MAKONDA AMPA MILIONI 10 MTOTO ALIYELAWITIWA KWA NIABA YA RAIS SAMIA, ASHINDWA KUVUMILIA ATOA MACHOZI
HTML-код
- Опубликовано: 14 окт 2024
- Mwanamama mkazi wa Iringa amemueleza Mwenezi Makonda changamoto nzito anayoipitia kutokana na mkasa aliyokumbana nao kutoka kwa Dada yake aliyemtendea vibaya mtoto wake wa kiume ambaye kwasasa ana miaka 5.
Mwanamama huyo amesema alikuwa Iringa na baada ya kukosa nafasi ya kuongea ilimpasa kumfata Mwenezi Makonda hadi Njombe ambapo ndipo amepata nafasi hiyo, Katika maelezo yake amesema awali mtoto wake alikuwa mzima wa afya na alipomuacha kwa dada yake akampiga, kamvunja miguu na mikono na kumpasua maeneo ya kichwani pamoja na kulaitiwa vibaya kiasi cha kupelekea kuoza.
Ameendelea kueleza kuwa ametoka Iringa kufuatilia kesi yake huku mtoto akiwa ICU kitengo cha MOI hospitali ya Muhimbili zaidi ya miezi miwili kwa matibabu lakini ana zaidi ya miaka 3 bado haki haijatendeka kwa mtoto wake na ameshindwa kwasababu aliwekwa chini ya ustawi wa jamii.
Baada ya kuendelea kufuatilia zaidi, Mama huyo ameeleza kuwa kupitia ustawi wa jamii walitoa hukumu kwa huyo dada yake ya kumlipa fidia ya Tsh Milioni 2 na kumpa kifungo cha nje cha miaka 3 na kijana wake aliyefanya tukio la kumlawaiti mtoto wake kuonekana hana hatia kwa madai kuwa mule ndani kulikuwa na wavulana wawili.
Mwanamama huyo ameonesha simanzi kubwa zaidi na kumueleza Mwenezi Makonda kuwa ameishi miaka 3 katika kituo cha watoto yatima akiwa chini ya ustawi wa jamii bila mtoto wake kupata msaada na zile milioni 2 alizokuwa amepewa kama fidia akazitumia kwa kipimo cha CT Scan kupima masikio na macho na hadi hatua aliyofikia mtoto kwasasa ni hawezi kufanya chochote hata kutembea hawezi.
Mwanamama huyo amemuomba Mwenezi Makonda kumsaidia kwakuwa anatakiwa kwenda kliniki katika hospitali ya Muhimbili kila baada ya miezi 3 na hajaenda mwaka mzima katika mwaka wa 2023 kutokana na kukosa fedha ya kukidhi na Bima yake ya Afya imeshakwisha muda wake.
Kutokana na hayo yote na kwa kwa upendo na dhamira njema ya Mwenyekiti wa CCM na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenezi Makonda amemueleza mama huyo kuwa Chama Cha Mapinduzi kitamsaidia kumpatia Bima ya Afya ya Mama na Mtoto, Kumpatia Kiasi cha Tsh Milioni 5 kumuwezesha katika biashara pamoja na kumsaidia kumfikisha Dar es salaam kwaajili ya kuudhuria kliniki katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
😭😭😭😭Dah nasikia Uchunguu nahisi Moyo unataka kupasuka Mungu msaidie Uyo mtoto Makonda Mungu akulinde pamoja na Mweshimiwa Raisi Mama Samia🙏🙏
Mungu tulindie watoto zetu
Nimeumia sana ,nimelia sana Dunia Ina mambo mengi,matatizo nimengi, Mungu tunamuani sana ,majibu ya daktali na Mungu ni vitu viwili tofauti, Mungu naomba utende muuniza mtoto huyu apone.Moyo wangu umeumia sana.pole sana mwanamke mwenzangu.
Big up makonda wew umewekwa kwa kusudi la Mungu, mwenyezi Mungu aliyekuleta duniani azidi kukuinua kwa viwango vingine na aendelee kukupa afya njema wew na familia yako
Binadamu wamekuwa katili sana,kuna mambo yanaumiza sana. Nimevaa viatu vya hyu mama hakika vinanibana. May God bless u Mh. Makonda, kazi unayofanya ni zaidi ya utume. Tunakuombea.
Asante makonda kwa kazi nzuri ila hao watu washugulikiwe kisawa sawa nahuyo aliye hukum hiyo kesi angekaa pembeni kwanza kesi ianze upya
Makonda nakukubali mpaka maisha yangu yote
Mungu akubariki sana Makonda pia tunakuombea uje uwe Rais wa Tz miaka sijazo
Siwezi kupita bila kuaca barka kwako Mwenyezi Mungu Akupe afia njema akulindie familia na akupe furaha ya moyo akut7nze wewe na familia yayo aongoze kazi zako na akupandishe darja akupe mwisho mwema amin 🙏
Barikiwa Makonda kwa kazi ya Mungu unayo fanya.
Kazi nzuri unayifanya Makonda usivunjwe nguvu na mtu yeyote
Mungu akulinde mh Makonda kwa kazi unayofanya
Natoa pole sana kwa mtoto na mama anaeangaika kuuguza muda wote bila kusahau mweshmiwa makonda. Mungu awabaliki sana binafsi Sina lakuongea ila tu itoshe kusema mungu akubaliki wewe na mama Samia pamoja na selikali Yako. Inauma sana
ur the best leader for sureu remind me Dr John Pombe Magufuli our late president😭
Daah dunia inatisha.Ndugu ndo wanatuumiza kuliko hata maadui zetu😢😢
Moyo wanqu umeumia sana munqu ndiye muweza atawalipia makoda munqu akulinde baba umekua kama mzee makofuli asante sana
Pole mama Kwa jaribu ilo big up Makonda
Kaka Mimi nakuombea sana!! Umekuwa msaada japo Kwa hao wachache!! Yamkini kupitia wewe Kuna watakao badilika na kuwa na hofu ya mungu!! Kwa kuwatendea watu yaliyo mema!!! Mungu akulinde ndugu yangu
Huyu makonda anafanya mambo makubwa sana hakika mungu amusimamie katika safali yake yamaisha
Huyu tayari atachukua urais baada ya samia labda afanyiwe roho mbaya na chama
Yaani dada yako ndio kamfanya hivyo mtoto wako?? Looh Mungu nipe umri mrefu nilee watoto wangu mpka wajitambue
Amiiin.
Mungu tutunzie watoto wetu huyu mama analiza jamani
Mungu akulinde baba makonda
No way out. God may bless you Makonda.
Hii ipo sawa mungubatambariki makonda
Kama kweli dada yako ndie alisababisha mtoto wako awe hivo mungu amlipe stahiki yake
InshaAllah..🙏
Unanifurahisha Sana kaka makonda mungu azid kukuweka hai brother
Ni kweli kabisa Makonda Mungu yupo
Ahsante Mungu kwa kiongoz kama Makonda
Allah awalipe kila.lenye kheri wotee mliojitolea kufuta machoz ya mama🙏makonda Allah akupe ulinzi wake
Huyo mama na vijana wake walifanya tukio Hilo kwanini wasifungwe maisha lela kitendo kama hicho kakikubariki
Mhe. Makonda Mungu akutunze🙏🙏
Pole sana mama mungu Yuko pamoja na wewe,,
Mokonde Allah akulipe kaka yangu
Kuna watu makatili dunian nimelia jmn mungu 2nusuru vizazi vye2 na vya wenze2
Mungu Atukuzwe sana
Yesu nilindie uzao wangu 😭😭😭😭
Amina🙏
❤❤❤daaa! kweli nimeamini makonda nimagufuri wakesho
Dah pole sana mama angu mungu atakusaidia😢
Aise maskini ya mungu daah mungu amusaidie huyu mama
Pole sa mwanamke mwenzangu MUNGU akukumbuke akuponye moyo ulioumizwa juu ya uzao wako
Mweshimiwa makonda MUNGU akuabariki sana hakika sada hiyo niulinzi tosha wa watoto wetu.
Kazi safi Makonda
Jamani makonda Mungu akulinde
+MUNGU+ ni MWEMA MILELE yote ISAYA 54:10🙏🙌🙌
Daah😢😢😢😢😢 nimelia eti amishwe huyu mama kwenye hilo eneo
Mungu akubarik kwa kusaidia wanyonge story ya huyu mama inasikitisha sana na inaliza sana.mungu akulipe jamani mmmm
Jehova ...🙌
Mungu akubariki sana
Subuhanallah. Walitaka wamuue huyo bila sababu mtoto
Mungu amsaidie uyo mtoto
Makonda Raisi wetu wa baadae Tanzania
Mungu akutunze makonda mpaka nimelia 😭
Mungu atakusaidia mam napia atuepushe
Yani japo amepewa izo pesa zot lkni bdo maumivu nayasikia mimi aisee binadam tunanini ety
Hata mwenyewe asanteni kwa michango,ila maumivu,uwiii
Uyo aliye mlawiti mtt Yuko wapi ?! Yani hana hatia kivipi?? Uuuuuuwwwwi Mungu nilindie kizazi changu mm nitakufa na mtu pumbavu zao wabakaji Apigwe mawe hadharani adi afe 😢😢😢
Halafu mwana sheria mkuu wa serikali Ana m beza makonda.
😂😂😂ety nitakufa na mtu, mambo mengine yanatia hasira mtu kabaka halafu hanahatia kwasababu walikua wawili😂😂duh
Uyo Hakim angekuwa mtoto wake angetoa iyo hukumu kweli?Yaani wanathamini rushwa kuliko utu afukuzwe kazi uyo hakim
Mim mwenyewee nasema haooo wanao lawiti watu wasijicganganye kweangazetuuu
Hai Nahid Hainan sheria na sababu watu wasingeendelea kufanya uhalifu😢😢😢
Mashaallah
Jaman tujifunze tukae nawatoto wetu
Duuuh nimelia sana jamani 😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Mungu wangu du hii Dunia inaelekea wapi ?
Makonda MUNGU akulinde sana angalia jinsi watu wanavyokuja kutaka uwasaidie uwatatulie matatizo waliyo nayo ukweli wewe ni kijana wa magufuli uliachwa na unafuata nyayo Mungu akupe afya njema
Huyo dada kweli kiboko kampasua kichwa
Binadam binadam yaan dada yako wa dam mmmh mungu tunusuruw😢
Ole wake huyo dada yake na huyo mwamawe walaaniwe 😢😢😢
Mungu akutagulie
Magufuli style this is nice
Hao watu police wawakamate upya. Justice for our son. Waende Jela wakafundishwe tabia wote waliosika. 😢
Aisee Kila siku nasema Kaa na mwanao tu
Uwiii no comments munguu wangu
Kichw cha Habari hakipo sawa ety Mtoto aliyelawitiwa kwa niabaa ya Mama Samia 😂😂😅
Makonda atoa milioni 10 kwa mtoto aliyelawitiwa kwa niaba ya mama Samia. Sasa nn hujaelewa hapo wakati maelezo mazuri tu
Wewe ndio umekulupuka kusoma ludia tena
Mungu retekiamatu
Pole mama viatu vyako havitnitoshi
Watu niwakuogopa kuliko Simba binaadamu nimbaya sana kwakweli Allah amsaidie huyo mtoto na amlinde huyo mtoto
Nilipokuanasikilizamachùźi yanànitoka kwa uchungùpoĺè 7:0😢5 😊
Najifunza kitu "hakuna lililositirika ambalo halitawekwa wazi, muda tu!
Jemedari ubarikiwe baba na wananjombe Kwa ujumla
Huyo dada mungu atamlipa kinachomstahili
Hii jamani 😭😭😭😭
Eeh Mungu wasaidie Hawa watoto wa leo
Washikwe mheshimiwa wahusuku waadhibiwe kabisa mungu akuhufadhi na mabaya yote Kaka
Daaàah pole saana
huruma kweli
Kutowa pesa kwa ajili ya wabakaji kwangu ata unipe birioni mutoto ni mutoto uchugu utabaki pare pare chamusigi ni kusoka dani maisha hukumu
Mungu wangu jamaniii
Makonda amechukuwa nafasi ya makufuri ni mtetezi wa wanyonge ,jamani hii ndunia Ina mambo mengi Sasa unaenda kumfanyia mtoto hivi jamani mbona roho za huruma zimeisha mtoto amezaliwa vizuri mkamtie ulemavu jamani haaaa!!! Nimeumia Mimi uwiiii
Yaan kwa nna jisikia hapa Mungu tu ndie anae jua ningefanya nn watu kama hao kama ningekua kiongozi ni kunyonga tu pumbavu zao maana hata wakitoka hawawez kuacha huo ushenzi sion kama kuna haja ya kufungwa wao waendelee kumaliza chakula tu cha jela mi ni risasi tu pah pah pah pah kwisha habar yao tusiumizane vichwa sitsk ujinga
Huyu mama ameniliza sana
Alafu mwandishi kaandika milioni kumi😂😂.makonda njoo uwatumbue hawa wanaandika wanacho kijua wao😂😂
Viongozi wenye nia njema kama makonda wapo wengi lakini wanazidiwa na wasakatonge
Milad Ayo hebu angalia namna ya kuchagua heading za Habari zako: kichwa cha hii Habari ni aibu:
Waliofanya wachukuliwe hatia plz
Nimelia sana
Moyo unauma jmn daah
Pamoja na fedha hizo waliofanya unyama huo washughulikiwe kikamilifu ....fedha haziwezi kununua utu au uhai jamani
Makonda naomba ugombee uraisi labda tutapona
😢😢💔💔
Mama unamwona mwanao makonda? Akiendelea utaonamaaajabu mchi omejaa madudu kila sehemu. Rais Rais Rais.Makonda apewe cheo awasemee wananchi.
Milard ayo camera zenu noma
Haya ni mambo ya kishilikina
Yaani nilikua sielew kwa nn kuna watu wanajichukulia sheria mkononi. Imagine mtu anafanya upuuzi kama huo halafu unamuona uraiani anatembea haki inauma sana. Ingekua magu yupo maamuzi yake tungependa. So sad jaman😢😢😢😢
Kwakweli hasaidiwe huyu mama..