Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

DEBATE | Sheikh Mazinge Jibu Yesu ni Mungu au ni mwana wa Mungu

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2021
  • Tazama sheikh Mazinge alivyowagaragaza wathabato

Комментарии • 185

  • @mwanahamis5487
    @mwanahamis5487 2 года назад +19

    Mungu tuwekee mazinge.. Kiboko ya makafiri

  • @hajathhajiselemani3019
    @hajathhajiselemani3019 2 года назад +13

    Mashallah sheikh wangu nimpendae kwa ajili ya Allah,,,,sheikh mazinge I love you from the moon and at the back sheikh

  • @hassanmohamedi7585
    @hassanmohamedi7585 2 года назад +10

    Mashaallah sheikh Mazinge mwenye mungu akupe umrii mrefu uendelee kuitangaza Dini haki na ya kweli hakika mkristo mwenye ufaham na kujua baya na zuri akikuskilza atajua kweli ni ipi

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 года назад +16

    This time around professor Mazinge we are watching you from Lusaka zambia, it's very interesting professorجغق ،you making us feel okay, you make us grow in loving Islam

  • @hassansumera7818
    @hassansumera7818 2 года назад +11

    Professor toa lecture wataelewa tu. Allah akupe umri mrefu tuendelee kunufaika zaidi kizazi Hadi kizazi.

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 года назад +9

    Mazinge Allah akupe umri mrefu na hekma ya kupambana na hawa makafiri

  • @issmuking3987
    @issmuking3987 2 года назад +14

    yaaan mazinge wallah nakupenda kwa ajili ya Allah

  • @omarjeylan4113
    @omarjeylan4113 2 года назад +13

    MashaAllah TabarakaAllah i love this professor, i remember watching him since 1996 in mombasa Kenya when he use to come, Allah anijaliye to invite him n to be my VIP guest.

  • @kochantv8554
    @kochantv8554 2 года назад +7

    Wallah Dr mazinge nakupenda kwa Ajili ya Allah🙏

  • @bahatisaid5435
    @bahatisaid5435 2 года назад +4

    MashaAllah tabaraka Allahu Akibr ❤️ mazige Allah akuhifazi wallah

  • @samxx411
    @samxx411 2 года назад +7

    Kama football, Mazinge ni Ronaldo na kama wrestling Mazing ni John Cena (Anajuwa hadi anakera) Mungu akuzidishie

  • @hassanounAbdul
    @hassanounAbdul День назад

    Mashaallah alhabib Ust.prof Othman Mazinge Allah akulipe kwa Kila utoapo na uvutapo pumzi yake ❤

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 2 года назад +6

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH

  • @fatumamuya2139
    @fatumamuya2139 2 года назад +4

    Maa shaa Allah shukran wote mlioshiriki

  • @thomasalchannel1135
    @thomasalchannel1135 2 года назад +3

    Yesu Ni Mwana wa pekee wa Mungu;nasi Ni Mfano wa Sehemu za mwili wake kwa kuwa Yeye Ni kichwa nasi viungo.Waisilamu fahamuni Hilo.Yusufu Ni Baba Mlezi wa Yesu.Amin Amin

    • @jumanasoro8903
      @jumanasoro8903 2 года назад

      Hujitambui

    • @fatumabakari1480
      @fatumabakari1480 2 года назад

      Mung amezaaa Wap broo Thom😂😂😂

    • @hadiyamohamed594
      @hadiyamohamed594 2 года назад

      Yesu ni binadamu kama mimi na wewe slivyoubwa ila kspewa unabii .

    • @thomasalchannel1135
      @thomasalchannel1135 2 года назад

      Mungu hazai kwa mwanamke huzaa kwa NENO.Kabla ya misingi ya Dunia(Issa) apo na Mungu Baba

    • @athumanzahir8316
      @athumanzahir8316 2 года назад

      Nyie mnabisha waislam hawampend yesu

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 2 года назад +11

    MAZINGE wallahi Allah akubariki Sana!

    • @salumunanguva9127
      @salumunanguva9127 2 года назад

      Mazinge

    • @hirammbugua7593
      @hirammbugua7593 2 года назад

      kwanini mazinge ndiye anaongea tu na ni kuongea na kujibu.waislamumko na ujanja furani.

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 2 года назад +2

    Mashaallaah Allah ukupe umli mlefu shekh wangu mazinge na a2pe mwisho mwema inshaallah

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 2 года назад +8

    Masha allahy Baba mazinge Wamekuelewa

  • @NadhiraNa-vm5hs
    @NadhiraNa-vm5hs Месяц назад +1

    Mashaallah mazinge Allah akujaalie uhai mrefu wenye manufaa kwetu nakwako pia

  • @deqamoha7001
    @deqamoha7001 2 года назад +10

    Umewaosha Hawa mazinge

  • @mchopaluka4319
    @mchopaluka4319 2 года назад +2

    Yesu ni Bwana, ni Mungu ni mwana ni mtume ni Mchungaji ni mwalimu na yote katika yote

  • @ahmedabdirustu2193
    @ahmedabdirustu2193 2 года назад +2

    MashaAllah sheikh Mazinge barakallah, unaeleweka kabisa, Anaye taka haki, Haki hii hapa.

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 2 года назад +5

    Ndacha Kaa chini kabla hujakutana na mazinge huwezi kumshnda mazinge maana anatetea dini ya haki

  • @MkBoneface-dl4hn
    @MkBoneface-dl4hn Год назад

    Allah akujalie maishabora duniani Na ahera profeca mazinge

  • @maherzain615
    @maherzain615 2 года назад +2

    Allah akupe afya na umri mrefu professor

  • @nassarrostom1919
    @nassarrostom1919 2 года назад +7

    Mazinge unatetea dini ya Allah ❤❤

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      Mungu wetu sisi hana dini,yeye huiangalia lmani ya mtu juu yake tu.
      Dini ni Mpango wa MWANADAMU ili kumtafuta MUNGU.
      Mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU tu!!

    • @nassarrostom1919
      @nassarrostom1919 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 ivi mpaka Leo ujui dini gani ya kweli,? Polee

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@nassarrostom1919 Kwa Mungu hakuna dini,kuna Imani.
      Imani ya kwanza duniani ni Christianity.
      Ukristo upo duniani toka miaka ya 200,na hiyo dini yako imeanza miaka ya 600.
      Labda nikupe definition ya Dini;
      DINI ni mpango wa mwanadamu ili kumtafuta MUNGU,lakini mpango wa MUNGU kumtafuta mwanadamu ni WOKOVU..
      Sasa Ukristo siyo dini ni IMANI,sasa wewe kama unadhani dini yako itaku fikisha MBINGUNI,wait and see👀.
      Imani ni AMANI na UPENDO lakini dini ni VITA na CHUKI kati ya wanadamu,mna tabia yenu kwenye hiyo unaayoiita dini ya kweli,kuua watu wasio na hatia eti ndio unaenda ahera. Wonderful!!!
      Eti uue mtu uione mbingu mbona ni formula ngumu ya kishetani??
      Badilikeni Mungu anaangalia IMANI ya mtu na matendo yake,pia jinsi mtu anavyozishika Sheria na Amri alizoweka tu.
      Hayo mengine ni yenu watu wa dini.

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@nassarrostom1919 problem is that Mungu hana dini

    • @nassarrostom1919
      @nassarrostom1919 2 года назад

      @@editrudesmbonde9051 Kwani ukristo ni nini!

  • @tatumbaruku2727
    @tatumbaruku2727 Год назад

    Mashallah ustadh mazinge ,Allah akujaze afya njema uweze kuutetea uislamu daima.

  • @abdalaauame3863
    @abdalaauame3863 2 года назад +7

    Mazingue frofessa kwa waubir

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 2 года назад +3

    shekhe mazinge 🥰🥰🥰kiboko ya wakiristo

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 2 года назад +4

    Professional mazinge

  • @alilalila5035
    @alilalila5035 Год назад

    MA Sha. ALLAH. MAZINGE. ALLAH. AKUPE. AFYA. NA UZIMA Aameen

  • @missrukia9661
    @missrukia9661 2 года назад +5

    Mashallhaaa

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari5402 2 года назад +1

    Allah awalinde mashekhe wetu muzidi kupambana nao hao makafiri

  • @ngusacharles475
    @ngusacharles475 2 года назад +1

    Nakupenda Debate hii Sana Hawa jamaa wanaondoa chuki za Udini na ni faida kwa taifa,,letu.

  • @MkBoneface-dl4hn
    @MkBoneface-dl4hn Год назад

    Allah akubariki kwakazi kubwa unaifanya mazinge

  • @modinakshy6276
    @modinakshy6276 2 года назад +2

    Mashaallah inshaallah watafamu tu

  • @salehsuleiman8519
    @salehsuleiman8519 2 года назад +3

    She mazinge jinsi ninavokupenda nataman siku moja tuonane Allah akupe afya njema

  • @seifmziray2551
    @seifmziray2551 2 года назад +3

    Mashalakh

  • @huseinshedrack6180
    @huseinshedrack6180 2 года назад +6

    Hahahahahaha wallah asie kuelewa Mazinge huyo hana FIGO

  • @omargbabaomar2004
    @omargbabaomar2004 2 года назад +2

    Masha Allah sheikh mazinge

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 2 года назад +2

    Mashaallah shekhe mazinge

  • @rajabhamis8272
    @rajabhamis8272 2 года назад

    Mazinge Allah, akupe mwisho mwema na kauli thabiti,,

  • @delefantasticali8377
    @delefantasticali8377 2 года назад +1

    Mashaallah big bro mazige

  • @AliMohamed-ng5ps
    @AliMohamed-ng5ps 9 месяцев назад

    Mazinge mashaallah wafunze ❤❤❤❤

  • @leadyl5757
    @leadyl5757 2 года назад +1

    Yesu juuuuuu

  • @ahmedrashed7138
    @ahmedrashed7138 2 года назад

    Maashaallaah Allhamdullaah

  • @achanifumos1093
    @achanifumos1093 2 года назад +3

    Kwa nini inaharibika sauti pindi akismama bwana mazinge?????..

  • @bellimarwa5454
    @bellimarwa5454 2 года назад

    Amina

  • @halinishibakari5402
    @halinishibakari5402 2 года назад +1

    Vidume WA Allah.Allah awalipe.

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua7593 2 года назад +2

    kwangu mimi mazinge hana point. ni ujinga tu.

  • @mastermacheni932
    @mastermacheni932 2 года назад

    Yes yes yes yes

  • @user-en2gp3fb7m
    @user-en2gp3fb7m 8 месяцев назад

    Mazinge waeleweshe ma a na hawajui kiswahili

  • @Bimariam-qn2gm
    @Bimariam-qn2gm Год назад

    Download

  • @tinnoaugusto7779
    @tinnoaugusto7779 2 года назад +2

    Shida n kwamba Biblia Ina mafumbo mazito ambayo n magumu kuyaekelewa kirahisi... Shekeh anatafiri kilaini tu sio kitabu Cha hadhi hiko... Em fanyeni hiyo midahalo na watu waliosomea SoMo la Biblia takatifu sio na walio kariri tafadhali

    • @fatumabakari1480
      @fatumabakari1480 2 года назад +1

      We ndo huelew sa Ina mafumbo gan mnagusaa Gus tu mnaruka mambo

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 2 года назад +2

    Kwa nini anaitwa Issa Bin Mariam na asiitwe Issa Bin Yusuf? Kwa hiyo kwa mujib wa Qur'ani Mariam ni mama wa mtoto na baba wa mtoto? Kama ni hivyo Issa baba yake ni nani?

    • @ikabako2454
      @ikabako2454 2 года назад

      Na mie nnakuuliza Nabii Adam baba yake ni nani?

    • @fatumabakari1480
      @fatumabakari1480 2 года назад

      Isa amezaliwa bila baba😂😂

  • @mohamedhaji2200
    @mohamedhaji2200 2 года назад +1

    Itakua mapacha

  • @maukadekandege6617
    @maukadekandege6617 2 года назад

    Ila hii midahalo mnajichanganya sanaaa

  • @suleymanally4729
    @suleymanally4729 2 года назад +1

    Naon kuna mdada kasmama hapo hat haon haya najisket lake 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @suedahmadi9091
    @suedahmadi9091 Месяц назад

    Iko njia ionekanayo njema machoni pa mtu lakini mwisho wake ni njia za mauti

  • @fatumabakari1480
    @fatumabakari1480 2 года назад +1

    Akii nyiee tuwaombee ndug zetu makufar Allah awaongoze coz Ile itakapofika khalidiina fiha abaada n mtihan 😩😩😩🤲🙏

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 года назад

      Hivi wakristo ni ndugu zetu?. Nielimishe

  • @jumashabani8474
    @jumashabani8474 2 года назад +1

    Muone huyo dada alivyo vaa hata mshipa wa haya hana duuh au ndio Rohomtakatifu yumoyoni

  • @shabandamas1759
    @shabandamas1759 2 года назад +2

    Huyo mwanamke mbele hapo anafanyann

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      🤣🤣🤣🤸wahubir wa kikirsto

    • @ummuswaleh6550
      @ummuswaleh6550 2 года назад +1

      huyo mwanamke mwambieni aondoke hapo yupo uchi

    • @ummuswaleh6550
      @ummuswaleh6550 2 года назад

      mazinge tanga sehemu mpo?

    • @suleymanally4729
      @suleymanally4729 2 года назад

      @@heyumi2340 na mskert wake hata haya haoni 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anawap nguvu mapastor wao

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 2 года назад

      @@suleymanally4729 toka lini mwanamke wa kikitisto akawa na aibu 😂😂😂😂😂

  • @johnayanga9880
    @johnayanga9880 2 года назад +1

    Huna la kuamba si adi Quran iansema Isa alizaliwa bila baba

  • @CharoHarrison
    @CharoHarrison 6 месяцев назад

    Uislam dini ya shetani

  • @amblozambloz8812
    @amblozambloz8812 2 года назад

    Huyo mazinge mnafiki alihaidi kubatiza kama kuna Aya ukristo ni dini... Alipewa na kitu alichofanya ni kunyamaza kumblock mwalimu ndacha kila mahali ndio wasikutane naye kwa mtutano yeyote

  • @naimaabuualii578
    @naimaabuualii578 2 года назад +1

    Uyo mwanmke mm nilijua dume kumbe jike mwandishi au mchukua kamera t

  • @adammj6258
    @adammj6258 Год назад

    Hadi hapo bado tu hamstuki!!?

  • @kashindiidi8259
    @kashindiidi8259 2 года назад

    Debate ambazo ampost na za wa kristo! Ni vizuri mna post zote ili tujuwe oja

  • @nalingarowl7048
    @nalingarowl7048 Год назад

    Hubirini Quran,kama ww unajua, nenda Vatican ambapo ndicho kiini Cha ukristo

  • @editrudesmbonde9051
    @editrudesmbonde9051 2 года назад +1

    Mazinge unashangaza sana,yaani wewe na ushehe wako unashindwa kuelewa kuwa YESU ni Mungu??
    Hata wewe ni Mungu au hijui??
    YESU ni MUNGU na haibadiliki,na pia kwa utoto pia ni mwana wa MUNGU na hata wewe ni mwana wa MUNGU.
    Vyeo hivyo unavipata ukikubalika na MUNGU mwenyewe kwa kufuata amri na sheria za MUNGU.

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 2 года назад

      Sasa yesu kama ni mungu nani ku
      Kamuumba mama yake Mariam aca ujinga wewe tumikusha akili Mousa na yesu na kaja mbele

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@hamzafishten9560 Mjinga wewe usiyeijua KWELI ili ikuweke huru.
      Pmbvsnxsz👹😈👺🙀💀💩

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@hamzafishten9560 You don't know even writing.

    • @hamzafishten9560
      @hamzafishten9560 2 года назад +2

      You to u don't know what u believe wewe ni mswaili aca kijifanya kama wewe ni mzungu ongea kiswaihil kafiri wewe

    • @editrudesmbonde9051
      @editrudesmbonde9051 2 года назад

      @@hamzafishten9560 Kafiri atakuwa wewe,mwenye imani ya mashetani na malaika zake,kuzuri zaidi l know what l believe and end of my journey.
      So l don't care whatnyou'll say about my Faith,so get lost with your religion👹

  • @qerysir4410
    @qerysir4410 2 года назад

    Not impressive 🤪🤪