CHEKECHE || Urusi kujitangazia majimbo manne ya Ukraine kuwa ni sehemu yake
HTML-код
- Опубликовано: 30 сен 2022
- Baada ya vita vya zaidi ya miezi sita kati ya Urusi na Ukraine hatimaye Urusi imetangaza majimbo manne yaliyokuwa chini ya Ukraine kujiunga na taifa hilo.
Je, hii inaashiria nini katika mgogoro huo wa siasa?
Hichi kipindi nimekisubiria kwa muda mrefu sana 🤝,Hao wachambuzi ni balaa wanatufanya tuelewe mwelekeo wa vita inaendaje.. much love Rahbi unachambuzi wako uko vzr sana
Wewe mwenye miwani sio mchambuzi ni mbwa wa magharibi tena msimpe tena nafasi hiyo hana upeo wa kufikiri wala hajui history za kimataifa anachukua kutoka kwa wachambuzi wa magharibi anatuletea hapa someni maoni yetu akachambue siasa za Ndani tu
Ulovaa miwani hakuna kitu we we! Ulitaka kura zisimamiwe nanani?! Wakati dunia ime tekwa na NATO yote mpaka mnalazimishwa kudungwa sindano za corona,
Ww uliovaa miwan hujui lolote kuusu mipango ya urusi kasome vzr
Mchambuzi alievaa miwani kibaraka uyo wa marekani
Chekeche Marekani na Ulaya wanachochea vita huku wakijua ni kosa kama kulikuwa mkataba wa MINSINKY kwanini ulivunjwa wakati Ufaransa na Ujerumani walisimamia ndo ujue Marekani, EU, na NATO ni wanafiki palipo masilahi yao
Uyu alovaa miwani hamna mchambuzi apa
Hongera sana Vladimir Putin endelea kuikomboa Dunia dhidi ya ushetani wa Marekani
Wakati wakadafi akuna aliyekaa mezani wandishi wote wamagaribi wanatetea haki Yao sisi wa afrika niwashenzi mno
Ongera putin mashetani awawezi kutawala
Pona ya Putin nikurudi nyumbani kwake jeshi lake litamalizwa Hana sapoti yeye tu watamuumiza sana
Urusi ni dubwana kubwa zito
Huyu wamiwakuma kbs wewe ungehenda kuchambua phonographie tu hapa hamnakitu
Mwamba ninyoshee ha watu
Akinanani?
@@robertphilip385 AKINA MA HOMELES WEUPE 🤣🤣🤣🤣🤣
Mrus hajui anachopigania ad sasa je Ukraine isiingie NATO au ku extend ardh ya urus ama kuonesha kuwa yy ni mkubwa yaan prestige
Nikweli kabisa Putin amebanwa kwenyekona mbaya mwishoye atanyang'anywa mpaka kremea
URUSI WANAJUWA WEWE NDIE USIYEJUWA.
@@robertphilip385 UNAOTA NDOTO ZA MCHANA HIZO US NA EU MAVI DEBE KWISHA HABARI YAO.
@@salimmalaka256 wewe akiliyako nikama ya I s na alshababu wanaota eti sikumoja wa wataitawala dinia Nato nikitukingine kk urusi hanauwezo wakushinda Nato
@@salimmalaka256 Ukraine tu anamtoa jasho