Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MAAJABU YA SHEKH MWAIPOPO ASIMULIA YALIO MKUTA SOMALIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 янв 2021
  • Tafadhali Usiache KuSubscribe katika Channel hii ya RUclips ya SHEIKH MWAIPOPO TV
    ..
    Like pamoja na kushare
    kwa wengine hili wapatwe na Kheri kutoka kwa Sheikh wetu Mhadhiri Said Mwaipopo.

Комментарии • 166

  • @flavianmarandu5710
    @flavianmarandu5710 3 года назад +20

    Hawaa waadhirii wetu hatuonii umuhimu wao adi waondoke dunian,Shekh mwaipopo Allah akulipe pepo yake.

  • @rashidijuma3530
    @rashidijuma3530 3 года назад +3

    MashaAllah Allah akuhifadhi

  • @kassimibrahim4776
    @kassimibrahim4776 3 года назад +4

    Mash Allah sheigh nimekuelewa sana...Allah akujaalie umri mrefu Insha allah

  • @twalaataib9297
    @twalaataib9297 3 года назад +2

    Mashallah Jazakallahu khery Allah Akuzidishi Sheikh

  • @sawdaasawdaa7903
    @sawdaasawdaa7903 3 года назад +6

    Masha Allah Allah akulipe duniani na akheira sheikh mwaipopo

  • @guhgghhg8592
    @guhgghhg8592 3 года назад +2

    Allah awalipe kheri na awakinge na kila Shari inshaallah

  • @JeromeAbu
    @JeromeAbu Год назад

    Kaji zuri cheikh wangu

  • @jamalathman6219
    @jamalathman6219 3 года назад +3

    Mashallah Allah barik sheikh mwaipopo hadithi mzuri sana

  • @alijunior0486
    @alijunior0486 3 года назад +1

    Masha Allah sheikh jazakumallah kheri

  • @jumakhamis226
    @jumakhamis226 3 года назад +2

    Jazaka Allah khaira shekh mwaipopo

  • @allyabdallah4357
    @allyabdallah4357 3 года назад +3

    Mashaa allah jazakum kheri akhy

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 года назад +2

    Jazaka Allahu Akbar

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Год назад

    Masha Allah

  • @mickdadybakari6052
    @mickdadybakari6052 Год назад

    Tabarakallah

  • @mwanaishamohamed9632
    @mwanaishamohamed9632 3 года назад +1

    Allah Atufanyie kher

  • @balyyusuf7394
    @balyyusuf7394 3 года назад +2

    Mashallah

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад +3

    Allah aendelee kukuongoza katka mambo ya kheri

    • @festokiraryo.6107
      @festokiraryo.6107 3 года назад

      Huyu ni mnafiki nina meseji zake za matusi anawtukana watu kwenye whatsup

  • @abduherimusasa3056
    @abduherimusasa3056 3 года назад +1

    Ama kwa hakika shekh mwenyezi akupe maisha marefu ya juhudi katika dini

  • @husseinkhalfan9467
    @husseinkhalfan9467 3 года назад +3

    لا إلٰه إلا الله محمد رسول الله

  • @swalehsaidabdalla3037
    @swalehsaidabdalla3037 3 года назад +2

    MashaAllah 🌹

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 3 года назад +1

    Kazi xafi umenenena vyema be blessed

  • @shabanimungazija7272
    @shabanimungazija7272 Год назад

    Mashalla sheh tunakupata viziri sana

  • @masoudabasi8732
    @masoudabasi8732 3 года назад +1

    Sheikhe mungu atakulipa inshaallah

  • @selemanikisewa5861
    @selemanikisewa5861 3 года назад

    Allah akulipe kher

  • @aminayunis7545
    @aminayunis7545 6 месяцев назад

    MashaAllah sheikh mwaipopo nikweli yako

  • @zayanaduduna1405
    @zayanaduduna1405 3 года назад +2

    SWALALAHU ALEYHI WA SALAMA ♥️♥️♥️Maa shaa ALLAH tabaraka ALLAH. ALLAH AKUPE MWISHO MWEMA

  • @user-kr1rh2ij7i
    @user-kr1rh2ij7i 10 месяцев назад

    Mola akuhifadhi

  • @zuwenaalr1081
    @zuwenaalr1081 3 года назад

    masha Allah barak Allah

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 3 года назад

    Mungu atakilipa shekh mwaisa

  • @neemahamza1116
    @neemahamza1116 Год назад

  • @abdillahhussein3020
    @abdillahhussein3020 3 года назад +1

    MashaAllah

  • @amoschacha2885
    @amoschacha2885 3 года назад

    Manshallah

  • @allyjuma6132
    @allyjuma6132 2 года назад

    Allaah akulipe ujira mwema shehk mwaipopo

  • @rahimwaziri1087
    @rahimwaziri1087 3 года назад +3

    Maashaallah, Nawazoom tu comments zenu wakristo mnavomchukia Sheikhe wetu amesoma Biblia pia Qur'an tukufu na amejua ukweli ulipo sijui ninyi mnaembeza hyo mwamba ambaye amesoma hadi marekani biblia zenu mnamzidi kipi?

  • @dicksnlema2685
    @dicksnlema2685 3 года назад

    Pole snaaaa

  • @adibbachtiar2980
    @adibbachtiar2980 2 года назад

    Alhamdulillah

  • @sakiambaruku3440
    @sakiambaruku3440 3 года назад

    Lailahailalaha Muhammad rasulilaha

  • @jamardinmkwaya1262
    @jamardinmkwaya1262 3 года назад

    Shekh mwaipopo yupo sawa

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo9798 3 года назад

    Pole Sana shehe umepotea

    • @aliabdiabdi4067
      @aliabdiabdi4067 3 года назад

      Wengi walisema hvo hta usema nni baado tuneandelea kukuelezea Uislamu ndugu yangu karibu Uislamu

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 года назад +2

    Nasaha mashehe zetu na waislamu kwa jumla, tafadhalini musiweke smartphones kwa kifua, zina madhara sana.

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 3 года назад +1

    Mbona umekatisha stori nzuri

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 года назад

      Amekatiza story kwa kuwa amegundua Kuna watu wanaoju uongo na ukweli na yeye ni muongo

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 года назад

    Wasema kweli Shekh. Isipokua hapo kutaja kabila la warabu umekosea. Hamna andiko dini ni ya warabu Wala kusema ni jukumu la warabu. Naona hapo utaleta FITNA

  • @angelomalimi8341
    @angelomalimi8341 Год назад

    Manafiki ya njaa hayo

  • @saidahmed9688
    @saidahmed9688 Год назад

    mawaidha mazuri

  • @festokiraryo.6107
    @festokiraryo.6107 3 года назад

    We mnafiki tuna meseji zako za matusi kuwatukana watu kule whatup

  • @yasalaam590
    @yasalaam590 3 года назад

    Su hanallah

  • @josephkivuyo5712
    @josephkivuyo5712 3 года назад

    Yesu yeye ndiyo Kristo.

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 года назад

      Mana ya kristo nini hujuwi hatamana ya kristo unafata kumbo tu

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 года назад +1

    Hatamkachukia ukweri ndouwo badilikeni makafiri nyinyi

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 2 года назад

    Kitabu cha watu ulichoiba uwaambie hao wenye kutekwa na ujinga wako wa uwongo
    Mwiziiiiiiiiiii jmn

  • @salehkhamis3063
    @salehkhamis3063 3 года назад +1

    Jaman hivi huyu sheikh yupo sijamuona kipindi

  • @barnabasmajige8473
    @barnabasmajige8473 3 года назад +2

    Hauna jipya tupe andiko la kuwa Mtume muhamandi amechanguliwa na Mungu kuwa Mtume ili na mm niwe mwisilamu lakini ujue maana ya kuchanguliwa sio kuwapumbaza hao wasio soma maandiko zaid ya kupenda habari za Mungu na huku hawajuwi kitu zaid ya ubishi wa Yesu et sio Mungu

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 года назад

      Maskini tafuta bibilia ya ukweli yesu utamsikia Alistair bada yake yy yesu anae kuja ni mtume mohammad ngojea siku ya kiyama ndio utajua

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 года назад

      Uko Serious au wabwabwaja

    • @abdulhaleemsalim1059
      @abdulhaleemsalim1059 3 года назад

      Yesu sio mungu ww yesu ni nabi tu ulisikia lini yesu awe mungu wakati yesu yuwaingia choni kama ww kama huna ilimu jaribu kua na akili ya kuzaliwa yesu ni nabii tu kama Ibrahim ni kama musa A S

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 года назад

      ilikujua kuwa Yesu ni Mungu Soma Ufunuo wa Yohana 22.13-16.ili ujue kuwa ni nani mwenye uwezo wa kuwatuma malaika tofauti na Mungu pia ni nani mwenye uwezo wa kuwa alfa na omega km sio Mungu yaani Yesu kristo pekee yake.

    • @barnabasmajige8473
      @barnabasmajige8473 3 года назад

      Asilimia 90 ya makundi ya kigaidi duniani ni wisilamu ndio maana dini yenu haina kichawa wala miguu et Muhammad ni Mtume amakweli Hosea 4.6.linawahusu ndg zng wapendwa ktk Yesu kristo .

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 года назад +2

    Allah aliwapeleka darul Islam mkakimbia , Allah ndo ajua hekma yake

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 года назад

      Umesema kweli kabisaa

    • @saidpoto821
      @saidpoto821 3 года назад +1

      Natamani nami Allah anipeleke niwe miongoni mwao

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 года назад +1

      @@saidpoto821 wallah bro umeomba jambo zuri sna Allah akujalie kila LA kher njia kma hizo cc twaztaman nchi pekeake dunian ambayo haina msalaba, kisha mwaipopo anaongea ujinga??

    • @tibakisunnahnaasili6250
      @tibakisunnahnaasili6250 3 года назад +1

      @@hassanwanje7373 lkn hajaponda kasema Hali Halisi ndio maana kasema Kiongozi/Amiyr yule alikuwaa muadilifu

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 года назад

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @alfredmbati8508
    @alfredmbati8508 3 года назад

    anazingua ye ahubir watu wamjue mungu xio kukosoa alivyoweka mungu

    • @AliAli-kh7km
      @AliAli-kh7km 3 года назад +2

      Unazingua wewe .usife mkiristo wewe ukiristo si dini sahihi

    • @stevensteve7519
      @stevensteve7519 3 года назад

      @@AliAli-kh7km isiyokua imani yako usiihukumu mana huna mamlaka hayo ispokua Mungu pekee. Kumbuka tu kabla ya kuja uislam 570 AD KRISTO alishakua na waumini duniani kote. Nakwataarifa yako neno mkristo linabeba maana ya mtu anayemwamini Kristo yaani huyo aliyepakwa mafuta yaani YESU. kwalugha nyepesi mfuasi wa YESU. BWANA YESU alipokuja duniani kama mwadamu kwanjia ya muujiza wala hakuja kuanzisha dini, aliwakuta wanadamu na dini zao na miungu Yao chungu nzima, yeye aliwafundisha wanadamu wa wakati huo nasisi tuliopo sasa habari za wokovu na uzima wa milele. Anatufundisha hata sasa Yale yampasayo mwanadamu kuishi maisha gani ili aweze kuyashinda makwazo ya shetani ili mwishoni afike kwenye uzima wa milele. Akatuambia na silaha sahihi pekee tunazopaswa kuzitumia katika kupambana na mwovu shetani na kumshinda. Kwahiyo YESU nimasihi aliyekuja kwaajili ya wanadamu wote wa dini zoote nawe wajua ya kuwa alipaa kwenda mbinguni na atarudi Tena Kwa utukufu kuja kuwahukumu wanadamu wooote. Je Si Jambo jema kumheshimu yeye atakayeuhukumu ulimwengu wote? Je ikiwa Mungu ndiye atatoa hukumu na wakati huo huo wote tunakiri ya kwamba YESU au Isa bin Mariam atarudi Tena kuja kuhukumu bado tu hatuwezi kutambua maana ya fumbo hilo? Alikua yeye mwenyewe Mungu katika Sura ya mwanadamu kama ilivyokuwa imempendeza nahao wamwaminio na kumfuata ndiyo amewapa neema ya kufanyika Wana. Wewe usemaye Kristo siyo dini angalia kama tafsiri yako inalingana na ufafanuzi huu. Pale zamani hadithi zinasema mtume Muhamadi aliwaambia maswahaba wake kwamba Hao Manaswala au watu wa kitabu Si makafiri kwakuwa wanamwabudu MUNGU wa kweli, nahao manaswara ndiyo waliomfuata YESU KRISTO. Je wewe ndugu wawezaje leo kugeuza yaliyonenwa na mtume wenu? Jaribu kutafakari upyaa.

  • @wm9669
    @wm9669 3 года назад

    Sio wasomali wote wanabeba bunduki. Sijui ni wapi ulipita.

  • @aliibren9524
    @aliibren9524 3 года назад

    Kweli huyu amebahatika

  • @anwarabdi4955
    @anwarabdi4955 3 года назад +2

    Video ya pili tunaonmba tafadhali

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 года назад

      Usijali video ya pili utapata tu kwani jamaa bado anatunga maneno atakayotumia kuwaeleza ili msielewe urongo na ukweli alionao

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 года назад +1

      @@bonifaceirungu5594 leta ushahidi ya kwamba anaongea uwongo.kafiri mkubwa weye!

    • @bonifaceirungu5594
      @bonifaceirungu5594 3 года назад

      @@jamilaomari2444 kafiri ni wewe usiyetafakari maneno ya uongo, kwanini haujiulizi mbona hakumaliza story

    • @jamilaomari2444
      @jamilaomari2444 3 года назад

      @@bonifaceirungu5594 kati yangu na wewe anayemuita yesu mwana wa mungu au yesu Mungu nani? Kafiri weye,,nenda ukasome toka hapa!

  • @bigmanfish6346
    @bigmanfish6346 3 года назад

    Dini ni jukumu la kila aliechukua shahada. Usitaje kua ni jukumu la warabu. Himiza watu wamtambue Mungu kwanza Shekh. Tawheed. Ndio hapo watatoa sadaka kwa urahisi. Imani kwanza. Na iman ipatikane lazma watoke Tableegh. Je Shekh mwaipopo umewahi kutoka siku ARUBAINI ajili ya kusahihisha nafsi yako?? Tafadhali toka 40 days Tabligh

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 3 года назад

    mungu akusamehe hujuh ulisemalo

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 года назад +1

      Husiojitambua ni ww hujielewi wala huna elim ya hiyo dini yako kumzidi huyu mzungumzaji

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 года назад

    Lakn twaelewa tz dini IPO lkn hamna harakat kabisa

  • @doctorpheisaltv6266
    @doctorpheisaltv6266 3 года назад

    Jitibu ugonjwa wa ngiri busha kwa mti huu bofya apa 👉

  • @issackashery6422
    @issackashery6422 2 года назад

    Mwiziiiiiiiiii hahaaaaaaaaaaa

  • @mariamumohamedi1486
    @mariamumohamedi1486 3 года назад

    Kesho kwamungu motoni

  • @Zainab_salat
    @Zainab_salat 3 года назад

    Muogo

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 года назад

    Stori mnazikatisha

  • @macrinajoseph1422
    @macrinajoseph1422 3 года назад

    Yohana. 14:. 6. Nanukuu maneno ya yayesu. Mimi ndimi njia ya uzima na kweli mtu hawezi kwenda kwa bb Ila kwa njia ya Mimi maneno haya ameyasema yesu usikubali kudanganywa mwamini yeu use salama

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 года назад

    WAISLAM AMKENI ACHENI KUPUMBAZWA NA MASHEKH WA SIMBA HAO NA YANGA.! WAAMBIENI WAISLAMU WATAKE QUR AN YAO.! HAO NDIO WAISLAM WAKWELI NA HAO NDIO WAUMINI AL SHABAB.!

  • @alliyoigaly3646
    @alliyoigaly3646 3 года назад +2

    Part 2 yake twaomba

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 года назад

    Wee Shekh ungeangaliwa kuac utasemaje wamechanganyikiwa? Unakaakili kwel ww,ulikua unataka wabebe vijiko?

    • @abubakarabdilah9044
      @abubakarabdilah9044 3 года назад

      Hajui kua hata mtume na maswahaba walikua wakibeba silaha sema zme tofautiana zama hizi. zama zetu ni bunduk zao ilikua panga

  • @costantinestephen2594
    @costantinestephen2594 3 года назад

    MUNGU akusamehe bure.Maana hujui maandiko wala uweza Wa Mungu, ila Unayo nafasi ya kumpokea Yesu.

    • @kudrawanguvu5923
      @kudrawanguvu5923 3 года назад +1

      M/Mungu akuongoze akili za kuambiwa changanya na zakwako navyokuona ww humzidi muongeaji elim ya dini yako ya kumshirikisha M/Mungu. yusu ni nabii na c mtoto wa Mungu

  • @sarinkestephen5455
    @sarinkestephen5455 6 месяцев назад

    Mpumbavu HUYU

  • @hadijanassor7003
    @hadijanassor7003 3 года назад

    MWAIPOPO KWANZA SIKWITI SHEKH WEWE NI MSHIRIKINA NA MTUMWA WA MAKAFIRI.! HUNA LOLOTE BWANA. WAKUFURISHE KWANZA HAO VIONGOZI WAKO. NYINYI NDIO MUNOIHARIBU DAWA. NANYINYI NDIO MUNASABABISHA MAKAFIRI WAWE NAMAZINGIRA MAZURI YA KUWATAWALA WAISLAM..!

  • @bonifaceirungu5594
    @bonifaceirungu5594 3 года назад

    Mbona husemi ulikuwa wazunguka Somalia ukifanya nini kwa sababu Somalia hakufanwi mihathara ,ulikuwa ukitumia lugha gani huko, Kwani lugha inayotumiwa Somalia ni kisomali,

    • @aishajuma7739
      @aishajuma7739 3 года назад +1

      Kiarabu hata mzungu kama ni muisilamu anajuwa kwa sababu kuruani imeandikwa kwa kiarabu

    • @khalidkhamis8626
      @khalidkhamis8626 3 года назад

      kiswahili lugha pana wew...wa wapi wewe

    • @J4UPro
      @J4UPro 3 года назад

      Ulishafika somalia ukaambiwa hawasikii kiswahili?

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 года назад

      Kiswahili pia wanazungumza

    • @abdirashidabass2928
      @abdirashidabass2928 3 года назад

      Somalia ni kisomali tu hamna kiswahili,
      Na huyu sheeikh aache kupaka matope nchi nzima Somalia,
      Maana sio somalia yote iko vita na mabundiki

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 3 года назад

    Kulikoni? Naona uekatisha

    • @abbasshaaban2746
      @abbasshaaban2746 3 года назад

      Nasheed za Ibrahim Khan mwezi mwema Ramadhani

  • @daudigabriel73
    @daudigabriel73 3 года назад

    Wewe ni mjanja kweli anaekusikiliza kama Hana maarifa hawez kukuelewa.

  • @bidafumbuka855
    @bidafumbuka855 3 года назад

    Uongo hii sio Dini ya kweli Dini ya kweli ni Kristo tu

  • @oscarngowi4750
    @oscarngowi4750 3 года назад

    Umepotea wewe hujitambui

  • @hassanwanje7373
    @hassanwanje7373 3 года назад +1

    Huyu Shekh n kma analipwa na serikal sai ww uende sehem takayifu namna ile ambayo n nchi pekee dunia ambayo haina msalaba kisha yy anaongea ujinga ujinga tu

    • @aliibren9524
      @aliibren9524 3 года назад

      Waislamu hawalipi watu kwa kuingia uislamu,dini si biashara kama makanisa,uko na options ya kuingia ama kuikataa sababu hii dini si mtu yeyote,ni ya Mwenyzi mungu,

  • @makariospeter9447
    @makariospeter9447 3 года назад

    Yaani uache dhahabu uchague jiwe. Rudi kwa Yesu.

    • @hassanwanje7373
      @hassanwanje7373 3 года назад

      Afadhal akarudi kwa yesu kwa kitendo alivmchokifnya nmejua nimpuuz huyu Shekh , Allah akupeleke nchi takatifu kisha ww ukimbie unakimbia pepo ambapo sie wenzie tunaitaman nafac kma hizo

    • @mwakakhamis9823
      @mwakakhamis9823 3 года назад

      Macho yako yana ung'eng'ezi ataukiekewa denda na mate huwezi kutofautisha

    • @hamzafishten4276
      @hamzafishten4276 3 года назад

      Sasa yesu kaingiya muskitini wewe unaongiya wapi

    • @asaduzamanalmaxmud7671
      @asaduzamanalmaxmud7671 3 года назад

      Sasa urudi darasani

  • @khalfanifarisy7398
    @khalfanifarisy7398 3 года назад +1

    Tumia aya za Qur,an kwa kiarabu. Au husomi Dini.

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 года назад +1

      Kwani hapa ni urabuni

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 года назад +1

      Kuna makafir wengine wanawatumia ninyi kupotosha umma hivo hatukushangai alafu kuwa makin

    • @adamhashim3352
      @adamhashim3352 3 года назад +2

      Km aya kasoma kwa kiswahili we chukua quran usome kiarabu hamna tatizo

    • @mramsayo1025
      @mramsayo1025 3 года назад +2

      Mpuuzi ww khalfan, unaongea ushuzi tu

    • @allyally7248
      @allyally7248 3 года назад +2

      Em kuwa muelewa nikukumbushe tena kuwa makin ,hii din sio ya ukoo wenu ongea vit vyenye kuleta tija kwenye uwisilam ,.kuwa makin

  • @davidjanta2799
    @davidjanta2799 3 года назад

    Shetani ni baba wa uongo bila shaka wewe ni uzao wa nyoka kichwa chako kimejaa mashetani ya kila sampuli huwezi kumjuwa MUNGU wala mwana wa MUNGU, hujitambuwi kama wewe nimateka wa shetani

  • @PrinceCharlz-pu9ps
    @PrinceCharlz-pu9ps 8 месяцев назад

    Hajawah kuw mkristo kabisa huwez kuw mkristo alafu utoke kwa Yesu uende kwa Muhammad dini inayokubali majini ni ndugu zao

  • @ashamkoleke6035
    @ashamkoleke6035 2 года назад

    Mashallah

  • @ukweliwauislamu9590
    @ukweliwauislamu9590 2 года назад

    Masha Allah

  • @zulekhasaid8495
    @zulekhasaid8495 3 года назад +1

    MashaAllah

  • @hamilhashir4452
    @hamilhashir4452 3 года назад

    Hivi mapadri na maaskofu huwa wanaijua Qurani vzr sn ila tu

  • @ibrahwamiraj836
    @ibrahwamiraj836 3 года назад

    Masha Allah

  • @ajumaakange1483
    @ajumaakange1483 3 года назад

    Masha Allah

  • @adellsefu2485
    @adellsefu2485 3 года назад

    Masha Allah

  • @suhel5209
    @suhel5209 3 года назад

    MashaAllah

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 3 года назад

    MashaAllah

  • @alijuma7391
    @alijuma7391 3 года назад

    Masha Allah