UMUHIMU WA NDOA YA WAKEWENZA (FULL VIDEO) //SHEIKH NYUNDO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 сен 2024
  • USISAHAU KU SUBSCRIBE

Комментарии • 20

  • @trackingimperialroadhaulag2004
    @trackingimperialroadhaulag2004 Год назад +3

    Allah akujalie uwe miyongoni mwa watu wema wa peponi

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i 4 месяца назад +1

    Allah akurehem sheikh wetu amiin

  • @user-bd5hq2kb4h
    @user-bd5hq2kb4h 5 месяцев назад +1

    ALHAMDULILLAH

  • @FainataJafary
    @FainataJafary Год назад +4

    Allah anilinde maana mm ni miongoni mwa wanawake ao nifanyeje hili nitubie makosa yangu😢😢

    • @alimau7939
      @alimau7939 Год назад

      Hayo ni maradhi ya moyo kwa iyo muombe Allah akuondolee na mumeo akiengeza unatakiwa na ww uongeze vikorobwezo mwanaume horigwi kwa washirikina tabia zako zinatosha kumroga mumeo

    • @hussencode2.117
      @hussencode2.117 17 дней назад

      @@alimau7939

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 11 месяцев назад +3

    Allah amrhamu Ameen

  • @fahadhilal1611
    @fahadhilal1611 Год назад +1

    MashaAllah

  • @JohnsonMtula-ik2oi
    @JohnsonMtula-ik2oi Год назад +1

    Shehe mm nimeolewa uke wenza lakini mume anabenzi upande mmja je hiyo ni haki

    • @salhakassim6236
      @salhakassim6236 Год назад

      SI haki n hyo atafufuliwa bega Moja juu n Moja chini

  • @khamissalim8708
    @khamissalim8708 11 месяцев назад

    Ameen

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Год назад +1

    ukiona kaoa mmoja anamtosha kwa nn ajilazimishe kuoa wengi atawamudu vipi baba kipato uwe nacho ìli uwamiliki wanawake

    • @aliysaid6917
      @aliysaid6917 Год назад +1

      uwamiliki kwani watumwa ao?

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      @@aliysaid6917 kwa akili zako ndio zilipoishia kuwa watumwa ndio wanamilikiwa hata dada yako akiwa chini yako ni unammliki upo

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Год назад

      @@aliysaid6917 ndio watumwa

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 5 месяцев назад

      Ila mademu nje una wangapi na unawahonga wote.. soma kwanza

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 Год назад +7

    Allah akujalie uwe miyongoni mwa watu wema wa peponi