Mwacheni mnaingilia utashi wako wanaokereka na wanaopezwa Kuna walio wambia wapiga kura wakome kama walivyo koma kunyonya maziwa ya mama zaooo Kila mtuu ana mapungufu mwalimu J Nyerere aliwahi kuseme watanzania uchumi mnao. Mnaukalia waswaili tukadai katutukana ndivyo Duniani kulivyo tuvumiliane
Tunafahamu km viongozi wengi mnamchukia makonda yani mnataka kumuona hana cheo. Wapo wanachama wa CCM wanatoa maneno ya hovyo hamuwachukulii hatua lkn kwa makonda imekuwa gumzo. Yani hata akijikita vp mnamuonea tu. Tatizo mmezoea ufisadi hamtaki kukosolewa.
Hawawezi kumpenda hao mafisadi wa CCM.
Hivi hakuna habari zingine ni Makonda tu.
Wakimtoa chama kitakuwa hakina demokrasia
Na huyo Zubeda mnafiki mla rushwa fisadi mkubwa
Mbona mwamuandama sanaa uyu kaka nyie jmn
Viongozi wote mnamchukia Makonda ni walarushwa .na mafisadi wakubwa .Makonda popote anaishi kwani uwongo .
Mwacheni mnaingilia utashi wako wanaokereka na wanaopezwa Kuna walio wambia wapiga kura wakome kama walivyo koma kunyonya maziwa ya mama zaooo Kila mtuu ana mapungufu mwalimu J Nyerere aliwahi kuseme watanzania uchumi mnao. Mnaukalia waswaili tukadai katutukana ndivyo Duniani kulivyo tuvumiliane
Tumechoka mbona aliongea mambo mengi kila siku habari ndio hiyo hiyo tuleteeni habari za maendeleo ya nchi yetu
Tunafahamu km viongozi wengi mnamchukia makonda yani mnataka kumuona hana cheo. Wapo wanachama wa CCM wanatoa maneno ya hovyo hamuwachukulii hatua lkn kwa makonda imekuwa gumzo. Yani hata akijikita vp mnamuonea tu. Tatizo mmezoea ufisadi hamtaki kukosolewa.
Wanajihami kwa kuhakisha makonda anaondoka ili asiwepo wa kuwaumbua maovu yao makonda ndio kidume kilicho baki ila kinabanwa na mafisadi