Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

Prince Katega wa pili Aanika SIRI NZITO Kuhusu SURA YA YESU Badae tutafuta VIDEO HII INATISHA SANA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 мар 2020
  • Prince Katega wa pili Aanika SIRI NZITO Kuhusu SURA YA YESU Badae tutafuta VIDEO HII INATISHA SANA
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...

    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodmedia
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    #mwafrika
    #yesumweusi
    #princekatega

Комментарии • 527

  • @alexkivungo5730
    @alexkivungo5730 4 года назад +17

    Namsikiliza prince,na moyo wangu unahisi fahari ya ngozi nyeusi,fahari ya mwafrika.mashallah

  • @zenassylvester125
    @zenassylvester125 3 года назад +12

    Na ndio maana kwa jina la Yesu tumeishinda corona ila wazungu inawatesa mpk leo hii ni kwa sababu Mungu wa mbinguni yupo upande wetu....
    Tutabarikiwa tukijijua zaidi

  • @eddiezunda1066
    @eddiezunda1066 4 года назад +8

    nakukubali sana prince. tufumbue macho mtu wa Mungu

  • @loraumuhire4755
    @loraumuhire4755 4 года назад +8

    Asante unanifungua akiri

  • @sarahlydia2635
    @sarahlydia2635 4 года назад +5

    Really thankyou for the information

  • @miraculolopa
    @miraculolopa 4 года назад +5

    Kuwa muafrica bora Kuwa mbwa mana mbwa inaelewa mvupa natumia na mchicha situmii, ila sisi kama mizoga vile tukipelekwa uku tuna kwenda. Uwezi ukaamini maisha yetu yote yametengenezwa kwenye misingi ya uongo. Kama unakubaliana na mm gonga like

  • @oscargodfrey9927
    @oscargodfrey9927 2 года назад +1

    Ubarikiwe sana prince Mungu azidi kubariki kazi ya mikono yako

  • @yesunialamayakiama.9013
    @yesunialamayakiama.9013 4 года назад +18

    Ahsante Mheshimiwa. Sisi Wasabato tulishaligundua hilo ndiyo maana hatutumii hizo picha kwanza Amri za Mungu zinatuzuia habari za sanamu. Mungu akubariki maana huo ndio usomi wenye faida.

    • @yesunialamayakiama.9013
      @yesunialamayakiama.9013 4 года назад

      Unajua Watanzania wengi wana matatizo ya kujifanya wanajua lakini wavivu kufuatilia mambo. Kwanza vitabu hawapendi kusoma, wanapenda kuzungumzia kila kilichopostiwa mitandaoni bila kufanya research kwanza. Huo ni ujinga uliopitiliza. Kama hujafanya research juu ya kitu usipende kucomment chochote cha kupotosha wengine.

    • @barrynzeyimana6270
      @barrynzeyimana6270 4 года назад +2

      Nadhani ukisema wewe msabato kwahio hauja Sanamu ya Yesu umejidanganya. Mimi nimekua msabato miaka 16 nimejua usabato uko aje nilipofika Marekani. Sanamu zipo, misalaba, Christmas zinasherekewa, sikukuu ya kukumbuka wafu huleta vipambio kanisani...kwahio tembea uone

    • @enockchaula6292
      @enockchaula6292 4 года назад

      YESU NI ALAMA YA KIAMA. Hujafanya research wew tangu 2015 sina chakufanya zaidi ya biblia si usiku si mchana utaniambia nini mtoto wa mama utadanganya Waco na kwa neno lipi usiwe mkali we kubali hujui kuwa mpole uelezwe

    • @enockchaula6292
      @enockchaula6292 4 года назад

      we msabato uko sahihi kuitunza siku ya bwana na niagano la mungu la milele lakn kwa mafundisho ya ellen White nlikula kiapo miaka Mingi kwa mungu mbele ya wasabato kuwa kama Ellen alikuwa wa mungu basi nife mimi na kama siye afe yule msabato amteteae waliogopa kuitetea iman yao richa ya maandiko kusema muwe waaminifu hata kufa lakn amini ellen sio wamungu mpaka anakufa hakuutubia uchawi wakealiopotosha kondoo

    • @enockchaula6292
      @enockchaula6292 4 года назад

      Dhiki kuu itakuja lakini sio kama alivyosema Ellen White itakuja baaada ya Vita inayoanza mashariki ya kati yaani uarabuni na nchi ya kwanza kupigwa ikiwa israel na waarabu wote watafata mpaka waliopo africa misri,, Sudan libya,ndipo watakuja manabii wawili ufunuo 11.4 ambao wasabato wengi huamini neno hilo liliamanisha kuwa ni agano la kale na jipya lakn sio ni watu Enoch and Elijah zile nafsi mbili ambazo hazikufa ambao hawakufa tangu mwanzo nakila ataewaona atasema huyuni mimikatika unabii nikama mtu anaejitazama kwenye kioo mwenye maana kila mtu duniani ni mimi ila kwasababu ya dhambi sijaona siri za mungu hayo yatakuwa dhahiri baada ya Vita inayoanza mashariki yakati najua sieleweki ila wakati ule ntaeleweka sana hapo Vita itapokolea maana hakuna ajua dunia nzima wanajua wawili tuu mmoja yupo kolea kusini baada yao ndipo dhiki kuu itakuja na namba 666 itasambwazwa kwa kila mtu ole ataepokea amini maneno yangu ,"""every One is me in another soul """ The world is full of single man in billions number who is me, but sin make me different, no Elijah or Enoch these Two witnessess and olive tree of revelation are single person Who is me, every one is me in another soul

  • @willymaulidi3991
    @willymaulidi3991 4 года назад +22

    Katega,Biblia ni kitabu cha weusi, siyo siri,ila waafrika siyo wepesi kuelewa ndiyo shida

  • @davincleon9202
    @davincleon9202 3 года назад +5

    Respect prince , my salute.

  • @peaceamaniezekielkitambala635
    @peaceamaniezekielkitambala635 3 года назад +2

    Ubarikiwe Sana kwa utafiti wako
    Tutakuelewa tu

  • @juniorkis7580
    @juniorkis7580 3 года назад +3

    Nime shukuru sana Mungu kutu patiya mutu kama wewe God bless you

    • @juniorkis7580
      @juniorkis7580 3 года назад +1

      Mimi kwajina na itwa kisembo Mugenyi nime toka Congo DRC na hishi Canada katega usi ni sahau kwa mahombi kwasabu wewe ni baba yangu

  • @davincleon9202
    @davincleon9202 3 года назад +2

    So awesome need activities like you

  • @gstonetheone
    @gstonetheone Месяц назад

    Asante Mlangila kwa elimu nzuri ila ikumbukwe kuwa kuna wazungu wa eastern na western.. ..hawa wa asia hwana mambo hayo ya ajabu ya kishetani

  • @benardjohnson8863
    @benardjohnson8863 3 года назад +4

    Thanks for this eye opener, Africa is suffering because of religion as a factor! QN when is this muzungu coming to save African

  • @selfaakinyi512
    @selfaakinyi512 4 года назад +8

    The form preacher Bill Graham said Jesus was a black man . lets wake up my fellow Africans its our time .

  • @psltv7119
    @psltv7119 4 года назад +4

    Hongeraaaa prince una uelew mkubw xn

  • @em-stv7590
    @em-stv7590 4 года назад +6

    Thank you prince nishakuelewa

  • @jacksonbeatus5181
    @jacksonbeatus5181 3 года назад +4

    Asante kwa ukombozi

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 4 года назад +3

    Hongera sana prince katega wa 2

  • @sissabellfranklin2315
    @sissabellfranklin2315 3 года назад +7

    Hakika mim na amin I kwamba yesu alikuwa mweusi ahsante Sana kwa kufunua akili watu

  • @raphaeltimoth5288
    @raphaeltimoth5288 4 года назад +1

    Asante mzee katega nimekuelewa sana

  • @amiryhamza1984
    @amiryhamza1984 3 года назад +1

    sawa kabisa

  • @innocentsimika1937
    @innocentsimika1937 3 года назад +2

    big up mwalimu...

  • @josephatkashendwa1177
    @josephatkashendwa1177 3 года назад +2

    Unajua Katega we huwa ni mjomba wangu sababu mama yangu ni Munkango wa Bugabo Mwemage mie ni matundu wa Kijiji cha Ibosa Kata ya Nyakato Tarafa ya bugabo hapa ndo huwa nakupenda na kukubali mjomba hakika elimu yako ni faida kwetu sisi watu weusi tujitambue na kubadili fikra zetu.

  • @andrewwoiso5559
    @andrewwoiso5559 4 года назад +5

    Kbs kabisa prince katega

  • @medadiissa324
    @medadiissa324 4 года назад +15

    Iko wazi kabisa muyahudi alikuwa mweusi. Na mtu wa kwanza alikuwa mweusi! Ila mataifa yote yameanzishwa na Mungu mwenyewe

    • @onamasaki1211
      @onamasaki1211 3 года назад +1

      Nisaidie kuelewa Medadi; Wayahudi walikuwa weusi? na mbona sasa ni weupe? na sasa mbona hamna weusi?

    • @shalomizrael667
      @shalomizrael667 3 года назад +1

      @@onamasaki1211 Msikilize vizuri tena, hao weupe walihamia tu 1948 wakajimilikisha. lakini wenyeji wa Izrael ni weusi

    • @HabilyTech
      @HabilyTech Год назад

      @@onamasaki1211 inasemekana kwamba wale wote walioko kule Israel sio wenye nchi wenye nchi wote walitawanyika mataifa mengine wakapewa wale warabu ndio maana migogoro haiishi vita za kila mara, kule sio kwao inasemekana lakini, tuendelee kutafuta ukweli.

  • @justinycleverton7345
    @justinycleverton7345 4 года назад +1

    Katega unaenda mbali sana mwili unaoweza kuvumilia shida ni rangi nyeusi mbaka hivi leo kwa kichapo alichokula YESU kama angekua mzungu angesha kufa pale pale kwa pilato au herode usijichoshe na hayo mabroiler mzeee

  • @rukiamatano7764
    @rukiamatano7764 4 года назад +5

    Kuweni waislamu..haiwezekani mungu awe mmoja dini ziwe mbili,shetani anafurai mukimuabudu yesu anajua mumepotea pamoja na yeye...ukweli nikwamba yote hayo nimchezo wa shetani,ukweli ni kwamba yesu afai kuabudiwa ni nabii wa mungu,yeye Abraham Daudi Ayubu Musa yakobo na Muhammad (s.a.w) wote ni
    mitumie wa mungu,kwaivyo yote tisa kumi ...tumuabudu mungu mmoja ambae azai wala akuzaliwa hana Baba wala Hana mama karibuni kwa uislamu.

    • @sonti2821
      @sonti2821 4 года назад

      Rukia Matano Yesu haabudiwi bhana ndugu usikalili

    • @ngurumaboychannel9961
      @ngurumaboychannel9961 2 года назад

      NI kwambie kitu we kuwa muafrika utainjoy achana na kuwa muislamu

  • @johnsam4942
    @johnsam4942 4 года назад +7

    Wachache wataelewa ila ni ukweli usiopingika unaweza wazazi waliniita John ila nimejipa jina la Black Jesus kwasababu Yesu alikuwa black (mweusi)🔥

    • @ntabashwaamos2816
      @ntabashwaamos2816 4 года назад +1

      Nakuunga mkono ndugu yangu huyu mwana mfalme amekuja kwa wakati mtimilifu

    • @paulinekisorio9098
      @paulinekisorio9098 4 года назад

      True .
      Google the tales of origin of religion on open diary

  • @enuelabunimkali9529
    @enuelabunimkali9529 4 года назад +4

    Watching from kenya

    • @dannderi8150
      @dannderi8150 3 года назад

      Wakenya habari hii itapokelewa kweli

  • @moseskanganga2580
    @moseskanganga2580 3 года назад +2

    Mungu amekutuma ukombowe watu mtandaoni mzee usimkufulu Mungu ww

    • @ngurumaboychannel9961
      @ngurumaboychannel9961 2 года назад

      Wew ulizani ametumwa akomboe wap mbna unakuwa kama huijui dunia na technology acha ushamba

    • @mtalikaally
      @mtalikaally Год назад +1

      TATIZO HAMUELEWI NA MNAPOTOSHA VIZAZI VYENU YULE SIO YESU NI MWIGIZAJI . NA ANAITWA BRAYANI . NAYUPO MPAKA LEO ANAMKE NA WATOTO SASA YESU ANA MKE NA WATT? WW MWABUDU MUNGU SIO BINADAMU MWENZAKO .TATIZO MNAAMINISHWA VITU AMBAVYO CVYO NDOMANA ANACMA ANAWAKOMBOA

    • @mtalikaally
      @mtalikaally Год назад

      KWANI WW HUYO MWIGIZAJI ULIMUONEA WAPI KAMASI MITANDAONI? MNAPOTOSHA. KWAIYO MWAKA 79 YESU ALIKUEPO? HUYO MUHAMADI TU NI WAMWISHO NA PICHAYAKE HAIPO DUNIANI. YA YESU IMETOKAWAPI?

  • @philemongomwa3728
    @philemongomwa3728 4 года назад +2

    Mungu akutuze

  • @cutemamy9602
    @cutemamy9602 9 дней назад

    Ni kweli Kabisa Yesu ni Mweusi ❤❤

  • @floraflora5717
    @floraflora5717 3 месяца назад

    Yaani maneno ya
    Mungu ukisha jazwa na roho mtakatifu ata atuangaiki na mzungu mimi ninacho jua namsubiri Yesu Kristo siku dunia ikitingisika akuna na bii ata moja mzungu manabii wote ni waafurika tena ata Adam akuwa mzungu mtu mweusi ndio roho ya Mungu

  • @selemanimdoe8131
    @selemanimdoe8131 3 года назад +2

    Nimekuelewa

  • @giftndosi8232
    @giftndosi8232 4 года назад +3

    Hizi shule tunazo kwenda znatuharibu sana. Tunafundishwa vitu ambavyo vnaharib kabsa fikra zetu.

    • @godfreygarika9702
      @godfreygarika9702 4 года назад +1

      Elimu ya mzungu anatulisha matango poli

    • @salmamrembo4360
      @salmamrembo4360 3 года назад +1

      Amka wewe uyo ndio kweli yenyewe sio shule uyo wazungu wanawapotosha amkeni mtumishi was mungu kawafumbua akili na macho amkeni sasa km unaendelea kubisha kazi kwako

  • @psltv7119
    @psltv7119 4 года назад +13

    Wazungu nyie ni mikia 2 Ila ngoja nasisi tucheze muvi ya yesu mweusiii

  • @sammykamula7610
    @sammykamula7610 4 года назад +5

    Mimi namkubali sana Mlangila. Ukweli humweka mtu huru..

  • @murhabazibanywesizeeliya5246
    @murhabazibanywesizeeliya5246 Год назад

    Asante sana bb

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 4 года назад +1

    Baba Asante kwa hadisi ya yesu what I know Jesus Christ is our savior.🙏🙏🙏

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 4 года назад +10

    Unaambiwa kuwa ukitaka kujua kuwa MTU analijua jambo na analielewa kwa kina ni vile analieleza na kulitolea mifano huyu prince katega anayajua mambo

    • @buchujr2260
      @buchujr2260 3 года назад

      anajua mnooooooooooooooooooooo

  • @abdullymangwela5141
    @abdullymangwela5141 3 года назад +1

    very nice

  • @twahamdoe5730
    @twahamdoe5730 3 года назад +1

    Sanaaaaaa

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 4 года назад +14

    Iwe isiwe tutajikomboa. Mzungu ni mvamizi sio mfadhili au mkombozi

  • @nitumesokoni3164
    @nitumesokoni3164 3 года назад +1

    Kweli Kabisa Prince. Tunaambiwa wakati Yesu akielekea mlimani Golgotha kusulubiwa kuna raia mmoja Mkushi alishurutishwa amsaidie kubeba msalaba. Huyu mwamba alikuwa anaitwa Simon wa Kurene, Bible inasema alikuwa mtu mweusi (Marko 15:21-45). Hii ni wazi kabisa kuwa ilikuwa rahisi huyu mkirene "kushurutishwa" kwa sababu alikuwa mweusi mwenzake.

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 Год назад

    Africa is being suppressed but it is the continent of blessed community one day will raise up....no objection

  • @petermsangi2701
    @petermsangi2701 4 года назад +9

    Tatizo LA mapastor wetu wamekariri bibilia ila sio kuielewa

    • @rajaballiy3514
      @rajaballiy3514 2 года назад

      Wakristo wote wanakariri..km wangekuwa hawakariri watu wote wangemwamudu mungu mmoja na sio yesu kristo aliye tumwa kwa wanadam.

  • @chilamboxhila2716
    @chilamboxhila2716 4 года назад +7

    Mungu anacho kitaka kwetu ni tumche tu, sasa maswala ya mzungu na mwafrika yanamuhusu nini Yeye (Mungu) ? au mumesahau kama Mungu anaangalia moyo wala si uso wa mtu? (Yeremia 17:10 ) na (1samwel16:7) . Kwahiyo, Yesu kuwa mzungu au kutokuwa mzungu hakuna maana yoyote unachotakiwa kukiangalia ni wokovu tu! au muna fikiri mbinguni tutaenda kwa matabaka? Neno la Mungu linasema katka Muhubiri 12:7 " Nayo mavumbi yatairudia nchi kama ilivyo kuwa, Nayo Roho (ambayo ndiyo uhai) itamrudia Mungu aliye itoa, kwa kusema hivi imetupasa kuishi kuifuata roho wala si mwili ambao kwa huo unazua mashindano yasiyo na msingi, Mbele za Mungu hakuna mwafrika wala mzungu bali roho zenu na nia zenu ndizo Mungu anazo jivunia.

    • @wastabineliyah1363
      @wastabineliyah1363 4 года назад +2

      Usemapo hivi ni sawa na yule ashikae jiwe na kurusha kwenye stesheni ya polisi. Au ni sawa na kuingiza nguruwe msikitini. Maana unamaanisha hata kama wazungu wakitwambia hakuna Mungu tuamini tu au pengine mwokozi alikuwa nyoka tuwe na shaka tuamini tu, maana haijalishi bora tumche tu Mungu. Elewa imani inalingana na kile unacho kiamini, na kile ukiaminicho ndicho kitakupitisha kwenye mizani ya haki. Ukiamini sanamu Basi utatoa hesabu yake mbele ya kiti cha hukumu.

    • @chilamboxhila2716
      @chilamboxhila2716 4 года назад

      Ndiyo maana neno la Mungu liko wazi tena lipo huru kwa watu wote, kwamba kila mtu anaweza kulipata sasa wewe ukiweka kikwazo cha rangi (mzungu na mwafrika) mbinguni hatuendi kwa rangi, hautahesabiwa haki mbele za Mungu kwa sababu ulikuwa mwafrika bali uta hesabiwa haki kwa sababu umemcha Mungu tu.

    • @wastabineliyah1363
      @wastabineliyah1363 4 года назад

      @@chilamboxhila2716 totauti ya rangi ipo na tena ni muhimu, zaidi uelewe hakuna mtu ataenda mbinguni, naomba kama kuna verse isemayo kuwa watu wataenda mbinguni unisaidie niijue.

    • @sebastianhaward2617
      @sebastianhaward2617 4 года назад

      Chilambo Xhila umche mungu wakat unakandamizwa unahisi mungu atashuka aje akutete Siku bila jitihada zako binafsi

    • @evaristmbuya6220
      @evaristmbuya6220 2 года назад

      Kalale maana naona minyoo inakusumbua

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 года назад +1

    Asalam alykum
    Kinachoonekana ni kwmba Africa na Arab ni watu walioishi pamoja kwa muda mrefu sana na kuhusu yesu kweli hakuwa mkristo alikuwa muyahudi na mwenye asili ya ibrania Bali ukiristo ni mila natamaduni za wazungu walimnasibisha yesu kwa lengo la kufuatwa na watu wengi na kuaminiwa ulimwengu mzima kakini yesu si mkristo wala hakuwahi kuingia kanisani na ndio maana hakuna kanisa Israel alilolianzisha yesu Bali kanisa limeanzishwa Roma Italian

  • @jei_Ibrahim
    @jei_Ibrahim 2 года назад

    Mazinge akisema mwampingaa sio suraaa tu sheikh sema kweli

  • @hamishemed9396
    @hamishemed9396 4 года назад +2

    Kuzaliwa katika uislam ni bahati kubwa sana ama kubahatika kuingia katika uislam hakika uislam ni dini ya khaki

  • @deogratiasnzelani160
    @deogratiasnzelani160 4 года назад +10

    Mtoto wa mfalme tunaomba historia hii usiongee haraka haraka ni nyeti sanaaa

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 года назад

      😁😁😁😁

    • @elskimalatukengela1058
      @elskimalatukengela1058 4 года назад

      Mfalme wa wap jaman

    • @clausemsemwa297
      @clausemsemwa297 4 года назад +1

      Asiongee haraka haraka......

    • @ndabadugitsefuraha7835
      @ndabadugitsefuraha7835 4 года назад

      Jamani uwongooo yesu kama yesu Nabi wa mwenyezimungu ni Asili ya Kiarabu mariam ni mtoto wa imrani naye ni mwarabu nabiyusufu mwana wa yakubu ni mwarabu sio mweusi jamaniiiiiiiiiiiiiiiii ila baba tumekuelewa Tetea wa frika tuko mbele mbele Yao ipo siku God atatusadia sisi wa frika tu takuwa na kauli tu na kuonekana bora inshaallah

  • @magrethbenjamin4969
    @magrethbenjamin4969 4 года назад +3

    Kuna wa2 viaz umu yan tunajadili mambo ya Afrika watu mnaleta midini yenu kwan ao waarabu n Mungu wen

    • @salmamrembo4360
      @salmamrembo4360 3 года назад +1

      Kinachotakiwa ni kuamka apo mmeshaelezwa ukweli mambo ya waarabu au wahindi ayana maana kinachotakiwa ni kuamka tu hakuna ligi na waislam apo uyo ni mkristo mwenzio uyo sio muislam uyo were elewa alichokwambieni

  • @nusulanusula5703
    @nusulanusula5703 4 года назад +12

    Ingekua vizur kama Denis mpagaze angesimulia hii... Naona kusimulia unapata shida

    • @lofisikarunga1496
      @lofisikarunga1496 4 года назад

      Hahaha

    • @kinyamal8201
      @kinyamal8201 4 года назад +1

      Ingesisimua sana, shout out to mpagaze

    • @owtisowtis4049
      @owtisowtis4049 3 года назад +6

      Huyu mzee ni Mwalimu... Chukua knowledge nenda zako... Acha kutafuta misismko ya mwili... Tafuta chakula cha ubongo, knowledge!

    • @young-bk6978
      @young-bk6978 3 года назад +1

      Umeona mbali

  • @rosemarykilonzo3119
    @rosemarykilonzo3119 4 года назад +6

    Prince hawa wazungu walikuja Africa na ujanja mwingi. Waliona uzuri na Mali ya Africa wakaamua kutudanganya na wakatufanyia ukatili wakatunyang’anya Mali ya Mwafrika.

    • @protaspeter5371
      @protaspeter5371 4 года назад +1

      Mungu akupe maisha marefu prince katega ili uikamilishe kazi yko,,nlikua nakusikia tu leo nmefurahi sana kukuona mzee wng!

    • @godfreygarika9702
      @godfreygarika9702 4 года назад

      Tanzania ndio inakwenda kuwa nchi ya hija

  • @metiakijoseph9913
    @metiakijoseph9913 4 года назад +2

    very educative very its my wish that all melanin dominated brothers will listen to this.the biggest lie is the current israels.utapeli mtupu

  • @christinenyangoma7289
    @christinenyangoma7289 4 года назад +2

    Naomba namba ya simu ya prince katega ,mambo mazuri sana

  • @abdulchacurcarimo7721
    @abdulchacurcarimo7721 4 года назад +2

    Mazinge anasema kila siku yesu sio nzungu nyinyi munabisha tatizo nyinyi wa Cristo wabishi. Vipo vingi bado amuagunduwa

    • @owtisowtis4049
      @owtisowtis4049 3 года назад

      Usiseme wakristo wabishi ndugu yangu... Maana waafrika tumedangamywa sanaaaaaaaa! Cha msingi ni kuja pamoja na kutafuta ukweli...
      Sisi hatuna marafiki zaidi ya sisi wenyewe...

  • @murrowbhaiofficial448
    @murrowbhaiofficial448 4 года назад +2

    Nakukubali katega waambie ao wasiojielewa

    • @sarahogama9540
      @sarahogama9540 3 года назад

      Sasa kina nani wasiojielewa na ww mwenyew hujui lolote na ndio maana umekuja hapa kujua ukweli...

  • @shaculabdul8242
    @shaculabdul8242 4 года назад +1

    Ahsante

  • @kevineboso5671
    @kevineboso5671 2 года назад

    Asante mwalimu

  • @cautharrudolf2257
    @cautharrudolf2257 3 года назад +3

    Kweli kabisa hata baraka zote zpo kwa watu weusi

  • @lifeboymaladear2397
    @lifeboymaladear2397 4 года назад +1

    Yesu ni mwana wa Mungu ana yupo nasisi endapo mtu amwamini ila kwa vyovyote vile yesu ndiye mkombozi wa ma maisha nasi tumwabudu aliye juu

    • @alimohammed5127
      @alimohammed5127 4 года назад +1

      Wapi kwenye bibilia yesu ni mwana wa mungu... Ukileta andiko lako na mm ntakupa langu kua daudi ni mwana wa pekee wa mungu.. aya anza kutoa lako nikueke wazi mana hujui maandiko ww.... Unafata akili za wachungaji wakat wao kw maandiko ni mbwa..

    • @whitedove60
      @whitedove60 3 года назад

      Mungu akuongoze insha allah

  • @prosperulungi7517
    @prosperulungi7517 3 года назад +2

    Kweli kabisa Kama Hawa Loma katoliki majanga sanamu za mzungu kila Kona

  • @shijamayala8127
    @shijamayala8127 4 года назад +2

    Good

  • @johanesjohn8471
    @johanesjohn8471 4 года назад +21

    Andika kitabu mzee hizo Siri zikae humo

    • @sonti2821
      @sonti2821 4 года назад +1

      Johanes John ndo maan ake ili hzo siri zisipoteee

    • @rosehinju7818
      @rosehinju7818 3 года назад +1

      nikweli andika kitabu

    • @mlamtv4839
      @mlamtv4839 3 года назад +2

      Andika kitabu Mzee.siri Hizo ni Mhimu kwetu

    • @mlamtv4839
      @mlamtv4839 3 года назад +1

      😂😂😂😂😂😂 itashangaza kuona siku yesu anakuja kumbe ni mweusi,wazungu WANAO tutema mate wata shikwa na kiwe

    • @johanesjohn8471
      @johanesjohn8471 3 года назад +3

      Nimefurahishwa na prnce katega kuandika kitabu kinachoitwa ukuu wa Mwafrika uliofunikwa part 1, nimekisoma nikitabu kizuri, wadau kitafuteni msome

  • @januarynicholausyombo9638
    @januarynicholausyombo9638 3 года назад +3

    Tatizo Africa tuko nyuma Sana kiakili no kifikra

  • @shalomizrael667
    @shalomizrael667 3 года назад +2

    Mungu azifunguwe akili zetu waafrika

  • @daudhabona8897
    @daudhabona8897 4 года назад +12

    Bora mnaongea wenyewe. Maana waislamu tuliwaambia mkaona tunawatukana. Sasa mnakiri wenyewe.

    • @hassanmsipi4094
      @hassanmsipi4094 4 года назад +4

      Daud Habona kaka hizi ni zama za mwisho Qur an inasema "Utaona watu wanaingia katika dini Ya Allah makundi kwa makundi" ndio imefikia sasa

    • @wawakilishitvonline4484
      @wawakilishitvonline4484 3 года назад +1

      Daud usiingize hiyo acha

    • @missmrs829
      @missmrs829 3 года назад

      @@hassanmsipi4094 wewe mwenyewe ni mtumwa wa kiarabu 🤣🤣uyo Allah ni muafirica?? Mbona ni sanamu la kiarabu lililo kuwa likiabudiwa enzi izo kabla yakuja Muhamadi na walikuwa wakiabudu miungu mike?? Sote tumepigwa 🤣🤣tena bora mimi ninatumia lugha yangu kuliko wewe unaye endelea kutumia lugha ya mwarabu na kuiyona iko sahii kuliko lugha yako 🤣🤣

    • @missmrs829
      @missmrs829 3 года назад

      @@wawakilishitvonline4484Huyo Dauni mwenyewe ni mtumwa wa kiarabu na anaendelea kutumia lugha ya kiarabu kuiyona Bora kuliko lugha yake,,ukitizama historia ya Uislaam utachoka sana kwani Uyo Allah wanaemtumia kuwa ni Mungu wa kislaam ni Miungu iliyo kuwa ikiabudiwa na warabu enzi za ujahilia yaani ujinga na ushilikina, Muhamadi alipokuja kusimamisha bendela yake mwaka 610 alishindwa kuing'oa iyo miungu ya Babu zao kwani Babu yake Muhamadi aitwaye Abdul Muttalib ndiye alikuwa mkuu wa kimila pale Makkah ikabidi wapge kura kuchagua baadhi ya miungu inayostahiki kuendelea kuabudiwa ikabakishwa miungu minne ambayo kati ya ile miungu 360 ambayo ni Miungu Allah,Uza,Manata na mingineyo yote Iyo inaabudiwa na mwarabu na muafrica naye kaletewa kuiyabudu 🤣🤣Sote tumepigwa afadhali mie nimestuka mapema natumia lugha yangu kuabudu kuriko wewe unatumia lugha ya kiarabu na kuiyona bora kuliko lugha yako🤣🤣

    • @ilhamswaleh3428
      @ilhamswaleh3428 2 года назад

      @@missmrs829 kasome zaidi punguza maneno

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 3 года назад +1

    Usiseme Mungu amekutuma maana si wote wanaunga mkono ma uchawi na mauganga ya kienyeji. Yanarudisha nyuma maendeleo ya watanzania

  • @virginiashikali4976
    @virginiashikali4976 2 года назад +2

    Mm najua mzungu ,mwafrika na wengine wote sisi wote ni wanadamu ,mungu ajulikani anafanya aje lkn Mungu anaangalia moyo wa mtu sio sura,mchungaji unapoteza watu mtu yeyete wa rangi tofauti anaeza akiza Filam ya yesu

    • @africanproudly4004
      @africanproudly4004 Год назад

      Ndugu yangu sisi watu weusi ni watu
      Na rangi nyeupe ni binadamu
      Sisi tumetoka kwenye uzao wa mwisho wa kiumbe kilichoumbwa na Muumba aliitwa Muto na hii siri yetu imejaa katika lugha zetu za asili atifwatilii....
      Wanadamu wamekuja baada ya uzao kati ya wanawake weusi na malaika waliotupwa.
      Sisi ni waasili na Kristo wa kweli ni mweusi

  • @gstonetheone
    @gstonetheone Месяц назад

    Wabantu wamepotea kwa kukosa maarifa....asante tena Prince.

  • @davincleon9202
    @davincleon9202 3 года назад +1

    Waafrika tuamke jamani tuipambanie afrika yetu let's fight for ours

  • @kinyippalta9598
    @kinyippalta9598 4 года назад +3

    Dah kweli

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 3 года назад +2

    Mzee ungenifundisha SoMo la history ningefaulu sana

  • @RemmyWilliams
    @RemmyWilliams 3 года назад

    VERY POINT. THANK YOU. MIMI NILIPATA VISION YA SURA YA HUYO MWEUSI KWENYE PICHA, BAADAYE NIKATUTA KTK GOOGLE NIKAMUONA EXACTLY KAMA VISION. YESU NI MWEUSI. NA SIO MZURI WA SHEPU. NI WA KAWAIDA.

  • @ammaherman3391
    @ammaherman3391 3 года назад +2

    nashauri kuwe conferences angalau kila wiki mara moja kwaajili ya kukomboa vijana

  • @renatusmatungwa6800
    @renatusmatungwa6800 4 года назад +6

    Mzee nimekuelewa sana

  • @j4wasaimon981
    @j4wasaimon981 4 года назад +3

    Inaitaji utulivu na nguvu ya mungu kuelewa nini anamanisha mwana wa mfalme. africa tuna kila kitu ila atujui jinsi ya kuvitumia

  • @yoenjoel9372
    @yoenjoel9372 4 года назад +2

    Tafadhali mwana wa mfalme andika kitabu.

  • @abediecadeldin3123
    @abediecadeldin3123 4 года назад +6

    Huo ni ukweli na inabidi utuadisie zaidi na vitabu viandikwe tunaitaji ukombozi. Mimi ni mkongo nakuunga mkono.

  • @claudikimario6819
    @claudikimario6819 4 года назад +2

    True

  • @BM_Smart2-6
    @BM_Smart2-6 2 года назад

    Tumwabudu Bwana Yesu kwa neno tu. Kama mpaka tuhakikishe picha tutasubiri sana, nafikiri tutachanganya mambo vibaya zaidi. Maana kama alizaliwa Israel; alikuwa Myahudi, Na tunajua myahudi siyo Mzungu na Mwafrika hapo alitokea wapi?. Hiyo hoja ni porojo tu.

  • @aloycemwakatala2634
    @aloycemwakatala2634 4 года назад +3

    Hakuna haja ya kujaji kuhusu rangi na sura ya Mwenyezi Mungu, bali inatakiwa kutenda yanayompendeza Mwenyezi Mungu.

  • @andrasmahenge8764
    @andrasmahenge8764 3 года назад

    Hongera mwanamfalme

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 3 года назад +2

    Haya mawazo mimi siku zote nilikuwa nayo ila wachristo ni imani yao wabishi sana

  • @tatankakoroba48
    @tatankakoroba48 Год назад

    I agree with him

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 4 года назад

    Asante sana

  • @kadilamore802
    @kadilamore802 4 года назад +2

    true!!!

  • @zacforeignz9207
    @zacforeignz9207 4 года назад +1

    This is true

  • @dominikishilali194
    @dominikishilali194 4 года назад +1

    Nashukulu kwa kukuona

  • @wycliffeluzimbi8093
    @wycliffeluzimbi8093 3 года назад

    Ukweli mtupu mungu arehemu

  • @HusseinNkuna
    @HusseinNkuna 3 месяца назад

    yani mkristo akiambiwa yesu ni mungu anakubali yesu ni mwana wa mungu anakubali yani bila hata kuhoji

  • @kantonankwera4658
    @kantonankwera4658 4 года назад +3

    Kaka nakuku barisanaaa

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly2811 3 года назад +1

    Karibu Mwanza nitaabudu na wewe

  • @wangash6144
    @wangash6144 4 года назад +1

    Ndio maana Tunaomba Mungu wa watu wengine, badala ya sisi kubarikiwa wao wanabarikiwa,, mbona mwafrika anaweza kuuza mungu wake Uraibuni swali tu

  • @DaudiDagadii-yc7bb
    @DaudiDagadii-yc7bb Год назад

    Naomba kila mtu Angie RUclips channel ya Imani mcimbwa katika Siri ya mambo yaliyo fichika utapata kila kitu na majibu yote ya maswali yote. Naomba Sana

  • @neemakisusi7060
    @neemakisusi7060 3 года назад

    Kweli

  • @Karromiatz
    @Karromiatz 2 года назад

    Nimekukubali Sana mkuu