CLASSMATE WA MAGUFULI ALIA MBELE YA MAKONDA ATAJA MADUDU "MWAMBIE RAIS, KUNA MAJAMBAZI MAJIZI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 ноя 2023

Комментарии • 303

  • @pendomushi6351
    @pendomushi6351 8 месяцев назад +17

    Mungu akulinde Sana makonda ! Tenda haki na kutetea wananchi wako kama Mungu alivyokuona unafaa

  • @mailisagaswe1544
    @mailisagaswe1544 8 месяцев назад +10

    Makonda peke yake hawezi kutatua kero zote, anahitaji msaada toka kwa mwenyekiti wa chama kwa kuwawajibisha wazembe wote waliopo serikalini ambao hawataki kutatua kero za wananchi. Hakika Kila Kona ya Tanzania wananchi wanalalamika. Hongera Makonda kwa kazi nzuri Mungu akulinde

    • @petermarco8656
      @petermarco8656 8 месяцев назад +2

      Na hapo ndipo kwenye kazi kubwa kuwawajibisha hao

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 6 месяцев назад +2

      Undeni Tume kila mkoa. Kero zote zishughulikiwe bila huruma

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 8 месяцев назад +48

    Huyu mzee ameongea kwa uchungu sana mpaka 😭😭😭😭

  • @claudiayohana6576
    @claudiayohana6576 8 месяцев назад +20

    Huyu baba kaongea kwa uchungu 😢😢😢😢lkn pia usalama wake unaweza kua hatarini😢😢😢

  • @modestarubunda4250
    @modestarubunda4250 8 месяцев назад +6

    Me MAKONDA, Mungu aendelee kukulinda, na umsaidie Mama, wengine wanamharibia jina kwa wizi wao, wakidai ni Serikali, kumbe ni kwa manufaa yao wenyewe.

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 8 месяцев назад +44

    Makonda huu ni wakati wako wa kuteka baraka zako, tumia hii nafasi vema na usijiinue wala kumuonea mtu, simamia haki na Mungu akutie nguvu kazi si ndogo jukumu ulilonalo ni kubwa ila amini mkono wa Mungu Upo upande wako🙏

  • @revocatussebastian2427
    @revocatussebastian2427 8 месяцев назад +17

    Mama mwenyewe hafanyi ziara zakustukiza kwenye mawizara kama magufuli anakaa ikulu kusubiri ripoti kwanini wasimdadanganye

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 8 месяцев назад +19

    Huyu mzee huwa haumi maneno.Alikiwasha mbele ya Amos Makala na leo mbele ya Makonda.Anafunguka kwa hisia na uchungu mno.Na hiyo mikono nyuma yake ni kwamba kuna ubovu mkubwa mno kwenye utendaji na uongozi.Maeneo ya huduma yamejaa madhalimu ya walafi.

  • @AbasJeilan-ns8yp
    @AbasJeilan-ns8yp 8 месяцев назад +14

    Panya rodi wamemwagika sana kufanya uwalifu ndio wawazibiti, huku kuna mto watu wanapata shida daraja awajengi

  • @laurnyandwi-sb1gu
    @laurnyandwi-sb1gu 8 месяцев назад +10

    Huyu mzee alindwe haraka iwezekanavyo mana anaukweli usiopingika hata doa.,😢😢

  • @JaphethIbrahim
    @JaphethIbrahim 3 дня назад

    Kaka ongera sana unajitahdi sana kutatua matatizo ya wanaimch hongera sana

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 8 месяцев назад +6

    Watakao mpinga makonda watatoka nyumbani mwake.yetu macho

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt 10 дней назад

    Allah awajaalie kila lenye mafanikio

  • @WinifridaJonathan-cq2nw
    @WinifridaJonathan-cq2nw 8 месяцев назад +3

    Makonda hajawahi kumuonea mtu aibu na Yesu hatamuonea haya mbele za baba yake good makonda goooo....

  • @ashelgabriel1696
    @ashelgabriel1696 8 месяцев назад +5

    Tutalalamika mpaka miaka 200 kwa sura hii mpaka mwenezi aje bado sana

  • @mwinshehenassib4853
    @mwinshehenassib4853 8 месяцев назад +13

    Wizara ya ardhi mimi sina hamu nao.
    Hati yangu imenasia wizarani hadi leo.
    Ukienda mtumishi anakuuliza wewe raia "sasa hapo nafanyaje"
    Eti mimi nimefata huduma kwa mtu asiyejua nini cha kufanya.😢😢😢

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema 8 месяцев назад +18

    Huyu mzee ni Mzalendo wa Taifa letu Tanzania natumai Chama cha Mapinduzi kitaendelea kutetea Haki na kutatua Kero za Wananchi. Kidumu Chama cha Mapinduzi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 8 месяцев назад

      Nikweli lakini rais alijisaha sana hivi mm najiuliza kipindi cha magu umeme ulikuwa hakatiki wananchi walisaha kabisa sasa kila siku umeme hakuna inamaana raisi hajui tatizo anawakumbatia sana mawaziri wake angekuwa anatumbuwa km magu akili ange wakaa sawa yy anawechekea sasa 2025 imekaribia ndio tunashutuka yani ni mtihani 2019 paka 2020 nilikuwepo tanzania umeme ulikuwa haukatiki nikasema sasa na kwetu kumeendelea kufa magu na umeme umemfuta tatizo nn kama sio kuwatesa wananchi hivi kipindi cha magu husikii kero ya machinga wala nn sasa hivi paka bora boda nishida daa wanawakamata hovyo tuu kosa dogo faini kama yote

  • @lanlady2504
    @lanlady2504 8 месяцев назад +6

    Huku kwetu tunamsubiri kwa hamu ndg muenezi

  • @anthonikabuye6819
    @anthonikabuye6819 8 месяцев назад +2

    kwa nilikofika naona politicians wote ni wapigaji tu Ila wanatofautiana grade tu

  • @Donrugi
    @Donrugi 8 месяцев назад +13

    mzee anasauti nzuri inafaa sana kwenye kuongea

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 8 месяцев назад

      Kabisa ni sauti inayovuta usikivu

    • @rubondopharmacy
      @rubondopharmacy 8 месяцев назад

      hahahaha anafaa kuongea, nimecheka sana utadhania mazuri

  • @erickmsigala138
    @erickmsigala138 8 месяцев назад +4

    Hivi Wana mlalamikia Nani? Dawa ni kuiondoa ccm na siyo kuwapa kero watatue wakati wao ccm ndiyo wanao sababisha wananchi acheni ujinga ccm hawana uwezo wakutatua kero zenu hiyo ni Futuhi

    • @malianonicass7029
      @malianonicass7029 8 месяцев назад

      Hii inchi Bado haiwezi kuongozwa na upinzani Ile ndo mijinga tutahama nchi hii

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 8 месяцев назад +4

    Sasa jamani hao wanaotajwa hapo ni chama. gani

  • @Hasnspop
    @Hasnspop 8 месяцев назад +8

    Alafu hawa wenye kaunda imekuwa tabia yao kusukuma wanaoleta kero daaa😂😂😂

  • @annamwangomo7069
    @annamwangomo7069 8 месяцев назад +3

    Ila nchi hii jamani! Kuna watu hawamwogopi hata Mungu hizo kero huyo mzee kaanza zamani kulalamika kumbe ilikuwa bado hazijatatuliwa? Iwe mwisho kwakweli

  • @user-od5si7ld6b
    @user-od5si7ld6b Месяц назад

    Mhuuuuu kaz ipo Tanzania Makonda Mungu akulinde kwa balaka za Mungu 🙏🙏

  • @RacherBakari-qh2gx
    @RacherBakari-qh2gx 8 месяцев назад +1

    Rais Bora ni yupi mungu nipe macho nione

  • @mconedimple5364
    @mconedimple5364 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde masikini nia yako ni nzuri ya kutetea wanyonge kupitia chama chako cha mapinduzi lakini hao wa badhilifu wanao yafanya hayo watakuacha salama kweli uendelee kufukuwa maovu yao kwa nia ya kuwatetea wanyonge kupata haki zao zilizo dhulumiwaa ee Mungu umlide huyu kijana wako Makonda atumike kwahaki hata kama atatishwa asitishike . Masikini sijui kama utabaki salama kwa maovu haya yanayo letwa kwako pindi mtakapooanza kuyashughulikia na viongozi wenzako

  • @JamesJuma-zy8cn
    @JamesJuma-zy8cn 8 месяцев назад +9

    Huyo mzee anafaa kuwa mbunge

  • @johnsebastian-bx6qn
    @johnsebastian-bx6qn 8 месяцев назад +4

    Inatia uchungu sana haki zinapokonywa inasikitisha sana

  • @asmahchongoe1117
    @asmahchongoe1117 8 месяцев назад +3

    Naona msiba mwingine baada ya uchaguzi 2025 Mungu aisimamie roho hii ya mauti ishindwe kwa ajili ya nchi.😢

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 месяцев назад +1

    Makonda atarudisha heshima ya ccm mama samia kapatia kumchagua

  • @user-bj3sb6ml7b
    @user-bj3sb6ml7b 8 месяцев назад +1

    Big up sana Makonda Huna wasidiz zaid yako mwnyw na mh. Rais

  • @ahz6907
    @ahz6907 8 месяцев назад +1

    Sasa kama ni classmate wa jpm na amedhulumiwa miaka 40 kilimzuia nini kuomba msaada wakati wa jpm yupo madarakani kwa miaka mitano 😂

  • @MSOMBAAlon-gh3ps
    @MSOMBAAlon-gh3ps 8 месяцев назад +4

    Ndio maana Mimi nasema Rais Samia suluhu Hassan ni mtu mwema sana watu anaofanya nao kazi asilimia 95% ni wanafiki utayaona mengi sana hayo ni machache ndio maana watu wanaichukia sana CCM . ( Kumbe yapo majitu kazi Yao ni kuharibu tu Ili Rais aonekane kama hafai . Mungu mulinde Rais Mungu akulinde na ww

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt 8 месяцев назад +3

    Sijui wana angalia sifa Gani ili uwe waziri mkuu maana kwa kipawa cha makonda anastahili kuwa mtendaji mkuu wa serikali maana ni next level kabisaa 👏👏😃

  • @happyfaniabatromeo8010
    @happyfaniabatromeo8010 8 месяцев назад +2

    😄😄😄😄 Tanzania Nchi nzuri Sana 🔥🔥🔥🔥 sema bado haijapata viongozi wa ukweli kama Magufuli na Makondaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

    • @pendomushi6351
      @pendomushi6351 8 месяцев назад

      Kila mtu yupo Kwa maslahi yake na watoto wake 😢😢ni huzuni

  • @user-fb6dh6sz2g
    @user-fb6dh6sz2g 8 месяцев назад +2

    Bila katiba mpya mpya haya yataemdelea kujirudia tu

  • @jamesmachiwa3679
    @jamesmachiwa3679 8 месяцев назад +2

    Makonda Mungu Akutunze Ili Uwalinde Watu Hawa.

  • @aminahkazumari8952
    @aminahkazumari8952 8 месяцев назад +2

    Mashallah moyo wangu una furaha tele

  • @songeza
    @songeza 4 месяца назад

    Hongera Sana school mate wa makonda huyo mtoto Yuko vizuri sana makonda hoyeee nami natamani nionanae nae nimpe mkono sana

  • @LoveWity
    @LoveWity 5 месяцев назад

    Makondaa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️💗💗💗tunakupendaaa sanaaa🥰🥰🥰🥰

  • @nimrodsigulu6249
    @nimrodsigulu6249 8 месяцев назад +3

    Hii nchi bado adui ujinga anatusumbua Sana..

  • @mamapeace6730
    @mamapeace6730 8 месяцев назад +2

    Tulikumic kaka yetu mungu awe nawe maisha yako yote

  • @user-kp3vc4rj9o
    @user-kp3vc4rj9o 8 месяцев назад +2

    Mama altakiwa wizara ya ardhi ibaki kwa lukuv

  • @henryj3304
    @henryj3304 8 месяцев назад +1

    Makonda chapa kazi, wewe ndiye Magufuli Jr

  • @bwetungegodfrey4131
    @bwetungegodfrey4131 8 месяцев назад +4

    Classmate wa JPM has got a point..asikilizwe na atatuliwe shida alizozianisha.

  • @user-un2fk7iz7s
    @user-un2fk7iz7s 8 месяцев назад +2

    Sio mwanza TU haya hapa makao makuu dodoma ndo pameoza kabisa migogoro ya viwanja nahati feki

  • @user-xz4mc4ec7x
    @user-xz4mc4ec7x 8 месяцев назад +4

    Mzee apewe ulinzi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 8 месяцев назад +2

    Baba yangu ameongea kwa uchungu mnooooo

  • @user-qz5xv5if2u
    @user-qz5xv5if2u 8 месяцев назад +11

    Nakupenda makonda mungu akurinde

  • @annaepmack7270
    @annaepmack7270 8 месяцев назад +2

    sijuh kama unaulinzi we baba jmn baada ya mika mi2 sijuh 😭

  • @mwejstar5678
    @mwejstar5678 5 месяцев назад

    Naamin magufuli alikua na maono na wewe ndo mziba pengo lake...na ninaamin kabisa utakuja kua rais wa hii nch...na kizazi changu kitakua kwenye nchi salama....mwenyez mungu akupe maisha marefu...

  • @user-os3yw8hy3w
    @user-os3yw8hy3w 8 месяцев назад

    Makonda awe tu president 2030 baada Mama Samia Yuko vizuri

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds 7 месяцев назад

    Yafanyie kazi mh Mzee analia

  • @majigeedward955
    @majigeedward955 8 месяцев назад +1

    Hii nchi inamajitu mapumbavu kupitiliza hoi nchi tusomesheni watoto wetu kwa gharama yoyote ile waje wapambane na watoto wao

  • @gladistaemanueliy6336
    @gladistaemanueliy6336 8 месяцев назад

    Makonda pole, kazi ipo karibu Arusha

  • @violethbosha1666
    @violethbosha1666 6 месяцев назад +1

    Njoo kigoma baba

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 8 месяцев назад +1

    Kinana hakuwa na haja na kero za mwananchi makonda mungu akulinde

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 8 месяцев назад +2

    Mnoo. Mungu atupe viongozi wanaojali. Wema ni wachache

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 8 месяцев назад +2

    Ardhi kuna shida kubwa sana, sijui itakuwaje maana hiyo ni sawa na Maliasili na Utalii. Inatisha sana.

  • @user-gu3ol1rv8g
    @user-gu3ol1rv8g 5 месяцев назад

    Nmemskilza huyu baba mpaka nimejkuta nalia😭anaukwel ndan yake piah ulizi ufanyike juu yake ukweli unauma🙌

  • @user-io1et5ei6p
    @user-io1et5ei6p 8 месяцев назад +2

    Makonda vaa viatu vya JPM, okoa jahazi liaenda mrama, mama kazingirwa na watu wasiotaka uongozi wake ila yeye mala hajui tu, lakini yanayosemwa ni ya kweli kweli kabisa, hivyo tunaamini uwepo wako makonda utarudisha heshima ya chama cha CCM na serikali yake,kiasi kwamba ilikuwa inapelekea kubaya kwasababu watu walisha hizo vitega uchumi vya nchi nakujinufaisha wao na familia zao.

  • @paschaljoh5729
    @paschaljoh5729 8 месяцев назад +10

    Huyu mzee Yuko smart sana kwenye maelezo yako

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 8 месяцев назад +1

    Ardhi ni tatizo hasa Ilemela tumeilipia hati mwaka wa nne hatujapata hati kila tukifuatilia tunaambiwa kiwanja kina mgogoro ilhali hakuna mlalamikaji

  • @mariethjohn3074
    @mariethjohn3074 8 месяцев назад +1

    Kweli watu wana nyanyasika duuuu mama aangaliee sana

  • @joakweyahighdigitaltechnol4169
    @joakweyahighdigitaltechnol4169 8 месяцев назад +1

    Ongera sana makonda fata nyayo za magu.Utetee wanyonge

  • @nero7941
    @nero7941 5 месяцев назад

    Awawatu ndio wanawaponza viongozi makonda awe makini tu😢

  • @bashobabaraka706
    @bashobabaraka706 8 месяцев назад +2

    Safi Sana mzee

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 8 месяцев назад +2

    Makonda naomba nikushauli wewe ni Magufuli ajae ila ukiwa Magufuli plz plz fanya zaidi ya magu

    • @yahayamboka9963
      @yahayamboka9963 8 месяцев назад

      Unafilwa we kwa lipi ukisikia umasikini wa fikra ndio huo

  • @jacklinakinabo6479
    @jacklinakinabo6479 8 месяцев назад

    Hii nchi bora ujidai tu mjinga ,jidai huoninkitu maana ,hii nchi bhn Mungu atusaidie tu

  • @innocentludovick4724
    @innocentludovick4724 8 месяцев назад +1

    Ahadi ya chama cha mapinduzi haki nayo ipo. Kwa hivyo Mh. Paul Makonda atakuwa muumini wa haki husda za mwanadamu zishindwe.

  • @jamtv1883
    @jamtv1883 8 месяцев назад +4

    Hii nchi nzito 😅😅😅

  • @finehotelzanzibar
    @finehotelzanzibar 8 месяцев назад

    Hivi unajua huyu Makonda anaweza kuja kuwa Rais. The second Magufuli 😊

  • @yohanantemi100
    @yohanantemi100 8 месяцев назад +1

    Ubarikiwe makonda

  • @barryrioba3934
    @barryrioba3934 8 месяцев назад

    RAISI SAMIA Mjanja Sana, Ametumia Akili Kubwa Kumuweka MAKONDA Hiyo Nafasi Ya Uenezi CCM Taifa. MAKONDA Nae Ni Kichwa Sana Kwenye Kazi.

  • @user-bx3kl4hn6j
    @user-bx3kl4hn6j 8 месяцев назад +3

    Mimi bado cjaelewa nielewesheni hao waliotajwa hapo chama gani na anaejifanya kutatua izo kero ni chama gani

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 8 месяцев назад +1

      Kuzaliwa tumbo MOJA siyo kufanana tabia, HIVO kuwa chama kimoja si sababu ya kuamini kuwa wote ni waonevu🚶

    • @user-po5tm4we4b
      @user-po5tm4we4b 8 месяцев назад

      Akamsikilize lisu Jana amesema yeye na mboe sio kila kitu watafanana kwenye mitazamo

    • @user-bx3kl4hn6j
      @user-bx3kl4hn6j 8 месяцев назад

      @@stellamsokwa6785 sasa wanaposema ccm ndio chama pekee kinachotatua kero za wananch, je kero izo zinaletwa na chama gani

  • @abdultandala6576
    @abdultandala6576 8 месяцев назад +1

    Makonda uishi sana, nakuomba upatapo kero uhakikishe unazitatua kama hautofanya hivyo itakua kazi bure kuwachosha watu kutoa kero zao yangu ni hayo.

  • @gosbertmuta5421
    @gosbertmuta5421 8 месяцев назад

    Dah inauma sana raisi wetu ndo huyu sisi

  • @user-kd3ey6ez5s
    @user-kd3ey6ez5s 4 месяца назад

    Nahitaji namba ya Baba Makonda nimefurahiya mambo unayo tenda huko kwenu sisi uku kwetu Congo nishida na matatizo.

  • @jaymalebo2159
    @jaymalebo2159 8 месяцев назад

    Makondaa Mungu akubariki

  • @vickysteven1172
    @vickysteven1172 5 месяцев назад

    Mungu akutunze makonda wasikumalize

  • @jamilahjamilah4157
    @jamilahjamilah4157 8 месяцев назад +3

    Yani makonda mheshimiwa samia alichelewa sana mheshimiwa waziri mkuu majaliwa peke yake anachoka na hayo anayosema huyo baba ni kweli lakini samia aliyataka magufuli aliwatumbua wote yy kawarundisha sasa wananchi wanapata taabu enzi ya magufuli tulisahau hayo yote umeme ulikuwa haukatiki sasa hivi kuazia daa umeme kila kona umeme umekuwa wamgao wananchi wamechoka na tena samia kashutuka mapema yani 2025 ccm tungepata shida sana

    • @ibrahimally8073
      @ibrahimally8073 8 месяцев назад

      Hapana mama hakuchelewa kumleta makonda.. mama alikuwa anasubiria muda sahihi wa kina lissu na mbowe waanze propaganda zao ndio amlete kiboko Yao .. yaani kura za wasukuma tu zitampeleka mama mpaka 2030..

    • @user-fb6dh6sz2g
      @user-fb6dh6sz2g 8 месяцев назад

      ​@@ibrahimally8073thubutu watu wa sikuhizi ni waelewa hakuna mjinga Tena nakuambia. Na watu wamechoka uonevu haswa

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 8 месяцев назад +1

    Nafasi ya Makonda ni ndogo sana.Apandishwe cheo zaidi.Anafaa kuwa CAG,sheria imruhusu kupeleka wahalifu Jela.

    • @tanzcanmediatv4473
      @tanzcanmediatv4473 5 месяцев назад

      Ni kubwa kwani hata cag anachaguliwa na rais kwahiyo makonda anauwezo wa kumuadibisha

    • @marthaswai1185
      @marthaswai1185 5 месяцев назад

      @@tanzcanmediatv4473 Hii nafasi hajaapa.Apate u CAG

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 8 месяцев назад +2

    Nchi inaongozwa na serikali ya chama gani na wezi wsnstoka chama gsni?

  • @davidonelinetv4576
    @davidonelinetv4576 8 месяцев назад +8

    Daaah inauma sana😢😢

  • @nbanba7138
    @nbanba7138 8 месяцев назад

    Hii sasa safi👍

  • @azizalivingston1954
    @azizalivingston1954 5 месяцев назад

    Hongela baba hii ujasir mkubwa

  • @safiaothman5175
    @safiaothman5175 6 месяцев назад

    Kweli kabisa,Wizara ya Ardhi imekaa ufisadi,Halmashauri ya Dodoma wamepandikiza hati miliki feki

  • @user-uk9vm5jn9d
    @user-uk9vm5jn9d 5 месяцев назад

    Mheshimiwa makonda wanawake tumebeba mboga sanna tunanyeshewa na mvua jua letu mvua yetu tunaomba utusaidie tunaumia sanaaa

  • @scolasticakaduma5143
    @scolasticakaduma5143 8 месяцев назад

    Kanda ya Ilala DSM tunakusubiri kwa hamu sana Mwenezi Makonda.

  • @AlexisAjwantos
    @AlexisAjwantos 3 месяца назад

    Uzuni chapa kazi bb

  • @user-gx7uk1qe6n
    @user-gx7uk1qe6n 5 месяцев назад

    Daah inauma sana aise 😥😥😥

  • @eggysulle7988
    @eggysulle7988 8 месяцев назад +1

    🔥

  • @user-dh7yg6dl5e
    @user-dh7yg6dl5e 5 месяцев назад

    Nampenda huyu baba anaongea sana😂

  • @zuberisalum2004
    @zuberisalum2004 8 месяцев назад

    Kazi za wakuuu wamikoa wawilaya mpaka aje makonda inaalilah wainalilahi lajunnn tuuogope uongoz sababu utaleta laana kwenye vizaz vyetu kila unaemuongoza analalamika kasoro family yako tu

  • @user-hl4xg9jf6r
    @user-hl4xg9jf6r 7 месяцев назад

    Maneno yakenimazu lakiniukweli haupo ccm

  • @user-bd1qi9lk9y
    @user-bd1qi9lk9y 5 месяцев назад

    Tukipatikana Wana ccm kumi kama Hawa tutavuka bila shida

  • @dinaalfani
    @dinaalfani 5 месяцев назад

    Alhamdulilah❤❤ makomd

  • @user-nx5wv6no1s
    @user-nx5wv6no1s 5 месяцев назад

    Waaambie babaaaa!!!

  • @eliamkongwa1450
    @eliamkongwa1450 8 месяцев назад +2

    Next president of Tanzania 🇹🇿 p makonda