Shekhe Othman Mazinge Allah(S.W) Akubariki na Aibariki safari yako uende salama na iwe yenye mafanikio IshaAllah, kwa kweli tunakupenda sana huku KENYA sisi waislam wenzako na tunakuombea urudi salama na vilevile Alla(S.W) Atujaalie tuwe pamoja na Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pepo Yake IshaAllah...
Twamuomba allah aongeze warith wa hii kazi shekhe mazingi kwasababu hakuna namna siku yako ikifika mungu atakuchukuwa hatujui nan atakuwa na moy wa dhati kama ww wa kutetea uislam
Allah akufanyie wepesi katika safari yako na akufanyie wepesi katika kuutetea uislam maswali utakayoulizwa katika huo mkutano Allah akupe wepesi kuyajibu kwa usahihi kabisa urudi na ushindi uwasilimishe mpaka mapadri
Dini haimpeleki mtu mbinguni amini kwamba siku za mwisho watakuja kuleta hesabu zote kwa Mungu soma biblia ufike mbinguni salama haijalishi upo kwenye dini gani asiye mwamini yesu amekosa uzima wa milele mapadri hawaweI silimu labda nyie tuwakaribishe muokoke.
Habib Othman Mazinge karibu Sana pemba, Ndoto yangu kwako nipate kukuona shehe wangu Na kuwa mwanafunz wako, nalia kila leo shehe, Namuomba MUNGU aniktanishe na wewe Inshaallah.
Allah akulinde shk wetu, nakupenda kwa ajili ya Allah. Allah akujalie umri mrefu na akupe ilimu zaidi uwashinde wote maadui zako. Allah akulinde na akukinge na balaa. Allah akupe riziq uitakayo. Amiiin thumma amiin 🤲
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako na akuhifadh, akuepushe na kila baya . Akujaalie uende salama urudi salama, ukafaulu kwa yote yatakayo kuwa huko kwa uwezo wa Allah ameen yaa Rabb in shaa Allah
@@juliusmakamba255 ... hakuna mwiislam anayemkashifu Yesu hata mmoja kaka, na anayemkashfu Yesu basi si mwiislam, Nahisi haujui maana ya Uislamu ni nini na ndomana ukasema hivyo...Ukristo tunaukashfu kwasababu ni uzushi wa watu, Mwenyezi Mungu hajaelekeza watu wawe wakristo na hakuna Mtume hata mmoja aliyekuwa mkiristo including Yesu, Shida yenu hamtaki kusoma Vitabu vya Mwenyezi Mungu mkaelewa, mnafuata tu kauli za wachungaji wanaowapotosha....
@@rashidkalimbo2451 ni nadra sana kumsikia ustadhi mazinge akikemea dhambi,au akiwataka watu waache maovu,watubie dhambi zao,yeye anawaaminisha waumini wa dini yake ya kiislamu kuwa wakristo wote ni makafiri na siku ya kiyama ni motoni tu,na muislamu hata akiwa mwizi,jambazi,mzinifu,yeye ataenda peponi,anapotosha sana watu.
@@juliusmakamba255 ...Mimi nakuelewa vizuri kaka na ndomaana nikatanguliza kusema hauelewi maana ya Uislamu, Uislamu hauelekezi mtu kufanya mambo mabaya mambo machafu hata kidogo kaka, Mtu yeyote atakayefanya dhambi ima ya kuiba, ugaidi, ushirikina, uzinifu n.k moja kwa moja huyo ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu unless atubie Kwake, TOBA ya ukweli (TAUBATUL NASUHHA) kabla hajafariki,... Halafu nimeona unasema ati ni nadra Ostadh Mazinge kukemea dhambi, hapo nakupinga mojamoja, Pitia video zake zote RUclips uone vyenye Shekhe Mazinga anavyong'ang'ana kuwalingania Waislamu na hata wasiokuwa waislamu warudi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wewe unaonekana ni mgumu wa kuelewa tu, m'bishi, coz hata hii video Mazinge amelingania watu warudi kwenye njia ya Allah, ama haujasikia hiyo kauli akisema watu wanachezea wakati kwa kuspend more time na mambo yao ya kibnafsi kama vile mpira wa kandanda hata wakati wa swala instead of wawe miskitini, Ama unataka mtu alinganiwe vipi wewe...Na vilevile nahisi haujui maana ya Kafiri pia, KAFIRI kwa ufupi ni mtu ambaye hamuabudu Mwenyezi Mungu Muumba wa kila kitu duniani, ndio maana Mwenyezi Mungu Akawatambua nyinyi (wakristo) kama Makafiri kwasababu hamumuabudu Mwenyezi Mungu, munaabudu Yesu, Mtume Wake mkidai yeye ndo Mungu...na ndio maana nikasema hamusomi Vitabu mukavielewa coz Yesu anasema yeye mwenyewe 'mimi ni mtu" (YOHANA 8:40) na hakutumwa kwa ulimwengu mzima ila kwa watu(Wana wa Israel)aliopewa na Mwenyezi Mungu na anawaombea hao tu(YOHANA 17:6-9).... Shida yenu hamtaki kusoma tu basi, ninyinyi nakupinga ukweli tu hata muambiwe nini hamutoamini kwasababu tayari Mwenyezi Mungu Anasema Amepiga Mihuri nyoyo zenu na vilevile zimejaa maradhi kwahiyo hata muambiwe nini hamutoamini, macho ameyaziba na finiko hayaoni na vilevile maskio yenu ameyaziba kwa hivyo hamsikii na mtapata adhabu kali... Shekhe Othman Mazinge Anang'ang'ana sana na Namuombea Allah(S.W) Azidi kumpa umri mrefu aendelee kuwatoa watu katika Giza, Nampenda sana Shekhe Mazinga infact video zake kwa laptop yangu zimechukua karibia asimia 60, Nawaombea sana sana mashekhe wote Allah(S.W) Awalinde...Na pia wewe nakuomba usikilize Mihadhara mbalimbali ya Mashekhe mbalimbali huenda Mwenyezi Mungu Akakujaalia kuuona ukweli uko wapi IshaAllah, na utakuja nikumbuka kwa hii COMMENT IshaAllah ima ubadilike au ubaki katika hali yako.... Nakuomba uwasikilize kwa undani hawa Mashekhe wafuatao: *TANZANIA-Shekhe Othman Mazinge, Dr Sule Ostadh Kinyogori, Shekhe Kishki, n.k *KENYA-Shekhe Mohammed Omar, Shekhe Maalim Othman, Shekhe Suleiman Mazinge, Shekhe Izudin Alwy Ahmed n.k *India-Shekhe Dr Zakr *U.S -Shekhe Ahmad Dhada Chukua Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Uangalia as you listen to them, uone kama wanakwambia ukweli au laa, jaribu kutofautisha between different scriptures ujue ukweli uko wapi kaka, hao wamesoma kweli Vitabu vya Mwenyezi Mungu na ninawaombea sana kwa juhudi zao na naomba dua zao za kutaka radhi kwa Allah pia zinifikie mimi IshaAllah kama mwiislamu mwenzao. Mimi jukumu langu nikufikisha tu, decision ni yako, siwezi kulazimisha coz Dini inakataza kulazimisha mtu, lakini naomba unisikilize kwa makini kauli yangu ya mwisho, kama wewe una dini nyingine mbali na Uislamu, nakuomba mara moja rudi katika UISLAMU kabla hujakufa, kwasababu Ndio DINI pekeyake Ambayo Mwenyezi Mungu Ataiangalia Siku ya Kiyama.
Wanaoendelea kumpinga Yesu wajipange upya wanapoendelea kumpinga anasema anikataae mimi asie yaamini maneno yangu neno hilo ninalolinena ndilo litakalomuhukumu siku ya Mwisho
Tatizo hamumfuati Yesu. Unaweza kuniambia kipindi cha Yesu, nani alikuwa mpigaji wa kinanda, nani alikuwa padri, nani alikuwa mwana kwaya na alisalisha lini hizo misa!? Usipoweka mazowea uliyonayo kwenye imani nakuusoma vizuri uislamu ukauelewa, sidhani km utarudi tena kwenye ukristo
#Prophètekacouphilippe Www.philippekacou.org 👆👆👆👆👆👆👆👆👆 18 Vema! Sasa ninataka kuzungumza juu ya sala, Ubatizo na kumaliza. Nimeona ndugu wakitoa pepo, wakipeleka kwa makanisa ya Katoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Wabranhaministi. Hii sio mbaya, lakini badala yake watume kwa kuzimu na maeneo ya ukame. Na hiyo ni kwa sababu ya watoto wa Mungu ambao bado wakifungwa katika makanisa hayo. Na unapoomba, usimwombe Mungu wa kihistoria bali Mungu aliye hai, Mungu wa nabii Kacou Philippe kwa sababu, Yeye ndiye Mungu wa walio hai na sio Mungu wa wafu. Ikiwa tutamwomba Mungu wa Eliya, wa Danieli, lazima tuthibitishe kuwa Yeye ndiye Mungu aliye hai wa wakati wetu, hiyo ni kusema Mungu wa nabii Kacou Philippe. Kila kitu lazima kiwe na alama ya Ujumbe wa wakati wetu: sala, nyimbo ... sio za Yesu wa Nazareti kwa sababu Yesu wa Nazareti anayejibu leo ni pepo. Alikuwa Yesu wa Nazareti katika mwili wa kibinadamu miaka 2000 iliyopita. Hii ndio sanamu na sanamu ambazo hazihami! Na miungu ya makanisa haya iko katika Nazareti na wote huitwa Yesu Kristo wa Nazareti. Unaona? Lakini, yeye ndiye Mungu aliye hai leo, Mungu wa wakati wetu, Mungu wa nabii Kacou Philippe.
@@jonasyohana3258 mbwa baba ako firaauni heshimu dini za watu nyooooooo ukome kututukana habith kacheze segele kanisani kiama utacheza kwenye moto laana allah akudhalilishe kwa maradhi inshalllah
Assalam aleykhum warahmatullah wabarakatuh... Namuomba Allah akuongoze katika utowaji wako wa dawa, namuomba Allah akurahisishie kazi zako ziwe zahisi.. kwako sheikh mazinge...naomba ukitoka safari yako nipate updates na mm inshaallah Ameeen.
Maasha Allah ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awalinde na kila shari,awaongoze awape afya njema, umri mrefu awalipe kila lililo la kheir wao na ummati Mohammad (SAW)
Allah akupeleke salaam na akurudishe salaam,na maswali yote utakao ulizwa akuwezeshe kuyajibu vzr,karibu kwetu burundi.Na twakuombea Allah azidi kukuhifadhi na akujalie mwisho mwema sheikh wetu
Mazinge wallah Mwenyezi Mungu akuongezeye umuli Mimi ni mu Tanzania nilizalia Uganda hilo onalolisema ni kweli ksse kanisa iligeuzwa muskiti kwanza ksse bwela ni wanyamwezi
Mznge Allah Akulinde na Akuepushe na mabaya ya dunia na ya kaburn wallah Tena Mungu Akupe pepo ya juu kabsa inaniuma Sana pale ninapo fikiria ukfa Nani Atakae kava hii nafas yako Allah Atuandalie mtu kama ww
,kwaza nimuombe mwenyezimungu msamaha pamoja na waislam wezang wote nilitoa kauli mby ile siku shehe wakimponda shehe ponda juu ya uchaguzi ila nimejua nilikosea maana hakuna kazi Bora kama yakumtumikia alla muumba ardhi na mbigu kwapamoja waislam wote tumuombe mungu amjalie shehe wetu afike slm arudi Salam kwaajili ya alla
inshaAllah ya ALLAH mpe maisha marefu mwalimu wetu Habib mazinge InshALLAH na mola wutu akuongoze popote uendapo na akulide na maasidi na ushinde kwaajili ya ALLAh AMIN AMIN inshALLAh
Nimezaliwa ukristo nitafia ukristo".kamwe sijawahi kutukana Imani ya mtu Wala sijawai mkanya mtu juu ya Imani yake,ila sitovumilia yeyote mwenye kudharau Imani ya mwwnzake. Nipo kwa mfano wake aliye ndani yake kwa uwezo wake kanifanya niwe kama yeye na kamwe sitoshindana naye.
Amini nawaambia anaye mkana yesu amemkana na Mungu .YOHANE 14:6 YESU AKAMWAMBIA ,MIMI NDIMI NJIA,YA KWELI,NA UZIMA;MTU HAJI KWA BABA, ILA KWA NJIA YA MIMI.
Wewe ndo unaemkana Yesu, waislam wanamjua zaidi Yesu na tunamuami sana lkn ni mtume wa Mungu na si Mungu. Mana hajawahi kusema yy ni Mungu wala Mungu hajasema kuwa yesu ni Mungu.
Wewe ndo unaemkana Yesu, waislam wanamjua zaidi Yesu na tunamuami sana lkn ni mtume wa Mungu na si Mungu. Mana hajawahi kusema yy ni Mungu wala Mungu hajasema kuwa yesu ni Mungu.
Nakuombea kila la kheri akhii Mazinge ,Allah akulinde na balaa zote za dunia na afanye kazi yako ya da'awa iwe nyepesi uende na urudi salama aammin nakutakia kila la kheri from Mombasa
Wenyeku mpenda sheikh wetu Mazinge like apa lakini mimi sijabahatika kukuona sheikh wangu Mazinge
Shekhe Othman Mazinge Allah(S.W) Akubariki na Aibariki safari yako uende salama na iwe yenye mafanikio IshaAllah, kwa kweli tunakupenda sana huku KENYA sisi waislam wenzako na tunakuombea urudi salama na vilevile Alla(S.W) Atujaalie tuwe pamoja na Bwana Mtume Muhammad (S.A.W) katika Pepo Yake IshaAllah...
Maashaallah Allah awafanyie wepesi muende salama murudi salama in shaa Allah
Twamuomba allah aongeze warith wa hii kazi shekhe mazingi kwasababu hakuna namna siku yako ikifika mungu atakuchukuwa hatujui nan atakuwa na moy wa dhati kama ww wa kutetea uislam
We real love you sheikh ,ManshaAllah 👏👏🇨🇦🇨🇦
From 🍁 🇨🇦 na mimi nampenda sheikh Mazinge namfatilia sana@jojobrayan1551
Mashallah Allah Akuzidishie heri Inshallah...❤❤❤
Allah akbar mola wetu Mlezi akuwekee wepesi katika safari hio ln sha Allah kher amiin ya Rabii 🙏🏻
Allah humma amin
Allah akufanyie wepesi katika safari yako na akufanyie wepesi katika kuutetea uislam maswali utakayoulizwa katika huo mkutano Allah akupe wepesi kuyajibu kwa usahihi kabisa urudi na ushindi uwasilimishe mpaka mapadri
Dini haimpeleki mtu mbinguni amini kwamba siku za mwisho watakuja kuleta hesabu zote kwa Mungu soma biblia ufike mbinguni salama haijalishi upo kwenye dini gani asiye mwamini yesu amekosa uzima wa milele mapadri hawaweI silimu labda nyie tuwakaribishe muokoke.
Allah akbar mwenyezimungu atujaarie mwisho mwema na atufishe hali nakuwa ni waislaam🕌🕌🕌
Habib Othman Mazinge karibu Sana pemba,
Ndoto yangu kwako nipate kukuona shehe wangu
Na kuwa mwanafunz wako, nalia kila leo shehe, Namuomba MUNGU aniktanishe na wewe Inshaallah.
Siku atakayofumba jicho sheikh Mazinge kama bado nikiwa napumua sijui nitaliaje wallah nampenda mno kwa ajili ya Allah tu sichoki kumsikiliza
Allah akupeleke salama shekh. Aammiiiin 🙌
Karibu sana burundi 🇧🇮 Allah awafikishe salama awarudhishe salama na ushindi uwe wa waislam karam ya tauhid izagae urimwengu mzima🙏🏻
Ameen yaa Rabbil aalamiin
Allahhumma Aamiin
Amiin
Amiin allah auwinue dua nzima insha allah
Allahuma aminaa 🙏🙏🙏🙏🙏
Ya Allah, Tunaomba ALLAH Akujalie.Uweze kutuwakilisha vizuri . Amiina.
InshaALLAH mungu atakuwezesha uendapo na ushindi juu ya uislamu
Mungu awalipe mashekh wetu
Nakukubali Mazinge ❤
Allah awahifadhi masheikh wetu Allahumma amiin
Mashallah masheikh WETU Allah atawalipa fungu lenu siku ya Hesabu Inshaallah 👏
Allah akulinde shk wetu, nakupenda kwa ajili ya Allah.
Allah akujalie umri mrefu na akupe ilimu zaidi uwashinde wote maadui zako.
Allah akulinde na akukinge na balaa.
Allah akupe riziq uitakayo. Amiiin thumma amiin 🤲
Man sha allahu
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako na akuhifadh, akuepushe na kila baya . Akujaalie uende salama urudi salama, ukafaulu kwa yote yatakayo kuwa huko kwa uwezo wa Allah ameen yaa Rabb in shaa Allah
Allahumma amiin
Ishaalahh alahh akufanyie wepesi alahh akupe umri mrefu
Amiin yarabal alamin
Kwani burundi akuna wa dhiri
Alla akulipe inshaalla
Karibu sana Urundini ustadhi
Ya ALLAH mrahisishiye safari, kazi yake ya daawah na umpeleke na umrudishe salama salimina mwalimu wetu Habib Mazinge.
Allah akupeleke Salam urudi Salam a .Allah atupe mafanikio mema ya dunia na akhera.
Yaa Allah muwekeye Nuuru m zazi wa shekh Nourdini Kishikh katika Kaburi l'âne ALLAHUMMA Amiin
Wallah UISLAMU NI RAHA, hasa mwisho wa video hii nimehisi tu raha, ...Namuomba ALLAH (S.W) Anifishe hali ya kuwa mimi nimuislamu kamili IshaAllah.
Ameen
Wahubiri wenzako wote walisha kufa,wahubiri wakikristo wote wapo,wewe kazi yako ni kuukashifu ukristo na yesu.
@@juliusmakamba255 ... hakuna mwiislam anayemkashifu Yesu hata mmoja kaka, na anayemkashfu Yesu basi si mwiislam, Nahisi haujui maana ya Uislamu ni nini na ndomana ukasema hivyo...Ukristo tunaukashfu kwasababu ni uzushi wa watu, Mwenyezi Mungu hajaelekeza watu wawe wakristo na hakuna Mtume hata mmoja aliyekuwa mkiristo including Yesu, Shida yenu hamtaki kusoma Vitabu vya Mwenyezi Mungu mkaelewa, mnafuata tu kauli za wachungaji wanaowapotosha....
@@rashidkalimbo2451 ni nadra sana kumsikia ustadhi mazinge akikemea dhambi,au akiwataka watu waache maovu,watubie dhambi zao,yeye anawaaminisha waumini wa dini yake ya kiislamu kuwa wakristo wote ni makafiri na siku ya kiyama ni motoni tu,na muislamu hata akiwa mwizi,jambazi,mzinifu,yeye ataenda peponi,anapotosha sana watu.
@@juliusmakamba255 ...Mimi nakuelewa vizuri kaka na ndomaana nikatanguliza kusema hauelewi maana ya Uislamu, Uislamu hauelekezi mtu kufanya mambo mabaya mambo machafu hata kidogo kaka, Mtu yeyote atakayefanya dhambi ima ya kuiba, ugaidi, ushirikina, uzinifu n.k moja kwa moja huyo ataadhibiwa na Mwenyezi Mungu unless atubie Kwake, TOBA ya ukweli (TAUBATUL NASUHHA) kabla hajafariki,... Halafu nimeona unasema ati ni nadra Ostadh Mazinge kukemea dhambi, hapo nakupinga mojamoja, Pitia video zake zote RUclips uone vyenye Shekhe Mazinga anavyong'ang'ana kuwalingania Waislamu na hata wasiokuwa waislamu warudi katika Njia ya Mwenyezi Mungu, wewe unaonekana ni mgumu wa kuelewa tu, m'bishi, coz hata hii video Mazinge amelingania watu warudi kwenye njia ya Allah, ama haujasikia hiyo kauli akisema watu wanachezea wakati kwa kuspend more time na mambo yao ya kibnafsi kama vile mpira wa kandanda hata wakati wa swala instead of wawe miskitini, Ama unataka mtu alinganiwe vipi wewe...Na vilevile nahisi haujui maana ya Kafiri pia, KAFIRI kwa ufupi ni mtu ambaye hamuabudu Mwenyezi Mungu Muumba wa kila kitu duniani, ndio maana Mwenyezi Mungu Akawatambua nyinyi (wakristo) kama Makafiri kwasababu hamumuabudu Mwenyezi Mungu, munaabudu Yesu, Mtume Wake mkidai yeye ndo Mungu...na ndio maana nikasema hamusomi Vitabu mukavielewa coz Yesu anasema yeye mwenyewe 'mimi ni mtu" (YOHANA 8:40) na hakutumwa kwa ulimwengu mzima ila kwa watu(Wana wa Israel)aliopewa na Mwenyezi Mungu na anawaombea hao tu(YOHANA 17:6-9).... Shida yenu hamtaki kusoma tu basi, ninyinyi nakupinga ukweli tu hata muambiwe nini hamutoamini kwasababu tayari Mwenyezi Mungu Anasema Amepiga Mihuri nyoyo zenu na vilevile zimejaa maradhi kwahiyo hata muambiwe nini hamutoamini, macho ameyaziba na finiko hayaoni na vilevile maskio yenu ameyaziba kwa hivyo hamsikii na mtapata adhabu kali... Shekhe Othman Mazinge Anang'ang'ana sana na Namuombea Allah(S.W) Azidi kumpa umri mrefu aendelee kuwatoa watu katika Giza, Nampenda sana Shekhe Mazinga infact video zake kwa laptop yangu zimechukua karibia asimia 60, Nawaombea sana sana mashekhe wote Allah(S.W) Awalinde...Na pia wewe nakuomba usikilize Mihadhara mbalimbali ya Mashekhe mbalimbali huenda Mwenyezi Mungu Akakujaalia kuuona ukweli uko wapi IshaAllah, na utakuja nikumbuka kwa hii COMMENT IshaAllah ima ubadilike au ubaki katika hali yako....
Nakuomba uwasikilize kwa undani hawa Mashekhe wafuatao:
*TANZANIA-Shekhe Othman Mazinge, Dr Sule Ostadh Kinyogori, Shekhe Kishki, n.k
*KENYA-Shekhe Mohammed Omar, Shekhe Maalim Othman, Shekhe Suleiman Mazinge, Shekhe Izudin Alwy Ahmed n.k
*India-Shekhe Dr Zakr
*U.S -Shekhe Ahmad Dhada
Chukua Vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu Uangalia as you listen to them, uone kama wanakwambia ukweli au laa, jaribu kutofautisha between different scriptures ujue ukweli uko wapi kaka, hao wamesoma kweli Vitabu vya Mwenyezi Mungu na ninawaombea sana kwa juhudi zao na naomba dua zao za kutaka radhi kwa Allah pia zinifikie mimi IshaAllah kama mwiislamu mwenzao.
Mimi jukumu langu nikufikisha tu, decision ni yako, siwezi kulazimisha coz Dini inakataza kulazimisha mtu, lakini naomba unisikilize kwa makini kauli yangu ya mwisho, kama wewe una dini nyingine mbali na Uislamu, nakuomba mara moja rudi katika UISLAMU kabla hujakufa, kwasababu Ndio DINI pekeyake Ambayo Mwenyezi Mungu Ataiangalia Siku ya Kiyama.
Wanaoendelea kumpinga Yesu wajipange upya wanapoendelea kumpinga anasema anikataae mimi asie yaamini maneno yangu neno hilo ninalolinena ndilo litakalomuhukumu siku ya Mwisho
Nani anampinga yesu hakuna mwislam anaempinga yesu ila wakristo hawamjui yesu nahawafuati ya yesu zaid ya paulo
Kwenye uchaguzi huu tunamshukuru Allah ametudhihirishia wanafki, washirikina, wapenda Dunia
Allah wajaalie mashekhe mwisho mwema
Twalib una mana utshadh Mazinge nimunafiki ama
Walah nimejisikia uchungu Sana shekhe aliposema nimebaki mm tu na nikifa mm hamna mtu, nimesikia uchungu mnoo shekhe tunakupenda kwa ajili ya allah
Maa shaa Allah Allah akufikishe Salama na urudi Salama na awarehemu Mashekhe zetu wote waliotangulia mbele ya haq
Amiin
Karibu saaana kwetu Burundi allah awawekeye wepesi
Allah akufanyie wepesi sheikh mazinge uende salama hurud salama in shaa Allah
Ameen yaa Rabb
Aminaaa ya rabii🙏🙏
Ameen
Ameen
Pia ushauli wangu kama una mtoto WA kiume au yeyote anaitaji kuubili uwafunfishe lnshallah
Allah akulipe
Hilo ulilocomment ndo haswa!!Mungu anakupenda..Msalaba ndio njia pekee ya kwenda mbinguni.Yesu Kristo ndiye njia kweli na uzima!
Subiri ukufe ndio utajua duniani hatukuumbwa bure bali Tumuabudu Mwenyezi Mungu...
msalaba ni njia ya mbinguni kasema nani lete aya usiporoje salaba ni nembo ya maangamizi
Tatizo hamumfuati Yesu. Unaweza kuniambia kipindi cha Yesu, nani alikuwa mpigaji wa kinanda, nani alikuwa padri, nani alikuwa mwana kwaya na alisalisha lini hizo misa!?
Usipoweka mazowea uliyonayo kwenye imani nakuusoma vizuri uislamu ukauelewa, sidhani km utarudi tena kwenye ukristo
Kua mwislam
Allah Akupeumli murefu Nakupend kwaajil ya Allah
ruclips.net/video/SJgiIJFwhiU/видео.html
#Prophètekacouphilippe
Www.philippekacou.org
👆👆👆👆👆👆👆👆👆
18 Vema! Sasa ninataka kuzungumza juu ya sala, Ubatizo na kumaliza. Nimeona ndugu wakitoa pepo, wakipeleka kwa makanisa ya Katoliki, ya Kiprotestanti, ya Kiinjili na ya Wabranhaministi. Hii sio mbaya, lakini badala yake watume kwa kuzimu na maeneo ya ukame. Na hiyo ni kwa sababu ya watoto wa Mungu ambao bado wakifungwa katika makanisa hayo. Na unapoomba, usimwombe Mungu wa kihistoria bali Mungu aliye hai, Mungu wa nabii Kacou Philippe kwa sababu, Yeye ndiye Mungu wa walio hai na sio Mungu wa wafu. Ikiwa tutamwomba Mungu wa Eliya, wa Danieli, lazima tuthibitishe kuwa Yeye ndiye Mungu aliye hai wa wakati wetu, hiyo ni kusema Mungu wa nabii Kacou Philippe. Kila kitu lazima kiwe na alama ya Ujumbe wa wakati wetu: sala, nyimbo ... sio za Yesu wa Nazareti kwa sababu Yesu wa Nazareti anayejibu leo ni pepo. Alikuwa Yesu wa Nazareti katika mwili wa kibinadamu miaka 2000 iliyopita. Hii ndio sanamu na sanamu ambazo hazihami! Na miungu ya makanisa haya iko katika Nazareti na wote huitwa Yesu Kristo wa Nazareti. Unaona? Lakini, yeye ndiye Mungu aliye hai leo, Mungu wa wakati wetu, Mungu wa nabii Kacou Philippe.
Maa shaa Allah Allah akutangulie katika safar yako sheikh mazinge
Ameen
Allah akuhifadh n kila lenye shar uende xalama urud xalama.. Kwa mnafanya kaz ngumu Allah awajaalie pepo mashekh wetu
othman mazinge steringi wa makafirii mungu akueke ishaaallaahh
Mungu akupe afya njema
Allah akuhifadhi sheikh mazinge na akupe umri mrefu wallah nakupenda kwa ajili ya Allah
Muda c mrefu Bwana Yesu atajidhihirisha tu
Hehe mngoje saana atakuja kuwakana
Tena amwijie huyuhuyu mazingeli akiwa kwenye mdahalo wake amuonyeshe yeye ndio uzima wa milele na kujugamba kutaisha ghafla
Allah Akuifadhi kwakila hatuwa ALLAHUMMA Amiin
YESU ndiye mwokozi. Atarudi kuwahukumu wazima na wafu. Mwamini Leo uepuke jehanam.
Tena asome Yohana:4:1-16
Ahahahahahaaa
Ahahahahahaaa
Kabisa
Mtachomeka Sanaa nyie
ALLAH akufanyie wepes kipenzi cha MOYO WANGU... NAMUOMBA ALLAH akusahilishi JANNATU FIRDAUS
Mashetwan wakubwa nyie unafik tyyuuuuuuu....na uchaw
@@jonasyohana3258 shwetwani nihuyo uliyo mfunika suruali mungu akudhalilishe duniani na akhera firauni wewe
@@aishaarusha894 firaun ni hicho ulichokifunika na sket.....mbwa kasoro mkia ww
@@jonasyohana3258 mbwa baba ako firaauni heshimu dini za watu nyooooooo ukome kututukana habith kacheze segele kanisani kiama utacheza kwenye moto laana allah akudhalilishe kwa maradhi inshalllah
Assalam aleykhum warahmatullah wabarakatuh... Namuomba Allah akuongoze katika utowaji wako wa dawa, namuomba Allah akurahisishie kazi zako ziwe zahisi.. kwako sheikh mazinge...naomba ukitoka safari yako nipate updates na mm inshaallah Ameeen.
Maashallah safari ya kheri ya Ustaadh...
Allah sw awajalie pepo ya juu ya firdaus
Maashallah Allah akulinde na mazalim uwende salama na urudi salama lnshallah ❤️❤️
Mashaa allah tabarakallah jazzakallahu kher
Allah akudhidishie umli weny vitendo maqbul Allah akuhifadhi tudhidi kunufaika na elmu yako sh Othuman Mazinge
We ostazi acha uongo
Amiin
Maasha Allah ma sheikh wetu wote Mwenyezi Mgu awalinde na kila shari,awaongoze awape afya njema, umri mrefu awalipe kila lililo la kheir wao na ummati Mohammad (SAW)
MashaAllah. Great job
Karibu kwetu Burundi ALLAH Akujaliyeni inshallah
Ustadh mazinge upo sw Allah akujaalie uendako
P
Amina allah awajaalie kila lilojema wenu katika iman abdallah juma nikiwa arusha
Allah akupeleke salaam na akurudishe salaam,na maswali yote utakao ulizwa akuwezeshe kuyajibu vzr,karibu kwetu burundi.Na twakuombea Allah azidi kukuhifadhi na akujalie mwisho mwema sheikh wetu
Amiin
Amiiiiiiiiiiiiiiiiin allahumma amiiin
Amiiiiiiiiiiiiiiiiin allahumma amiiin
Mwenyezi mungu akujaalie inshaallah katika Safari shee wetu 🙏🏻
Amen..
Allah awafanyie wepesi..
🙏🙏
Mashaalah.M/MUNGU nakuomba muweke shekhe mazinge kwakutuokolea dini yetu ya kiisilamu
Karibu kwetu 🇧🇮ALLAH akuhifadhi from🇨🇦
Naam Allah amfikishe nyumbani 🇧🇮 Salama inshallah
@@Masta_jay007 naam shukuru shukuru allah
Shukraan Sana sheikh wetu Allah akupe jannat firdaus Aamiin
Allah akujalie umri mrefu sana na tareh 25 uwafundishe wachungaji waweze kuslimu waache kuambudu masanamu
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako
Mazinge wallah Mwenyezi Mungu akuongezeye umuli Mimi ni mu Tanzania nilizalia Uganda hilo onalolisema ni kweli ksse kanisa iligeuzwa muskiti kwanza ksse bwela ni wanyamwezi
Mznge Allah Akulinde na Akuepushe na mabaya ya dunia na ya kaburn wallah Tena Mungu Akupe pepo ya juu kabsa inaniuma Sana pale ninapo fikiria ukfa Nani Atakae kava hii nafas yako Allah Atuandalie mtu kama ww
Inshallah shehhe utaenda salama na utajibu kwa usahihi na utarudi salama inshallah
MashaAllah MashaAllah Allah amfanyiye wepesi sheikh wetu kwakila zito
Allah aendelee kukupa Umri mrefu Mwalimu Mazingi❤
Insshaallah sheikh Mazinge Allah akujaalie kheri katika safari yako na kwa kazi utakayoifanya iwe na mafanikio makubwa. AMIYN.
Allah akupeleke salama na urudi salama In sha Allah
Mashallah sheikh wetu tunakupenda Kwa ajili ya Allah🙏
Achem unafik....kaz yenu uchawi na uganga
@@jonasyohana3258 hahahaaa uchawi wanafanya wachungaji sema kwelii
Ishalla hery shehe wetu M/Mungu akusmamiye ktk safar zako akuhfadh km alivo mhifadh nabii IRAHMU Amina tunakupenda Kwa ajili ya Allah
Amin
Karibu Burundi Bujumbura tutafurahi sana tupe, dawa1isram
Àamiin Ya Rabby Àamiin, Allah Awape Umri Ma Sheikh, Mzidi Kuelimisha.
Amiin sheikh
@@adamsaidi6461 Àamiin.
Eti Issa alikuwa maskini eti ukifa hakuna atakae tetea dini ndugu huo ni upuuzi .Mungu akusamehe
Allah akupe umri mref uendelee kutukumbusha inshaallah
,kwaza nimuombe mwenyezimungu msamaha pamoja na waislam wezang wote nilitoa kauli mby ile siku shehe wakimponda shehe ponda juu ya uchaguzi ila nimejua nilikosea maana hakuna kazi Bora kama yakumtumikia alla muumba ardhi na mbigu kwapamoja waislam wote tumuombe mungu amjalie shehe wetu afike slm arudi Salam kwaajili ya alla
Amiin Amiin Amiin Yaa Rabbal-aalamiin
Mm binafsi ninekusamehe inshaallah
Yesu anakuita ---mt 11:28
@@paschalmgika7074 z
Zuchu
Mungu akupe maisha malefu
Sii vyema jinsi alivyoharibu Nairobi ,kenya ni nchi nzuri allah akusamehe shekeih
Shekhe kalibu nn Nairobi?
Kaharibu nini huko Nairobi? Angalia usimsingizie utapata dhambi!
Mungu akupe umri mrefu shekhe wetu tupate matunda yako
Masha Allah sheikh wngu nakuombea kheir na nguvu teleeeee
Mungu akusaidie mwalimu wangu
Inshallah sheikh mazinge mungu akuoeleke salama ukaifanye kazi ya all,na ujira wake allah ndio ajua zaidi atakuzawadia nini,ya rabbi,
Allah akufanyie wepesi mère wakiisjamu insha'allah❤
inshaAllah ya ALLAH mpe maisha marefu mwalimu wetu Habib mazinge InshALLAH na mola wutu akuongoze popote uendapo na akulide na maasidi na ushinde kwaajili ya ALLAh AMIN AMIN inshALLAh
Mwenyezi mungu akutangulie sheikh wetu mungu awe pamoja nawe akujaalie uende salama akujaalie pia urudy salama sheikheh salama na amani iwe nawe
Amiin amiin amiin ya Rabii jalia duwa maqbul 🙏🏻
Mashaaallh allh akufikishe salama
Allah akupe wepesi wakujibu maswali na atupe ushindi inshaallah awahidhi maadui zako 🤲🤲🤲yarabby takabal dua
Mwenyezi MUNGU azidi kumulinda Ust mazinge yeye ndio chanzo ya imani yangu nilizaliwa kwenye ukristo na mm n Muslim kwa mda sasa mwaka kumi🙏🙏
Allah akufanye wepes kwa dini ya kislm naurud salam...Ameen on sha Allah
Allah akulinde shekhe wetu mazinge
Allah akueleke salama na akurudishe salama na akupe ushindi insha Allah
اجعل الله رحلتك مثمرة وناجحة. بارك الله فيك وعائلتك يا أمين.
Allah atulinde na msheikh wetu ukiwemo na ww sheikh wetu sheikh Habib Mazinge
Nimezaliwa ukristo nitafia ukristo".kamwe sijawahi kutukana Imani ya mtu Wala sijawai mkanya mtu juu ya Imani yake,ila sitovumilia yeyote mwenye kudharau Imani ya mwwnzake.
Nipo kwa mfano wake aliye ndani yake kwa uwezo wake kanifanya niwe kama yeye na kamwe sitoshindana naye.
Hzo aya amesoma kwenye bible gain??? Mbna hazjaandkwa hvo jmn,,yesu ni bwana na mwokoz wa maisha yangu
Waefeso 6:5
Allah akufanyie wepesi ktk safari yako
Amini nawaambia anaye mkana yesu amemkana na Mungu .YOHANE 14:6 YESU AKAMWAMBIA ,MIMI NDIMI NJIA,YA KWELI,NA UZIMA;MTU HAJI KWA BABA, ILA KWA NJIA YA MIMI.
Wewe ndo unaemkana Yesu, waislam wanamjua zaidi Yesu na tunamuami sana lkn ni mtume wa Mungu na si Mungu. Mana hajawahi kusema yy ni Mungu wala Mungu hajasema kuwa yesu ni Mungu.
Wewe ndo unaemkana Yesu, waislam wanamjua zaidi Yesu na tunamuami sana lkn ni mtume wa Mungu na si Mungu. Mana hajawahi kusema yy ni Mungu wala Mungu hajasema kuwa yesu ni Mungu.
@@samxx411 kama unamwamini yesu inatosha na uishi maisha ya kumpendeza yeye na wanadamu piah isiwepo neno lolote la kulaumiwa kutoka kwako.
Yesu ni njia kwa aliyotumwa Kwao (Yale makabila12 ya Bani Israel)
TUNAKUKARIBISHA BURUNDI 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮❤️❤️❤️ALLAH AKUWEKEYE WEPESI UENDE KWAUSALAMA UFIKE KWAUSALAMA TUOMBEYE DUA IWE INCHI YA AMANI
Nakuombea kila la kheri akhii Mazinge ,Allah akulinde na balaa zote za dunia na afanye kazi yako ya da'awa iwe nyepesi uende na urudi salama aammin nakutakia kila la kheri from Mombasa
Mashallah Allah akufanyie wepesi safari yako Inshallah uende salama urudi salama Inshallah
Wallahi Mazinge anaejuwa kudeal na wanaoipinga dini yetu
Yesu ndio njia ya kweli na uzima bila yesu mbingu sahau
Soma ndugu yangu
Mr ramadhani nipe tafsiri kutoka Quran 3:55 je wewe usiemfuata yesu fungu lako ni lipi
Allah akulinde na atujaalie mwisho mwema atupunguzie adhabu
I love u Mazinge
Karibu kwetu sheikh Allah akufikishe Salama inshaAllah