TAZAMA MAAFISA BIASHARA ARUSHA WALIVYO BANANISHWA NA MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 20 апр 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 148

  • @edwinemanuel5137
    @edwinemanuel5137 Месяц назад +9

    Makonda ni kiongozi sahihi sana kwa mkoa wetu wa Arusha. Sahihi sana. Tumwombee Mungu na kumuunga mkono.

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад +1

    Makonda hongera sana kwa kazi maana kuna watu tunawajua wanajiita ma engineers lakini elimu yao ukiitafakari unashtuka kwani hata akili zao za mkopo hawajielewi wanakuja mtaani anajikuta kumbe wa mchongo wachunguzwe elimu zao wengine labda wamepita kimiujiza maana hawaeleweki kabisa

  • @ismailradjabu3871
    @ismailradjabu3871 Месяц назад +3

    Makonda na mzee mwanri, nawapenda saana

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад +7

    Makonda anaongea points sana

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад +8

    Makonda genius ..nyayo za Magu

  • @joycmsokile9220
    @joycmsokile9220 Месяц назад +2

    Safi Sana mheshimiwa, together we can change Tanzania.

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Месяц назад +3

    MAKONDA THE PRESIDENT NEXT TIME

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt Месяц назад +1

    Good teacher... MAKONDA BIG MAN 🦾

  • @KiongoziMwandamizi
    @KiongoziMwandamizi Месяц назад +1

    Huyu jamaa ni genius, Binafsi sijaridhishwa wataalam wa kuunga unga sana, technical know how haipo, watu hawajui hata nafasi zao zinahusu nini. Kwenye kutaja maeneo ya uwekezaji mtu anatoa history kweli?

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Месяц назад

    makonda nilikua natamani uje Arusha hatimae imekua Mungu wa Mbinguni akulinde akufichena watu wote wabaya Amen 🙏🙏🙏🙏

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад +2

    Hapa hakuna kitu makonda ningekuja mimi nadhani ungenielewa maana mimi no form four then mmachinga wa mjini nina akili na uelewa kuliko hao certificate na degree, mara masters next time nakuja makonda utanielewa mimi mtoto wa kitaa ninayejua mvua na jua akili nipo smart

  • @abdulazizhabib4581
    @abdulazizhabib4581 19 дней назад

    Wasomi wetu wengi ni wa vyeti tu hawana jambo , thinking capacity yao iko chini sana

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 Месяц назад +6

    Yani hakuna kitu hao ila ujanjaujanja tu hawawezi hata kujua wanachokifanya hapo ungemwita kijana wa mitaani angechambua ila mzee zero

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад +1

    Viongozi wa halamashauri ya arusha wamewekwa sijui na wajomba maana km kuna kujuana hapa maana hawajui kujieleza, wajibu wao hawajui, wana vitambi tu vya rushwa na kupenda totozzzzz😂😂😂😂

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад +1

    Makonda pita mjini kwenye maduka uone kodi na maduka zilivyo tofauti duka la mtaji wa milioni 3 analipa kodi sawa na mwenye duka la mtaji wa milioni 50 alafu akija k

  • @asongwa2007
    @asongwa2007 6 дней назад

    Yaani kweli bado. Jamaa wanapigwa na bumbuwazi!

  • @filexgallas3562
    @filexgallas3562 Месяц назад +3

    uyu jamaa anaakili kubwa sana Sema tu anafungwa mikono

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Месяц назад +4

    Elimu ya Tanzania hiyo watu hawawezi kujieleza na hawajui wanachoongea

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it Месяц назад

    Uko vizuri

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta Месяц назад +3

    Una akili Sana kuheshimiwa🙏🙏

  • @mapinduzisylvester1903
    @mapinduzisylvester1903 Месяц назад +5

    Safi sana

  • @godsonprosper6657
    @godsonprosper6657 Месяц назад +2

    Hii system ya Tausi inawafanya hapo jamaa walale. Hawajui wajibu wao.

    • @riazshaikh8577
      @riazshaikh8577 19 дней назад

      Elimu zero kbsa, yani mtu hajui uchumi. Analysis zero

  • @danielshimora5315
    @danielshimora5315 Месяц назад +1

    Hiyo Ndio picha tosha, helimu ya Tanzania hakuna kitu, wengi wanaajiliwa kuganga njaa sio kutumia elimu Yao kutatua matatizo ya watu. Mama samia Mambo ni Bam Bam Bam.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад +3

    Mimi nakuelewa sana watu wa Business tunafahamu

  • @-ef3wr1087
    @-ef3wr1087 Месяц назад +1

    Makonda uko na point mm nakufatilia sana

  • @PeterStephen-on4zz
    @PeterStephen-on4zz Месяц назад +3

    Raisi mama samia mpe luksa makonda. Atumbue wote ..viazi ndio vimejaa almashauli. Akuna watendaji 😮😮😮😮😮😮😮😢😢😢😢😢😢

    • @banguha
      @banguha 28 дней назад

      Hahaaaa hilo neno kiaz limenikumbusha shulen mwal wetu wa English alikuwa analipenda

  • @user-bl1tx8fc9v
    @user-bl1tx8fc9v Месяц назад

    Am proud of my RC, mwamba kwelikweli

  • @bwakiismail126
    @bwakiismail126 Месяц назад +2

    Iv ushuru wa magar c chanzo Cha mapato?

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 29 дней назад

    Mama Samia plz plz plz Rejesha Mh Agrey Joshua Mwanri

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад

    Mwanri mbunge wangu wa siha naomba kwa heshima ya wananchi mama mrudishe miaka 5 awanyooshe hawa vilaza

  • @dennischarles8524
    @dennischarles8524 Месяц назад +2

    Tubadilike, as soon as mtu nanafungua business asigeuke kuwa adui wa government

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад +1

    Mazao

  • @user-ub2sm5vy2z
    @user-ub2sm5vy2z Месяц назад

    Makonda nakupenda sana

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Месяц назад

    Wataalam kweli wamekuwa exposed. Pengine ni nchi nzima hivyo hivyo, hamna kitu. Tuko chini ya viwango. Asante sana mkuu wa mkoa wa Arusha. Endelea kuamsha viongozi.

  • @nkondokubini7618
    @nkondokubini7618 Месяц назад

    Safi sana Makonda wewe ni Jembe huyu ni Kubini

  • @georgemwakalindile687
    @georgemwakalindile687 20 дней назад

    inaonekana Arusha watendaji wa serikali ni wazuri tu ila walikuwa business as usual.....hawakuwa na dira wala self commitment individually.....ni bata tu....

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Месяц назад +2

    Chemsha bongo

  • @PeterStephen-on4zz
    @PeterStephen-on4zz Месяц назад +2

    Do!?... Kwakweli uyo jamaa ni kiazi kabisa kalibia wote. 😢😢😢😅😅😅 . Raisi mama samia atuna wachumi kabisa kabisa. 🙏🙏🙏🙏🙏. Tanzania Nivigumu kupiga atua ukiwa na wasaidizi kama hawa..... na wapo serikalini.

    • @georgemwakalindile687
      @georgemwakalindile687 20 дней назад

      Yani ingekuwa likes mtu mmoja zinaongezeka,ningekuwa na minya tu mpaka kidole kichoke

  • @imeldamatemu-gg9rl
    @imeldamatemu-gg9rl Месяц назад

    Wakati wa Bwana umetufikia Arusha.Damu ya Yesu izidi kukufunika kaka etu.

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад +1

    Tanzania simama nishuke

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад +1

    Wazungu wanaangalia namba ya wahitaji.. point hiyo wataalamu wanazidiwa na wanasiasa hivyo ndio maana sehemu nyingi mambo hayaendi

  • @neemamwanga5447
    @neemamwanga5447 22 дня назад

    Fursa zipo ila hao matendaji ubongo wao umeganda, tunakuelewa makonda,

  • @SonitajoseDonita-tm5ex
    @SonitajoseDonita-tm5ex Месяц назад

    Haya sasa viongozi wababaishaji wanaunbuliwa Na Nakonda .hawatoshi Hawa, tunaomba tupewe watendaji Kazi sahihi wanaoweza Na kujua Kazi zako nje ndani.bila hivo utasubiri sana.nakumbuka Magu.tumechelewa sanaaaa

  • @mteulenyotamchana2623
    @mteulenyotamchana2623 Месяц назад +1

    Aelewi kiswahili huyo bwana

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj 26 дней назад

    Makonda oyee

  • @SaidKinyota
    @SaidKinyota Месяц назад +1

    Hawa watumishi wanakaba ofisini na matumbo yao tuuu na vinyonyozi tuuu hakuna kitu hapo afisi biashara hawezi kujierezee

    • @banguha
      @banguha 28 дней назад

      Yn ningeomba viyoyoz vitolewe ofcn wajipepee kwa magazeti labda akili zitachangamka

  • @ajmstationery6157
    @ajmstationery6157 Месяц назад +2

    Sio rahisi watu wakawa na akili au wazo moja kama lako, pia majadiliano yanakuwa na mawazo tofauti, mwishoni mnaamua Kwa pamoja mfuate lipi.

    • @allyhamic1255
      @allyhamic1255 Месяц назад

      Vip we iman yako inakuonesha kwamba wataalam wetu wamejitosheleza vilivyo..??

    • @ajmstationery6157
      @ajmstationery6157 Месяц назад

      @@allyhamic1255 Hapana. Ndio maana mwanzo niliandika kuwa ile ni chemsha bongo.

  • @Nedjadist
    @Nedjadist Месяц назад +1

    Kwa namna hii, huyu Makonda ataka kujifanya mjuzi mno. Hakuna atakateweza kumjibu, maana kila ukijibu hatosheki wala kukubali.

  • @user-tk4ej5hx2q
    @user-tk4ej5hx2q 3 дня назад

    Haya ndo madharau ya kukaa offcn khaaaa,rushwa nyingi Arusha viongozi wanapachikwa tuuu,

  • @gideonibatangaki1317
    @gideonibatangaki1317 Месяц назад

    Mh,Makonda kauliza swali kwa muhusika kaona mapungufu nikuwekeza kwenyesahani, jamani mnawazia kula tu hamuazii mengine.

  • @mohamedalidarabunyange4879
    @mohamedalidarabunyange4879 Месяц назад +1

    Makonda mbonaa umee letwaa jamani arushaa inaa mkuu wazee

  • @SanareLaizer-en5it
    @SanareLaizer-en5it Месяц назад

    Makonda kiongozi kweli

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 Месяц назад

    Vitu vya msingi sana mkuu wa mkoa anawastua maafisa biashara ila aisee nchi hii imelala mno kumbe ndio maana tunaibiwa wanachojua kuiba hela basi na kusumbua wananchi afsa ajui hata mkoa wanatumia kilo ngapi kwa mwezi example sukari au zao lolote,kuchachua wafanyabiashara ktk biashara zao ili waone utamu wa biashara na sio kuwaletea kero

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 27 дней назад

    MIJIZI HIMEWEKWA KATIKA VITI KUPIGA PESA ZA WANANCHI TU😂😂😂😂

  • @nathanmmasi3890
    @nathanmmasi3890 Месяц назад

    Da makonda anafa sana sema atakaa sana apo ataamishwa tena.

  • @khadjiedson5954
    @khadjiedson5954 Месяц назад

    Elimu ya bongo bana hovyo

  • @mohamedalidarabunyange4879
    @mohamedalidarabunyange4879 Месяц назад

    Makonda 😢

  • @ShamimuJuma-fs5oe
    @ShamimuJuma-fs5oe Месяц назад +2

    Jamani siwalisema makonda ajasoma mbona anaongea vitu vya point kuliko wasomi

    • @WazirJuma-gd5oo
      @WazirJuma-gd5oo Месяц назад

      Wanasema ulaya ukitaka kumua mbwa ulaya unampa jina baya. Wale niwabaya wa makonda.jamaa Yuko vzur mno ila mtu akikuchukia lazima akupe jina baya mungu amtunze makonda

    • @PureSoul-rf4xd
      @PureSoul-rf4xd 28 дней назад

      Ndio ushangee na wewe 🤷‍♀️🤷‍♀️mwezangu,mimi nachojua tu nihivi mtu mwenye uwezo au uwezo fulani hivi si rahisi watu wampende .

  • @kyangwesignermohamed7867
    @kyangwesignermohamed7867 26 дней назад

    Yani bado
    Nibola aseme sehem furani kunahiki na hiki tuwekeze eneo nikiasi gani na uitaji na fursa onyeshe ziko wapi niaibu kwa huyo Afisa anavyo jikanyaga

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no Месяц назад

    Daah huyu jamaa brain yake ya Ulaya tu ndo utakuta vitu kama hivo kujuwa hadi Chumvi inayotumika kila mwezi mpaka kwa siku😂😂😂

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад

    Demand ya watu kwanza

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 26 дней назад

    MUNGU Yuko nawe wachapishaji hao wanaongopa tu vitambi VYA wizi wanawalisha WATOTO wao Sumu MUNGU anawaona IKO siku mtoto wa maskn Hana HAKI Haha

  • @martintemu9123
    @martintemu9123 21 день назад

    Makonda wewe ni kichwa..tunafurah sana kuletewa mtu kama ww

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Месяц назад

    Haw ndi watu wanaotuinea wajasiriamal

  • @user-qy9qb9ul9z
    @user-qy9qb9ul9z Месяц назад +2

    The know nothing

  • @user-vo7yp5gj7x
    @user-vo7yp5gj7x 29 дней назад

    Mazao Matunda jamani Tanzania 🇹🇿 Nchi yng 😂😂

  • @paulomaligana3958
    @paulomaligana3958 22 дня назад

    Watu wako shaloo mbaya sijui nafasi wanapataje

  • @abdirazakmadhar2000
    @abdirazakmadhar2000 Месяц назад

    KWA Hili tunazidiwa hata na jirani zetu inaonekana hakuna mkakati wa uchumi kuvuna dola zipo inje inje ni mipongo tu hawaja elezea kiukamilifu

  • @nazarethmanase4474
    @nazarethmanase4474 Месяц назад

    Hatuna watendaji wenye uwezo. Wanafanyakazi bila utafiti.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 Месяц назад

    Kweli uelewa kuhusu uchumi ni shida hao ndio wataalamu wenye vidato mh makonda mwote mh kishimba, msukuma, ja pipo na moo. wa Simba hao watakuambia mambo yote ya uchumi sio hao wataalamu wKo

  • @loningoletayo8453
    @loningoletayo8453 Месяц назад

    Hiii swalq uwekezaji watu wa prevents secter ndo wanaelewa

  • @durangobasics6195
    @durangobasics6195 Месяц назад

    Waongee huko huko maofisini wasije mitaani. Waweke mifumo na wasimamie. Kisha waulize kero za mifumo basi

  • @godiusmghase8146
    @godiusmghase8146 Месяц назад

    MKUU Arusha DC WANA kipato Cha msitu na waterfall na Arusha DC hapigi greda barabara za kata tembelea hizo kat

  • @user-rl4nv7ls4e
    @user-rl4nv7ls4e Месяц назад +6

    Makonda unafaa kuwa Rais kama kwel unaongea kutoka moyoni

  • @wilibaldmallya7156
    @wilibaldmallya7156 Месяц назад +1

    Sijamuelewa Rc.Haya anayataka kutoka kwa viongozi wa aina gani?

    • @kakak1245
      @kakak1245 Месяц назад

      ❤😅😅😅

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo Месяц назад

      Huwezi kumuelewa shule ulikuwa unasinzia na kula visheti😂😂😂

    • @banguha
      @banguha 28 дней назад

      ​@@GibsonNtamamilo😂😂😂😂 niachie mbavu zangu shulen alikuwa anakula visheti Yesu wangu

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 Месяц назад

    Mi naona hata maafsa elimu kilimo waangaliwe jamani maafsa afya

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 Месяц назад

    Wabeja namala

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Месяц назад

    Walioajiriwa kwenye nafasi kubwa na vyeo nagundua hawajui kitu kbsaaa japo ni wasomi ila hawa wa chini hata vyeo hawajapewa wanajua kukokotoa haswa na vyeo hawapewi sasa mtaaibika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @eliamwankenja7087
    @eliamwankenja7087 27 дней назад

    Tumeluhusu wajinga kutufundishiae watoto wetu Safi sana makonda

  • @mcholimkubwa
    @mcholimkubwa Месяц назад

    Kudadeeekii😂

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Месяц назад

    Kwa maelezo hayo muekezaji awekezi

  • @user-sf3wi8xc5s
    @user-sf3wi8xc5s Месяц назад

    Kumbe tatizo elimu walikosomea. Basi mwekezaji awekeze mifumo ya elimu

  • @broka_genius3615
    @broka_genius3615 Месяц назад +1

    Jama anatoa macho tu 😅

  • @godiusmghase8146
    @godiusmghase8146 Месяц назад

    Mkuu tembelea viwanda vilivyobinafsishwa uone waliofilisi na walioendelez

  • @IsmailMatola
    @IsmailMatola Месяц назад +2

    Makonda sasa usipoangalia utakuwa unakimbiwa na watendaji maana maswali yako yanawatamanisha kwenda chooni maana asije akajikuta anapambana swali lako kaka uliza maswali yanayo endana na watendaji ma mbumbu mbu

    • @josephmussa0625
      @josephmussa0625 Месяц назад

      😂😂

    • @SanareLaizer-en5it
      @SanareLaizer-en5it Месяц назад

      Uko vizuri sana

    • @banguha
      @banguha 28 дней назад

      😂😂😂😂😂 eti uliza maswali yanayoendana na umbumbuu ila nimegundua watendaji wengi Mungu awasaidie nacheka hapa kama sijielew

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 27 дней назад

      😅😅😅😅😅

  • @HassanKangwa-sz4gn
    @HassanKangwa-sz4gn Месяц назад

    Awe wazili mkuu 2025

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Месяц назад

    Wachumi wanaogopa hata kujitokeza

  • @nurunewz103
    @nurunewz103 Месяц назад

    Makonda, wachumi wanakuambia sahihi ila wewe unalojibu lako ambalo lipokichwani hautaki kusikiliza.

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo9796 Месяц назад

    😂

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yo 26 дней назад

    MAKONDA MKOMBOZI WA TAIFA TU PAMOJA NAWE MUNGU AKUTANGULIE

  • @godiusmghase8146
    @godiusmghase8146 Месяц назад

    MKUU wachumi ni kwazo kwa maendeleo

  • @hermanmtalo6340
    @hermanmtalo6340 Месяц назад

    Ajira za krosi krosi mtu lilifeli form four anapewa kazi kiujanjaujanja

  • @iddiabdallah7352
    @iddiabdallah7352 Месяц назад

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Месяц назад

    Nacheka sijui nacheka nini😀😀🤣jamaa anasema anamatangazo ana tausi alafu uyo tausi hajaanzisha bali naataka kuanzisha hahahahah duu

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 27 дней назад +1

      😅😅😅😅

    • @radhiasalum7156
      @radhiasalum7156 27 дней назад

      @@ziddyziddy2524 tanzania mfumo wa ufanyaji kazi mbovu mno

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x Месяц назад

    Arusha wamejaa matape haswa pole mkuu

  • @CristinLyanga
    @CristinLyanga 18 дней назад

    Makonda hakuna wasomi hapo ni blablaa tuuuu.

  • @santebnassary7411
    @santebnassary7411 Месяц назад +1

    Kigezo cha kua Rais ni kipi kwani? Muda utaamua

    • @user-bt3wt6nt4z
      @user-bt3wt6nt4z Месяц назад

      We hukion au😂😂😂😂😂😂😂😂unamakusud wewe

  • @hermanmtalo6340
    @hermanmtalo6340 Месяц назад

    Watakuaje na akili wakati hapo wamewekwa tu kisa mjomba alikuaga hapo

    • @radhiasalum7156
      @radhiasalum7156 Месяц назад

      Hapo sasa.yani wakiulizwa kuhusu ilo utaona jinsi walivyochomokezwa🤣🤣🤣

  • @amosmangura
    @amosmangura Месяц назад +1

    Afrika vikapu vya Afrika viiwe bora kwa wageni nakupa mtaji
    Kofia za mkeka masai wawe burudani na utamaduni wa Tanzania

  • @leinaamos
    @leinaamos Месяц назад

    Uko sahihi ni kweli Wananchi hawana elimu ya mfumo