BREAKING: MAKONDA KUSIMAMISHWA UKUU WA MKOA ARUSHA KUPISHA UCHUNGUZI

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 10

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 24 дня назад

    Hawawezi kumpenda hao mafisadi wa CCM.

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 19 дней назад

    Hivi hakuna habari zingine ni Makonda tu.

  • @ernestmahodanga6495
    @ernestmahodanga6495 25 дней назад +1

    Wakimtoa chama kitakuwa hakina demokrasia

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 25 дней назад

    Na huyo Zubeda mnafiki mla rushwa fisadi mkubwa

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y 25 дней назад

    Mbona mwamuandama sanaa uyu kaka nyie jmn

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 25 дней назад

    Viongozi wote mnamchukia Makonda ni walarushwa .na mafisadi wakubwa .Makonda popote anaishi kwani uwongo .

  • @user-dy5fn6qj1q
    @user-dy5fn6qj1q 22 дня назад

    Mwacheni mnaingilia utashi wako wanaokereka na wanaopezwa Kuna walio wambia wapiga kura wakome kama walivyo koma kunyonya maziwa ya mama zaooo Kila mtuu ana mapungufu mwalimu J Nyerere aliwahi kuseme watanzania uchumi mnao. Mnaukalia waswaili tukadai katutukana ndivyo Duniani kulivyo tuvumiliane

  • @user-gb4el9uy2w
    @user-gb4el9uy2w 25 дней назад

    Tumechoka mbona aliongea mambo mengi kila siku habari ndio hiyo hiyo tuleteeni habari za maendeleo ya nchi yetu

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g 25 дней назад

    Tunafahamu km viongozi wengi mnamchukia makonda yani mnataka kumuona hana cheo. Wapo wanachama wa CCM wanatoa maneno ya hovyo hamuwachukulii hatua lkn kwa makonda imekuwa gumzo. Yani hata akijikita vp mnamuonea tu. Tatizo mmezoea ufisadi hamtaki kukosolewa.

    • @fredysiwale5413
      @fredysiwale5413 22 дня назад

      Wanajihami kwa kuhakisha makonda anaondoka ili asiwepo wa kuwaumbua maovu yao makonda ndio kidume kilicho baki ila kinabanwa na mafisadi