Mimi Mzanzibari ila nakuunga mkono umeongea vizuri kabisa Kaka Twaha Allah akulipe kheiri Tatizo ni kwamba Sisi Emu hawataki serikali 3 na wanaulinda Mungano kwa Nguvu za Dola ila ipo siku litabainika tu ama kuhusu Dada yangu Fatma Karume kusema Tundu Lisu ni mbaguzi hapo kidgo amekosea kwani Tundu Lisu anatetea sana kuwepo kwa serikali 3.
Mimi Mzanzibari ila nakuunga mkono umeongea vizuri kabisa Kaka Twaha Allah akulipe kheiri Tatizo ni kwamba Sisi Emu hawataki serikali 3 na wanaulinda Mungano kwa Nguvu za Dola ila ipo siku litabainika tu ama kuhusu Dada yangu Fatma Karume kusema Tundu Lisu ni mbaguzi hapo kidgo amekosea kwani Tundu Lisu anatetea sana kuwepo kwa serikali 3.
Tuachieni Zba yetu !!
WAZANZIBARI ANAZO AKILI TIMAMU, ILA WATANGANYIKA NI MISUKULE TU LINABURUZWA BURUZWA🤣🤣🤣
Wazanzibar..hasa..hawataki.muungano..isipokuwa.mnafosi.tu