NAIBU WAZIRI MKUU DKT. BITEKO AWAKA VIKALI, "NI MUONGO, TUMEWAONDOA/ HAIKUBALIKI KUANZIA SASA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 апр 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 62

  • @maryfranknamkumba9182
    @maryfranknamkumba9182 Месяц назад +4

    Ahsante sana Biteko makamu waziri mkuu. Ni kipindi kifupi sana tangia umeingia NISHATI.
    Lakini uliyoyafanya yanafanya waliotangulia kabla yako waonekane kama watu waliokwenda pale kujinufaisha wenyewe na wezi Wenzao. Your so special before God’s presence. Keep it up my darling Brother. Surely your the BEST ❤️🙏🏾

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Месяц назад +3

    Unafanya kazi sana. Hongera.

  • @user-io4nk5ej2d
    @user-io4nk5ej2d 14 дней назад

    Hongela sana kwa ukomavu kiongozi wetu tunakukubali sana endelea hivyohivyo ipo siku utakuwa rais hongela mkuu

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 Месяц назад

    Wow....👏👏👏👏👏👏
    Hongera sana sana Mh. Biteko..
    Mwenyezi Mungu azidi kukusimamia vema...

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 Месяц назад +5

    Akili kubwa na uzalendo uliotukuka

  • @bonnymakuke3153
    @bonnymakuke3153 Месяц назад +1

    Uyu jamaa nimejikuta namwelewa bule mimi ni chadema ila anasifa zote za kuitwa kiongozi nilicho kipenda hajisifu yeye kama yeye bali anapongeza wizara nzima viongozi na watendaji wake icho kitu kinawafanya watendaji wake wajione nao wanathamani na kua na molali ya kufanya kazi njema kwa taifa🙌🙌🙌🙌

  • @noeljuvenalmunishi75
    @noeljuvenalmunishi75 Месяц назад +2

    Biteko is intelligent 🧠, keep it up. After Samia 2030 chukua form

  • @IsakwisaMwalisu
    @IsakwisaMwalisu 25 дней назад

    Mungu akubariki sana kaka bitego

  • @user-sy2mp7mm8u
    @user-sy2mp7mm8u Месяц назад +2

    U are true leader brother

  • @angelomfilinge8662
    @angelomfilinge8662 Месяц назад

    Hongera sana, mheshimiwa Dotto Biteko. Hakika PhD uliyo nayo unaifanyia kazi.

  • @fredrickkagwa8853
    @fredrickkagwa8853 Месяц назад

    Mungu akuzidishie kuwa mkweli Kama unavyojieleza kuongea kwa undani ya moyo. Big up

  • @chandalamasana-sb7rm
    @chandalamasana-sb7rm Месяц назад

    Kuna mawazr wengine unampenda bure wengine wanarazimisha tuwaelewe na wanaushawi mkubwa Asante biteko ❤❤

  • @idrissabakari8879
    @idrissabakari8879 26 дней назад

    Ee mungu akujaalie kwa matendo mema katika utumishi wako ,nakukubali na si jamii tu bali Ni Tanzania(Taifa) wewe Ni nguzo imara=Rais Samia nampongeza mno kukuteua Naibu waziri mkuu ; hongera Sana!

  • @radaonlinetv1922
    @radaonlinetv1922 Месяц назад

    Dr Biteko yupo vizuri sana... ❤

  • @hamzanamahala6201
    @hamzanamahala6201 Месяц назад +1

    Duuh, katika uteuzi ambao Dr Samia amefanya tangu ameingia hapa kwa Dr biteko amepatia kwa 100%❤❤❤❤❤❤, ikimpendeza awamu ijyao Mungu akipenda apewe PM kamili

  • @user-wp1gw3wx5l
    @user-wp1gw3wx5l 27 дней назад

    Safi saana kuna kit ndan yako

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s Месяц назад +1

    Kwa nini kungoja kitu kuchakaa hadi out of date and no more in use ? No maintenance and no replacement ?

  • @sangararawarioba3016
    @sangararawarioba3016 Месяц назад

    Big up brother

  • @GosbertKibira
    @GosbertKibira Месяц назад +1

    Mweshimiwa wambie wananchi wa vijijini gharama za kuunganishiwa ni sh ngapi maana Tanes co wanasema hakuna wa sh 27000 pili wambie kutolewa kwenye sarv is charge nii bei Gani maana tunapigwa na watumishi wasio waminifu

  • @sofiakhan9706
    @sofiakhan9706 Месяц назад

    Support u as ministry who believed in action not commenting only expected the price unit will going to reduce In future bcouse is cost lower Tanzania this 350 tsh per units including several taxes especially one fused meters hip hip hip hurrreee ur amazing ministry ur followed RIP magu ❤

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 Месяц назад

    A very humble people....

  • @alexmatt9504
    @alexmatt9504 Месяц назад

    Ahsante Waziri kwa hotuba, pamoja na maelezo mengi mazuri uliyotoa lakini upande wa Tanesco bado kuna uzembe sana haswa kwenye preventive maintenance.Utakuta mara kwa mara hizo transformers zinalipuka ni kwa sababu hazifanyiwi ukaguzi inavyotakiwa kwa kubadilisha vipuri vilivyo haribika as per schedule. Halafu watu kuiba transformers- cables-oil ,wanashindwa nini kuzungusha Uzio wa waya na kuweka tangazo kwa asiyehusika asisogelee hapo.Halafu mnaweza kufunga GPS kwa kila transformer na watu watehama wakawa wanafuatilia hatua kwa hatua. Ni aibu kwa kifaa kizito kama transformer kuibiwa kirahisi halafu watendaji bado wapo kazini.Na hizo nguzo inabidi ziwe zinakaguliwa kwa uimara wake mara kwa mara.

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 Месяц назад +1

    Hadi raha

  • @petermwanyondo5370
    @petermwanyondo5370 Месяц назад

    Waziri wewe unajuwa kumuogopa mungu uzidishiwe beri balikiwa sana😊

  • @maranduleshira3727
    @maranduleshira3727 Месяц назад

    Tanesco ingieni kwenye biashara ya internet. Kwani mnamiundo ya nguzo nchi nzima.changamkeni.

  • @kiwambasaid4012
    @kiwambasaid4012 Месяц назад

    Brilliant leader

  • @EmayNgayda-in9gx
    @EmayNgayda-in9gx Месяц назад

    Wizi: teknolojia itumike, computer na cctv

  • @athumankaswaga605
    @athumankaswaga605 Месяц назад

    Kanda ya ziwa kuna vichwa aiseee😅😅😅😅

  • @danielmulesi4025
    @danielmulesi4025 Месяц назад

    MUNGU Akutunze Waziri Biteko. Ulikuja kwa Makusudi wakati huu. Umetufaa

  • @kanjostjastin884
    @kanjostjastin884 Месяц назад

    Nishati Ni uchumi+Afya
    Tunaomba kupata unafuu wa bei kwa huduma ya nishati.

  • @AbdulMajid-kj5bi
    @AbdulMajid-kj5bi Месяц назад

    Safi sana mkuu wetu

  • @fidelfidel-jz4iw
    @fidelfidel-jz4iw Месяц назад

    Kiongozi huyu mungu akubaliki amen 🙏

  • @bungesabaya8062
    @bungesabaya8062 Месяц назад

    Ni kweli we mweshimiwa unajitadi kwa nafasi yko

  • @FairJohn
    @FairJohn Месяц назад

    Aliyenyamaza hajuti, nimeichukua hiyo inanisaidia mbeleni

  • @stevensteve7519
    @stevensteve7519 Месяц назад +2

    You are very serious and determined to contain the power instability in our country. Be more creative, now the Government should allow private sector to also participate in the distribution of electricity as we did in telecommunication services.

  • @PauloSheppy
    @PauloSheppy Месяц назад

    Biteko piga kazi waone malezi ya mzee magu yabavyoikomboa Tanzania

  • @user-ii3xo5jw9y
    @user-ii3xo5jw9y Месяц назад

    Unadamu ya ukeli😅😅😅Mfuatilie ndugu yako Rais Kagame, Kumbe CCM KUNA VICHWA AMBACYO HAVIKULEWA UNAFIKI? BIG UP BITEKO.

  • @DEUSJOHN-ln9jz
    @DEUSJOHN-ln9jz Месяц назад

    Hongera naibu waziri mkuu unatosha na kubaki chapa Kaz Dua zetu utafika mbali sana

  • @user-xx8fb4ed5u
    @user-xx8fb4ed5u Месяц назад

    Tajiri wa akili !wakomboe watanzania!

  • @user-hu3bz3lv7s
    @user-hu3bz3lv7s Месяц назад

    Nauli mlipandisha mzigo kwa wananchi

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Месяц назад

    anakubaliana na wabunge

  • @aminatambi9831
    @aminatambi9831 Месяц назад

    Where he from ?

  • @GodfreyOsward
    @GodfreyOsward Месяц назад

    Maisha ya mfumo njaa.

  • @nyerere1259
    @nyerere1259 Месяц назад +1

    HUYU NDIO RAIS SASA MAKONDA ATULIE

    • @yordanyona1234
      @yordanyona1234 Месяц назад

      ana hekima sana

    • @ananiachelesi1486
      @ananiachelesi1486 Месяц назад

      Makonda atakuwa sehem ya selikal hiyo

    • @justinmwamloso7559
      @justinmwamloso7559 Месяц назад

      Linda sana mhemko hasa pale unapo furahishwa na mtu anayekupa furaha ndiye anayeweza kukuhudhunisha hivo TUWAOMBEE VIONGOZI WETU.

  • @kilimanjaro695
    @kilimanjaro695 Месяц назад

    Katika Mawaziri kichwa kwenye CCM ni Biteko, Jerry Slaa, Hussein Bashe , Innocent Bashungwa,January Makamba , Simba Chawene, Kajaji Ashatu, waziri wangu wa Fedha ni Professor Assad( not Mwigulu at all )Ummy Mwalimu.Hawa watu vichwa sana

  • @justinmwamloso7559
    @justinmwamloso7559 Месяц назад

    Sasa mfano tamko la Rais na tamko la spika lipi linatakiwa kufwatwa? Hapo kwenye muda wa kutaka kero ya kuondokana na ukatikaji wa umeme