UKUU WA MWAAFRIKA, kwanini tunakosewa tukiitwa DUNIA YA TATU, wafahamu WAGUNDUZI wa Kiafrika - EP 1

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 65

  • @nicholauslema2707
    @nicholauslema2707 2 года назад +9

    Hongera Prince Katega wa Pili. Nlilisikia Jina Lako likitajwa mara nyingi nyingi na ANANIAS EDGAR kuhusu Mambo ya Ukuu wa MuAfrica, Naishukuru SNS kwa Kukuleta Live na Kukupa Kipindi.
    Hiki Kipindi chako cha Leo ni Kifupi mnooo,,, Naomba vipindi vyako vinavyofuata wakupe angalau 2hrs uendelee kutupa MADINI.....

  • @bishweko
    @bishweko 7 месяцев назад +1

    Ni true Doctors wetu sahizi ni madalali.

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 2 года назад +9

    Asante kwa kutuvumbua na kuujua Africa ni nini na chanzo chake asante sana uje tena ili tuzidi kujua mengi yahusuyo AFRICA

  • @asantemungu9820
    @asantemungu9820 2 года назад +6

    Woooow!!!!!!!! Yaani Heshima kubwa kwako, Dr Prince Katega. Hii Elimu ya bure lazima iendeleee kama Series.. Asante Sana. 🤝🏾🤝🏾🤝🏾🤝🏾

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 2 года назад +5

    Shukran Prince Katega, Asante sana Sns najivunia kuwa Mwafrika

  • @isackbaton3686
    @isackbaton3686 2 года назад +9

    Nlishawahi kusikia stori yako kwa jamaa mmoja anaitwa Ananias Edgar your very inteligent

  • @ismailmagina2231
    @ismailmagina2231 2 года назад +4

    Ni Mgodi prince katega..namfatilia sana chanell yake @United kingdoms of afrika..nimesoma kitabu chake..kwa wale wanaotaka madini pongezi kwa sns kwa kuwaltea mgodi...✊tafadhari sns hii iwe mwendelezo wa vipindi vya namna hii

    • @JasleenMollel
      @JasleenMollel 8 месяцев назад

      Asante na hongera kuendelea kupata msdini

  • @blacknesaya744
    @blacknesaya744 2 года назад +6

    Request...tuna taka mwendelezo wa kipindi Cha huyu price katega 11

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 2 года назад +6

    Safi sana SnS muwege natupa vitu kama hivi ili waafrika angalau tupate kujitambua

  • @bobrona9765
    @bobrona9765 2 года назад +3

    kweli mfumo wa elimu yetu africa inabidi ubadilike ,jamaa kaongea ukweli...

  • @anthony.mkaijage5885
    @anthony.mkaijage5885 2 года назад +4

    Our father in knowledge prince katega ii

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 2 года назад +9

    waafrika waache kujichubua na kuvaa mawigi ndo tutaheshimika zaidi

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +6

    Nashukuru sana kwa elimu ila tumedidimizwa sana ndo maana tunashau thamani yetu waafrika

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 2 года назад

      Tumedidimizwa na kutufanya tusijiamini bila wao dunia haipo Dah!sasa tunaiga hata tamaduni zao na kuacha zetu,mbaya wametunyinya kutuacha masikini, mbaya wametutawala hata kifikra tusiweze kufanya vyetu tukihisi havina maana wala ubora, wametufubaza kuona vyetu ni dhaifu, vibaya,nitakataka ilihali ndivyo halisi na thamani ya hali ya juu, wao leo wa naendelea kwa hivi vyetu walivyo vichukua na bado wanavi chukua na kufanya ni vyakwao

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 года назад +1

    Fainali mmempa Prince Katega nafasi kutema elimu kwa muafrika aliyepotezwa

  • @African511
    @African511 8 месяцев назад +1

    Hapo uliposema,mwalimu anahitaji uandike anachokitaka ni kweli kabsa hii,imewahi kunikuta mm shule,yaani mwalimu anahitaji uandike point zile zile za kwenye vitabu,ukiendana na utofauti wa points lakini maelezo yanaendana anasema hapo siyo umekosea,aloooo hapo ndipo nilipoelewa kumbe elimu hii ni ya mkoloni kabsa.

  • @valentinernestkavishe7297
    @valentinernestkavishe7297 Год назад +1

    Upo sahihi lakini ni kitu kigumu sana kubadilisha history

  • @chafumojangoyepangoulous4416
    @chafumojangoyepangoulous4416 2 года назад +2

    Kweli Mungu awawezeshe storys na ukweli utufikiye sisi hote weusi tufumbuke macho vipofu ni wangi sana

  • @kaayakitomary1233
    @kaayakitomary1233 2 года назад +6

    Hiii ndo magu alikua anataka kufanya kwann jamni tusiachane na madawa yakichina

  • @kibelloh
    @kibelloh 2 года назад +5

    💪🏾💪🏾💪🏾powerful talks.

  • @chande2k250
    @chande2k250 6 месяцев назад

    Prince katega shukrani
    Tukifuata haya africa tutafika mbali

  • @albert1088
    @albert1088 3 месяца назад

    Sky please mrudishe dr.!! Please bro tunahitaji kusikia more from him

  • @africanproudly4004
    @africanproudly4004 2 года назад +3

    Asante sana SnS
    Hii kubwaa

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +3

    Afrika tulianza wazungu wakafata lakini waliua kabisa mwafrika asionekane

  • @chundabadsingasinga3130
    @chundabadsingasinga3130 2 года назад +3

    Anajua SANA

  • @kilalakaila9762
    @kilalakaila9762 2 года назад +5

    Afri-CAN not Afri-CAN'T

  • @davidkitumbi6457
    @davidkitumbi6457 Год назад

    Unanifurahisha sana prince edelea pia nawaomba m search Zouloula 100 ama Imani mcimbwa on RUclips dio tuuganishe yote muone ajabu, Mwafrica diye chazo cha yote, na Sasa tunarudi uko mhamini ama msiamini uko diko tarudi huo dio ukweli, No more lies.

  • @naombadiaz4467
    @naombadiaz4467 2 года назад +1

    My Boss hongera sana sana

  • @ibraimoissiaca6058
    @ibraimoissiaca6058 2 года назад +3

    Safi sana sns

  • @ronaldissack4955
    @ronaldissack4955 2 года назад +1

    Great brain of prince

  • @nyongesabenjamin3762
    @nyongesabenjamin3762 Год назад

    elimu nzuri tutumie vitabu Kenya tusome

  • @neemaresourcefoundation8309
    @neemaresourcefoundation8309 Год назад

    Hizi kingdom zinaweza komboa kizazi cheti hiki kilichopo hatarini

  • @abdulrahmanhassan9254
    @abdulrahmanhassan9254 2 года назад +2

    sasa haya ndio masomo mnatakiwa mtuletee tunaomba muendelezo

  • @hassangaddafi2347
    @hassangaddafi2347 5 месяцев назад

    Safi sana mkuu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 6 месяцев назад

    Hamsikilizwi ujue. Hatuna viongozi wenye uchungu afrika .

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 Год назад

    you are my teacher

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 6 месяцев назад

    Waafrika wanawaza kwenda peponi kuishi

  • @goodbeatus
    @goodbeatus 2 года назад +1

    13:19 hio picha mmetuangusha,

  • @waziriyusuf4446
    @waziriyusuf4446 2 года назад

    Ahsante Sana zidi na uendelee usiacha muafrika aamke

  • @eliassabbath2480
    @eliassabbath2480 2 года назад +2

    African

  • @johnstephano6486
    @johnstephano6486 2 года назад

    Safi sana.

  • @angeakeza6542
    @angeakeza6542 2 года назад +2

    Saf

  • @SAMISAI.
    @SAMISAI. Год назад

    Yuko sawa ila anabadilisha mada sana ingependeza sana aongelee one topic

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 2 года назад +2

    Eti bongo bahati mbaya ha 😆 🤣 😄 😂 😅 😀 😆

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 Год назад

    Tusaidie mwana wa ufurume

  • @msangodiesel3132
    @msangodiesel3132 2 года назад

    kwenye chakula wameweka sumu kwenye chakula(chakula bandia)ili kutengeneza magonjwa

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 6 месяцев назад

    Wazalendo walishakufa. Akili kubwa haina nafasi ya kutenda

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru 2 года назад

    Kabisa kama wanachuo sio problems solvers kila mkoa una law materials ambazo hizo ndizo zinazo kuza uchumi wa taifa wao wanafikilia kuajiliwa tu ofisini wakati duniani kila mkoa una uchumi wao na kuna watafiti na serikali zina fungua viwanda

  • @abdulbakari1220
    @abdulbakari1220 7 месяцев назад

    Wewe nimuhin wakingereza

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe 2 года назад

    Jamaa apewe show ya 10hrz madini ni mengi

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 6 месяцев назад

    Vpi kuhusu dini mzee

  • @MS.independent8934
    @MS.independent8934 2 года назад +1

    🤝🏼❤️🇹🇿

  • @malimanyanja562
    @malimanyanja562 2 года назад

    Watu wengi wamesha alibiwa vichwa na wazungu naelimu zao za uongo mtupu ira sisi bado tunashi kama mababu zetu

  • @dominicjulius3108
    @dominicjulius3108 Год назад

    princi katega tukomboe baba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 2 года назад +1

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 6 месяцев назад

    Wakifanya mabadiko watanyimwa misaada viongozi wa afrika pumba

  • @NtanunuraWillsonBaru
    @NtanunuraWillsonBaru 2 года назад

    Mpango ni kuuwa waafrka tena wapo serious umeongea ukweli ukisikia kimywa kimywa nichokitafanyika

  • @abdulbakari1220
    @abdulbakari1220 7 месяцев назад

    Wewe muongo