SINTOFAHAMU KWENYE UCHAGUZI WA CHADEMA
HTML-код
- Опубликовано: 23 май 2024
- Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Mkoa wa Njombe, Rose John Mayemba, amewataka viongozi mbalimbali ndani ya chama hicho kudumisha nguvu na umoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.
Rose ameyasema hayo wakati wa uchaguzi wa viongozi wa Chadema Mkoa wa Njombe ambapo kulikuwa na sintofahamu wakati wa upigaji kura kuhusu suala la njama za kutaka baadhi ya viongozi kujitokeza.
😮😮😄😄😄😄
Mapandikizi yashafanya yao,yalipandwa kimkakati,😂
Hawa wanaiaibisha chadema wasenge sana sasa utofauti na ccm uko wapi
Hakuna asiye penda pesa hata huko chadema kuna wapenda pesa tu
Huuu ndio ukokomavu, hakuna mchezo
Mapandikizi yashafanya yao
Lazima sheria za chama zifuwatwe rushwa iwe mwiko ktk chama na wansoshindwa wakubali matekeo ndio uchaguzi Siri yake moja nje moja abaki kuwa kiongozi ktk watu