TAZAMA MAAFISA BIASHARA ARUSHA WALIVYO BANANISHWA NA MAKONDA
HTML-код
- Опубликовано: 20 апр 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Makonda ni kiongozi sahihi sana kwa mkoa wetu wa Arusha. Sahihi sana. Tumwombee Mungu na kumuunga mkono.
Makonda hongera sana kwa kazi maana kuna watu tunawajua wanajiita ma engineers lakini elimu yao ukiitafakari unashtuka kwani hata akili zao za mkopo hawajielewi wanakuja mtaani anajikuta kumbe wa mchongo wachunguzwe elimu zao wengine labda wamepita kimiujiza maana hawaeleweki kabisa
Makonda na mzee mwanri, nawapenda saana
Makonda anaongea points sana
Makonda genius ..nyayo za Magu
Safi Sana mheshimiwa, together we can change Tanzania.
MAKONDA THE PRESIDENT NEXT TIME
Good teacher... MAKONDA BIG MAN 🦾
Huyu jamaa ni genius, Binafsi sijaridhishwa wataalam wa kuunga unga sana, technical know how haipo, watu hawajui hata nafasi zao zinahusu nini. Kwenye kutaja maeneo ya uwekezaji mtu anatoa history kweli?
makonda nilikua natamani uje Arusha hatimae imekua Mungu wa Mbinguni akulinde akufichena watu wote wabaya Amen 🙏🙏🙏🙏
Hapa hakuna kitu makonda ningekuja mimi nadhani ungenielewa maana mimi no form four then mmachinga wa mjini nina akili na uelewa kuliko hao certificate na degree, mara masters next time nakuja makonda utanielewa mimi mtoto wa kitaa ninayejua mvua na jua akili nipo smart
Wasomi wetu wengi ni wa vyeti tu hawana jambo , thinking capacity yao iko chini sana
Yani hakuna kitu hao ila ujanjaujanja tu hawawezi hata kujua wanachokifanya hapo ungemwita kijana wa mitaani angechambua ila mzee zero
Viongozi wa halamashauri ya arusha wamewekwa sijui na wajomba maana km kuna kujuana hapa maana hawajui kujieleza, wajibu wao hawajui, wana vitambi tu vya rushwa na kupenda totozzzzz😂😂😂😂
Makonda pita mjini kwenye maduka uone kodi na maduka zilivyo tofauti duka la mtaji wa milioni 3 analipa kodi sawa na mwenye duka la mtaji wa milioni 50 alafu akija k
Yaani kweli bado. Jamaa wanapigwa na bumbuwazi!
uyu jamaa anaakili kubwa sana Sema tu anafungwa mikono
Elimu ya Tanzania hiyo watu hawawezi kujieleza na hawajui wanachoongea
Uko vizuri
Una akili Sana kuheshimiwa🙏🙏
Safi sana
Hii system ya Tausi inawafanya hapo jamaa walale. Hawajui wajibu wao.
Elimu zero kbsa, yani mtu hajui uchumi. Analysis zero
Hiyo Ndio picha tosha, helimu ya Tanzania hakuna kitu, wengi wanaajiliwa kuganga njaa sio kutumia elimu Yao kutatua matatizo ya watu. Mama samia Mambo ni Bam Bam Bam.
Mimi nakuelewa sana watu wa Business tunafahamu
Makonda uko na point mm nakufatilia sana
Raisi mama samia mpe luksa makonda. Atumbue wote ..viazi ndio vimejaa almashauli. Akuna watendaji 😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢
Hahaaaa hilo neno kiaz limenikumbusha shulen mwal wetu wa English alikuwa analipenda
Am proud of my RC, mwamba kwelikweli
Iv ushuru wa magar c chanzo Cha mapato?
Mama Samia plz plz plz Rejesha Mh Agrey Joshua Mwanri
Mwanri mbunge wangu wa siha naomba kwa heshima ya wananchi mama mrudishe miaka 5 awanyooshe hawa vilaza
Tubadilike, as soon as mtu nanafungua business asigeuke kuwa adui wa government
Mazao
Makonda nakupenda sana
Wataalam kweli wamekuwa exposed. Pengine ni nchi nzima hivyo hivyo, hamna kitu. Tuko chini ya viwango. Asante sana mkuu wa mkoa wa Arusha. Endelea kuamsha viongozi.
Safi sana Makonda wewe ni Jembe huyu ni Kubini
inaonekana Arusha watendaji wa serikali ni wazuri tu ila walikuwa business as usual.....hawakuwa na dira wala self commitment individually.....ni bata tu....
Chemsha bongo
Do!?... Kwakweli uyo jamaa ni kiazi kabisa kalibia wote. 😢😢😢😅😅😅 . Raisi mama samia atuna wachumi kabisa kabisa. 🙏🙏🙏🙏🙏. Tanzania Nivigumu kupiga atua ukiwa na wasaidizi kama hawa..... na wapo serikalini.
Yani ingekuwa likes mtu mmoja zinaongezeka,ningekuwa na minya tu mpaka kidole kichoke
Wakati wa Bwana umetufikia Arusha.Damu ya Yesu izidi kukufunika kaka etu.
Tanzania simama nishuke
Wazungu wanaangalia namba ya wahitaji.. point hiyo wataalamu wanazidiwa na wanasiasa hivyo ndio maana sehemu nyingi mambo hayaendi
Fursa zipo ila hao matendaji ubongo wao umeganda, tunakuelewa makonda,
Haya sasa viongozi wababaishaji wanaunbuliwa Na Nakonda .hawatoshi Hawa, tunaomba tupewe watendaji Kazi sahihi wanaoweza Na kujua Kazi zako nje ndani.bila hivo utasubiri sana.nakumbuka Magu.tumechelewa sanaaaa
Aelewi kiswahili huyo bwana
Makonda oyee
Hawa watumishi wanakaba ofisini na matumbo yao tuuu na vinyonyozi tuuu hakuna kitu hapo afisi biashara hawezi kujierezee
Yn ningeomba viyoyoz vitolewe ofcn wajipepee kwa magazeti labda akili zitachangamka
Sio rahisi watu wakawa na akili au wazo moja kama lako, pia majadiliano yanakuwa na mawazo tofauti, mwishoni mnaamua Kwa pamoja mfuate lipi.
Vip we iman yako inakuonesha kwamba wataalam wetu wamejitosheleza vilivyo..??
@@allyhamic1255 Hapana. Ndio maana mwanzo niliandika kuwa ile ni chemsha bongo.
Kwa namna hii, huyu Makonda ataka kujifanya mjuzi mno. Hakuna atakateweza kumjibu, maana kila ukijibu hatosheki wala kukubali.
Sahihi kabisa.
Haya ndo madharau ya kukaa offcn khaaaa,rushwa nyingi Arusha viongozi wanapachikwa tuuu,
Mh,Makonda kauliza swali kwa muhusika kaona mapungufu nikuwekeza kwenyesahani, jamani mnawazia kula tu hamuazii mengine.
Makonda mbonaa umee letwaa jamani arushaa inaa mkuu wazee
Makonda kiongozi kweli
Vitu vya msingi sana mkuu wa mkoa anawastua maafisa biashara ila aisee nchi hii imelala mno kumbe ndio maana tunaibiwa wanachojua kuiba hela basi na kusumbua wananchi afsa ajui hata mkoa wanatumia kilo ngapi kwa mwezi example sukari au zao lolote,kuchachua wafanyabiashara ktk biashara zao ili waone utamu wa biashara na sio kuwaletea kero
MIJIZI HIMEWEKWA KATIKA VITI KUPIGA PESA ZA WANANCHI TU😂😂😂😂
Da makonda anafa sana sema atakaa sana apo ataamishwa tena.
Elimu ya bongo bana hovyo
Makonda 😢
Jamani siwalisema makonda ajasoma mbona anaongea vitu vya point kuliko wasomi
Wanasema ulaya ukitaka kumua mbwa ulaya unampa jina baya. Wale niwabaya wa makonda.jamaa Yuko vzur mno ila mtu akikuchukia lazima akupe jina baya mungu amtunze makonda
Ndio ushangee na wewe 🤷♀️🤷♀️mwezangu,mimi nachojua tu nihivi mtu mwenye uwezo au uwezo fulani hivi si rahisi watu wampende .
Yani bado
Nibola aseme sehem furani kunahiki na hiki tuwekeze eneo nikiasi gani na uitaji na fursa onyeshe ziko wapi niaibu kwa huyo Afisa anavyo jikanyaga
Daah huyu jamaa brain yake ya Ulaya tu ndo utakuta vitu kama hivo kujuwa hadi Chumvi inayotumika kila mwezi mpaka kwa siku😂😂😂
Demand ya watu kwanza
MUNGU Yuko nawe wachapishaji hao wanaongopa tu vitambi VYA wizi wanawalisha WATOTO wao Sumu MUNGU anawaona IKO siku mtoto wa maskn Hana HAKI Haha
Makonda wewe ni kichwa..tunafurah sana kuletewa mtu kama ww
Haw ndi watu wanaotuinea wajasiriamal
The know nothing
Mazao Matunda jamani Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂
Watu wako shaloo mbaya sijui nafasi wanapataje
KWA Hili tunazidiwa hata na jirani zetu inaonekana hakuna mkakati wa uchumi kuvuna dola zipo inje inje ni mipongo tu hawaja elezea kiukamilifu
Hatuna watendaji wenye uwezo. Wanafanyakazi bila utafiti.
Kweli uelewa kuhusu uchumi ni shida hao ndio wataalamu wenye vidato mh makonda mwote mh kishimba, msukuma, ja pipo na moo. wa Simba hao watakuambia mambo yote ya uchumi sio hao wataalamu wKo
Hiii swalq uwekezaji watu wa prevents secter ndo wanaelewa
Waongee huko huko maofisini wasije mitaani. Waweke mifumo na wasimamie. Kisha waulize kero za mifumo basi
MKUU Arusha DC WANA kipato Cha msitu na waterfall na Arusha DC hapigi greda barabara za kata tembelea hizo kat
Makonda unafaa kuwa Rais kama kwel unaongea kutoka moyoni
Sijamuelewa Rc.Haya anayataka kutoka kwa viongozi wa aina gani?
❤😅😅😅
Huwezi kumuelewa shule ulikuwa unasinzia na kula visheti😂😂😂
@@GibsonNtamamilo😂😂😂😂 niachie mbavu zangu shulen alikuwa anakula visheti Yesu wangu
Mi naona hata maafsa elimu kilimo waangaliwe jamani maafsa afya
Wabeja namala
Walioajiriwa kwenye nafasi kubwa na vyeo nagundua hawajui kitu kbsaaa japo ni wasomi ila hawa wa chini hata vyeo hawajapewa wanajua kukokotoa haswa na vyeo hawapewi sasa mtaaibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tumeluhusu wajinga kutufundishiae watoto wetu Safi sana makonda
Kudadeeekii😂
Kwa maelezo hayo muekezaji awekezi
Kumbe tatizo elimu walikosomea. Basi mwekezaji awekeze mifumo ya elimu
Jama anatoa macho tu 😅
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuu tembelea viwanda vilivyobinafsishwa uone waliofilisi na walioendelez
Makonda sasa usipoangalia utakuwa unakimbiwa na watendaji maana maswali yako yanawatamanisha kwenda chooni maana asije akajikuta anapambana swali lako kaka uliza maswali yanayo endana na watendaji ma mbumbu mbu
😂😂
Uko vizuri sana
😂😂😂😂😂 eti uliza maswali yanayoendana na umbumbuu ila nimegundua watendaji wengi Mungu awasaidie nacheka hapa kama sijielew
😅😅😅😅😅
Awe wazili mkuu 2025
Wachumi wanaogopa hata kujitokeza
Makonda, wachumi wanakuambia sahihi ila wewe unalojibu lako ambalo lipokichwani hautaki kusikiliza.
😂
MAKONDA MKOMBOZI WA TAIFA TU PAMOJA NAWE MUNGU AKUTANGULIE
MKUU wachumi ni kwazo kwa maendeleo
Ajira za krosi krosi mtu lilifeli form four anapewa kazi kiujanjaujanja
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nacheka sijui nacheka nini😀😀🤣jamaa anasema anamatangazo ana tausi alafu uyo tausi hajaanzisha bali naataka kuanzisha hahahahah duu
😅😅😅😅
@@ziddyziddy2524 tanzania mfumo wa ufanyaji kazi mbovu mno
Arusha wamejaa matape haswa pole mkuu
Makonda hakuna wasomi hapo ni blablaa tuuuu.
Kigezo cha kua Rais ni kipi kwani? Muda utaamua
We hukion au😂😂😂😂😂😂😂😂unamakusud wewe
Watakuaje na akili wakati hapo wamewekwa tu kisa mjomba alikuaga hapo
Hapo sasa.yani wakiulizwa kuhusu ilo utaona jinsi walivyochomokezwa🤣🤣🤣
Afrika vikapu vya Afrika viiwe bora kwa wageni nakupa mtaji
Kofia za mkeka masai wawe burudani na utamaduni wa Tanzania
Uko sahihi ni kweli Wananchi hawana elimu ya mfumo