Yanga walivyokabidhiwa kombe lao la ubingwa wa 30 NBC Premier League
HTML-код
- Опубликовано: 24 май 2024
- SHEREHE ZA UBINGWA; Hatimaye Yanga wamekabidhiwa kombe lao la ubingwa wa 30 kwenye Ligi Kuu ya NBC katika sherehe zilizofanyika kwenye Dimba la Benjamin Mkapa.
Sherehe hizi ni baada ya mchezo wao wa raundi ya 29 dhidi ya Tabora United ambao Yanga ilishinda mabao 3-0.
Tazam kwa ufupi kombe likikabidhiwa.... - Спорт
Tunamshukuru MUNGU kwa kutwaa kombe la ubingwa 2023 2024
Asanteni sana Yanga kwa kutupa furaha mwanzo hadi mwisho wa game❤❤❤
Wakwanza mimi nipeni like zangu jmn
Zanini
Asante mungu kwa yote wafanyia timu yetu yanga africa
Yanga mko juu,hongereni sanaa
Tunashukulu mungu tumeuza msim vizuli n kuumaliza Kwa fulaha mana Kuna wanaetafuta nafas yapili lakin kuipata t ni ngumu
Nimeenda hiyo 💥🇹🇿💥🇹🇿💥
Yanga oyeee
👊👊
Mungu ni mwema sana ametupa furaha na yanga yetu........yanga oyeeeeeeeeeeee😂😂😂😂😂
ila hii yanga kweli ya kihistoria maana leo wameandika history mpya toka ligi iitwe NBC hakuna timu imegusa kombe zaid yao mh
Raha sana kuna mbwa zinaumia 😅
Mwana dada aliye ingia na combe ali takiwa avae gloves
Congratulations yanga
Hakika MUNGU ni mwema ninamshukuru sana
Pared lini au thnasubir kombe la fa kabisa
Ongeleni yanga 1:56
Ety mwal kabeba mwal😅😅😅😅
💚💚💚💚💚🙋
Kombe Alfu na pesa ama pesa hakuna
Kelele za chura hazinyimi tembo kunya maji broo
Nnaasemaj vyovyot mtakavyosem yanga hakun timu inaiwez aiseee😂😂 na itawachomaa snaaaaaaaa😅😅 yangaaa oyeeeeeeeee💚💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛
Sema wapulizaji hovyo Sanaa 😂😂😂
kolo watakufa kesho baada ya supu
Yanga hata amjaz uwanja 😅😅😅asee polenana
Asante, ila kikombe kizito na ndio chetu milele. We unaejaza uwanja una nini?
Mafroerw yametokq upande 1😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mc mlimkuta wap kama vile tupo msiban bwanaas
Yanga hata amjaz uwanja 😅😅😅asee polenana
Unateseka ukiwa wapi 😂😂😂 kujaza uwanja ndo kupata ubingwa
Sherehe mkesha hiyo na kesho inaendelea,,, wengine wanataka kesho wawe na nguvu