Hongera Prince Katega wa Pili. Nlilisikia Jina Lako likitajwa mara nyingi nyingi na ANANIAS EDGAR kuhusu Mambo ya Ukuu wa MuAfrica, Naishukuru SNS kwa Kukuleta Live na Kukupa Kipindi. Hiki Kipindi chako cha Leo ni Kifupi mnooo,,, Naomba vipindi vyako vinavyofuata wakupe angalau 2hrs uendelee kutupa MADINI.....
Ni Mgodi prince katega..namfatilia sana chanell yake @United kingdoms of afrika..nimesoma kitabu chake..kwa wale wanaotaka madini pongezi kwa sns kwa kuwaltea mgodi...✊tafadhari sns hii iwe mwendelezo wa vipindi vya namna hii
Tumedidimizwa na kutufanya tusijiamini bila wao dunia haipo Dah!sasa tunaiga hata tamaduni zao na kuacha zetu,mbaya wametunyinya kutuacha masikini, mbaya wametutawala hata kifikra tusiweze kufanya vyetu tukihisi havina maana wala ubora, wametufubaza kuona vyetu ni dhaifu, vibaya,nitakataka ilihali ndivyo halisi na thamani ya hali ya juu, wao leo wa naendelea kwa hivi vyetu walivyo vichukua na bado wanavi chukua na kufanya ni vyakwao
Hapo uliposema,mwalimu anahitaji uandike anachokitaka ni kweli kabsa hii,imewahi kunikuta mm shule,yaani mwalimu anahitaji uandike point zile zile za kwenye vitabu,ukiendana na utofauti wa points lakini maelezo yanaendana anasema hapo siyo umekosea,aloooo hapo ndipo nilipoelewa kumbe elimu hii ni ya mkoloni kabsa.
Unanifurahisha sana prince edelea pia nawaomba m search Zouloula 100 ama Imani mcimbwa on RUclips dio tuuganishe yote muone ajabu, Mwafrica diye chazo cha yote, na Sasa tunarudi uko mhamini ama msiamini uko diko tarudi huo dio ukweli, No more lies.
Kabisa kama wanachuo sio problems solvers kila mkoa una law materials ambazo hizo ndizo zinazo kuza uchumi wa taifa wao wanafikilia kuajiliwa tu ofisini wakati duniani kila mkoa una uchumi wao na kuna watafiti na serikali zina fungua viwanda
Hongera Prince Katega wa Pili. Nlilisikia Jina Lako likitajwa mara nyingi nyingi na ANANIAS EDGAR kuhusu Mambo ya Ukuu wa MuAfrica, Naishukuru SNS kwa Kukuleta Live na Kukupa Kipindi.
Hiki Kipindi chako cha Leo ni Kifupi mnooo,,, Naomba vipindi vyako vinavyofuata wakupe angalau 2hrs uendelee kutupa MADINI.....
Ni true Doctors wetu sahizi ni madalali.
Asante kwa kutuvumbua na kuujua Africa ni nini na chanzo chake asante sana uje tena ili tuzidi kujua mengi yahusuyo AFRICA
Woooow!!!!!!!! Yaani Heshima kubwa kwako, Dr Prince Katega. Hii Elimu ya bure lazima iendeleee kama Series.. Asante Sana. 🤝🏾🤝🏾🤝🏾🤝🏾
Shukran Prince Katega, Asante sana Sns najivunia kuwa Mwafrika
Nlishawahi kusikia stori yako kwa jamaa mmoja anaitwa Ananias Edgar your very inteligent
Mimi pia uyu mwamba namsikia
Ni Mgodi prince katega..namfatilia sana chanell yake @United kingdoms of afrika..nimesoma kitabu chake..kwa wale wanaotaka madini pongezi kwa sns kwa kuwaltea mgodi...✊tafadhari sns hii iwe mwendelezo wa vipindi vya namna hii
Asante na hongera kuendelea kupata msdini
Request...tuna taka mwendelezo wa kipindi Cha huyu price katega 11
Safi sana SnS muwege natupa vitu kama hivi ili waafrika angalau tupate kujitambua
kweli mfumo wa elimu yetu africa inabidi ubadilike ,jamaa kaongea ukweli...
Our father in knowledge prince katega ii
waafrika waache kujichubua na kuvaa mawigi ndo tutaheshimika zaidi
🤝
Kweli ila tumechelewa sana da
Nashukuru sana kwa elimu ila tumedidimizwa sana ndo maana tunashau thamani yetu waafrika
Tumedidimizwa na kutufanya tusijiamini bila wao dunia haipo Dah!sasa tunaiga hata tamaduni zao na kuacha zetu,mbaya wametunyinya kutuacha masikini, mbaya wametutawala hata kifikra tusiweze kufanya vyetu tukihisi havina maana wala ubora, wametufubaza kuona vyetu ni dhaifu, vibaya,nitakataka ilihali ndivyo halisi na thamani ya hali ya juu, wao leo wa naendelea kwa hivi vyetu walivyo vichukua na bado wanavi chukua na kufanya ni vyakwao
Fainali mmempa Prince Katega nafasi kutema elimu kwa muafrika aliyepotezwa
Hapo uliposema,mwalimu anahitaji uandike anachokitaka ni kweli kabsa hii,imewahi kunikuta mm shule,yaani mwalimu anahitaji uandike point zile zile za kwenye vitabu,ukiendana na utofauti wa points lakini maelezo yanaendana anasema hapo siyo umekosea,aloooo hapo ndipo nilipoelewa kumbe elimu hii ni ya mkoloni kabsa.
Upo sahihi lakini ni kitu kigumu sana kubadilisha history
Kweli Mungu awawezeshe storys na ukweli utufikiye sisi hote weusi tufumbuke macho vipofu ni wangi sana
Hiii ndo magu alikua anataka kufanya kwann jamni tusiachane na madawa yakichina
💪🏾💪🏾💪🏾powerful talks.
Prince katega shukrani
Tukifuata haya africa tutafika mbali
Sky please mrudishe dr.!! Please bro tunahitaji kusikia more from him
Asante sana SnS
Hii kubwaa
Afrika tulianza wazungu wakafata lakini waliua kabisa mwafrika asionekane
Anajua SANA
Afri-CAN not Afri-CAN'T
Unanifurahisha sana prince edelea pia nawaomba m search Zouloula 100 ama Imani mcimbwa on RUclips dio tuuganishe yote muone ajabu, Mwafrica diye chazo cha yote, na Sasa tunarudi uko mhamini ama msiamini uko diko tarudi huo dio ukweli, No more lies.
My Boss hongera sana sana
Safi sana sns
Great brain of prince
elimu nzuri tutumie vitabu Kenya tusome
Hizi kingdom zinaweza komboa kizazi cheti hiki kilichopo hatarini
sasa haya ndio masomo mnatakiwa mtuletee tunaomba muendelezo
Safi sana mkuu
Hamsikilizwi ujue. Hatuna viongozi wenye uchungu afrika .
you are my teacher
Waafrika wanawaza kwenda peponi kuishi
13:19 hio picha mmetuangusha,
Ahsante Sana zidi na uendelee usiacha muafrika aamke
African
Safi sana.
Saf
Yuko sawa ila anabadilisha mada sana ingependeza sana aongelee one topic
Eti bongo bahati mbaya ha 😆 🤣 😄 😂 😅 😀 😆
Tusaidie mwana wa ufurume
kwenye chakula wameweka sumu kwenye chakula(chakula bandia)ili kutengeneza magonjwa
Wazalendo walishakufa. Akili kubwa haina nafasi ya kutenda
Kabisa kama wanachuo sio problems solvers kila mkoa una law materials ambazo hizo ndizo zinazo kuza uchumi wa taifa wao wanafikilia kuajiliwa tu ofisini wakati duniani kila mkoa una uchumi wao na kuna watafiti na serikali zina fungua viwanda
Wewe nimuhin wakingereza
Jamaa apewe show ya 10hrz madini ni mengi
Vpi kuhusu dini mzee
🤝🏼❤️🇹🇿
Watu wengi wamesha alibiwa vichwa na wazungu naelimu zao za uongo mtupu ira sisi bado tunashi kama mababu zetu
princi katega tukomboe baba
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌️✌️
Wakifanya mabadiko watanyimwa misaada viongozi wa afrika pumba
Mpango ni kuuwa waafrka tena wapo serious umeongea ukweli ukisikia kimywa kimywa nichokitafanyika
Wewe muongo
Ongea wewe
Pepo wewe