Je, Yesu ni nani: Mzungu au Mweusi? #1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Je, Yesu ni nani: Mzungu au Mweusi? #1
    Mahojiano haya yameletwa kwako na Winnipeg Swahili TV Canada na Mtangazaji Solomon Baleke kwenye mada hii tata kwa walio wengi.
    Ulimwengu umegubikwa na Mafundisho potovu na ya uongo kuhusiana na historia ya Waisraeli na utu wa Yesu (Yeshua). Ukweli uliopo ni mgumu kukubaliwa na walio wengi kufuatana na mafundisho potovu yanayo husiana na picha na filamu za wazungu kuhusu Yeshua.
    Mahojiano haya yalichukuwa takriban masaa mawili kulingana na mitambo ya kimtandao na maswali kuwa mengi.
    Mahojiano haya yamegawanyika kwenye sehemu 4. Nakuomba uzifuatilie video zote hadi mwisho ili uelewe sababu zinazoonyesha kwamba Yeshua ni Mweusi wala si mzungu.
    Subscribe here 👉🏿 www.youtube.co....
    Follow us on:
    Facebook: / majaliwamach. .
    Instagram: / majaliwamac. .
    #AwakeningCampaign
    #Bantuisraelites
    #M2Reviews
    #Jesusisnotwhite
    #RUclipsChannel

Комментарии • 50

  • @gisellekavira8966
    @gisellekavira8966 4 месяца назад +2

    Yesu ni mwana wa Mungu aliye hai.
    Hiyondininajuwa kuusu yesukrosto.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад +1

      Ni mtu mweusi aliye fanya huduma kuokoa watu wake na utumwa wa Warumi (wazungu).

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  19 дней назад

      @@gisellekavira8966 Mungu hana mwana, hayo ni mafundisho potovu.

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 19 дней назад

      @@MajaliwaMachinda kwahiyo wewe na wayahudi Nani anajua historia ya Yesu Punguani wewe

  • @rakaieva5472
    @rakaieva5472 2 года назад +2

    Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu

  • @malevemusingila6696
    @malevemusingila6696 5 месяцев назад +1

    Yesu hajawahi kuwepo na hatakuwepo,mbali Kristo wa kweli alikuwa Mweusi.

  • @fridachuwa8622
    @fridachuwa8622 3 месяца назад +1

    Yesu hajawahi kuwepo na HATA kuwepo, huyo aliundwa tu na wazungu, Lakini KRISTO wa KWELI alikuwa ni mweusi. MWALIMU NI MMOJA TU ZOULOULA 💯 PEKEE HAKUNA MWINGINE 💪💪💪💪💪💪💪

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  3 месяца назад

      Mwalimu pekee wa nini?

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 20 дней назад

      We Mzee unakichaa Yesu alikua mweusi ? Ibrahim alitoka mesopotamia huru WA Wakardayo au Iraq ya Leo ndo asili ya Ibrahim na wayahudi na ipo Asia swali Iraq wapo weusi? Kenge kabisa, kama wazungu wangekua wanajipendelea wangesema hata Yesu NI mrumi au mgiriki , kwanini wanasema ni myahudi , pumbafu kabisa mpotoshaji MKubwa wewe tena huna akili

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 20 дней назад +1

      We Mzee unakichaa Yesu alikua mweusi ? Ibrahim alitoka mesopotamia huru WA Wakardayo au Iraq ya Leo ndo asili ya Ibrahim na wayahudi na ipo Asia swali Iraq wapo weusi? Kenge kabisa, kama wazungu wangekua wanajipendelea wangesema hata Yesu NI mrumi au mgiriki , kwanini wanasema ni myahudi , pumbafu kabisa mpotoshaji MKubwa wewe tena huna akili

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  19 дней назад

      @@francisjoseph1074 Historia yote kuanzia uumbaji hadi Ibrahimu hadi Musa yote ni mambo ya Afrika. Mafundisho potovu ya wazungu yanawaaminisha kuwa ni Asia, la hasha.

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 19 дней назад

      @@MajaliwaMachinda unaonekana ni MTU mzima ila Kwa akili hizo utakua na shida kwenye utindio WA ubongo wako , nasijui hizo mentality mnatoa wapi , nakupa pole , wazungu sio wapumbafu kama unavyofikili , na historia hua haijifichi , waliweza kusema historia ya bible ni ulaya au Kupendelea nchi yyte ya ulaya , tena wakasema ni iraq, ambapo kila siku wanazinguana na waarabu kwanini walisema ni Iraq , tena mesopotamia huru WA wakardayo , Eden ilikua Iraq, Nuhu alikua Iraq, Ibrahim alitokea Iraq, kwanini wasiseme ulaya ? Kenge kabisa mnaosema ni Africa akili zenu zimejaa mavi

  • @user-uo6me4tx7n
    @user-uo6me4tx7n 4 месяца назад +1

    Mzidi kuelimisha Sana ili watu wageuke

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      Mafundisho yanaendelea. Tumedanganywa sana na wazungu.

  • @yohanasemeka6882
    @yohanasemeka6882 4 месяца назад

    Yesu Ni Muyahudi

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      Sio kweli. Yesu ni mweusi, mwafrika. Tumedanganywa sana makanisani..!!!

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 19 дней назад

      @@MajaliwaMachinda pumbafu wewe tahira MKubwa zee zima akili alina , tena huna akili , Nani apoteze mda kukudanganya wewe , bible unamiaka zaidi ya 4000, toka Mussa , We mtanganyika ulikua unajua nini wewe , Wazungu wasi gekuja Africa , siungekua kama wasandawe kule singida , tena wakoroni wamekuja juzi ty ,lakini hulikua hujui kitu, historia yako mwenyewe hata ya mababu zako ulishindwa kuandika

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  18 дней назад

      @@francisjoseph1074 Mhhh 🤔 Asante mkuu. Hongera sana

  • @rakaieva5472
    @rakaieva5472 2 года назад +3

    Sasa mimi niko na swali moja umatufundisha kuhusu sisi weusi sasa swali muzungu yeye alitoka wapi???kama sisinjo wachaguliwa wa Mungu muumba vyote sasa wao walitokeya wapi wazungu hawa.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  2 года назад +1

      Mzungu alizaliwa na mtu mweusi. Maana mtu mweusi ndie aliye umbwa

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  2 года назад +1

      Mzungu alizaliwa na mtu mweusi. Maana mtu mweusi ndie aliye umbwa

  • @user-hi7df6js2m
    @user-hi7df6js2m 4 месяца назад +2

    Inasekana kuwa biblia ya Orthodox haijachakachuliwa, basi tunataka tuzipate, Urusi watusaidie kutafsiri

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      Biblia sio kitabu cha kanisa. Ni historia ya watu jinsi walivyo tembea na Mungu wao. Hakuna haja ya kuomba tafsiri ya Warusi maana wao pia wataitafsiri kwa faida yao.

  • @MaryMuigai-zj8fz
    @MaryMuigai-zj8fz 6 месяцев назад +1

    Yesu ni Bwana wa mabwana.okey.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  6 месяцев назад

      Ila Yesu sio mzungu

    • @nomar3708
      @nomar3708 4 месяца назад +1

      ​@@MajaliwaMachindayesu alikuwa prophet ni prophet Issa. Sio mungu bali ni mtume wa mungu kama moses( Musa), Abraham ( Ebrahim ) yusuf( Joseph) mwenyezi mungu hakuzaa wala hakuzaliwa na hana uhitaji wowote. Yesu anakula ana njaa ana kendal choo. Nyie badlands ya kumuabudu aliyewaumba, mna abudu kiumbe cha mola . Hiyo ni dhambi kubwa

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      @@nomar3708 Hiyo ni kweli. Ni mmoja wa watumishi wa Muumba ambaye kwa leo wakristo wanamtafsiri vibaya.

  • @mercyanyangu7450
    @mercyanyangu7450 2 года назад +1

    Waroma walitengeneza new testament...yesu hakutumwa na Mungu kutufia dhambi zetu...

  • @bedaslucas4291
    @bedaslucas4291 Год назад +1

    Umeongea vema kaka pia nakuomba mfuatilie Imani Mcimbwa RUclips unaweza kupata ku share mawazo

  • @mustafamohd9066
    @mustafamohd9066 11 месяцев назад +1

    Kwa iyoo munajuwa yesu kuwa si mzungu ila munazinguwa tu munasema mzungu na kama yesu ni mwana wa mungu kisa hana baba Ana mama tu baba hana na je Adam atakuwa anakuwa vp wakati hana mama wala Baba tusome vizuri ukweli upo

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 года назад +1

    Hiyo ni kweli...hata Musa alikuwa mweusi ndiyo MAANA hawakumtambua mpaka alipomuua mmisri ndiyo wakaja kugundua ni mwebrania...hivyo basi kumbe waebrania nao walikuwa weusi. ..walifanania wamisri.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  2 года назад

      Walikuwa weusi na ndio hawa wanaoitwa waBantu leo. Walitoka Misri wakija Kanaani ambako ni chini ya jangwa la Sahara.

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 4 месяца назад

    Yesu awe mzungu au awe mwafrika sio ishu,ishu ni kumwamin na kumfata ukwel tutaujua tukienda mbngun

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      Unajidanganya sana. Huwezi kuamini usicho kijuwa. Hiyo ni dogma ya kikoloni.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  4 месяца назад

      Ni zaidi ya miaka elfu mbili sasa. Ni nani ameshafika mbinguni??

    • @francisjoseph1074
      @francisjoseph1074 19 дней назад

      @@MajaliwaMachinda mbinguni hawatendi Kwa akili zako za kiafrica 😂😂 Nakupa pole kenge weqw

  • @bba8597
    @bba8597 2 года назад +1

    Si yesu ni mzungu, lakini, yissa yah ana anglie kama sisi 👌🏿🙏🏿👍🏿🖤

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  2 года назад +1

      Yesu (Yeshua/Yisayah) sio mzungu kabisa…

    • @bba8597
      @bba8597 2 года назад +1

      @@MajaliwaMachinda nili jaribu ku sema ati mungu ya wazungu ndio mzungu. Lakini mungu ukweli, si mzungu!? 👍🏿👌🏿🤣

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  2 года назад +1

      @@bba8597 Mungu wetu wa mbinguni sio mzungu. Hiyo michoro wazungu wanafanya ili kutupotosha…!!

  • @nasmajuma2703
    @nasmajuma2703 10 месяцев назад +1

    Naona sasa waafrica tunaamka kutoka ucngizi mzito apa udini tuache udini jamani tuutangulize uafrika naistoria zakwl za afrika

  • @marionoti5760
    @marionoti5760 3 месяца назад +1

    kweli sisi waafrika ni wajinga, hivi kweli akina netanyahu au waisraeli au waarabu ni weusi? Hivi kung'ang'ania rangi ya Yesu kuna umuhimu gani? Mbo na munaabudu biblia [sanamu] badala ya kweli ya Mungu? Hata mafarisayo walifanya hivyo.

    • @MajaliwaMachinda
      @MajaliwaMachinda  3 месяца назад

      Wale watu wa zamani (wa biblia) walikuwa weusi. Hao kina Netanyau ni wazungu walioiba asili yetu. Biblia ni Kitabu cha historia ya mababu zetu (waBantu) jinsi walivyo tembea na Mungu wao.

    • @DavidkingRiziki
      @DavidkingRiziki 3 месяца назад +1

      😢😢😢😢