #AzamTVUpdates

Комментарии • 158

  • @odhiaodhia9898
    @odhiaodhia9898 Год назад +19

    Mchambuzi anaakili sana

  • @jumaismaili3656
    @jumaismaili3656 Год назад +46

    nyie wote ambao mmekomenti apo eti urusi kashindwa vita nyinyi nimashoga amuwezi kumpenda poutin maana anacho wafanyia amuwezi kusaau angekuwa kashindwa vita majeshi yake aingekuwa inashikilia mikowa minne iyo utuba imewagusa nyinyi mashoga mbele ya poutin kiboko🇷🇺❤️💪❤️🇹🇿uraaaaaaaa

    • @barakakusa7606
      @barakakusa7606 Год назад

      We hujui mathara ya nyuklia ndy unaropoka! Ungejua kwanini amesitisha huo mkataba na Marekani kuwa anajiandaa kutumia silaha za nyuklia.

    • @venancemwanya4212
      @venancemwanya4212 Год назад +12

      @@barakakusa7606 natamani nickie ameyalipua haya mashenzi,yashughulikiwe kama walivyo waua kina Sadam na muamar gaddaf. Yapigwe hayo ma nato.

    • @charleszakaria643
      @charleszakaria643 Год назад +1

      Hana jpya, tulishamuzoe kwavitisho alisema atakayeingilia vita atakiona chamtema Kuni kumbe mhun2

    • @ramamtanga3482
      @ramamtanga3482 Год назад +2

      @@charleszakaria643 sasa mbona awaingilii

    • @gh7naa
      @gh7naa Год назад +1

      @@barakakusa7606ww ukipmbana na mtu utamuachia akupige kwa hiyo nyukilia alilipua sawa kuliko marecani siku zote aone nchi nyingine bora alipuliwe hata ikipiga dunia marecani kila siku kuonea africa kuwaibia kongo na africa yote na warabu wacha amuonyeshe Huyo zeleksy kwa nnasiache madaraka na na waelewane yakaisha hawataki wanataka wao waonekane wababe siku zote ndio hayo ya nyukilia itakua tu vyakula na maisha yasha kua magum kwa ajili ya vita vyao visivyo isha marecani anapenda vita

  • @moudys
    @moudys Год назад +10

    Safi sana

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +20

    Mrusi mjanja sana na yupo tayali kwa nyuklia

    • @yusuphjafarijr7583
      @yusuphjafarijr7583 Год назад +4

      Putin kichwa ameona hawa jamaa wamemshindwa watatumia nyuklia

    • @Ambagaye
      @Ambagaye Год назад +1

      Nyuklia haziko urusi tu, wao walikopi kutoka Marekani. Huwezi kumtishia mwenzakao kwa nyuklia wakati ni yeye alieanza kuzitengeza na kuzitumia na badaye akazilaani. Huyu jamaa (pumbavu sana) anatumia neno nyuklia kama vile ni urusi ndiye ana silaha hizo tu.

    • @saimonijonas1471
      @saimonijonas1471 Год назад +1

      @@Ambagaye Unaweza kuwa wakwanza ukabaki na ukwanza ukakosa usasa kwa kuboresha.Utashangaa ulikuwa wa kwanza kununuua gari kwawakati ule uliona Lina speed. kanunua mwezako leo japo kachelewa kanunua gari lenye speed kukuzidi.Nani atakuwa bora kwa wakati huo?

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Год назад +1

      @@Ambagaye umewapa somo la uelewa Isipokuwa wakitoa comment za maana dhidi yako nijuze, maana wengi wa wachangiaji
      ni waathilika wa itikada za AlQaida na Boko Haramu.

    • @modestwenceslaus9
      @modestwenceslaus9 Год назад

      @@saimonijonas1471 vita hii mshindi atakuwa ni yule Mwenye Technology
      bora ya Siraha za kivita na Wala siyo kelele za ushabiki Kama ule wa timu za Simba na Yanga.

  • @saidymwajeka8612
    @saidymwajeka8612 Год назад +18

    Huyu kichwa Safi huyu anaoujuz mno

    • @islachristabinastaravista8104
      @islachristabinastaravista8104 Год назад

      Viongoz wengi ambao huwa wamepitia kwenye Vita ving vya nchi yake na nyingne amepgana Vita vng km Intelligencer

  • @maryjohn5004
    @maryjohn5004 Год назад +12

    Urus mwamba imara

  • @mkongwekarim3036
    @mkongwekarim3036 Год назад +7

    Thabit namkubali Sana 👏👏

  • @ommyregga5829
    @ommyregga5829 Год назад +12

    Putin saf sana marekani mashoga

  • @mayombomajenga9778
    @mayombomajenga9778 Год назад +9

    Alidi uko sawa sio wale manyang'au wa chekeche hawajui kitu chochote kinachoendelea Duniani Kwa maswala ya urusi na marekani pamoja na washilika wake.asante

  • @EdwardSMsiro
    @EdwardSMsiro Год назад

    Thabit uko vizuri sanaa, nakukubali sanaa ktk masuala ya uchambuzi, be blessed

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Год назад +9

    Putin tunakuelewa vzr sana

  • @josephkostans9128
    @josephkostans9128 Год назад +13

    viva Russia

  • @maxmiliangunze8931
    @maxmiliangunze8931 Год назад +10

    Tupo nyuma yako

  • @bravenkombe2201
    @bravenkombe2201 Год назад +6

    Marekani mchonganishi

  • @philemonbigwanyi8059
    @philemonbigwanyi8059 Год назад +5

    🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jeanmusamba3253
    @jeanmusamba3253 Год назад +10

    usa ndiyo shida duniani taifa hilo ni la kishenzi sana na migogoro yote duniani ikiwemo kutengeneza makundi ya magaidi ni marekani,wakati umefikia usa inaibika kwa kuishi ikiwafanya watu wote wajinga

  • @kafwimbimilambo8556
    @kafwimbimilambo8556 Год назад +6

    Nyie wachambuzi namipa ongera sana kwa uchambuzi wenu uko wazi

  • @barick
    @barick Год назад +4

    ♥️

  • @hasanimkamba8377
    @hasanimkamba8377 Год назад +3

    Niko pamoja na urusi

  • @betinaernest2766
    @betinaernest2766 Год назад +6

    Yap muwe mnaleta wachambuzi Kama hawa sio wale wa kwenye chekeche hawajitambui kabisa wanatumia elimu yao kupotosha wajinga

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад +2

    Safi sana Russia 🇷🇺 yani uko mbele ya Muda mkuu

  • @protamwenyegzaketv7408
    @protamwenyegzaketv7408 Год назад +7

    Russia is good country ever

  • @elialugongo8663
    @elialugongo8663 Год назад +2

    🇷🇺💪Ushindi kwako

  • @khatibkhatib2249
    @khatibkhatib2249 Год назад +3

    Uuuuuuuuuuraaaaaaaaa'paasibyaaaaaaa sputanyaaaaaaa uuuuuuuuuuraaaaaaaaa akhmuuuut long lives putin,more blessing baba wanyoooosheee wapuuzi hao

  • @godfreyhiza1075
    @godfreyhiza1075 Год назад +4

    Nyuklia sio poa....tuache ushabiki....ni kifo Kwa uhai!!

  • @wilsonchishomi1083
    @wilsonchishomi1083 Год назад

    Thabit anachambua haya mambo kwa kina sana..👏🏿👏🏿👏🏿

  • @chachamakome-wp1nx
    @chachamakome-wp1nx Год назад +2

    Kumbukeni msisahau Hawa NATO walichotufanyia enzi hizo àchen Putin awaweke sawa M,zee ongeza kichapo,mbona wao ghadaf,...,,,

  • @nyaburumabwire2534
    @nyaburumabwire2534 Год назад +1

    Salute kwa putin

  • @abdalahngozi5455
    @abdalahngozi5455 Год назад +2

    Huyo ndo mchambuzi sasa sio wale wa kweny chekeche

  • @sadickbisale6637
    @sadickbisale6637 Год назад +1

    PUTIN

  • @omarhemed448
    @omarhemed448 Год назад

    Dotto Mabula nishoga anawashwa mkunduni. Wata chonga sana Russia 🇷🇺 babalao

  • @Fardadihd
    @Fardadihd Год назад +3

    Mchambuzi nimemuelewa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +1

    Choko choko za Marekani ndo zimesababisha yote hayo sasa kipi cha kuficha

  • @matigoroally8282
    @matigoroally8282 Год назад +9

    Huyu Mchambuzi Namkubali Sana Kuliko Wale Waliopita Na Mtayarishiwao Kipindi! Walikua Ovyooo Kabisa Walikua Wanazungumza Wasivyovijua! Kiufupi USA Na NATO Na Umoja Wa Ulaya Maji Ya Shingo Hawamuwezi Mrusi Ameshajiandaa Muda Mrefu Sana Kabla Vita Kuanza lmekula Kwao Na Mnafiki Wao Mgombanishi Wa Dunia Ovyoo Kabisa Marekani!

  • @yussuphmwiwindi9445
    @yussuphmwiwindi9445 Год назад

    Hi

  • @salimmugusi5829
    @salimmugusi5829 Месяц назад

    Tena wamechelewa

  • @pauldotto7928
    @pauldotto7928 Год назад +2

    UKWELI AZAMU NILIKUWA SIJAWASIKILIZA NINYI, NAOMBA MCHIMBE KABISA TAARIFA, UKWELI PUTINI YUKO SAHIHI MAGHARIBI NI TATIZO, SERIKALI YETU , HAIPASWI KUWAHUSUDU HAWA MAGARIBI

  • @senikomanya7223
    @senikomanya7223 Год назад +2

    Uraaa🇷🇺

  • @micamathew2595
    @micamathew2595 Год назад +3

    Russia ni mkuu sana!! Marekani huwa anateseka sana!! Afu hajawahi kushinda vita!!

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      Urusi ilishinda vita ipi?

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Год назад

      @@rumdeesonsoa1811 vita ya korea, vietnam, ile vita ya pili ya dunia!! Aliyemwangusha hitler ni Russia. Hujui cyo soma kaka

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      ​@@micamathew2595 mueleweshe hajui kitu huyo ushabiki tu unamsumbua

    • @issalyanalijr-8610
      @issalyanalijr-8610 Год назад

      Adolf Hitler Yuko wapi?

    • @nectarsangiwa-dy6dm
      @nectarsangiwa-dy6dm Год назад

      @@micamathew2595 Urusi alishashindwa vita Uingereza na Ufaransa ndio waliomsaidia Urusi kumuungusha Hitler...

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад +3

    Urusi Ana tecnogy ambayo ni Siri haijawahi toa Siri yake your ya. Kisilaa kwa sababu ya kulinda taifa lake ambayo matifa mengine hayana hiyo tecnogy

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      Teknolojia ipi hiyo mkuu?

    • @abdalahgunda1319
      @abdalahgunda1319 Год назад

      @@rumdeesonsoa1811 tunaposema tecnogy kunaupana mrefu technology ktk kutengeneza vitu technology kugundua vitu technology kucopy vitu tecnogy utafiti ipo ktk sehemu mbili mbali

  • @annurmohamedi9824
    @annurmohamedi9824 Год назад +1

    Huyo ndo mchambuzi anachambua uhalisia anaouona , sio mnaleta wachambuzi wanaangalia Borrell kasema nn , au Ursula kasema nn kwenye MSM zao unakuja kutupa uchambuzi

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Год назад +2

    Rusia pigaa hao manyahau

  • @josepheriah5977
    @josepheriah5977 Год назад +1

    Pputin kapgwa ana mpya

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад +1

    Hicho ndicho walitamani yatokee sasa yanakwenda kutokea na mwisho wake mbaya mno sijui ni nani aliidanganya Marekani kumpa uraisi Biden😭😭😭

    • @mwawekomiuda9779
      @mwawekomiuda9779 Год назад

      Mmmmh! Hata angekuwa nani angepigana tu ni vita iliyopangwa karibu karne sio rahisi kutopigana mtihani kwa kweli

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      Hiyo imepangwa na nchi nzima sio na Biden. Nia yao ni kuiminya Urusi isiwe na uwezo wa kiushawishi

  • @thegreenkhidhir3705
    @thegreenkhidhir3705 Год назад

    Mchambuzi mzuri sana, ni independent thinker inaonyesha ni maoni yake halisi sio ya kucopy na kupaste!

  • @adamumikidadi2396
    @adamumikidadi2396 Год назад +1

    Nipekupata sabiti ngangana na omba namba ya sabiti mulangi

  • @mussakatoro8079
    @mussakatoro8079 Год назад

    Hatusimami na Mashoga, tunasimama na Urusi. VIVA URUSI VIVA PUTIN

  • @josephwaigama-sb8hz
    @josephwaigama-sb8hz Год назад

    Ongeza vitu baba ushindi ni wako

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Год назад +1

    Joe Baden to traveling to ucrain will not change anything underground on ucrain because they so many different engineering of wipon technology on this four heavy whaity between lran chaina Russian noth Corie this are vary andnvince technology they are am is to make sure end of Western power dimand

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 Год назад

    Uraaaaaaaaaa🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇹🇿🇹🇿

  • @nassoromussa2423
    @nassoromussa2423 Год назад

    Ukisikiliza kwa umakini wachambuzi wengi wa mgogoro kati ya Urusi na Ukraine, wanakataa kujiingiza kwa Marekani mojakwamoja katika kuchochea vita hii. Matokeo ni lazima Urusi atumie silaha zake zote!

  • @simonnembomadola7512
    @simonnembomadola7512 Год назад

    Putin muhoga anaogopa wenzake watamzidi silaha

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 Год назад

    Putin na wengine Acheni.vita wanateseka ni wengi.vita sio.vizuri

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Год назад

    Wacha ushoga wewe urusi wanapigana na ndugu yake anaua ndugu zake yeye ndio fala wewe shoga marekani kibokoo kama mti anaweza kuku chonganisha mjinga nani wewe fala

  • @kabwangaselemani5228
    @kabwangaselemani5228 Год назад

    Hawa wote ni wapumbavu sana midude yote hiyo ni kwaajili ya kuuwa binadamu

  • @chandechande9642
    @chandechande9642 Год назад

    huyu jamaa anaingamiza nchiyake nakaa pale

  • @ikrissaidrissa8613
    @ikrissaidrissa8613 Год назад

    🇷🇺

  • @komumbughuni8301
    @komumbughuni8301 Год назад +1

    West ni wapumbavu, mbona wao wanafanya ujinga mwingi wazi tu

    • @barnabazawadi9433
      @barnabazawadi9433 Год назад

      Maji ya kikufika shingoni hutawaita wapumbavu. Kama raisi wa Siria, ameanza kulaumu nchi za magharibi, kwamba huu sio wakati wa kuweka mbele siyasa bali uhai. Aliyasema hayo baada ya kuona hakuna msaada unaotaka nchi za magharibi. Mambo yakiwa sawa ni rahasa kuongea lolote unalojisikia kuongea. Lakini mambo yakikubana, wale uliyowasema vibaya, utaenda kuwaomba msaada. Hata ukiwaita wapumbavu, kumbuka sisi bado tu watumwa wao. Maana kila siku tunaenda kwao kuchukua mikopo. Kwa hiyo hawa watu majina yoyote tunatakayowaita, bado wana nguvu kutuzidi.

    • @mayombomajenga9778
      @mayombomajenga9778 Год назад +1

      Barnabas kumbuka hata huyo siria kukosa msaada ni sababu ya vikwazo vya hao magharibi.mbona kama unajitoa data mzee.robo tatu ya watu Duniani wanaishi chini ya vikwazo vya marekani EU sababu hawataki nchi zingine ziwe na amani ili waendelee kuzinyonya na kupora rasilimali.hebu fikiria tz Mali tulizo ibiwa na ujerumani na bado zingine wamefukia humu humu tz na huwezi zichukua haya waingereza je?pia masurubu waliyo yapata Babu zako nani atakulipia.wao walishagamwaga ugari kitambo acha putini amwage mboga wakose wote.hizo nyukilia kama putini anazo na amedhamilia kuwanyoosha basi mm naungana na putini amalize mchezo tuone upande wa pili itakuaje.japani iligongwa na marekani si unaona walinyooka ......naimani hata hili litaenda powa kabisa

  • @augustinemwalongo9824
    @augustinemwalongo9824 Год назад

    Nataman putin angekua mtanzania na watanzania tuwe na misimamo na mapenzi ya nchi yetu kama walivyo warusi

  • @bilioneaibrahim4680
    @bilioneaibrahim4680 Год назад

    Alukaida, islamiki state ni mmarekani

  • @Manyara-Jr
    @Manyara-Jr Год назад

    MUDA HUU TUNASHUHUDIA HAYA AFRICA ILIKUA MUAMAR GADAFI NA MAGUFULI WAZEE WENYE MAAMUZI MAGUMU NA SISI TUINGIE BRICS.. PIGA CHINI MASHOGA WA WEST NA MAREKANI

  • @barakakusa7606
    @barakakusa7606 Год назад +4

    Kwahiyo huyu Jamaa akili zake zote anaiwaza vita na anako elekea yupo tayari kutumia silaha za nyuklia.

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Год назад +1

      URAAAAAAAA

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Год назад

      Usicheze na hii mutu!!

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Год назад +4

      Si wanamchokonoa wenyewe, acha wakione tu akuna jinsi.

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      Akitumia nuclear ndio itakuwa mwisho wake maana sasa ashakuwa tishio la dunia

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад

      ​@@rumdeesonsoa1811 tishio ni Marekani na washirika wake wanataka waitawale kila nchi kama Dunia ni yao

  • @ericksonmuhulo1570
    @ericksonmuhulo1570 Год назад

    God bless Russia God bless our present putin

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад +3

    Alivamia alizani ataachwa

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад +2

    Putin ameshindwa vita plain and simple

    • @emmanuelkanyela275
      @emmanuelkanyela275 Год назад +2

      Putin hajashindwa anapigana na nchi ngapi wasiingie kule wangeona mrusi mjanja anawaumiza kiuchumi

    • @saidymwajeka8612
      @saidymwajeka8612 Год назад

      Brain washed mr

    • @micamathew2595
      @micamathew2595 Год назад +1

      Kivip??

    • @georgekimasaofficial1629
      @georgekimasaofficial1629 Год назад

      @@emmanuelkanyela275 Haijalishi anapigana na wangapi alicho takiwa ni kushinda tu coz alisema ataiangusha Ukraine Kwa siku kadhaa lakini imeshindikana na amesha kula hasara kibao mpaka sasa je unadhani hajashindwa? Na unadhani wakati anaanza harakati zake za kuipiga ukrane hakujuwa kunawatu watamsaidia zerensk na ukumbuke alitoa vitisho kuwa yoyote atakae ingilia kuisaidia ukrane atakiona Cha mtema Kuni Leo Kuna mataifa kibao yanaisadia Ukrane kwanini asiyapige hayo mataifa kama alivyosema? Ukweli ameshindwa tu.

    • @immaomarwa5122
      @immaomarwa5122 Год назад +1

      Vunga basi acha kuwa marekani

  • @sadikkazimoto7466
    @sadikkazimoto7466 Год назад +2

    Putin kavamia alizani watu watamuacha kakutana na mziki wa haibu

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Год назад +1

      Shogaaaaaaa nenda kafirwe na wamerikani na Europe pumbavuu

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 Год назад

      ​@@nasseralhatmi1762 ww ndio shoga hapo unajifanya hujijui

    • @nasseralhatmi1762
      @nasseralhatmi1762 Год назад +1

      @@rumdeesonsoa1811 Nenda kafirwe na wamerikani na Europe nyamafu unanuka kumamayako tena sitaki usome comments zangu kabisaaa koma sina shida na nyauuu masikini mkubwa falaaa

    • @barakashaban9698
      @barakashaban9698 Год назад +1

      Sadiki Kazimoto aibu gani kakutananayo Putin? Hao Marekani ndio wamekutana na aibu maana walidhani watamshinda ki rahisi lkn wameshindwa kwaiyo aibu iko kwa nani?

  • @sadikkazimoto7466
    @sadikkazimoto7466 Год назад +2

    Putini awezi mziki wa yukrein kashachemka mwaka umeisha ana jipyaa

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад +6

    Right now I can say RUSSIA is the past tense we stand solidarity with Ukraine

  • @dottomabula7253
    @dottomabula7253 Год назад +2

    Putin tumbo joto kaishiwa mbinu Kila aina ya silaha katumia kapata zero

    • @sogoramwinshekhe1464
      @sogoramwinshekhe1464 Год назад +2

      Vichaa msiojitambuwa mpo wengi sana humu

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Год назад +1

      Hajafikia malengo..ila kachukua maeneo makubwa makubwa ya Ukren..anayeshindwa ni yule anayepewa nguvu na Nchi 40 na bado anapingwa..

    • @IbrahimAli-yd1ng
      @IbrahimAli-yd1ng Год назад

      Hujui kinacho endelea ndugu, Putin hajapigana na aseme apigane basi ukrene inakuwa jivu.

    • @festohaule9716
      @festohaule9716 Год назад

      @@IbrahimAli-yd1ng kweli kabisa..Maana Russia inajeshi kubwa sana sana lakini walipelekwa ni laki na 80 tu kati ya 2700,000..meli zaidi mia 100 za kivita Submarine pia zipo.. Ukren itafutika. Mabomu mazito yapo.. angalia wanaakili kiaina Kwa kusema Russia inataka kuifuta Ukren wanakili kupingwa!!!!

    • @swalehemzimba3316
      @swalehemzimba3316 Год назад

      Wew huna unacho fahamu kumuhusu Putin kojoa ulale