"NI UONGO, NIFUTENI, WEWE NDO NAKUTAKA" MVUTANO MKALI, UFISADI WAFICHUKA MBELE YA MAKONDA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 292

  • @costantinejohn-xn6lw
    @costantinejohn-xn6lw 8 месяцев назад +11

    Magufuli kwenye mwili wa Makonda..... Eeh mungu tunakushukuru!!!!

  • @radhiambwana3353
    @radhiambwana3353 8 месяцев назад +13

    Hongera Mhe Rais kwakumteuwa huyu Mwenez Ccm inogile

  • @KogaDenha-yy8lt
    @KogaDenha-yy8lt 8 месяцев назад +16

    Mweshimiwa makonda mwenyezi mungu Akulinde Akukinge na Kila baya Akutunze uendelee kusaidia watanzania tunakuomba sana

  • @dennishyera5448
    @dennishyera5448 8 месяцев назад +15

    Duu! Tanzania tunakazi kuna mijitu haina upendo, Mh Makonda big up,kazi nzuri ila uko pekeyako. God bles you.

    • @ramsonramadhan4156
      @ramsonramadhan4156 8 месяцев назад

      Ww hayuko pekeake uyo ..kapewa kazi maalum na ana watu uyo..na Ujue watu walimbeza sana mwanzoni

  • @NelsonSizimwe
    @NelsonSizimwe 8 месяцев назад +4

    mungu akulinde siku zako zote

  • @jaylossiame3077
    @jaylossiame3077 8 месяцев назад +10

    Huyu mwamba 🎉🎉❤❤
    Ungewai kuja hiki cheo walikuwa walikuwa wapi kukupatia. Mungu akupe uhai mrefu

    • @salumjumaruhaga2513
      @salumjumaruhaga2513 8 месяцев назад

      Uhakika hao wengine akina pole pole walikuwa wapiga mapambio

  • @ShijaMpanya
    @ShijaMpanya 8 месяцев назад +10

    Hongera sana mh. Makonda kazi yako ni nzuri sana Mungu akulinde usiku na mchana.

    • @dassustephen731
      @dassustephen731 8 месяцев назад +1

      Huyu so Rais WA nchi Hana mamlaka yoyote.Hayo NI maigizo Tu Magufuli ndo aliweza hayo na alikuwa na mamlaka akiwa Rai's WA nchi

  • @kosherasengasu5093
    @kosherasengasu5093 8 месяцев назад +8

    Hongera Sana mheshimiwa Makonda Kwa utendaji wako uliotukuka.

  • @emmanuelnzaligo6262
    @emmanuelnzaligo6262 8 месяцев назад +15

    Safi kabisa Paul na mungu akutangulie.

  • @EmmanuelMwakyendenge-fd2mz
    @EmmanuelMwakyendenge-fd2mz 8 месяцев назад +5

    Makonda mungu akubaliki pia raisiwetu mama samia kwa kazi njema .ombi langu naiomba serikali na chama chetu ccm fikeni mbarali wananchi wana machozi juu ya arizi yao

  • @gracewayanga7509
    @gracewayanga7509 8 месяцев назад +15

    Mh Makonda mungu akupe maisha marefu

  • @kulwaemmanuel2875
    @kulwaemmanuel2875 8 месяцев назад +13

    Yaani haki ya Mungu huyu diwani amenifanya nimetoa machozi kwa hayo maelezo yake especially hayo ya kwanza daaaaa!!! Nimegundua hii nchi wanyonge hawana sehemu ya kulalamikia, big up sana Makonda your a voice ya wanyonge, Mungu azidi kukuhifadhi kwaajiri ya hili taifa.

    • @beatrice4780
      @beatrice4780 8 месяцев назад

      ❤AMEN. Mungu azidi kumuinua.

    • @PeterMollel-o2v
      @PeterMollel-o2v 8 месяцев назад

      Lakini wananchi tuwamke jamani na tuacheni kuburutwa na C.C.M. kwani walikuwa wap miaka zote hizo mpaka leo miaka 60 wakitawala wananchi wake wakinyanyapaliwa? Lakini ikifika miaka kuelekea uchaguzi ndyo wanajitokeza kutuvumba macho kuwa wanatujali Sisi wanyonge ili wapate kula zetu ili waendelee kututawala. Na yote yakiwa yanafanyika wanaotawala ni wao wao tu C.C.M. Kwa hivyo niwaombe wananchi wenzetu tuwamke na tusiwe kama vile tumekorogwa na C.C.M.

    • @margaretkato5178
      @margaretkato5178 8 месяцев назад

      Hata mimi machozi yamenitoka

  • @MwanneHussen
    @MwanneHussen 8 месяцев назад +1

    Safi sana Makonda wakomeshe watanyooka tu hao mungu akulinde❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @kantategodwin6627
    @kantategodwin6627 3 месяца назад

    Hongera sana Makonda ❤

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co 8 месяцев назад +7

    Mh. Makonda hongera umakua matumaini tena kwa watanzania

  • @TibihikaGerad
    @TibihikaGerad 8 месяцев назад +6

    Mh makonda nakupenda sana na siku nikikuona nitapambana nikushike mkono ata kwa kupigwa na walinzi wako💯💯

  • @njuka3515
    @njuka3515 8 месяцев назад +7

    The coming presdent paul makonda❤

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 8 месяцев назад +3

    😂😂😂😂😂Makonda Oyeeeeeeeee kuwaa.uyaonee😂😂😂😂😂😂😂 Manyaraa nziiiiiiiiiiiii😂😂😂😂😂😂

  • @SalimKombo-xo4pq
    @SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад

    M.mungu atakubariki makonda

  • @AngelHamad-d6q
    @AngelHamad-d6q 8 месяцев назад +3

    Cheo ulichonacho Ndg Makonda nahisi n kidogo na hakina meno. Nakuombea kwa Mungu upande zaid ya hapo hili utusaidie Watanzania.

  • @SaidJabiry
    @SaidJabiry 8 месяцев назад +4

    Mh pomakonda nakupenda sana umenikumbusha mbalisanaa

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt 8 месяцев назад +6

    Good Mr. Makonda the next President 💪🏿

  • @SuzanaPokella
    @SuzanaPokella 4 месяца назад

    Uko vizuri sana kiongozi

  • @mbematv7588
    @mbematv7588 8 месяцев назад +2

    Good too! 🇹🇿

  • @LalasalamaBB
    @LalasalamaBB 3 месяца назад

    Mungu akulinde makonda sio rahisi kazi unayoifanya maadui wko.kma ungekuwa kwetu Kenya ungekuwa zaidi ya ruto

  • @costantinejohn-xn6lw
    @costantinejohn-xn6lw 8 месяцев назад +1

    Duuuuuh kwenye kazi Kuna kazi

  • @YonaAinea-vq3gp
    @YonaAinea-vq3gp 8 месяцев назад +1

    Namkubali sana makonda

  • @deogratiusmgute5983
    @deogratiusmgute5983 8 месяцев назад +5

    Excellent Dc

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 8 месяцев назад +2

    Diwaani pita hapa Safiiii..mh MAKONDA.❤❤❤❤

  • @saimonntani6831
    @saimonntani6831 8 месяцев назад +3

    Sasa mazungumzo yanini wakati mnasema mwekezaji alifutiwa kweli bongo nyoso😂😢😅

  • @DavidMaweni
    @DavidMaweni 2 месяца назад

    Namkubali sana diwani,

  • @Enerygozbet
    @Enerygozbet 8 месяцев назад

    Diwani upo sawa sana nice one

  • @JamesChrizestome
    @JamesChrizestome 8 месяцев назад +7

    Ni kweli kabisa wafanyakazi wa ardhi ndiyo chanzo cha migogolo na hata Mkoa wa Kagera mpaangalie kwa jicho la pili

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 8 месяцев назад

    Mwenyezi mungu akubariki na akulinde saana 🎉❤paul makonda

  • @RojasiMsuya
    @RojasiMsuya 8 месяцев назад +8

    Kweli makonda anafanya nyayo za hayati magufuli

  • @ndayizigasamson665
    @ndayizigasamson665 7 месяцев назад +1

    Aise mweshimiwa Makonda MUNGU akupemaisha marefu yakuwasaidia wananchi. Mwenyewe nimeipenda.

  • @QwaridaNadamassay
    @QwaridaNadamassay 8 месяцев назад

    Makondakm magufuli wetu jmniii Mungu mwema akubariki Sanaaaa Baba....maombi yetu hayatakuwa bureeeee aminaaa

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 4 месяца назад

    Mungu nimwema

  • @annejacobilkiuyoni2971
    @annejacobilkiuyoni2971 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde🙏

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 8 месяцев назад +3

    Jiwe walilolikataa wash
    @Makonda Mwenyez Mungu akutie nguvu ndugu yangu

  • @WinnieBenard-x5c
    @WinnieBenard-x5c 8 месяцев назад +2

    Makinda amebadilika sana utoto umemtoka amekua sasa anajua majukumu . Kudoss to his mentor hayati magufuli😢

  • @misembe
    @misembe 8 месяцев назад +1

    Safi sana makonda

  • @HamadSwaleh-f9i
    @HamadSwaleh-f9i 3 месяца назад

    Next president bila kupingwa

  • @mistahkeytvkenya4211
    @mistahkeytvkenya4211 4 месяца назад +1

    Walipo mumaliza John walifikiria kuwa wameimaliza Tanzania,Hila mungu nae ni mkuu akamuamusha maguu mwingine mwenye jina tofauti kuwa makonda,,twakushukuru shuja makonda

    • @BoisDonkoil-rk8lr
      @BoisDonkoil-rk8lr 3 месяца назад

      Eti heeeh 😂😂😂😂walipo muua Yesu walizani amekufa kumbe badala yake injili yaendelea, Makonda endeleza walicho kuanzisha Baba zetu wa taifa mwalimu Julias kambarage Nyerere pia Mwalimu Johnie pombe Magufuli hiyo ndio faida ya kuzaa viongozi hao wameonyesha uzalendo tunajifunza mengi.. Mungu pekee astahilie sifa zake njema na wakati wote akutangulie popote duniani

  • @Zawadi.juma.t9
    @Zawadi.juma.t9 8 месяцев назад

    Uko vizuri Sana mueshimiwa makonda

  • @henrykanyumi6882
    @henrykanyumi6882 8 месяцев назад

    Mungu aifariji family na watanzania wote

  • @MussaEmmanuel-r9o
    @MussaEmmanuel-r9o 8 месяцев назад +10

    Mh Rais tunashukuru Kwa kumteua Makonda ombi langu kama itakupendeza mteue na polepole washirikiane na huyu mwamba

  • @juliusntandu4302
    @juliusntandu4302 8 месяцев назад

    Ee Mungu ninaamini unasikia Kila kitu leo ombi langu kwako ulinde mh Makonda na mh Rais wetu Mama yetu Mpendwa Dr. Samia Suluhu Hassan aliyemteua licha ya wengi kumchafua lkn mama aliiona talanta yake ya uongozi kwa Kijana huyu mchapa kazi. Mungu ibariki Tanzania Amen

  • @an-noormedia2881
    @an-noormedia2881 8 месяцев назад +2

    Dc mzuri saana maashallah

  • @maigarasamwel8441
    @maigarasamwel8441 6 месяцев назад

    Huyu ndo diwani sasa👏

  • @jacksnyama
    @jacksnyama 8 месяцев назад

    Siasa weee nakukubari mzee siasa

  • @AishaDauban
    @AishaDauban 8 месяцев назад +1

    Hapa kwa makonda nakiona kiatu alichokua akikivaa magufuli taar kimepat mrithi . Mungu akulinde mh makonda

  • @bonifacemushijoseph9382
    @bonifacemushijoseph9382 4 месяца назад

    Mhe. Ningetamani sana sana ujue dhuluma inayoendelea Tchibo estate mikataba yao tulitamani wananchi kujua, barabara mbaya tofauti na wawekezaji wengine

  • @hassanyohna6121
    @hassanyohna6121 8 месяцев назад +4

    Makonda Ukuje na kwetu Kunamajizi hatareee

  • @ikajiissa6556
    @ikajiissa6556 7 месяцев назад

    Makonda mungu akulinde wewenimwamba

  • @MarcelineMallya
    @MarcelineMallya 8 месяцев назад +1

    Mungu akulinde makonda namimi nimezurumiwa ardhi namwanangu

    • @Aisha-lj8bu
      @Aisha-lj8bu 4 месяца назад

      Sasa mwana kakudhulum au kachukuwa cha mzee wake

  • @dorcusnkwao5714
    @dorcusnkwao5714 8 месяцев назад

    Big up katibu mwenezi

  • @mussakashinje8733
    @mussakashinje8733 2 месяца назад

    mikoa mingine hazifanyi kazi only mkonda baba fanyakazi

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 8 месяцев назад +2

    Kazi ipo sana

  • @allyfutto8763
    @allyfutto8763 8 месяцев назад

    Big up to makonda watu wabadirike wawache Ufisadi 🇹🇿💪🏿

  • @josephphilipo-r6c
    @josephphilipo-r6c 8 месяцев назад +6

    Siku ukigombea uraisi nitaa muka saa8 usiku ili niwahi kukupigia kula maana namuona magufuli ndani yako .mungu akubaliki sana siku moja uwe raisi ktka inchi hii haki itatendeka sana

    • @alvinsafi2733
      @alvinsafi2733 6 месяцев назад

      Hahaha Labda tumuulize Tundu lissu kuhusu Makonda..😂😂 Kumbuka huyu jamaa alikuwa mkuu wa mkoa DSM unajua kuna mauchafu mangapi alifanya? Akataka kuwa mmbunge wa Kigamboni unajua kwa nini alikosa ubunge? Sasa huo uraisi ataupataje na nani atampa.. Ccm oyee..😂😂😂

    • @estherkibajiro3480
      @estherkibajiro3480 3 месяца назад

      Namimi pia❤

  • @stevenshija2848
    @stevenshija2848 8 месяцев назад

    Huyu mkuu wa wilaya safi sana 🔥🔥🔥

  • @YustaCharles-q6t
    @YustaCharles-q6t 8 месяцев назад +1

    No ya mheshimiwa makonda inapatikana

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 8 месяцев назад +3

    Watalaam wengi ni biashara binafsi.Wanamezwa na,kwenye ukwasi
    Kuishi eneo moja kwa miaka mingi mtumishi mtalaam nalo nitatizo.

  • @cvaginga9956
    @cvaginga9956 8 месяцев назад +1

    HONGERA SANA MHESHIMIWA MAKONDA. MTU KAZI. HUNA MBA MBA MBA. TUPO NYUMA YAKO. KAZI IENDELEE

  • @atugonzalugemalila5142
    @atugonzalugemalila5142 7 месяцев назад +1

    Hii kazi ilipendeza aifanye waziri mkuu ila ccm mjitafakari muda ni mrefu miaka zaidi ya 60 hatukupashwa kuyasikia haya ya enzi za ukoloni

  • @BarakaAlly-z2c
    @BarakaAlly-z2c 8 месяцев назад

    Safi sana makonda wanyoshe sana

  • @FatumaLali-k7z
    @FatumaLali-k7z 6 месяцев назад

    Mh. Mungu akulinde kwa kila baya. Na hao wanaokushutumu Mungu awalani. Mh.Makonda Tanga umepita lakini hukusikiliza kero. Tanga kumeoza ofisi ya ardhi ndio chanzo kikubwa cha migogoro. Lugha zisizo ridhisha. Mh. Kuhamisha sio suluhu yeyote ahusikae na tatizo awajibishwe ili iwe funzo kwa wengine. Kwani huwa wanafubwa macho na wanazibwa masikio na wenye hela na kushikiana na baadhi ya wenyeviti ambao husema umechelewa Magufuli amekufa. Hii sijui inamanisha nini.

  • @alphoncekagezi4950
    @alphoncekagezi4950 8 месяцев назад +3

    Mh Mwenezi kuna box limefungwa la siri(Ebu wasaidie wananchi hao na diwani wao box hilo lifunguliwe.

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 8 месяцев назад

    Nakuombea Mungu akutie nguvu makonda

  • @ev.manassehbayori8560
    @ev.manassehbayori8560 7 месяцев назад

    Makonda umenifurahisha kwa kweli naona utendaji kazi wa Magufuli

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 8 месяцев назад +1

    Hii nchi haki haipo yan kuna uozo sana wananchi wanalia

  • @chalespamagila4783
    @chalespamagila4783 8 месяцев назад +1

    Makonda ipo siku mungu utaongoza hii inchi

  • @npiperito19
    @npiperito19 4 месяца назад

    Laiti kama Mozambique tungekuwa na viongozi wenye msimamo kama wa mweshimiwa makonda, tungekuwa na maendeleo, lakini tunaishia 🤣🤣🤣. Kutoka Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @akidabakary9198
    @akidabakary9198 8 месяцев назад +1

    Semaa,usiogope semaa

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 8 месяцев назад +4

    Diwan naomba apande cheo

    • @margaretkato5178
      @margaretkato5178 8 месяцев назад

      Diwani anafaa sana, anaongea vyema..bigup....na kijana Makonda you are doing wonders.

  • @jumaigoti7541
    @jumaigoti7541 8 месяцев назад

    Pole sana diwani wewe nimsema kweli

  • @MaliusMaliuskagumisa
    @MaliusMaliuskagumisa 8 месяцев назад +2

    Mungu akutunze mweshimiwa makonda mama wetu akukosea pia uwaminifuhuo uwedaima mpa upate kitichauraisi

  • @robertmbuji1903
    @robertmbuji1903 8 месяцев назад +1

    Kidum chama chetu hicho chuma sasa, Mungu akujalie

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 6 месяцев назад

    wakisema unakiherehere bora uwajibu nawatengenezea nchi nzuri watoto na kizazi endelevu waishi kwa haki na furaha na kuichukia tamaa"

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 8 месяцев назад +3

    Haya ndio tunayataks,

  • @HusseniSalimu-y2e
    @HusseniSalimu-y2e 8 месяцев назад +2

    Yani nchi hii watu kama Makonda yatakiwa muwe kama mia mbili ndo mtaiweza hii nchi

  • @FelgusShija
    @FelgusShija 8 месяцев назад +1

    Wanazingua

  • @omaruwakitaa
    @omaruwakitaa 8 месяцев назад +1

    karibu raisi wetu ujae❤❤❤❤❤👏🙏🤗👍

  • @JaphethMbasaRobert
    @JaphethMbasaRobert 8 месяцев назад +1

    Msaidie mama kuondoa madudu haya makonda.!!!

  • @WinfridaEmmanuel-k1p
    @WinfridaEmmanuel-k1p 8 месяцев назад +1

    Baba Amerud ❤️

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 8 месяцев назад +4

    Wananchi wanateseka saana leo hii mtu kama Rostam anawekwa ni tajiri Africa kupitia uwekezaji wa ajabu

  • @MalakiGerald-bh5jv
    @MalakiGerald-bh5jv 8 месяцев назад

    Serikali ya CCM inatesa sana wananchi...haya yote yanatendeka chini ya serikali ya CCM.AIBU SANA

  • @ANNAJOSEPH-c1q
    @ANNAJOSEPH-c1q 7 месяцев назад

    jamaa kawasasa yuko vizuri

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle 8 месяцев назад +9

    Mnawafunga wadogo je wezi wa mabilioni huko juu mbona hawafungwi?jela ipo kwaajili ya wadogo kwa vyeo na maskini.Tanzania mahakama zipo kwaajili ya wanyonge

  • @KandidoLuvanga
    @KandidoLuvanga 4 месяца назад

    Upigaji upigaji upigaji

  • @Pastorsteverotali
    @Pastorsteverotali 8 месяцев назад +4

    MAKONDA UNASTAHILI KABISA KUONGOZA HII NCHI NA WATU WAKANYOOSHWA KAMA ALIVYO WANYOOSHA MAGUFULI

  • @BrunoMakweta-dm5sb
    @BrunoMakweta-dm5sb 8 месяцев назад +1

    Daa mngu akulinde muheshmia unakiatu kzto mtu mngne hawez kukivaa mngu skulinde mheshmiwa

  • @DenisRamadhani-mg1gu
    @DenisRamadhani-mg1gu 6 месяцев назад

    nyoosha mzeee usiwe na huruma kwa wasiotenda haki " usiogope kulogwa wala kufa maana kufa kupo tuu" piga kazi kaka

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku 8 месяцев назад +1

    Hao ndiyo wanao haribu sifa ya serikali yetu

  • @sharafisaidi7999
    @sharafisaidi7999 8 месяцев назад +1

    Kazi hii pia ingefanywa na wazili ofisi ya rais temisemi tukupe hongera

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 8 месяцев назад +1

    😅yaan mtathimin anajistaki mwenyewe

  • @FaithPeter-s1j
    @FaithPeter-s1j 8 месяцев назад +1

    Mmh jmn Tanzania

  • @fidahusseinkassim9778
    @fidahusseinkassim9778 8 месяцев назад +3

    Huyu si ndo yule fisadi

  • @MichaelMfangavo
    @MichaelMfangavo 8 месяцев назад

    Hii nimbengu aliyo panda magufuli mama umetuletea greda ccm juuuu