Kufuatia kuendelea kwa mashambulizi ya kijeshi kwa Ukraine kutoka kwa Urusi mchambuzi wetu Ibrahim Rahbi anatoa tathmini ya uelekeo wa mashambulizi hayo.
Sisi kama tz tunaionya urusi kwa mara nyengine tena kwamba kuna raia wetu hapo ikitokea lolote lile they will be responsible for this hatutaangalia wapi pakupiga so wasitishe vita kwa haraka zaidi
Kwa ufupi NATO wanataka kuingiza ukran katika umoja wao ili waweke silaha zao kuelekeza urusi na warusi.waliwambia zamani marekani hawawezi kuingiza ukrane katika NATO .itakua wamevuka red line .na putin alita kimandishi epewe uhakika ukrane hawajiungi NATO .ndio western Europe na America wamekataa na ukrane kijiunga NATO itakua ni urussi national security haipo salama .
marekan mnaichukulia simple wenyewe hahaha .. kwanza wajiingize kwenye vita na rusia hili iweje yaan kwan hawajui madhara ya vita ???? nchi yao inongoza kwa uchum mkubwa dunian makampun makubwa ya tech yako kwao mabilionear wakubwa wa dunia wako kwao wapigane vita na mrusi alafu watapata nn???? ukrain kuna hutajir gan hadi marekan hakaiingile hio vita???? wakishapiga na urus then akashinda kwenye hio vita hatafaidika na kitu gan???? kama sio kuporomoka kiuchumi kwa taifa lake ...... USA wanatumia akili za chuo kikuu hawatumii akili za chekechea
@@gasperselestini4748 Haha nchi inayongoza GDP kiuchumi ni CHINA na uchumi wa marekani ni kwenye makaratasi tu lakini hali halisi sio hivyo marekani wanaongoza kwa madeni na uwezo wa kulipa hawana wana print money ni hatari na wewe unangalia kwenye tv tu nenda kuangalia maisha ya wamarekani utalia home less kibao bara barani utashangaa kuwa ndio nchi inayosifiwa kiuchumi sasa uchumi gani ambao raiya wake wanalala nje na ndio nchi peke duniani iliyoendelea lakini haitibu raiya wake ukiumwa marekani kama huna pesa ndio basi tena nchi za Europe zote unatibiwa bure
Bora Watanzania tusipendelee upande wowote, nchi nyingi za Kiafrica isingekuwa Urusi mpaka leo tungekuwa tunatawaliwa na hizo nchi za magharibi. Nchi za East na Urusi ndio waliotuamsha kudai uhuru na hata kuingia vitani zidi ya wakoloni.
Tafathali usisahau nguvu za Warusi vita vya pili, walikufa warusi milioni 20, lakini waliweza kuzikomboa nchi nyingi sana za Europe zilizochukuliwa na Hitler ( Hungary, Checoslovakia, Litvania ,Poland, Romania, Bulgaria, Yugoslavia, East Germany, Letonia nyingi nyingine zikaunda Warsaw Pact na Marekani waanzisha Nato.
Hii ni kwa ajili ya @dominic julius Russia au urussi kabla ya kuwa Soviet union ilikua ni empire ikiongozwa na romanov dynasty family tsars wa mwisho kuongoza urussi ni tsars nicholas 2 .tena Russia ilikua empire kubwa sana kulikoni ya kingereza. Yakatokea mapindizi urrusi ya kumuondoa tsars nicholas. Ndio akatoke Lenin akawa kiongozi wa urussi ndio akaunda Soviet union na kuanza kuleta siasa za ujamaa hata nyinyi tanzania muliiga kupitia nyerere. Na tsars nicholas walimuweka kizuizini kwa muda badae wakamuwa pamoja na watoto wake Watano katika mji ambao upo urusi unaitwa akateringbor .V.I.Lenin alipoanzisha ujamaa pamoja Soviet union alichukua badhi ya sehemu urussi akawapa ukrane na kunda taifa la ukrane kabla ya hapo ilikua hakuna taifa la ukrane yote ilikua ni urussi na kipande vipande vya radhi za nchi nyengine kama polland Germany nk. Kwa kujua sio tatizo yote ni Soviet union. Na kihistoria warusi na ukrane ni ndugu wa damu baba mmoja mama mmoja kabla ya mji mkuu wa urussi hivi sasa Moscow karne hizo za nyuma mji mkuu ulikua keyv amba ndio mji mkuu wa ukrane hivi sasa .baada kufariki Lenin rais wa Soviet union akawa ni Joseph stalin ambae taifa lake ni geogia ni geogia na sio mrusi kama unakumbuka mwaka 2008 urussi na Georgia walipigana sababu ndio hii hii ya kutaka kuongiza geogia NATO.Joseph stalin ndie aliekua rais wakati Hitler anavamia Soviet union. Ndio baada kufariki Joseph stalin wakaja viongozi wengi wa kuongoza umoja nchi za Soviet mmoja wao anaitwa nukita kama nimekosea kuandika vizuri jina lake mutanisameh. Nikita alikua anatokea upande wa ukrane ni mu ukrane na ndie aliptowa kipande cha sehemu tena ya urusi akawapa ukrane sehemu wenyewe unaitwa Crimea kwa vile anajua ni nchi moja hakuna tatizo na cremea ni mji wa kihistoria sana kwa warusi wamepigana sana kuidhibiti sehemu hiyo amepigana na uengereza wafaransa na wa Turkish vita kinaitwa cremea war ni muhimu sana kwa warusi .rais wa mwisho wa Soviet union ni Gorbachev na ndie aliesababisha kuvunjika Soviet union nafikiri utakuwa umenifaham tumejifunza mengi .sasa baada kuvunjika Soviet union urussi ikawa iko dhaifu sana kiuchumi hapo ndio matsofa ya ulaya na marekani waka chukua fursa ya kutaka kuigawa tena urussi kwa sababu warusi ni matajiri sana ki raslimali ni kama congo vile congo ya ulaya na rais wa mwanzo wa urussi ni boris Yeltsin au Yeltsin lakini ilimshinda urusi nchi ikawa unataka kugawika kama unakumbuka Chechnya republic ipo ndani ya Russia federation kwani urusi ni federation country. Chechnya wakataka kujitenga ndio Yestin akajiuzulu urais ndio akaja Huyu putin na ndio kaotowa urusi mbali sana na kibaya sana .ndio nchi za ulaya na marekani ikawa hawampendi kabisa hawataki hata kumsikia na warusi wanampenda sana na watu wengi dunia nzima wanampenda kaifanya urusi super power tena ni hayo tu kwa kiufupi sana ni long history ASANTE SANA
MATAYO 24: 7,8 Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa na ufalme kupgana na ufalme kutakua na njaa na matetemeko ya nchi mbali mbali. Hayo yote ndio mwazo wa utungu (uchungu) Kristo Yu karibu kurud tujiandae
Na kwa kuongezea marekani walipotaka kujitangazia uhuru wake kutoka kwa uengereza uengereza na ufaransa na badhi ya mataifa ya ulaya walitaka kaivamia marekani lakini mfalme wa urussi akapeleka meli zake za kivita kuilinda marekani isivamiwe na uegereza na ufaransa na Alaska marekani yote ile ilikua sehemu ya urussi lakini wakawauzia wamarekani ASANTENI
We mchambuzi ni muongo kweli, unachambua usichokijua you don't know how might is Russian army!! Funguka, acha kusikiliza vyombo vya habari vya West na Us, tafuta vyanzo vingine vya habari
Kama wanamuweza waingie marekani wao si wababe na ni watetezi wa wanyonge awasaidie sasa hao kwenda kupaki majeshi pembeni huo ni uogaaa watu wanauliwa sana wao wamekaa pembeni
huyu mchambuzi anaipenda marekani kuna vitu vingine havijui, ukisema urusi wanamuweza na kumpiga kumtoa m binafs naona kachamke jiulize angekuwa Tanzania wangesubiria tuu au wangekuwa washatupiga
Nyie wacheni ujinga hamna munachojuwa fanyeni reserch kwanza half of population of Ukraine ni warusi na haungwi mkono na raiya wake na NATO western Europe na America hawawezi kupigana na warusi kabisa na fatilieni history vizuri ndio mutafahamu hii vita
Kwanini Russia jamani inaipiga Ukraine kila nchi siifanye mambo yake kwanini kutesa watu km wazee, watoto,wamama,walemavu na wasio na hatia,watu wa mataifa mengine, Mungu walinde Ukraine people, Tanzanian, na raia wa mataifa mengine,acheni Vita ni mbaya basi wababe wasubili Vita ya moto wa jehanamu
Urusi hatari Ina nguvu za kijeshi za hatari Ina makombora ambayo nato hawana Wana ita hypersonic missiles Technologies hii wanayo urusi china na na Korea wataalam wanasema hayazuiliki na yana kasi mara 5- 7 ya spidi ya sauti, speed of sound ndio maana mbabe anatembea kifua mbele kama tai,
@@abiollashayo5698 uwo Ndio Ugonjwa Wa Akili Wewe Unafikir Kila Salaa Alio Nayo America Rasia Hana Ama China,Korea Hawana Ilo Unajidanganya Sna Tna Sna Hakuna silaa Yoyote America Anayo Zalisha China Akawa Hana Ama Rassia Hana Wee Jiulize Kma Hanawa Silaa kma America Anazo Zalisha Kwann Mataifa Haya Yanakua Jeuri Kwa America Sio Kma Mataifa Mengine Yakifokea Na America Yananywea Usie Zuzu Wewe Amka
Nampenda putini naipenda chini naipenda Korea na washirik wote was nchi izo lakini kwasababu majeshi ya nato makorof ndio uanafanya ujinga afri naona wapige tyu Korea kiduk big up
Huyu mchambuzi mmemtoa wapi? Hana uchambuzi huria maana anavjokisema chote kimaekea mlengo wa wasemavyo byombo vya habari vya kimagharibi. Lengo l Putin ni kumtoa Zelensky?
Jamani wenzetu wanaheshimu Sheria waliojiwekea hizo sio tanzania ndio maana watu wengi humu awaelewi wanaleta ushabiki wa CCM na CDM 😀😀😀 mungu tusamehe atujui tutendalo mtu anaSema urusi hawamuezi American American amuwezi urusi wewe unaijua Vita?
Oooh god bleas
Leo juu ni mkristo mwezenu mta Sema sana ila wakati zinapigwa inchi za kiisilamu hakuwa mnasema kitu chochote
Mungu tujalie sie mwisho mwema
Sisi kama tz tunaionya urusi kwa mara nyengine tena kwamba kuna raia wetu hapo ikitokea lolote lile they will be responsible for this hatutaangalia wapi pakupiga so wasitishe vita kwa haraka zaidi
Wamekuelewa
Utapiga kwa kutumia nn au magobore
🤣😂 loo ama nimecheka
Tuma jeshi la tanzania liende hukoo
Ndugu yangu urusi siyo level yetu😂😂😂😂
Kwa ufupi NATO wanataka kuingiza ukran katika umoja wao ili waweke silaha zao kuelekeza urusi na warusi.waliwambia zamani marekani hawawezi kuingiza ukrane katika NATO .itakua wamevuka red line .na putin alita kimandishi epewe uhakika ukrane hawajiungi NATO .ndio western Europe na America wamekataa na ukrane kijiunga NATO itakua ni urussi national security haipo salama .
Huyo mchambuzi wa Azam yupo biased, hatoi facts za chanzo na kila kitu
marekan mnaichukulia simple wenyewe hahaha .. kwanza wajiingize kwenye vita na rusia hili iweje yaan kwan hawajui madhara ya vita ???? nchi yao inongoza kwa uchum mkubwa dunian makampun makubwa ya tech yako kwao mabilionear wakubwa wa dunia wako kwao wapigane vita na mrusi alafu watapata nn???? ukrain kuna hutajir gan hadi marekan hakaiingile hio vita???? wakishapiga na urus then akashinda kwenye hio vita hatafaidika na kitu gan???? kama sio kuporomoka kiuchumi kwa taifa lake ...... USA wanatumia akili za chuo kikuu hawatumii akili za chekechea
@@gasperselestini4748 Haha nchi inayongoza GDP kiuchumi ni CHINA na uchumi wa marekani ni kwenye makaratasi tu lakini hali halisi sio hivyo marekani wanaongoza kwa madeni na uwezo wa kulipa hawana wana print money ni hatari na wewe unangalia kwenye tv tu nenda kuangalia maisha ya wamarekani utalia home less kibao bara barani utashangaa kuwa ndio nchi inayosifiwa kiuchumi sasa uchumi gani ambao raiya wake wanalala nje na ndio nchi peke duniani iliyoendelea lakini haitibu raiya wake ukiumwa marekani kama huna pesa ndio basi tena nchi za Europe zote unatibiwa bure
%%%mm%mp
Bora Watanzania tusipendelee upande wowote, nchi nyingi za Kiafrica isingekuwa Urusi mpaka leo tungekuwa tunatawaliwa na hizo nchi za magharibi. Nchi za East na Urusi ndio waliotuamsha kudai uhuru na hata kuingia vitani zidi ya wakoloni.
nimekupata kaka
nashukuru kwa kuwakumbusha waafrika
@@petershimbi7014 kama vile kifaru cha 34 kilivyo wachachafia wanajeshi wa hitla
Wewe waongea upuuzi tu waegemeea upande wa magaribi sanaa chambua vizuri mpaka ilipofikiaa
Mungu Aimalize Vita Hii
Acheni upuuzi marekani hawwzi kuchokoza irusi kwanza yupo chini kama shioni yakitupwa mabomu itasa.mbaratika
Marekan mazoea kuchezea nchi za afrika na nchi za kiarab ila apo kakaa kimya
Mrusi ni mwanamme na mmarekani na nato hawawezi kufanya lolote kwa mrusi na mwisho wa siku wataweka vikwazo tuu mchambuzi unalijua hilooo
Sifa kwa kwa Mungu
Russia anahaki ya kuivamia Ukraine maan urusi inatetea maslsy ya inch yk
Sio kweli huyo Putin wakiamuwa kumfanyia watambeba Kama bagibo
Urusi haiwezi kuruhusu marekani awake mambo yake Ukraine.
Ninacho jua askari wa Urusi ni wachovu sana, NATO na USA wakiamua Putin atashindwa haraka sana!
Tafathali usisahau nguvu za Warusi vita vya pili, walikufa warusi milioni 20, lakini waliweza kuzikomboa nchi nyingi sana za Europe zilizochukuliwa na Hitler ( Hungary, Checoslovakia, Litvania ,Poland, Romania, Bulgaria, Yugoslavia, East Germany, Letonia nyingi nyingine zikaunda Warsaw Pact na Marekani waanzisha Nato.
VICTOR SANG Ulijuajeee!!!!!!!!🤔🤔🤕🤕
ni wachovu unajifariji cw
Unawajua vizuri Askari wa Urusi?
Wanaaskali mpaka watoto warusi
Jamani ombeni duwa hivi sasa ukrane wamekubali mazungumzo na urussi wa
Hii ni kwa ajili ya @dominic julius Russia au urussi kabla ya kuwa Soviet union ilikua ni empire ikiongozwa na romanov dynasty family tsars wa mwisho kuongoza urussi ni tsars nicholas 2 .tena Russia ilikua empire kubwa sana kulikoni ya kingereza. Yakatokea mapindizi urrusi ya kumuondoa tsars nicholas. Ndio akatoke Lenin akawa kiongozi wa urussi ndio akaunda Soviet union na kuanza kuleta siasa za ujamaa hata nyinyi tanzania muliiga kupitia nyerere. Na tsars nicholas walimuweka kizuizini kwa muda badae wakamuwa pamoja na watoto wake Watano katika mji ambao upo urusi unaitwa akateringbor .V.I.Lenin alipoanzisha ujamaa pamoja Soviet union alichukua badhi ya sehemu urussi akawapa ukrane na kunda taifa la ukrane kabla ya hapo ilikua hakuna taifa la ukrane yote ilikua ni urussi na kipande vipande vya radhi za nchi nyengine kama polland Germany nk. Kwa kujua sio tatizo yote ni Soviet union. Na kihistoria warusi na ukrane ni ndugu wa damu baba mmoja mama mmoja kabla ya mji mkuu wa urussi hivi sasa Moscow karne hizo za nyuma mji mkuu ulikua keyv amba ndio mji mkuu wa ukrane hivi sasa .baada kufariki Lenin rais wa Soviet union akawa ni Joseph stalin ambae taifa lake ni geogia ni geogia na sio mrusi kama unakumbuka mwaka 2008 urussi na Georgia walipigana sababu ndio hii hii ya kutaka kuongiza geogia NATO.Joseph stalin ndie aliekua rais wakati Hitler anavamia Soviet union. Ndio baada kufariki Joseph stalin wakaja viongozi wengi wa kuongoza umoja nchi za Soviet mmoja wao anaitwa nukita kama nimekosea kuandika vizuri jina lake mutanisameh. Nikita alikua anatokea upande wa ukrane ni mu ukrane na ndie aliptowa kipande cha sehemu tena ya urusi akawapa ukrane sehemu wenyewe unaitwa Crimea kwa vile anajua ni nchi moja hakuna tatizo na cremea ni mji wa kihistoria sana kwa warusi wamepigana sana kuidhibiti sehemu hiyo amepigana na uengereza wafaransa na wa Turkish vita kinaitwa cremea war ni muhimu sana kwa warusi .rais wa mwisho wa Soviet union ni Gorbachev na ndie aliesababisha kuvunjika Soviet union nafikiri utakuwa umenifaham tumejifunza mengi .sasa baada kuvunjika Soviet union urussi ikawa iko dhaifu sana kiuchumi hapo ndio matsofa ya ulaya na marekani waka chukua fursa ya kutaka kuigawa tena urussi kwa sababu warusi ni matajiri sana ki raslimali ni kama congo vile congo ya ulaya na rais wa mwanzo wa urussi ni boris Yeltsin au Yeltsin lakini ilimshinda urusi nchi ikawa unataka kugawika kama unakumbuka Chechnya republic ipo ndani ya Russia federation kwani urusi ni federation country. Chechnya wakataka kujitenga ndio Yestin akajiuzulu urais ndio akaja Huyu putin na ndio kaotowa urusi mbali sana na kibaya sana .ndio nchi za ulaya na marekani ikawa hawampendi kabisa hawataki hata kumsikia na warusi wanampenda sana na watu wengi dunia nzima wanampenda kaifanya urusi super power tena ni hayo tu kwa kiufupi sana ni long history ASANTE SANA
💪
Hatari sn
MATAYO 24: 7,8
Kwa maana taifa litaondoka kupigana na taifa na ufalme kupgana na ufalme kutakua na njaa na matetemeko ya nchi mbali mbali.
Hayo yote ndio mwazo wa utungu (uchungu)
Kristo Yu karibu kurud tujiandae
Pollen sana UK
Na kwa kuongezea marekani walipotaka kujitangazia uhuru wake kutoka kwa uengereza uengereza na ufaransa na badhi ya mataifa ya ulaya walitaka kaivamia marekani lakini mfalme wa urussi akapeleka meli zake za kivita kuilinda marekani isivamiwe na uegereza na ufaransa na Alaska marekani yote ile ilikua sehemu ya urussi lakini wakawauzia wamarekani ASANTENI
Kwa kufafanua alaska marekani hile ilikua ni sehemu ya urussi. Lakini warusi wakawauzia marekani
We mchambuzi ni muongo kweli, unachambua usichokijua you don't know how might is Russian army!! Funguka, acha kusikiliza vyombo vya habari vya West na Us, tafuta vyanzo vingine vya habari
WACHA UONGO WEWE RABI KWANINI RAISI WA UKREIN ASEME KAACHWA PEKE YAKE KAWAPIGIA MARAISI MAGHARIBI 27 HAWAMJIBU AMEKIRI WAMEKUWA WAOGA NA KWAUCHUNGU KAAMUA KUPAMBANA KIVYAKE ACHA UONGO!
😂😂😂
URUSI JUU JUU JUU ZAIDI, HAWATAKAGI UNAFIKI.
Kama wanamuweza waingie marekani wao si wababe na ni watetezi wa wanyonge awasaidie sasa hao kwenda kupaki majeshi pembeni huo ni uogaaa watu wanauliwa sana wao wamekaa pembeni
We muongo!
Mrusi kajipanga
Well said. Jambazi hujua nini anataka muibiwa hajui ataibiwa nini na lini hivyo jambazi kajipanga big true
Mlishaambiwa jaribuni kuingia mtaona majanga kihistoria haijawah kutokea
Besisira nione geita renisana
Hizo ndevu, ajiandikishe kwenda vitani
Mchambuzi upo sahihi kabisa big up ndugu
Yan Urusi ni wagonvi jaman ☹️☹️
Fuatilia vizuri ujue shida ipo wapi kaka
Na marekani wastarabu
Fanyaa upekuzi wachaa kuropokaa hujui kitu
Hakuna aaiewezekana ni timing tu
🤣🤣🤣 siku 2 wameshaingia kiev je wakipewa mwez 1 itakuwaje?
😂😂 uyo mchambuzi wa marekani azungumzeee
Hawamuwez mrusi
huyu mchambuzi anaipenda marekani kuna vitu vingine havijui, ukisema urusi wanamuweza na kumpiga kumtoa m binafs naona kachamke jiulize angekuwa Tanzania wangesubiria tuu au wangekuwa washatupiga
Apo sasa ishu marekani anajua kuwa jamaa hawana masihara na uzuri jamaa kaisha zungumzaaa ingilia huoneee
@@joh7282 mchambuz mnafiki tu huyo
Nyie wacheni ujinga hamna munachojuwa fanyeni reserch kwanza half of population of Ukraine ni warusi na haungwi mkono na raiya wake na NATO western Europe na America hawawezi kupigana na warusi kabisa na fatilieni history vizuri ndio mutafahamu hii vita
kachambue ww bas
@@abiollashayo5698 ndio nimechambua hapo kwa kiufupi
Kweli
Marekani Kam a ni palestina engesema
Ufb
Au sio
Nacho omba tz ipeleke jeshi kuwasaidia Ukraine kama walivyo wasaidia Kongo.
Mbali sana huko brother ukraine na tz. Mpeleke ndugu yako mwanajeshi😂😂😂
Hahahaha TZ ikipeleka wanajeshi, Kabla hawajavuka mipaka ya Tz watakuwa wameshakuf.
Eneo hili ni la jw hairuhusiwi kupita
Hhhhhh mtangazaji apo umeboronga inchi za magaribi haziwezi kumpiga mrusi
Kwakweli hili swala ni la kuangalia lisije kuzua mzozo kwa mataifa mengine
Kwanini serikali ya Tanzania isitume ndege watoke?
Kwanini Russia jamani inaipiga Ukraine kila nchi siifanye mambo yake kwanini kutesa watu km wazee, watoto,wamama,walemavu na wasio na hatia,watu wa mataifa mengine, Mungu walinde Ukraine people, Tanzanian, na raia wa mataifa mengine,acheni Vita ni mbaya basi wababe wasubili Vita ya moto wa jehanamu
Jamaa akiongea anaangalia pembeni kama warusi wanakuja
Hahaha
😂😂😂😂
Urusi hatari Ina nguvu za kijeshi za hatari Ina makombora ambayo nato hawana Wana ita hypersonic missiles Technologies hii wanayo urusi china na na Korea wataalam wanasema hayazuiliki na yana kasi mara 5- 7 ya spidi ya sauti, speed of sound ndio maana mbabe anatembea kifua mbele kama tai,
Laana iwashukie wanaodhurumu hak. Za wanyonge
Una huakika kwamba marekani awana hypersonic
hujui kitu ww,america ndio anasilaa za maangamizi ambazo taifa lolote duniani
@@abiollashayo5698 uwo Ndio Ugonjwa Wa Akili Wewe Unafikir Kila Salaa Alio Nayo America Rasia Hana Ama China,Korea Hawana Ilo Unajidanganya Sna Tna Sna Hakuna silaa Yoyote America Anayo Zalisha China Akawa Hana Ama Rassia Hana Wee Jiulize Kma Hanawa Silaa kma America Anazo Zalisha Kwann Mataifa Haya Yanakua Jeuri Kwa America Sio Kma Mataifa Mengine Yakifokea Na America Yananywea Usie Zuzu Wewe Amka
Hakuna silaa ambayo America Hana yy ndio mgunduzi wengine ndo wanakopy
Hakuna mchambuzi hapa kuna mpuuzi uwezo mdogo
Nampenda putini naipenda chini naipenda Korea na washirik wote was nchi izo lakini kwasababu majeshi ya nato makorof ndio uanafanya ujinga afri naona wapige tyu Korea kiduk big up
P
Sasa kwa nini otan ilimuwa Kaddafy??kwanini??
Gadaffi alitaka kuendeleza afrika na waachane kutegemea ulayaa na afrika itumie helaa mojaa ya pan african currency wasitumie dollar. Ndio walimuuwa
Weeee mchambuzi muongo nato uwezo kupiga urusi hanaaaaa nipo Poland urusi ni shughuli nyingine
Iyo urusi ya kariakoo upo au hacha kukalili Putin anakufa mda si mrefu subiri uone.
Iyo urusi ya kariakoo upo au hacha kukalili Putin anakufa mda si mrefu subiri uone.
Huyu mchambuzi mmemtoa wapi? Hana uchambuzi huria maana anavjokisema chote kimaekea mlengo wa wasemavyo byombo vya habari vya kimagharibi. Lengo l Putin ni kumtoa Zelensky?
Mchambuzi yupo sahihi kabisa hio vita haitachikua siku nyingi wange ingia NATO hapo ndio ingekua vita ya mda mref
😡😡
Eenh MOLA LINDA AMANI YA MATAIFA HAYA
Jamani wenzetu wanaheshimu Sheria waliojiwekea hizo sio tanzania ndio maana watu wengi humu awaelewi wanaleta ushabiki wa CCM na CDM 😀😀😀 mungu tusamehe atujui tutendalo mtu anaSema urusi hawamuezi American American amuwezi urusi wewe unaijua Vita?
Wewe waongea upuuzi tu waegemeea upande wa magaribi sanaa chambua vizuri mpaka ilipofikiaa
Russian na Chinese wanasubiri Marekani wajitokeze tu.. Washughulike nayo.. Marekani anamaadui wengi anaogopa
Bado kiduku umemsahau
Acha wachapane mbona marekani kavamia pakistani lkn hamna aliyesaidia pakistani kwa sababu gani?
Check ndevu zake unafanya nini huko
🤣😅
Njaaa hizo sehemu zingine sio kbisaaa
🤣🤣 mda wa hatari huu Lakini mnatuchekesha
😀😀😀