UZINDUZI KITABU CHA YANGA | Mwana FA ataja sababu za kuvutiwa na Yanga, asema yeye Coastal Union

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Hamis Mwinjuma anaeleza sababu za kushiriki shughuli za Yanga, aipongeza kwa mafanikio na kufanya kwa vitendo mambo wanayokusudia kuyafanya, ampa maua yake Rais wa TFF, Wallace Karia.
    Ni katika uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Yanga LIVE kutoka Hyatt Hotel, Dar es Salaam.
    #YangaSC #UzinduziKitabuYanga #Kitabu #KitabuChaHistoriaYanga

Комментарии • 11

  • @HidayaShabani-q2o
    @HidayaShabani-q2o 3 месяца назад +7

    Huyu kijana huwa nampenda sana akiongea nimtulivu nimwerevu na anajitambua sana namuazii mungu amlinde

  • @godlistengodlisten7552
    @godlistengodlisten7552 3 месяца назад +4

    Mungu Akutangulie Mwana Fa.💛💛💛💚💚💚💚👏👏👏👏👏👏👏💪💪💪💪🙏🙏🙏🙏

  • @AllySekela
    @AllySekela 3 месяца назад +4

    Asante kaka najuwa mzuri sana

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady2420 3 месяца назад +3

    Allaah Akbar

  • @victorianbenardnachenga6839
    @victorianbenardnachenga6839 3 месяца назад +9

    Mwana FA ni mtu na nusu ni kiongozi bora na wa mfano pongezi kwa mh Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuliona hili kabla ya sisi wengi...!!!

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад +1

    Big up Brother🎉🎉🎉🎉

  • @IddyJuma-ko7xb
    @IddyJuma-ko7xb 3 месяца назад +1

    Yaani yanga inanipa Raha saaaaana i❤ you yanga

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly 3 месяца назад

    Hiyo Ndo yanga

  • @gervaslukaya
    @gervaslukaya 3 месяца назад +1

    Hongeleni wananchi

  • @ezemwimo3223
    @ezemwimo3223 3 месяца назад +4

    ❤ME WA KWANZA LEO 😅 NIPENI LIKE,👍