SEHEMU YA KWANZA: "HAKUNA KIFO!DINI NI NZURI ILA WAMEINGIZA UKOLONI":KATEGA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Mchambuzi Wa siasa na uchumi wa afrika Prince Katega Amefanya Mahojiano maalum na Global tv na kufafanua mambo mbalimbali kuhusu ukiloni
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 172

  • @faridamkesso97
    @faridamkesso97 4 года назад +8

    Asante kwa Elimu Prince Katega, Waafrika lazma tuamke na tujivunie Uafrika wetu

  • @frankthadeo9167
    @frankthadeo9167 4 года назад +6

    Ukarimu ulitupoza sana, ndiomaana wakatuandikia historia badala ya tujiandikie wenyewe, wametutenga kwa udini. Watu wanapigana kwny midaharo kuwatetea wazungu na waharabu alafu unaambiwa hiyo ndio imani, nahs Mungu anatushangaa sana.

  • @EastCoasTGorilla90
    @EastCoasTGorilla90 4 года назад +9

    Mzungu Leo amekua mungu.. Kwakua tumempa nguvu.. Tuamke waafrika!!!

  • @kidongojoseph
    @kidongojoseph 4 месяца назад +1

    Pamoja sana prince katega kenya nakufatilia sana na nmeanza huduna ya ukombozi wa FIKRA

  • @ummesaniyah
    @ummesaniyah 4 года назад +9

    Akili na uwezo wa kufanya mambo unatoka kwa mwenyezi Mungu.. Shuleni hufundishwi akili, unafundishwa ujuzi.. Tunafikiri kuwa na vyeti ndio ujuzi na akili.. Sivyo... 🤔 True.

  • @j.munenekingdom28
    @j.munenekingdom28 4 года назад +3

    Ashante mwalimu salute you from Kenya.

  • @fiziparadise7808
    @fiziparadise7808 4 года назад +7

    Well said sir. We must emancipate ourselves from spiritual, mental and economic slavery in order to progress and prosper. Respect from Congo🇨🇩🙏🏾

  • @chillaxybeatz4273
    @chillaxybeatz4273 3 года назад +3

    Very critical

  • @joventjohansenmushwaimi1988
    @joventjohansenmushwaimi1988 4 года назад +3

    Prince Katega wape somo ndg yangu

  • @shabanimhando1164
    @shabanimhando1164 4 года назад +2

    kweli kabisa

  • @sportskijiwe781
    @sportskijiwe781 4 года назад +10

    Anahitaji muda mwingi kumsikiliza huyu mzeee time ni ndogo mpeni muda mwingi

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 3 года назад +1

    Global andaeni makala maalumu kwaajili ya mwalimu haswa kwakila point alioigusia aizungumzie vizuri tupate kuelimika zaidi.....nimawazo yangu tuu ahsante 🙏🙏🙏🙏

  • @wanderaothumani4919
    @wanderaothumani4919 4 года назад +8

    Mnatukosea sana kumpa nusu saa apewe kipindi cha historia topic kwa topic kila anachoongelea anashindwa kuchambua hadi mwisho 🥵

  • @nicksonnovart5788
    @nicksonnovart5788 4 года назад +1

    True

  • @jafariheda7280
    @jafariheda7280 3 года назад +1

    Shukrani mzee wetu kwa kutufumbua akili na pia mungu waga huleta mtu wake kwa wakati sahihi nimependa Sana na pia naungana nawewe mzee wangu ila pia ushauri wangu kwako anda program vyuoni na pia mashuleni ili kujenga vijana na pia vipindi mitandaoni ili wenye mitandao za kijamii tushiriki kwenye kipindi chako

  • @annewachira4317
    @annewachira4317 3 года назад

    Asante Sana!

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 4 года назад +10

    Ukweri unauma. Tukiamka wazungu wamekwisha

  • @7191cany
    @7191cany 2 года назад +2

    Anaongea mambo mengi mazuri sana, binafsi nakubaliana nayo. Kuna mambo machache nayaona anatamka kama mzaha fulani hivi, kwa sababu hata katika kujadili kwake hayawekei msisitizo, yaani si mambo ambayo ni kiini cha hoja yake. Sasa tahadhari ni kwamba, mara nyingine mambo yanatamkwa "by the way" wakati mwingine ndiyo hasa huwa yamekusudiwa kubeba maana. Yaani lengo la msemaji linakuwa limejificha kwenye mjadala ambao msemaji anakuwa anatumia muda na maarifa mengi kuuwasilisilisha lakini ndani yake akichomekea vimaneno ambavyo wasikilizaji wanaweza wasivitilie maanani. Ukweli ni kwamba neno lolote linalosemwa, hata kama hukulisikia, lazima lina athari, zinaweza kuwa chanya au hasi. Ushauri wangu ni kwamba, hata kama msemaji yeye binafsi hana nia yoyote katika baadhi ya maneno ya "kuchomekea" tusipuuze maneno hayo. Pamoja na kuunga mkono hoja ya msemaji, tusiache kutenganisha nafaka na magugu ili tusije kuhifadhi ghalani sumu ambazo ziweza kuharibu kila kitu hata kuleta mauti.

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371 3 года назад

    Dini siyo nzuri na siyo mpango wa Mungu. Dini ni upagani kama upagani mwingine ila kumcha Yesu ndyo jambo la msingi

  • @kidongetz8184
    @kidongetz8184 4 года назад +5

    Huyu jamaa ana akili sana

  • @peterbillas9131
    @peterbillas9131 4 года назад +2

    Kweli mzungu kaja jana

  • @rajabuomary1628
    @rajabuomary1628 3 года назад

    Fact

  • @bensonmaina666
    @bensonmaina666 2 года назад

    Kazi safi Mwalimu.

  • @biblenakoranmatuhuhu9904
    @biblenakoranmatuhuhu9904 3 года назад +2

    Pia kuna ujaki katika mwaka wa 2046 yote yatukuwa wazi ,watamjua Mungu huyo wa kale jina lake Enkai ,tumeishi kumuangalia angani ila ni kwingine.
    The Lord of Waters and dwells in the fresh waters and the trees

  • @malegesibwire4978
    @malegesibwire4978 4 года назад +5

    Huyu mtafutieni muda mrefu sio wa Nusu saa huyu ana vitu vingi sana 😁😁😁😁

    • @pascalgiyam9476
      @pascalgiyam9476 3 года назад

      Asipewe muda hata naomba mwenyezi mungu amwangamize haraka asije akakufurisha watu wengi

    • @uzungupoint
      @uzungupoint 2 года назад

      @@pascalgiyam9476 Huna AKILI wewe.

  • @totoozebingwa4076
    @totoozebingwa4076 3 года назад

    Salute brother

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 3 года назад +3

    🤣😂🤣😂 i love this......i hate mzungu zaidi

  • @robertmbisorg8867
    @robertmbisorg8867 4 года назад

    Kabisa mu afrika tufunguwe fikra na tutashinda muzungu. Ye tujuwe muzungu siyo mungu. Tukikua na mausiliano na afrika yetu tutakua strong sana.

    • @mbenjeramalinjanga1972
      @mbenjeramalinjanga1972 3 года назад

      Makufuri raisi lakini sio laisitu wewe nikingi nimfalume naomba nakama ningekua na uwezo binge kula misha usije ukasema ukimaliza muda atoka madalakani wewe uwezi kutoka adi pale mungu atapo kuchukua nakama utatoka utuaidi kama kunamtu unaweza kumuona wewe anafanana nawewe MPE na atopo Fanya mabaya uwetayali kuyapokea

  • @prosperulungi7517
    @prosperulungi7517 3 года назад +1

    Huyu jamaa angetafutiwa kipindi hata TBC maana anaongea point Sana

  • @emmanuelnhumba2958
    @emmanuelnhumba2958 3 года назад +1

    Nani anasikiliza leo tarehe 12 March Wakati habari za uvumi wa Mshua kuwa hayupo anaumwa zikizidi kuvuma na kuzimwa na watawala bila jibu maalum? Where is this Indigo Child?

  • @missmwayway4704
    @missmwayway4704 4 года назад

    Nimekupata Baba 👊👊

  • @piusmatei51
    @piusmatei51 3 года назад

    Motorcycle

  • @totoozebingwa4076
    @totoozebingwa4076 3 года назад

    Prince KATEGA II.

  • @ogindiii1465
    @ogindiii1465 3 года назад +1

    Kenya tuko na fuvu la 1.4million years ago
    Trukana boy

  • @peterraymwasha2362
    @peterraymwasha2362 4 года назад +2

    Ufahamu wa Mwalimu Katega ni kiboko

  • @peterbillas9131
    @peterbillas9131 4 года назад +1

    Swala la udongo umechemsha sayansi inawakilisha we made from star dust...

  • @user-qn8if4ek9f
    @user-qn8if4ek9f 7 месяцев назад

    NADHANI SASA NI MUDA WANGU WA KUINGIA JESHINI. 🇹🇿🔱 19:33

  • @immasanga5713
    @immasanga5713 4 года назад +5

    Hyu mzee ana akili nyingi sana

  • @duhhuskie2698
    @duhhuskie2698 2 года назад

    Part 2 iko wapi?

  • @diamondkamugisha6672
    @diamondkamugisha6672 4 года назад

    Mm

  • @anoldprosper3923
    @anoldprosper3923 4 года назад

    Dah braza we achatu uniniguza sana

  • @kobajumakuziwa9976
    @kobajumakuziwa9976 3 года назад +1

    Wewe ni hazina kubwa sana usikae karibu na mapadre wanaweza kukudhuru unasema ukweli mtupu na usahihi mkubwa

  • @yusuphpetro2639
    @yusuphpetro2639 4 года назад

    Nifundishe nielewe zaidi

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 года назад

    Uislamu sio jina Uislamu ni kukili kwa imaan moyoni kuwa hapana Mola wa haki apasae kuabudiwa ila Mungu mmoja (Allah), kujisalimisha/kunyenyekea kwa Mungu mmoja tu na kufuata maamrisho ya Mola Muumba.
    Uislam haukija kuondoa mila/tamaduni nzuri ktk jamii bali Uislamu umekuja kuendeleza/kukazia mila/tamaduni nzuri anazoziridhia Mungu Mola Muumba.
    Yapo majina yenye tafsiri/maana nzuri Uislam hauyapingi/hauyakatai.
    Mungu Mola Muumba (Allah) ni mzuri, ametakasika na kila sifa chafu/mbaya na anapenda/anaridhia mambo mazuri.
    Hivyo Mungu Mola Muumba (Allah) anataka/anafurahi/anapenda tuitane majina mazuri na tutende matendo madhuri anayoyaridhia.
    Maana ya Muhammad ni mtukuka/msifiwa/mwenye sifa nzuri. Hivyo hata kama ni jina lililotokana na kabila la Kiarabu bado linampendeza Mungu ,Uislam na kwa Waislam sababu sifa za Muhammad zinaendana na tafsiri/maana ya jina lake.
    Kinachoonekana unataka kuturejesha ktk imaan za kipagani/ukafiri (Ushirikina) baada ya kukosa hoja zenye mashiko kuhusu uwepo

    • @eliakimjoakim7393
      @eliakimjoakim7393 2 года назад +1

      Shida ni ilo jina la allah,wewe kwa kabila lako Mungu ana jina basi muite kwa jina la kabila lako mzee,ukoloni wa dini umetutafuna sana ngozi nyeusi😭😭😭

    • @nabiimgongolwa8728
      @nabiimgongolwa8728 Год назад

      Acha ujinga kwani waafrika hatukumjua Mungu mpaka tupewe jina kiarabu Allah?

  • @user-rv5qn2jy5c
    @user-rv5qn2jy5c 5 месяцев назад

    Sawa sasa tufanyaje ili tujue kazi yetu haswa mimi

  • @aminakm2009
    @aminakm2009 4 года назад +1

    Docteur Bombe Magufuli uyo ni chuma kabisa ,natur, kabisa mm hata nitolewe usingizini nnamkuba 👌🏾

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 года назад

      jifunze kuandika fala we

    • @aminakm2009
      @aminakm2009 3 года назад

      @@bennymochiwa4800 we njoumeniandikiya fala mama yako

    • @swaumukulachi8289
      @swaumukulachi8289 3 года назад

      Achen kutukanana niii mda wa kuijenga afrca

  • @mbenjeramalinjanga1972
    @mbenjeramalinjanga1972 3 года назад

    Yani Mimi nimekuelewa sana

  • @chusecurrents4324
    @chusecurrents4324 4 года назад +1

    Nimekuelew

    • @OmanOman-gp7xm
      @OmanOman-gp7xm 4 года назад

      Nalay langu jina ukweli mtupu atawale miaka mia magufuli

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад +1

    Elimu ya chaki na elimu ya dini kunautafaut mkubwa sana .kikawaida hata mteja au mwiz yeye anajiona anafanya ndivyo hana kosa lakini machoni mwa watu wengine wanawaona .wana makosa wanafanya . Sawa na huyo jamaa

  • @peterbillas9131
    @peterbillas9131 4 года назад +1

    Tanzania it wasn't made in Germany tanganyika was

  • @fransgold7515
    @fransgold7515 3 года назад

    Mzee bana kaambiwa kutambikia no Mambo ya kizamani mzee naye kasema at ahaa Mambo yakizaman ndioyo ya mungu at Kwan mungu siniwazaman Nani kwelil kwan mungu sini mdanamda

  • @decoloniz_afro
    @decoloniz_afro 3 года назад +1

    Mwalimu Kuja ufundishe Kenya ...kuna wajinga wengi Sana hapa...

  • @shenellebennett7038
    @shenellebennett7038 Год назад

    Yaani mungu a najua huku Kuna waarabu, wazungu huku wa Africa huku, wachina huku, afu aende waambia waarabu chukueni maneno haya mkipata meli muende mkaawaambie wa Africa, 🤣🤣🤣🤣 dah hili nalo pigo la kitaifa Aisee

  • @samiraabdimahamed4449
    @samiraabdimahamed4449 4 года назад

    👍🏿❤️

  • @salmamrembo4360
    @salmamrembo4360 3 года назад +1

    Miaka 40 ya magufuli

  • @reubendaud8198
    @reubendaud8198 3 года назад

    Navo wasikia wazungu napandwa na hasira ,wanadhalau Sana hawa

  • @SEMANKA97
    @SEMANKA97 4 года назад +1

    Katega anasali dhehebu gani? Sipati picha anahudhuriaje ibada na elimu hiyo kubwa

    • @joventjohansenmushwaimi1988
      @joventjohansenmushwaimi1988 4 года назад +1

      Huyo haabudu ktk Dini hizi zenu ana mengi sana kama unataka kuyajua mengi nikuunganishe nae kwenye group

    • @charlesngassa3673
      @charlesngassa3673 3 года назад +2

      Zehebu zililetwa na mzungu. Dini zipo toka enzi hizo hapo alipo ni kanisani mbona unamwelewa adi aingie kwenye majumba ya kizungu ndyo uamin anasal?

  • @potiyowatz836
    @potiyowatz836 3 года назад

    Nguvu ya mzungu ni pesa na elimu.

  • @khalifa_wayy1979
    @khalifa_wayy1979 3 года назад

    Mengine kweli lakini kuhusu dini upo wrong

    • @issajhma1005
      @issajhma1005 3 года назад +1

      Dini mbili zote ni za kigeni kaka

    • @abdulrazakhassanor498
      @abdulrazakhassanor498 3 года назад

      @@issajhma1005 nn Maana ya dini?

    • @madetetv6576
      @madetetv6576 Год назад

      @@abdulrazakhassanor498 Dini ni utamaduni wa watu fulani kumuabudu mungu wao na mfumo mzima wa maisha yao hiyo ndio dini

  • @nasirpoppa4113
    @nasirpoppa4113 4 года назад

    👊👊👊

  • @reubendaud8198
    @reubendaud8198 3 года назад

    Wew mzee ninapokusikiliza machozi nanilenga kwa uchungu

  • @abdulabass5808
    @abdulabass5808 4 года назад +2

    Una upagani ulioficha kwenye naturalist, ukweli binaadam asili yake ni udongo ,vitu tunavyokula asili yake udongo vipi sisi tusiwe udongo,ukifa unaenda kwenye udongo kuonyesha ndio asili yako, kubwa zaidi alieumba dunia na vilivyomo vyote amesema binaadam ni udongo,so you think twice you think wrong.

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 года назад +1

      Mie najua mbegu za mama na baba zikikutana ndio zinatunga mtoto. Sijawahi ona binadamu katoka mavumbini Ila najua tukifa tunarudi mavumbini. Sasa akili hizo changanya na zako utapata ukweli

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 года назад

      Wewe aliyekwambia binadamu ni udongo ni naniii? Mbona haujitambui wewe kuku wakisasa unayekuwa kwa wiki tena kwa pumba nyingi madawa,chanjo kibao na mabandani taa kama zotee?

    • @digoyaguitarally2790
      @digoyaguitarally2790 3 года назад

      We tofautisha udongo na roho

    • @davidchosen3831
      @davidchosen3831 3 года назад

      La hasa binadamu asilimia 75 ni maji sio udongo .Asilimia 25 ni mionzi .Tatizo kubwa ya waislamu wenzangu ni kuamini kua Dini yao ilishushwa na MUNGU Toka mbinguni.Mungu hajaumba dini .Dini ni mpango wa .binadamu kumtafuta Mungu ambayo ikitumika vizuri ni sawa na ikitumika vibaya ni sumu.Ukweli ni kwamba Mungu ni roho nasi tumeumbwa kwa mfano wake bila Shaka hatuwezi kua udongo lazima tuwe roho.Binadamu sio mwili ni roho ila tumepewa mwili na mwenyeenzi MUNGU ili tupate kuishi hapa duniani

  • @jumanneshego2340
    @jumanneshego2340 4 года назад +1

    hahaaa ivi unasema kweri kifo akuna?

  • @mahamudaideed6922
    @mahamudaideed6922 3 года назад

    Kama sio udongo tumeumbwa na nini

  • @islamyahaya
    @islamyahaya 3 года назад

    Kweli huyu msomi ama mbabaishaji. Kweli mbona hana logic

    • @receptionwsv3298
      @receptionwsv3298 7 месяцев назад

      Siyo msomi kwasababu kataja Utumwa wa dini

  • @fransgold7515
    @fransgold7515 3 года назад

    Pendasan mzee😂

  • @nelsonyandilo3797
    @nelsonyandilo3797 4 года назад +1

    Hatukutokana na udongo? Nani mkweli sasa Mungu au wewe? Neno la Mungu ni kweli tupu! Binadamu wa kwanza aliishi tz? Adamu

    • @faithnalitolela834
      @faithnalitolela834 4 года назад +1

      Siku akifa mwili ukaoza asiwezw kutofautisha kati ya udongo na yy ndio atajua

    • @faithnalitolela834
      @faithnalitolela834 4 года назад

      Siku akifa akachanganyikana n udongo asiweze kutofautisha kati ya mwili n udongo ndio atajua

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 года назад +3

      Swali dogo tu wajameni. Hivi wewe hapo Nelson ukitoka kwa udongo au ni mbegu za wazazi wako kukutana ndio ukazaliwa. Yaani hata Mimi najua ntarudi mavumbini Kama biblia isemavyo lakini najua sikutoka mavumbini. Nlitoka kwa tumbo la uzazi wa mama yangu.

    • @nelsonyandilo3797
      @nelsonyandilo3797 3 года назад

      @@ilovejesus9303 asili yako ni udongo ndo maana ukioza mifupa itaonekana lakini nyama huwa kama udongo tu

  • @Bistwishs
    @Bistwishs 3 года назад

    Huyo jamaa mpelekeni hospitali ya vichaa

    • @geordie1424
      @geordie1424 2 года назад +1

      Let’s start that with you.

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 года назад

    🤔👍👍👌👌👌👌🙌🙌🙌👏👏👏👏

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 4 года назад +1

    Hapana! Muhammad (SAW) alikuwa Muislamu na Uislam ulikuwepo kabla ya Muhammad. Suala la kifo hilo lipo wala halitaki ubishi ila km ww unahisi hutokufa hiyo ni imani yako na naiheshimu.

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 4 года назад

      Uislam haukuwepo kabla ya mtume

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 4 года назад

      @@johncharles6618 😀sawa mie muongo

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 4 года назад

      @@johncharles6618 ni kama vile yesu hakuwa mkristo na hakuwahi iona hiyo dini 😀😀

    • @hassanabdalla2741
      @hassanabdalla2741 4 года назад

      @@johncharles6618 Ukihitaji nikueleweshe kwa nia kujifunza ktk maandiko nitakuelewesha ndugu yng ila ukitaka ubishi sitokuwa na muda wa kubishana. Ahsante

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 года назад

      @@hassanabdalla2741 Hassan unaonekana mtu muungwana Sana. Hivi wewe ulizaliwa au ukitoka mavumbini huko hospitali?

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 3 года назад

    Sasa huyo jamaa yeye ni mpingaji ila kama anajali ubantu au uafrika mbona anazungumza lugha za wazungu english-speaking au na wewe ni miongoni ya ukoloni kama unaupinga ukoloni acha mambo yote ya wazungu

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 года назад

      Ukishatambua nini maana ya harakati za ukombozi wako na kizazi chako na wajukuu zako wa baadae, kamwe hauwezi kumkosoa eti kisa anaongea kiingereza na siku nyingine uache ku comment upuuzi,, maana unajizalilisha tu na ufupi wako wa fikra mkundruuuu wewe.....

    • @hajiabdalla5772
      @hajiabdalla5772 3 года назад

      @@lughanojohn4211 utumwa wa kifikra .mbona nchi za Asia wanajali lugha zao to na wapo wanaharakat kuliko huyo boya pamoja na wewe mwenziwe limbukeni

  • @hassanabdalla2741
    @hassanabdalla2741 4 года назад +1

    Unahitaji kupewa elimu ya maandiko matakatifu. Nadhani Wachungaji wanahitaji wakuombee mana ili uondokane na dhana za kipagani ulizonazo.

    • @aloycemacha9894
      @aloycemacha9894 4 года назад +2

      haa haa uko brainwashed kijana

    • @wanderaothumani4919
      @wanderaothumani4919 4 года назад +2

      Bora yeye mpagani lakini anaongea kwa kutoa na ushahidi we unaeijua dini enhee tueleze

    • @joventjohansenmushwaimi1988
      @joventjohansenmushwaimi1988 4 года назад +2

      Huyu hujamjua ukipata time ya kumsikiliza utaelewa

    • @ilovejesus9303
      @ilovejesus9303 4 года назад

      Wewe Hassan umetoka mavumbini au mama yako alizalishwa utoke? Unajua Kuna vitu simple tuna complicate sana

    • @nondombilizi6624
      @nondombilizi6624 3 года назад

      Hassan maandiko ngani ya ukoloni ndini zililetwa naho

  • @rajabuomary1628
    @rajabuomary1628 3 года назад

    Nashukulu kukuskia wewe farisa zako ndio nipo nazo mimi simama apo ulipo usiteteleke

  • @abdulhakimsaleh6899
    @abdulhakimsaleh6899 3 года назад

    mjinga huyu tena mkubwa

  • @winnikitare4626
    @winnikitare4626 4 года назад

    Unapotosha imani za watu akili nyingi huondoa maarifa

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 года назад

      Tuelemishe wewe sasa usiyekuwa na akili nyingi ili tusipotoke......

    • @davidchosen3831
      @davidchosen3831 3 года назад

      Tatizo hutaki ukweli unapenda kudanganywa

  • @nelsonyandilo3797
    @nelsonyandilo3797 4 года назад

    Tambiko? Anatushawishi turudie uchawi huyu jamaa kumbe wakala wa shetani kabisa

    • @saidkhery9011
      @saidkhery9011 3 года назад

      Tambiko si uchawi. Na kama ni uchawi hakuna mchawi mbaya na hatari kama mzungu.rudi kwenye asili yako mambo yatakuwa sawia

    • @nelsonyandilo3797
      @nelsonyandilo3797 3 года назад

      @@saidkhery9011 Yesu ni njia

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 года назад

      Yesu gani ni njia sasa, uyo Yesu mzungu na sanamu ama? Na kama ni uyo ni njia ya kwenda wapi angalia usifuate mikumbo ukajikuta kwenye 18 za Wazee wa 666.......

    • @lughanojohn4211
      @lughanojohn4211 3 года назад

      Kwanza wewe ushawai kuwa mchawi ama ata kwenye ukoo wenu au nawewe ni kuku wakizungu unayekuwa kwa wiki moja kwa madawa, chanjo nyingi na taa kibao bandani?

    • @frank_mwalongo
      @frank_mwalongo 3 года назад

      Anahitaji msaada huyu