PRINCE KATEGA: KUMBE BINADAMU HATUFARIKI HUWA TUNAACHA MWILI ..... WAAFRIKA TUJITAMBUE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • PRINCE KATEGA: KUMBE BINADAMU HATUFARIKI HUWA TUNAACHA MWILI ..... WAAFRIKA TUJITAMBUE
    Bonyeza Hapa KUSUBSCRIBE www.youtube.com...

    FOLLOW TRICOD SKILLS on Instagram!
    / tricodmedia
    LIKE TRICOD SKILLS on Facebook!
    / tricod-skills-11524157...
    FOLLOW TRICOD SKILLS on Twitter!
    / tricodskills
    #PrinceKatega
    #Africa
    #kujitambua

Комментарии • 127

  • @owtisowtis4049
    @owtisowtis4049 3 года назад +7

    Sijutii kabsa kukusikiliza mzee wangu... Namshukuru Mwalimu wangu the Great Sir TABARO KAIJAGE kunitambulisha kwako...

  • @salyungumabula5539
    @salyungumabula5539 4 года назад +9

    Siku waafrika tulivochezewa, tutashangaa Siku tukiamka. Ukweli tunauona kama uongo na uongo kama ukweli. Babu zako ulio ishi nao wakifa wanaitwa mizimu na hautakiwi kuwakumbuka wala kuwasigelea, wao wakifa wanaitwa no watakatifu, lazima tujifikirie Waafrika tulipokosea. Until we are awake ndo tutayajua anayoyasema Prince Katega II. MUNGU wetu atuhurumie!!

  • @zubedarichard3238
    @zubedarichard3238 4 года назад +7

    Asante sana nlienda kwa wachungaji wanasema niache mizimu nlikuw naumwa balaa lkn toka nimetambikia mambo yanaenda vzr

  • @mrsun6886
    @mrsun6886 4 года назад +6

    You're right Prince religion they call them angles but Africa we call them ancestors so mizimu ya mababu n.a. mabibi zetu ndio malaika wetu ambao dini zinaita malaika

  • @allenjoelmassawe6810
    @allenjoelmassawe6810 4 года назад +13

    Mzee mm naomba unifundishe jinsi ya kuongea na mizim ya babu zangu maana hatujui kubisa

  • @stevenmwaisunga5090
    @stevenmwaisunga5090 4 года назад +2

    Nakupenda sana katega.

  • @mbaryajunior2168
    @mbaryajunior2168 4 года назад +3

    Kutoka duce tupo pamojaaaaaaaaa nakubali sanaaaa kazi zako

  • @isakabaragomwa296
    @isakabaragomwa296 4 года назад +6

    Siku zote dawa inayo ponya lazima iwe chungu.
    Lakin kunywa Ni lazima kama tunataka kuishi.

  • @EREVUKATV
    @EREVUKATV 3 года назад +1

    Ahsante sana mzee Wangu wewe ni zaidi ya Mwalimu!

  • @anthonykamkolwe5766
    @anthonykamkolwe5766 4 года назад +4

    Ukweli Mtupu......

  • @dailymatrixpurpose19siva
    @dailymatrixpurpose19siva 4 года назад +2

    Its only Mamafrica baba juu si wote ni watoto wa Mungu sio Jesus peke ...i believe there are two greatest law which are responsible for humanity life on earth..THE LAW OF CAUSES AND EFFECTS WHICH KARMA AND THE LOW OF REBIRTH as you said REINCARNATION BABA and HUMAN BODY is a one of the amazing vehicle in universe transmute those law Sir Kageta...since I was born I always believe that we all have the spark of Nature or God which I call Soul inside of us which live forever in different forms by the power of its own minds

  • @audaxminde5314
    @audaxminde5314 4 года назад +2

    Asante kwa somo

  • @munirafarah9369
    @munirafarah9369 4 года назад +2

    Hongera

  • @salumsamesame1741
    @salumsamesame1741 4 года назад +3

    Hongera, tuko pamoja

  • @winfordmosha11
    @winfordmosha11 4 года назад +1

    Asante baba huwa nakuelewaga sana

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga795 4 года назад +1

    Pure truth 100%...ukiskia maarifa ndio haya...USIANGAMIE MUAFRIKA.

  • @mbondoo1780
    @mbondoo1780 4 года назад +2

    Prince katega uko sahihi kabsa lakin
    Kumbuka watu wanaprogram ambazo zimepandikizwa kwa miaka mingi nasio rahisi kuzitoa kwa wakat mmoja., Endelea kuuongea ukwel kwan UKWELI Utatuweka kua huru 💝💗💗💗💖💕🙅

  • @mgala0782
    @mgala0782 4 года назад +5

    Ukweli ni kua nadharia ya kifo haipo binadamu hafii ukiangalia angani jua lipo, mwezi upo , nyota zipo , binadamu hafii

    • @hamisimtemi3803
      @hamisimtemi3803 3 года назад +1

      kuwepo kwa nyota, jua na mwez kunahusianaje na kufa kwako had useme hufi

    • @fransgold7515
      @fransgold7515 3 года назад

      😂😂😂😂

    • @JKGJICHOMAKINIONLINE
      @JKGJICHOMAKINIONLINE Год назад

      @@hamisimtemi3803 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @nelsonsalumuclovis753
    @nelsonsalumuclovis753 4 года назад +2

    Nakukubali sana mzee wng

  • @samniza1763
    @samniza1763 4 года назад +4

    I am not sure about those mizimus, but Let's keep reading the original word of God.

    • @princebuganzilut2047
      @princebuganzilut2047 2 года назад

      Which is the original God and which is not plse?? Advise plse

  • @jonathanpaul4784
    @jonathanpaul4784 4 года назад +4

    Kuna watu wanaamin kuwa mussa na elia pale walipo mtokea yesu kwamba wale ni watakatifu .kutokana na mafundisho tunayo fundishwa katika imani zetu kuwa ..muafrika akifariki ni amefariki tu na anakuwa mzimu ila wazungu wao wanajua nguvu ya mizimu ndio maana wao mwenzao akifa wanamuita mtakatifu ndio ujiulize mpaka leo hakuna mtakatifu muafrika ni wazungu tu

  • @nasrihamisi8569
    @nasrihamisi8569 4 года назад +2

    Tufundishe baba uzungu unatupoteza Sana nahawata tuambia ukweli.

  • @mariamfritsi9761
    @mariamfritsi9761 4 года назад +1

    Asante kwa funzo,nimejifunza kitu hapo.

  • @FAMILYKALEGERA
    @FAMILYKALEGERA Год назад

    Asante sana kwa mafundisho haya yote.

  • @hamisiramadhani8661
    @hamisiramadhani8661 4 года назад +2

    Nikweli kabisa

  • @fredichaki4868
    @fredichaki4868 4 года назад +2

    Prince katega wa pili Nina muelewa Sana uwa

  • @samweljoab5109
    @samweljoab5109 3 года назад +2

    Good

  • @dumasbajun0012
    @dumasbajun0012 Год назад

    Shukran 🙏🏿

  • @airlights
    @airlights 13 дней назад

    Nimesha acha dini ya mzungu Sasa.....Mimi ni muafrika

  • @kabilazunda2791
    @kabilazunda2791 3 года назад +3

    Tufundishe jinsi ya kuwasiliana na mizimu

  • @jorammwakatobe9579
    @jorammwakatobe9579 4 года назад +3

    Nifundishe niongee na baba zangu

  • @sahalexcha3036
    @sahalexcha3036 4 года назад +4

    *_Anaposema kilichotokea kwa Mh Benjamin William mkapa kwanni mnatoa hiyo saut acheni zenu_*

  • @allenjoelmassawe6810
    @allenjoelmassawe6810 4 года назад +3

    Ila ndugu unavyo weka mambo hadharani ivi ina maana hawa jamaa hawata kufanyia njama zizote ndugu maana ukweli siku zote sio rahis kuujua kirahis na ukijua lazima utapata kipangamizi

  • @nackeltayiai9330
    @nackeltayiai9330 4 года назад

    Asante kwa masomo hii

  • @zainabukombo411
    @zainabukombo411 Год назад

    Ni kweli kbs baba

  • @manakamuhammad6936
    @manakamuhammad6936 3 года назад +2

    Nimesikia katika history yako kutoka colobalt TV Tanzanian ndio nimeamua kukufua.

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 3 года назад +1

    Uko sahihi muheshimiwa katega

  • @ethankihoro216
    @ethankihoro216 3 года назад

    Iwe kweli ama urongo me sijui lakini najua kile binadamu anaanzisha huisha baada ya miaka kidogo na kupitea kabisa lakini kile mungu alianzisha hakiishi kitadumu milele ....from 254

  • @Landosofficial10
    @Landosofficial10 4 года назад +2

    Mwalimu nakupataje

  • @DavidNdara
    @DavidNdara 4 года назад +3

    If a lie can destroy such a strong truth, it means the lie is stronger than the truth...Mr. Prince, any idea in the power behind that lie, whats its secret. Maybe we should disseminate the lie

  • @barakamaingu9858
    @barakamaingu9858 3 года назад +1

    Nimekuelewa sana Prince, ila nina maswali machache ya kukuuliza

  • @HajiKlein-so1rk
    @HajiKlein-so1rk 3 месяца назад

    ❣️🇹🇿👏

  • @edmundkalonga6461
    @edmundkalonga6461 4 месяца назад

    Hatuwezi kuamka kwa sasa mpaka. Kila mmoja akubali lakini kwa wengi waliopo sasa na kwakuwa hawapendi kuamini na kuaminiana sisi kwa sisi wazungu wamefanya jambo sana kwamba sisi tusiaminiane tuwaamini wao hapo ndio wametuweza sana

  • @nackeltayiai9330
    @nackeltayiai9330 4 года назад +3

    Sisi ndio watoto was Israeli...watoto wa mungu

  • @jonathanpaul4784
    @jonathanpaul4784 4 года назад +2

    Mimi nmekuelew ila bado kuna watu majuha watakupinga

  • @elizakeleme73
    @elizakeleme73 3 года назад +2

    Nifundishe mimi njinsi yakuongea na babu nzangu

  • @edwardochieng7962
    @edwardochieng7962 3 года назад

    Nashikuru sana prince...lakini eliya wala hakufa.

  • @mbaryajunior2168
    @mbaryajunior2168 4 года назад +6

    Wakwanza kucomment weka hapa comments zote za katega

  • @sahalexcha3036
    @sahalexcha3036 4 года назад +2

    _KUKUBALI SANA KATEGA_ ila tu bado sijapata kitabu Chako naomba nijue nakipataje

  • @chiragiabel
    @chiragiabel 4 года назад +4

    This is Satan's great deception, "Natural immortality of the soul" Satan said, ye shall not surely die. Now its just the matter of choice, to trust what God said or what Satan lied.
    But of the tree of the knowledge of good and evil, thou shalt not eat of it: for in the day that thou eatest thereof thou shalt surely die.
    Genesis:2:17
    KWELI ITABAKI KUWA KWELI TU😊

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад +2

      Kwaivo Mungu hakutaka tujue good and bad alitaka tuwe midoli wa mbinguni forever?

    • @nelsonsalumuclovis753
      @nelsonsalumuclovis753 4 года назад

      K😃

    • @nelsonsalumuclovis753
      @nelsonsalumuclovis753 4 года назад

      😃

    • @zachariahexegesists7892
      @zachariahexegesists7892 4 года назад

      you are not the body that takes you to churches or mosques

    • @chiragiabel
      @chiragiabel 4 года назад +1

      @@BigZhumbe Wewe unamchukuliaje huyu Mungu?
      Canst thou by searching find out God? canst thou find out the Almighty unto perfection? It is as high as heaven; what canst thou do? deeper than hell; what canst thou know? The measure thereof is longer than the earth, and broader than the sea. If he cut off, and shut up, or gather together, then who can hinder him? For he knoweth vain men: he seeth wickedness also; will he not then consider it?
      Job:11:7-11
      MY FRIEND, MUNGU HACHUNGUZIKI. HATA ANGETAKA TUBAKI MIDOLI FOREVER, ANABAKI KUWA MUNGU TU.

  • @mansourmakame355
    @mansourmakame355 4 года назад +2

    Tusiposoma kur an tutapotezwa sana na watu wa aina hii, na kuna tatizokubwa litatokea pindi watoto wetu watakapoacha kusoma kur an

  • @shemodero8886
    @shemodero8886 Год назад

    Kama tunarudi, kwanini population inaongezeka zaidi . Nina mona kwamba wengine watoka wopi?

  • @mj.tv.forpeople992
    @mj.tv.forpeople992 7 месяцев назад

    Umeludi Mala ngapi Dunia

  • @Child0fStarSon0fSun
    @Child0fStarSon0fSun Год назад

    1:54 right out of either

  • @rajabujuma4976
    @rajabujuma4976 4 года назад +2

    Usipingane na maandiko kwa kujificha kwenye kivuli cha uzalendo wa kiafrica na upotoshaji wa haoo walio potosha bali hebu jaribu kuutafuta ukweli ukiupata ndo uwaeleze watu hivi" unaonaje utakapo wafundisha watu kua hawato fufuliwa alafu wakajikuta wanafufuliwa kiurahisi tuu"! Umewahi kujiuliza hali itakuaje kwako wewe kama mkufunzi pamoja na wale ulowafundisha wakakuamini!??

    • @ezekielmartin5675
      @ezekielmartin5675 4 года назад

      Huyu jamaa hajielewi kabisa.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      Dunia ina dini 4300 dini zote hazielezi kuhusu ufufuo sauti ya wengi ndio sauti ya Mungu

    • @rajabujuma4976
      @rajabujuma4976 4 года назад +1

      @@BigZhumbe lau dunia nzima ikakubaliana katika jambo lisilo la kweli, na yakatupiliwa mbali maoni ya mtu mmoja mwenye haki, kukubaliana kwa watu wote duniani, hakufanyi ukweli kua uongo ukweli utabaki kua ukweli na uongo utabaki kua uongo

    • @hamisiramadhani8661
      @hamisiramadhani8661 4 года назад +1

      Hiviovitabu kaandika nani kamasio binadam. Tena vimehaliliwa kwa 320 chiniya yamzungu mtoto waarekizanda wapili. kaisali

    • @imbatokamoyoni2209
      @imbatokamoyoni2209 4 года назад

      @@ezekielmartin5675 ukiwa wewe mwenye kujielewa toa maoni yako,watu WAJIFUNZE Kujifunza sio dhambi dhambi Ni kuamini kitu bila kujua aliyekuletea,alikuwa na Nia gani na wewe..fikiria nje ya box

  • @alfanboman5455
    @alfanboman5455 Год назад

    Saf San mzee wgu

  • @audaxminde5314
    @audaxminde5314 4 года назад +2

    Hebu niandikie hilo neno

  • @mwasoprince3459
    @mwasoprince3459 3 года назад +1

    Unsyuka 😄😄😄🤸🤸🤸

  • @barakamateru7615
    @barakamateru7615 3 года назад

    Mzee unjaua tatizo uhaya mwingi sana unajisifia fisia kila saa nenda kweenyee point

  • @allironjo2698
    @allironjo2698 3 года назад

    Elimu ikzidi sana inakua ujinga

  • @PauloMaona-in4qh
    @PauloMaona-in4qh 11 месяцев назад

    ufufuo upo

  • @justinemashine4292
    @justinemashine4292 2 года назад

    prince katega
    BABA WA FIKRA

  • @shemodero8886
    @shemodero8886 Год назад

    Tunaka wapi tukishawacha mwmili??

  • @mohamedmmubullah1147
    @mohamedmmubullah1147 4 месяца назад

    Vema

  • @innocentmallya6728
    @innocentmallya6728 2 года назад

    Wa wa wa katega waa tunakupenda mfalme

  • @ErickNduwimana-tp9gb
    @ErickNduwimana-tp9gb 4 месяца назад

    Nakuwunga Mukono

  • @manakamuhammad6936
    @manakamuhammad6936 3 года назад +2

    NifutAlia kabisa

  • @stanobwago9991
    @stanobwago9991 4 года назад

    Jaman, mie biblia yangu yote inaniambia Eliya alipaa mbinguni na gari la moto huku elisha akimuangalia, sasa huyo aliekufa ni yupi labda

  • @ptv7577
    @ptv7577 2 года назад

    Rencalate of bodies

  • @user-wu7sy6dp2o
    @user-wu7sy6dp2o 2 месяца назад

    Unawasema wazungu akati %80 unaongea kingeleza unafki uo mbona mbarikiwa aongeagi kingeleza kingi ivo

  • @SasukeKasongo
    @SasukeKasongo 3 месяца назад

    upuuzi mutupu

  • @Kibonge1
    @Kibonge1 6 месяцев назад

    Nilichelewa kuguskiza
    Lakini nakubaliana na wewe

  • @ubempiretz1625
    @ubempiretz1625 3 года назад

    Mh

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 3 года назад

    Kuna MWILI na ROHO. hata YOGI kama Sadhguru anasema sana hilo.
    Ndio maana kwa wakristo husema Yesu ni Mungu

  • @imbatokamoyoni2209
    @imbatokamoyoni2209 4 года назад +2

    Kidogo nina Shaka na "reincarnation"
    Kwanini Ni baadhi ya watu.. kwanini sio sisi sote

  • @alikarisa
    @alikarisa 3 года назад

    Unapotosha watu. Kwahiyo wanaokufa wameumbwa Na Nani?

  • @selemanimandindi9194
    @selemanimandindi9194 3 года назад

    Mzee minimekuelewa ila kuna baadhi ya vijana hawaelewi kabisa ndio kwanza wa nakuambia unavuta bangi

  • @sarahmwaluko2480
    @sarahmwaluko2480 3 года назад

    Mie ni mgogo tunawaita milungu mzimu

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 4 года назад

    Acha bangi

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 4 года назад +1

    Wewe huwez kukomboa fikra za mtu

  • @ezekielmartin5675
    @ezekielmartin5675 4 года назад

    Wewe acha kupotosha wakristo, Wapi Yesu aliletewa mizimu?

    • @estherbandari7688
      @estherbandari7688 4 года назад

      Google transfiguration of jesus utaelewa anachoongea

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад

      Kwani mzimu ni nini kwa mtazamo wako?

    • @ezekielmartin5675
      @ezekielmartin5675 4 года назад

      @@BigZhumbe soma bible usidanganywe naporojo za hekima ya kidunia🤣🤣🤣
      Wakolosai 2:1-15,17-23
      [1]Maana nataka ninyi mjue jinsi ilivyo kuu juhudi yangu niliyo nayo kwa ajili yenu, na kwa ajili ya wale wa Laodikia, na wale wasioniona uso wangu katika mwili;
      [2]ili wafarijiwe mioyo yao, wakiunganishwa katika upendo, wakapate utajiri wote wa kufahamu kwa hakika, wapate kujua kabisa siri ya Mungu, yaani, Kristo;
      [3]ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.
      [4]Nasema neno hili, mtu asije akawadanganya kwa maneno ya kuwashawishi.
      [5]Maana nijapokuwa sipo kwa mwili, lakini nipo pamoja nanyi kwa roho, nikifurahi na kuuona utaratibu wenu na uthabiti wa imani yenu katika Kristo.
      [6]Basi kama mlivyompokea Kristo Yesu, Bwana, enendeni vivyo hivyo katika yeye;
      [7]wenye shina na wenye kujengwa katika yeye; mmefanywa imara kwa imani, kama mlivyofundishwa; mkizidi kutoa shukrani.
      [8]Angalieni mtu asiwafanye mateka kwa elimu yake ya bure na madanganyo matupu, kwa jinsi ya mapokeo ya wanadamu, kwa jinsi ya mafundisho ya awali ya ulimwengu, wala si kwa jinsi ya Kristo.
      [9]Maana katika yeye unakaa utimilifu wote wa Mungu, kwa jinsi ya kimwili.
      [10]Na ninyi mmetimilika katika yeye aliye kichwa cha enzi yote na mamlaka.
      [11]Katika yeye mmetahiriwa kwa tohara isiyofanyika kwa mikono, kwa kuuvua mwili wa nyama, kwa tohara ya Kristo.
      [12]Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye, kwa kuziamini nguvu za Mungu aliyemfufua katika wafu.
      [13]Na ninyi mlipokuwa mmekufa kwa sababu ya makosa yenu na kutokutahiriwa kwa mwili wenu, aliwafanya hai pamoja naye, akiisha kutusamehe makosa yote;
      [14]akiisha kuifuta ile hati iliyoandikwa ya kutushitaki kwa hukumu zake, iliyokuwa na uadui kwetu; akaiondoa isiwepo tena, akaigongomea msalabani;
      [15]akiisha kuzivua enzi na mamlaka, na kuzifanya kuwa mkogo kwa ujasiri, akizishangilia katika msalaba huo.
      [17]mambo hayo ni kivuli cha mambo yajayo; bali mwili ni wa Kristo.
      [18]Mtu asiwanyang’anye thawabu yenu, kwa kunyenyekea kwa mapenzi yake mwenyewe tu, na kuabudu malaika, akijitia katika maono yake na kujivuna bure, kwa akili zake za kimwili;
      [19]wala hakishiki Kichwa, ambacho kwa yeye mwili wote ukiruzukiwa na kuungamanishwa kwa viungo na mishipa, hukua kwa maongeo yatokayo kwa Mungu.
      [20]Basi ikiwa mlikufa pamoja na Kristo mkayaacha yale mafundisho ya awali ya ulimwengu, kwa nini kujitia chini ya amri, kama wenye kuishi duniani,
      [21]Msishike, msionje, msiguse;
      [22](mambo hayo yote huharibika wakati wa kutumiwa); hali mkifuata maagizo na mafundisho ya wanadamu?
      [23]Mambo hayo yanaonekana kana kwamba yana hekima, katika namna ya ibada mliyojitungia wenyewe, na katika kunyenyekea, na katika kuutawala mwili kwa ukali; lakini hayafai kitu kwa kuzizuia tamaa za mwili.

    • @BigZhumbe
      @BigZhumbe 4 года назад +2

      @@ezekielmartin5675 Hio biblia ilikua wapi wakati wa slavery na ilimsaidia vipi muafrica?

    • @digoyaguitarally2790
      @digoyaguitarally2790 3 года назад

      Aisee kuna vitu vingine muelewa mjitambue nyie