Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde
Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏
Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.
Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao. Hati yangu imenasia wizarani hadi leo. Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje" Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢
Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote
Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi
Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli
Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako
Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww
Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃
Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...
Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.
Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana
Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..
Kazi za wakuuu wamikoa wawilaya mpaka aje makonda inaalilah wainalilahi lajunnn tuuogope uongoz sababu utaleta laana kwenye vizaz vyetu kila unaemuongoza analalamika kasoro family yako tu
Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa
Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde
Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao
Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma
Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭
Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢
Ni kweli kbs ujakosea kila msema kweli ni sheeda
Apo ajiandae.
Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.
Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏
AMEN
1:15 😅
Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye
Acha unafki wewe
Ana safari za nje
Mama amejifungua ila kamtuma kijana wake awakilishe kazi kwa niaba yake
Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.
Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi
Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢
Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana
Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho
Allah awajaalie kila lenye mafanikio
Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....
Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana
Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao.
Hati yangu imenasia wizarani hadi leo.
Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje"
Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢
Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote
Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi
kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu
mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea
Kabisa ni sauti inayovuta usikivu
hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri
Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi
Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii
Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani
Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂
Mbwa hawa
😂😂😂
Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli
Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏
Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione
Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako
Huyo mzee anafaa kuwa mbunge
Atalia Sana bungeni😂
Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana
Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢
Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua
Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais
Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂
Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww
Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃
😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni
Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu
Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.
Mashallah moyo wangu una furaha tele
Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana
Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰
Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..
Ni kweli kabsa mojawapo ni wewe
Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote
Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv
Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr
Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.
Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki
Mzee apewe ulinzi
Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo
Nakupenda makonda mungu akurinde
sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭
Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...
Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri
Yafanyie kazi mh Mzee analia
Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao
Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha
Njoo kigoma baba
Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde
Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache
Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.
Lukuvi Yuko wapi?
Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌
Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.
Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako
Kabisa
Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji
Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana
Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge
Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢
Safi Sana mzee
Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu
Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo
Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu
Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.
Hii nchi nzito 😅😅😅
Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊
Ubarikiwe makonda
RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.
Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani
Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶
Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo
@@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani
Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.
Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi
Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.
Makondaa Mungu akubariki
Mungu akutunze makonda wasikumalize
Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana
Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..
@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa
Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.
Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha
@@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG
Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?
Miaka 60 ya CCM
Daaah inauma sana😢😢
Hii sasa safi👍
Hongela baba hii ujasir mkubwa
Kweli kabisa,Wizara ya Ardhi imekaa ufisadi,Halmashauri ya Dodoma wamepandikiza hati miliki feki
Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa
Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.
Uzuni chapa kazi bb
Daah inauma sana aise 😥😥😥
🔥
Nampenda huyu baba anaongea sana😂
Kazi za wakuuu wamikoa wawilaya mpaka aje makonda inaalilah wainalilahi lajunnn tuuogope uongoz sababu utaleta laana kwenye vizaz vyetu kila unaemuongoza analalamika kasoro family yako tu
Maneno yakenimazu lakiniukweli haupo ccm
Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida
Alhamdulilah❤❤ makomd
Waaambie babaaaa!!!
Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda