CHEKECHE || Urusi kujitangazia majimbo manne ya Ukraine kuwa ni sehemu yake

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2022
  • Baada ya vita vya zaidi ya miezi sita kati ya Urusi na Ukraine hatimaye Urusi imetangaza majimbo manne yaliyokuwa chini ya Ukraine kujiunga na taifa hilo.
    Je, hii inaashiria nini katika mgogoro huo wa siasa?

Комментарии • 36

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Год назад

    Hichi kipindi nimekisubiria kwa muda mrefu sana 🤝,Hao wachambuzi ni balaa wanatufanya tuelewe mwelekeo wa vita inaendaje.. much love Rahbi unachambuzi wako uko vzr sana

  • @jacksonmartin8485
    @jacksonmartin8485 Год назад +1

    Wewe mwenye miwani sio mchambuzi ni mbwa wa magharibi tena msimpe tena nafasi hiyo hana upeo wa kufikiri wala hajui history za kimataifa anachukua kutoka kwa wachambuzi wa magharibi anatuletea hapa someni maoni yetu akachambue siasa za Ndani tu

  • @kukujogooooo
    @kukujogooooo Год назад +1

    Ulovaa miwani hakuna kitu we we! Ulitaka kura zisimamiwe nanani?! Wakati dunia ime tekwa na NATO yote mpaka mnalazimishwa kudungwa sindano za corona,

  • @ahmadsalim6782
    @ahmadsalim6782 Год назад

    Ww uliovaa miwan hujui lolote kuusu mipango ya urusi kasome vzr

  • @barakashaban9698
    @barakashaban9698 Год назад +1

    Mchambuzi alievaa miwani kibaraka uyo wa marekani

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 Год назад

    Chekeche Marekani na Ulaya wanachochea vita huku wakijua ni kosa kama kulikuwa mkataba wa MINSINKY kwanini ulivunjwa wakati Ufaransa na Ujerumani walisimamia ndo ujue Marekani, EU, na NATO ni wanafiki palipo masilahi yao

  • @ahmadsalim6782
    @ahmadsalim6782 Год назад

    Uyu alovaa miwani hamna mchambuzi apa

  • @paschalcharles3617
    @paschalcharles3617 Год назад

    Hongera sana Vladimir Putin endelea kuikomboa Dunia dhidi ya ushetani wa Marekani

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 3 дня назад

    Wakati wakadafi akuna aliyekaa mezani wandishi wote wamagaribi wanatetea haki Yao sisi wa afrika niwashenzi mno

  • @gidiongreygory18
    @gidiongreygory18 Год назад

    Ongera putin mashetani awawezi kutawala

  • @joshuac.mashida1378
    @joshuac.mashida1378 Год назад

    Pona ya Putin nikurudi nyumbani kwake jeshi lake litamalizwa Hana sapoti yeye tu watamuumiza sana

  • @dondallas6683
    @dondallas6683 Год назад

    Urusi ni dubwana kubwa zito

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz 3 дня назад

    Huyu wamiwakuma kbs wewe ungehenda kuchambua phonographie tu hapa hamnakitu

  • @shijamarco2662
    @shijamarco2662 Год назад

    Mwamba ninyoshee ha watu

  • @salehejumaa5392
    @salehejumaa5392 Год назад +1

    Mrus hajui anachopigania ad sasa je Ukraine isiingie NATO au ku extend ardh ya urus ama kuonesha kuwa yy ni mkubwa yaan prestige

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Год назад

      Nikweli kabisa Putin amebanwa kwenyekona mbaya mwishoye atanyang'anywa mpaka kremea

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад +1

      URUSI WANAJUWA WEWE NDIE USIYEJUWA.

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 Год назад

      @@robertphilip385 UNAOTA NDOTO ZA MCHANA HIZO US NA EU MAVI DEBE KWISHA HABARI YAO.

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Год назад

      @@salimmalaka256 wewe akiliyako nikama ya I s na alshababu wanaota eti sikumoja wa wataitawala dinia Nato nikitukingine kk urusi hanauwezo wakushinda Nato

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 Год назад

      @@salimmalaka256 Ukraine tu anamtoa jasho