Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.
Prince Katega wa pili Aanika SIRI NZITO Kuhusu SURA YA YESU Badae tutafuta VIDEO HII INATISHA SANA
HTML-код
- Опубликовано: 1 мар 2020
- Prince Katega wa pili Aanika SIRI NZITO Kuhusu SURA YA YESU Badae tutafuta VIDEO HII INATISHA SANA
Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
/ tricodmedia
LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
/ tricod-skills-11524157...
FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
/ tricodskills
#mwafrika
#yesumweusi
#princekatega
Namsikiliza prince,na moyo wangu unahisi fahari ya ngozi nyeusi,fahari ya mwafrika.mashallah
Na ndio maana kwa jina la Yesu tumeishinda corona ila wazungu inawatesa mpk leo hii ni kwa sababu Mungu wa mbinguni yupo upande wetu....
Tutabarikiwa tukijijua zaidi
Nikweli
nakukubali sana prince. tufumbue macho mtu wa Mungu
Asante unanifungua akiri
Really thankyou for the information
Kuwa muafrica bora Kuwa mbwa mana mbwa inaelewa mvupa natumia na mchicha situmii, ila sisi kama mizoga vile tukipelekwa uku tuna kwenda. Uwezi ukaamini maisha yetu yote yametengenezwa kwenye misingi ya uongo. Kama unakubaliana na mm gonga like
Kabisa
Ubarikiwe sana prince Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako
Ahsante Mheshimiwa. Sisi Wasabato tulishaligundua hilo ndiyo maana hatutumii hizo picha kwanza Amri za Mungu zinatuzuia habari za sanamu. Mungu akubariki maana huo ndio usomi wenye faida.
Unajua Watanzania wengi wana matatizo ya kujifanya wanajua lakini wavivu kufuatilia mambo. Kwanza vitabu hawapendi kusoma, wanapenda kuzungumzia kila kilichopostiwa mitandaoni bila kufanya research kwanza. Huo ni ujinga uliopitiliza. Kama hujafanya research juu ya kitu usipende kucomment chochote cha kupotosha wengine.
Nadhani ukisema wewe msabato kwahio hauja Sanamu ya Yesu umejidanganya. Mimi nimekua msabato miaka 16 nimejua usabato uko aje nilipofika Marekani. Sanamu zipo, misalaba, Christmas zinasherekewa, sikukuu ya kukumbuka wafu huleta vipambio kanisani...kwahio tembea uone
YESU NI ALAMA YA KIAMA. Hujafanya research wew tangu 2015 sina chakufanya zaidi ya biblia si usiku si mchana utaniambia nini mtoto wa mama utadanganya Waco na kwa neno lipi usiwe mkali we kubali hujui kuwa mpole uelezwe
we msabato uko sahihi kuitunza siku ya bwana na niagano la mungu la milele lakn kwa mafundisho ya ellen White nlikula kiapo miaka Mingi kwa mungu mbele ya wasabato kuwa kama Ellen alikuwa wa mungu basi nife mimi na kama siye afe yule msabato amteteae waliogopa kuitetea iman yao richa ya maandiko kusema muwe waaminifu hata kufa lakn amini ellen sio wamungu mpaka anakufa hakuutubia uchawi wakealiopotosha kondoo
Dhiki kuu itakuja lakini sio kama alivyosema Ellen White itakuja baaada ya Vita inayoanza mashariki ya kati yaani uarabuni na nchi ya kwanza kupigwa ikiwa israel na waarabu wote watafata mpaka waliopo africa misri,, Sudan libya,ndipo watakuja manabii wawili ufunuo 11.4 ambao wasabato wengi huamini neno hilo liliamanisha kuwa ni agano la kale na jipya lakn sio ni watu Enoch and Elijah zile nafsi mbili ambazo hazikufa ambao hawakufa tangu mwanzo nakila ataewaona atasema huyuni mimikatika unabii nikama mtu anaejitazama kwenye kioo mwenye maana kila mtu duniani ni mimi ila kwasababu ya dhambi sijaona siri za mungu hayo yatakuwa dhahiri baada ya Vita inayoanza mashariki yakati najua sieleweki ila wakati ule ntaeleweka sana hapo Vita itapokolea maana hakuna ajua dunia nzima wanajua wawili tuu mmoja yupo kolea kusini baada yao ndipo dhiki kuu itakuja na namba 666 itasambwazwa kwa kila mtu ole ataepokea amini maneno yangu ,"""every One is me in another soul """ The world is full of single man in billions number who is me, but sin make me different, no Elijah or Enoch these Two witnessess and olive tree of revelation are single person Who is me, every one is me in another soul
Katega,Biblia ni kitabu cha weusi, siyo siri,ila waafrika siyo wepesi kuelewa ndiyo shida
Respect prince , my salute.
Ubarikiwe Sana kwa utafiti wako
Tutakuelewa tu
Nime shukuru sana Mungu kutu patiya mutu kama wewe God bless you
Mimi kwajina na itwa kisembo Mugenyi nime toka Congo DRC na hishi Canada katega usi ni sahau kwa mahombi kwasabu wewe ni baba yangu
So awesome need activities like you
Asante Mlangila kwa elimu nzuri ila ikumbukwe kuwa kuna wazungu wa eastern na western.. ..hawa wa asia hwana mambo hayo ya ajabu ya kishetani
Thanks for this eye opener, Africa is suffering because of religion as a factor! QN when is this muzungu coming to save African
The form preacher Bill Graham said Jesus was a black man . lets wake up my fellow Africans its our time .
Hongeraaaa prince una uelew mkubw xn
Thank you prince nishakuelewa
Asante kwa ukombozi
Andika kitabu tumechezewa Sana
Hongera sana prince katega wa 2
Hakika mim na amin I kwamba yesu alikuwa mweusi ahsante Sana kwa kufunua akili watu
Asante mzee katega nimekuelewa sana
sawa kabisa
big up mwalimu...
Unajua Katega we huwa ni mjomba wangu sababu mama yangu ni Munkango wa Bugabo Mwemage mie ni matundu wa Kijiji cha Ibosa Kata ya Nyakato Tarafa ya bugabo hapa ndo huwa nakupenda na kukubali mjomba hakika elimu yako ni faida kwetu sisi watu weusi tujitambue na kubadili fikra zetu.
Kbs kabisa prince katega
Iko wazi kabisa muyahudi alikuwa mweusi. Na mtu wa kwanza alikuwa mweusi! Ila mataifa yote yameanzishwa na Mungu mwenyewe
Nisaidie kuelewa Medadi; Wayahudi walikuwa weusi? na mbona sasa ni weupe? na sasa mbona hamna weusi?
@@onamasaki1211 Msikilize vizuri tena, hao weupe walihamia tu 1948 wakajimilikisha. lakini wenyeji wa Izrael ni weusi
@@onamasaki1211 inasemekana kwamba wale wote walioko kule Israel sio wenye nchi wenye nchi wote walitawanyika mataifa mengine wakapewa wale warabu ndio maana migogoro haiishi vita za kila mara, kule sio kwao inasemekana lakini, tuendelee kutafuta ukweli.
Katega unaenda mbali sana mwili unaoweza kuvumilia shida ni rangi nyeusi mbaka hivi leo kwa kichapo alichokula YESU kama angekua mzungu angesha kufa pale pale kwa pilato au herode usijichoshe na hayo mabroiler mzeee
Kuweni waislamu..haiwezekani mungu awe mmoja dini ziwe mbili,shetani anafurai mukimuabudu yesu anajua mumepotea pamoja na yeye...ukweli nikwamba yote hayo nimchezo wa shetani,ukweli ni kwamba yesu afai kuabudiwa ni nabii wa mungu,yeye Abraham Daudi Ayubu Musa yakobo na Muhammad (s.a.w) wote ni
mitumie wa mungu,kwaivyo yote tisa kumi ...tumuabudu mungu mmoja ambae azai wala akuzaliwa hana Baba wala Hana mama karibuni kwa uislamu.
Rukia Matano Yesu haabudiwi bhana ndugu usikalili
NI kwambie kitu we kuwa muafrika utainjoy achana na kuwa muislamu
Wachache wataelewa ila ni ukweli usiopingika unaweza wazazi waliniita John ila nimejipa jina la Black Jesus kwasababu Yesu alikuwa black (mweusi)🔥
Nakuunga mkono ndugu yangu huyu mwana mfalme amekuja kwa wakati mtimilifu
True .
Google the tales of origin of religion on open diary
Watching from kenya
Wakenya habari hii itapokelewa kweli
Mungu amekutuma ukombowe watu mtandaoni mzee usimkufulu Mungu ww
Wew ulizani ametumwa akomboe wap mbna unakuwa kama huijui dunia na technology acha ushamba
TATIZO HAMUELEWI NA MNAPOTOSHA VIZAZI VYENU YULE SIO YESU NI MWIGIZAJI . NA ANAITWA BRAYANI . NAYUPO MPAKA LEO ANAMKE NA WATOTO SASA YESU ANA MKE NA WATT? WW MWABUDU MUNGU SIO BINADAMU MWENZAKO .TATIZO MNAAMINISHWA VITU AMBAVYO CVYO NDOMANA ANACMA ANAWAKOMBOA
KWANI WW HUYO MWIGIZAJI ULIMUONEA WAPI KAMASI MITANDAONI? MNAPOTOSHA. KWAIYO MWAKA 79 YESU ALIKUEPO? HUYO MUHAMADI TU NI WAMWISHO NA PICHAYAKE HAIPO DUNIANI. YA YESU IMETOKAWAPI?
Mungu akutuze
Ni kweli Kabisa Yesu ni Mweusi ❤❤
Yaani maneno ya
Mungu ukisha jazwa na roho mtakatifu ata atuangaiki na mzungu mimi ninacho jua namsubiri Yesu Kristo siku dunia ikitingisika akuna na bii ata moja mzungu manabii wote ni waafurika tena ata Adam akuwa mzungu mtu mweusi ndio roho ya Mungu
Nimekuelewa
Hizi shule tunazo kwenda znatuharibu sana. Tunafundishwa vitu ambavyo vnaharib kabsa fikra zetu.
Elimu ya mzungu anatulisha matango poli
Amka wewe uyo ndio kweli yenyewe sio shule uyo wazungu wanawapotosha amkeni mtumishi was mungu kawafumbua akili na macho amkeni sasa km unaendelea kubisha kazi kwako
Wazungu nyie ni mikia 2 Ila ngoja nasisi tucheze muvi ya yesu mweusiii
Iko tiyari imechezwa na Naigeria
psl Tv hahahahhhh hawataitangaza sana
Utaweza kweli 😁😁😁
Mimi namkubali sana Mlangila. Ukweli humweka mtu huru..
Asante sana bb
Baba Asante kwa hadisi ya yesu what I know Jesus Christ is our savior.🙏🙏🙏
Unaambiwa kuwa ukitaka kujua kuwa MTU analijua jambo na analielewa kwa kina ni vile analieleza na kulitolea mifano huyu prince katega anayajua mambo
anajua mnooooooooooooooooooooo
very nice
Sanaaaaaa
Iwe isiwe tutajikomboa. Mzungu ni mvamizi sio mfadhili au mkombozi
Kweli Kabisa Prince. Tunaambiwa wakati Yesu akielekea mlimani Golgotha kusulubiwa kuna raia mmoja Mkushi alishurutishwa amsaidie kubeba msalaba. Huyu mwamba alikuwa anaitwa Simon wa Kurene, Bible inasema alikuwa mtu mweusi (Marko 15:21-45). Hii ni wazi kabisa kuwa ilikuwa rahisi huyu mkirene "kushurutishwa" kwa sababu alikuwa mweusi mwenzake.
Africa is being suppressed but it is the continent of blessed community one day will raise up....no objection
Tatizo LA mapastor wetu wamekariri bibilia ila sio kuielewa
Wakristo wote wanakariri..km wangekuwa hawakariri watu wote wangemwamudu mungu mmoja na sio yesu kristo aliye tumwa kwa wanadam.
Mungu anacho kitaka kwetu ni tumche tu, sasa maswala ya mzungu na mwafrika yanamuhusu nini Yeye (Mungu) ? au mumesahau kama Mungu anaangalia moyo wala si uso wa mtu? (Yeremia 17:10 ) na (1samwel16:7) . Kwahiyo, Yesu kuwa mzungu au kutokuwa mzungu hakuna maana yoyote unachotakiwa kukiangalia ni wokovu tu! au muna fikiri mbinguni tutaenda kwa matabaka? Neno la Mungu linasema katka Muhubiri 12:7 " Nayo mavumbi yatairudia nchi kama ilivyo kuwa, Nayo Roho (ambayo ndiyo uhai) itamrudia Mungu aliye itoa, kwa kusema hivi imetupasa kuishi kuifuata roho wala si mwili ambao kwa huo unazua mashindano yasiyo na msingi, Mbele za Mungu hakuna mwafrika wala mzungu bali roho zenu na nia zenu ndizo Mungu anazo jivunia.
Usemapo hivi ni sawa na yule ashikae jiwe na kurusha kwenye stesheni ya polisi. Au ni sawa na kuingiza nguruwe msikitini. Maana unamaanisha hata kama wazungu wakitwambia hakuna Mungu tuamini tu au pengine mwokozi alikuwa nyoka tuwe na shaka tuamini tu, maana haijalishi bora tumche tu Mungu. Elewa imani inalingana na kile unacho kiamini, na kile ukiaminicho ndicho kitakupitisha kwenye mizani ya haki. Ukiamini sanamu Basi utatoa hesabu yake mbele ya kiti cha hukumu.
Ndiyo maana neno la Mungu liko wazi tena lipo huru kwa watu wote, kwamba kila mtu anaweza kulipata sasa wewe ukiweka kikwazo cha rangi (mzungu na mwafrika) mbinguni hatuendi kwa rangi, hautahesabiwa haki mbele za Mungu kwa sababu ulikuwa mwafrika bali uta hesabiwa haki kwa sababu umemcha Mungu tu.
@@chilamboxhila2716 totauti ya rangi ipo na tena ni muhimu, zaidi uelewe hakuna mtu ataenda mbinguni, naomba kama kuna verse isemayo kuwa watu wataenda mbinguni unisaidie niijue.
Chilambo Xhila umche mungu wakat unakandamizwa unahisi mungu atashuka aje akutete Siku bila jitihada zako binafsi
Kalale maana naona minyoo inakusumbua
Asalam alykum
Kinachoonekana ni kwmba Africa na Arab ni watu walioishi pamoja kwa muda mrefu sana na kuhusu yesu kweli hakuwa mkristo alikuwa muyahudi na mwenye asili ya ibrania Bali ukiristo ni mila natamaduni za wazungu walimnasibisha yesu kwa lengo la kufuatwa na watu wengi na kuaminiwa ulimwengu mzima kakini yesu si mkristo wala hakuwahi kuingia kanisani na ndio maana hakuna kanisa Israel alilolianzisha yesu Bali kanisa limeanzishwa Roma Italian
Soma neno
Mazinge akisema mwampingaa sio suraaa tu sheikh sema kweli
Kuzaliwa katika uislam ni bahati kubwa sana ama kubahatika kuingia katika uislam hakika uislam ni dini ya khaki
Mtoto wa mfalme tunaomba historia hii usiongee haraka haraka ni nyeti sanaaa
😁😁😁😁
Mfalme wa wap jaman
Asiongee haraka haraka......
Jamani uwongooo yesu kama yesu Nabi wa mwenyezimungu ni Asili ya Kiarabu mariam ni mtoto wa imrani naye ni mwarabu nabiyusufu mwana wa yakubu ni mwarabu sio mweusi jamaniiiiiiiiiiiiiiiii ila baba tumekuelewa Tetea wa frika tuko mbele mbele Yao ipo siku God atatusadia sisi wa frika tu takuwa na kauli tu na kuonekana bora inshaallah
Kuna wa2 viaz umu yan tunajadili mambo ya Afrika watu mnaleta midini yenu kwan ao waarabu n Mungu wen
Kinachotakiwa ni kuamka apo mmeshaelezwa ukweli mambo ya waarabu au wahindi ayana maana kinachotakiwa ni kuamka tu hakuna ligi na waislam apo uyo ni mkristo mwenzio uyo sio muislam uyo were elewa alichokwambieni
Ingekua vizur kama Denis mpagaze angesimulia hii... Naona kusimulia unapata shida
Hahaha
Ingesisimua sana, shout out to mpagaze
Huyu mzee ni Mwalimu... Chukua knowledge nenda zako... Acha kutafuta misismko ya mwili... Tafuta chakula cha ubongo, knowledge!
Umeona mbali
Prince hawa wazungu walikuja Africa na ujanja mwingi. Waliona uzuri na Mali ya Africa wakaamua kutudanganya na wakatufanyia ukatili wakatunyang’anya Mali ya Mwafrika.
Mungu akupe maisha marefu prince katega ili uikamilishe kazi yko,,nlikua nakusikia tu leo nmefurahi sana kukuona mzee wng!
Tanzania ndio inakwenda kuwa nchi ya hija
very educative very its my wish that all melanin dominated brothers will listen to this.the biggest lie is the current israels.utapeli mtupu
Naomba namba ya simu ya prince katega ,mambo mazuri sana
Mazinge anasema kila siku yesu sio nzungu nyinyi munabisha tatizo nyinyi wa Cristo wabishi. Vipo vingi bado amuagunduwa
Usiseme wakristo wabishi ndugu yangu... Maana waafrika tumedangamywa sanaaaaaaaa! Cha msingi ni kuja pamoja na kutafuta ukweli...
Sisi hatuna marafiki zaidi ya sisi wenyewe...
Nakukubali katega waambie ao wasiojielewa
Sasa kina nani wasiojielewa na ww mwenyew hujui lolote na ndio maana umekuja hapa kujua ukweli...
Ahsante
Asante mwalimu
Kweli kabisa hata baraka zote zpo kwa watu weusi
Yesu ni mwana wa Mungu ana yupo nasisi endapo mtu amwamini ila kwa vyovyote vile yesu ndiye mkombozi wa ma maisha nasi tumwabudu aliye juu
Wapi kwenye bibilia yesu ni mwana wa mungu... Ukileta andiko lako na mm ntakupa langu kua daudi ni mwana wa pekee wa mungu.. aya anza kutoa lako nikueke wazi mana hujui maandiko ww.... Unafata akili za wachungaji wakat wao kw maandiko ni mbwa..
Mungu akuongoze insha allah
Kweli kabisa Kama Hawa Loma katoliki majanga sanamu za mzungu kila Kona
Good
Andika kitabu mzee hizo Siri zikae humo
Johanes John ndo maan ake ili hzo siri zisipoteee
nikweli andika kitabu
Andika kitabu Mzee.siri Hizo ni Mhimu kwetu
😂😂😂😂😂😂 itashangaza kuona siku yesu anakuja kumbe ni mweusi,wazungu WANAO tutema mate wata shikwa na kiwe
Nimefurahishwa na prnce katega kuandika kitabu kinachoitwa ukuu wa Mwafrika uliofunikwa part 1, nimekisoma nikitabu kizuri, wadau kitafuteni msome
Tatizo Africa tuko nyuma Sana kiakili no kifikra
Mungu azifunguwe akili zetu waafrika
Bora mnaongea wenyewe. Maana waislamu tuliwaambia mkaona tunawatukana. Sasa mnakiri wenyewe.
Daud Habona kaka hizi ni zama za mwisho Qur an inasema "Utaona watu wanaingia katika dini Ya Allah makundi kwa makundi" ndio imefikia sasa
Daud usiingize hiyo acha
@@hassanmsipi4094 wewe mwenyewe ni mtumwa wa kiarabu 🤣🤣uyo Allah ni muafirica?? Mbona ni sanamu la kiarabu lililo kuwa likiabudiwa enzi izo kabla yakuja Muhamadi na walikuwa wakiabudu miungu mike?? Sote tumepigwa 🤣🤣tena bora mimi ninatumia lugha yangu kuliko wewe unaye endelea kutumia lugha ya mwarabu na kuiyona iko sahii kuliko lugha yako 🤣🤣
@@wawakilishitvonline4484Huyo Dauni mwenyewe ni mtumwa wa kiarabu na anaendelea kutumia lugha ya kiarabu kuiyona Bora kuliko lugha yake,,ukitizama historia ya Uislaam utachoka sana kwani Uyo Allah wanaemtumia kuwa ni Mungu wa kislaam ni Miungu iliyo kuwa ikiabudiwa na warabu enzi za ujahilia yaani ujinga na ushilikina, Muhamadi alipokuja kusimamisha bendela yake mwaka 610 alishindwa kuing'oa iyo miungu ya Babu zao kwani Babu yake Muhamadi aitwaye Abdul Muttalib ndiye alikuwa mkuu wa kimila pale Makkah ikabidi wapge kura kuchagua baadhi ya miungu inayostahiki kuendelea kuabudiwa ikabakishwa miungu minne ambayo kati ya ile miungu 360 ambayo ni Miungu Allah,Uza,Manata na mingineyo yote Iyo inaabudiwa na mwarabu na muafrica naye kaletewa kuiyabudu 🤣🤣Sote tumepigwa afadhali mie nimestuka mapema natumia lugha yangu kuabudu kuriko wewe unatumia lugha ya kiarabu na kuiyona bora kuliko lugha yako🤣🤣
@@missmrs829 kasome zaidi punguza maneno
Usiseme Mungu amekutuma maana si wote wanaunga mkono ma uchawi na mauganga ya kienyeji. Yanarudisha nyuma maendeleo ya watanzania
Mm najua mzungu ,mwafrika na wengine wote sisi wote ni wanadamu ,mungu ajulikani anafanya aje lkn Mungu anaangalia moyo wa mtu sio sura,mchungaji unapoteza watu mtu yeyete wa rangi tofauti anaeza akiza Filam ya yesu
Ndugu yangu sisi watu weusi ni watu
Na rangi nyeupe ni binadamu
Sisi tumetoka kwenye uzao wa mwisho wa kiumbe kilichoumbwa na Muumba aliitwa Muto na hii siri yetu imejaa katika lugha zetu za asili atifwatilii....
Wanadamu wamekuja baada ya uzao kati ya wanawake weusi na malaika waliotupwa.
Sisi ni waasili na Kristo wa kweli ni mweusi
Wabantu wamepotea kwa kukosa maarifa....asante tena Prince.
Waafrika tuamke jamani tuipambanie afrika yetu let's fight for ours
Dah kweli
Mzee ungenifundisha SoMo la history ningefaulu sana
VERY POINT. THANK YOU. MIMI NILIPATA VISION YA SURA YA HUYO MWEUSI KWENYE PICHA, BAADAYE NIKATUTA KTK GOOGLE NIKAMUONA EXACTLY KAMA VISION. YESU NI MWEUSI. NA SIO MZURI WA SHEPU. NI WA KAWAIDA.
nashauri kuwe conferences angalau kila wiki mara moja kwaajili ya kukomboa vijana
Mzee nimekuelewa sana
Inaitaji utulivu na nguvu ya mungu kuelewa nini anamanisha mwana wa mfalme. africa tuna kila kitu ila atujui jinsi ya kuvitumia
Tafadhali mwana wa mfalme andika kitabu.
Huo ni ukweli na inabidi utuadisie zaidi na vitabu viandikwe tunaitaji ukombozi. Mimi ni mkongo nakuunga mkono.
True
Tumwabudu Bwana Yesu kwa neno tu. Kama mpaka tuhakikishe picha tutasubiri sana, nafikiri tutachanganya mambo vibaya zaidi. Maana kama alizaliwa Israel; alikuwa Myahudi, Na tunajua myahudi siyo Mzungu na Mwafrika hapo alitokea wapi?. Hiyo hoja ni porojo tu.
Hakuna haja ya kujaji kuhusu rangi na sura ya Mwenyezi Mungu, bali inatakiwa kutenda yanayompendeza Mwenyezi Mungu.
Hongera mwanamfalme
Haya mawazo mimi siku zote nilikuwa nayo ila wachristo ni imani yao wabishi sana
I agree with him
Asante sana
true!!!
This is true
Nashukulu kwa kukuona
Ukweli mtupu mungu arehemu
yani mkristo akiambiwa yesu ni mungu anakubali yesu ni mwana wa mungu anakubali yani bila hata kuhoji
Kaka nakuku barisanaaa
Karibu Mwanza nitaabudu na wewe
Ndio maana Tunaomba Mungu wa watu wengine, badala ya sisi kubarikiwa wao wanabarikiwa,, mbona mwafrika anaweza kuuza mungu wake Uraibuni swali tu
Naomba kila mtu Angie RUclips channel ya Imani mcimbwa katika Siri ya mambo yaliyo fichika utapata kila kitu na majibu yote ya maswali yote. Naomba Sana
Kweli
Nimekukubali Sana mkuu