MWANANCHI AMKOMALIA MAKONDA MBELE YA WANANCHI /MIMI MTATA/UNANITISHIA KUNIROGA/SIWEZI KUMRUDISHIA.
HTML-код
- Опубликовано: 5 фев 2024
- Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
Facebook: / kusagamedia
Instagram: / kusaganews
RUclips : www.youtube.com/@kusagatv6320...
Tiktok. www.tiktok.com/@kusaganews?la...
Makonda na Mimi napendaa kuwa kama wewe nifanyie mpango hapo
Makonda unajua unajua na unajua tena hongera sana
Hongera mheshimiwa makonda kwa kazi kubwa unayoifanya yakuwatetea wanyonge nakuombea kwa mwenyezi mungu akutangulie. UZidi kupambaña usichoke wanyonge tunanyanyasika
.
😂😂😂😂😂mikutano ya Makonda inafundisha sana
Licha yakufunfdisha inasaidia wanyonge kupata haki zao laiti kiongozi Mkuu wanchi angekuwa hivi natumaini kuwa hakuna ufisadi hakuna utapeli hakuna mwananchi mdogo kuonewa migogoro ya mashamba viwanja kubomolewa majumba kwakwe ingekuwa hakuna kila mwananchi angepata haki
@@DAVIDLUTHA😢😅😢😢😢
Uko vizuri sana makonda fanya kazi hata wakikejeri ukweli upo pale pale tu fanya kazi
Nakuelewa saana Paul makonda na tunakuelewa wananchi wa chini saaana Mungu akulinde makonda❤
Yani angepata uraisi huyu aseee
Kiukweli mm moyo wangu unatamani awe na urahisi
Makonda Asante Sana kwakuwepo ukovizuri sna
Hongera sana mheshimiwa a
Unatete nchi baba makoda nimekubari sana dogo
😊
Ndg Paul Makonda nakuelewa sana Mungu akulinde na Kukuongoza kaka
Mungu akulipe makonda unafanya kazi kubwa sana😂😂😂😂
binafs namuelewa muenezi kazi ipo
Arafu yanatokea majizi yanajitokeza kusema Makonda anaalibuchama. Makonda piga kazi
Makonda umeisha mshika huyo amekubali mil6 na 8. Makonda kashika tayari huyo. Hongera mh makonda
Viongozi wetu mtutembelee ss wananchi wenu kamahivi makonda ww mungu akuongoze
Rais Rais Rais ninakuomba umpe Makonda cheo awasemee wananchi Hawa, tazama Bado tuna Imani kubwa na chama cha Mapinduzi.❤❤❤❤❤❤
Uyo jamaa ni tapelii
Nampenda sn Makonda, piga kazi Baba!
Pmoooo
Ndio muelewe mijizi hinakimbiliaga ccm kuficha maovu yao,,
Mitapeli na kila takataka ipo ccm
@@stellahwilfred5762chadema poleeeeee😂😂😂😂😂😂
yeah nimegundua kule wanajificha ili waogopwe kwa sababu ya umaarufu wao wa kwenye chama
Hahaha😂😂😂😂 hyo ndyo tunduma usikute mzee wawat kavurugwa
Makondo MUNGU akutunze mimi mtani wako (gogo) nakuombea sana ni kazi njema kusikiliza kelo za wananchi.
Makonda MTU makini mno.Maswali yako ni hakika na yaliyonyooka.pokea🎉🎉🎉🎉
Jamaa ana uwezo mkubwa sana wa hoja kuwazidi wasomi wengi mno
Mungu akulinde mhe.Makonda ..Mhe.mama yetu Samia Mungu akulinde.tutatua matatizo ya wananchi.5 Tena mama
Tusaidie baba, Mungu akutunze baba.
Fanya kazi Makonda nimekubali uko vizuri
A
Nakuombea sana ufike mbali
Mhe.Paul Makonda tunakukalibisha humu kwetu Nyadarua county
nitapeli huyo maana anavyo jikanyanga😂
Matapeli ni wengi TANZANIA
baada ya makufuri ni wew kazi kazi
Hakika namuona mgufuli magufuli kwa mbali huyu jama napenda sana
Nakuona magufuli wa sasa❤❤❤😂😂😂😂
Mtapeli Huyo
@qonquererqanquerer178achha wivu weweeee😂😂😂😂😊1
Mheshiwa makonda Mungu akuzidishie sana wema uliona nao wa kuwatatulia changa moto Watu, vijana tuna kupenda sana
Sahih
Makonda Fanya Kaz baba Mnguhakulinde Hakuzidishie Nguvu
Asiye na shule anafanya makuu,Hongera RC Poul Makonda,mtu ana aibu eti usichanganye mkuu hataaoni haya ukweli siku zote utabaki na huongo unadhirika waziwazi,na rudi tena kusikiliza tena siasa baada ya Jpm .
Asante kiongozi bora
Hii kesi ningepewa kuiamua mmi angependa huu mzee tapeli
Et anaonea wamama n wabibi😂😂😂😂😂😂
Nice
Good approach
Chezea mitego ya Makonda?utaingia kwenye18zake tuu
Wezi tu watumishi 😂😂😂
Makonda nakubari
Unafaa kuwa rais wa nchi hii
Ah kuna watu ni watu
Kazi kazi makonda
Sana jembe mungu awe mbele yako
Fanya KAZI baba ❤❤
Unabaya makonda bola nife we uish2
Hatari sana
Wanamchanganya ty baba wawaty
Na mimi nimewasha ukuu sijui kama imeonekana.
Samia tena aaah
Sheria ifuate mkondo
Hapo patamu sana
😊
shenzi hivi vizee
Jaman huy niwizi
Duuh mbona hatari
Mbona Watu Mnasema Habari Za Mahakama Nyerere Alisema Muda Mwingine Kiongozi Uwe Kama Chizi Ndipo Watu Wakuelewe Sasa Kama Mahakamani Shelia Za Kesho Keshokutwa Wacha Raisi Apitishe Kauli Yake Na Ya Chama Alafu Vizuli Zaidi Wananchi Ndio Wako Kwa Ajili Ya Kujua Tuliowapa Zamana Wanafanya Mambo Gani Haki
Haya ni maigizo ya wazi😂
Hahahahaha kwa hiyo hapo ndiyo mahakamani???!!!! Tanzania Elimu bado sana!
Kazi ipo
Mimi nilishadhurumiwa kiwanja na kuuziwa na mwenyekiti wa kijiji ila kwa sasa ni marehemu Mwenyezimungu amsamehe dhuruma ni mbaya sana nikikumbuka nilivyoitafuta hiyo hela kwa shida daaah!
Pole sana
Pole Sana😭
2:25 safii😂😂😂
Mkuu muheshimiwa makonda hawk wenye kiti na wajumbe wapowengi wanajifanya niwajanja wakisha pewa uwongozi wadabishe has a we we unafaa kuwa raising kama magufali mungu akutangulie.
😮❤
Bongo hakuna sharia kabisa mambo ya zamani sana
Makonda oyeeeeeee
Huyo mzee ni kibaka kabisa.❤❤❤🎉😢😢😢😅😅😅
Huyo ni tapeli mkubwa sana
Makonda kasomea sheria au anagombea matatizo! Hiyo kazi ni ngumu sana. Maana wenye matatizo ni wengi zunguka na watu wa sheria
wanasheria kama woteee anatembea nao
Kweli wananchi wanaonewa sana
Ana wanasheria ndio maana akisikiliza watu anawambia nenden kwa mtu fulan mkaandike maelezo atafatilia
Kiti chako kiko mbinguni❤❤
Kunawatu wana yatimba live live
Mungu afikishe muheshimiwa mako danda hadikufia uraisi naawe nahosafi hi hi alokua nayo
Hii nimeipenda😂😂😂😂
Uliaandikaje mkataba bila kupewa pesa
Yaani Tanzania hii nzuri sana nyie mpaka nimeangalia mpaka mwisho 😂😂😂😂😂😂
Makoda mdogo wangu pigakazi wengi nimatapeli wanatuaribia chama wanyonyoe hao
Makonda bana😢
chadema ishavukaga hapo tunakuzuga mambo yaende tukutane kwenye uchaguzi kwa katiba. mpyaa.
Hawa wanatuharibia chama
😂😂Nacheka jinsi jamaa alivyo jichanganya mwenyewe
Mmmmm
Makonda yani unaturudisha ccm na tunarudi wenyewe, mungu akulinde
Hao ni hayo hayo ma CCM
Makonda jamn. Kuna zawadi yako mbinguni
Makonda akiwasha
Nakupeda sana makonda washa toshi makongoroshi chunya 15:54 😅
Makonda kiboko 😅😅
Yaan Mhe Makonda wewe Jembe. Endelea hivyo hivyo.
Makonda kipenzi cha watanzania
Mambo 😂😂😂
Apewe uraisi huyooo Paul makonda
Feroz🎉
Uyu mzee nimependa msimamo wake
Uyo Mzee Mtata amezoea zuruma
Haki nimekuelewa mweshimiwa Mungu akutunze ututeteee
🔦
MH MAKONDA USIRUDI NYUMA WANANCHI TUNAKUPENDA
Makonda nakukubari sana baba